Ali Kiba atoa sababu za kutompost Diamond na kumsupport kwenye Tuzo

  Рет қаралды 332,145

Octagraphy

Octagraphy

9 жыл бұрын

XXL interview on Clouds FM with B Dozen

Пікірлер: 182
@nelsonyaanmimipittanakukub4842
@nelsonyaanmimipittanakukub4842 6 жыл бұрын
Alikiba Ana mashabiki kidgo ila wanafaida kwake sio wote watapenda wachache wataelewa
@shomaryshomary4853
@shomaryshomary4853 8 жыл бұрын
small-minded people never stop reminding us of their achievements however small they are. ali kiba is one of those people.
@davidsmoke2543
@davidsmoke2543 8 жыл бұрын
STILL ALI KIBA NDIO BABA YAO
@maradonacampnou3036
@maradonacampnou3036 4 жыл бұрын
Sikweli bro jagu tena
@lizshirusupuu8206
@lizshirusupuu8206 6 жыл бұрын
Big up king kiba I like how u have your own principal make use of your talent well
@runnyofficial2808
@runnyofficial2808 7 жыл бұрын
Tanzania mzima akuna msanii wa kufananisha na kiba
@hamiskarimu8740
@hamiskarimu8740 4 жыл бұрын
Kivipi yaana kwa uzuri ama kwa kuimba
@amanpetro6820
@amanpetro6820 4 жыл бұрын
Unajua nyinyi ndomunachonganixhag unavyo xme hivo mintakata mpaka kexho kwa vigezo vp sasa
@rashidsalum999
@rashidsalum999 4 жыл бұрын
Kweli ww king kiba uko really sana2020
@lennyomwamba01
@lennyomwamba01 6 жыл бұрын
We love you King 👑
@saidissa5511
@saidissa5511 6 жыл бұрын
mm ndomana nakukubali sana
@kiambwethedon9537
@kiambwethedon9537 9 жыл бұрын
somo lime eleweka sana kaka.
@marrymary4564
@marrymary4564 8 жыл бұрын
ni kweli Ali kiba ako sawa kabisa .uwezi force mtu afamye chenye roho itaki..tena kila mtu na zs kwaakee
@bonymsafi7255
@bonymsafi7255 9 жыл бұрын
Hongera xna kiba 4 real
@zainabbrouwnzaonab3537
@zainabbrouwnzaonab3537 9 жыл бұрын
Kibaaa kaza butiii bbrooo
@rosekimaro1930
@rosekimaro1930 9 жыл бұрын
kiba ameongea point sema tu kwa kuwa tayari anaonekana wanamatatizo bac inakuwa hivyo ninachopenda kusema hawa vijana wakae chini wamalize tofauti zao watafika mbali kwa maana wote wana vipaji
@saidachitechi6677
@saidachitechi6677 8 жыл бұрын
umenene big up bro.nice points.
@kenrayza
@kenrayza 9 жыл бұрын
simple bro kiba for real
@gmwachisnakeeyes5680
@gmwachisnakeeyes5680 7 жыл бұрын
I like your speech King Kiba
@mohammedkhamis3443
@mohammedkhamis3443 9 жыл бұрын
Jamaa kaongea point ya maana sana,watanzania waache upuuzi wakukosoa ila wafkirie jinsi ya kujiendeleza
@modelegracia8208
@modelegracia8208 9 жыл бұрын
Well said!Alikba ni Gentleman mwenye hekima na busara sana!Anaongea , point kwa kuhesabu sio kuropoka!! kila kitu alichongea hapo!ni clear na wazi!Gentleman with high philosphy!He's Men enough Gentleman,He can do what the haeart wants!!He has the right &freedom!!My side l respect a lot him!na ninamkubali point zake!hata kama mnajaribu kumlinganisha au compare somewhere!!else! Who cares??kajariwa for every thing!No one can remove this gift away from him!!! pakaza!,kashifu, eti kaongea pumba! who cares?? havitamrudisha nyuma!Anasonga mbele!kwangu mie tukana,kashifu ,uwa!!l w ll be proud of him!forever! kwani maneno matupu hayazui i meli kutoa nanga na kupiga mbizi! Yeye hodari tuu!mlie tuu!chuma hicho hakipati kutu!kina ngaa na ku shine kila siku ya Mungu!!
@elsielsee1529
@elsielsee1529 8 жыл бұрын
kiba it's your decision not a must
@giftymadaraka6676
@giftymadaraka6676 3 жыл бұрын
Uko vzur kiba hongera cna bro
@emmanuelmipata1013
@emmanuelmipata1013 5 жыл бұрын
ninapo msikiliza kng kiba kuna vitu najifuza
@manallove1
@manallove1 8 жыл бұрын
Nyi wote hapa ni mafala tu...i support u alikiba dont force yourself into somthing that you dont want to do!mbona yeye diamond asipost/hajawai kupost zako?usijishushe sababu ya mtu.Even me i cant post diamonds pics or latests songs wakati in reality mimi ni #teamkiba au siwezi post pic zako ilhali in reality mm ni #teamdiamond.KILA MTU NA MZIGO WAKE bas!!
@celinemak4486
@celinemak4486 9 жыл бұрын
Mbona mnajianika vile mna wivu,,,,riziki mugu kampa yeye alikiba,diamond mie nawe mwenzangu,ukiwa na machungu heri kimia mbona mna wivu tele,bravo alikiba,bravo diamond mmoja na kazi yake.kama hakuenda south Africa,waumwa wapi??yakuuhusu vipi.dunia ndogo tupendane ndugu zanguni eeeee
@mohamedyahaya5916
@mohamedyahaya5916 6 жыл бұрын
kwer kabisa
@mckidagaa966
@mckidagaa966 9 жыл бұрын
Mnao mchukia alikiba hamjui kuwa ndy anajua muziki anasauta yake sio yaku tengeneza daimondi mziki bado sana akasome tena
@mussamalogo5640
@mussamalogo5640 6 жыл бұрын
Saut nzur bila ubunif hawez kwa wcb internationally
@neemaladdy1764
@neemaladdy1764 3 жыл бұрын
Kbsa yani
@teenboy8880
@teenboy8880 4 жыл бұрын
Nimemsikiza Sana King of bongo music. I salute you
@inobahati2360
@inobahati2360 5 жыл бұрын
Naku baliiii brodh KING UK vzr
@shomaryshomary4853
@shomaryshomary4853 8 жыл бұрын
that's a problem of arrogant people. they always think high of themselves absent reason. ali kiba should know that things are not simple as he would want them to be. things are tough and if he continues with that self-decieving mentality of him being superior he will fall and crush into pieces.
@user-gm8of3pp9b
@user-gm8of3pp9b Жыл бұрын
oh good my brother❤❤🥰🥰🥰🥰🇨🇩💯🌹📞❤️❣️🏆
@martinsbernabentadolaberna3530
@martinsbernabentadolaberna3530 Жыл бұрын
Vizuri sana kiba kwa kujibu vizuri kwan daimond nani
@saidsalumu8472
@saidsalumu8472 9 жыл бұрын
Alikiba namkubali sana
@ndigaian6090
@ndigaian6090 8 жыл бұрын
nachoweza kusema kukuhusu wewe kiba tu ujisushu Mungu aakuinue angalia mondi sana utaona tofauti ya maongezi yako
@ungaemedi6240
@ungaemedi6240 9 жыл бұрын
hacheni Aseme yakwake Kwanini matusi hivyo
@kitaleparick8698
@kitaleparick8698 8 жыл бұрын
kaka wewe noma tu
@adampowell3560
@adampowell3560 9 жыл бұрын
Sikilizeni muelewe ndio mjue kwa nini kawaongelea hao akina Beckham. Kaongelea point ya msingi lakini mna akili finyu. Ikiwa yeye hakupostiwa yeye aposti vya nini? Ushabiki mwingine ! Mfanyiwe ninyi lakini ninyi kufanyia wenzenu mnabania. Msikurupuke kama mnafukuzwa. Ovyoooooo. Asiyejua maana usimpe maana.
@brianswai5004
@brianswai5004 8 жыл бұрын
wewe huna hata akili
@jossymjuba5158
@jossymjuba5158 8 жыл бұрын
+Brian Swai ana akili babako
@shabanikugwile8934
@shabanikugwile8934 4 жыл бұрын
@@brianswai5004 kaongea point xhoboka uxhobokew!!!!
@hamiskarimu8740
@hamiskarimu8740 4 жыл бұрын
Nakubali mzee wangu
@mahmoudalmeida804
@mahmoudalmeida804 9 жыл бұрын
Big up kiba
@pascalkabange4479
@pascalkabange4479 8 жыл бұрын
Ali kiba napenda saana muziki zako sana! Na iko powa
@sabinaomary3480
@sabinaomary3480 6 жыл бұрын
nakupenda sana
@tenplusmediatz9828
@tenplusmediatz9828 9 жыл бұрын
Nice interview man
@officialnatsam
@officialnatsam 9 жыл бұрын
Chillah Prince we ndo umeongea kitu cha maana kuwa kinachotakiwa kwa kiba kuwa na #wivuWaMaendeleo na sio beef maana hapa kwetu beef hailipi sio kama Uganda ambapo ukiwa na beef na msanii mwenzako siku ya shindano kila mtu anaweza kupewa mamia ya mamilioni na sio huku kushindwa kusupportiana kisa tu beef. #Kiba and #Diamond you need to change ila nyie watu me nawapenda wote kwani kunakuwa na ushindani mzuri ambao unafanya kuwepo kwa nyimbo good.
@jfourchapembe4347
@jfourchapembe4347 8 жыл бұрын
alicho ongea kwa mtu mwenye akiri timamu ataelewa vizuri sana ila nyie mashabiki wa diamond acheni kumkosoa jamaa huo ni upuuzi tu mbona hajampondea diamond amkeni mnasababisha wasani wasipatane
@justinkibonge8426
@justinkibonge8426 5 жыл бұрын
kingkiba
@youngpozze3431
@youngpozze3431 5 жыл бұрын
na ndomaana we ni king
@isihakamtaalam2099
@isihakamtaalam2099 5 жыл бұрын
Kaka safi sana
@husseinc
@husseinc 8 жыл бұрын
Waposti mabwana zako sony
@alyxxxhamad3016
@alyxxxhamad3016 7 жыл бұрын
asantasasa
@davidjohn9538
@davidjohn9538 8 жыл бұрын
beckham anawakilisha usa? hahaa
@rahmayusuf6482
@rahmayusuf6482 3 жыл бұрын
Big up bro
@marlyncamden
@marlyncamden 9 жыл бұрын
Beckham katoka England anawakilisha England even though anaishi US
@sheluizonola7782
@sheluizonola7782 6 жыл бұрын
kiba yuko juu ila diamond yuko juu zaidi ana mondi ananyota Kali sana hawawezi kulingana jamani ukitaka kujua uhalisia was maisha ya mwanadamu nyoosha kiganja chako kitazame upate ukweli wa maisha maisha yetu.
@pollylazmartins9690
@pollylazmartins9690 8 жыл бұрын
congrats umetoka far encrgng!
@jumasekilanga7648
@jumasekilanga7648 4 жыл бұрын
Sault
@lydianyanjera3263
@lydianyanjera3263 4 жыл бұрын
Safi sana king kiba
@ngwanasongowelero7153
@ngwanasongowelero7153 Жыл бұрын
Noma sana
@andreamadeha145
@andreamadeha145 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fadhilaramadhan3211
@fadhilaramadhan3211 8 жыл бұрын
Ali kiba weee fata lako kwani sio watu wote watakupenda.
@maisarahabibu9221
@maisarahabibu9221 5 жыл бұрын
Alikiba unatisha
@ramadhansaid6016
@ramadhansaid6016 4 жыл бұрын
barida king Wang nakuamini
@sophieaden5367
@sophieaden5367 5 жыл бұрын
David Beckham, United States?
@nakshmsonya4660
@nakshmsonya4660 6 жыл бұрын
alikiba fanya kolabo na diamond itakuwa vzr sna
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 4 жыл бұрын
Naksh msonya atakae partispert ni diamond kwa hyo Kiba ataruzi ndomana kwa hyo kwa wasanii wachanga watateseka Sana allykiba anaakil zake kaka anaona kuliko wewe unavyo ona
@aziztz6161
@aziztz6161 6 жыл бұрын
mnajifanya mnajua kila kitu sana mamae
@pizzoforel2451
@pizzoforel2451 5 жыл бұрын
Huyu mduanzi angalia haya maneno anavyo yachanganya yeye kamsapoti nani aliyetoka
@johngavile5106
@johngavile5106 5 жыл бұрын
Nice
@brianswai5004
@brianswai5004 8 жыл бұрын
hana akili huyu
@michaelpaulo9298
@michaelpaulo9298 5 жыл бұрын
Wewe unasema hana akili sasa wewe ndio huna akili
@pollylazmartins9690
@pollylazmartins9690 8 жыл бұрын
kiba live ur lyf ad do ur staffs mengine baadaye hii kulinganisha mastars ndo beef ya kila kitu welcome kenya na ukitaka uishi ! kila na umaarufu wake sio story na beef kiasi tokana na hata personal lyf ya mtu!
@judymakundi8910
@judymakundi8910 7 жыл бұрын
Yani unailazimisha yanga imposti simba! itaanzaje kwa mfano
@brainsngaugula6075
@brainsngaugula6075 7 жыл бұрын
He david beckham anawakilisha united states jamaa kilaza
@ailethalexisonlinetz9587
@ailethalexisonlinetz9587 6 жыл бұрын
brains ngaugula acha usenge kwaio we umeona ilo tuuuu
@mwanamwinyimohamed505
@mwanamwinyimohamed505 5 жыл бұрын
Hata ww kilaza jina la mtu halianzi kwa herufi ndogo
@leilayzer11
@leilayzer11 5 жыл бұрын
Hahah mna mambo nyie kwamba na yeye kilaza jina la mtu halianzii na herufi ndogo.
@saidrashid1230
@saidrashid1230 9 жыл бұрын
Daah ilo swali meshindwa kujibu " POLE"
@husnaibrahim8127
@husnaibrahim8127 7 жыл бұрын
mbona
@iqramiqram5406
@iqramiqram5406 4 жыл бұрын
Suti bila kipimo yani hatari🤗🤗
@leilamoses172
@leilamoses172 4 жыл бұрын
Mi nakpendagaaa tuuuu broo
@mohamedabdallah3719
@mohamedabdallah3719 4 жыл бұрын
ALI kiba msanii bora Tz hakuna Zaidi yake
@mwaafricahalisi6446
@mwaafricahalisi6446 4 жыл бұрын
Jamaaa kaongea vizuri sema tz bado ni taifa moja LA Ajabu
@abushehesekavumo4702
@abushehesekavumo4702 4 жыл бұрын
Kazi ipo
@witnessmushi9797
@witnessmushi9797 8 жыл бұрын
mmmmh
@mwajumamapunda624
@mwajumamapunda624 9 жыл бұрын
Acha uzalendo ww kiba kwanza kujielezea ajui fanyeni kazi msogeze mziki wa tanzania ufike mbali acha uzalendo ume ulizwa swali lingine una jibu vingine
@charlesmakunga7946
@charlesmakunga7946 9 жыл бұрын
umetisha bdozen
@ndeshijoseph3199
@ndeshijoseph3199 9 жыл бұрын
Ali kiba fanya yako no one gives a crap about you...wewe fanya yako na diamond afanye yake..una majivuno mno..kula jeuri yako!!!
@veronicakamnde1170
@veronicakamnde1170 6 жыл бұрын
nakupnda unapambana wala huna makuu bro
@tunsumegideonmwamboneke9639
@tunsumegideonmwamboneke9639 7 жыл бұрын
hahahaaaaaa, khah david beckam whatt???????
@abdallahmomba1899
@abdallahmomba1899 6 жыл бұрын
Mnatuzingua ninyi amna bifu lolote iyo michezo tu mnatuekitia
@glowrymassawe0713
@glowrymassawe0713 9 жыл бұрын
+mwanaidally we ndo msemaji wa kiba nn
@hamdanal-habsy745
@hamdanal-habsy745 5 жыл бұрын
ameiba jina la wa2 🤗 Ye baba co yakooooo
@mussamalogo5640
@mussamalogo5640 6 жыл бұрын
Hata uspomsuport ila humwez diamond kwanza ni internationally
@jimmydizle2924
@jimmydizle2924 9 жыл бұрын
Mmmmmm
@farajakisinda976
@farajakisinda976 6 жыл бұрын
unanikosha mie kichuya wangu king languvu haaaaaaaahh wanakutapikia hatareee naposti zao xaxa bado wataharishaaaaaaaaaaa,,
@zuhurambonde7599
@zuhurambonde7599 4 жыл бұрын
Nyie wote watanzania wote wanamuziki acheni chuki,wivu,ubinafsi itapendeza sana.
@carolynekhabamba1460
@carolynekhabamba1460 9 жыл бұрын
Umeishaaa umebaki wivu tuuuuu utakufa kisa wivuuuuu Diamond yule yuazidi kuendelea... Macmuga ulijiimbia mwenyewe yamekufika na hata south africa hukuenda halooooooo
@mwanaidialimwayoyo1423
@mwanaidialimwayoyo1423 9 жыл бұрын
Kila mmoja atakufa bibie,usijitoe ufahamu kwa public na usiseme kitu ambacho una uhakika,Kanye mbele usitujazie inzi sie.
@MungaiEveMediaOfficial
@MungaiEveMediaOfficial 9 жыл бұрын
Ndo maana diamond kasema tumechoka na makelele yao, waambie waende walete tuzo kama za Mama....
@chillahprince3127
@chillahprince3127 9 жыл бұрын
Punguza kujua ili ujuzwe zaidi usishindane na daimond tazama ulipoteleza ili usimame vizuri ,kuwa na wivu wa kimaendeleo utafika mbali mlijuana zamani jifanye mjinga mambo yako yatanyooka.
@saintbuzwagi3759
@saintbuzwagi3759 8 жыл бұрын
+Chillah Prince In nature Ali kiba hawezi mwangukia wala kumshobokea diamond sababu ni mdogo wake kisanaa. Hatakama Ali kiba atafeli vp atawaangukia wengine. Diamond nikama mpinzani wake mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba zama za kiba zishapita
@selemanimkonga8150
@selemanimkonga8150 9 жыл бұрын
Roho mbaya haijengi kiba badilika
@shabanikugwile8934
@shabanikugwile8934 4 жыл бұрын
Kuna ck ulishawah kuomba ugali akakunyima???
@conlardmbatina9588
@conlardmbatina9588 8 жыл бұрын
dude if English is not your mother tongue language please don't force it, ur an artist kwann unaongea kiswahili kama unongea slaying? try to be yourself bro ...
@internushkaal-adawy1465
@internushkaal-adawy1465 9 жыл бұрын
WE MNAFIKI KWANZA HAUTAENDELEA SABABU UNACHUKI MUNGU HAKUPI NG'OOO
@aziadarajab4446
@aziadarajab4446 9 жыл бұрын
Sasa Kiba mi cjaelewa David Beckham anawakilishaje United States wakati ni muingereza! 😕😕😕
@mwanaidialimwayoyo1423
@mwanaidialimwayoyo1423 9 жыл бұрын
Sster backham ka taja coz ni miongoni mwa wildwide sasa alikiba ni mmoja wapo na diamond akupost na pia kajieleza kuwa akumpostia sasa ulimi hauna mfupa si binadamu so usishangae.
@jackiemelabu8037
@jackiemelabu8037 2 жыл бұрын
X
@wilsonuhenge894
@wilsonuhenge894 4 жыл бұрын
Huyo ni fungu la kukosa aka timu majungu
@emmanuelshemweta3012
@emmanuelshemweta3012 8 жыл бұрын
jibu swali brother ukizunguka mbuyu at the end utachora ZERO As Tanzanians, we must support each other.
@benbrown7360
@benbrown7360 6 жыл бұрын
Mimi nimsanii wa music naimba nalapu napia naalubamu mojo katika hii alubamu nimelekod ngoma mbili ila sjui nianzie WAP naomba sapoti yenu napia natafuta mzamin kama unataka kunisapot coment kama una taka kunizami pg sm 0744584029 au 0756592906 tafazali uschukue naba kwamatumiz mabaya chukua namba kwamalengo
@arnoldyanthony1733
@arnoldyanthony1733 8 жыл бұрын
Shida yakiba anaigaaaaaa saaana
@theodorycharles6384
@theodorycharles6384 4 жыл бұрын
Ameiganini mbona wewe haujielewi
@rashidahmed8071
@rashidahmed8071 4 жыл бұрын
Vaa buti la jeje utoke kimziki kunguni ww
@brianswai5004
@brianswai5004 8 жыл бұрын
bekham ni USA
@007scoop
@007scoop 8 жыл бұрын
+Brian Swai Yes. He resides in the UK and US. He is a Coowner of Miami MLB Socca Franchise. Pia they have a home in Los Angeles. All his kids are USA Citizens.
@josephmwangomo9404
@josephmwangomo9404 6 жыл бұрын
huyu jamaa bwn anabifu hrf cyo mzalendo kbx
@mustaphahassan6970
@mustaphahassan6970 8 жыл бұрын
yanga vs azam fc
@vedastosimon2440
@vedastosimon2440 4 жыл бұрын
?
Interview: Alikiba ' Mimi na Ben Pol sio marafiki na hatutaniani'
17:30
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 4,6 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 53 МЛН
Mkasi - SO5E05 With Wolper
29:11
MkasiTV
Рет қаралды 304 М.
ALIKIBA: WCB NZIMA NAMKUBALI MSANII HUYU, SIO DIAMOND!
12:58
LilOmmyTV
Рет қаралды 773 М.
UTAJIRI WA ALIKIBA UTAKUACHA KINYWA WAZI...
6:38
JIMBO MEDIA
Рет қаралды 775 М.
Ali Kiba kajibu kwanini huwa haendi kwenye Tuzo
9:36
Millard Ayo
Рет қаралды 162 М.
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 4,6 МЛН