Dogo uko vizuri serikali mfuatilieni na kumlinda na kumuwezesha huyu kijana kiukweli Mungu amempa kipaji kikubwa
@amani25554 жыл бұрын
_Kama unamkubali huyu charii gonga like_
@khamisrashidy10794 жыл бұрын
Kama una amini MUNGU akikuandikia yes hata waje na uchawi kutoka wap hawakuwez ilanikwa neema2 like zenu hap
@BigZhumbe4 жыл бұрын
Watanzania mnawaza sana about haters na Wachawi, mnamlinganisha sana Mungu na uchawi, uchawi ukishinda mnasema ni majaribu ya Mungu uchawi ukishindwa eti hata waje na uchawi gani hawatafanikiwa..... Tufikirie maendeleo uchawi usiwe kipaumbele
@meshackmwilongo97934 жыл бұрын
Huyu kijana AKIPEWA SUPPORT UTAKUWA MSAADA KWA TAIFA. ANASTAILI KULINDWA
@fahariamalik96114 жыл бұрын
Khamisrashid
@kayvinsmithgang57313 жыл бұрын
Kabisa kaka na mm nime furai
@chrisb42183 жыл бұрын
Kabisaa
@gambajunior22754 жыл бұрын
Dogo nnauhakika anawashinda walio hitimu elimu za juu hapa Tanzania ....yupo vizuri sana huyu
@leopordmulwale62724 жыл бұрын
Wee big up,,, nadhani dogo andika andiko yaan upewe nn ili utimize malengo yako,,,,
@honorykwahhay43644 жыл бұрын
Vizuri Sana kijana Zubera Ismaily hakika uko vzr Sana Mungu akuzidishie hicho kipaji, naona utakuwa mkombozi wa Nchi Kwa kubuni vifaa mbalimbali, pia niwapongeze Millard Ayo Tv kwa kutuandalia hiyo makala, ya kumulika vipaji vya vijana!
@ahsantesana47824 жыл бұрын
Huyo jamaa ana kipaji cha pekee kwa kweli!. Ni vizuri tu waendelee kumpa sapoti kubwa zaidi ili tuzidi kuijenga Tanzania kimaendeleo.👏
@kirobotokaberege26954 жыл бұрын
Hongera mavunde kwa kumsapoti huyu kijana endelea kuwa naye karibu ili tupate matecnition wetu hapa nchini
@mtumwaharunaally72554 жыл бұрын
Mtoto huyu ni hatari sana ,anaouwezo mkubwa sana akiwezeshwa serikali impe ushirikiano harafu anaouwezo wa kujieleza hongera sana one day yes!
@auntdorah91412 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinua...😍 Tatizo letu ni kutokujikubali, huenda leo kuna kitu tusingeagiza nje! Kwani kule vinatengenezwa na malaika???????!!! Watu kama hawa Wapate wafadhili na hata nafasi ya kwenda huko kwenye maviwanda makubwa wakirudi waanzishe vya kwao ,wataendeleza wengine na hata kuongeza ajira.
@MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын
YOU ARE VERY SMART BOY
@jessydaktari52094 жыл бұрын
Hii ndo elimu sasa.. sio civics😁
@princehancesam98924 жыл бұрын
Daaaah aseeee sina neno ila watu kama hawa ni muhim Kwa taifa
@abdallahkiritto63084 жыл бұрын
Upo vizuri ZUBERY ISMAIL endelea na ubunifu ipo siku mambo yatakuwa mazuri kwako hakika
@mungamichael93544 жыл бұрын
Dogo we mwisho, #🇰🇪
@minabuelysee84 жыл бұрын
tanzania kwasiku zijazo tutakua tunajielekez uko kupatA wataalamo wa wabunifu wavitu tofauti.Allah amuezesh.amin
@teteatetetechswahili32084 жыл бұрын
Hongera sana kaka,wewe ni mbunifu sana
@imanimbwaga70054 жыл бұрын
Nimeandika kitabu kinaitwa Tanzania Towards Industrial Economy, and the secret for industrialisation, kimsingi tunaweza kuwa taifa la viwanda ikiwa tu tunaweza kuinvest kwenye talents na vitu vingi naona kama napata majibu ya kile nilikifikilia miaka kadhaa iliyopita
@kasiyarandatv36574 жыл бұрын
Maa Shaa Allah #Kasiyaranda
@wcbwasafimusic45524 жыл бұрын
Mungu akusahidiye kwenye mahisha yako uhendeleye na kazi yako ivo ivo
@hemedmnyambwa55024 жыл бұрын
Alllah akupe afya njema
@queenhusna2044 жыл бұрын
Mashallah mashallah MUNGU akufanyie wepesi kwenye kazi zako mdogowangu duuuu si mchezo
@mandaicontz27214 жыл бұрын
queen husna guud
@peterkwilasa93162 жыл бұрын
Huyu kijana anakipaji kikubwa sana cha msingi serikari imusomeshe naiwekaribu nae sana,ana akimaliza elimu yake ya juu imuajiri jeshini huko atakuwa mtaalamu wa mambo yote kama vile rada , radio,mzinga, control tower, nk
@henrymushi83402 жыл бұрын
Mungu akulinde kwa kwali more creative
@mrholela79064 жыл бұрын
Nadhani ifike wakati serikali ione haja kuweka Chuo kikuu cha Sanaa ,michezo na ubunifu huku Kigoma kiwe cha kimataifa. Hapa mkoani sijaona boya kila mtu in creative na vipaji lukuki
@abudurmugara93694 жыл бұрын
KG nyumbn kw vipaji
@manilabonalumanula92104 жыл бұрын
Leka Tutigite. IQ inayopatikana kwenye migebuka na dagaa wetu Kigoma huwezi kupata popote Tanzania
@bellam.vyampi55284 жыл бұрын
Mawazir wa kigoma hamna kitu
@richardpanja58414 жыл бұрын
Kuna vipaji vingi sana nchi hii serikali inatakiwa ivitambue kuna yule aliyebuni skaveta,mwingine alibuni katapila ni suala la kuwafuatilia na kuwasaidia dogo huyu ni kichwa balaa.
@onlinemateustv19254 жыл бұрын
Mikebuka hiyo inawapa akili
@neemapeter45722 жыл бұрын
Ulaya huyu ni billionea... God bless you you go out side.ukajiendeleze zaidi
Kijana anaejitambua ni lazima awe na Ubunifu, kwani uwezo wako ndio maisha yako. kijana anauwezo sana
@abc-en3em4 жыл бұрын
This person is creative guys
@neemasaidi3206 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akulinde na akuongoze
@theperfect64604 жыл бұрын
Geneous Hiyo business idea ya maji ilikua ni muda wake wa kufanyia kazi.. Angekua nchi zingine huyu alikua ni billionaire Asaidiwe kwenye issue ya business idea kuiexpose ikiwezekana kuiuza kwa watu wanaoweza kuitumia kwa manufaa ya watanzania
@teamallyracing17804 жыл бұрын
Umeona Kwa sababu mpaka leo Dunia nzima tunatumia float Ku shut valve hio sensor Ni idea nzurri ina eliminate moving parts
@kassammwishehe44822 жыл бұрын
Hongera dogo upo vizuli selikali ya Samia muwekezeni uyo kijana kipaji chake na iyo ni itakua fahari ya Tanzania .msimuache akatoka nnje kama marekani umarufu wake wote wanategemea watu wenye vipaji na wanawahendereza nasi tumwendereze uyo kijana Ila mpeni uticha.opa.shure
@halimaamiri83994 жыл бұрын
safi sana Zuberi ushauri wangu kwako millard kama itawezekana waunganishe vijana hawa iwe team moja watafanya makubwa sana
@nyamtigaibrahim5303 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaaaaah uko vizuri sana dogo yaaani hawa wengine wanao waza singeli na Kubeti wangeiga mfano wako hakika hata Uchumi wa Kati tungeshaupita mda mrefu Sana na Mbaka Mh angeharakisha ujenzi wa Bwawa la nyerere uishe haraka ili viwanda viwe vingi umeme uwe mwingi
@elizaphankamando56052 жыл бұрын
Hicho ni kipaji kampa Mungu cy kila mtu ana akili hiyo, huyo ana akili ya ajabu
@qaltumsaid3095 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana MashaAllah ktk ubunifu wako
@aggymc12034 жыл бұрын
Duuuh! Amaising
@joycewijsman10144 жыл бұрын
Genius
@ramerauma39644 жыл бұрын
Ebhanaeee jmaa yuko vizuri sanaa tena ni balaaaa
@lorarose13934 жыл бұрын
Da!! Huyu dogo atar aisee
@ufugajiwetu77822 жыл бұрын
Good creativity
@stevenngaitv70014 жыл бұрын
Kweli dogo unaweza
@eddahhawa74714 жыл бұрын
Gundi tu ilinila hela!!!!.12:54-13:00Asante mdogo wangu mungu akufanyie wepesi ugundue vingi zaidi,,,,ila mi nimeipenda pampu ya maji
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Eddah mmmmh wewee!
@eddahhawa74714 жыл бұрын
@@arqamibnarqam.7185 naam
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
@@eddahhawa7471 VIP Hali yako?
@mathayomedia20902 жыл бұрын
Hongera sana kijana
@jazzymkalitv55354 жыл бұрын
Mashaallah! Hongera sana mdogo wetu. Hakika utaifanya Tanzania isonge mbele.
@MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын
BIG UP SANA DOGO!
@MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын
WHEN ALMIGHTY GOD SAYS YES, NO BODY CAN SAY NO
@fikirigenda40444 жыл бұрын
True
@fridayjuma3684 жыл бұрын
Hongera baba mungu akuezeshe zaidi
@allyselemani38054 жыл бұрын
Dah bro upo vzr
@mirajikinuke98494 жыл бұрын
Uyo Dogo China anaiyona ileee.... SERIKALI wamsimamie uyu dogo na wamtengee Pesa
@for24tv534 жыл бұрын
china verona wew uyo USA KABISA
@alfanally90892 жыл бұрын
Nimekubar dogo
@vibonzotv23423 жыл бұрын
Sh ngap kaka uwo mtambo
@rugessyfedirick45662 жыл бұрын
Nakubal sana zuber
@MrTabasamu4 жыл бұрын
Africa tunakosa nini? Akili tunazo, ubunifu upo, rasilmali zipo, ila tu uongozi mbaya usokuwa na uzalendo! We can be like Japan, China, etc.
@ramlamohamed64704 жыл бұрын
Anakjpaji Huyo Kijana
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Dah! Umetisha kijana
@KASWIZAOnlineTV89334 жыл бұрын
Upo sawa dogo
@athumaniomari28334 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU amzidishee kipaji na mafanikio makubwa zaidi
@jacksonkimario60334 жыл бұрын
Dogo ana mzuka na kipaji chake anataman kifke mbal anajitahd kuelzea kwa marefu na mapana kweli ila tatzo bong awasaport vpaji kufka mbali
@maombitv41184 жыл бұрын
Ongera Sana miladi Ayo TV kwakuwa saport watu wasio julikina kbsa lakn mmewaweka kwenye ramani
@simonkabala20632 жыл бұрын
The blessed kaanani is Tanzania jaman Tanzania tuna vijaana Millard hongera kwa kuwasapot vijana wetu
@rahmamavura4064 жыл бұрын
Dah dogo konki master ..mungu aendelee kumpigania
@doenmusilikale22374 жыл бұрын
Congratulations
@paulstanley1594 жыл бұрын
Mkuu siyo pw ✊✊✊
@restutazimbeiya38064 жыл бұрын
Mungu amzidishie kipaji jamani na ambaliki afikie malengo yake
@hosenimwelekwa62003 жыл бұрын
Jamaa anajua mungu humpa amtakae
@zubemiloneamohamedizahera62314 жыл бұрын
Naiomba serkal iziti kumpa.shavu
@emmanueljames77754 жыл бұрын
Big up mkuu..,
@cheteclassic99274 жыл бұрын
Dogo dogo dogooooo mungu akubariki sana ngekuwa na uwezo ungefika mbali sana mdogo angu hakika kipaji unacho
@daniellusembe29144 жыл бұрын
Kigoma mkowa wa vipaji I'm proud of you my brother
@stansilauseliasi78834 жыл бұрын
Vichwa kama hivo hawavipi sapoti ila mtu anategeneza kiki ya kufa anapewa sapoti
@zaiiomary89704 жыл бұрын
Wakina meja kunta
@mustar94904 жыл бұрын
Kabisa
@alyberriajumaa37854 жыл бұрын
Mzee baba unajua mungu akujalie inshalaaa
@mnewakihimbo11742 жыл бұрын
This is what I call "really education", his cognitive ability is above the professor of engineering! Wenzetu kule Marekani, Japan na China MTU kama huyu ndio anaitwa mwanasayansi, anacheza na reality siyo theories na hadithi za akina Galileo Galilei au akina Newton, let us change our mind set on the concept of science and educated person!?!!!
@elizaphankamando56052 жыл бұрын
Tanzania hakun viongozi wa kuona future ya taifa ila matumbo yao tu, huyu kijana ni zaid ya ingenear,
@maarifahub50664 жыл бұрын
Big up Ally Dreams kwa kumsuport Mdogo wangu akitoboa Dogo ntamshauri akutumie pikipiki aliyoibuni mwenyewe
@renatuswilson15774 жыл бұрын
Dogo nihatari. Napenda Sana ujasiri wake. Safisana. Tanzania vipaji tunavyo Ila namnagani viendelezwe?? Sjui tunakwama wapi
@iddyally33424 жыл бұрын
Ushauri wngu kwasasa tengeneza sensa za uhakika ambazo utaweza kuunganisha kwenye visima ambavyo vmeshajengwa ili kuepusha kumwagika kwa maji utapiga pesa
@user-ok9mi5uq6y4 жыл бұрын
Hongera Zuberi kwa kazi mzuri Mwenyezi Mungu akujarie ufanikiwe kwa kila jambo
@janethjackson12574 жыл бұрын
Piga kazi mdogo wangu
@geofreykupenda21474 жыл бұрын
Huyu dogo ni zaidi ya piere konki konki konki master
@aminaomary55672 жыл бұрын
Mbunge wako Mama Ndalichako amekuona?safi kijana.
@bobsaid85302 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda dogo
@dominickleonard86002 жыл бұрын
KG BOY ONGERA SANA
@je79194 жыл бұрын
amazing ideal
@lewissinkalatz.39142 жыл бұрын
Huyu dogo hivyo vipikipiki vitengezwe kwa wingi na kuanza kuuzwa kama toy
@jumaommar56674 жыл бұрын
Mungu akupe ufanishi mzuri
@andrewagira29504 жыл бұрын
This boy is talented... Let them not steal his ideas but govt should fund him to improve
@hamsikrasheedi1796 Жыл бұрын
god bless you more zuber ❤❤🙌🏼
@ELLYTECH4 жыл бұрын
M nmemkubali zaid kwenye iyo touch sensor
@zakariajoseph78904 жыл бұрын
Nakukubali Sana mdogo wangu uko fresh kweli
@rashidsalum46894 жыл бұрын
Mungu amzidishie amuepushie maadui, serekali naomba mumtizame sana huyu dogo. Musipuuze, mumpeleke hata uchina akaongeze elimu yake. Na Ukweli nasema China huyu wanamzuia.
@KalilavKinyentamАй бұрын
KIGOMA KIGOMA mkoa wangu
@mrholela79064 жыл бұрын
Nimekubari Kigoma hakuna boya
@jamesmasome3594 жыл бұрын
Boya ni zitto peke yake bana
@ernestlaiza33064 жыл бұрын
@@jamesmasome359 hata huna aibu kumzsema zito
@J4UPro4 жыл бұрын
Huyu dogo nihatarii sana
@frankoguta97924 жыл бұрын
Kwa ubunifu huu veta aitoshi huyu aperekwe china serikali inatakiwa imtazame huyu kwa jicho la pili huyu ataibadili tanzania ya kesho
@alexsebastian41464 жыл бұрын
Subiri corona iishe kwanza
@tizoamani53094 жыл бұрын
Hata mm nataka namba yake yangu hii0753935809
@rizikiramadhani7986Ай бұрын
DOGO UKO VIZURI SANA MUNGU AKULINDE UFIKE MBALI👍
@abraarimages12693 жыл бұрын
Mashallah
@gabrielishmael59564 жыл бұрын
Talented 👏👏
@simonkabala20632 жыл бұрын
asa vijana hawa serikali ikowapi jamani mbna ma expert Tanzania tunao!! Jaman
@jumaommar56674 жыл бұрын
Kigoma oyeeeeee
@shabanidodoso51004 жыл бұрын
Uchawi oyee
@user-uk8ot2lx5v4 жыл бұрын
u uchawi unakujaje kwenye ubunifu .tujaribu kupendana nakusapotiana
@rajabuhamisi29404 жыл бұрын
Oyeee
@uwellenitallent50014 жыл бұрын
Fire♨♨♨♨♨♨
@abdallahsaidi20473 жыл бұрын
This guy is really creative if he was in abroad he would be step a head. But even there in Tanzania he can still hack n get good dime. What he has done is a sample