Alikiba Ana mashabiki kidgo ila wanafaida kwake sio wote watapenda wachache wataelewa
@shomaryshomary48538 жыл бұрын
small-minded people never stop reminding us of their achievements however small they are. ali kiba is one of those people.
@davidsmoke25438 жыл бұрын
STILL ALI KIBA NDIO BABA YAO
@maradonacampnou30364 жыл бұрын
Sikweli bro jagu tena
@lizshirusupuu82066 жыл бұрын
Big up king kiba I like how u have your own principal make use of your talent well
@runnyofficial28087 жыл бұрын
Tanzania mzima akuna msanii wa kufananisha na kiba
@hamiskarimu87404 жыл бұрын
Kivipi yaana kwa uzuri ama kwa kuimba
@amanpetro68204 жыл бұрын
Unajua nyinyi ndomunachonganixhag unavyo xme hivo mintakata mpaka kexho kwa vigezo vp sasa
@rashidsalum9994 жыл бұрын
Kweli ww king kiba uko really sana2020
@lennyomwamba016 жыл бұрын
We love you King 👑
@saidissa55116 жыл бұрын
mm ndomana nakukubali sana
@kiambwethedon95379 жыл бұрын
somo lime eleweka sana kaka.
@marrymary45648 жыл бұрын
ni kweli Ali kiba ako sawa kabisa .uwezi force mtu afamye chenye roho itaki..tena kila mtu na zs kwaakee
@bonymsafi72559 жыл бұрын
Hongera xna kiba 4 real
@zainabbrouwnzaonab35379 жыл бұрын
Kibaaa kaza butiii bbrooo
@rosekimaro19309 жыл бұрын
kiba ameongea point sema tu kwa kuwa tayari anaonekana wanamatatizo bac inakuwa hivyo ninachopenda kusema hawa vijana wakae chini wamalize tofauti zao watafika mbali kwa maana wote wana vipaji
@saidachitechi66778 жыл бұрын
umenene big up bro.nice points.
@kenrayza9 жыл бұрын
simple bro kiba for real
@gmwachisnakeeyes56807 жыл бұрын
I like your speech King Kiba
@mohammedkhamis34439 жыл бұрын
Jamaa kaongea point ya maana sana,watanzania waache upuuzi wakukosoa ila wafkirie jinsi ya kujiendeleza
@modelegracia82089 жыл бұрын
Well said!Alikba ni Gentleman mwenye hekima na busara sana!Anaongea , point kwa kuhesabu sio kuropoka!! kila kitu alichongea hapo!ni clear na wazi!Gentleman with high philosphy!He's Men enough Gentleman,He can do what the haeart wants!!He has the right &freedom!!My side l respect a lot him!na ninamkubali point zake!hata kama mnajaribu kumlinganisha au compare somewhere!!else! Who cares??kajariwa for every thing!No one can remove this gift away from him!!! pakaza!,kashifu, eti kaongea pumba! who cares?? havitamrudisha nyuma!Anasonga mbele!kwangu mie tukana,kashifu ,uwa!!l w ll be proud of him!forever! kwani maneno matupu hayazui i meli kutoa nanga na kupiga mbizi! Yeye hodari tuu!mlie tuu!chuma hicho hakipati kutu!kina ngaa na ku shine kila siku ya Mungu!!
@elsielsee15298 жыл бұрын
kiba it's your decision not a must
@giftymadaraka66763 жыл бұрын
Uko vzur kiba hongera cna bro
@emmanuelmipata10135 жыл бұрын
ninapo msikiliza kng kiba kuna vitu najifuza
@manallove18 жыл бұрын
Nyi wote hapa ni mafala tu...i support u alikiba dont force yourself into somthing that you dont want to do!mbona yeye diamond asipost/hajawai kupost zako?usijishushe sababu ya mtu.Even me i cant post diamonds pics or latests songs wakati in reality mimi ni #teamkiba au siwezi post pic zako ilhali in reality mm ni #teamdiamond.KILA MTU NA MZIGO WAKE bas!!
@celinemak44869 жыл бұрын
Mbona mnajianika vile mna wivu,,,,riziki mugu kampa yeye alikiba,diamond mie nawe mwenzangu,ukiwa na machungu heri kimia mbona mna wivu tele,bravo alikiba,bravo diamond mmoja na kazi yake.kama hakuenda south Africa,waumwa wapi??yakuuhusu vipi.dunia ndogo tupendane ndugu zanguni eeeee
@mohamedyahaya59166 жыл бұрын
kwer kabisa
@mckidagaa9669 жыл бұрын
Mnao mchukia alikiba hamjui kuwa ndy anajua muziki anasauta yake sio yaku tengeneza daimondi mziki bado sana akasome tena
@mussamalogo56406 жыл бұрын
Saut nzur bila ubunif hawez kwa wcb internationally
@neemaladdy17643 жыл бұрын
Kbsa yani
@teenboy88804 жыл бұрын
Nimemsikiza Sana King of bongo music. I salute you
@inobahati23605 жыл бұрын
Naku baliiii brodh KING UK vzr
@shomaryshomary48538 жыл бұрын
that's a problem of arrogant people. they always think high of themselves absent reason. ali kiba should know that things are not simple as he would want them to be. things are tough and if he continues with that self-decieving mentality of him being superior he will fall and crush into pieces.
@user-gm8of3pp9b Жыл бұрын
oh good my brother❤❤🥰🥰🥰🥰🇨🇩💯🌹📞❤️❣️🏆
@martinsbernabentadolaberna3530 Жыл бұрын
Vizuri sana kiba kwa kujibu vizuri kwan daimond nani
@saidsalumu84729 жыл бұрын
Alikiba namkubali sana
@ndigaian60908 жыл бұрын
nachoweza kusema kukuhusu wewe kiba tu ujisushu Mungu aakuinue angalia mondi sana utaona tofauti ya maongezi yako
@ungaemedi62409 жыл бұрын
hacheni Aseme yakwake Kwanini matusi hivyo
@kitaleparick86988 жыл бұрын
kaka wewe noma tu
@adampowell35609 жыл бұрын
Sikilizeni muelewe ndio mjue kwa nini kawaongelea hao akina Beckham. Kaongelea point ya msingi lakini mna akili finyu. Ikiwa yeye hakupostiwa yeye aposti vya nini? Ushabiki mwingine ! Mfanyiwe ninyi lakini ninyi kufanyia wenzenu mnabania. Msikurupuke kama mnafukuzwa. Ovyoooooo. Asiyejua maana usimpe maana.
@brianswai50048 жыл бұрын
wewe huna hata akili
@jossymjuba51588 жыл бұрын
+Brian Swai ana akili babako
@shabanikugwile89344 жыл бұрын
@@brianswai5004 kaongea point xhoboka uxhobokew!!!!
@hamiskarimu87404 жыл бұрын
Nakubali mzee wangu
@mahmoudalmeida8049 жыл бұрын
Big up kiba
@pascalkabange44798 жыл бұрын
Ali kiba napenda saana muziki zako sana! Na iko powa
@sabinaomary34806 жыл бұрын
nakupenda sana
@tenplusmediatz98289 жыл бұрын
Nice interview man
@officialnatsam9 жыл бұрын
Chillah Prince we ndo umeongea kitu cha maana kuwa kinachotakiwa kwa kiba kuwa na #wivuWaMaendeleo na sio beef maana hapa kwetu beef hailipi sio kama Uganda ambapo ukiwa na beef na msanii mwenzako siku ya shindano kila mtu anaweza kupewa mamia ya mamilioni na sio huku kushindwa kusupportiana kisa tu beef. #Kiba and #Diamond you need to change ila nyie watu me nawapenda wote kwani kunakuwa na ushindani mzuri ambao unafanya kuwepo kwa nyimbo good.
@jfourchapembe43478 жыл бұрын
alicho ongea kwa mtu mwenye akiri timamu ataelewa vizuri sana ila nyie mashabiki wa diamond acheni kumkosoa jamaa huo ni upuuzi tu mbona hajampondea diamond amkeni mnasababisha wasani wasipatane
@justinkibonge84265 жыл бұрын
kingkiba
@youngpozze34315 жыл бұрын
na ndomaana we ni king
@isihakamtaalam20995 жыл бұрын
Kaka safi sana
@husseinc8 жыл бұрын
Waposti mabwana zako sony
@alyxxxhamad30167 жыл бұрын
asantasasa
@davidjohn95388 жыл бұрын
beckham anawakilisha usa? hahaa
@rahmayusuf64823 жыл бұрын
Big up bro
@marlyncamden9 жыл бұрын
Beckham katoka England anawakilisha England even though anaishi US
@sheluizonola77826 жыл бұрын
kiba yuko juu ila diamond yuko juu zaidi ana mondi ananyota Kali sana hawawezi kulingana jamani ukitaka kujua uhalisia was maisha ya mwanadamu nyoosha kiganja chako kitazame upate ukweli wa maisha maisha yetu.
@pollylazmartins96908 жыл бұрын
congrats umetoka far encrgng!
@jumasekilanga76484 жыл бұрын
Sault
@lydianyanjera32634 жыл бұрын
Safi sana king kiba
@ngwanasongowelero7153 Жыл бұрын
Noma sana
@andreamadeha1453 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fadhilaramadhan32118 жыл бұрын
Ali kiba weee fata lako kwani sio watu wote watakupenda.
@maisarahabibu92215 жыл бұрын
Alikiba unatisha
@ramadhansaid60164 жыл бұрын
barida king Wang nakuamini
@sophieaden53675 жыл бұрын
David Beckham, United States?
@nakshmsonya46606 жыл бұрын
alikiba fanya kolabo na diamond itakuwa vzr sna
@princessplatnum44164 жыл бұрын
Naksh msonya atakae partispert ni diamond kwa hyo Kiba ataruzi ndomana kwa hyo kwa wasanii wachanga watateseka Sana allykiba anaakil zake kaka anaona kuliko wewe unavyo ona
@aziztz61616 жыл бұрын
mnajifanya mnajua kila kitu sana mamae
@pizzoforel24515 жыл бұрын
Huyu mduanzi angalia haya maneno anavyo yachanganya yeye kamsapoti nani aliyetoka
@johngavile51065 жыл бұрын
Nice
@brianswai50048 жыл бұрын
hana akili huyu
@michaelpaulo92985 жыл бұрын
Wewe unasema hana akili sasa wewe ndio huna akili
@pollylazmartins96908 жыл бұрын
kiba live ur lyf ad do ur staffs mengine baadaye hii kulinganisha mastars ndo beef ya kila kitu welcome kenya na ukitaka uishi ! kila na umaarufu wake sio story na beef kiasi tokana na hata personal lyf ya mtu!
@judymakundi89107 жыл бұрын
Yani unailazimisha yanga imposti simba! itaanzaje kwa mfano
@brainsngaugula60757 жыл бұрын
He david beckham anawakilisha united states jamaa kilaza
@ailethalexisonlinetz95876 жыл бұрын
brains ngaugula acha usenge kwaio we umeona ilo tuuuu
@mwanamwinyimohamed5055 жыл бұрын
Hata ww kilaza jina la mtu halianzi kwa herufi ndogo
@leilayzer115 жыл бұрын
Hahah mna mambo nyie kwamba na yeye kilaza jina la mtu halianzii na herufi ndogo.
@saidrashid12309 жыл бұрын
Daah ilo swali meshindwa kujibu " POLE"
@husnaibrahim81277 жыл бұрын
mbona
@iqramiqram54064 жыл бұрын
Suti bila kipimo yani hatari🤗🤗
@leilamoses1724 жыл бұрын
Mi nakpendagaaa tuuuu broo
@mohamedabdallah37194 жыл бұрын
ALI kiba msanii bora Tz hakuna Zaidi yake
@mwaafricahalisi64464 жыл бұрын
Jamaaa kaongea vizuri sema tz bado ni taifa moja LA Ajabu
@abushehesekavumo47024 жыл бұрын
Kazi ipo
@witnessmushi97978 жыл бұрын
mmmmh
@mwajumamapunda6249 жыл бұрын
Acha uzalendo ww kiba kwanza kujielezea ajui fanyeni kazi msogeze mziki wa tanzania ufike mbali acha uzalendo ume ulizwa swali lingine una jibu vingine
@charlesmakunga79469 жыл бұрын
umetisha bdozen
@ndeshijoseph31999 жыл бұрын
Ali kiba fanya yako no one gives a crap about you...wewe fanya yako na diamond afanye yake..una majivuno mno..kula jeuri yako!!!
@veronicakamnde11706 жыл бұрын
nakupnda unapambana wala huna makuu bro
@tunsumegideonmwamboneke96397 жыл бұрын
hahahaaaaaa, khah david beckam whatt???????
@abdallahmomba18996 жыл бұрын
Mnatuzingua ninyi amna bifu lolote iyo michezo tu mnatuekitia
@glowrymassawe07139 жыл бұрын
+mwanaidally we ndo msemaji wa kiba nn
@hamdanal-habsy7455 жыл бұрын
ameiba jina la wa2 🤗 Ye baba co yakooooo
@mussamalogo56406 жыл бұрын
Hata uspomsuport ila humwez diamond kwanza ni internationally
@jimmydizle29249 жыл бұрын
Mmmmmm
@farajakisinda9766 жыл бұрын
unanikosha mie kichuya wangu king languvu haaaaaaaahh wanakutapikia hatareee naposti zao xaxa bado wataharishaaaaaaaaaaa,,
@zuhurambonde75994 жыл бұрын
Nyie wote watanzania wote wanamuziki acheni chuki,wivu,ubinafsi itapendeza sana.
@carolynekhabamba14609 жыл бұрын
Umeishaaa umebaki wivu tuuuuu utakufa kisa wivuuuuu Diamond yule yuazidi kuendelea... Macmuga ulijiimbia mwenyewe yamekufika na hata south africa hukuenda halooooooo
@mwanaidialimwayoyo14239 жыл бұрын
Kila mmoja atakufa bibie,usijitoe ufahamu kwa public na usiseme kitu ambacho una uhakika,Kanye mbele usitujazie inzi sie.
@MungaiEveMediaOfficial9 жыл бұрын
Ndo maana diamond kasema tumechoka na makelele yao, waambie waende walete tuzo kama za Mama....
@chillahprince31279 жыл бұрын
Punguza kujua ili ujuzwe zaidi usishindane na daimond tazama ulipoteleza ili usimame vizuri ,kuwa na wivu wa kimaendeleo utafika mbali mlijuana zamani jifanye mjinga mambo yako yatanyooka.
@saintbuzwagi37598 жыл бұрын
+Chillah Prince In nature Ali kiba hawezi mwangukia wala kumshobokea diamond sababu ni mdogo wake kisanaa. Hatakama Ali kiba atafeli vp atawaangukia wengine. Diamond nikama mpinzani wake mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba zama za kiba zishapita
@selemanimkonga81509 жыл бұрын
Roho mbaya haijengi kiba badilika
@shabanikugwile89344 жыл бұрын
Kuna ck ulishawah kuomba ugali akakunyima???
@conlardmbatina95888 жыл бұрын
dude if English is not your mother tongue language please don't force it, ur an artist kwann unaongea kiswahili kama unongea slaying? try to be yourself bro ...
@internushkaal-adawy14659 жыл бұрын
WE MNAFIKI KWANZA HAUTAENDELEA SABABU UNACHUKI MUNGU HAKUPI NG'OOO
@aziadarajab44469 жыл бұрын
Sasa Kiba mi cjaelewa David Beckham anawakilishaje United States wakati ni muingereza! 😕😕😕
@mwanaidialimwayoyo14239 жыл бұрын
Sster backham ka taja coz ni miongoni mwa wildwide sasa alikiba ni mmoja wapo na diamond akupost na pia kajieleza kuwa akumpostia sasa ulimi hauna mfupa si binadamu so usishangae.
@jackiemelabu80372 жыл бұрын
X
@wilsonuhenge8944 жыл бұрын
Huyo ni fungu la kukosa aka timu majungu
@emmanuelshemweta30128 жыл бұрын
jibu swali brother ukizunguka mbuyu at the end utachora ZERO As Tanzanians, we must support each other.
@benbrown73606 жыл бұрын
Mimi nimsanii wa music naimba nalapu napia naalubamu mojo katika hii alubamu nimelekod ngoma mbili ila sjui nianzie WAP naomba sapoti yenu napia natafuta mzamin kama unataka kunisapot coment kama una taka kunizami pg sm 0744584029 au 0756592906 tafazali uschukue naba kwamatumiz mabaya chukua namba kwamalengo
@arnoldyanthony17338 жыл бұрын
Shida yakiba anaigaaaaaa saaana
@theodorycharles63844 жыл бұрын
Ameiganini mbona wewe haujielewi
@rashidahmed80714 жыл бұрын
Vaa buti la jeje utoke kimziki kunguni ww
@brianswai50048 жыл бұрын
bekham ni USA
@007scoop8 жыл бұрын
+Brian Swai Yes. He resides in the UK and US. He is a Coowner of Miami MLB Socca Franchise. Pia they have a home in Los Angeles. All his kids are USA Citizens.