MTANZANIA ALIETENGENEZA GARI LINALOTUMIA UMEME "HATUENDI SHELI"

  Рет қаралды 290,121

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 283
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
Brilliant...huyu angepewa support angeendeleza fani yake na ingesaidia kukuza uchumi wetu wa viwanda.Dogo yuko vizuri mno
@yohanalaiser2667
@yohanalaiser2667 4 жыл бұрын
Ukiangalia impact ya kiuchumi na kimazingira ambayo hii project itakua nayo, huyu brother anahitaji pongezi na support ya hali ya juu. Asante AYO TV kwa kuchimbua madini
@gabrielaniseti1537
@gabrielaniseti1537 4 жыл бұрын
AFRICA NA TZ INAWEZA KABISA KUJITEGEMEA, SERA YA MWL.NYERERE ELIMU YA KUJITEGEMEA, EDUCATION FOR SELF RELIANCE. HONGERA SANA KIJANA
@ipyanamtafya5567
@ipyanamtafya5567 Жыл бұрын
Safi sana kaka Ombi letu serikali wawezeshe wazalendo wabunifu Pia nakupongeza mwalimu kwa kuheshimu mawazo ya kijana ambayo ni lulu kwa nchi yetu.
@godwin6325
@godwin6325 4 жыл бұрын
Weka bei boss, hii huhitaji kusaidiwa mtaji au kusoma zaidi hapo hapo umetengeneza Kitu kimoja amazing... Weka bei mtu anaetaka atalipa ndiyo gari itengenezwe
@swahiliupdates3051
@swahiliupdates3051 5 жыл бұрын
Safi Sana amejieleza vizuri Sana Rfu kila kitu ameweka wazi . AMAZING .....
@oswardwagaya9333
@oswardwagaya9333 5 жыл бұрын
hahaha wakati bunge linatoa support kwa piere linasahau vitu vya msing hahaha love u tz
@majosamalundi4016
@majosamalundi4016 5 жыл бұрын
Piere niwakatiwake usihofu
@ahmadsimba2143
@ahmadsimba2143 5 жыл бұрын
kwelii MWANANG Osward wapuuz xn yan!
@devidpanja115
@devidpanja115 5 жыл бұрын
piere ni muhimu sana kwa nafas yake
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
Wabunge wengi si wasanii tu,wewe hujui bro??
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
Eee bwana
@fathermore9772
@fathermore9772 5 жыл бұрын
ivi kuliko serikali kuendelea kuruhusu pikipiki kutoka China kuingia nchini kwanini wasiwape hawa vijana mtaji na vifaaa watanzania tukaendesha vyakwetu ...ingeokoa sana pesa ,kuepusha uchafuzi wa mazingira na pia ingeokoa maisha ya watanzania wengi dhidi yaa ajali ...
@stephenwairegi4969
@stephenwairegi4969 4 жыл бұрын
Hongera kaka .mimi mkenya nakutakia mafanikio
@doryjeremy9849
@doryjeremy9849 5 жыл бұрын
Ongera sana my brother kaz nzuriiii sanaaaa
@yahayatemu1858
@yahayatemu1858 4 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu wako, kwakua nzuri garihiyo kama hueki mafuta na baadae inawezaikawa inajichaji yenyewe, ukovizuri. Hongera kijana.
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 5 жыл бұрын
Big up your so great. Halafu ndugu zangu hicho chuo ni cha serikali so fungu lilotumika hadi hapo ilipofika hiyo gari limetoka serikalini ni bora kupongeza WIZARA na Wakuu wa chuo husika kwa kutambua uwezo wa kijana mwenzetu na kumwezesha kuonesha uwezo wake wa kufanya jambo kubwa kama hilo kwa vitendo. BIG UP
@belovedson7501
@belovedson7501 5 жыл бұрын
Sio kweli raia hua wanatoa pesa zao za mfukoni bhana! Kama umefika chuo utakua unaelewa kama wamepewa na serikali au ni pesa zao binafsi zimetumika!
@qualiamaxwell6305
@qualiamaxwell6305 4 жыл бұрын
congrats broooo much support ...from ARUSHA TECHNICAL COLLAGE....
@naybakari3490
@naybakari3490 5 жыл бұрын
Tanzania ni nchi pekee inayovipaji ila sasa serikali yetu aijali inawekeza kwa wasanii tu 😆😆😆 big up sana bro
@rahmakimario4640
@rahmakimario4640 5 жыл бұрын
serekali haihusiki
@naybakari3490
@naybakari3490 5 жыл бұрын
Sasa kama aiusiku iyo serikali mbona inawasaidi wasanii waimbaji na wacheza movie au auoni ?
@naybakari3490
@naybakari3490 5 жыл бұрын
Serikali inapoteza pesa nyingi sana kuwa saidia wasanii wacheza movie kuliko watu kama ao wenye vipaji vyakuingiza pesa Tanzania
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 5 жыл бұрын
@@naybakari3490 kweli kabisa sijui kwanini hii serikari haiangalii na vipaji vingine kama hivi
@naybakari3490
@naybakari3490 5 жыл бұрын
@sabina online yaani ndio tunapokesea apo watu wanashindwa kuwasaidia watu kama awa jmn
@josephkivuyo5712
@josephkivuyo5712 2 жыл бұрын
Huyu alifanya vizuri. Kabla ya Masud kipanya, Lakini kwakuwa haikuendelezwa angalia Masud kipanya anaenda mbali zaidi. Na huyu anaelezea vizuri sana, kitaalam hatua kwa hatua.
@stevebupamba5009
@stevebupamba5009 4 жыл бұрын
Tanzania ...bora itajengwa na wasomi, Hongera kwa kuthubutu na kufanikiwa# Nakupongeza sana brother...elimu yako imeonekana ktk uhalisia.Hiki ndicho kinachotakiwa.
@emmarouben4002
@emmarouben4002 5 жыл бұрын
Hongera sana kijana mwenzetu nimejifunza kujiamini na kuthubutu katika wazo na kushirikisha watu sahihi hadi kufikia hatua hiiii.
@bilalbisama3726
@bilalbisama3726 5 жыл бұрын
HONGERA SANA KAKA ........ALLAH BARIKI TANZANIA NCHI YANGU
@nashonpeter1881
@nashonpeter1881 5 жыл бұрын
pamoja saana classmate Mtatiro Boniface hongereni saana kwa hatua hii mungu awatangulie hakika taifa linawategemea saana
@funnyVids_001
@funnyVids_001 3 жыл бұрын
Tafadhal naomba unisaidie namba ya huyu kijana.. 🙏
@boniphacebelius1544
@boniphacebelius1544 4 жыл бұрын
bro nakubali sana hongera sana omba hili jambo lako lifike kwa uncle magu naamini utafanikiwa
@jamesnteleva7073
@jamesnteleva7073 5 жыл бұрын
Hongera sana mdau...!!! Kongole sana kwako, na wote waliotoa support kwa ubunifu wako. Natumai serikali haitapuuza kazi yako. Bravo...!!! 👏🏽👏🏽👏🏽
@aliyahya7885
@aliyahya7885 4 жыл бұрын
Mm nakupa zaid ya hongera
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 5 жыл бұрын
Nice... Haya weka electronic speed controller kisha build app ili uweke tablet hapo mbele badala ya hzo manual switches na hcho kidisplay, gearbox muhim na pia tafuta namna ya kufabricate body kwa material nyepesi na mwonekano mzuri utakaoendana na aerodynamics.... Otherwise good idea and good luck...
@st99ngeni35
@st99ngeni35 5 жыл бұрын
Mpe mawazo afanyeje. Nashauri tatuta namba yake mzungumze umpe mchango wako maana nakuona una mawazo mazuri
@yohanalaiser2667
@yohanalaiser2667 4 жыл бұрын
Ritchie Xanti nakuelewa sana upogo honest....huyu brother amejitahidi sana. Elon Musk alipewa mkopo wa mabilioni ya dola na serikali yake ya marekani kwaajili ya mradi wa magari ya umeme kama haya (TESLA). Mi nampa big up ! Anahitaji support.
@fredkayanda1151
@fredkayanda1151 5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Ndugu yangu Gab.naamini utafika mbali
@simonpadon6458
@simonpadon6458 4 жыл бұрын
Hongera sana bro!! Tatizo umezaliwa bongo!! Ungekuwa mbele ungeendelezwa
@fathermore9772
@fathermore9772 5 жыл бұрын
Millard ayo TV pia muwasaidie kufikisha ujumbe huu kwa mh.rais nyie uwezo wakupenyeza taarifa izi ikulu mnao tafadhalini sana fanye ivyo kwamanufaaa ya taifa hili mungu atawabariki
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 5 жыл бұрын
Naamini wa ikuru wanaona yote sema wanapotezea tu. Kama walisema walikuwa wanamuonaona Baraka Magufuri mtandaoni. Hawajui kuwa technologia hiyo yaweza punguza changamoto ya usafiri hususani vijijini. Wao wanabenz sisi tunaenda kwa miguu.
@maarifaonline499
@maarifaonline499 5 жыл бұрын
Una uwezo mzuri wa kujieleza kwa maneno na vitendo kaka. Mungu akusimamie, na niwaombe Viongozi wa taifa letu muupe kipaumbele huu uvumbuzi ili dunia ifaidike nao kupitia sisi Tanzania. Ni akili kubwa. Big up mvumbuzi, NIT na wote tulio support!
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Hongera sana kijana hiyo ndio Afrika
@stevenmkisi924
@stevenmkisi924 4 жыл бұрын
Umenibariki sana bro MUNGU akusimamie.... Mafanikio mema 🙏🙏🙏
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
TESLA IN TZ BRAVO BRO
@ggmaths9636
@ggmaths9636 4 жыл бұрын
Hiyo ni nzuri sana kwa ishu ya mazingira, hasa kwa vile haitumii mafuta ambayo hutoa moshi na kuchafua mazingira
@charleswaraka821
@charleswaraka821 2 жыл бұрын
Hongera sana kamanda
@Alkaburu
@Alkaburu 2 жыл бұрын
Kama masudi kacopy na kupest hivi. Hongera Sana
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 жыл бұрын
We jamaa upo vzl sana abal zako munaenda kiusomi sana
@kaismwambona9860
@kaismwambona9860 3 жыл бұрын
Wabunifu Tz wasiwe kama yatima.serikali iifuatiliye China iko mbaali kwa ajili ya hawa wenye vipaji bunifu,si kwa usanii tu ndo Ubunifu.kwakuwa hao wanashiriki siasa za uchaguzi.
@raphaellissu7117
@raphaellissu7117 5 жыл бұрын
Big up sana brother ww ni mtaalam umeiva kabsa
@mezani782
@mezani782 5 жыл бұрын
Idea nzuri sana. Inanikumbusha gari la kwanza la Mercedes Benz, Walianza hivi hivi..Look how far they are now
@babadnyota7404
@babadnyota7404 Жыл бұрын
Kipaji hicho is good man
@gwasaonlinetv8763
@gwasaonlinetv8763 5 жыл бұрын
Safi sana ubunifu huu na vijana KAMA hawa waendelezwe
@twahaabdalla2304
@twahaabdalla2304 5 жыл бұрын
Kazi nzur, hongera, mungeweka na namba y mawasiliano unaweza kutusaidia kama ss tunafikra za ubunifu ila tu nashindwa wapi PA kuanzia, kwa mfano wapi nitapata Mota inayotumia battery, vitu kama hivyo t ukipata mawasiliano wabunifu watakuja wengi, ahsante kutoka zanzibar
@andrewwoiso5559
@andrewwoiso5559 5 жыл бұрын
Big up saaana woote kwa kazi nzuri
@ahmadsimba2143
@ahmadsimba2143 5 жыл бұрын
Saf San! Allah Awatanguliee Aisee! bora Kujarib Kushndw kulik Kuach Kabixaa
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 5 жыл бұрын
Saafi sana..! Umeonesha utofauti sn ktk mfumo wa gear no engine nk hongera mno sema viongoz wenye madaraka hawana habar na hayo na wakiona utaitwa hoteli kubwa na kuzawadiwa jambo juice.
@raymrash
@raymrash 5 жыл бұрын
Dah Mungu Asante sana kwa vipaji hivi
@jaysally1379
@jaysally1379 5 жыл бұрын
co kipaji mkubwa, just better education from National Institute of Transport
@raymrash
@raymrash 5 жыл бұрын
@@jaysally1379 wako vizuri kiasi hiko!!???
@jaysally1379
@jaysally1379 5 жыл бұрын
Fanya ziara NIT siku moja uje ujione vijana wanavyo create vitu kw kutumia elimu pmj na ujuz wanaofundishiwa
@isakajunior4873
@isakajunior4873 5 жыл бұрын
@@jaysally1379 hivyo vyuo serikali inatakiwa iwekeze hela ya kutosha, mm nimesoma technical schools, nimegundua elimu ya kujifunza kwa vtendo ndo yenye faida kwa dunia ya sasa iv, ya makaratasi kuna wazee wameng'ang'ania ofisi na hawataki kuwapisha vjana ila ukiwa na ujuzi wako mkononi unaweza kujiajiri na life likasonga
@gadielpaulo8925
@gadielpaulo8925 5 жыл бұрын
safi sana pacha ushirikiano mzuri na ubunifu wa kutosha
@balyeemkalitz292
@balyeemkalitz292 4 жыл бұрын
SAFI Sana. Tanzania. Juu. Zaidi👏👏
@wilsonmichael1156
@wilsonmichael1156 2 жыл бұрын
Inajichaji yenyewe duuuh! Hii gari ianze kuuzwa sokoni
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 жыл бұрын
Masha Allah👌
@johnvenus7507
@johnvenus7507 4 жыл бұрын
Hajatengeneza gari ameunganisha vyuma vya wazungu
@yasiniselemani9318
@yasiniselemani9318 3 жыл бұрын
yani wewe jamaa ni kichwa xn mungu akutangulie tengeneza ikamilike vzr utuuzie sisi walala hoi wenzio itatufaa xn🙏🙏🙏
@kinyemkira5623
@kinyemkira5623 5 жыл бұрын
Tutafika mbali Serikali ikiwapa sapoti watu kama hawa. Hongera zako jamaa
@shabanikiwesi8588
@shabanikiwesi8588 2 жыл бұрын
Hongera sana
@zakamorash9210
@zakamorash9210 3 жыл бұрын
Hongera sanaaa
@iviejustified8109
@iviejustified8109 5 жыл бұрын
Huyu akiachiwa anaenda kwa Elon Musk wa tesla USA... Jombaa ikiwezekana move around mtafute Elon Musk pia
@salehemohamedi9865
@salehemohamedi9865 10 ай бұрын
Genereta katengeneza maana si unajua umeme wa Tz 😂😂😂
@gudilavenance3126
@gudilavenance3126 5 жыл бұрын
safi sana. tatizo sijaona support kutoka ya kutosha
@paulomarseli3794
@paulomarseli3794 5 жыл бұрын
Gudila Venance veep
@mamyrahima6913
@mamyrahima6913 5 жыл бұрын
Wow utafika mbaliii brooo😘
@jahshijaafari150
@jahshijaafari150 5 жыл бұрын
Nyie endeleeni kumsifu yule mlevi liquid wakati wako wenye maarifa hamtaki kuwatambua
@khamisrajabu6082
@khamisrajabu6082 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@zuberimkuba2324
@zuberimkuba2324 2 жыл бұрын
Hongera
@fredrickmiyeye9785
@fredrickmiyeye9785 3 жыл бұрын
we have ge geneous people
@chiefnorbertkangalu1403
@chiefnorbertkangalu1403 5 жыл бұрын
Daa we noma sana big up
@issaomari7277
@issaomari7277 4 жыл бұрын
Daa kweli weka solar hapo kazi imeisha tuwaamini wanaweza Sana
@valentinamussa4212
@valentinamussa4212 5 жыл бұрын
Hongera kijana
@kasicorneli7645
@kasicorneli7645 4 жыл бұрын
Hongera sana kijana kutoka Wilaya Mbulu
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 жыл бұрын
Unajua watu kama hawa wanapaswa kuungwa mkono wana nafasi kubwa ya kuiletea maendeleo nchi yetu... inasemekana asilimia 75% ya serikali ya China ni ma engineer na asilimia hizo hizo USA ni wanasheria ona kasi ya maendeleo ya China ni balaaa. Hebu serikali yetu ione jinsi ya kuwawekea uwezo hawa watu wa kuboresha maarifa na ujuzi wao
@socialtv9879
@socialtv9879 4 жыл бұрын
Yan hyu akiwezeshwa na serikali tunaweza kabs Kufungua kiwanda cha kutengeneza Magari kutok Tanzania
@emmanuelmmari9627
@emmanuelmmari9627 3 жыл бұрын
Sasa hiyo elimu iendelee na tuone hayo magari mtaani, sio kuishia gari moja tu basi
@godwin6325
@godwin6325 4 жыл бұрын
.....ni hatari km umeme wa 1000 natembea 90km wachina biashara yao imeisha na hasa wajapan na magari yao ya gharama
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 3 жыл бұрын
Kongore kijana kwa ubunifu naimani serekali inakuona na itakupa msaada wa hali na mali.
@fathermore9772
@fathermore9772 5 жыл бұрын
niwashauri kitu nyie vijana tafadhalini sana fanyeni kila njia kushirikiana na wahadhiri wenu mkamuone mh. rais magufuli naamini kwa moyo wa rais wetu naanavyo penda maebdeleo atawapa surport nataifa litanufaika ...
@jumamkanjima2670
@jumamkanjima2670 5 жыл бұрын
Safi sana kijana wangu mangu akuzidishie
@robinsonmaserele2370
@robinsonmaserele2370 3 жыл бұрын
Safi sana
@hassanmsangi4149
@hassanmsangi4149 2 жыл бұрын
nchi ina vipaji vingi hii , cha ajabu ni kuwa wizara maalumu haiwasaidii chochote hawa watu
@venanceurasa7437
@venanceurasa7437 2 жыл бұрын
Damu yangu nimekupata kumbe uko freshi namna hiyo
@newgmail8883
@newgmail8883 5 жыл бұрын
Viongozi wetu mnafeli wapii hiki kipaji mngekiendeleza lakini hapo mnamchukua pieree mnampeleka bungeni
@godfreyelias8172
@godfreyelias8172 4 жыл бұрын
Very intelligent 🧠 bravo
@matatasaid733
@matatasaid733 2 жыл бұрын
Iv hawa kwa nn wasishirikiane waunde kitu kizur zaid maaba sawa gar inatembea lakin ukiangalia unaweza sema ni gar la miaka 70 iliopita sasa tunajiahid lakin tuige body inafunika vizur hii si bajaj sasa
@LugomboMaKaNTa
@LugomboMaKaNTa 2 жыл бұрын
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@kennedygurusya752
@kennedygurusya752 5 жыл бұрын
Hongera sana bro.
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 5 жыл бұрын
Big up my bro
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 2 жыл бұрын
Hivi ndo vitu ambavyo wadau wa maendeleo na serikali wanapaswa kuvisapoti kwa gharama yoyote
@jacobgkachonta5877
@jacobgkachonta5877 4 жыл бұрын
Aise hawa watu tuwatumie kwan serikal inataka viwanda gani kama sio kuwatumia watu wenye potential kama hawa
@georgecharles3144
@georgecharles3144 5 жыл бұрын
Safi saana 🇹🇿tunaweza saana
@othumanmaulid7406
@othumanmaulid7406 5 жыл бұрын
Good boy. Utafika mbali
@damasmaleo4845
@damasmaleo4845 5 жыл бұрын
Weka na bei tutanunua haraka coz aihtaj mafuta inatufaa sana watu wa chni ya dial 5
@rizwanwallimohammed6115
@rizwanwallimohammed6115 5 жыл бұрын
Huyo kijana apate msaada wa kuendeleza ufundi wake kutoka kwa serikali na waTanzania. Lazima tuwasaidie mafundi wote ambao watatultea maendeleo nchini. Hingera sana
@davyadamsontz
@davyadamsontz 2 жыл бұрын
Hivi huyu dogo yuko wapi kwa sasa au kashaajiriwa Mamlaka za maji??
@fathermore9772
@fathermore9772 5 жыл бұрын
nakasirikaga sana pale ninapoona MTU mtanzania kabuni kitu alafu izo mmlaka zinasema hakijakidhi viwango ..alafu ukiangalia mifano ya viwango vyenyewe wanatolea kwenye vitu ambavyo vimeundwa na wazunguu yaani nayaonaga nimajitu majinga ulimwenguni hakina ..inashindikana nini kuwa na vyakwetu visivyo fanana viwango naivyo vyao mnavyo tolea mifano mpaka mnakwamisha watu nakuwakatisha tamaa ....nilini tutatengeza chetu natukaacha kutolea mifano ya viwango ivyo mnavyo tolea ....nani katuloga jamaniiiiiii...
@tarimetv6695
@tarimetv6695 5 жыл бұрын
father more usalama kwanza kaka
@jaymbeo5155
@jaymbeo5155 5 жыл бұрын
father more moses kulola
@franceslenis4512
@franceslenis4512 5 жыл бұрын
Nikitu kizuri sana lakini inabidi muonane na Mh.raisi hili jambo likuzwe
@gloryswai2553
@gloryswai2553 4 жыл бұрын
Safi sana,hii ndo nchi ya viwanda
@erastoselemani5443
@erastoselemani5443 5 жыл бұрын
Dah safi sana bro
@ismailmpenja4327
@ismailmpenja4327 5 жыл бұрын
Bless man upo vzur
@venanceurasa7437
@venanceurasa7437 2 жыл бұрын
Namuona fadhli hapao nyuma
@aizaamsuya9966
@aizaamsuya9966 5 жыл бұрын
hongera sana kaka
@salmaothman153
@salmaothman153 5 жыл бұрын
Haya ndo aliyoyasema makondo wanasapot welevi akina peare wakati kuna vijana hawana msaada na bungeni kaenda mmmh makonda aliongea ukweli wakatumkana
@alexchungu8823
@alexchungu8823 5 жыл бұрын
Muache Pierre, wakati wake umefika
@amirijuma2511
@amirijuma2511 2 жыл бұрын
Mi nimekubali kazi ila naomba mawasiliano yako
@gervaskije4368
@gervaskije4368 2 жыл бұрын
God bless
@keagleeagle821
@keagleeagle821 3 жыл бұрын
Pia uhitaji wa technologia za kilimo
@ugonjwanadawa5041
@ugonjwanadawa5041 2 жыл бұрын
Jee naweza kupata namba yake ya simu
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 жыл бұрын
Tanzania insvipaji vizr tu hivyo tunaomba serkali iwape Fulsa au chuo maalumu ya vipaji
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 28 МЛН
Ronaldinho Gaucho Goals That SHOCKED The World
7:01
iLance7i
Рет қаралды 8 МЛН
Mbunifu wa trekta inayotumia injini ya pikipiki
4:00
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Mapping the Trump Shooting
6:12
fern
Рет қаралды 14 МЛН
Largest Lion Pride Ever Blocking Road In Kruger Park
18:30
Africa Adventures
Рет қаралды 380 МЛН
MAGARI YANAVYOBADILISHWA YATUMIE GESI BADALA YA MAFUTA
11:23
Millard Ayo
Рет қаралды 52 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН