BWANA HARUSI AGOMA KUINGIA UKUMBINI,KISA HIKI HAPA...!!

  Рет қаралды 238,460

Geah Habibu

Geah Habibu

5 жыл бұрын

Kutoka kawe ukwamani ndipo tukio hili lilipotokea ambapo kuna bwana harusi aligoma katakat kuingia ukumbini kwa sababu anazozijua mwenyewe..!Tizama hapa kisa kizima
#Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv

Пікірлер: 585
@elidasimon504
@elidasimon504 5 жыл бұрын
wangapi waliomuona huyo mwenyekiti walijua ni bwana harusi😁😁😁😁😁 au mm tuuuuuuu
@judnesstemba7252
@judnesstemba7252 5 жыл бұрын
Elida Simon me mwenyewe nlijua ndio bwana harusi
@shambaprojects488
@shambaprojects488 5 жыл бұрын
Na mm pia
@jamilaomar9860
@jamilaomar9860 5 жыл бұрын
@estajumanne6541
@estajumanne6541 5 жыл бұрын
Mm pia
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Me too 😜😂😂
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 5 жыл бұрын
Huyo Bwana Mke wake huyo, Alitakiwa Amwache kanisani Angojee Mungu ampe Mume mwingine. Yaani Ugomvi siku ya kwanza!
@jescahkaaya1743
@jescahkaaya1743 5 жыл бұрын
Thobias Marandu ahahahhahaa mapensiiii
@happypa2027
@happypa2027 3 жыл бұрын
@@jescahkaaya1743 🤣😂ayo siyo mapenzi
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 3 жыл бұрын
matatizo ya kuishi pamoja miaka 10 kisha kufunga ndoa, ugomvi haukosekani
@happymericho9464
@happymericho9464 5 жыл бұрын
Wanaume wa ivi mwisho wasiku ndotunaishia kuchomwa namagunia mawili ya mkaa
@tumainpeter3805
@tumainpeter3805 5 жыл бұрын
Happy Mericho hahahaaaaa yan we acha tu
@agnesskimweri8737
@agnesskimweri8737 5 жыл бұрын
Hahaaaa kabisa gubu gani hilo habembelezeki
@angelkimaro9851
@angelkimaro9851 5 жыл бұрын
😂😂😂
@angelazizi4831
@angelazizi4831 5 жыл бұрын
Uwiiiiiii hahahaha happy ww una kituko
@tayanamaleko2020
@tayanamaleko2020 5 жыл бұрын
Mm pia
@salharunguma4210
@salharunguma4210 4 жыл бұрын
Ntawaalika mmoja mmoja mje kula nyumban kwangu🤣🤣🤣🤣km unaamin bw haruc nimchaga gonga like yanguvu
@ruthmdamo7661
@ruthmdamo7661 3 жыл бұрын
Dada angu Geah Ahsante kwa kutuburudisha, yaan kwa upande wangu naona kama Dunia ya sasa imevaa koti ndoa nyingi maigizo enzi ya Mabibi na mababu ndoa zao zilidumu. Yaan mitihani sana
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 5 жыл бұрын
Siyo ladhima jamani ukumbini biharus angefanya kitchen party yake apewe zawad kivake km bwana alikuwa hatak cyo wote wanapenda mambo mengi wengine hawapendi mambo mengi
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Bwana harusi anaanza ukorofi mapama, ila Bibi harusi jifunze kitu hapa 😂😂 Nacheka kwa uchungu wallah.
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 5 жыл бұрын
Mbona ameanza ukorofi mapema bwana harusi?
@naimanurdin2846
@naimanurdin2846 5 жыл бұрын
Kama una Amini huyo Bwana Harusi ndo wale magunia 2 ya mkaa Gonga like hapa
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 5 жыл бұрын
😂😂Mbavu zangu mie huyo bwana harusi kiburi jeuri htr
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 5 жыл бұрын
Duuh ingekuwa mimi Ningekataa alipo nifata,Yani Pete ndogo,then ukumbini amejam.Basi mbona.
@habarizauhakika9376
@habarizauhakika9376 5 жыл бұрын
YAANI NINGEKULA ,MINGEKUNYA, NINGECHUKUWA ZAWADI ZANGU NA NDOA INGEKUFIA HAPO
@zennakailo8106
@zennakailo8106 5 жыл бұрын
Khaaaaaaaaa mie ningekataa,bwana harusi mjanja Kweli 😂😂😂😂😂😂😂makufuri kabana kila Kona 😂😂😂😂👏👏
@sandrandai6180
@sandrandai6180 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 huyu mwanaume kaanza vituko mapema. Kua makini dada
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 4 жыл бұрын
Mimi ningemgomea mapema kabla ya shali
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 Жыл бұрын
😅😅😅
@JescaTenga
@JescaTenga 4 жыл бұрын
Uyo bibi harusi anamoyo sana 🥺😂ningeondoka ndoa iishe tu
@meryraphael5298
@meryraphael5298 5 жыл бұрын
Hyo Dada jaman aangalie asije kwenda kucho tena na magunia ya mikaa tena jaman mbonaaaaa!!!!
@faridamkesso97
@faridamkesso97 5 жыл бұрын
Duh Masikini huyo bibi harusi Mngoni mwenzangu namuonea huruma maana vitimbwi vimeanza mapema duh huyo shemeji ana nongwa na gubu juu
@salamasalama3955
@salamasalama3955 5 жыл бұрын
Pole yake kwakwel huko aendako atajuta maana huyo mwanaume anaonekana hana mswalie kabisa 😂😂😂
@user-zj3ke9gc2u
@user-zj3ke9gc2u 5 жыл бұрын
Mtihani jamani
@happybalama3591
@happybalama3591 5 жыл бұрын
Hataki kuoa
@husnasimba5357
@husnasimba5357 5 жыл бұрын
Kumbe Wa kunyumba
@faridamkesso97
@faridamkesso97 5 жыл бұрын
@@husnasimba5357 kabisa
@happynescharles1511
@happynescharles1511 5 жыл бұрын
Uwiiii Yesu, cjui huko ndan anaishi kwa style gn wanawake tunaweza tunakazi hii nayo kazi kwel
@zainabmwengela5987
@zainabmwengela5987 5 жыл бұрын
Jamani Pete ndogo!! bwana harusi huyu veepe😂😂😂😂😂😂
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 жыл бұрын
Kupatwa kwa harusi ila harusi za kikristo zina gharama sna ujipange kweli kweli
@josephpaul4986
@josephpaul4986 5 жыл бұрын
Achaa udini nawwe harusi kuwa na gharama ni mapenzi ya walengwa tuuu mbn harus nying tu za kiislamu znakuwa na gharama piaa
@pillykenedy2140
@pillykenedy2140 5 жыл бұрын
Asia Zuberi uwiii hujashuhudia harusi za kisilamu zanzibar,
@barikiwa22
@barikiwa22 5 жыл бұрын
Hawana ubahili
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 жыл бұрын
@@josephpaul4986 bythewy nimekuelewa haruc zagarama nikujitakia pande zote mbili
@bimsinan8743
@bimsinan8743 5 жыл бұрын
Njoo zanzibar uone harusi za kiislam na za gharama kuliko izo .....
@hamisidawa7608
@hamisidawa7608 5 жыл бұрын
Safi sana, bwana Harusi tendo la Mungu ndio muhimu,yaliyobaki ni anasa tu
@irenemwakalinga4350
@irenemwakalinga4350 5 жыл бұрын
Yaani bwana harusi kaonyesha tabia zake mapema kabla ya cku yaan ningekua ndo mm bibi harusi mh kwakwer cjui ingekuaje.
@pendocharles8786
@pendocharles8786 5 жыл бұрын
😂😂😂bwana harusi alikuwa anataka apewe tu hela hizo akaanzie maisha yako
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
yah
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 5 жыл бұрын
daaah ahahahahaahah siyo yakucheka lakini daaah huyo jamaa atakuwa ana shida au kuna mwanamke kamchezesha akili baada ya kusikia anaoa
@itshiddah6494
@itshiddah6494 5 жыл бұрын
Yan mm ningekula ningeshiba ningechukua zawad zang alaf narud kwetu ndoa ctak tena
@petronillajosephat2655
@petronillajosephat2655 5 жыл бұрын
ahahaha wala usingefanya hvyo c kwa maumiv hayo
@lameckmichael760
@lameckmichael760 5 жыл бұрын
ww n kam mm kabsaa hahaha
@salamaadammleke1453
@salamaadammleke1453 5 жыл бұрын
hahahahah
@momirjulias9985
@momirjulias9985 4 жыл бұрын
Yani mim baada ya zawadi tu ningeenda kwetu ningevunja ndoa palepale
@agnesdeonatus9231
@agnesdeonatus9231 5 жыл бұрын
Mwanaume ana gubu huyo🤣🤣🤣pole kwa bi harusi
@beatricetarimo7371
@beatricetarimo7371 5 жыл бұрын
Mhhh nimeshtuka sana nikadhni uncle wangu(mwenyekiti) ndo anafunga ndoa Mara ya pili
@victoriabenedict8112
@victoriabenedict8112 5 жыл бұрын
Uyo mwanaume angenifaa sipendi mambo ya sherehe bora tufunge church twende nyumban
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
Hata Mimi sipendi Mambo ya sherehe
@faudhiaiddy7270
@faudhiaiddy7270 5 жыл бұрын
Wa pili kukoment leo😂 gonga like apa
@ladytatu2139
@ladytatu2139 5 жыл бұрын
Kunywa nasoda 😋
@sabrinaclement2408
@sabrinaclement2408 5 жыл бұрын
Daaa
@Lailath-nw9yz
@Lailath-nw9yz 5 жыл бұрын
😂😂😂dah
@faudhiaiddy7270
@faudhiaiddy7270 5 жыл бұрын
@@ladytatu2139 Asante mumy 😘
@faudhiaiddy7270
@faudhiaiddy7270 5 жыл бұрын
@Home of Delight 😂😂😂 nashanga
@tunkuh661
@tunkuh661 5 жыл бұрын
Dalili chafu hizi ... wanaume wa hivi hawachelewi kufanya maajabu ya kuchomana 🔥
@fransiscamatemu987
@fransiscamatemu987 5 жыл бұрын
QUBY ACKIM kabisa
@fatmaabuubakar5424
@fatmaabuubakar5424 5 жыл бұрын
Kabisa
@abdulqareemabdala2772
@abdulqareemabdala2772 5 жыл бұрын
We unayehojiwa umenifuraisha sanaa safi sanaa zawad apeleke kwao
@salha.d5060
@salha.d5060 5 жыл бұрын
😀😀😀😀 jaman huyo mwanaume anamichepuko mingi aliogopa kugonganisha bajaji kwa fuso
@angelazizi4831
@angelazizi4831 5 жыл бұрын
Hahahaha we nawe una mambo
@felixmwania8584
@felixmwania8584 4 жыл бұрын
Maajabu haya. MC mwenye hekima.
@mtagechota1002
@mtagechota1002 5 жыл бұрын
Jaman uyu baba nimenpenda buree dada geah nigee namba zake😁🤗🤗
@saidyomary1734
@saidyomary1734 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiii
@annahatamiminilinilivutiwa9754
@annahatamiminilinilivutiwa9754 5 жыл бұрын
Kiukweli wana wake ni wavumilivu sanaaa!!!!
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 5 жыл бұрын
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 acha tu nicheke watu wamechanganyikiwa. Pole bibie apo ukitakakuishi na huyo babu mwenye gubu lake maombi kwa sana tena yahaja 😱😂
@tumainimango8140
@tumainimango8140 5 жыл бұрын
aisha ndayishimiye hahaaaaa
@nyesamgeta7522
@nyesamgeta7522 5 жыл бұрын
Bwana harusi mkorofi
@coneschikulo3817
@coneschikulo3817 5 жыл бұрын
Hiyo ndoa sio mpango wa mungu!!!!!!!
@paulomwalimu6731
@paulomwalimu6731 5 жыл бұрын
Kweli kabisa iyo ndoa c mpango wa mungu kwani wao hawakufanya mafundisho yanayo usu ndoa?
@lisajackson5867
@lisajackson5867 5 жыл бұрын
wengine mnfos ndoa mpka mnaroga wanaume madaw yana mwisho wake
@zakakilaku6585
@zakakilaku6585 5 жыл бұрын
Paulo Mwalimu 5
@OnlyRuky
@OnlyRuky 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Eti bwana harusi ni muajiriwa wa serekali haki nimechekaaa😛
@soniahomary6430
@soniahomary6430 5 жыл бұрын
Hahahaaa makubwa
@annahatamiminilinilivutiwa9754
@annahatamiminilinilivutiwa9754 5 жыл бұрын
😂😂😂😂wametumia hekima ya jabusana hadini meipenda😜😜😜😜😜
@lulubetwel125
@lulubetwel125 5 жыл бұрын
Uyo bwana harusi mbishi ivo Kama mchumba Wang🤣🤣🤣
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 5 жыл бұрын
Kumbe tuko wengi wenye hivi vimeo 😁😁😁hadi natamani kuachia ngazi.Mtu kiburiii mbayaa
@annahatamiminilinilivutiwa9754
@annahatamiminilinilivutiwa9754 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Kamawa kwangu Nimbishi afu anajifanya anajua kilakitu😕😕😕
@florabaruti8032
@florabaruti8032 4 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 hahaha piga chini
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 4 жыл бұрын
@@florabaruti8032 Soon 😁😁😁
@susanejd7775
@susanejd7775 4 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 kama hujajipanga utakujakulia watu wa aina hiyo hua hawarekebishiki
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 5 жыл бұрын
Hiyo ndio faida ya mapenzi ya kuloga😁😁😁 unamloga mwanaume akuoe wakat akupendi....mwanaume anayekupenda atakuwa yuko radhi kufanya chochote
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 жыл бұрын
Zuley Vendor umeonaee ndoa cha uchawini ugangani izo
@fidesbenard2701
@fidesbenard2701 5 жыл бұрын
Zuley Vendor 😁😁😁😁😁
@subiramussa1428
@subiramussa1428 5 жыл бұрын
Ha ha ha
@lisajackson5867
@lisajackson5867 5 жыл бұрын
kabisa wanawk wng wanarog san il wapndw matokeo yk n hyo
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 жыл бұрын
Hujaelewa yy alikuwa nataka achangiwe pesa nyingi sio uchawi
@agnesslyatuu8026
@agnesslyatuu8026 5 жыл бұрын
Duuu hii ya mwaka ,mwanamke mwezangu mume kaonyeshaa kabisaaa hakutaki mbele za familia yako. Halafu unaenda tu, hadharani kakataa bila aibu kwenda na wewe hata ukumbini huko ndani mkiwa wawili utakuwa salama kweli??? Mmmh Mungu akulinde!
@beatriceannamaria8106
@beatriceannamaria8106 5 жыл бұрын
Agness Lyatuu kweli Agnes mwezangu mmh nishida
@kilavomngara5603
@kilavomngara5603 5 жыл бұрын
Uyo alitaka apewe ela nasimke, maana angeomba msaada hasingepewa bora michango ili afanye yake apo nymbn ni tembele na kisamvu mwaka mzima
@janemsongole9886
@janemsongole9886 5 жыл бұрын
Agness Lyatuu.
@barikiwa22
@barikiwa22 3 жыл бұрын
Hii ndoa vepeee bado ipo hai🤣
@helenamwaipopo967
@helenamwaipopo967 5 жыл бұрын
Nakukubali Geah unatupa habari motomoto
@halfanrashid4977
@halfanrashid4977 5 жыл бұрын
Helena Mwaipopo yani yetu inakua ni macho na masikio tu hahahaha
@ashamganga6636
@ashamganga6636 5 жыл бұрын
Kama mm siendi mbaka aseme ssbabu yeye msenge anategemea pesa za mchango mkundu wake
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
Big up MC👏👏👏👏
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 5 жыл бұрын
Mmh mie sijui ingekuwaje,maan aibu 🤣🤣ila bwana harusi anavituko 😂😂
@hobokelamwakajuja4174
@hobokelamwakajuja4174 5 жыл бұрын
Hiyo Kali!
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 5 жыл бұрын
Tena so kidogo
@donathasimon9292
@donathasimon9292 5 жыл бұрын
Duuhh huyo mke awe makini jmn asije yakamkuta ya Naomi yagunia mbil za mkaa
@annahatamiminilinilivutiwa9754
@annahatamiminilinilivutiwa9754 5 жыл бұрын
Umeonaeee😂😂😂😂😂😂😂😂hatareeeee!!!!
@penny4310
@penny4310 5 жыл бұрын
Kuna wanaume waroho. ...!..Tamaa! nikiwa mie siwezi rudi kwake. .... mitiahani kabla ndoa. .. hapo hakuna ndoa. ... mmmh tisha sana. ..
@Mamkubwa
@Mamkubwa 5 жыл бұрын
Alisema mapema jamani hawakutaka kusikia. Mimi mwanamke sikupenda mambo ya ukumbini ilinilazimu tu kufurahisha ndugu na jamaa..... kwa hiyo namuelewa kwa kias flan.
@sofiasaidi4627
@sofiasaidi4627 5 жыл бұрын
ka kachi
@annaupendo4768
@annaupendo4768 5 жыл бұрын
Ukigundua mbwembwe za mwenzio kabla hujaingia kwake pandisha mikono angalia juu sema asante Mungu baba kunionyesha tabia ya huyu mwezangu mapena na mwache aende zake 😏😏😏
@beautycaren7257
@beautycaren7257 2 жыл бұрын
Kweli kbsa
@rhinakiza
@rhinakiza 5 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂 pete ndogo wow, huo jama alikuwa aja penda
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa watu watajitoa iwapo na wewe ulijitoa Hata hivyo huyo mwanaume alioa sababu ya kutimiza hilo tendo ila hakumpenda huyo mkewe
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 5 жыл бұрын
Naomba kujua bwana harusi kabila gani? chonde da Gea nataka tuu kujua.
@aminahamisi8672
@aminahamisi8672 5 жыл бұрын
😊😊😊😊 tuangaliage na mwanaume wenyewe
@tttgghj2280
@tttgghj2280 5 жыл бұрын
Uyu bwana harusi mwehu hazimtoshi
@gracemagoma4873
@gracemagoma4873 3 жыл бұрын
Bibi harusi muungwana sana, iyo ndoa itadum
@tumainpeter3805
@tumainpeter3805 5 жыл бұрын
yan nimecheka kifala sana eti nitawaalika kwa wakati wangu
@angelazizi4831
@angelazizi4831 5 жыл бұрын
Hatar sana
@roseodipo9868
@roseodipo9868 5 жыл бұрын
Aabarikiwe bibi harusi....mc mjanja sana nimempenda
@annedavienyamhanga4738
@annedavienyamhanga4738 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@evasanga1030
@evasanga1030 5 жыл бұрын
Changa uchangiwe😀😀😀😀 ningekuwa huyo mdada nami ningemaliza shelehe na kwenda nyumbani kwetu sio kwa mume tena
@esterpaul430
@esterpaul430 5 жыл бұрын
Mungu amlinde Huyo bi haruc
@galayagalaya48
@galayagalaya48 5 жыл бұрын
Duuh pole san biharus ...hvi hyo bwan kalazimishwa kuoa
@felistamyovela2382
@felistamyovela2382 5 жыл бұрын
Nmecheka kwa sauti mwee bwana harusi anavituko kwakweli
@aminanice1796
@aminanice1796 5 жыл бұрын
😁😁😁
@janengowi3011
@janengowi3011 5 жыл бұрын
Huyu bwana arusi kiboko hapo ndoa ukiingia ndani ni shida
@tegemeareuben7618
@tegemeareuben7618 5 жыл бұрын
Daah huyo bwana harusi ameshindwa kuwasikiliza hata watumishi wa MUNGU daah huyo dada ajipange kabisa maana huyo mwanaume
@jenifajafari7670
@jenifajafari7670 5 жыл бұрын
Wa kwanza leo😜
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 жыл бұрын
Nawapenda sana watangazaji
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 5 жыл бұрын
Aibu kwl watu wamejikusanya pamoja kushuhudia jambo la heri,Jmn hili tukio si lakucheka wenzangu inatia huruma Bibi harus Kajianda vzr kufuraia ndoa yake alaf yanatokea ayo Atujui bwana harusi anamatatizo gn ni jmbo lakustahajab au uenda alifosiwa kumuoa uyo bint.
@godfreymushi13
@godfreymushi13 5 жыл бұрын
Uyo mc anakipaji genious
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 5 жыл бұрын
@@godfreymushi13 👍
@jayjay4313
@jayjay4313 5 жыл бұрын
Haki hiyo njemba itakuwa inamke mwingine. Kaona kanisani dakika sifuri. Ukumbini lazima angetafutwa. Siku mtasikia.
@deograsiasmsolwa4766
@deograsiasmsolwa4766 5 жыл бұрын
Afadhar ndoa zetu sie chai na mkate no stress
@gloryngonyani4078
@gloryngonyani4078 5 жыл бұрын
Deograsias Msolwa maamuzi tyu hata ss unaweza ukafanya hivyohivyo mkaenda kanisani na mashaidi makaludi nyumbani makala hata ugali basi
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 5 жыл бұрын
Mmh alitaka pesa huyo kwa wale mnaotaka ndoa muanze pimana akili kwanza
@juihussein3558
@juihussein3558 5 жыл бұрын
Neema Kilomoni 😂 😂 😂 kwaiyo anaweza akawa chizi kidogo
@gloriousn6425
@gloriousn6425 5 жыл бұрын
Kweli tena Badala WACHUNGAJI kuwakimbiza kupima afya Kuna haja wakaagiza wawe wanaenda mirembe kwanza wapewe cheti Cha afya ya akili ndo NDOA ZIWE ZINAFUNGWA 😆😆😆😆
@asiaasia-pl4fl
@asiaasia-pl4fl 5 жыл бұрын
Jmn kweli hekahela
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 5 жыл бұрын
Bwana kama huyo muangalieni vizuri ndio kwa nyumba huo biharusi nae atajuta
@suzannmaswatu6501
@suzannmaswatu6501 5 жыл бұрын
hahahahaaa kwa nini mmepata hrla ndogo? jamani dunia ina mambo
@evachriss5906
@evachriss5906 5 жыл бұрын
Kaaaah yani huyo mume ni shida kabisa yani kaonyesha makucha mapemaa jamn ,,,aibu kama hii isinikutee jmn wanaumee hatar,,,kwa kweli sisi wanawake wavumilivu mm nisinge olewa kabisaa
@jemajemw9154
@jemajemw9154 5 жыл бұрын
Eva Chriss huyo ningelikua mm ningemuacha sio mume hafai
@dianakalinga6420
@dianakalinga6420 4 жыл бұрын
Ppppppppppppppollllllllll
@hamisasalum4471
@hamisasalum4471 5 жыл бұрын
Mwenyekiti nimemuelewa 😁😁
@mashsmash6962
@mashsmash6962 5 жыл бұрын
mwanaume ni jibu uyo bwana harus😂😂😂😂
@germanaanatoli3411
@germanaanatoli3411 3 жыл бұрын
Asante mc uko vizuri
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Watu wengine hawapendi mambo yakuimbiana anamelemeta 🤣🤣🤣
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 3 жыл бұрын
Amma kweli huu ni mwisho wa dunia Mimi ningemwambia Padre au mchungaji avunje ndoa aaaaaa
@dusilaabuock8060
@dusilaabuock8060 4 жыл бұрын
Bwana harusi alitaka ela ya mchango iwe ela ya kuanzia maisha ya ndoa
@shamimuhasan305
@shamimuhasan305 5 жыл бұрын
Hata mm nilijua ni bwana harusi jaman
@rukiasalim2512
@rukiasalim2512 5 жыл бұрын
Mimi Sitaki kwenda kuchomwa moto akha ngunia mbili za mkaa siyo mchezo unaanza kuunguzwa dunia sipendi
@hosnaemam6831
@hosnaemam6831 5 жыл бұрын
Daa umenichekesha wewe
@faithdaniel5652
@faithdaniel5652 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@beatriceannamaria8106
@beatriceannamaria8106 5 жыл бұрын
Rukia Salim ha ha ha ha teh kumbe dawayako hyo rukia
@silmachimamy1693
@silmachimamy1693 5 жыл бұрын
Rukia Salim 😂😂😂
@jasminliwenga6954
@jasminliwenga6954 5 жыл бұрын
Rukia Salim
@sheisgodorait5721
@sheisgodorait5721 5 жыл бұрын
Da Pole biharusi changamoto zimeanza mwanzo ukaaji upo hapo
@gloryassey3962
@gloryassey3962 5 жыл бұрын
Inaitwa sononeko hilo lilimpata Bwana Harusi
@doristo2597
@doristo2597 5 жыл бұрын
Mh mwanaume kaonyesha gubu mapema biharusi ataisoma me ningekataa ndoa tyu yaishe ..nafunga ndoa alfu narudi kwetu mpka ck3 makubwaaa
@sumaiyamihrma7852
@sumaiyamihrma7852 5 жыл бұрын
😃😃😃😃
@lucykanuti6138
@lucykanuti6138 5 жыл бұрын
Mi siwezi nifunge ndoa harafu nirudi kwa wazazi wangu uyo Mwanaume huo hampendi
@dhssgs6360
@dhssgs6360 5 жыл бұрын
Da mimi nataman kuolewa jamani Mungu nisaidie nipate mme mwenye hofu ya Mungu
@vanyjunior1708
@vanyjunior1708 5 жыл бұрын
Hakuwa karibu yangu bwana harusi maana angeoga makofi chapa chapa sana makofi shwain
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 жыл бұрын
ndoa za madawa izo kutembelea kwa waganga bwana harusi analo chaguo lake
@hidayaking3383
@hidayaking3383 5 жыл бұрын
Mwanake anaimani sana na ataweza kuolea
@marymathias9512
@marymathias9512 4 жыл бұрын
Nalijua mbishi kweli mmmh muuzanguo kawr
@FM-xi3on
@FM-xi3on 5 жыл бұрын
😂😂😂😂 Nimecheka kama uzuri 😂
@lovenessloveness4215
@lovenessloveness4215 5 жыл бұрын
Siyo yeye jamani msumuhukumu sana kuna kilichomo ndan yake
@shireabdilatif1423
@shireabdilatif1423 5 жыл бұрын
Wa mwisho ku comment gonga like
@meshackalex124
@meshackalex124 5 жыл бұрын
Uyo bwana harusi atakua kasusa labla mtonyo ulivyo patikana mdogo
@evanslawrence7764
@evanslawrence7764 4 жыл бұрын
hahaa! kumbe biashara" na sichangi chochote tena'
@chikukipinga4571
@chikukipinga4571 2 жыл бұрын
Duuuh,tuangaliage na wanaume wa kuolewa mimi bado nipo nipo
@janewangaringoiya5704
@janewangaringoiya5704 4 жыл бұрын
Huyu baba kuna jambo alilojua la bibi arusi na hataki kusema."jipange mama mapema kabla kiumane"
@ednagodson7540
@ednagodson7540 4 жыл бұрын
Ningeenda mwenyewe ningekulaaaaaaa n ndugu zangu ingekuwa bridal shower hiyo baada ya hapo ningeenda kwetu
@bellahyuzzomylife4428
@bellahyuzzomylife4428 5 жыл бұрын
jamani michepuko ina nguvu sana😀
@floramajor3381
@floramajor3381 3 жыл бұрын
Hahahhahaha
@soniafashion3258
@soniafashion3258 4 жыл бұрын
Ningemwita mpenzi wangu wa zamani tule naye kisha tukalale
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 жыл бұрын
Huyu mwanaume ndio wale wamagunia mawili ya mkaa 😂😂
@keyakeya8911
@keyakeya8911 5 жыл бұрын
Kwakweliii
@mariamohamed4870
@mariamohamed4870 5 жыл бұрын
Hahaha na kweli
@diahemed9471
@diahemed9471 5 жыл бұрын
Umeonaeeee
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 5 жыл бұрын
Asia Zuberi hahahaaaa
@florakabado3543
@florakabado3543 5 жыл бұрын
Asia Zuberi eti wa mangunia mawili
@mariammichael9773
@mariammichael9773 5 жыл бұрын
Mhhh! ningekuwa mimi ningeahilisha tu hiyo harusi
@amaranenula8628
@amaranenula8628 5 жыл бұрын
Kha uyo bwana harusi kichefuchefu jaman duuu mhhhhh
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Huyo bwana ni hewa ningekuwa mie mwanamke baada ya harusi narudi kwetu tayari kashaa kuonyesha mbwembwe mwanzp baadae je? Ndoa hiyo itakuwa ya baraka kweli kila mmoja kimpango wake
@hasinatilafaeli616
@hasinatilafaeli616 5 жыл бұрын
Ajamani au mwana mke ndio alilazimisha ndoa 😂😂
@sarahwawuda7638
@sarahwawuda7638 5 жыл бұрын
Ndio akaamua kumdhalilisha😂😂😂😂
MASKINI KIJANA HUYU AKATALIWA NA MAMA YAKE MZAZI/MAMA HAKUMLEA
15:12
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 19 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 491 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
DADA WA KAZI AELEZEA SIKU YA TUKIO! MAUAJI KIMARA
29:46
WanawakeLive Tv
Рет қаралды 311 М.
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
21:35
Global TV Online
Рет қаралды 393 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН