Mfalme Zumaridi akiwaombea Waandishi wa Habari kzbin.info/www/bejne/b4bMpaKEm9aemK8
@joycekelvin5434 Жыл бұрын
Mungu huwa anajibu kwa wakat wke uwez kumpangia, wakati ukifik utajua Tuliza komwe lako, Kwanz Anatembea na vijana wadogo ukiacha uchawi,
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Umekuwa mweupe😮
@drnow1528 Жыл бұрын
Ujibariki Mungu chini ya Jua
@GRACEFELICIANKALUMUNA6 ай бұрын
Dada yngu ww mtangulize mungu hata Walio msaliti yesu ni wake wa karibu
@BMGOnlineTV6 ай бұрын
Amen
@restitutanjau2585 Жыл бұрын
Mungu si wahivyo
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Sawa sawa
@DOCTORMitishamba-m1r7 ай бұрын
Nimekupenda nasitaji nikuoe
@BMGOnlineTV7 ай бұрын
Serious?
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Wewe mchawi toka zako toka lini mwanamke akawa mfalme
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Hahahaaa freemason anatumika
@GRACEFELICIANKALUMUNA6 ай бұрын
Jamani dada yngu hadi machozi yananitok japo
@BMGOnlineTV6 ай бұрын
Pole sana
@BenjaminKakamasha11 ай бұрын
Na kwa nn unajiita mungu wakati pia unamtaja mungu mkuu wa mbinguni
@BMGOnlineTV11 ай бұрын
Mungu vs mungu
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Habari kuhusu Kanisa la Mfalme Zumaridi kzbin.info/www/bejne/p3esco1nndOcmq8 Mwanza.
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Freemason mutakuja kuyaona yalotokea kenya na yeye anayafanya
@DOCTORMitishamba-m1r7 ай бұрын
Naitaji nikuoe
@BMGOnlineTV7 ай бұрын
Hajaolewa?
@kamarhelo Жыл бұрын
Hivi huyu mama alifungwa kwanini
@ryanepraphaditomsely6932Ай бұрын
Uyo mazaaa anaumwaa ase mpelekeni hospitali anaa akili kabisaaaaaaaaaaaa
@BMGOnlineTV25 күн бұрын
Anaumwa nini?
@marymuthoni1551 Жыл бұрын
Wow!!! Dunia Ina mengi lakini Mungu ni Mshindi ya yote , barikiwa sana, my people perish because of lack of knowledge
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Sawa sawa
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Kabisa
@valentinanduku8718 Жыл бұрын
Kwa nini walikutoa ungekaa tu huko na wewe kama ni mtumishi wa Mungu mbn usifanye kama Paulo na sila ukajitoa
@subirachristopher1984 Жыл бұрын
Yaani zumaridi Anaweza kuwa Hajijui kama Anatumikishwa na nguvu za giza, zilimwingia Toka Tumboni. namshaur Aite watumish wa Mungu wakimwombea huyo pepo litamtoka Atamtumikia Mungu wa kweli. Akubali kuombewa
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Kazitafuta mwenyewe na makafara anatoa
@khadijayusuph2634 Жыл бұрын
Duh"ila anajumba 🤔🤔
@pulikisia7963 Жыл бұрын
Ila makeup inamkaa vizuri sana.
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Hahahaaaa kwamba kawaka vizuri
@pulikisia7963 Жыл бұрын
@@BMGOnlineTV Sanaaa!! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,makeup zinamkaaga vizuri,Kama anamakeup artist basi anamfanyia kazi nzuri.
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
@@pulikisia7963 hahaha haya
@Tabrenchavuda8 ай бұрын
Mie mfalme naomba njia uliotumia mpaka umefika hapo unakula kiyoyozi nimechoka kulala njaa
@BMGOnlineTV8 ай бұрын
Bila shaka kafanya kazi kwa bidii kwenye eneo lake la huduma, nawe ongeza jitihada kazini kwako.
@wazomyakinifu2301 Жыл бұрын
Atakayekula hiyo keki ataishia kuwa mateka na Mhanga wake! Kwanza kuingia tu ktk eneo la huyo mama inabidi ujiweke vizuri kabla kiroho. Vinginevyo anapindua ubongo chini juu!
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Hahahaaaa jamani
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 huyu shetani yumo ndani yake 🤣🤣🤣
@mutiembingi-le6kz Жыл бұрын
Muhongo
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Una maana gani?
@mutiembingi-le6kz Жыл бұрын
Maana ni uyo anajiita mfalme ye amevua nguo akaonekana mfalme amening,inia apo ama Kuna malkia apo chini? Atoe suruali tuone mfalme tuamini asituchezee izo Tisha toto asituletee moungo kabisa kufuru
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
@@mutiembingi-le6kz hahaha
@davidmdadila4080 Жыл бұрын
Sawa dada tunakuelewa wewe ni mtumishi wa MUNGU.ila kosa lako unajiita wewe ni MUNGU hapo ndipo kosa lako lilipo MUNGU ni mmoja tu.wakweli aliye hai
@peninathomasi148 Жыл бұрын
Mungu ni roho ana mwili Kwa hiyo yeye kujiita mungu siyo kosa maana mungu aonekani Kwa macho ya kibinadamu kwahiyo tunamuona mungu akiwa ndani ya mwili wa binadamu
Wanasema wanamwabudu Mungu kupitia jina la Zumaridi
@RachelMethod-rt1qx Жыл бұрын
Acha kujitetea wewe, imekwisha kuandikwa mutawatambuwa kwa matunda yao, shetani anqkutumia kupotosha watu, huwezi kuwa Mungu wewe, yaani Mungu awafuguwe hawao watu ambao ameshika fahamu zao macho yao yatiwe nuru,Mathayo 24 ukisoma yote utaelewa
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Japo imeandikwa msihukumu
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Noma sana
@RachelMethod-rt1qx Жыл бұрын
@@BMGOnlineTV nawe isiwe kama kipofu, anayenhukumu ni Mungu, lakini sisi tunasema yaliyo ya kweli hata Yesu aliwaonya wale waliyo kosea, usitetea huo ujinga wa zumarindi, ivi unajuwa watu wagapi anawapeleka kuzimu, ungekuwa hata hyo habali usingeilusha🥺
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
@@RachelMethod-rt1qx tunaomba hiyo habari ya kuzimu, sisi tunatoa huduma bila ubaguzi
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
@@RachelMethod-rt1qx usitarajie kuona tu habari unazozipenda. Mbona tulipoweka Habari ya kanisa lake kufungwa hukutupongeza? kzbin.info/www/bejne/p3esco1nndOcmq8
@hellenanyona Жыл бұрын
May the Holy spirit intervine Satan is using baba yunes to end our Mother Mary s work
@AnisetaMeena-pz7ft Жыл бұрын
Nawaonya mbele msikubali mwaliko huo!
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Hahahaaaa kwa nini mdau?
@SiwemaMohamed-s9e4 ай бұрын
Kwanini Sasa hata usipokuja yeye ana shida gan?waumini alionao wanatosha hata usipokuwepo wewe
@isabelaadeleke9733 Жыл бұрын
Uongo mtupu ulimuona wapi mwanamke anajiita mfalme tuonyeshe kwenye bibilia ,this woman is full of evil open your eyes now she want to initiate you people with the cake
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Noma sana
@liliankasogwe-se1vh Жыл бұрын
Utashinda tu mfalme Zumaridi mungu hajawahi mtupa mja wake naimani mungu yuu pamoja nawe ck zote mti wenye matunda ndo unapigwa mawe
@tukelyengewe9543 Жыл бұрын
Mungu alie zifanya mbingu na nchi Kwa mkono wako ndie wakuabudiwa .nadhan we unachanganyikiwa