Brilliant...huyu angepewa support angeendeleza fani yake na ingesaidia kukuza uchumi wetu wa viwanda.Dogo yuko vizuri mno
@yohanalaiser26674 жыл бұрын
Ukiangalia impact ya kiuchumi na kimazingira ambayo hii project itakua nayo, huyu brother anahitaji pongezi na support ya hali ya juu. Asante AYO TV kwa kuchimbua madini
@gabrielaniseti15374 жыл бұрын
AFRICA NA TZ INAWEZA KABISA KUJITEGEMEA, SERA YA MWL.NYERERE ELIMU YA KUJITEGEMEA, EDUCATION FOR SELF RELIANCE. HONGERA SANA KIJANA
@ipyanamtafya5567 Жыл бұрын
Safi sana kaka Ombi letu serikali wawezeshe wazalendo wabunifu Pia nakupongeza mwalimu kwa kuheshimu mawazo ya kijana ambayo ni lulu kwa nchi yetu.
@godwin63254 жыл бұрын
Weka bei boss, hii huhitaji kusaidiwa mtaji au kusoma zaidi hapo hapo umetengeneza Kitu kimoja amazing... Weka bei mtu anaetaka atalipa ndiyo gari itengenezwe
@swahiliupdates30515 жыл бұрын
Safi Sana amejieleza vizuri Sana Rfu kila kitu ameweka wazi . AMAZING .....
@oswardwagaya93335 жыл бұрын
hahaha wakati bunge linatoa support kwa piere linasahau vitu vya msing hahaha love u tz
@majosamalundi40165 жыл бұрын
Piere niwakatiwake usihofu
@ahmadsimba21435 жыл бұрын
kwelii MWANANG Osward wapuuz xn yan!
@devidpanja1155 жыл бұрын
piere ni muhimu sana kwa nafas yake
@SafeHaven_TV5 жыл бұрын
Wabunge wengi si wasanii tu,wewe hujui bro??
@mymussept36624 жыл бұрын
Eee bwana
@fathermore97725 жыл бұрын
ivi kuliko serikali kuendelea kuruhusu pikipiki kutoka China kuingia nchini kwanini wasiwape hawa vijana mtaji na vifaaa watanzania tukaendesha vyakwetu ...ingeokoa sana pesa ,kuepusha uchafuzi wa mazingira na pia ingeokoa maisha ya watanzania wengi dhidi yaa ajali ...
@stephenwairegi49694 жыл бұрын
Hongera kaka .mimi mkenya nakutakia mafanikio
@doryjeremy98495 жыл бұрын
Ongera sana my brother kaz nzuriiii sanaaaa
@yahayatemu18584 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu wako, kwakua nzuri garihiyo kama hueki mafuta na baadae inawezaikawa inajichaji yenyewe, ukovizuri. Hongera kijana.
@ibrahimkambi92885 жыл бұрын
Big up your so great. Halafu ndugu zangu hicho chuo ni cha serikali so fungu lilotumika hadi hapo ilipofika hiyo gari limetoka serikalini ni bora kupongeza WIZARA na Wakuu wa chuo husika kwa kutambua uwezo wa kijana mwenzetu na kumwezesha kuonesha uwezo wake wa kufanya jambo kubwa kama hilo kwa vitendo. BIG UP
@belovedson75015 жыл бұрын
Sio kweli raia hua wanatoa pesa zao za mfukoni bhana! Kama umefika chuo utakua unaelewa kama wamepewa na serikali au ni pesa zao binafsi zimetumika!
@qualiamaxwell63054 жыл бұрын
congrats broooo much support ...from ARUSHA TECHNICAL COLLAGE....
@naybakari34905 жыл бұрын
Tanzania ni nchi pekee inayovipaji ila sasa serikali yetu aijali inawekeza kwa wasanii tu 😆😆😆 big up sana bro
@rahmakimario46405 жыл бұрын
serekali haihusiki
@naybakari34905 жыл бұрын
Sasa kama aiusiku iyo serikali mbona inawasaidi wasanii waimbaji na wacheza movie au auoni ?
@naybakari34905 жыл бұрын
Serikali inapoteza pesa nyingi sana kuwa saidia wasanii wacheza movie kuliko watu kama ao wenye vipaji vyakuingiza pesa Tanzania
@sabinaonline65755 жыл бұрын
@@naybakari3490 kweli kabisa sijui kwanini hii serikari haiangalii na vipaji vingine kama hivi
@naybakari34905 жыл бұрын
@sabina online yaani ndio tunapokesea apo watu wanashindwa kuwasaidia watu kama awa jmn
@josephkivuyo57122 жыл бұрын
Huyu alifanya vizuri. Kabla ya Masud kipanya, Lakini kwakuwa haikuendelezwa angalia Masud kipanya anaenda mbali zaidi. Na huyu anaelezea vizuri sana, kitaalam hatua kwa hatua.
@stevebupamba50094 жыл бұрын
Tanzania ...bora itajengwa na wasomi, Hongera kwa kuthubutu na kufanikiwa# Nakupongeza sana brother...elimu yako imeonekana ktk uhalisia.Hiki ndicho kinachotakiwa.
@emmarouben40025 жыл бұрын
Hongera sana kijana mwenzetu nimejifunza kujiamini na kuthubutu katika wazo na kushirikisha watu sahihi hadi kufikia hatua hiiii.
@bilalbisama37265 жыл бұрын
HONGERA SANA KAKA ........ALLAH BARIKI TANZANIA NCHI YANGU
@nashonpeter18815 жыл бұрын
pamoja saana classmate Mtatiro Boniface hongereni saana kwa hatua hii mungu awatangulie hakika taifa linawategemea saana
@funnyVids_0013 жыл бұрын
Tafadhal naomba unisaidie namba ya huyu kijana.. 🙏
@boniphacebelius15444 жыл бұрын
bro nakubali sana hongera sana omba hili jambo lako lifike kwa uncle magu naamini utafanikiwa
@jamesnteleva70735 жыл бұрын
Hongera sana mdau...!!! Kongole sana kwako, na wote waliotoa support kwa ubunifu wako. Natumai serikali haitapuuza kazi yako. Bravo...!!! 👏🏽👏🏽👏🏽
@aliyahya78854 жыл бұрын
Mm nakupa zaid ya hongera
@ritchiexanti95875 жыл бұрын
Nice... Haya weka electronic speed controller kisha build app ili uweke tablet hapo mbele badala ya hzo manual switches na hcho kidisplay, gearbox muhim na pia tafuta namna ya kufabricate body kwa material nyepesi na mwonekano mzuri utakaoendana na aerodynamics.... Otherwise good idea and good luck...
@st99ngeni355 жыл бұрын
Mpe mawazo afanyeje. Nashauri tatuta namba yake mzungumze umpe mchango wako maana nakuona una mawazo mazuri
@yohanalaiser26674 жыл бұрын
Ritchie Xanti nakuelewa sana upogo honest....huyu brother amejitahidi sana. Elon Musk alipewa mkopo wa mabilioni ya dola na serikali yake ya marekani kwaajili ya mradi wa magari ya umeme kama haya (TESLA). Mi nampa big up ! Anahitaji support.
@fredkayanda11515 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Ndugu yangu Gab.naamini utafika mbali
@simonpadon64584 жыл бұрын
Hongera sana bro!! Tatizo umezaliwa bongo!! Ungekuwa mbele ungeendelezwa
@fathermore97725 жыл бұрын
Millard ayo TV pia muwasaidie kufikisha ujumbe huu kwa mh.rais nyie uwezo wakupenyeza taarifa izi ikulu mnao tafadhalini sana fanye ivyo kwamanufaaa ya taifa hili mungu atawabariki
@alanusrespicius17965 жыл бұрын
Naamini wa ikuru wanaona yote sema wanapotezea tu. Kama walisema walikuwa wanamuonaona Baraka Magufuri mtandaoni. Hawajui kuwa technologia hiyo yaweza punguza changamoto ya usafiri hususani vijijini. Wao wanabenz sisi tunaenda kwa miguu.
@maarifaonline4995 жыл бұрын
Una uwezo mzuri wa kujieleza kwa maneno na vitendo kaka. Mungu akusimamie, na niwaombe Viongozi wa taifa letu muupe kipaumbele huu uvumbuzi ili dunia ifaidike nao kupitia sisi Tanzania. Ni akili kubwa. Big up mvumbuzi, NIT na wote tulio support!
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Hongera sana kijana hiyo ndio Afrika
@stevenmkisi9244 жыл бұрын
Umenibariki sana bro MUNGU akusimamie.... Mafanikio mema 🙏🙏🙏
@adkajisi45362 жыл бұрын
TESLA IN TZ BRAVO BRO
@ggmaths96364 жыл бұрын
Hiyo ni nzuri sana kwa ishu ya mazingira, hasa kwa vile haitumii mafuta ambayo hutoa moshi na kuchafua mazingira
@charleswaraka8212 жыл бұрын
Hongera sana kamanda
@Alkaburu2 жыл бұрын
Kama masudi kacopy na kupest hivi. Hongera Sana
@TALLUBOY5 жыл бұрын
We jamaa upo vzl sana abal zako munaenda kiusomi sana
@kaismwambona98603 жыл бұрын
Wabunifu Tz wasiwe kama yatima.serikali iifuatiliye China iko mbaali kwa ajili ya hawa wenye vipaji bunifu,si kwa usanii tu ndo Ubunifu.kwakuwa hao wanashiriki siasa za uchaguzi.
@raphaellissu71175 жыл бұрын
Big up sana brother ww ni mtaalam umeiva kabsa
@mezani7825 жыл бұрын
Idea nzuri sana. Inanikumbusha gari la kwanza la Mercedes Benz, Walianza hivi hivi..Look how far they are now
@babadnyota7404 Жыл бұрын
Kipaji hicho is good man
@gwasaonlinetv87635 жыл бұрын
Safi sana ubunifu huu na vijana KAMA hawa waendelezwe
@twahaabdalla23045 жыл бұрын
Kazi nzur, hongera, mungeweka na namba y mawasiliano unaweza kutusaidia kama ss tunafikra za ubunifu ila tu nashindwa wapi PA kuanzia, kwa mfano wapi nitapata Mota inayotumia battery, vitu kama hivyo t ukipata mawasiliano wabunifu watakuja wengi, ahsante kutoka zanzibar
@andrewwoiso55595 жыл бұрын
Big up saaana woote kwa kazi nzuri
@ahmadsimba21435 жыл бұрын
Saf San! Allah Awatanguliee Aisee! bora Kujarib Kushndw kulik Kuach Kabixaa
@geographyteacher.29615 жыл бұрын
Saafi sana..! Umeonesha utofauti sn ktk mfumo wa gear no engine nk hongera mno sema viongoz wenye madaraka hawana habar na hayo na wakiona utaitwa hoteli kubwa na kuzawadiwa jambo juice.
@raymrash5 жыл бұрын
Dah Mungu Asante sana kwa vipaji hivi
@jaysally13795 жыл бұрын
co kipaji mkubwa, just better education from National Institute of Transport
@raymrash5 жыл бұрын
@@jaysally1379 wako vizuri kiasi hiko!!???
@jaysally13795 жыл бұрын
Fanya ziara NIT siku moja uje ujione vijana wanavyo create vitu kw kutumia elimu pmj na ujuz wanaofundishiwa
@isakajunior48735 жыл бұрын
@@jaysally1379 hivyo vyuo serikali inatakiwa iwekeze hela ya kutosha, mm nimesoma technical schools, nimegundua elimu ya kujifunza kwa vtendo ndo yenye faida kwa dunia ya sasa iv, ya makaratasi kuna wazee wameng'ang'ania ofisi na hawataki kuwapisha vjana ila ukiwa na ujuzi wako mkononi unaweza kujiajiri na life likasonga
@gadielpaulo89255 жыл бұрын
safi sana pacha ushirikiano mzuri na ubunifu wa kutosha
@balyeemkalitz2924 жыл бұрын
SAFI Sana. Tanzania. Juu. Zaidi👏👏
@wilsonmichael11562 жыл бұрын
Inajichaji yenyewe duuuh! Hii gari ianze kuuzwa sokoni
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
Masha Allah👌
@johnvenus75074 жыл бұрын
Hajatengeneza gari ameunganisha vyuma vya wazungu
@yasiniselemani93183 жыл бұрын
yani wewe jamaa ni kichwa xn mungu akutangulie tengeneza ikamilike vzr utuuzie sisi walala hoi wenzio itatufaa xn🙏🙏🙏
@kinyemkira56235 жыл бұрын
Tutafika mbali Serikali ikiwapa sapoti watu kama hawa. Hongera zako jamaa
@shabanikiwesi85882 жыл бұрын
Hongera sana
@zakamorash92103 жыл бұрын
Hongera sanaaa
@iviejustified81095 жыл бұрын
Huyu akiachiwa anaenda kwa Elon Musk wa tesla USA... Jombaa ikiwezekana move around mtafute Elon Musk pia
@salehemohamedi986510 ай бұрын
Genereta katengeneza maana si unajua umeme wa Tz 😂😂😂
@gudilavenance31265 жыл бұрын
safi sana. tatizo sijaona support kutoka ya kutosha
@paulomarseli37945 жыл бұрын
Gudila Venance veep
@mamyrahima69135 жыл бұрын
Wow utafika mbaliii brooo😘
@jahshijaafari1505 жыл бұрын
Nyie endeleeni kumsifu yule mlevi liquid wakati wako wenye maarifa hamtaki kuwatambua
@khamisrajabu60824 жыл бұрын
Kweli kabisa
@zuberimkuba23242 жыл бұрын
Hongera
@fredrickmiyeye97853 жыл бұрын
we have ge geneous people
@chiefnorbertkangalu14035 жыл бұрын
Daa we noma sana big up
@issaomari72774 жыл бұрын
Daa kweli weka solar hapo kazi imeisha tuwaamini wanaweza Sana
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Hongera kijana
@kasicorneli76454 жыл бұрын
Hongera sana kijana kutoka Wilaya Mbulu
@aginiweyessayakyando98554 жыл бұрын
Unajua watu kama hawa wanapaswa kuungwa mkono wana nafasi kubwa ya kuiletea maendeleo nchi yetu... inasemekana asilimia 75% ya serikali ya China ni ma engineer na asilimia hizo hizo USA ni wanasheria ona kasi ya maendeleo ya China ni balaaa. Hebu serikali yetu ione jinsi ya kuwawekea uwezo hawa watu wa kuboresha maarifa na ujuzi wao
@socialtv98794 жыл бұрын
Yan hyu akiwezeshwa na serikali tunaweza kabs Kufungua kiwanda cha kutengeneza Magari kutok Tanzania
@emmanuelmmari96273 жыл бұрын
Sasa hiyo elimu iendelee na tuone hayo magari mtaani, sio kuishia gari moja tu basi
@godwin63254 жыл бұрын
.....ni hatari km umeme wa 1000 natembea 90km wachina biashara yao imeisha na hasa wajapan na magari yao ya gharama
@shabanimbenu21633 жыл бұрын
Kongore kijana kwa ubunifu naimani serekali inakuona na itakupa msaada wa hali na mali.
@fathermore97725 жыл бұрын
niwashauri kitu nyie vijana tafadhalini sana fanyeni kila njia kushirikiana na wahadhiri wenu mkamuone mh. rais magufuli naamini kwa moyo wa rais wetu naanavyo penda maebdeleo atawapa surport nataifa litanufaika ...
@jumamkanjima26705 жыл бұрын
Safi sana kijana wangu mangu akuzidishie
@robinsonmaserele23703 жыл бұрын
Safi sana
@hassanmsangi41492 жыл бұрын
nchi ina vipaji vingi hii , cha ajabu ni kuwa wizara maalumu haiwasaidii chochote hawa watu
@venanceurasa74372 жыл бұрын
Damu yangu nimekupata kumbe uko freshi namna hiyo
@newgmail88835 жыл бұрын
Viongozi wetu mnafeli wapii hiki kipaji mngekiendeleza lakini hapo mnamchukua pieree mnampeleka bungeni
@godfreyelias81724 жыл бұрын
Very intelligent 🧠 bravo
@matatasaid7332 жыл бұрын
Iv hawa kwa nn wasishirikiane waunde kitu kizur zaid maaba sawa gar inatembea lakin ukiangalia unaweza sema ni gar la miaka 70 iliopita sasa tunajiahid lakin tuige body inafunika vizur hii si bajaj sasa
@LugomboMaKaNTa2 жыл бұрын
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@kennedygurusya7525 жыл бұрын
Hongera sana bro.
@BONGOINMOTION5 жыл бұрын
Big up my bro
@finiasfidelis14752 жыл бұрын
Hivi ndo vitu ambavyo wadau wa maendeleo na serikali wanapaswa kuvisapoti kwa gharama yoyote
@jacobgkachonta58774 жыл бұрын
Aise hawa watu tuwatumie kwan serikal inataka viwanda gani kama sio kuwatumia watu wenye potential kama hawa
@georgecharles31445 жыл бұрын
Safi saana 🇹🇿tunaweza saana
@othumanmaulid74065 жыл бұрын
Good boy. Utafika mbali
@damasmaleo48455 жыл бұрын
Weka na bei tutanunua haraka coz aihtaj mafuta inatufaa sana watu wa chni ya dial 5
@rizwanwallimohammed61155 жыл бұрын
Huyo kijana apate msaada wa kuendeleza ufundi wake kutoka kwa serikali na waTanzania. Lazima tuwasaidie mafundi wote ambao watatultea maendeleo nchini. Hingera sana
@davyadamsontz2 жыл бұрын
Hivi huyu dogo yuko wapi kwa sasa au kashaajiriwa Mamlaka za maji??
@fathermore97725 жыл бұрын
nakasirikaga sana pale ninapoona MTU mtanzania kabuni kitu alafu izo mmlaka zinasema hakijakidhi viwango ..alafu ukiangalia mifano ya viwango vyenyewe wanatolea kwenye vitu ambavyo vimeundwa na wazunguu yaani nayaonaga nimajitu majinga ulimwenguni hakina ..inashindikana nini kuwa na vyakwetu visivyo fanana viwango naivyo vyao mnavyo tolea mifano mpaka mnakwamisha watu nakuwakatisha tamaa ....nilini tutatengeza chetu natukaacha kutolea mifano ya viwango ivyo mnavyo tolea ....nani katuloga jamaniiiiiii...
@tarimetv66955 жыл бұрын
father more usalama kwanza kaka
@jaymbeo51555 жыл бұрын
father more moses kulola
@franceslenis45125 жыл бұрын
Nikitu kizuri sana lakini inabidi muonane na Mh.raisi hili jambo likuzwe
@gloryswai25534 жыл бұрын
Safi sana,hii ndo nchi ya viwanda
@erastoselemani54435 жыл бұрын
Dah safi sana bro
@ismailmpenja43275 жыл бұрын
Bless man upo vzur
@venanceurasa74372 жыл бұрын
Namuona fadhli hapao nyuma
@aizaamsuya99665 жыл бұрын
hongera sana kaka
@salmaothman1535 жыл бұрын
Haya ndo aliyoyasema makondo wanasapot welevi akina peare wakati kuna vijana hawana msaada na bungeni kaenda mmmh makonda aliongea ukweli wakatumkana
@alexchungu88235 жыл бұрын
Muache Pierre, wakati wake umefika
@amirijuma25112 жыл бұрын
Mi nimekubali kazi ila naomba mawasiliano yako
@gervaskije43682 жыл бұрын
God bless
@keagleeagle8213 жыл бұрын
Pia uhitaji wa technologia za kilimo
@ugonjwanadawa50412 жыл бұрын
Jee naweza kupata namba yake ya simu
@sophiamfikwa73403 жыл бұрын
Tanzania insvipaji vizr tu hivyo tunaomba serkali iwape Fulsa au chuo maalumu ya vipaji