Shukrani sana. Ni vizuri Wanafunzi wahimizwe kuwa wabunifu na wawe na uwezo wa kuelimisha kama alivyo huyo mwanafunzi . .
@abdulihafidhali53793 жыл бұрын
Masha Allah hongera sana mwanafunzi kwa kuzungumza ukweli na maneno ya hekma kila la kheri katika masomo yako insha Allah nimeipenda speech yako. you have confidence
@aminahhuawei11333 жыл бұрын
Hongera sana mdg wangu umeongea pont👏👏👏👍😘
@ayoubkhatibu37683 жыл бұрын
Ukitaka kutawaliwa lazima unyimwe elimu katika kuungana Zanzibari na Tanganyika elimu haimo kwenye Muungano
@hensuuali37953 жыл бұрын
Ni ya ukweli uloyaongeya mdogo wangu siuongo inshaallah Mungu ajaliye yafanyiwe kazi. Hongera sana umeongeya point.
@someparuranga73772 жыл бұрын
Allah akupe upeo zaidi Kuzidi kujiamini na akusaidie hekima pia
@sharifasalum8413 жыл бұрын
Huyu atakua mwanaharakati wa badae mashallah
@nooor11203 жыл бұрын
MaashaaAllah MaashaaAllah Ahsante mwanafunzi tunaumani kwa raisi wetu huyu mpya ni muelewa na sio mbumbumbu na ni mzalendo na anajielewa na anahisia za uzanzibari wake atalifanyia kazi hilo na mengineo meeeeengi ambayo yanatukwanza wanzanzibari la muhimu tu tumuombee dua Allah amuongoze nia ya haki na yote InshaaAllah yatakaa sawa . Zanzibari kwanza👍
@IdirisaKhamis2 ай бұрын
Mashaa Allah umeongea hakika walio wengi huona kumuambia ukweli kiongozi ni kama kumtukana ila ww hauko ivo.
@salimjuma94943 жыл бұрын
Safi sana mdogo wangu umeongea yamuhim sana kwa taifa la zanzibar
@calorinyfrancis22083 жыл бұрын
Asante
@murattywamuratty97783 жыл бұрын
Kabisa mwanafunzi unaongea hakika, unapo kwenda bara vyuo vikuu ukiambiwa walopata 1 unawapita wengi wao hawana lolote wanapeana tu
@ashampore60703 жыл бұрын
Maneno kuntu,hijabu ya kauli please.
@bellbell92943 жыл бұрын
Asante bi dadat kwa kuongea ukweli Allah akubariki
@Ali-nl2du3 жыл бұрын
Wazanzibari wanajua kujieleza maashaa Allah.
@abrahmankhamis23243 жыл бұрын
Asamteee sana dada yng kwa kutuwakilisha vyema wnafunxi wenzako mh raisi umeyasikia hivyo uyatilie mananaii maana wazanzibar wengi wanafeli
@fauzakassim22713 жыл бұрын
Mashaallah allah akuzidishie
@nauhattz82263 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuongoze umeongea vizuri sana
@muhammedwakif62163 жыл бұрын
Haogopi na nakipaji cha kusema na ana points pia
@wahidaabeid57123 жыл бұрын
Natumai Mheshimiwa rais tuko pamoja tunangoja maamuzi yako mema na Mungu akuongoze na jopo lako lote ameen znz oyeeeeee
@nooor11203 жыл бұрын
Oyeeee
@ashampore60703 жыл бұрын
Znz acheni ubaguzi,tanzania ni moja.
@rukiyatajir80643 жыл бұрын
Oho girl you genius you are going to be a very important person in this country. Keep it up.
@mussahassan17793 жыл бұрын
Ukitaka kuangamiza taifa tumia mfumo mzima wa Elimu tu bas Huna hajayakutumia mabom au guvu za jeshi nk
@feiz31803 жыл бұрын
wazanzibari wakipata nafasi wanaongea na wala hawaogopi. Ila siasa kandamizi ndio zinazo tuumiza. Asili yetu sisi sio wakandamizaji wala wakandamizi.
@alihemed77213 жыл бұрын
Asante Sana dugu yg umetuwakilisha na umeongea bwent mzuri kweli asante
@fatumaramadhanmashaallahal99663 жыл бұрын
Mashaallah tabaraka llahu
@saeedjuma43353 жыл бұрын
Maneno mazima kabisa mdada maa Shaa Allah hata mm inaniuma Sana Zanzibar km Zanzibar tunaendeshwa na third partماحصت،
Hongera carolina u just speak truth only truth big up vikoooo👏👏
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Masha Allah
@badrumohd50663 жыл бұрын
Hongera sana dada anguu umeongea point
@ummymohamed8693 жыл бұрын
Alhamdulillah upo vizuri mwanangu Allah Akubarik ktk masomo yako
@aishasaid67493 жыл бұрын
Naam elimu watuachie wenyewe Zanzibar tutunge mitihani na isainishwe Zanzibar tumechoka na maziro ya kupewa mm mtoto wangu Alhamdulillah Maa shaa Allah ameongoza matokeo ya daras la 10 skuli nzima halafu huko mbele uje unambie ana zero siwezi amini
@mosnasnas1313 жыл бұрын
Umefikisha ujumbe wawengi asante sana dadaangu
@jumamatao36283 жыл бұрын
Darasa la 7 lirudi km zaman maana watoto wa sku hiz darasa 6 ni wadogo sana wengine hata kusoma hawajuwi.
@aliarkam95483 жыл бұрын
Mashaaallah hongera sana ndugu umewaakilisha vizur
@ajimalmtumb98963 жыл бұрын
Dada hongera umeongea vizur sana tna kwa point, ila hpo suala la elimu kuhusu ufaulu wa bongo mm nafikiria Zanzbar kidgo elimu yetu ni nyepesi Mno kulingna na Tzania bara.. Nandiomna Wzanzbr tunafel sana hatufati mifumo wanotumia wezetu wa Bara. Utamkuta mwalimu Kiswahili zanzbr amepewa kusomesha Chemistry hapo ndugu zngu Siku zote tutalaumu kua Zanzbr tunafel.
@alonealvin45343 жыл бұрын
Hoja si kusomesha masomo yaliokuwa si ya mwalimu husika...hoja ni mitihani kusahihishwa na kusainiwa znz
@ajimalmtumb98963 жыл бұрын
@@alonealvin4534 zanzbr elimu yake ni tofauti na bongo.. mm nakuambia ninazo hoja madhubuti hatakma mithn itasainishiwa zanzbr Bdo zanzbr wanafunz waloweng hawatofaulu... Kuazia vitabu vinavotumika kusomeshewa zanzb haviendan na vya Bongo.. Utakuta selybus wanazotumia kutungia mitihn ya taifa zanzbr hazifuatwi ipasavyo
@salumkassim79493 жыл бұрын
Dadaangu umeongea vizurii sanaaa wanatunyima haki zetuu namapato ya Zanzibar yabakie Zanzibar ili ipate mandeleoooo
@fatmakhamis60693 жыл бұрын
Ata Mimi niliacha kazi ya uwalimu kutokana na maslah haikidhi haja Muheshimiwa makamo wa pili wa Rais ananielewa vizuri ni class mate wangu Hongera Bint Kwa kusimama kidete kutetea Haki zenu wanafunzi Shukran Muheshimiwa Rais Alla akufanyie wepesi kila penye zito
@khajumkhamis79103 жыл бұрын
Kweli dada angu au???
@deomatochi91793 жыл бұрын
What if Tanganyika students ask for their own curriculum like how it is for zanzibar students. I think Tanzania curriculum for Tanzania students by which zanzibar is among will be out of use and there will be no more a so called Tanzania curriculum. Just opinion.
@kabyjxjrd98743 жыл бұрын
@@deomatochi9179the issue is not curriculum coz is clearly followed by all. We want to make free commission for directing examination issue concerning to results from national examination. If we are free to elect a president in our own country, why we don't given a chance to make and mark our own examination and select students?
@kassimomar75893 жыл бұрын
Vzur umeitetea Zanzibar na Ana juwa kuongea
@zakwani8853 жыл бұрын
daima ukizungumza haki huogopi cc yule unae mueleza ayafaham mazingira yaliopo na kuyatekeleza ni wajibu wake
Kabisa mama amefanya kazi kuanzia mwaka 1978 lakin hakuna faida aliyopat mpaka amefarik Bora mshahar wamfanya kaz oman ni mzur kuliko walimu wa Zanzibar maana Daa wanamshahar mzur
@lukmankhamis70413 жыл бұрын
Mashalla ukhty kwa mazur yaliyomo kwenye akili zetu kuyawasilisha.
@rashidpema42993 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fauziamjengo94013 жыл бұрын
Hongera my C
@ahmedkhamis95393 жыл бұрын
Hongera sanaa my sstry
@AA-yr7sr3 жыл бұрын
Well dane umeongea maneno mazito yenye kuku sisimua maana kuchaguliwa rais lazima ujiamini na kazi zote za katika nchi yako sio kuamuliwa na waamuzi ambao ni wana nchi yao na serekali yao huu ni mshiba mkubwa kwa inasikitisha sana sana SubhanaAllah
@iddikhamis77693 жыл бұрын
Mwambieni huyo. Nchi inaangushwa kielimu serikali imelalaa. Zanzibar mambo yake ifanye yenyewe.
@mussahassan17793 жыл бұрын
Daah huyu sister Do anauelewa wahali yajuu nakama hatukuchulia sireus maisha yote wa zanzibar Tutakuw hiv hivi siku zote Unamkuta mtto msahafu mzima umo kichwani nk
@kidjhdf75683 жыл бұрын
Mashallah nice
@rukeakhamis92343 жыл бұрын
dada yangu umeongea vizuri sana
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Amegusa sehemu nyeti Sana huyu mwanangu jamani ambapo Ni ngumu kwa viongozi wa Zanzibar kuyazungumza Ila haki itaendelea kuwa wazi kadri siku ziendavyo.Allah amuhifadhi nakila mwenyeshari.
@chiefzumo16883 жыл бұрын
MaashaaaALLAAH bint ndie
@jumamatao36283 жыл бұрын
Ndugu yngu umeongea point haiwezekani miaka yote znz tuwe mapocho ipo namna na hili lazima lifanyiwe kazi .
@allymohammed73232 жыл бұрын
Allah akulinde na hasad lakni unaongea na watu wasiojitambua
@khakidsalimu17103 жыл бұрын
Mashaallah
@nassirmohd68503 жыл бұрын
Daaaah hongera cna ndugu yangu kwa kusema ukweli
@suleimanngare67073 жыл бұрын
Masha allah🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdullasalim2793 жыл бұрын
Upo sawa
@britishadam18963 жыл бұрын
Hongera dada umeongea vitu vya maana sana na yenye hamasa
Tunapenda kulalamika ,sina shaka na marking kufanyika bars,tujiulize walopasi znz hawapo,na wanofeli wamefeli wapi? Watoto wa Zanzibar mapenzi kwanza,ubishoo muhimu ,tuition mia lazima . je niuwongo?!
@ahmadomar33063 жыл бұрын
Dada nakukubali na ninakupenda sana
@hamidjuma21783 жыл бұрын
Dả wa znz kweli wana akili mtoto kama mtu mzima
@AhmedAli-xw6xf3 жыл бұрын
Mchukuw vdeo hafai pic ya student ni kivul
@babyzuweynaalbusaidalbusai58903 жыл бұрын
Kweli umeongea walimu wapewe thamani bila ya Allah na walimu hatuwezi shika kalam
@najmaulaya88193 жыл бұрын
Munapenda.san kujipura tatzo lenu ziro nyingi hampo makini kwenye kusoma walimu wenye elimu zao atakaa znz wapo mikoani wanakula bata
@mohamedsheikh66183 жыл бұрын
Si hayo tu hata utaratibu wetu wa mapumziko ubadilishwe jumamosi tunapumzika nini kwani sisi wasabato, la mishahara ya walimu ni rahisi tu badilisha tu mishahara wa mbunge apewe mwalim na wa mwalim apewe mbunge hapo ndo tutaona wazalendo wa kweli wanataka madaraka, kana kwamba hiyo haitoshi hebu pangeni mishahara mmoja tu tofauti iwe katika uzito wa kazi kulingana na elimu yako, na kulipwa kuwe kwa. Masaa ya kazi ikiwezekana futa kabisa mapumziko iwe ni uamuzi wa mtu na kulipwa ni kutokana na mahudhurio yako kulingana na Masaa yako ya kazi
@user-yw7st3dk7w3 жыл бұрын
Asante ww umeongea tunahitaji tujimiliki wenyewe wazanzibar tuna uwezo na ufanisi mkubwa
@habilhamad15943 жыл бұрын
Hongera dada umeongea point ya msingi darasa la saba pirudi watoto wa darasa la sita ni wadogo wa kuchanganua mambo,🤸
@fatmanassor82853 жыл бұрын
Asante san ndug yang
@wazirhaji69133 жыл бұрын
Hongera sana bint maswali yako ni mazuri sana
@saidkhamis68733 жыл бұрын
Saw
@mbaroukrajab48743 жыл бұрын
True student🙏🙏🙏🙏
@selestinytz3 жыл бұрын
Hiii ndio maaana halisi ya elimu
@utaani13 жыл бұрын
Kweli walimu wapewe mishahara mizuri wapate moyo zaidi wa kufundisha na wapate muda wa kupumzika wakitoka kazini sio wakatafute kazi nyengine baada ya kutoka kusomesha skuli
@arafaali36893 жыл бұрын
Hongera kwa kutuwakilisha
@ibramiddo48633 жыл бұрын
Honger mamyyy
@calorinyfrancis22083 жыл бұрын
Asante .wote mlionipongeza Kwa hili nitajitahidi zaidi . Na mnisamehe wale mlioona nimenena vibaya
@mudysule54953 жыл бұрын
Upo vzr hujaongea kibaya ila wajinga km hao wapo hata ukwel huupinga kw maslah yao binafsi
@calorinyfrancis22083 жыл бұрын
@@mudysule5495 thanks
@amneothman67923 жыл бұрын
Big up to uh love carolina💝💝 big up vikoooo 👏👏👏
@binseifalsuleimaniy5033 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzdishie kwa kuwa mkweli kwa akili zako nzuri tafuta ukweli popote na ukigundua tu ulipo ukweli basi ufuate usiuwache katu .we inavo onesha moyoni mwako unapend haki ndio Leo ukaweza kuyasema Yale ya haki pia kna haki ya mfumo wa maisha yako ichunguze kwa makini sio ya haki .basi wee ni mfuasi wa haki fata haki Allah atasimama na wee .wala usiogpe kma ulivo kuwa hujaogopa hapo .kwa ninavo kuhisi akli yko ni nzuri wengi kma wee walipo ugundua ukweli wameufuat ( uislmu )ahsante uislamu unapenda ukweli karibu kwenye ukweli na haki .nakunasihi mimi sabab hayo ni majukumu yetu .ahsante (by kifasihi)kuwa mtolewa nakusihi ndugu yangu
@al.oufy_graphics56533 жыл бұрын
Point ya darsa la saba kurdishwa ninzur
@eastzuuzuu70503 жыл бұрын
👍👍👍
@hassanhajjihamdan83183 жыл бұрын
Hongera sana binti
@feisalfarsy65623 жыл бұрын
Nice one
@jumahory30693 жыл бұрын
huyu binti mungu amuweke
@binammwanafa20333 жыл бұрын
💯👍
@safiasaleh6693 жыл бұрын
Nimependa dogo kauliza Kwa nini mitihani ya znz isahinishwe Tanganyika ? Rais tupe jawabu
@hijraaliy44113 жыл бұрын
Ongeeni sana ili mjifurahishe....kuhusu std six...namuunga mkono ila ilo l mitihan y taifa kumarkiwa Zanzibar bado sanaa....Zanzibar ndo hii hiii tunajuana jinsi tulivo na uo unaoitwa muhali.....sasa ikiwa kama form two tuu watoto wanapitishwa tyuu jee vp kuhusu io form 4 n 6 ambapo n part y maisha y mwanafunzi????? Mm napita tyuuu...
@kimuratv2553 жыл бұрын
Good girl ♥️
@saidabdala49803 жыл бұрын
Na rejea palepale. Kwani MASHEKH wetu si ndio walivokuwa wanatuwamsha. Kama hivi. Sasa kosa gani la kuwafunga..
@mwanaidijumanne41463 жыл бұрын
Yaan we acha tuu😭😭😭
@ahmadsayyeed79103 жыл бұрын
Ni kweli kabisa sister mitihani tunafelishwa
@kiri58073 жыл бұрын
mimi sielewi hii yakuskip darasa la 7 na 8 wakati watoto ni wadogo ikisha form 2 anafeli anabaki kuvuta bangi. wigo mwengine sio nzuri tuache kuiga nchi zilizoendelea .