Рет қаралды 290,916
Rais Magufuli amesema serikali italipa madai ya watumishi baada ya kuyafanyia uhakiki huku akitaja majina ya watumishi watatu ambao waliwasilisha madai ya uongo. Amefanya tukio hilo wakati akihutubia wakati wa Bukoba katika uzinduzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba uliofanyika leo Nov. 6, 2017