Mwanachuoni wa kweli hakubali sifaa,,,wallahi ni wanchuoni ni wachaji mungu si makhurafi wa kupiga dufu,,,,kidevu kinakaa embe hata hakuna ndevu,,,Allahu mustaan
@adennurahuka4026 ай бұрын
Ata hawana adabu ya kumuomba Allah du'a,,,,mwone aliyevaa kizbao cha blue du'a ikisomwa,,,, subhanaAllah
@sophiaomar78756 ай бұрын
Mwenye baba si mwanachuoni anapenda sifa sana huyu mzee
@adennurahuka4026 ай бұрын
Nynyi mwajuwa maana ya kuwa mwanachuoni ama mnasema,,,masufi ni kweli hamna akili timamu,,maneno ya imam shafii ,,,,ukabila na kuabudu makaburi,,,ata juzzu amma hajahufadhi,,,mpiga dufu na dhikiri ya kukohoa ,,,Allahu musta'an,,twaghut
@saidrakwe87279 ай бұрын
Wew ushaambiwa huyu ni mwana Chuini.eti mtu anahoji!!! Eti mwanachuoni hana ndevu 😢 hii dunia sijui inaelekea wapi sababu kuna watu majahili kweli kweli
@Hussein_Mustafa_Parmar8 ай бұрын
Huyu alieongea mwanzo ni Syed Ahmed Khatib wa Mskiti wa Ijumaah, Kitumbini, Dar es salaam, Tanzania
@SaidJangoli-hr7ww3 ай бұрын
Napia mvunja SUNA,wote musiweke ndevu akisema hamuweki ila akiwambia pigeni Ngoma munapiga jee anaewacha la Mtume,lakwake yeye lifuatwe,je huyu ndo mwanachuoni wakutegemewa.innalillah waina ilaihi raajiun
@sophiaomar78756 ай бұрын
Si mwana chuoni huyo kazi kuchezea wanawake alioa kama Mara elfu moja watoto wake hawajui
Hajajisifu, kasifiwa na wengine. MaashaaAllah, Allah amhifadhi.
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Exactly
@rushu1232 Жыл бұрын
Hajajisifu amesifiwa na mtoto wake na nyinyi sifuni wenu hakuna chuki.
@rushu1232 Жыл бұрын
Kula pote lina kiongozi wake na hawa tumekinai sana na wao na ilmu yao sasa nyinyi kama nyinyi muna masheikh zenu wafueteni hakuna ungomvi sababu mambo yaendelea na yatazidi kuendelea.
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Sheikh unamsifia sana mpaka unavuka mipaka,,,,,
@aninanichasi422 Жыл бұрын
Unataka akusifiye wewe?
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@aninanichasi422 huna ulijualo
@adennurahuka4026 ай бұрын
Ni kawaida ya makhurafi!!!
@eshasalim54962 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
Duh! 😳
@quranrecitations72672 жыл бұрын
Weeeee kenya yote. Kuna watu wasoma mpaka leo wasoma.
@alihusseinali47566 ай бұрын
Hata ndevu hana mwanachoni yupi ndevu nikatika Sunna za mitume yote hata wale wanachoni hoye haye wsnafuga ndevu bure kabisa
@sudaissaid84282 жыл бұрын
Othman Maalim jee?
@shafiimohamed65032 жыл бұрын
Kasomeshwa na huyo aliyotajwa hapo
@swalahuomar53142 жыл бұрын
Huyu ametunga vtabu vingi ni msomi ajabu othman maalim ni mwanafunzi wake
@badawiyhusssein54962 жыл бұрын
Boyka
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Labda mwanachuoni mkubwa wa kisufi
@rushu1232 Жыл бұрын
Shida yenu kubwa munaliza watu wafuate itikadi ya masheikh wenu kina ibn Baaz kina Utheimin na sisi twaamini hao ni project ya mayahudi kutoka waqti sh.Muhammad bin Abdulwahab.
@adennurahuka4026 ай бұрын
La!!!!uwongo ww khurafi,,,,Al jufri ndiye aliyewasifu na kusema anawapenda mayahudi,,mche Allah na uwe mwadilifu,,utaelekea Kwa mola wako Pekee yako
@rushu12326 ай бұрын
@@adennurahuka402 jufri niyeye peke yake atajibu kwa Allah lakini nyinyi manhaj mzima yakiwahabi imewekwa na waengereza na mayahudi akewekwa Sh.Mohd Abdulwahab kuuwa waislamu ambao hawakubaliani na fikra yake akisema ni washirikina.
@adennurahuka4026 ай бұрын
@@rushu1232wallahi la!!!leta hoja,,,mm nimekueleza shekhe lenu mwanae mrejelea kuwa amewasifia mayahudi,,,nioneshe shekhe wa salafi akiwapongeza au kuwa sifu,,,ikiwemo ibn baaz ibn uthaymeen albani nakadhalika Allah awarehemu ,,,,Sisi dini yetu ni Qur'an na sunnah kwa ufahamu waliyoongozwa maswahaba na mwalimu wao mtume Muhammad swala na salamu zimfikie,,,,,nyie ni kupiga ukhurafi n ushirikina kuabudu makaburi na bida'a nyingi ambazo Allah hajateremsha katika uongofu Kwa mtume na waja wake,,,,,si rayi ama maoni ya mashekhe wenu Sisi tuko Kwa haqi,,,,tukosoea Kwa dalili ya Qur'an na sunnah tutafuata Lau si hivyo Baki na ukhurafi wako
@saydsultan94992 жыл бұрын
Mwanachuoni hana ata ndevu
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Mnafurahisha haswa. Yaani wewe umeona ndevu ndio uwanawachuoni. Haya mthibitishe wewe uwanachuoni wake.
@saydsultan94992 жыл бұрын
Wewe ndio uthibitishe uwawachuoni wake ni upi Mana sisi tunaambiwa wanawachuoni ni warithi wa mitume lakini huyo tukimuangalia hata kujifananisha na mtume swallallahu alyhi wasallaam ameshindwa
@muhibbualii45802 жыл бұрын
Mungu ndiye mwenye kuwaumba hivyo, Qur'an inatuzuia kuwacheka watu na kuwafanyia masikhara ninmadhambi makubwa, Allah akuongoze tu.
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Hapo sasa umeingilia uumbaji wa Mungu, sheikh kasome dini vizuri,,,
@benyamin5000 Жыл бұрын
Mungu akuongoze akupe mwangaza akutoe katika Giza uliopo sasa halafu utajua ndevu ni Sunna na Sunna sio fardhi
@mruppercut79852 жыл бұрын
Mwanachuoni wa kisufi huyo halafu masufi mnavaa mapete mengi kwanin?
@abubakariabdallahabubakari80542 жыл бұрын
Duh eti muutamad hhhhh duniani
@omarkhamis48042 жыл бұрын
Kenya
@abdallahkassim89112 жыл бұрын
Ma sha allah
@mruppercut79852 жыл бұрын
Sufi mkuuu
@uchihaitach15362 жыл бұрын
Ulama wengi wako gerezani
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Sio kweli,,,
@uchihaitach15362 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 maulama wa ahlul sunnah ambayo wanatetea dini
@أبونعيم-م8ر Жыл бұрын
Kama nani? Na kwa nini wako huko?
@uchihaitach1536 Жыл бұрын
@@أبونعيم-م8ر kwaajili ya kuongea ukweli na kuunga mkono mujahideen
@muhammadmjara67762 жыл бұрын
ahallu bidai ndy tambia zao hizo tabia mbuvu kabx eti mwenyechooni atokee wapi
@muhibbualii45802 жыл бұрын
Ungekuwa umesoma akhlaaq ungewaheshimu masheikh WA wengine hata kama hamuafikiani katika mambo ya dini.
@hassancharo14962 жыл бұрын
Kuma wamuona c wAna chuoni ungempa heshima uisilamu au umuri wake Mtume saw amesema sikatisis asiyewa hurumiya wadogo na kuwahishimu wakubwa muislam mwenziyowamwita mwana choooni Subhana ALLAH
@selemankishema57802 жыл бұрын
Kwasasa kunatuvijana tudogotudogo tumesoma hao wanachuoni wakusifiana sidhani kama wanafikia?
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Ni kitabu gani ametunga au munapachikana tu uanazuoni
@jitukorofi9517 Жыл бұрын
Unataka kitabu cha dini kitungwe km hadithi za bunuasi kitabu cha dini kinaandikaa boya ww
@binmasoud62372 жыл бұрын
Muutamad vitabu vyake tuambieni alivyotunga au kupeana sifa tu al alawy sheikh nani upuuzi mtupu
@jitukorofi9517 Жыл бұрын
Vitabu vya dini havitungwi vinaandikwa unatunga hadithi na nyimbo boya ww
@zanzibaronlytv34702 жыл бұрын
watu wengi wa bid aa ukiwatizama kwa makini hawana akili nzuri
@fadhilimakore61422 жыл бұрын
Nawewe pia tukikuchunguza akili yako pia sio nzur nenda kasome din vizur
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
@@fadhilimakore6142 wallahi. Waone tu hao.
@ahmadymuhina65462 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ما هو البدع
@abuanmarabubakar2 жыл бұрын
huyo mwanachuon muutamad katunga vitabu vingan, sio mwanachuon bali ni ngwiji la bidaa
@saidinammenje6442 жыл бұрын
Eti gwiji la bidaa Ebu kasome kasome kitabu chake kimoja tu kitakutosha kama macho unayo! Hapo utajua kama kama gwiji la bIdaa au gwiji wa sunna kitabu kinaitwa annusuusu swariha fil'aqiidati swahihah. acha kubwabwa
@abuanmarabubakar2 жыл бұрын
@@saidinammenje644 mwanazuoni hawk mpenda matar kamwe , pia hata hivyo vitabu vyake vinaongoza kwenye hizo bidaa zake
@abuusufian65062 жыл бұрын
Gwiji haswa
@omarsakawa20702 жыл бұрын
@@abuanmarabubakar hawa jamaa nafikiri wameteleza,shekhe mkubwa alobakia ni wewe.
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
@@saidinammenje644 hapana mwanachuoni apo
@faisalmohamed7272 жыл бұрын
Wapuzi.
@muhibbualii45802 жыл бұрын
Aibu Kwa kakaangu kujiita jina tukufu la mtume Muhammad kisha akhlaaq ukakosa ukawaita maulamaa wengine wapuuzi,ni makosa sana, Allah akusamehe Ila si adabu ya kiislamu kuwatukana shurafaa wa wengine.
@faisalmohamed7272 жыл бұрын
@@muhibbualii4580 Utukufu si jina wala kabila acha ujinga, ndio mukatukuza wata hadi kuwapa daraja wasizostahiki, ati (masharifu) ujinga mwingi na kutishana tuu wengine waingia kwenye shirki kwa ujinga huu.
@faisalmohamed7272 жыл бұрын
@@muhibbualii4580 kama ujinga huu ndio uislamu pepo hakuna.
@muhibbualii45802 жыл бұрын
@@faisalmohamed727 Allah akuongoze kiwaheshimu wakubwa zako in Shaa Allah.
@muhibbualii45802 жыл бұрын
@@faisalmohamed727 iwapo unagawa wewe Pepo basi waingize wote motoni.
@faisalmohamed7272 жыл бұрын
Wajinga hawa huwa hawazingatii kabla kupanua modomo yao.
@sharifukedaonlinetv8558 Жыл бұрын
Mjinga mama yako aliekuzaa kabla akafikiria
@faisalmohamed727 Жыл бұрын
@@sharifukedaonlinetv8558 Hahaha eti masharifu!!! masharifu mutakuwa nyinyi? masharifu ukwaju chama cga LGBT.
@faisalmohamed727 Жыл бұрын
@@sharifukedaonlinetv8558 Wajua mamako alikuwa mpezi wangu kabla ya yeye kuamua kuwa Malaya? huenda wewe ni mwanaharamu wangu.
@mabrukjuma38782 жыл бұрын
Wallah wewe ni mpuzi mkubwa wawajuwa wanachuoni au amekuridhisha wewe wacha upumbavu wako .