PART 2: KILA NIKIKUMBUKA/ NALIA SANA/ WALINIKATISHA TAMAA/MAMA YANGU/KIMBILIO LANGU - LULU

  Рет қаралды 139,021

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Exclusive Interview ya Elizabeth Michael kwenye KASRI LA KIKEKE, SALIM KIKEKE, TEMIDAYO NA SARAKIKYA.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 193
@magrethmalobola5470
@magrethmalobola5470 3 ай бұрын
Huyu dada anajua sana kujieleza...mpaka raha kumsikiliza ety❤
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 3 ай бұрын
Sana 🎉
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 ай бұрын
True akili ya kichaga na Kihaya hatari fire.
@HelenChacha
@HelenChacha 2 ай бұрын
@ElisabethAhanamungu
@ElisabethAhanamungu 2 ай бұрын
Très intelligente 🎉❤
@SalmaMayagila-i8r
@SalmaMayagila-i8r 2 ай бұрын
Sanaaa
@christopherjoseph9981
@christopherjoseph9981 3 ай бұрын
This young lady is very good in interview!anajua sana kujieleza!Namfuatiliaga sana interview zake!anaeza sana sana kujieleza
@gonsalvamswaga6471
@gonsalvamswaga6471 3 ай бұрын
sababu nahisi a fake maisha anaongea uhalisia wake
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 ай бұрын
Hicho kingeraza mbona hazieleweki?😂😂😂
@FaudhiaMohamed-m1t
@FaudhiaMohamed-m1t 2 ай бұрын
Mungu ndio kila kitu ndugu yangu lulu hujakosea🙏Salim kikeke hongera sana kaka unaipenda sana kazi yako allah akutangulie ktk maisha yako yote na akujaalie mwisho mwema inshaallah 😘🙏
@lucymoshi6866
@lucymoshi6866 2 ай бұрын
Mwanangu Mungu akunyanyue mwanangu ulitaka kupoteza ukarudi kwa kasi kuliko waliokucheka big up mamy I pay for u 2
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 3 ай бұрын
Hongera sana Lulu, Kwa Sala ,Sala,Maombi hayaendi bure pia ni Akiba,Hakika Ukimlilia Mungu anajibu🙏🏿Hongera kwa Hekima uliyonayo pia Hongera kwa Kumtegemea na Kumuweka Mungu wa Kwanza,Wewe ni Mshindi.
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 2 ай бұрын
MSANII NAMBA ONE ANAEJUA KUJIELEZEA❤❤NAMPENDA AKICHEKA LULU😂😂😂MAJIZO KAPATA MKE.HESHIMU NDOA YKO ,LEA WANAO FANYA KAZI.KUDANGA KUMEPITWA NA WAKATI.hii style kila week song za dini na dunia ni mie dadaako nko ivo kwa my car😂😂😂😂enjoy eliza wangu.ila sku nyingi suka rasta au weka wigi lisiloonekana ka wigi luv uuuuuuuuuuu
@3sixtv140
@3sixtv140 2 ай бұрын
afu kuna huyu dada mtangazaji, mkimya, maswali mazuri, sauti nzuri yeye mwenyewe mzuri to cut a long story short ni mtangazaji mzuri.
@nurumichael2554
@nurumichael2554 3 ай бұрын
Umebalikiwa sana na Mungu,Nimejifunza mengi.
@ellenpendamani6069
@ellenpendamani6069 2 ай бұрын
Lulu Lulu Lulu nakuita ..you are just the best ..n this is point of my view..just Go ..May God Bless you.
@salomemkilima5732
@salomemkilima5732 2 ай бұрын
Ila kikeke wewe ni mwandishi international hongera sana sana sana upo vizuri kwenye kuhoji unahoji kama upo BBC vile no kiswanglishi kaka yangu.
@betymgaya-p9l
@betymgaya-p9l Ай бұрын
Yaaani hadi rahaa napenda saaana mtu anaeongea kiswahili kuliko kumtukuza mzungu
@ireneboniventure7434
@ireneboniventure7434 3 ай бұрын
She's too smart , yani too much smartness
@johanjoha5262
@johanjoha5262 3 ай бұрын
Dada napendaga Interviews zake Amenenepa amependeza sana
@PerfectJbo03
@PerfectJbo03 3 ай бұрын
Tunakuelewa Sana Madame Lulu National
@SabrinaAhmad-q8z
@SabrinaAhmad-q8z 2 ай бұрын
Nilikuwa nampenda Lulu mpk nilienda itv kweny kipindi cha ITV cha watoto wetu kumuona nilikua sikosi kipindi chake chcht kweny TV.❤😊
@HellenElias-q7f
@HellenElias-q7f 2 ай бұрын
Yaan hachoshi kumsikiliza maan anaongea Good points 👏 big up kipenz Mungu Azidi kukupa maisha marefu tuzidi kupata Nondooo ❤❤
@yjkbcdghjb
@yjkbcdghjb 3 ай бұрын
Mungu lazima akusaidie maana unajua kumtangaza ambacho ni kitu kizuri sana. Wengi sana walilia na ww hasa ile kesi mimi mwenyew nilikaa nikalia sana huku nasali 😢. Namuomba Mungu anipe hekima na ujasiri Kama wako. Nasubiria kipindi cha oprah. Lastly kikeke uko vizur sana
@mussabendera1751
@mussabendera1751 2 ай бұрын
She is my best actress of all time in Tanzania
@stevenndossi
@stevenndossi 3 ай бұрын
Kikeke anajua san huwez amin amekaa nje zaid ya miak 20 lakn hachanganyi lugha na ana huo uwez aisee hongera kwake anajua san
@danielmllay8332
@danielmllay8332 3 ай бұрын
Umeonae 👏👏👏
@veridianacharles4511
@veridianacharles4511 2 ай бұрын
Kwa sababu alikuwa anatumia lugha moja kwenye kufanya kazi yake
@AngelAfric
@AngelAfric 2 ай бұрын
But wabongo hapahapa wanachanganya lugha 😂 sijui wapoje
@godlema6104
@godlema6104 Ай бұрын
Kabisa
@gracejjanuary414
@gracejjanuary414 2 ай бұрын
Umeweza kubeba mambo makubwa kwa umri mdogo Mungu akuinue ❤Nakupenda
@BintyJumaOg
@BintyJumaOg 2 ай бұрын
My favorite actor❤
@besthonney3232
@besthonney3232 3 ай бұрын
YOU ARE CHOOSEN ONE BIG UP MY SISTRE
@kilalomaerlymauya6632
@kilalomaerlymauya6632 2 ай бұрын
sema lulu anajielewa sana ni creatable
@salmachuwa5147
@salmachuwa5147 2 ай бұрын
Love youuuu more lulu upo na upeo wajuuu Ustaaa hujawahi kukubadili Tabia yako live long mdogo wangu
@siphifahashimu9723
@siphifahashimu9723 14 күн бұрын
AKILI KUBWAA ndani ya BONGO MOVIE❤❤❤❤ LULU
@FeywisNoel
@FeywisNoel 2 ай бұрын
Apewe uongozi serikalin km jokate anaakili sana na anamaelezo yaliyonyooka,,,, everything is on spot. 🎉 sichokag kumsikiliza kabsa
@yasintayasinta1306
@yasintayasinta1306 3 ай бұрын
Yani mimi uwanakupenda sana dada uaunaongeya poiti❤
@gloshyjm2375
@gloshyjm2375 2 ай бұрын
This interview was so refreshing, goo girl 🔥🔥🔥 you are doing amazing for yourself
@jumamshana3417
@jumamshana3417 3 ай бұрын
Nimefrahi kuona crown mnafatilia maoni yetu wadau kuweka logo kwenye mic zetu hongereni kwa Hilo pia..
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 3 ай бұрын
Dada anatema madini tuuu aisee kaka majizzo amepata mke haswaaaa
@salomemkilima5732
@salomemkilima5732 2 ай бұрын
Lulu ana akili sana na anajua kujibu ukilinganisha umri wake na majibu anayo jibu anaonekana amekomaa na naamini akina monalisa wamemkomaza na ametulia.pia hongera sana sana unajua kuhoji wewe ni mwanahabari wa international.
@janethngowi1058
@janethngowi1058 2 ай бұрын
Hapo kwenye coment za Lulu huwa napenda sana majibu yake
@leahsamwel1931
@leahsamwel1931 2 ай бұрын
Tumpe lulu maua yake lakini tuwape watangazaji hawa wa crown media maua mengi tafadhali....hawa sasa ndo watangazaji yaaani studio imetulia maswali yanaulizwa wa kujibu anapata muda wa kujibu kwa ufasaha na muda mrefu. Sio wale wengine keleeeeeeeeeleeee😂😂
@Aziza-z4f
@Aziza-z4f 3 ай бұрын
Mashaallah dd lulu nimejifuza kitu kwako🎉🎉🎉
@harrietsutta2568
@harrietsutta2568 Ай бұрын
Daima Mungu hawezi kukuweka katika jambo ambalo hawezi kukutoa
@AishaSaid-yg1ou
@AishaSaid-yg1ou 2 ай бұрын
Mash Allah lulu nampenda❤
@Verochanel123
@Verochanel123 2 ай бұрын
I love this girl hongera sana ma g
@neemathomas2008
@neemathomas2008 2 ай бұрын
❤❤❤❤ nguvu ya maombi
@Binastlysh
@Binastlysh 2 ай бұрын
This is the best interview ever
@GodfreyKarino
@GodfreyKarino 3 ай бұрын
Mke mzuri lulu
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 3 ай бұрын
Kiiingerezaaa bwana mbele ya kikeke usikute wanamcheki tu kikeke wala haongei mtaalamu
@rehemakilembe-e2x
@rehemakilembe-e2x 2 ай бұрын
Unajua sana dada
@PreciousWisdom-v6j
@PreciousWisdom-v6j 2 ай бұрын
Pendaaa sanaaa wewwewe Muumba akulinde 🎉
@MariaThomas-wm9iq
@MariaThomas-wm9iq 3 ай бұрын
Napenda tabasamu la lulu😊
@elizabethjames6731
@elizabethjames6731 2 ай бұрын
Big up lulu ❤
@TinaChaya-z4x
@TinaChaya-z4x 2 ай бұрын
Kiukweli anakipaji na ana IQ kubwa sanaa. Nampenda sanaa huyu dada..
@charleskilian
@charleskilian 2 ай бұрын
Hongera sana lulu
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 3 ай бұрын
Lulu anaongeaga vzr Kina Mobeto hawamfikii
@lightnesschiwinga325
@lightnesschiwinga325 3 ай бұрын
Kwan ww unamfikia😅😅😅😅😅wabongo bhn kisa unamchukia mobbeto😂😂😂😂😂😂😂😂
@juliethmagezi3104
@juliethmagezi3104 2 ай бұрын
Kipenzii naitwa Julieth Jeremiah Magezi
@bakarihussein3439
@bakarihussein3439 3 ай бұрын
Mbona ampo live crown sport vp mnatuangusha
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 ай бұрын
Elizabeth mchaga kutoka Kijiji cha kirongo juu usseri rombo kilimanjaro
@bahatilyimo659
@bahatilyimo659 2 ай бұрын
God loves you Lulu.
@nailaomar4810
@nailaomar4810 3 ай бұрын
Mashaallah she's beautiful always❤
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 ай бұрын
Mim sijaona sababu yakuhojiwa mambo yaliopita kuhusu kanumba or sijui nini...kulikuwa hamna sababu ya kuongea mambo hayo...kwamana sio memory nzur
@arnhemzuid8885
@arnhemzuid8885 2 ай бұрын
Kuna cha kujifunza lakini pia anapopata nafasi kama hii ataondoa ile guilty na pia atakuwa na ujasiri wa kuieleza jamii ukweli.
@salimgonda4457
@salimgonda4457 2 ай бұрын
Mtangazaji wa kike.. #SautiTajika 👌
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 3 ай бұрын
Kanajua kujieleza kadada
@daudasajile813
@daudasajile813 3 ай бұрын
Great one❤
@salomemassawe-d7k
@salomemassawe-d7k 2 ай бұрын
Salim ❤❤❤
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 2 ай бұрын
😂😂😂😂lulu ur so charming ❤❤❤
@ChristinaTipp
@ChristinaTipp 2 ай бұрын
Una miaka mingp lulu wangu😘
@AsteriaMontgomery
@AsteriaMontgomery 20 күн бұрын
Kikeke Anajuwa rugha kuliko .lkn humuoni akimix mix kweli waswahili noma
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 3 ай бұрын
Eventually umerudia hili neno madame
@happysangi6847
@happysangi6847 2 ай бұрын
Yani sio sahihi kurudia neno moja hivyo kwenye lugha
@siphifahashimu9723
@siphifahashimu9723 14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rehemakatundu7027
@rehemakatundu7027 3 ай бұрын
#Elizabeth michael❤
@RaurentCasbeth
@RaurentCasbeth 3 ай бұрын
ɴɪʟɪᴄʜᴏ ᴋɪᴘᴇɴᴅᴀ ᴋᴀᴍsʜɪᴋᴀ ᴍᴜɴɢᴜ ɴᴀ ᴋᴜᴊɪᴀᴍɪɴ
@joharijonasi5845
@joharijonasi5845 Ай бұрын
Wee ni modo wangu
@restitutakisamo7607
@restitutakisamo7607 3 ай бұрын
Kwa kweli huyo amekomaa kiakili sana,chezea mchaga wewe.
@kilwadreamsbeachresort9319
@kilwadreamsbeachresort9319 3 ай бұрын
Hi Lulu naomba nikupe lulu wa miaka hiyo ni mtoto mzuri naweza kuigiza na kuimba
@uwasekanimba4115
@uwasekanimba4115 3 ай бұрын
Turagukunda lulu ❤️🇺🇸🇷🇼
@vagashappnecy4850
@vagashappnecy4850 2 ай бұрын
Bwana mimi nakapendaga sanaaaaaa
@CharlesMmari
@CharlesMmari 2 ай бұрын
❤❤❤
@ShaymaaMlanza
@ShaymaaMlanza 3 ай бұрын
Kweli lulu ulikuwa unawachanganya watu ulipokuwa mdogo nakumbuka ikifka jmosi watu wanaacha kazi kuangalia runinga kaole lulu kidedea anita
@arnhemzuid8885
@arnhemzuid8885 2 ай бұрын
Nyingi ni za kufikirika hazina uhalisi na jamii yetu.
@jukaelyelisha6311
@jukaelyelisha6311 2 ай бұрын
Lulu MUNGU akutunze sana
@tatushija3775
@tatushija3775 2 ай бұрын
@Jordan-ov4yc
@Jordan-ov4yc 3 ай бұрын
My young sister anajua kuigiza lulu ukifanya mpe chanc
@drusilaSumari
@drusilaSumari 3 ай бұрын
Ebu nihojini na mm jamani Nina historian yangu😢
@Jasminadamu
@Jasminadamu 2 ай бұрын
Tulie mpaka tuchakae😢
@emilegentil9538
@emilegentil9538 3 ай бұрын
Moto😊
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 ай бұрын
Lulu kichwa
@EufranciaManka
@EufranciaManka 2 ай бұрын
Mama samia mpe huyu lulu ukuu wa mkoa
@zainabudadi6143
@zainabudadi6143 2 ай бұрын
Kwakwel anakitu atafika mbali❤❤
@agricolajoseph2017
@agricolajoseph2017 2 ай бұрын
Lulu wewe ni mwimbaji maarufu kuliko hata tamthilia Imba Gospel utafika mbali zaidi pamoja na kwamba upo mbali. Ndiyo maneno yangu kila siku nasemaga LULU NI MWIMBAJI hata kama sikukufikia Ni mwimbaji maarufu imba imba imba kabisa.
@WemaMaeda
@WemaMaeda 2 ай бұрын
Penda chana wewe mdada❤
@KhadijaShamusi
@KhadijaShamusi 2 ай бұрын
Mungu akuntunze katka mikono salama,maana unajua saaana
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 3 ай бұрын
Changanya lugha ni dalili ya kisomo finyo. Acheni hii tabia ni aibu kwa vijana wa taifa hili.
@Josiah_Miraji
@Josiah_Miraji 3 ай бұрын
Kwani shida ipo wapi akichanganya lugha!? Ndio mana tuko nyuma sana kwenye lugha ya kiingereza wakenya hoyee
@EdnaMbowe
@EdnaMbowe 3 ай бұрын
Ndio inanoga
@Bobhov
@Bobhov 2 ай бұрын
Kweli, Yuko vizuri sana Binti angepata tu mtu wa kumwelewesha kwamba, Lugha huwa haichanganyi, Lakin namkubali sana mdada, Mungu aendelee Kua nae, 🎉
@lukandamizasimbi44
@lukandamizasimbi44 2 ай бұрын
Doctor cheni ni mtu ambaye alikua na wewe bega kwa bega hilo nalijuwa vizuri sana
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 3 ай бұрын
Wa-Tanzania na hususani hawa wasania kujifaragua na lugha ya kizungu ili waonekane ni wasomi ni ushamba tu unawatawala vichwa vyao.
@huldamichael4445
@huldamichael4445 2 ай бұрын
Majizo aliona kitu
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 3 ай бұрын
Nimekuelewa momu gg.
@JosephMichael-z5y
@JosephMichael-z5y 3 ай бұрын
Mapema tuuu
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 3 ай бұрын
Kikeke toani somo hapo mnapofanya mahojiano. Changanya English na Kiswahili ni uboya
@nataemsuya
@nataemsuya 3 ай бұрын
Yani sijawahi kuona mzungu Wa Europe kuchanganya lugha 2 ktk mahojiano🙂‍↔️
@Ufahamu-01
@Ufahamu-01 3 ай бұрын
🎉
@happyalicko8571
@happyalicko8571 2 ай бұрын
Kafupi lkn akili kibwa nakapendaaa
@eliashopeministriestanzani8033
@eliashopeministriestanzani8033 2 ай бұрын
Lulu anajua kujieleza lkn namshauri achague lugha ya kutumia , kama English or Swahili,
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 3 ай бұрын
Ukimuambia aongee tu english hawezi... ila tuswanglish miingi rubish
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 3 ай бұрын
Mtoto wa kiume makasiriko ya nn au pungaa😂 she's the best.Be positive.Unampunguzia nn,nyau wee
@EdnaMbowe
@EdnaMbowe 3 ай бұрын
@@abuumohamed7090👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@irenemlay9104
@irenemlay9104 2 ай бұрын
Ni stage towards perfection. Au asifanye ?
@rosejulius1916
@rosejulius1916 2 ай бұрын
Wa rombo tupewe maua yetu😂
@majimototv5670
@majimototv5670 3 ай бұрын
😮😮
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 3 ай бұрын
Kuna neno nimelisikia eventually ...limejirudia hilo
@ingabireshakira9631
@ingabireshakira9631 3 ай бұрын
Kwn kuna shido😂
@DativaMbowe
@DativaMbowe 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Lulu 🎉🎉🎉🎉
@zuwenazuwena7764
@zuwenazuwena7764 3 ай бұрын
Mashallah kwenda kwenye radio ya ex wake good job lulu
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 3 ай бұрын
Ndiyo maana unaitwa zuwena😏
@paschalinaproty
@paschalinaproty 2 ай бұрын
😂😂😂😂​@@lilianestephanie7881
@alhamdullilla5108
@alhamdullilla5108 2 ай бұрын
Kwa sura gani ulikuwa nayoooo 😅😅😅😅 paka watu wanakukumbatia wanakulia kwa uzuri gani ulikuwa naooo ww 😅😅😅😅
@arnhemzuid8885
@arnhemzuid8885 2 ай бұрын
Sikuwahi kumlaumu Lulu wa wakati ule kwani muda wote niliamini ni mtoto aliyehitaji si kuongozwa tu bali pia kulindwa. Nililaumu KAOLE kwa kushindwa kumlinda. hawakumlinda
@latifagogola1863
@latifagogola1863 3 ай бұрын
Hivi eventually maana yake nini
@Mtoto-ig5vw
@Mtoto-ig5vw 2 ай бұрын
Hatimaye😂😂😂😂
UKWELI ULIOFICHIKA NA IRENE UWOYA EPSD1
25:14
Irene Uwoya
Рет қаралды 99 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 6 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2,9 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 8 МЛН
Mimi S01Ep01 (TV Series)
25:19
Elizabeth Michael
Рет қаралды 108 М.
REYANA - SIMULIZI MPYA
3:03:32
Ankojay Simulizi
Рет қаралды 40 М.
UKIMCHUKUWA MUME WANGU UTACHAGUA MAMBO MAWILI ''LULU WHITE''
37:21
Rammy:Sababu Ya kuachana Na POSH QUEEN/Aibu/Ananipigia Simu
12:54
Dizzim Online
Рет қаралды 69 М.