“Nimeisikia taarifa ya Waziri mkuu, lakini nimeamua yafuatayo. Hao waliokuletea maombi yao achana nayo, na wanaoendelea kuja wasije na nimefunga huo mjadala, korosho tunanunua wenyewe."
Пікірлер: 3
@SilvinAkoonay2 ай бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi huyu mwamba
@hamidudigogo58637 ай бұрын
Mimi cpendi vyama vya siasa na cjihusishi ila huyu jamaa kuna watu walinyooka sana