Kutoka kawe ukwamani ndipo tukio hili lilipotokea ambapo kuna bwana harusi aligoma katakat kuingia ukumbini kwa sababu anazozijua mwenyewe..!Tizama hapa kisa kizima #Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv
Пікірлер: 585
@elidasimon5045 жыл бұрын
wangapi waliomuona huyo mwenyekiti walijua ni bwana harusi😁😁😁😁😁 au mm tuuuuuuu
@judnesstemba72525 жыл бұрын
Elida Simon me mwenyewe nlijua ndio bwana harusi
@shambaprojects4885 жыл бұрын
Na mm pia
@jamilaomar98605 жыл бұрын
✋
@estajumanne65415 жыл бұрын
Mm pia
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Me too 😜😂😂
@ThobiasMarandu5 жыл бұрын
Huyo Bwana Mke wake huyo, Alitakiwa Amwache kanisani Angojee Mungu ampe Mume mwingine. Yaani Ugomvi siku ya kwanza!
@jescahkaaya17435 жыл бұрын
Thobias Marandu ahahahhahaa mapensiiii
@happypa20273 жыл бұрын
@@jescahkaaya1743 🤣😂ayo siyo mapenzi
@KhalidKhalid-zt1bc3 жыл бұрын
matatizo ya kuishi pamoja miaka 10 kisha kufunga ndoa, ugomvi haukosekani
@happymericho94645 жыл бұрын
Wanaume wa ivi mwisho wasiku ndotunaishia kuchomwa namagunia mawili ya mkaa
@tumainpeter38055 жыл бұрын
Happy Mericho hahahaaaaa yan we acha tu
@agnesskimweri87375 жыл бұрын
Hahaaaa kabisa gubu gani hilo habembelezeki
@angelkimaro98515 жыл бұрын
😂😂😂
@angelazizi48315 жыл бұрын
Uwiiiiiii hahahaha happy ww una kituko
@tayanamaleko20205 жыл бұрын
Mm pia
@salharunguma42104 жыл бұрын
Ntawaalika mmoja mmoja mje kula nyumban kwangu🤣🤣🤣🤣km unaamin bw haruc nimchaga gonga like yanguvu
@ruthmdamo76613 жыл бұрын
Dada angu Geah Ahsante kwa kutuburudisha, yaan kwa upande wangu naona kama Dunia ya sasa imevaa koti ndoa nyingi maigizo enzi ya Mabibi na mababu ndoa zao zilidumu. Yaan mitihani sana
@emmyyahya83585 жыл бұрын
Siyo ladhima jamani ukumbini biharus angefanya kitchen party yake apewe zawad kivake km bwana alikuwa hatak cyo wote wanapenda mambo mengi wengine hawapendi mambo mengi
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Bwana harusi anaanza ukorofi mapama, ila Bibi harusi jifunze kitu hapa 😂😂 Nacheka kwa uchungu wallah.
@mamawa3mamawa3215 жыл бұрын
Mbona ameanza ukorofi mapema bwana harusi?
@naimanurdin28465 жыл бұрын
Kama una Amini huyo Bwana Harusi ndo wale magunia 2 ya mkaa Gonga like hapa
@@khadijajuma7142 kama hujajipanga utakujakulia watu wa aina hiyo hua hawarekebishiki
@zuleyvendor65775 жыл бұрын
Hiyo ndio faida ya mapenzi ya kuloga😁😁😁 unamloga mwanaume akuoe wakat akupendi....mwanaume anayekupenda atakuwa yuko radhi kufanya chochote
@ziadasalim88075 жыл бұрын
Zuley Vendor umeonaee ndoa cha uchawini ugangani izo
@fidesbenard27015 жыл бұрын
Zuley Vendor 😁😁😁😁😁
@subiramussa14285 жыл бұрын
Ha ha ha
@lisajackson58675 жыл бұрын
kabisa wanawk wng wanarog san il wapndw matokeo yk n hyo
@banshbansh23295 жыл бұрын
Hujaelewa yy alikuwa nataka achangiwe pesa nyingi sio uchawi
@agnesslyatuu80265 жыл бұрын
Duuu hii ya mwaka ,mwanamke mwezangu mume kaonyeshaa kabisaaa hakutaki mbele za familia yako. Halafu unaenda tu, hadharani kakataa bila aibu kwenda na wewe hata ukumbini huko ndani mkiwa wawili utakuwa salama kweli??? Mmmh Mungu akulinde!
@beatriceannamaria81065 жыл бұрын
Agness Lyatuu kweli Agnes mwezangu mmh nishida
@kilavomngara56035 жыл бұрын
Uyo alitaka apewe ela nasimke, maana angeomba msaada hasingepewa bora michango ili afanye yake apo nymbn ni tembele na kisamvu mwaka mzima
@janemsongole98865 жыл бұрын
Agness Lyatuu.
@barikiwa223 жыл бұрын
Hii ndoa vepeee bado ipo hai🤣
@helenamwaipopo9675 жыл бұрын
Nakukubali Geah unatupa habari motomoto
@halfanrashid49775 жыл бұрын
Helena Mwaipopo yani yetu inakua ni macho na masikio tu hahahaha
@ashamganga66365 жыл бұрын
Kama mm siendi mbaka aseme ssbabu yeye msenge anategemea pesa za mchango mkundu wake
Duuhh huyo mke awe makini jmn asije yakamkuta ya Naomi yagunia mbil za mkaa
@annahatamiminilinilivutiwa97545 жыл бұрын
Umeonaeee😂😂😂😂😂😂😂😂hatareeeee!!!!
@penny43105 жыл бұрын
Kuna wanaume waroho. ...!..Tamaa! nikiwa mie siwezi rudi kwake. .... mitiahani kabla ndoa. .. hapo hakuna ndoa. ... mmmh tisha sana. ..
@Mamkubwa5 жыл бұрын
Alisema mapema jamani hawakutaka kusikia. Mimi mwanamke sikupenda mambo ya ukumbini ilinilazimu tu kufurahisha ndugu na jamaa..... kwa hiyo namuelewa kwa kias flan.
@sofiasaidi46275 жыл бұрын
ka kachi
@annaupendo47685 жыл бұрын
Ukigundua mbwembwe za mwenzio kabla hujaingia kwake pandisha mikono angalia juu sema asante Mungu baba kunionyesha tabia ya huyu mwezangu mapena na mwache aende zake 😏😏😏
@beautycaren72572 жыл бұрын
Kweli kbsa
@rhinakiza5 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂 pete ndogo wow, huo jama alikuwa aja penda
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Ni kweli kabisa watu watajitoa iwapo na wewe ulijitoa Hata hivyo huyo mwanaume alioa sababu ya kutimiza hilo tendo ila hakumpenda huyo mkewe
yan nimecheka kifala sana eti nitawaalika kwa wakati wangu
@angelazizi48315 жыл бұрын
Hatar sana
@roseodipo98685 жыл бұрын
Aabarikiwe bibi harusi....mc mjanja sana nimempenda
@annedavienyamhanga47385 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@evasanga10305 жыл бұрын
Changa uchangiwe😀😀😀😀 ningekuwa huyo mdada nami ningemaliza shelehe na kwenda nyumbani kwetu sio kwa mume tena
@esterpaul4305 жыл бұрын
Mungu amlinde Huyo bi haruc
@galayagalaya485 жыл бұрын
Duuh pole san biharus ...hvi hyo bwan kalazimishwa kuoa
@felistamyovela23825 жыл бұрын
Nmecheka kwa sauti mwee bwana harusi anavituko kwakweli
@aminanice17965 жыл бұрын
😁😁😁
@janengowi30115 жыл бұрын
Huyu bwana arusi kiboko hapo ndoa ukiingia ndani ni shida
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
Daah huyo bwana harusi ameshindwa kuwasikiliza hata watumishi wa MUNGU daah huyo dada ajipange kabisa maana huyo mwanaume
@jenifajafari76705 жыл бұрын
Wa kwanza leo😜
@TheSalma19995 жыл бұрын
Nawapenda sana watangazaji
@user-xi1pi4zr3b5 жыл бұрын
Aibu kwl watu wamejikusanya pamoja kushuhudia jambo la heri,Jmn hili tukio si lakucheka wenzangu inatia huruma Bibi harus Kajianda vzr kufuraia ndoa yake alaf yanatokea ayo Atujui bwana harusi anamatatizo gn ni jmbo lakustahajab au uenda alifosiwa kumuoa uyo bint.
@godfreymushi135 жыл бұрын
Uyo mc anakipaji genious
@user-xi1pi4zr3b5 жыл бұрын
@@godfreymushi13 👍
@jayjay43135 жыл бұрын
Haki hiyo njemba itakuwa inamke mwingine. Kaona kanisani dakika sifuri. Ukumbini lazima angetafutwa. Siku mtasikia.
@deograsiasmsolwa47665 жыл бұрын
Afadhar ndoa zetu sie chai na mkate no stress
@gloryngonyani40785 жыл бұрын
Deograsias Msolwa maamuzi tyu hata ss unaweza ukafanya hivyohivyo mkaenda kanisani na mashaidi makaludi nyumbani makala hata ugali basi
@neemakilomoni42585 жыл бұрын
Mmh alitaka pesa huyo kwa wale mnaotaka ndoa muanze pimana akili kwanza
@juihussein35585 жыл бұрын
Neema Kilomoni 😂 😂 😂 kwaiyo anaweza akawa chizi kidogo
@gloriousn64255 жыл бұрын
Kweli tena Badala WACHUNGAJI kuwakimbiza kupima afya Kuna haja wakaagiza wawe wanaenda mirembe kwanza wapewe cheti Cha afya ya akili ndo NDOA ZIWE ZINAFUNGWA 😆😆😆😆
@asiaasia-pl4fl5 жыл бұрын
Jmn kweli hekahela
@sadiaabed66875 жыл бұрын
Bwana kama huyo muangalieni vizuri ndio kwa nyumba huo biharusi nae atajuta
@suzannmaswatu65015 жыл бұрын
hahahahaaa kwa nini mmepata hrla ndogo? jamani dunia ina mambo
@evachriss59065 жыл бұрын
Kaaaah yani huyo mume ni shida kabisa yani kaonyesha makucha mapemaa jamn ,,,aibu kama hii isinikutee jmn wanaumee hatar,,,kwa kweli sisi wanawake wavumilivu mm nisinge olewa kabisaa
@jemajemw91545 жыл бұрын
Eva Chriss huyo ningelikua mm ningemuacha sio mume hafai
@dianakalinga64204 жыл бұрын
Ppppppppppppppollllllllll
@hamisasalum44715 жыл бұрын
Mwenyekiti nimemuelewa 😁😁
@mashsmash69625 жыл бұрын
mwanaume ni jibu uyo bwana harus😂😂😂😂
@germanaanatoli34113 жыл бұрын
Asante mc uko vizuri
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Watu wengine hawapendi mambo yakuimbiana anamelemeta 🤣🤣🤣
@gloriamichael79353 жыл бұрын
Amma kweli huu ni mwisho wa dunia Mimi ningemwambia Padre au mchungaji avunje ndoa aaaaaa
@dusilaabuock80604 жыл бұрын
Bwana harusi alitaka ela ya mchango iwe ela ya kuanzia maisha ya ndoa
@shamimuhasan3055 жыл бұрын
Hata mm nilijua ni bwana harusi jaman
@rukiasalim25125 жыл бұрын
Mimi Sitaki kwenda kuchomwa moto akha ngunia mbili za mkaa siyo mchezo unaanza kuunguzwa dunia sipendi
@hosnaemam68315 жыл бұрын
Daa umenichekesha wewe
@faithdaniel56525 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@beatriceannamaria81065 жыл бұрын
Rukia Salim ha ha ha ha teh kumbe dawayako hyo rukia
@silmachimamy16935 жыл бұрын
Rukia Salim 😂😂😂
@jasminliwenga69545 жыл бұрын
Rukia Salim
@sheisgodorait57215 жыл бұрын
Da Pole biharusi changamoto zimeanza mwanzo ukaaji upo hapo
Mi siwezi nifunge ndoa harafu nirudi kwa wazazi wangu uyo Mwanaume huo hampendi
@dhssgs63605 жыл бұрын
Da mimi nataman kuolewa jamani Mungu nisaidie nipate mme mwenye hofu ya Mungu
@vanyjunior17085 жыл бұрын
Hakuwa karibu yangu bwana harusi maana angeoga makofi chapa chapa sana makofi shwain
@ziadasalim88075 жыл бұрын
ndoa za madawa izo kutembelea kwa waganga bwana harusi analo chaguo lake
@hidayaking33835 жыл бұрын
Mwanake anaimani sana na ataweza kuolea
@marymathias95124 жыл бұрын
Nalijua mbishi kweli mmmh muuzanguo kawr
@FM-xi3on5 жыл бұрын
😂😂😂😂 Nimecheka kama uzuri 😂
@lovenessloveness42155 жыл бұрын
Siyo yeye jamani msumuhukumu sana kuna kilichomo ndan yake
@shireabdilatif14235 жыл бұрын
Wa mwisho ku comment gonga like
@meshackalex1245 жыл бұрын
Uyo bwana harusi atakua kasusa labla mtonyo ulivyo patikana mdogo
@evanslawrence77644 жыл бұрын
hahaa! kumbe biashara" na sichangi chochote tena'
@chikukipinga45712 жыл бұрын
Duuuh,tuangaliage na wanaume wa kuolewa mimi bado nipo nipo
@janewangaringoiya57044 жыл бұрын
Huyu baba kuna jambo alilojua la bibi arusi na hataki kusema."jipange mama mapema kabla kiumane"
@ednagodson75404 жыл бұрын
Ningeenda mwenyewe ningekulaaaaaaa n ndugu zangu ingekuwa bridal shower hiyo baada ya hapo ningeenda kwetu
@bellahyuzzomylife44285 жыл бұрын
jamani michepuko ina nguvu sana😀
@floramajor33813 жыл бұрын
Hahahhahaha
@soniafashion32584 жыл бұрын
Ningemwita mpenzi wangu wa zamani tule naye kisha tukalale
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Huyu mwanaume ndio wale wamagunia mawili ya mkaa 😂😂
@keyakeya89115 жыл бұрын
Kwakweliii
@mariamohamed48705 жыл бұрын
Hahaha na kweli
@diahemed94715 жыл бұрын
Umeonaeeee
@gloriaaugustino80315 жыл бұрын
Asia Zuberi hahahaaaa
@florakabado35435 жыл бұрын
Asia Zuberi eti wa mangunia mawili
@mariammichael97735 жыл бұрын
Mhhh! ningekuwa mimi ningeahilisha tu hiyo harusi
@amaranenula86285 жыл бұрын
Kha uyo bwana harusi kichefuchefu jaman duuu mhhhhh
@asteriambwei955 жыл бұрын
Huyo bwana ni hewa ningekuwa mie mwanamke baada ya harusi narudi kwetu tayari kashaa kuonyesha mbwembwe mwanzp baadae je? Ndoa hiyo itakuwa ya baraka kweli kila mmoja kimpango wake