Hakia mungu wapumbavu wanatengenezewa pepo ya zumalid emungu eemungu
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Usihukumu
@noellamabumbwa89014 ай бұрын
Mukutane na Yesu Kristo
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Siku ya kiama ama?
@neemasele7896 Жыл бұрын
Mungu akuogezee
@AmerdaKavishe-pu3cf4 ай бұрын
Serikali ito wanyanganya kweli nakudai palikua pametengwa sehem yaikulu badae pia utaleta shida na viongozi wadini kidogo wakupoteze kama sio mungu kua ndani yako
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Hahaha kwamba Ikulu
@ZizuMi-uh1rn Жыл бұрын
Kwamiujiza ya uyo mama mi nisingeweza kuingia umo ndani
@AmerdaKavishe-pu3cf4 ай бұрын
Uliona nini na wewe mpaka uwe na mashaka nipe siri yaunabii
@SiwemaMohammed-dr1vk Жыл бұрын
Amina
@rockcitynative9985 Жыл бұрын
Mwanza wapo matajiri wengi wakimzidi Mfalme Zumaridi pesa kwa mbali sana lakini hakuna hata tajiri mmoja mwenye ngome kubwa na nzuri kama hii ya Mfalme Zumaridi.
@NeemaOiso Жыл бұрын
Majanga ayo
@yohanajoshua78813 ай бұрын
Wewe zumalidi ni muongo, iyoo ni Roho ya ibilisii, Wapi kwenye Biblia wamemruhusu mwanamke kuhubiri, jamani tokeni kwa uyoo Mtaangamia nyotee, someni jamani Biblia 1 timotheo 2:12 Harafu someni tena 1Wakolinto 14:34-40, hilo nineno je wapi mungu akabadilika, Mungu ni Yule Yule leoa jana hata milele, Katika jina la YESU Kristo, zumalidi sio Roho wa Mungu, Hakika Mungu ajipingi kwenye neno lake
@BMGOnlineTV3 ай бұрын
Barikiwa
@festokivuyo71213 ай бұрын
Hii pesa kasitoa wapi hii dunia ni atari sana
@BMGOnlineTV3 ай бұрын
Itakuwa ni michango na nguvu za wajenzi wa kanisa lake
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifi yaani elimu sahihi
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Waombeeni sana
@VictorBulugu Жыл бұрын
Amakweli hii ni ngome ya mfalme
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Kabisa
@Asma-ff3bj9 ай бұрын
Acheni kufuru nyie watu hakuna mfalme zaidi ya mungu
@BMGOnlineTV9 ай бұрын
Mungu
@EstelJoseph Жыл бұрын
Huyu zumalid atakuja kuwambia hyo nipepo mazali kashajiita mungu atakuja kuwageuza midukule awahfath kwenye ngome yake tena wezumalidi ukome kujiitamung wakat kila mwezi unaingia kwenye siku zako mbwa weee
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Tumuombee
@emmanueljackson54454 ай бұрын
Iyo ni muungu sio MUNGU apo ni tofaut....kama ni muungu sawa lakn sio MUNGU.....Tena uyo naona zambi yake imetengwa peke Ake Kwa wino wa karimu ya chumba....ni swala la muda na nyakati....binadsmu ni kumbe kidg na dhaifu Sana Kwa MUNGU wa mbinguni