"HUYU NDIE MWANACHUONI ALIEABAKI EAST AFRIKA" SHARIF AHMAD ALWIY AKIMSIFU MWENYE BABA - KITUMBINI

  Рет қаралды 25,817

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

Күн бұрын

Пікірлер: 99
@adennurahuka402
@adennurahuka402 6 ай бұрын
Mwanachuoni wa kweli hakubali sifaa,,,wallahi ni wanchuoni ni wachaji mungu si makhurafi wa kupiga dufu,,,,kidevu kinakaa embe hata hakuna ndevu,,,Allahu mustaan
@adennurahuka402
@adennurahuka402 6 ай бұрын
Ata hawana adabu ya kumuomba Allah du'a,,,,mwone aliyevaa kizbao cha blue du'a ikisomwa,,,, subhanaAllah
@sophiaomar7875
@sophiaomar7875 6 ай бұрын
Mwenye baba si mwanachuoni anapenda sifa sana huyu mzee
@adennurahuka402
@adennurahuka402 6 ай бұрын
Nynyi mwajuwa maana ya kuwa mwanachuoni ama mnasema,,,masufi ni kweli hamna akili timamu,,maneno ya imam shafii ,,,,ukabila na kuabudu makaburi,,,ata juzzu amma hajahufadhi,,,mpiga dufu na dhikiri ya kukohoa ,,,Allahu musta'an,,twaghut
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 9 ай бұрын
Wew ushaambiwa huyu ni mwana Chuini.eti mtu anahoji!!! Eti mwanachuoni hana ndevu 😢 hii dunia sijui inaelekea wapi sababu kuna watu majahili kweli kweli
@Hussein_Mustafa_Parmar
@Hussein_Mustafa_Parmar 8 ай бұрын
Huyu alieongea mwanzo ni Syed Ahmed Khatib wa Mskiti wa Ijumaah, Kitumbini, Dar es salaam, Tanzania
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 3 ай бұрын
Napia mvunja SUNA,wote musiweke ndevu akisema hamuweki ila akiwambia pigeni Ngoma munapiga jee anaewacha la Mtume,lakwake yeye lifuatwe,je huyu ndo mwanachuoni wakutegemewa.innalillah waina ilaihi raajiun
@sophiaomar7875
@sophiaomar7875 6 ай бұрын
Si mwana chuoni huyo kazi kuchezea wanawake alioa kama Mara elfu moja watoto wake hawajui
@hutiswalehe2444
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Allaahumma swalli wasallim wabaarik alayhi
@jumamohammed5378
@jumamohammed5378 2 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah
@jaz9974
@jaz9974 2 жыл бұрын
Mashaallah
@eng.saalim8646
@eng.saalim8646 Жыл бұрын
Hzo twariiqa ni Dini za ukabila
@hassanalbasq3160
@hassanalbasq3160 2 жыл бұрын
Duh Allahulmutaan jamni ah
@quranrecitations7267
@quranrecitations7267 2 жыл бұрын
Allah awaongoze
@nurudinsalim8955
@nurudinsalim8955 2 жыл бұрын
yaallaah
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
Msellem Aliy pia
@SalehSaleh-re1ud
@SalehSaleh-re1ud 2 жыл бұрын
Nadhani wanachuoni hua hawapendi kusifiwa, hua wanapendelea kujishusha sana.
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Hamna kitu Apo wanapachikana tu
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 жыл бұрын
Hajajisifu, kasifiwa na wengine. MaashaaAllah, Allah amhifadhi.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Exactly
@rushu1232
@rushu1232 Жыл бұрын
Hajajisifu amesifiwa na mtoto wake na nyinyi sifuni wenu hakuna chuki.
@rushu1232
@rushu1232 Жыл бұрын
Kula pote lina kiongozi wake na hawa tumekinai sana na wao na ilmu yao sasa nyinyi kama nyinyi muna masheikh zenu wafueteni hakuna ungomvi sababu mambo yaendelea na yatazidi kuendelea.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Sheikh unamsifia sana mpaka unavuka mipaka,,,,,
@aninanichasi422
@aninanichasi422 Жыл бұрын
Unataka akusifiye wewe?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@aninanichasi422 huna ulijualo
@adennurahuka402
@adennurahuka402 6 ай бұрын
Ni kawaida ya makhurafi!!!
@eshasalim5496
@eshasalim5496 2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Duh! 😳
@quranrecitations7267
@quranrecitations7267 2 жыл бұрын
Weeeee kenya yote. Kuna watu wasoma mpaka leo wasoma.
@alihusseinali4756
@alihusseinali4756 6 ай бұрын
Hata ndevu hana mwanachoni yupi ndevu nikatika Sunna za mitume yote hata wale wanachoni hoye haye wsnafuga ndevu bure kabisa
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
Othman Maalim jee?
@shafiimohamed6503
@shafiimohamed6503 2 жыл бұрын
Kasomeshwa na huyo aliyotajwa hapo
@swalahuomar5314
@swalahuomar5314 2 жыл бұрын
Huyu ametunga vtabu vingi ni msomi ajabu othman maalim ni mwanafunzi wake
@badawiyhusssein5496
@badawiyhusssein5496 2 жыл бұрын
Boyka
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Labda mwanachuoni mkubwa wa kisufi
@rushu1232
@rushu1232 Жыл бұрын
Shida yenu kubwa munaliza watu wafuate itikadi ya masheikh wenu kina ibn Baaz kina Utheimin na sisi twaamini hao ni project ya mayahudi kutoka waqti sh.Muhammad bin Abdulwahab.
@adennurahuka402
@adennurahuka402 6 ай бұрын
La!!!!uwongo ww khurafi,,,,Al jufri ndiye aliyewasifu na kusema anawapenda mayahudi,,mche Allah na uwe mwadilifu,,utaelekea Kwa mola wako Pekee yako
@rushu1232
@rushu1232 6 ай бұрын
@@adennurahuka402 jufri niyeye peke yake atajibu kwa Allah lakini nyinyi manhaj mzima yakiwahabi imewekwa na waengereza na mayahudi akewekwa Sh.Mohd Abdulwahab kuuwa waislamu ambao hawakubaliani na fikra yake akisema ni washirikina.
@adennurahuka402
@adennurahuka402 6 ай бұрын
@@rushu1232wallahi la!!!leta hoja,,,mm nimekueleza shekhe lenu mwanae mrejelea kuwa amewasifia mayahudi,,,nioneshe shekhe wa salafi akiwapongeza au kuwa sifu,,,ikiwemo ibn baaz ibn uthaymeen albani nakadhalika Allah awarehemu ,,,,Sisi dini yetu ni Qur'an na sunnah kwa ufahamu waliyoongozwa maswahaba na mwalimu wao mtume Muhammad swala na salamu zimfikie,,,,,nyie ni kupiga ukhurafi n ushirikina kuabudu makaburi na bida'a nyingi ambazo Allah hajateremsha katika uongofu Kwa mtume na waja wake,,,,,si rayi ama maoni ya mashekhe wenu Sisi tuko Kwa haqi,,,,tukosoea Kwa dalili ya Qur'an na sunnah tutafuata Lau si hivyo Baki na ukhurafi wako
@saydsultan9499
@saydsultan9499 2 жыл бұрын
Mwanachuoni hana ata ndevu
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 жыл бұрын
Mnafurahisha haswa. Yaani wewe umeona ndevu ndio uwanawachuoni. Haya mthibitishe wewe uwanachuoni wake.
@saydsultan9499
@saydsultan9499 2 жыл бұрын
Wewe ndio uthibitishe uwawachuoni wake ni upi Mana sisi tunaambiwa wanawachuoni ni warithi wa mitume lakini huyo tukimuangalia hata kujifananisha na mtume swallallahu alyhi wasallaam ameshindwa
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 2 жыл бұрын
Mungu ndiye mwenye kuwaumba hivyo, Qur'an inatuzuia kuwacheka watu na kuwafanyia masikhara ninmadhambi makubwa, Allah akuongoze tu.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Hapo sasa umeingilia uumbaji wa Mungu, sheikh kasome dini vizuri,,,
@benyamin5000
@benyamin5000 Жыл бұрын
Mungu akuongoze akupe mwangaza akutoe katika Giza uliopo sasa halafu utajua ndevu ni Sunna na Sunna sio fardhi
@mruppercut7985
@mruppercut7985 2 жыл бұрын
Mwanachuoni wa kisufi huyo halafu masufi mnavaa mapete mengi kwanin?
@abubakariabdallahabubakari8054
@abubakariabdallahabubakari8054 2 жыл бұрын
Duh eti muutamad hhhhh duniani
@omarkhamis4804
@omarkhamis4804 2 жыл бұрын
Kenya
@abdallahkassim8911
@abdallahkassim8911 2 жыл бұрын
Ma sha allah
@mruppercut7985
@mruppercut7985 2 жыл бұрын
Sufi mkuuu
@uchihaitach1536
@uchihaitach1536 2 жыл бұрын
Ulama wengi wako gerezani
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Sio kweli,,,
@uchihaitach1536
@uchihaitach1536 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 maulama wa ahlul sunnah ambayo wanatetea dini
@أبونعيم-م8ر
@أبونعيم-م8ر Жыл бұрын
Kama nani? Na kwa nini wako huko?
@uchihaitach1536
@uchihaitach1536 Жыл бұрын
@@أبونعيم-م8ر kwaajili ya kuongea ukweli na kuunga mkono mujahideen
@muhammadmjara6776
@muhammadmjara6776 2 жыл бұрын
ahallu bidai ndy tambia zao hizo tabia mbuvu kabx eti mwenyechooni atokee wapi
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 2 жыл бұрын
Ungekuwa umesoma akhlaaq ungewaheshimu masheikh WA wengine hata kama hamuafikiani katika mambo ya dini.
@hassancharo1496
@hassancharo1496 2 жыл бұрын
Kuma wamuona c wAna chuoni ungempa heshima uisilamu au umuri wake Mtume saw amesema sikatisis asiyewa hurumiya wadogo na kuwahishimu wakubwa muislam mwenziyowamwita mwana choooni Subhana ALLAH
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 жыл бұрын
Kwasasa kunatuvijana tudogotudogo tumesoma hao wanachuoni wakusifiana sidhani kama wanafikia?
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Ni kitabu gani ametunga au munapachikana tu uanazuoni
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 Жыл бұрын
Unataka kitabu cha dini kitungwe km hadithi za bunuasi kitabu cha dini kinaandikaa boya ww
@binmasoud6237
@binmasoud6237 2 жыл бұрын
Muutamad vitabu vyake tuambieni alivyotunga au kupeana sifa tu al alawy sheikh nani upuuzi mtupu
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 Жыл бұрын
Vitabu vya dini havitungwi vinaandikwa unatunga hadithi na nyimbo boya ww
@zanzibaronlytv3470
@zanzibaronlytv3470 2 жыл бұрын
watu wengi wa bid aa ukiwatizama kwa makini hawana akili nzuri
@fadhilimakore6142
@fadhilimakore6142 2 жыл бұрын
Nawewe pia tukikuchunguza akili yako pia sio nzur nenda kasome din vizur
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 жыл бұрын
@@fadhilimakore6142 wallahi. Waone tu hao.
@ahmadymuhina6546
@ahmadymuhina6546 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ما هو البدع
@abuanmarabubakar
@abuanmarabubakar 2 жыл бұрын
huyo mwanachuon muutamad katunga vitabu vingan, sio mwanachuon bali ni ngwiji la bidaa
@saidinammenje644
@saidinammenje644 2 жыл бұрын
Eti gwiji la bidaa Ebu kasome kasome kitabu chake kimoja tu kitakutosha kama macho unayo! Hapo utajua kama kama gwiji la bIdaa au gwiji wa sunna kitabu kinaitwa annusuusu swariha fil'aqiidati swahihah. acha kubwabwa
@abuanmarabubakar
@abuanmarabubakar 2 жыл бұрын
@@saidinammenje644 mwanazuoni hawk mpenda matar kamwe , pia hata hivyo vitabu vyake vinaongoza kwenye hizo bidaa zake
@abuusufian6506
@abuusufian6506 2 жыл бұрын
Gwiji haswa
@omarsakawa2070
@omarsakawa2070 2 жыл бұрын
@@abuanmarabubakar hawa jamaa nafikiri wameteleza,shekhe mkubwa alobakia ni wewe.
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
@@saidinammenje644 hapana mwanachuoni apo
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 жыл бұрын
Wapuzi.
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 2 жыл бұрын
Aibu Kwa kakaangu kujiita jina tukufu la mtume Muhammad kisha akhlaaq ukakosa ukawaita maulamaa wengine wapuuzi,ni makosa sana, Allah akusamehe Ila si adabu ya kiislamu kuwatukana shurafaa wa wengine.
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 жыл бұрын
@@muhibbualii4580 Utukufu si jina wala kabila acha ujinga, ndio mukatukuza wata hadi kuwapa daraja wasizostahiki, ati (masharifu) ujinga mwingi na kutishana tuu wengine waingia kwenye shirki kwa ujinga huu.
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 жыл бұрын
@@muhibbualii4580 kama ujinga huu ndio uislamu pepo hakuna.
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 2 жыл бұрын
@@faisalmohamed727 Allah akuongoze kiwaheshimu wakubwa zako in Shaa Allah.
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 2 жыл бұрын
@@faisalmohamed727 iwapo unagawa wewe Pepo basi waingize wote motoni.
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 жыл бұрын
Wajinga hawa huwa hawazingatii kabla kupanua modomo yao.
@sharifukedaonlinetv8558
@sharifukedaonlinetv8558 Жыл бұрын
Mjinga mama yako aliekuzaa kabla akafikiria
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 Жыл бұрын
@@sharifukedaonlinetv8558 Hahaha eti masharifu!!! masharifu mutakuwa nyinyi? masharifu ukwaju chama cga LGBT.
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 Жыл бұрын
@@sharifukedaonlinetv8558 Wajua mamako alikuwa mpezi wangu kabla ya yeye kuamua kuwa Malaya? huenda wewe ni mwanaharamu wangu.
@mabrukjuma3878
@mabrukjuma3878 2 жыл бұрын
Wallah wewe ni mpuzi mkubwa wawajuwa wanachuoni au amekuridhisha wewe wacha upumbavu wako .
@husseinkazigo6189
@husseinkazigo6189 2 жыл бұрын
Usingekuwa kaafir ningekujib msalim san mmeo
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 109 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,8 МЛН
Kufanya Kheri | Shariff Ahmad Ahmad Badawy (Mwenye Baba)
30:41
Adil Twahir
Рет қаралды 9 М.
Sheikh Salim ibn Mubarak Gahrani (Daru-eish mti mkavu) akiwapa mawaidha waislamu.
13:11
Takuandama Takuandama [Qaswida]
21:21
Khilafah tv
Рет қаралды 6 М.
TAKWANDAMA | SAYYID AHMAD AHMAD BAWADY (MWENYE BABA)
13:27
Al Ihsaan Records
Рет қаралды 26 М.
This mother's baby is too unreliable.
0:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 22 МЛН