Part 2: Nani Anayesema Ukweli Juu Ya Kifo Cha Moringe Sokoine? Hii Hapa Historia Yake Mwanzo Mwisho

  Рет қаралды 268,477

Charles Kombe

Charles Kombe

Жыл бұрын

#HomeOfUntoldStories
Tazama hapa Part 1 ya historia ya Moringe Sokoine 👇🏼👇🏼 • Nani Anayesema Ukweli ...
Whether you’re into recent discoveries, true stories or unusual trends there’s something for everyone!
You can expect all that and more coming at you in top-quality videos that are coming in every single day. If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, then join a community of 89 thousand and growing! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here on the home of untold stories!
Join the world's largest community of good and curious people! 😉
For brand, partnership enquires: charleskombetz@gmail.com

Пікірлер: 214
@alexkayombo2725
@alexkayombo2725 2 ай бұрын
Tumuombee sana ndugu yetu Makonda viongozi wa aina yake wanauawa sana 😢
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 8 ай бұрын
KWANINI NYERERE HAKURUHUSU UCHUNGUZI UFANYIKE WAKATI ALIKUWA POWERFUL 😮😮😮🤔🤔🤔😢
@resgoldphilays1800
@resgoldphilays1800 9 ай бұрын
Sokoine na Magufuli walikufa kwa sababu ya Kufatilia uujumu uchumi.... Na wote hawa walikufa kwenye hawamu zao za pili
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 8 ай бұрын
Tuseme kifo Cha sokoine kilipangwa au hakikupangwa Mungu ndio Anajua lkn lililo wazi kwetu sokoine alikufa na washukiwa kupanga au kutopanga kifo chake walio wengi kama si wote walikufa kifo kibaya,Cha aibu na mateso ya muda mrefu. Ubaya au uzuri wa mtu hulipwa hapa hapa duniani. RIP sokoine.
@jilalamaligisa6298
@jilalamaligisa6298 Жыл бұрын
Waliomuua nao walikufa/watakufa na hakika watajibu kwa Mungu
@iddiabdallah7352
@iddiabdallah7352 8 ай бұрын
Good boy never ever angekuwa hai mpaka sasa wamasai wangekuwa mbali sana very smart jamaa alikuwa ujasusi mbaya sana ndio unawamaliza watu wengi duniani kwa matakwa ya watu wachache
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 10 ай бұрын
Nimependa sana hii Story! Hata sisi tuliozaliwa miaka ya 90+ tumeelewa.... Story hii haitofautiani sana na kilichotokea kwa J.P.M
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 7 ай бұрын
Nikweli ,historia imejirudia
@dbarrik4108
@dbarrik4108 Жыл бұрын
Hongera sana ndugu. tuletee Historia ya Osca Kambona
@aminaomary5567
@aminaomary5567 11 ай бұрын
Mtangazaji safi sana,tuletee na mambo mengine❤❤❤🙏🙏🙏
@charleskombe
@charleskombe 11 ай бұрын
Shukran na barikiwa sana kwa kufuatilia Amina
@amosmuhagachi8867
@amosmuhagachi8867 Жыл бұрын
It was great leader and a hero in Tanzania
@peterlukali9649
@peterlukali9649 Жыл бұрын
Asante Sana Kwa kutukumbusha
@Lutengano-uj3hu
@Lutengano-uj3hu 7 ай бұрын
Miujiza ya Mungu
@msafiri2946
@msafiri2946 9 ай бұрын
Upo vizuri umenikumbusha history nyingi.
@miriambendera9938
@miriambendera9938 11 ай бұрын
Vizur havidumu. Inna lillah wainnalillah rajoun
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 8 ай бұрын
REST IN HEAVEN SOKOINE NA WALIOKUUA NAO WAMESHASEPA KUZIMU NA WENGINE WANASUBIRIA KWENDA KUZIMU BORA YA WEWE UNAYEKUMBUKWA KWA MEMA HAPA DUNIANI 😢😢😢
@rashidimataka1027
@rashidimataka1027 6 ай бұрын
sokoine hakuna kama huyu na aitatokea mwingingine
@user-fi6fi4qm8m
@user-fi6fi4qm8m 10 ай бұрын
Wote walio husika kuondoa nafsi ya sokoine kipenzi cha watanzania mungu amewaadhibu na ataendelea kuwaadhibu,
@NuruMalika
@NuruMalika 6 ай бұрын
Mungu Awaweke peponi ndungu wazili mkuu wenyezimu Awape wepesi ishaalha
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 Жыл бұрын
Siku moja ukweli wote utawekwa wazi wakati ambao wahusika wote watakuwa makaburini wakivuna matunda ya uovu wao milele hadi Kiyama Sokoine alisimamia haki inayokubalika hata mbele ya Mungu muumba na mjuzi wa siri zote. Tulishuhudia uadilifu wake usio na mfano hapa nchini. Hata mavazi anamiliki jozi 3 tu.!!! Wamasai Wana Asili ya uaminifu.
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 Жыл бұрын
Wallahi Allah Subhana Wataalah ndio hakimu wa haki. Na huko tutayatambua.n
@kyaro5945
@kyaro5945 7 ай бұрын
Utuletee na taarifa ya kifo cha Br. Gen. Kombe
@user-iw2rw3xn1w
@user-iw2rw3xn1w 8 ай бұрын
Mungu.amlaze.mahari.pema.peponi.amina
@salvatoryNestory
@salvatoryNestory 10 ай бұрын
Napenda kupata historia ya RAIS wa pili wa zanziba Abdul Jumbe. Asante.
@josephngassa7073
@josephngassa7073 7 ай бұрын
Sokoni alikuwa mzalendo wa kweli nilimuona Kwa macho yangu nikisoma darasa la pili mwaka 1983 Bariadi Shinyanga akitoa hotuba nzuri kuhusu kilimo Cha mtama Selena ili kujikinga na njaa alikuwa kiongozi shupavu na mzalendo wa kweli watu kama hawa kuwapata niadimu sana kuishi kwako ni mda mfupi sana r I p moringe sokoine
@jilalamaligisa6298
@jilalamaligisa6298 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana kaka, tuletee simulizi ya kina ya kifo maisha na kifo cha Mwl Nyerere
@salimali-rr5gp
@salimali-rr5gp Жыл бұрын
Tuletee kifo cha kolimba
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 Жыл бұрын
Eti watu wazuri hawafi si ndivyo baadhi ya viongozi wetu wanavyosema labda hawafi Rip Sokoine Rip Magu
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Nashangaaa kwakweli.
@esaumahundi5647
@esaumahundi5647 11 ай бұрын
Ufisadi ni. Mbaya sana
@user-rr8cc2nw6i
@user-rr8cc2nw6i 10 ай бұрын
Hatari sana
@r14kgroup68
@r14kgroup68 8 ай бұрын
Hii historia inaumiza sana kwa watu wanaoua ndoto za jah
@arafahhh5574
@arafahhh5574 10 ай бұрын
Hadi leo anainiuma kiongozi huyu nahisi kama kadhulumiwa roho yake jana tu RIP WAZIRI MORINGE
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 7 ай бұрын
Inauma sana
@salumsamesame1741
@salumsamesame1741 Жыл бұрын
KWANINI SISI AFRICA KIONGOZI AKIWA NA MSIMAMO MWISHO WAKE UNAKUWA MBAYA😢😢😢.WAAFRICA TUWE SIRIAZI MUNGU UTUMIAGA WATU HILI KUSAIDIA 😢😢, NI MUHIMU KUWASAPOTI VIONGOZI KAMA HAO❤
@helbertsoneka2008
@helbertsoneka2008 Жыл бұрын
shida ni kwamba wazungu wametushikia akili ila siku tutakapoanza kutumia za kwetu tutaacha kuwaua viongozi wa namna hii, maana Kila msema kweli katika nchi hii au Africa huwa adui wa nchi amin usiamini ndivyo ilivyo!
@jemamhagama4978
@jemamhagama4978 Жыл бұрын
Wapiga madili! Watu wanashindwa kupiga madili lipoti ya CAG siumesikia.
@felixsanga
@felixsanga 11 ай бұрын
In one of my comment nilisema "Msituue"Tutafutieni Kijiji tunaweza kuwa msaada au hazina baadaye.Sokoiine ,Kolimba,Mtikila na Mimi nimetafutwa but I am alive.Devils are killing prophets,Dogs are killing Gods to mask truth!
@brunoh_bx
@brunoh_bx 7 ай бұрын
Sio Africa tu ni duniani kote ipo hivyo, fuatilia hata kifo cha John Kennedy na Abraham Lincolin waliokuwa marais wa Marekani
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 7 ай бұрын
Tena hakai muda mfrefu
@selinapius7607
@selinapius7607 Жыл бұрын
Mungu amewaweka hakiba wote waliowezesha kifo cha Sokoine katika moto usiozimika.
@ezralugakila
@ezralugakila Жыл бұрын
Ewe Mungu wetu linusuru taifa letu kutokana na maadui wanaowaua watetezi wetu.
@user-lb9ww8wb8j
@user-lb9ww8wb8j 10 ай бұрын
Vizuri havidumu. Pumzika Kwa amani
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 10 ай бұрын
you deserve my subscription broo. Salute👍👍
@charleskombe
@charleskombe 5 ай бұрын
Salute bro. Thank you for watching!
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Hata Nyerere anajua kila kitu sizan kama alikua hajui
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 ай бұрын
Waliofanya njama hiyo nao wamekwisha tangulia mbele ya haki. Hapa duniani sisi wote ni wapita njia tu! Sokoine umeacha legacy kwenye nchi hii kama alivyoacha legacy muasisi wa nchi yetu Mwalimu Nyerere.
@NuruMalika
@NuruMalika 6 ай бұрын
Sana nawepesi
@eliamkamba4325
@eliamkamba4325 Жыл бұрын
Nikiangalia taifa letu lilivyochezewa, na kusikiliza historia ya mtu mchapakazi na na mzalendo kama sokoine kuuwa kwa ajali ya kupanga nimelia Sana.
@MichaelStewart-cl3fo
@MichaelStewart-cl3fo 9 ай бұрын
Kwan huyo tuu. Huko serikalini kumejaa ftna, chuki na roho ya kwann. Ukiwaza mchapakaz hata boss anakuchukiaa
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 7 ай бұрын
Dhuruma kwa watu WENYE haki ni laana kubwa. Historia ya Sokoine Kila ninapoisikiliza Huwa inanihuzunisha sana.
@mtitually5860
@mtitually5860 5 ай бұрын
Aisee tumetoka mbali sana
@user-ib2xh8li7j
@user-ib2xh8li7j 9 ай бұрын
Uko vzr let simulizi inayohusisha harakati za Marehemu shekh Abedi Amani Karume tangu kupigania Mapinduzi ZANZIBAR Hadi kifo chake kwa kuuwawa kwa kupigwa risasi wkt akihutubia nani anayehisiwa
@dadimaalim943
@dadimaalim943 8 ай бұрын
Nmerizika sna n simulizi hii mayo inaonekana kua na ukweli mwingi ndani yake
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 11 ай бұрын
Reapit it so that thouse Tanzania yang ganeretion can understand how we know our nation
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 Жыл бұрын
Sanaa,nakumbuka nilinunua nguo duka la rtc nikaziuza Tena ili kununua chakula ,
@victorcephas3618
@victorcephas3618 Ай бұрын
History inaonesha aliandaliwa ndege asafiri nayo akagoma maana ingetunguliwa, alipotaka gari akatengenezewa ajali ya gari akatoka salama akatumiwa soja mmoja kummaliza na risasi ili kifo chake kiwe cha ajali, hata risasi haikumuua wamasai wakapiga ramli wakaona ndugu yao bado hajafa ikaonekana kuwa ni soo akaminywa akamalizwa kabisa R.I.P Sokoine.
@oswaldsambaya4422
@oswaldsambaya4422 9 ай бұрын
Tunamkumbuka sana marehemu Edward Sokoine K4, 1983 Same S S
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Ongera sana mtangazaji,leo wote wako wapi?mungu analipa hapa hapa dunian.
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 10 ай бұрын
Kama kunawaliomuua huyu mwamba ,azidishiwe adhabu mara 10
@anuarykisege1741
@anuarykisege1741 9 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa dunian
@anuarykisege1741
@anuarykisege1741 9 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa dunian
@user-bp1lf3dp1l
@user-bp1lf3dp1l Жыл бұрын
Afraka tumepewa Lana kwananza Wana uchu wamadaraka mm naona walikatisha maisha yake
@josephturuthi1183
@josephturuthi1183 10 ай бұрын
😭😭😭 Waafrika na mamlaka katika serikali.
@miriambendera9938
@miriambendera9938 11 ай бұрын
Mwaka 1984 ingawa nilikua mdogo lkn kiliniuma mno nilikua ktk folen dukan tukisubir sukar
@mustafampande173
@mustafampande173 3 ай бұрын
poleee
@user-yy2fn1xf1l
@user-yy2fn1xf1l 7 ай бұрын
awanaga maarifa mengne awo mashetani ya ccm. mungu ailaze pema roho yake peponi
@user-oi5tw3gt5l
@user-oi5tw3gt5l 11 ай бұрын
Ujue mungu wa Ajabu Yako wp mnayo kimbizana nayo Kwa tamaa !!
@aniseth14cyprian80
@aniseth14cyprian80 11 ай бұрын
Kumbee Hii Tabia ya kuua Viongozii wanao tetea WANANCHI wa Hali ya Chini Ilianza zamani. Mungu awasamehee Wauajii
@joycemosha1898
@joycemosha1898 Жыл бұрын
Sokoine alikuwa anapendwa sana na jeshi kwa kuwa hakuwa kariba sana mheshiwa alikwa anapenda kuangalia mbele ujamaa hakuupeda
@neatnessmwanga8653
@neatnessmwanga8653 11 ай бұрын
Inaumaaaaaa!
@aronpaul2331
@aronpaul2331 Жыл бұрын
Duuu ila inchii hiii noma sana 😢😢😢😢
@irovyairovya2333
@irovyairovya2333 Жыл бұрын
Kumbe ivi vifo vya utata vilianza zamani eenh?
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 Жыл бұрын
Azimio la Arusha ilikuwa Dhulma kubwa Sana kwa watu wengi. What goes around comes around.
@josephgomalo41
@josephgomalo41 Жыл бұрын
Hakuna nchi inayoendelea bial kujito muhanga. na haukan muafrika anayefaidika kwa kufuata sera ziliachwa na wazungu! mabadiliko ni lazima yatokee! nyie wengine ni kenge tu kama Lissu.
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 Жыл бұрын
@@josephgomalo41 Dhulma haizai,mtu wangu
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 11 ай бұрын
​@@samuelmuthui4699hakika kabisa
@royalahmed7024
@royalahmed7024 Ай бұрын
Nakumbuka nilikuwa mjamzito wa miezi minane lkn jinsi nilivyokuwa nampenda huyu kiongozi mahiri nilienda kumuaga na foleni ilikuwa kubwa sn.
@andrewassey5108
@andrewassey5108 7 ай бұрын
Aliyemuua waziri mkuu anahukumiwa miaka mitata mama wa vipande vya nyama anahukumiwa miaka 22. Mahakama za tz 🎉
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Huyo Waziri Sokoine alikuwa kama hayati Magufuli na wema hawaishi lazima wauwawe Mungu walszei mahali pemaprponi
@user-le9vs2uv2z
@user-le9vs2uv2z 11 ай бұрын
Nimejifunza upigaji mali za umma zilianza mapema, meli iliuzwa mil.60 du hatari
@HermanKinyaiya
@HermanKinyaiya Жыл бұрын
Sokoine,hakufa,pale,alipopata ajali,alikimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro,kifo,ndiyo kilimkuta Hospitali.
@ulomirodrick255
@ulomirodrick255 7 ай бұрын
Kwa kweli alikuwa mpiganaji wa kweli
@AugustinManirakiza-hl2tg
@AugustinManirakiza-hl2tg 10 ай бұрын
Ndugu mwandishi wa matokio ya kisiasa,jina langu nnaitwa Austin nikiishi Souther Africa,nakuomba utujuze kilicho mtowa waziri wa zamani wa mambo yandani muheshmiwa Augustin Aliatinga Mrema ,adi kuasisi chama chake NCCR mageuzi.
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 10 ай бұрын
Kumbe magufuli walikuwepo tangu zamani ,Mungu ibariki Africa,tunahitaji Magufulification of africa
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 9 ай бұрын
KUMFANANISHA E. SOKOINE NA MAGUFULI NI KUTOMTENDEA HAKI KABISA E. SOKOINE TUWE WAMINIFU MUNGU ANATUONA!!! NINAWEZA KUKUBALIA NA MTU ATAKAYE MFANANISHA E. SOKOINE NA MWAL. NYERERE HAWA WATU WAWILI WALIKUWA WAMINIFU SANA JUU YA MALI YA UMA, WALIKUWA MASIKINI HAWA KUJILIMBIKIZIA MALI!!! HAWAKUWA WATOA WALA WALA RUSHWA, HAWA KUWA WAVUNJA KATIBA YA NCHI(WALIIHESHIMU VIAPO VYAO, HAWAKUDHULUMU MTU HAWAKUJIPENDELEA KWA KUJENGA VIWANJA VYA NDEGE VIKUBWA KWAO N.K NAJUWA WAJINGA WANAOONA NI SAWA TU KUJENGA UWANJÀ WA MABILIONI UKIWA HAUNÀ TIJA KWA UCHUMI WA NCHI LEO HII UPO UPO TU!!! YAKO MENGI TU YA HIVYO NI AIBU HATA KUYÀTAJA!!! IKO SIKU YATAFUNULIWA WAZI!!! KAMWE USIKUBALI MAENDELEO YOYOTE YANAYOFANYWA KWA NJIA ISIYOMPENDEZA MUNGU, MUNGU ANAPENDEZWA NA MAENDELEO YA KIDOGO KIDOGO LAKINI KWA NJIA YA HAKI.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Huyo Waziri Mkuu niyo aliyemleta Lowasa Ccm kumtoa umasaini
@BarakababaRama
@BarakababaRama 11 ай бұрын
Hii ajali ni mipango ya binaadamu sio mungu
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 7 ай бұрын
Nawaza combination ya Kambona ,sokoine ,na Mwamba Magufuli Mungu alitugea hawa watu kama zawadi lakin hawakudumu Kambona na sokoine wameondoka kwa hila anaedaiwa baba wa taifa baba wa taifa ni Oscar kambona....
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 8 ай бұрын
Kuna kitabu niliwahi kusoma kinaitwa “Who says the truth in Tanzania “ kilichoandikwa na Ndimara Tegambwage! Kimeeleza mengi juu ya kifo cha Sokoine!
@user-hv6up6fj9m
@user-hv6up6fj9m 11 ай бұрын
Mungu mkubwa there is a day
@Selemani-ks3jk
@Selemani-ks3jk 10 ай бұрын
Hakika kweli alikua kiongozi mahili sana japokua mimi sikuku mkuta
@bernardmwanjotile6647
@bernardmwanjotile6647 Жыл бұрын
Mi nafikiri hata wao wameshakufa bila kuwa waziri mkuu.
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Mbna walikataza team ya mercedes benz kufanya uchunguzi Nyerere alihusika kila kitu uzur waliofanya ivyo walikufa
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 11 ай бұрын
Ni kweli kabisaa
@user-ey5gu5tl4j
@user-ey5gu5tl4j 6 ай бұрын
Ni mipango ya mungu
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 6 ай бұрын
Hii issue haingii akilini kwamba eti alifariki kwa ajali. Hii inaonyesha kulikuwa na mpango kazi
@kinanaomar
@kinanaomar 11 ай бұрын
Nani aliye mla kichwa sokoine
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Niwe mkweli niliumizwa Sana na Kifo Cha Sokoine ...Yaani Hizi sisa na uchu wa Madaraka aseee
@PendoshirimaEmanuel-zh3fw
@PendoshirimaEmanuel-zh3fw 8 ай бұрын
Edward moringe sokoine pumzika kwa Aman
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Hata MAGUFULI amesimamia haki wamemuuwa MUNGU atawalipa
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 Жыл бұрын
Kama nae hakuua au kusababisha kifo kwa Mungu ataishi kwa raha huko,ila km nae aliua na kusababisha vifo ,nae atateswa mno
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 11 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 ай бұрын
Nakumbuka miaka hiyo wahindi na matajiri mjini Dar walitupa pesa barabarani.
@PaulMbezi-ck2th
@PaulMbezi-ck2th 11 ай бұрын
Sikiliza wimbo wa patrick balisidya,Duniani hakuna wema,uone jinsi viongozi wa kiafrika walookuwa wema walivyo uwawa
@sharifahmed7346
@sharifahmed7346 11 ай бұрын
Kwa heri Moringe !!!!
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 7 ай бұрын
Huyu walimuua mre mre ndani ya gari huyo alio mgonga amekuja kumalizia tu tu ila uziri wake kila mtu atakufa ...na washatangalia teali
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 Жыл бұрын
Kwa sisi wazee tulioishi enzi hizo, tunashukuru Sana ufafanuzi wako maana ilikuwa ni kitendawili kwa miaka mingi sana. Kweli viongozi wazalendo hawadumu duniani kote. Hiyo ndiyo maana ya dunia. Tuliondoka kwenda masomoni huko lndonesia mwaka huo na wenyeji wetu tulioongozana nao toka hapa hawakuamini kuwa alikufa kwa ajali.
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Nashkuru mzee wangu kwa kufuatilia na kwa maoni yako.
@gregorynyanda8141
@gregorynyanda8141 Жыл бұрын
Tuletee taarifa kuhusu kifo cha Gen kombe
@joramnkya6756
@joramnkya6756 9 ай бұрын
Llll lol l
@modestalois2535
@modestalois2535 9 ай бұрын
Hizo ni stori tu,Mwl kama mkuu wa Nchi alichukua hatua gani😢😢😢,ingependeza zaidi kama uchunguzi huru ungefanyika hata leo.😢😢😢siamini!!?
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 7 ай бұрын
Mwalimu alihusika ndo maana uchunguzi ulizimwa mpaka kaburi liliwekewa ulinzi mkali kwa miaka
@SamoraSanga-ox9rv
@SamoraSanga-ox9rv 11 ай бұрын
Katika maisha popote unapoishi usipende kuwa mkweli sana jamii huwa haitaki!!!!!
@MichaelStewart-cl3fo
@MichaelStewart-cl3fo 9 ай бұрын
Ftna, chuki na roho ya kwann ndo tunazo jua sisi watz
@illomowerner7690
@illomowerner7690 7 ай бұрын
Nimekuelewa kamanda Sanga, ulichokipost ni Ukweli mtupu japo Kuna watu watakupinga
@illomowerner7690
@illomowerner7690 7 ай бұрын
Mimi natoka Makete, vipi ndugu Sanga, wewe una asili pia ya huku ukingani?
@elkanangosha9588
@elkanangosha9588 Жыл бұрын
Radiator video ya kifo hicho
@miriambendera9938
@miriambendera9938 11 ай бұрын
Tunashukur kwa historia ndefu tuletee ya mh. Magufuli rais wa wanyonge
@charleskombe
@charleskombe 11 ай бұрын
Shukran kwa kufuatilia Miriam. Nitafanya hivyo!
@zulfajuma8394
@zulfajuma8394 7 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@AKIDANURUEDSONMLIMAKUTWA
@AKIDANURUEDSONMLIMAKUTWA 13 күн бұрын
WAZALENDO HAWAKAI... , WANAISHI MUDA MCHACHEE....
@user-sm1jj7lr4t
@user-sm1jj7lr4t 2 ай бұрын
Tuletee historia ya magufuli naona kama inahusiana na ya Moringe
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 Ай бұрын
Ni hayati na si marehemu
@BonifaceTatuga
@BonifaceTatuga 11 ай бұрын
Tanzania tuna hazina ya viongozi shupavu Ila Kuna wahujumu uchumi ndiyo wanawaua
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👊👍✌.
@user-ul6fi5hl7h
@user-ul6fi5hl7h 8 ай бұрын
😭😭😭😢yaaaan imeniuma sana na nimeipwlenda sn hi story
@charleskombe
@charleskombe 8 ай бұрын
Pole na asante sana kwa kufuatilia
@benoseaone
@benoseaone Жыл бұрын
Anayesema Moringe Sokoine alikufa, anakuwa yuko sahihi zaidi lakini anayetafuta nani alihusika na kifo chake, anakosea sana. Mungu alitoa na mungu alitwaa jina Lake lihimidiwe
@helbertsoneka2008
@helbertsoneka2008 Жыл бұрын
Mmmh ukikuwa utajua ndugu yngu
@neemasolomon1541
@neemasolomon1541 Жыл бұрын
Kwahiyo watu wafe tu bila kuangalia kisababishi
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Ila wewe kwanza naona hujawai kufiwa, ndiomana unaongea makorokocho.
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 7 ай бұрын
​@@happylynguya3464ndioooo hajawahi
@DawnMurcas-pz4uq
@DawnMurcas-pz4uq 4 ай бұрын
How are about horasi korimmba
@kondosaid216
@kondosaid216 Жыл бұрын
Kumbe hii style ya kuua viongozi ilianza mda mrefu sio kwa Magufuli tu😭😭😭
@betitympeleta9697
@betitympeleta9697 11 ай бұрын
so sad
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 11 ай бұрын
CCM kaka hawapendi watu wanaopinga rushwa toka asubuh.....Mwalimu alikataa team nyingi tu za uchunguzi kutoka nje ya nchi.....hapo ndipo palipoleta mashaka why Mwalimu anakataa hilo suala..
@Barnabasmahindi
@Barnabasmahindi 11 ай бұрын
🎉🎉​@@betitympeleta9697
@LumolaSteven
@LumolaSteven 9 ай бұрын
Na hao Viongozi wenyewe pia wanaua.
@issabilali3539
@issabilali3539 9 ай бұрын
Taifa letu linalaana ya kuuwa viongozi wazuri.
@HermanKinyaiya
@HermanKinyaiya Жыл бұрын
Sokoine,Walimuua,kama,WALIVYOMUUA,DR.JOHN POMBE MAGUFULI.
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 424 М.
Maisha ya Dereva wa Mwalimu Nyerere Yanasikitisha!
24:07
Global TV Online
Рет қаралды 510 М.
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 12 МЛН
HII NDIO HISTORIA YA SOKOINE NA JINSI KIFO CHAKE KILIVYOTOKEA
7:19
Mwanaume Kufa Mapema prt 3  - Pr. Joshua Njuguna
49:20
2CBN TV
Рет қаралды 112 М.