Mke wa Maalim Seif azungumzia pengo la mume wake.

  Рет қаралды 18,337

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Wiki hii, Tanzania bara na visiwani Zanzibar itaadhimisha mwaka mmoja tangu kufariki kwa kiongozi na mwanasiasa mashuhuri katika siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad.
-
Huku kukiwa na maandalizi ya siku yake ya kufariki ambayo ni Februari 17, mwandishi wetu Aboubakar Famau amemtembelea mke wake maarufu kama mama Aweina na kufanya nae mahojiano nyumbani kwake Unguja na kwanza alimuuliza ni kitu gani hasa ambacho wanamkumbuka nacho Maalim licha ya kwamba hamko nao?
#bbcswahili #zanzibar #tanzania

Пікірлер
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 3 жыл бұрын
Allah ampe kila la kher na alifanye kabur lake liwe moja katika bustani za peponi ya rabb
@ummusamira3518
@ummusamira3518 3 жыл бұрын
Amin yarabi takabali dua
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 3 жыл бұрын
Amiin
@harithmohd6318
@harithmohd6318 9 ай бұрын
Mama yetu bi Awena Allah akuhifazi nyote familia ss bado tuko pamoja naww inshaallah ipo siku juhudi za kipenz chetu malim sefu itatimia kwa om inshaallah
@mohammednassor3081
@mohammednassor3081 3 жыл бұрын
Alhamdulillah bint Masoud sinani uko vizuri tumuombee dua baba wa taifa la zanzibar
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 3 жыл бұрын
Mama wa taifa.la wa zanzibar people for rever we miss maalim seif sheriff hamadi
@abdullahomarabdullah6921
@abdullahomarabdullah6921 3 жыл бұрын
Allah amraham na atuzidishie subra kwa hakika Maalim n zaidi ya kiongozi...
@saidmselem6605
@saidmselem6605 3 жыл бұрын
Alihhamdu lillah kilanionapo akitajwa mtuhuyu maalim sefu machoyangu humiminikwa na machozi miaka 20 niliomfahamu aliniingiasana moyoni kwangu niliamini mawazo yake fikrazake nautu aliokuwanao kuwa nimtumuhimu kwajamii ya watu wa Zanzibar mungu amrehemu sikumoja tutayatimiza alioyaanzisha isha Allah
@ummusamira3518
@ummusamira3518 3 жыл бұрын
Pole sana hilo ni donda la maisha halipoi kwa wazanzibar tuliowengi Amin yarabi takabali dua
@hemedali7057
@hemedali7057 3 жыл бұрын
😭😭😭🙏🙏🙏
@mundhiribrahim6292
@mundhiribrahim6292 3 жыл бұрын
Kazi ya allwah haina makosa lakini maalim katuwachia simazi jamani tunaona Kama kaishi sikukidogo tu mm naumiya nilisikiya hata sauti yake bi awena nakuhisi una machungu sisi hivi je wewe
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 жыл бұрын
Subra ndiyo nguzo yako Mama
@zainabkombo1724
@zainabkombo1724 3 жыл бұрын
Innallillah wainailah rajiun kwa kwel tumepoteza kiongozi shupavu wala hawezi kutokea tn km maalim seif nuru Allah aliompa ni ya kipekee....pole Aunty Awena tunalia sote mm juzi nimeenda kaburin kwake kwa kweli hali ilikua ngumu unauhusu moyo unashindwa kuhimil uzito wa kulala kwake ple
@mohdkhamis3857
@mohdkhamis3857 3 жыл бұрын
Kwa hakika atakumbukwa kwa Mchango wake mkubwa, Allah amrehem huko alipo ameen!!
@ummusamira3518
@ummusamira3518 3 жыл бұрын
Amin yarabi takabali dua
@BBCNewsSwahili
@BBCNewsSwahili 3 жыл бұрын
Amina
@issamohd1688
@issamohd1688 3 жыл бұрын
Allah awepe subra inshaallah
@msabahaali758
@msabahaali758 3 жыл бұрын
Mm nikikumbuka maalim nahis kama ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu wazanzibari ambayo hatukuitumia vizur inavyostahili
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 3 жыл бұрын
tutamkumbuka daima kipenzi chetu Allah kampenda zaidi tumkumbuke kwenye dua zetu tujitahid kila tukisali
@swahifaabdijuma2782
@swahifaabdijuma2782 3 жыл бұрын
Kweliii umeongea kabisaa. Walomdhulumu na hawakumuomna radhi Ipo sku watajutaa
@khalfansuleiman6206
@khalfansuleiman6206 3 жыл бұрын
ALLAAHUMMA GHFIRLAHU WARHAMHU....
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 жыл бұрын
Mama mzur pamoja Na mume wake
@shamisahmed1425
@shamisahmed1425 3 жыл бұрын
Watu aina ya Maalim Seif huendelea kuishi hata baada ya mauti yao!..huwa hawafi!
@a.856
@a.856 3 жыл бұрын
Allah amlaze pema na wema... amin
@BBCNewsSwahili
@BBCNewsSwahili 3 жыл бұрын
Amina
@w4058
@w4058 3 жыл бұрын
Naaam sawa sawa sawa
@MAPETEE
@MAPETEE 3 жыл бұрын
Yoot ulio ongea mama Wetu ni kweli
@maimunashaban9538
@maimunashaban9538 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@salyali7807
@salyali7807 3 жыл бұрын
😥😥😥
@lilianmakwati5228
@lilianmakwati5228 3 жыл бұрын
Yaani imetuondokea tunu wengi kila tutakukumbuka tunaumia sana mioyoni mwetu
@BBCNewsSwahili
@BBCNewsSwahili 3 жыл бұрын
Pole sana
Biubwa Mwanamke mwanamapinduzi Zanzibar
4:38
BBC News Swahili
Рет қаралды 6 М.
Mzozo wa DRC na Rwanda... Katika Dira ya Dunia TV Ijumaa 07/02/2025
28:15
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
KIFO NA HISTORIA YA MAISHA YA MAALIM SEIF SHARIF
7:21
VOA Swahili
Рет қаралды 11 М.
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 84 М.
SADC na EAC wakutana kuhusu DRC
8:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 79 М.
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza
7:30
BBC News Swahili
Рет қаралды 5 М.
HAWA NDIO WATUHUMIWA SUGU WA MADAWA YA KULEVYA ZANZIBAR
7:16
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19