Nani Anayesema Ukweli Juu Ya Kifo Cha Moringe Sokoine? Hii Hapa Historia Yake Mwanzo Mwisho (Part1)

  Рет қаралды 167,575

Charles Kombe

Charles Kombe

Күн бұрын

#HomeOfUntoldStories #borndifferent #youtubeshorts #moringesokoine
Mfahamu Edward Moringe Sokoine kiongozi machachari na aliyeogopwa na wahujumu uchumi na wala ruswa katika serikali ya Mwalimu Nyerere.
Whether you’re into recent discoveries, true stories or unusual trendsthere’s something for everyone!
You can expect all that and more coming at you in top-quality videos that are coming in every single day. If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, then join a community of 89 thousand and growing! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here on the home of untold stories!
Join the world's largest community of good and curious people! 😉
For brand, partnership enquires: charleskombetz@gmail.com

Пікірлер: 133
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Ahsante sana kwa kufuatilia channel hii. Tafadhali, usiache kusubscribe, kulike pamoja na kushare video hii🙏🏽
@majii5591
@majii5591 Жыл бұрын
Edward Moringe Sokoine and Edward Ngoyayi Lowasa, the greatest Maasai figures
@jaymadeleka4670
@jaymadeleka4670 Жыл бұрын
Mwaka 1983 nilikuwa darasa la nne, shule ya msungi upanga. Nilishuhudia kwa macho yangu, vitu vingi vikitupwa mitaroni na wahindi kwa kuogopa kukamatwa na kuhojiwa. Dar palikuwa pamoto. Na siku Mwalimu Nyerere anatangaza kifo cha Edward Moringe, nilikuwa darasa la tano. Nakumbuka, kipindi cha malenga wetu, cha radio Tanzania, kilikatizwa halafu ikapigwa nyimbo ya taifa, alafu Mwalimu Nyerere akatangaza. Nchi nzima ilipoa.
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 Жыл бұрын
Mwaka 1984" Nilikuwa darasa (4)
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 Жыл бұрын
Wewe pia ni muhenga😂😂
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Jamani 😭😭😭 umesimulia kwa kifupi ila umeeleweka sana. Mama yangu pia alinisimulia kama ulivyosimulia.
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
😭😭😭
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Kweli ilikuwa huzuni nchi nzima ilikuwa baridi na ganzi kwa watanzania wote ,tulilia sana kwani ilikuwa sio rahisi kukubali. R.I.P Sokoine
@raymondonyona.2736
@raymondonyona.2736 Жыл бұрын
Hakika EM Sokoine alikuwa mfano wa viongozi wachache wa kuigwa enzi zake na hata sasa. M/Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amen.
@salumsamesame1741
@salumsamesame1741 Жыл бұрын
Shukrani nimejifunza kitu katika nchi yangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿Tanzania
@Dennis_Okelo
@Dennis_Okelo 11 ай бұрын
God bless this departed soul. Rare African Jewel
@thomasnyarusanda2608
@thomasnyarusanda2608 Жыл бұрын
Hakuna kiongozi kama marehemu Edward Sokoine,kidogo aliyekuwa anamfuatia ni marehemu rais John Pombe Magufuli. Kando ya Mwlm Nyerere na Magufuli hakuna kiongozi mwingine aliyefuata nyayo zake.
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿
@hemmysaleh3521
@hemmysaleh3521 Жыл бұрын
Hakuna kama Rais Ali Hassan MWINYI aliewafungua watanxania katika Dunia mpya kwani watanzania WA awali walizimwa Na Dunia nyengine kama Korea Kas kazini, watu WALIKuwa kubwa Na ufukara mkubwa ila Rais Ali Hassan MWINYI ndie alie fungua minyororo ya UKOMINISTI wakishoshalisti tuliokuwa natikadi yauwafanya watu maskini Sana Na wakawa wajinga kiasi kikubwa hata TV zikikatazwa... Leo hii Tanzania inajulikna Dunia kwa Uongozi WA Rais Ali Hassan MWINYI, kwa kuleta Utajiri kwa waafrika waliokuwahawawezi hata kumiliki BAISKELI YA PHOENIX
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 Жыл бұрын
Nyerere alikuwa analimit vipato vya watu, ko makufuli naona angepewa zaidi, Sokoine alionekana msimamo wke lkn walimwahisha kabla hatujaona ujenzi wake kwa taifa lake !
@mzirayhashim1062
@mzirayhashim1062 Жыл бұрын
Uko sahihi
@mzirayhashim1062
@mzirayhashim1062 Жыл бұрын
Hii ndo shda ya cha tawala hawataki haki au ukweli kama mnamkumbuka kolimba au chifupa Amina mtajifuza mengi
@user-le9vs2uv2z
@user-le9vs2uv2z Жыл бұрын
Uko vizuri elimu ya historia, umenifafanulia vitu nilikuwa sivijui
@sebajohn9058
@sebajohn9058 Жыл бұрын
Kifo Cha sokoine kilinistua sana nikiwa mwenge sekondar mwaka 1984
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 8 ай бұрын
Asante sana ndugu kwa kutujuza historia ya Mwamba hayati Sokoine. Kumbe yule Myao aliuza meli! Du Asante Kwa historia nzuri.
@chanilamasanja9824
@chanilamasanja9824 11 ай бұрын
Magu sokoine na mwl nyerere mungu atawaweka Kwa mbingu yake hakika inasitisha Sana viongoz Kama hawa 1 nyerre gadafi madiba magufuri na mgabe nkuruma
@yakobokakuni-jm2un
@yakobokakuni-jm2un Жыл бұрын
Hakuna waziri eti kujiuzulu Kwa matibabu,huu ni uzalendo wa Hali juu
@jamesswai1683
@jamesswai1683 Жыл бұрын
Hii nchi Ina Siri nyingi sana
@godmbise-gj9ug
@godmbise-gj9ug 8 ай бұрын
Edward Moringe Sokoine alikuwa mtu safi sana. RIP
@mikidadmhando2504
@mikidadmhando2504 Жыл бұрын
SOKOINE THE UNFORGOTABLE CHARACTER OF THIS NATION
@MWINYIABDALLAH-qy1dg
@MWINYIABDALLAH-qy1dg Жыл бұрын
Huyo kweli alikua mwamba
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz 11 ай бұрын
Soinne was good man and very comfortable
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 ай бұрын
Nakumbuka siku hiyo ya kifo chake nikiwa darasa la 6, tulikuwa madarasani ikagongwa kengele ya dharula tukatoka madarasani na kukusanyika kwenye eneo la assembly. Mwalimu mkuu akiongozana na walimu wengine wakafika, Mwalimu mkuu akatutangazia kuwa waziri mkuu Edward Sokoine amefariki kwa ajali ya gari. Shule nzima tuliangua vilio na utulivu ukakosekana, tukaruhisiwa kurudi majumbani. Ilikuwa huzuni kubwa sana
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 Жыл бұрын
Inasikitisha sana...😢😢😢 Yaani kiongozi kama huyu anauliwa na mafisadi na serikali inakaa kimya.
@batulialmass8914
@batulialmass8914 4 ай бұрын
Sasa nani alie mua zaidi ya nyerere
@mwinjumasaid5596
@mwinjumasaid5596 4 ай бұрын
@@batulialmass8914 nyerer hakumuua ila kun mapapa walomuua president nyerer alimwambia apande ndege akakataa
@biteyubwoba492
@biteyubwoba492 Жыл бұрын
Nchi kwa sasa imejaa ufisadi wa kutisha, nani kiongozi anayeweza kuvaa viatu vya Sokoine, waliopo ni wachumia tumbo tu.
@franciskira925
@franciskira925 4 ай бұрын
Mimi napata ukakasi, nikiangalia jinsi ambavyo misafara ya wakubwa inavyolindwa! Mh!
@emmanuelkamwagha9364
@emmanuelkamwagha9364 Жыл бұрын
😢😭 rest in peace sokoine
@AbdallahMohamed-cz5rs
@AbdallahMohamed-cz5rs 11 ай бұрын
Ameen
@r14kgroup68
@r14kgroup68 9 ай бұрын
Jah akurehemu
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Gari lake liligongwa kwa makusudi 😭😭😭 hii Dunia jamani inamambo ya gizani. Na ni bora hatuyaoni make tungekuwa tunayaona yawezekana tungekufa kwa mishituko.
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 8 ай бұрын
Kama walimuua Mungu ataingilia kati jamani😢😢😢😢. Viongozi wapigaji wa kipindi cha Sokoine bado ndo yako hai yanaendelea kupiga
@naseriankakanyi5653
@naseriankakanyi5653 4 ай бұрын
Kweli
@peteremanuel
@peteremanuel Жыл бұрын
mungu yupo nawe
@gaspercharles4242
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
The Giants three leaders in Tanzania was Edward Moringe Sokoine Julius Kambalage Nyerere,JohnPombe Magufuli R.I.P
@karaoglan9444
@karaoglan9444 Жыл бұрын
The Greats umewapa wewe au? Jiwe naye unampa U great? Kweli umetokota!!
@johansenbashange2628
@johansenbashange2628 Жыл бұрын
Magufuli kafanya kipi cha ajabu
@khamiskhatib914
@khamiskhatib914 Жыл бұрын
Magufuli hajafanya kitu chochote wewe ndo ulofanya kitu kuliko magufuli
@henryjohn2898
@henryjohn2898 Жыл бұрын
Mimi nilikuwa kando na alipoketi baba yangu akisikiliza radio 277 ghafla wimbo wa taifa ulipigwa ndipo tangazo la kifo chake lilisikika,RIP Edward Moringe
@mrishomlyomi198
@mrishomlyomi198 Жыл бұрын
Kumpeleka mahakamani na kumnyima haki yakutomtumia wakili ni kumnyima haki mtuhumiwa hasa kwa kesi kubwa dhidi ya serikali
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 10 ай бұрын
Nakumbuka hiyo Aprill 12 nilikuwa Arusha bohari ya serikalimafunzoni .tulipata taarifa Sokoine amegongwa na cruiser ya Dumisani Dubee mimi binafsi niliumia sana baada ya siku chache msafara mlipita kuelekea Monduli kwa Mazishi Mvua kubwa sana ilinyesha huko Monduli RIP SHUJAA Sokoine😭😭
@user-ut1xc3rh4g
@user-ut1xc3rh4g 24 күн бұрын
😂😂😂 Kabisa hapo nakusoma vizuri. Nikuwa ninataka nikuombe hitoria kidogo kuhusu Hayat Eduard Muringe Sokoine.
@davidmwakasumba742
@davidmwakasumba742 Жыл бұрын
Thanks you more brother
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Always welcome 🙏🏿
@MatayoGeorge-tr6el
@MatayoGeorge-tr6el Жыл бұрын
Tunamkumbuka Sana, yeye na marehemu magufuli ndio viongozi pekee wenye sifa ya kipekee
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 Жыл бұрын
Hanaishu magu dikteta uchwara
@majii5591
@majii5591 Жыл бұрын
Mzalendo wa kweli
@IqramIsmaily
@IqramIsmaily Ай бұрын
Tanzania hii ndivyo ilivyo kiongozi bola mtetezi wawanyonge hatakiwi lazima auliwe wabaki mafisadi wazidi kuangamiza taifa,
@JosephNgailo-rr5fw
@JosephNgailo-rr5fw Жыл бұрын
Ahsante Kwa simulizi zenye kuvuta makini
@abdulisiwa4118
@abdulisiwa4118 Жыл бұрын
Nakumbuka 1983 nipo upanga niliona Mali nyingi zikitupwa mtaa wa mtitu na kilombero na waindi na Vito vya dhamani na pesa vilitupwa njiani ilikuwa kazi kubwa
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
😢😢allah amrehem aliuwawa km wa livo tulia makufli wetu tz najifuza kitu ikiwa mtedaji haki bas ujue kif kipo jiani kw serekalini jibu tosha
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Mama yangu aliniambia kuwa, akiwa shuleni kengere iligongwa na wanafunzi wote walitangaziwa kuwa Sokoine amefariki..😭😭😭😭
@omariramso7323
@omariramso7323 Жыл бұрын
Daaah sijui kwann sikuwa nimezaliwa kipindi hiki inaniuma kama vile nishawahi kumuona tunashukuru kwa simulizi hii ya kusisimua tumejifunza jambo
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Shukran sana
@josephngassa7073
@josephngassa7073 5 күн бұрын
Mzalendo wa kweli kipindi hicho
@DaudiMwanyombole-tm6hm
@DaudiMwanyombole-tm6hm Жыл бұрын
Ingekuwepo kwa sasa wangefungwa wengi sana wapiga pesa za uma sokoine alikuwa kiongozi wakipekee
@selemanismail672
@selemanismail672 Ай бұрын
Viongozi wote bora wa tanzania walipita kama upepo
@Malangalusaede
@Malangalusaede 2 ай бұрын
Tanzania nchi yangu
@MossesiMosessilaizerlaizer
@MossesiMosessilaizerlaizer 4 ай бұрын
Duh sis atajapat at mh sokoine but nilikuwa nimetamani nimuone but ivyo
@muesosindui8411
@muesosindui8411 28 күн бұрын
❤❤
@abdulpires9091
@abdulpires9091 Жыл бұрын
Good job bro👏 👍
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Thank you so much!
@Michael-te1tb
@Michael-te1tb Жыл бұрын
Yeeh tali sanaa
@JEREMIAHELONI
@JEREMIAHELONI Жыл бұрын
Kweli Sokoine alikuwa kiongozi wawatu kama hayati Magufuli haijitokea Tena kuwapata viongozi hodari na wazalendo kama Hawa.
@linomusombo9460
@linomusombo9460 Ай бұрын
uyu jamaaa aliuliwa na nyerereee😢😢
@frankmbindi6362
@frankmbindi6362 Жыл бұрын
Hawa ndo walikuwa watu sahih wa nchi hii kwenye uongoz
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 Жыл бұрын
Nyerere alikuwa maneno mengi, alileta umungu mtu, watendaji wa vjj na kata waliogopewa sana !
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Ila Nyerere hakuwataka watu ambao walikua wanapendwa na kupewa sifa sana na wananchi kutokana na kazi zao, fuatilia alivomuundia zengwe Kambona na huyo Sokoine kammaliza kabisa
@user-jx3oj2ey1u
@user-jx3oj2ey1u 4 ай бұрын
Alikuwa mzalendo wa kweli.
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz 11 ай бұрын
Serikali ya mwalimu nyerere ilimhujumu kiongozi wetu
@HajiJuma-tp8sf
@HajiJuma-tp8sf Жыл бұрын
👍👍👍👍
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 Жыл бұрын
Aliuwawa na wapinzani
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
Hakuna la maana hop wote ndo wale wale tu.. idiamin hakuwa nduli alikuwa muislamu ndio maana wazungu wakamuagiza Nyerere anvamie na hivo jesh la Zanzibar ndilo lililo tumika kuwaangaza waislamu wenzao
@ombentemba1432
@ombentemba1432 Жыл бұрын
Duu inamaana walio enda vitani ni wazanzibar
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
@@ombentemba1432 yup yup ..wakati kinaitwa jesh la nyuki from Zanzibar..
@christopherkomba7782
@christopherkomba7782 Жыл бұрын
Beka ww shoga
@elipidhugotesha1909
@elipidhugotesha1909 Жыл бұрын
Usipotoshe watu. Watu wa.zenji waliishia boda.ya mutukula.hawakutaka ingia Uganda Walisema sie tulishakumtoa.huku kule twaenda fanya nini?
@HaroubMohammedsalum
@HaroubMohammedsalum Ай бұрын
Hajauliwa na wapinzan wala hawakuwrpo kipindi hicho
@user-og4ox5jb4v
@user-og4ox5jb4v 2 ай бұрын
Sokonne alipigwa risasi na waliokuwa kwenye pikpiki
@chanilamasanja9824
@chanilamasanja9824 11 ай бұрын
Kwa kipindi hiki hakuna was kumfananisha nae bila magufuri tutasubili Sana SS watanzania
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 ай бұрын
👊✌👍.
@blandinamanongi8818
@blandinamanongi8818 4 ай бұрын
du hata sikuzaliwa
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
Duh!!
@FrankAngolwisye-mr1nc
@FrankAngolwisye-mr1nc Жыл бұрын
ASINGEPONA MTU, HASA NDANI YA SERIKALI YA CCM!!!!
@yakobokakuni-jm2un
@yakobokakuni-jm2un Жыл бұрын
Inauma sana jamani kwanini viongozi imara,shujaa hawaachwi kulifimisha Taifa mbali,majitu ndo yanaachwa,Rais Samia embu angalia hili Kwa jicho la huruma
@benordkilagwa8884
@benordkilagwa8884 Жыл бұрын
Wema hawadumu
@edwardkabare3149
@edwardkabare3149 Жыл бұрын
Couldn't believe PM Sokoine had only 3 suites(Kaunda) and 3 pairs of shoes. That to me was an exemplary leader. And to think of Kawawa getting away with selling govt. property.
@felixsanga
@felixsanga Жыл бұрын
1978 August He came to ordain my District .Three Districts were established (1)Makete (2) Hai (3)Nkasi "I saw H.I.M physically speeching in a burning sun,no platform,no tent but H.I.S slow but profound speech without speakers was penetrating deeper to the bottomest core of heart!Being in Secondary school I we were informed that Edward Moringe has left us mysteriously.When Sao Hill caught a fire subotegeousely for Enemies of Mugololo Southern Paper Mills the biggest industry in Africa .Sokoine came physically to moralize and inspire fire brigade plus Mafinga National Service Camp in a struggle of controlling the fire.We have lived,seen,talked with many good people or prophets who had the spirit of equality,brotherhood and fraternity .
@ammimateo8163
@ammimateo8163 9 ай бұрын
Economic subbotage act 1983
@naseriankakanyi5653
@naseriankakanyi5653 4 ай бұрын
Aliuwawa maskini. Lakini aliemuuwacna yeye atakufa au amekufa
@kawawamaige2973
@kawawamaige2973 Жыл бұрын
Hakuna kiogozi angebaki leo
@lilyg2134
@lilyg2134 11 ай бұрын
Wakati haya yanatokea Nyerere alikuwa wap? Mbona kama serikali haikufanya kazi kiufup ni kwamba Sokoine hakutendewa haki na serikali ya Nyerere haikuhangaika kwa lolote
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 Жыл бұрын
Daladala ilianza 1981 na sio 1983
@thabitiseapower4499
@thabitiseapower4499 Жыл бұрын
Kilicho mponza magu kama sokoine kwawapigaji bongo
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 Жыл бұрын
Kushughulikia kinachoitwa ufisadi au uhujumu uchumi bila kufuata sheria au kwa kutunga sheria kandamizi si sawa na inaondoa hata sifa ya viongozi ambao wanatenda wakiona kuwa huo ndo uzalendo
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Yaani.
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
tatizo watangazaij amusemi ukweri
@tanzahood7719
@tanzahood7719 Жыл бұрын
Asante kwa kufuatilia Babu wa Loliondo. Kama kuna ukweli unaofahaimu tunaomba utuwekee hapa katika comment itatusaidia sote
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
@@tanzahood7719 😅😅 sijui ni ukweli gani anautaka.
@OnesmoMbelle-jo8wp
@OnesmoMbelle-jo8wp Жыл бұрын
Tanzania inahitaji viongozi wa aina na sifa kama za huyo
@augustabisetsa5007
@augustabisetsa5007 Жыл бұрын
Sokoine Ana damu ya nyerere, na magufuli , viongozi mashuhuri wa tz, wakuogwa
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 Жыл бұрын
Magu dikteta ucheara c kiongoz
@AhmedNgalewa
@AhmedNgalewa Жыл бұрын
Chochote alichofanya kawawa alitumwa na nyerere
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz 11 ай бұрын
Sokoinne sokoinne❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅
@AshuraMey-hn4gz
@AshuraMey-hn4gz Жыл бұрын
Duh kipindi kile nilikuwa mwenyekiti wa Kijiji fulan huko kaskazin mwa Tanzania 😢
@RamadhanShaaban-hx5jk
@RamadhanShaaban-hx5jk Жыл бұрын
Hakuna mtu angepona.
@isayacondrald8217
@isayacondrald8217 Жыл бұрын
Hakuna ambaye angepona
@user-zs2nf8xf8s
@user-zs2nf8xf8s Жыл бұрын
Kweli huyo sokoine ni jembe bwana Leo Nani atasubutu.
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
Hiyo ni historian ya uwongo unapotosha dogo tunayafahamu vizur
@otmanmbwilo9117
@otmanmbwilo9117 Жыл бұрын
simulia ww Bas
@MrishoRamadhani-hv2do
@MrishoRamadhani-hv2do 4 ай бұрын
We jamaaa nifala sana mjinga mkubwa
@user-fd7sd1eb3f
@user-fd7sd1eb3f 11 ай бұрын
Asingebaki mtu
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 33 МЛН
Nilipoitwa Ikulu Nilipata Mcheche/Sokoine Ni Balaa--PINDA
12:45
Global TV Online
Рет қаралды 78 М.
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 6 М.
DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA  KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
36:42