Twende kazi 🔥🔥🔥 Mzee Fumbua Macho, Submarine, Agayaaa bakwigwa duhu bawilage namhala 💪💪💪, hatuna viongozi wa katika serikali Tanzania,
@estambuya390118 күн бұрын
Asante baba mchungaji.
@desiderihugo570418 күн бұрын
Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.
@edsonnelson446418 күн бұрын
Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?
@mariamfaicalhassan289018 күн бұрын
@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea
@Vickypaulo-kr8kj18 күн бұрын
Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕
@FrankMwakatundu-cu6bd18 күн бұрын
Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?
@healingclinic69818 күн бұрын
@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli
@Master-ww7ur8 күн бұрын
Message sent and delivered, wajitathmini
@user-rc1dp6ux3k14 күн бұрын
Watanzania tuachane na vyema vya siiasa tuungane kuonyesha hisia zetu maumivu makubwa maisha magumu
@kirimbakisalum195018 күн бұрын
Rev. I understand your motion.
@fauzseif734414 күн бұрын
Wewe sio askofu wewe ni mbaya sana nanyie mnao jifanya maaskofu ndo mlio wamaliza watu rwanda
@AbdilahiMriri16 күн бұрын
Unakosea unaposema wa Tanzania ni waoga badala ya kuhijumlisha naww. Sema Mimi ndo muoga namba moja.
@salumuledi714316 күн бұрын
Mwenyezi mungu akulani kwa kuvuruga amani acha uaskofu uende kweye siasa acha kutupotosha sisi sio wajinga kamawewe
@martinkisha630714 күн бұрын
Upo mtumishi
@user-rc1dp6ux3k14 күн бұрын
Viongozi wa nchii hii hawataki wenye akili
@AlfredMwakabana16 күн бұрын
Sisi waafrika watawala wanapenda kutumia nguvu badala ya hekima namba moja hekima
@user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын
Mbona wanaosema ni wakristo huo ni udini Tu umewajaa tuambieni bas huo ubaya wa mama hamsemi mama Mbaa mama upumbavu huo
@user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын
Huyu mchungaji wa Mbuzi labda hakuna kitu hapo ni ziro
@monicamwita786516 күн бұрын
Hakuna udini wowote hapo
@victorrobert779717 күн бұрын
Tungekuwa na watumishi 10 kama huyu hapa Tz tungefika mbali
@MbarakaHamza-op9dx17 күн бұрын
Kwani miaka ya 90 ww ulikuwa wapi?na ulifanya nn?acha porojo.
@maureenlilykiwia151516 күн бұрын
Wewe nawe bwana kha
@kashiririrkaasongwisye948718 күн бұрын
Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!
@user-io6yj9fs2h18 күн бұрын
Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana
@gilbertmathias759418 күн бұрын
Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.
@user-jc8el6je5e18 күн бұрын
Utakuwa ccm
@aaronswai309218 күн бұрын
Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba
@komangohill595716 күн бұрын
Alitoroka kama roketi akikwepa kifo. Hoja ya kifo naye ni muoga
@user-eo4bl3do8k16 күн бұрын
Ndio maana hii nchi haiendelei kwa watu kama Hawa INZI,wa kijani karibu sisi kizazi cha sasa tutaingia barabarani kama KENYA
@user-gr9wc7bc2m11 күн бұрын
Mbona unamtukana amefanya nini
@knight675718 күн бұрын
😂
@ezrakaturitsaofficialtz787318 күн бұрын
Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja
@maureenlilykiwia151516 күн бұрын
Hivi vya kusifiwa havijaanza kwake vimeanza kwa aliyepita na hao wanasifia ni wanafiki duniani hakuna. Kila kitu utasikia mama amefanya mama ametupa mama hili mama lile sasa hapo Mungu huwa hakai kimya lazima aingilie kati kwa hili
Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being
@victorkisenha593318 күн бұрын
Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,
@deogratiusmaila67618 күн бұрын
Lete vitu tiririka Mtumishi
@mtumewawengi_onlineTV17 күн бұрын
Ha ha ha atiririke kabisa
@HamzaHeri18 күн бұрын
MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA
@PaulSanga-m3p17 күн бұрын
😮ukiuwa kwa upanga naweutauawa kwa upanga
@HenryKisusi18 күн бұрын
Haha hahahaha tulia 😂😂 Bangaladesh, nyosha miguu, kaza mkanda, kunywa uji. Agayaaa bakwigwa duhu! Watu wanatekwa ovyo ovyo tu, tumepuzwa na mama Abul wa Kizimkazi Zanzibari anatukanyaga tumechoka.
@gowekogoweko580318 күн бұрын
😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢
@abdalahgunda131918 күн бұрын
Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo
@allyfutto876318 күн бұрын
Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.
@edsonkahesi860316 күн бұрын
Tanzania ujinga umepandikizwa na ccm, kwasababu inatengeneza mazingira ya kutukuzwa ili kila mtu awe chini yao yani watu wawe wanajikosha kwao tu kwa kila jambo hali inayotengeneza hongo umaskini na kutokujiamini. Hiki chama kimeingilia karibia taasisi zote hata zile nyeti..na zenyewe ziko kimya hazijitetei. Akitokea wa kujisimamia na kufuata misingi ya sheria na taratibu za nchi, huyo mtu anaonekana mbaya kwa7bu anakuwa anaharibu maslahi ya wanaojiita wenye nchi. Kazi kununua magari & pikipiki za kuhonga vijana.
@OdiloMagungu-uf5is18 күн бұрын
Ccm ni watu wabaya miaka yote
@richardhosea882718 күн бұрын
Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote
@victorrobert779717 күн бұрын
Hata kama alikimbia ana haki ya kusema maovu ya nchi hii ,hata wewe ungekubali kuuwawa ,alifanya uamuzi mzuri kuamia USA.
@monicamwita786516 күн бұрын
Abaķ mmàlize kama wengine mliowaua
@shabanikimpinga676918 күн бұрын
Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta
@leahmgunda415418 күн бұрын
Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.
@albertinamichael612318 күн бұрын
Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.
@sylvestercameo626318 күн бұрын
Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!
@StevenGendo-vx9jo18 күн бұрын
Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa
@muharamijuma156918 күн бұрын
ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225
@petromgaya174618 күн бұрын
Iyo 2225 nadhani mtamchagua 🚮🚮🚮 chawa wa mama 😝
@MyahudiMgalilaya-vh6ss18 күн бұрын
Hata kuandika hujui unakazana na mama tena! Kilema wa hakili
@ShuwarMdudu18 күн бұрын
We msenge hanisiiii
@StevenGendo-vx9jo18 күн бұрын
Anamfila mama ako na baba ako
@monicamwita786516 күн бұрын
Bamako na wewe. Toa hoja
@saidisaidi450218 күн бұрын
Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee
@MwanakomboNassor-bw3by18 күн бұрын
Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho