No video

BALAA! MPINA AWAKUMBUKA SPIKA SITTA NA MAKINDA KWA KUSIMAMIA MALI ZA UMMA, "TULIA AMENIONEA SANA"

  Рет қаралды 10,960

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Күн бұрын

#TANZANIA: MPINA AUKUMBUKA UONGOZI WA SPKA SITTA NA MAKINDA KWA KUSIMAMIA VIZURI MALI ZA UMMA
Balaa! Luhaga Mpina awakumbuka Spika Samwel Sitta na Anna Makinda kwa kusimamia vizuri mali za Umma, amvaa Spika Tulia Ackson, "kulikoni jazba kwa Mpina?, Mwigulu aliwahi kulikashifu Mbunge ndani ya bunge kwa kuwaamba wakafanye kazi ya uganga lakini hakchukulia hatua yoyote"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 47
@user-wl3sv2xn9e
@user-wl3sv2xn9e Ай бұрын
Hapo ndo mtajuwa kwa nn sakata la bandari lilipitishwa kibabe bili kujali hisia za wananchi kuonyesha kutopendezwa nalo na bado!!
@cletusmathew9415
@cletusmathew9415 Ай бұрын
Tunaiona kazi yako huko sahihi kabisa
@EzraBagushi
@EzraBagushi Ай бұрын
Mh uko vizuri Mungu akulinde tu watanzania tunakuona tuhuma za waziri wa kilimo zilikuwa sahihi.
@chezariboy
@chezariboy Ай бұрын
Good man of people ubarikiwe sana.🎉🎉🎉
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 2 ай бұрын
Mungu wangu tupo pabaya sana kiimani ngozi ya kondoo ndani mbwa mwiti wa kali. Ndani ya moyo yetu tumwogope sana mungu. Kuna maisha yajayo ambayo hatutaondoka na kitu. Tutaambatana na matendo yetu mema. Mwe. Mama maria mlinzi wa taifa letu. Utuombee kwa mungu atujalie kutenda haki ili mioyo yetu iwe na amani. Ndaga Kyara.
@user-gt1nh4tz4j
@user-gt1nh4tz4j Ай бұрын
Sielewi vizuri kosa la Mpina, Na bado sielewi vizuri uhalali wa hotuba ya Bashe
@dr.topmanyotasundayrutasho5205
@dr.topmanyotasundayrutasho5205 Ай бұрын
Uko vizuri
@user-zs3mi7xp9p
@user-zs3mi7xp9p Ай бұрын
Hongera Sana
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k 2 ай бұрын
CCM WAGUMU SANA KUUKUBALI UKWELI UKIWA MKWELI CCM KWAO NI TATIZO
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf Ай бұрын
One ruling party system never change let's wait and see listening from Malawi
@djfaraji
@djfaraji 24 күн бұрын
Mimi ndio mana napenda kuangalia vita urusii
@thobiaslikiliwike7144
@thobiaslikiliwike7144 Ай бұрын
Nimekuelewa Sanaa Mpina
@GeorgeHoja-v3o
@GeorgeHoja-v3o 22 күн бұрын
Je aliagiza mda gani na wakati gani bashe alikuwa anaasaidia kuepuka kupanda kwa bei na kukosekana kabisa mda mwingine bei gali sukari haikuwepo bashe alikuwa anatimiza majukumu yake kuhakikisha watu wake wawe na sukari msikilize vizuri waziri aliagiza kipindi gani miez ambayo tanzania viwanda havizalishi , % Tanzania 🇹🇿 uzalendo kwanza, waziri amefanya kazi yake ipasavyo; Bashe,
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Huyo spika cndo wemeuza bandariii?
@CharlesMabruk
@CharlesMabruk Ай бұрын
Mpina tulia anayo maslahi mapana na serikali ni lazima aegemee serikali tunaposema tunahitaji katiba mpya kutokana na hayo bunge inaisapoti serikali bunge haliko na wananchi iyo inatokana na katiba tuliyonayo spika ni lazima ujipendekeze Kwa Rais tofauti ya hapo ni baraha uwezi ukawa spika watanzania tunahitaji katiba mpya Rasimu ya mzee wariomba tofauti ya hapo Kila mtu ni kujipendekeza Kwa Rais Leo Kuna wabunge wanalipwa Kodi ya watanzania hawako kwenye utaratibu wa katiba maadamu Rais aliamua na wamekaa na spika linatekerezwa bila kuhojiwa na wabunge Kwa katiba ya kenya sizani hao wabunge wanaolipwa tofauti na katiba sizani kama wagekuwapi kwanza wananchi wenyewe ni waerewa huwenzi ukareta vitu ambavyo haviko kwenye utaratibu wa katiba maadamu Rais na spika wameamua
@HAMIDUMKWEPU-vr9dq
@HAMIDUMKWEPU-vr9dq Ай бұрын
Usi lalamike sana, Mpina, mbona,alipo teuliwa kuwa naibu spika, awakati Tulia huyo, alikuwa , mbunge wa kuteliwa, mbona aukusema, wkt ilikuwa ni kosa,
@CharlesMabruk
@CharlesMabruk Ай бұрын
18:56 Mpina tulia anayo maslahi mapana na serikali ni lazima aegemee serikali tunaposema tunahitaji katiba mpya kutokana na hayo bunge inaisapoti serikali bunge haliko na wananchi iyo inatokana na katiba tuliyonayo spika ni lazima ujipendekeze Kwa Rais tofauti ya hapo ni baraha uwezi ukawa spika watanzania tunahitaji katiba mpya Rasimu ya mzee wariomba tofauti ya hapo Kila mtu ni kujipendekeza Kwa Rais Leo Kuna wabunge wanalipwa Kodi ya watanzania hawako kwenye utaratibu wa katiba maadamu Rais aliamua na wamekaa na spika linatekerezwa bila kuhojiwa na wabunge Kwa katiba ya kenya sizani hao wabunge wanaolipwa tofauti na katiba sizani kama wagekuwapi kwanza wananchi wenyewe ni waerewa huwenzi ukareta vitu ambavyo haviko kwenye utaratibu wa katiba maadamu Rais na spika wameamua
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Chadema si chama cha kuhamia ina wenyewe
@djfaraji
@djfaraji 24 күн бұрын
Mkojo mdogo mdogo ndio unao lowesha chupi.awa twendeni
@MustaphaKassimu-i5n
@MustaphaKassimu-i5n Ай бұрын
Wewe ni mbunge imara na unaejitambua . Haki haiji bila kujitosa baba. Tuko pamoja Sana.
@chezariboy
@chezariboy Ай бұрын
Nenda kea akina tundu lisu na mbowe uko vizuri wewe jamaaa
@frbm1729
@frbm1729 2 ай бұрын
Kispika Cha hovyooo sana hiki.
@abdallahngoe
@abdallahngoe 2 ай бұрын
Ukisimama na wananchi lazima wakuone wewe ni mpinzani
@KILINDONI_ONLINE
@KILINDONI_ONLINE 2 ай бұрын
Ase
@adamhashayro3133
@adamhashayro3133 2 ай бұрын
Usijal mungu yupo mwisho wa ubaya aibu
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 2 ай бұрын
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawé.
@amosmerama3680
@amosmerama3680 Ай бұрын
Kamati ya maadili inaitishwa na SPika, huku akisema amemkosea heshima SPika!!! Najiuliza TU SPika yeye akimkosea heshima mbunge wa kawaida anapelekwa wapi??? Elimu yetu ipo TU ni basi tu
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k 2 ай бұрын
IYO NDIO CCM MPINA
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
Hamia CHADEMA upate uhalali wa kuikosoa vizuri serikali,using'ang'anie chama ambacho hukiamini. Huku kulalamika mtandaoni haisaidii.
@RamadhanMasali
@RamadhanMasali Ай бұрын
pambana mpina hata yesu walichelewa kumuelewa ujumbe wataelewa tu
@exseviangaeje1158
@exseviangaeje1158 2 ай бұрын
Mimi nimegundua kua wabunge wa ccm wao kwao ccm kwanza nchi badae utamfukuzaje mbunge anaehoji mambo ya msingi kama haya?sasa kama nilitaka vipitishwe sasa ya nini mnaptexa pesa za wananchi bure kukaa bungeni da inauma sana
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 2 ай бұрын
Samweli sita ana makinda into ccm as the palament speaker were right peaple to run palament not acson tulia
@joramjoram3285
@joramjoram3285 Ай бұрын
Skutegemea msukuma kumsonga na maneno mpina
@mashimbazephania3511
@mashimbazephania3511 Ай бұрын
Msukuma ni MTU wa dili ukiona anaunga mkono kapata ukiona haungi mkono juwa bado hajapata
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k 2 ай бұрын
MUNGU AKUONGOZE MPINA NJOO CHADEMA MAANA MUNGU YUPO NA WANA CHADEMA TUU NDIO KWENYE UKWELI NAA SIKU ZOTE MSEMA UKWELI NDIO MPENZI WA MUNGU NJOO CHADEMA
@jairosjulius9447
@jairosjulius9447 Ай бұрын
Mungu anakupandisha cheo hilo ni take la chela usijali mungu anafanya jambo kwa ajili yako
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 2 ай бұрын
Mungo tushike mkono peke yetu hatuwezi.
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Soon watu watachoka"kutakuwa kama kenya
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
Unatamani maafa siyo?endelea kuomba yatokee
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
@@kashiririrkaasongwisye9487 Mushamba Acha kujichekesha, kazi hufanyi unasubiri huruma ya serikali.
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu Ай бұрын
@@kashiririrkaasongwisye9487halijitambui hili jamaaa
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 Ай бұрын
Ahahhahahaaa maafa yatokee mara ngapi?
@bazilmateru915
@bazilmateru915 Ай бұрын
Wew unatamqn nin😂 ufisad au😂​@@walidmgonja3644
@IsmailKidongo
@IsmailKidongo 2 ай бұрын
Ukubwa wote huo ujui ccm wanataka watu wajinga
@JumaRamadhani-hf3cm
@JumaRamadhani-hf3cm Ай бұрын
Shamba la bwana kheri mbuzi wa bwana kheri wewe unafikili Nini kitatokea
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 4 МЛН
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,8 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 168 МЛН
#LIVE: LEMA ANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU JUU YA UTEKAJI WA SOKA NA WENZAKE
1:15:35
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 40 М.
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00