Watanzania mulikuwa na kiongozi mwema.much love from Malawi 🇲🇼
@awadhgugu3174 ай бұрын
Wewe hujielewi
@etemesiedward15084 ай бұрын
pombe best
@CharlesWanyeche-er6rw4 ай бұрын
Kweli kabisa tena mtetezi wa wanyonge
@zitojosempakama89182 ай бұрын
Tatizo huko Tanzânia kuna wa2 waovyo sana. Kama huyo jamaa apa
@HopesonGamadzi2 ай бұрын
@@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.
@osircharles93714 ай бұрын
Mungu amweke mahali pema peponi,Kwa kazi aliefanyia wanainchi mungu mukumbuke
He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.
@etemesiedward15084 ай бұрын
Best president in Africa
@RachelLaizer-n2pАй бұрын
Rip legendary tunakukumbuka sana sana usingelala tungekuwa ulaya ulaya 😢 wakuregenzi walikomaga mana na vilikuwa viizi vya kufikia
@tumainichengo1477Ай бұрын
Tanzania ilipoteza RAIS mchapa kazi,your the one and only sir.wewew ndio mr.president wa kweli
@PauloLeonard-ol5oo4 ай бұрын
Daaaaaaaah.spati picha mpaka Leo magufuli angekuwepo cdhani kama kuna inch africa ingetufikia kiuchumi lakin leo hii,😂.
@PriscaMohamed-l7zАй бұрын
Tunaongozwa kama vipofu tupotupo tu kama yatima
@tumainichengo1477Ай бұрын
mungu akulaze mahali pema palipo na wewe RAIS POMBE
Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa
@ubunifulifestyle349210 ай бұрын
Huyu jamaà waliomchukia walimkosea sana na kulikosea taifa hili, aliju😢kubalanci mambo
@JaziraMustafa-g9p2 ай бұрын
Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.
@ubunifulifestyle34922 ай бұрын
@@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha
@ibrahimmungure74934 жыл бұрын
Mh.magufuli Miaka Kitano mbele haitoshi bado una kazi kubwa kuinyoosha Tanzania .
@TysoniTarimo2 ай бұрын
Mwenyenzi mungu amrehemu na amlaze kulingana na matendo yake
@victorgerryson26954 ай бұрын
MPAKA SAS TZ IMEPATA MARAISI WAWILI TU, HAYATI MWALIMU NYERERE NA JPM
@NakoyowaDicksonАй бұрын
Moyo unaniuma sana Magufuli
@MaikoManeno-v9r5 ай бұрын
Tunakukumbuka sana rais wetu pendwa ulikua mchapakazi makini sana 😢😢
@willibroadwilliam679824 күн бұрын
Hivi uwa najiuliza Tanzania ipo siku tutapata Rais Kama Magufuri.
@MuendoJusto5 ай бұрын
Best President in Africa,,, continue resting in peace
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Chuma jpm I'm still watching 2024..R I P😢
@CharlesWanyeche-er6rw4 ай бұрын
R.I.P Dady nakukumbuka sana utumishi mwema wenye kujali maslahi ya taifa zima.
@TysoniTarimo2 ай бұрын
Mwenyenzi mungu aturehemu zone na atuepushie na adhabu ya kabuki a moto wa jeanamu
@AnordJoseph-e2e2 ай бұрын
Eti raisi samia nae Raisi mhhh ata ningekuwa mm mbona naweza, Raisi alikuwa huyu Toka Tanzania ianzishwe
@willibroadwilliam679824 күн бұрын
Jembe lilifaa sana kwenye urais
@hastings4565 ай бұрын
A true leader who loved to deliver for his people
@MobileDawatАй бұрын
Magufuli,Traore nyinyi ndiyo wa Africa wenyewe!wengine wezi tu!!!
@godwinshoo503225 күн бұрын
Kifo cha magufuli kinamuuma kila mpenda maendeleo!Ni wachache sana tena wasio wakamilifu ndiyo wasioumia!
@charlesboniphace224923 күн бұрын
Nchi za nje walikuwa wanamtaka sana uyu kiongozi akawe kiongozi wao wabongo hawakmtaka alipokuwa saivi wanajuta
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
Rais mwenyewe huwa anaongea kingereza wakati mwengine kidogo Sana siku izi kapunguza lakini huwa anaongea.
@DansonMasai22 күн бұрын
Pumzika Kwa amani anko magufuli
@tumainikomba90082 күн бұрын
Kwakwel hatujui iyo injiniaring tuimanyi lepi😂😂
@paulmatonange67184 жыл бұрын
Fukuza mukulugenzi kwanza hajui anachofanya hana cha maana
@SELEMANITEKETEKE27 күн бұрын
Magufuri
@benardmartine2444 жыл бұрын
Hene bangosha ise yaniye Hiiiiiii!
@jayjay43134 жыл бұрын
Duniani kwenyewe wanamtambua kwa jina la "BULL~DOZER" alafu nyie bado mnajifanya anko wenu. Atafunga mutu hapa. FANYENI KAZI/ NO JANJA NYANI 😁 ALA!
@shizoshop24694 ай бұрын
Magu alichifeli ni kutaka lissu afe tu ila mambo mengine alikuwa shwali sana
@happydavid4346Ай бұрын
Pumzika kwa Amanii babaangu,
@IadoBoy15 күн бұрын
Jaman.tumuombee.kwa.mngu
@scorasticaclement63082 ай бұрын
Huyu Mwamba Sio Poa Duuh 😂😂😂 Anatukana Watu Na Familia Zao R.I.P JPM
@salimshaban71204 жыл бұрын
Ni shida kweli
@ROBERTMAXIMILIAN5 ай бұрын
Utumishi wa Umma ni zaidi ya Utumwa
@IshipalemyPasko4 ай бұрын
Nenda dunia nzima ndo ilivyo ukiona mtu kaajiliwa na serikali harafu hataki ahoijiwe jua haitumikii serikali au wananchi
@zakiazakia45524 жыл бұрын
Mfunge kifungo cha maisha pumbavu
@salimkhamis36384 жыл бұрын
Mwandishi ni "NITAKIFUNGA" au "NITAKUFUNGA". Kuweni Makini katika Uandishi