DK SULLE ACHAMBUA, HISTORIA YA BIBLIA NA KWA NINI ILIITWA BIBILIA , JE NI KITABU CHA MUNGU KWELI ?

  Рет қаралды 131,939

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Күн бұрын

Пікірлер: 454
@nalingarowl7048
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Ukristo ni mfumo ambao haujawahi kufeli. Tafiti zake na mipango yake ni endelevu na ndiyo maana hawaangaishwi na wanojaribu kuwakosoa.mfumo wa Ukristo utawala Hadi Yesu arudi Hilo alisema Yesu mwenywe. Mt 16:16-18 * Hakuna kama Yesu,Hakuna kitabu kama Injili.Injili Ina Habari. Za Yesu Alie hai*
@nalingarowl7048
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kuongelea Ukristo au Bible ni wazi kuwa Q,ran Haina Cha kusimulia na kutoa challenge Kwa jamii. Ni rahisi Waislamu kuichambua,lakini hutamkuta Mkristo anaichambua Q,ran Kwa sababu Ukristo umetosha. Yesu atarudi na kuwahukimu wote.
@nalingarowl7048
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Ni Mungu yupo aliiteremsha Quran. Nani walishuhidia.mwaka Gani na katika eneo Gani. Mungu mnaomuamini mnasema haionekani. Kama hakuna walioshuhudia ikiteremshwa,basi Hilo ni jambo la kushangaza. Maneno ya Biblia Yana umri mrefu kuliko kitabu chochote * Biblia ni kitabu kilichofanyiwa tafiti*
@esthertungani676
@esthertungani676 10 ай бұрын
Amen
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 2 ай бұрын
thank you LORD JESUS CHRIST for the HOLY SPIRIT
@babauna3458
@babauna3458 3 жыл бұрын
Maahaallah Dr sule , hii ndio kazi ya Amani na upendo. Allah akurehemu wewe na waislamu wote ulimwenguni.
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 2 ай бұрын
asante BWANA kwa roho wako,roho mtakatifu,roho wa kweli,nakuomba Mungu wangu, utukufu wako uujaze ulimwengu,uwajaze watu wako kwa roho wako katika ukuu wako Yesu kristo Mungu na muumba wetu
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
DR SULLEY ALLAH SW AKUPE UMRI MREFU TUFAIDI ZAIDI HAYA MAMBO MATAMU.
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 жыл бұрын
Amine
@user-ki6nw6ve7p
@user-ki6nw6ve7p 3 жыл бұрын
Asaalmwalekm warahmatourlaih wabarakatu, mweyezimungu akufanyi wepesi ishaalh kutujuza tusio fahamu
@shabanmuyale7671
@shabanmuyale7671 3 жыл бұрын
00000
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 2 ай бұрын
Na Mungu wetu,muumba wetu, YESU KRISTO wa Nazareth,akulipe sawa na uovu wako, wewe unayemkataa roho mtakatifu,
@martoo539
@martoo539 Жыл бұрын
Siogopi kusema Ivi Bible is the only holy book ,,,,,I believe in BIBLE only ,,,,,,
@user-op8pk1jt5k
@user-op8pk1jt5k 4 ай бұрын
Kumbe mpuzi 2
@nevillekanju9491
@nevillekanju9491 11 ай бұрын
Sule uislamu wenyewe haujui vizuri je Biblia utaifaham
@hussaynmuhammad8782
@hussaynmuhammad8782 3 жыл бұрын
Mashallah
@jeanbb1385
@jeanbb1385 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana
@shukurubalahi8630
@shukurubalahi8630 Жыл бұрын
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. Sitateteleka na kama bibilia ni ya uongo nitaifuta na kuiamini hata kufa kwangu. Na ukweli ni kwamba unachokitafutia udhaifu ili watu wasikiamini ndicho cha kweli
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Waisilamu wanawazaga kuuwa tu achana nao
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
@@kefajoseph158 imani potofu!!
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 Жыл бұрын
Mnaifata kwa sababu inaendana na matamanio yenu, inawaruhusu kula nguruwe, kunywa pombe bila ata kukemewa inaeapambia maisha ya dunia
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
@@paschaljuma3312 nyie waislam hawanywi pombe?hawali nguruwe🤣🤣🤣🤣🤣
@haidarsalum9228
@haidarsalum9228 Жыл бұрын
Sio uutafute ukwl ndgu, ukifata kilichokua sio cha kwl, utapata unachoratajia siku ya mwisho?
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 Жыл бұрын
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu neno biblia ni neno la kilatini na kigiliki lenye maana ya kitabu au vitabu usipotoshe watu we shee . Inaonekana bado sana hujui kuhusu neno la Mungu
@UtufyoPangachini-ru3yg
@UtufyoPangachini-ru3yg Жыл бұрын
Unahitaji kusoma sana mr sule ili uelewe mambo
@paulmalagila4152
@paulmalagila4152 Жыл бұрын
Mwenyez mungu hawez kuruhusu vitabu vyak vipotezwe
@haidarsalum9228
@haidarsalum9228 Жыл бұрын
Hakika, ndio maan hiyo hajachafua kitabu cha mungu ispokuwa wmchkua maneno na kuyawka ndan ya kitabu chauo, pia kwa kulithibitsha hilo kuwa vitabu vya mungu havichafuliw ni kwamba, Quran inamiak mingi sasa laki hkuna version wala kuonguza/ kuongeza katika kitabu hcho, ahdi hii imo ndan y Quran, ukifatlia utajua hilo..
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Jiulize bible ilikuwepo lini na mohamed kaja lini baada ya yesu ni ujingatu ulio jificha
@abdalahsuleman2791
@abdalahsuleman2791 Жыл бұрын
Yaani wewe hujui kitu
@gtunewaves2867
@gtunewaves2867 Жыл бұрын
@@abdalahsuleman2791 Amna anayejua kila mtu anasema kwa anavyoelewa
@bazibaker7986
@bazibaker7986 3 жыл бұрын
Asalaamu aleykum my brother Dr sule mashalaah may Allah give you long life to do what you are doing wallaahi I'm following you for long time nimefaidika nyingi. Your brother Bazi abu Baker from London msomali
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 3 жыл бұрын
Daaah yaaan mungu akuongoze kwakweli kwasababu
@osmanabdi2632
@osmanabdi2632 3 жыл бұрын
Asalaam aleikum Ustadh, Naomba nukusihi vitabu vya agano ya kale inna vitabu 39 na site 29 kama vile ulivvyo tamka. Pili, wana Israili wapitishwa bahari Nyekundu (Red Sea) na site Mediterranean Sea. Naomba radhi.
@januarymagai
@januarymagai Жыл бұрын
Hana jipya
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Bibilia n mkusanyiko wa vitabu je quran nini
@athumanihussein7827
@athumanihussein7827 3 жыл бұрын
Nimekuelewa
@shabanrama802
@shabanrama802 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Dr sule
@munic6686
@munic6686 Жыл бұрын
❤jazakallahu khaira Allah akupe umri mrefu shekh tuzd kunufaika
@shabanirukundo4272
@shabanirukundo4272 3 жыл бұрын
Wewe Benson msikilize vizur siokuropokatu
@casmuiddy7304
@casmuiddy7304 10 ай бұрын
Allah akujalie
@lenardkenedy542
@lenardkenedy542 11 ай бұрын
Nawasii Waislam tukiichambua Quran Usichukie Mue wapole kama sisi 🙏
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 9 ай бұрын
Chambua bora useme ya kweli tu
@ElishaPeter-ln1ud
@ElishaPeter-ln1ud 6 ай бұрын
Utopata mapungufu we chambua paka kiama
@sayidabdillah8505
@sayidabdillah8505 4 ай бұрын
Quran ni kitambu cha mungu Allah sw ww chambua tuu hutakuta madhaifu bali itakufanya kjmuamini Allah sw yaani mungu mmoja tuu bila ya kjmshirikisha na kitu chochote Quran inaamrisha upweke wa mungu mmoja Allah sw, uchamungu,Quran ni sumarize ya vitabu 3 vilivyokuja kabla yake Zabur tauranga injil and last book nj Quran
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 2 ай бұрын
sisi ni mashahidi,tumeuona uwepo wako wazi, eeeeh Mungu wangu, YESU KRISTO, BWANA,utuokoe na watu wa dunia hii wanaofuta mapenzi yao,kila akuaminiye wewe BWANA muumba mbingu na nchi,na vyote viujazavyo ulimwengu,tumekuona na wewe hakika ni YAHWE
@nurudinehamimu5658
@nurudinehamimu5658 3 жыл бұрын
Naam shekhe.
@dani72130
@dani72130 Жыл бұрын
Bible ni mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya Mungu ambavyo ni Torati, zaburi, injili .
@marymnemela2432
@marymnemela2432 Жыл бұрын
Mungu akusaidie kuutambua ukweli, ipo siku Yesu atakuokoa
@ilungavumu6508
@ilungavumu6508 Жыл бұрын
Ni vyema ukamjibu tu swali hilo kama unajua na sisi tujue
@martoo539
@martoo539 Жыл бұрын
Mwambie tenaa
@user-gu5ws4yl1l
@user-gu5ws4yl1l Жыл бұрын
Dr sulle vizur sana, wakristo jifunzeni darasa hili, msipohelewa hapa hamtaelewa tena.
@justussafari8111
@justussafari8111 Жыл бұрын
Huyu Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana hata kuliko mapadri wengi na walimu wengi WA kikristo ijapikuwa Mimi ni mkiristo lakini lazima tukubali ukweli yakwamba Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana.
@MapsizoShentee
@MapsizoShentee Жыл бұрын
Na vizur kusikiliza hoja zake na c kupinga ... SIKILIZA Fanya UTAFITI
@josephosborne3072
@josephosborne3072 Жыл бұрын
Mmh huyu ni much know,, biblia ni kibebeo tu ambapo ndan yake kuna vtab vitatu ukiondoa qran ambyo haimo,, biblia sio maandiko matakatf, sema huyu hamnazo
@allyhemed6380
@allyhemed6380 Жыл бұрын
Allah akuongoze upate salama ukisilimu madhambi yote mungu anakufutia uisilamu uko sawa Kama unavyoona uisilamu ni unyenyekevu hata yesu ni mnyenyekevu
@ukorainzuku8301
@ukorainzuku8301 3 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuongezee maisha ili udufundishe zaidi
@mchopaluka4319
@mchopaluka4319 3 жыл бұрын
Naamini ipo siku utaokoka tu Bwana Mungu mwenyezi ikimpendeza amina.
@royalpriestsmusic5685
@royalpriestsmusic5685 Жыл бұрын
TOKA MWANZO HAD UFUNUO NI YESU MANENO TOTE YANAMUHUSU YESU NI KUTOKUJUA TU NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUPE ROHO WAKE MTAKATIFU AKUONGOZE
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 Жыл бұрын
Swadacta doctor sule
@stephenmvuo7363
@stephenmvuo7363 3 ай бұрын
According to me,,,,,god did not create religion bt this is an idea of some people's business
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
Watu wa msalaba wanapingana na ukweli wa maandiko kama kawaida yao full coment za uzwazwa 😅 elezea shekhe wangu mwenye masikio na asikie asie sikia wacha apinge.
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
KWELI KABISA
@truthspeaker2405
@truthspeaker2405 3 жыл бұрын
Kama kweli Biblia iliharibuliwa kwanin Muhammad alisema Wakristo na wayahudi waifuate vitabu vyao? Al-Baqarah 2:89 And when there came to them (the Jews), a Book (this Quran) from Allah confirming what is with them *[the Taurat (Torah) and the Injeel (Gospel)],* although aforetime they had invoked Allah (for coming of Muhammad Peace be upon him) in order to gain victory over those who disbelieved, then when there came to them that which they had recognised, they disbelieved in it. So let the Curse of Allah be on the disbelievers.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
@@truthspeaker2405 mpigie simu Dr Sulle akupe elimu au kasome mwenyewe .
@nurualishaban7383
@nurualishaban7383 Жыл бұрын
@@truthspeaker2405 kama wapinga Nani alipewa hiyo biblia basi kama wakazana? Yesu alipewa injili sio biblia,mbona hamna akili nyie wakristo wenye shingo ngumu?
@suleimanmuhidin1753
@suleimanmuhidin1753 Жыл бұрын
Kwayyte yule atakaye kufa akiwa si muslim ataingia motoni milele namuomba mungu atutowe dunian haliyakuwa waislam mungu atufufue n mtume muhammad (saw) izo dini yengine n vitabu nyengine visivokuwa vile 4 ivo vyengine ni empty
@AbJsm
@AbJsm Жыл бұрын
Na Pia Sisi WAISILAMU Lazima Tujiulie Hivi Vitabu Mfano Bukhari Muslim Al Kafi Ibn Maja Ni Vitabu Vya MMungu? Maana Asilimia 99 Dini Yetu Inategemea Hivyo Vitabu Visiokuwa Vya MMungu
@maulideabdala3832
@maulideabdala3832 2 жыл бұрын
sawa nimekuelewa
@mgallaeliah1364
@mgallaeliah1364 Жыл бұрын
Pamoja na kwamba nimechelewa kuisikiliza Mbona unatoa references za manabii wote waliotumwa na MUNGU kutoka kwenye Biblia, lakini Mohammad hayupo, musa yopo kwenye Quran, Yesu yupo kwenye Qurani, na hao pia kwenye biblia wapo Kwanini Mohammad hayupo kwenye Biblia? Je yeye(Mohammad) alitumwa na nani mbona hathibitishi kwenye biblia. (Torati ni sheria ukumbuke hilo popote utakaposoma pameandikwa torati kuwa na kumbukumbu)
@kusakisoma3168
@kusakisoma3168 3 жыл бұрын
masha allah
@ridhiwaanimlula1040
@ridhiwaanimlula1040 3 жыл бұрын
Maa shaallwah
@rumumbarumumba2403
@rumumbarumumba2403 2 жыл бұрын
Man sha Allah sasa chekh wetu Sule injili yakweli ingepatikana??
@pstyothamusabuye4111
@pstyothamusabuye4111 10 ай бұрын
kuwa ni Neno la Mungu hakutegemei kukubali au kukataa kwako, ukweli unabaki pale pale hilo ni Neno la Mungu ukilitii unaona matokeo yake yalivyo, kwanza huna taalumu ya theology, unahitaji uokoke tu, uislamu umeanza juzijuzi tu.
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Wakristo hawapendi kujifunza wao wanaushabikituu, mwalimu anadomesha vizuri sana lakini wanacomment kwa hasira , sababu wao wanashabikia hata ujinga , walimu wao akipiga mikeleletuu bila kusomesha wao wanaamini hiyo ndoo ibada , hebu jifunzeni bila ushabiki halafu kawaulizeni wachungaji wenu
@eliudibosco
@eliudibosco Жыл бұрын
Huu ni uongo na hiyo niroho ya mpinga kristo kama toratai ni ya uongo unaisoma ili iweze kuwadanganya watu acha haraka usitafute masirahi yako kwenye maneno ya mungu tafuta masirahi yako tu.
@husha6372
@husha6372 Жыл бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Injili Ya mwanafunzi wa Yesu Barnabas haiko na ndio injili ya kweli Kwa Sababu jina la mtume Muhamed SaW liko kwenye injili ya Barnabas
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
We kweli unachekesha sasa wale warabu wanne walioandika Quran *SAID OUMARY *SAID ABOUBAKARY *SAID ALLH *SAID ATHUMAN NA hao mitume wamungu waliandika injiri wakowapi waliocopy fikiri kabla ujaropoka afu mnasema Quran ilishusha , na kama ilishushwa mbona ilikuja na vitabu ambavyo vimo kwenye Bible iliyotangulia siingekuja na vitabu vyake?
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
BIBLE KALETA MTUME GANI.TUPENI JIBU
@allykamunya
@allykamunya 3 жыл бұрын
Sasa hio ndo inakupa picha kwamba kabla hujaamua kwend kwenye dini yoyot chunguza, uliza wanafaham watakujulish don't always be negative.
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
@@fadhilikawambwa1586 Quran kaleta nani?
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
@@allykamunya sisi wasomi huwa hatuulizi tunafatilia nakusoma nyie msiojua ndo mwendelee kuuliza sawa ndomana mnadanganywa kila siku kwajili ya uvivu wenu wa kutaka kutafuniwa kila kitu ata ata (M .SAW) alikabwa Kule pangoni akaambiwa soma ili asiendelee kua mbumbumbu
@shabandamas1759
@shabandamas1759 3 жыл бұрын
@@francisjoseph1074 ww usomi wako ninini huna hoja
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 2 жыл бұрын
Mtatafakari sana lakin inatakiwa mjue kuwa akili za Mungu hazichunguziki.Bali utafuteni uso wa bwana Yesu mpate kuokolewa.
@peterMwamwenda-jv6bc
@peterMwamwenda-jv6bc Жыл бұрын
Kafiri wewe subiliufe utanuja jua
@mundhir2859
@mundhir2859 Жыл бұрын
Fata uislam usalimike acha kudanganywa kanisani
@abdulkhalimahmed5194
@abdulkhalimahmed5194 Жыл бұрын
Sawa mfate yesu lkn yesu hakupewa bibilia
@eliudibosco
@eliudibosco Жыл бұрын
Kumbe ni historian siyo maneno ya mungu
@user-ck9yy6zt9q
@user-ck9yy6zt9q Жыл бұрын
Wewe bado upo kwenye kwenye nyakati za unabii hivyo huwez jua chochote ila kumbuka si kila asemaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni Bali yeye ayatendaye mapenzi ya mungu chambua bible verses zote na Korean ila jichunguze roho Yako unaenda sawasawa na mapenzi ya mungu
@justinejonas4187
@justinejonas4187 Жыл бұрын
Congratulations Dr,Sule
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 3 жыл бұрын
Mashallah Allah
@isiakaJungu
@isiakaJungu Жыл бұрын
Maxhalah
@user-fu3cg3gv9g
@user-fu3cg3gv9g 2 ай бұрын
Haina haja kuumiza kichwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi
@gitongatitus1553
@gitongatitus1553 Жыл бұрын
Bible is the messages that had been given to prophets of GOD himself or it is GOD who had written the same bible or in another word it is to say that bible it is GOD himself in the physical. But it doesn't address truly who Jesus Christ is because Jesus Christ is the true GOD as per the bible in the book of John chapter 17 as from verse 2 to 3 read together with bible in the book of John chapter 14 as from verse 10 to 11 and bible in the book of John chapter 10 verse 30 as well in the bible in the book of John chapter 15 as from verse 22 to 24. Here meaning or saying that GOD is the one who had originated from Jesus Christ who was there before anything else being life entity and his real name is life where all other lifes had been originated the life of GOD included.
@shabanirukundo4272
@shabanirukundo4272 3 жыл бұрын
Sasa hio bibilia kapewanani benson
@martinekanji8537
@martinekanji8537 Жыл бұрын
Mbona hafanya research kuhusu vyanzo vya uislam amachacha na bible ambayo imefanyiwa research na karibu kilamtu.? Acheni unafiki fanyieni Quranic research .. mtakayo yapata mtakuja hapa na machozi.. Quran Ina habari mingi ilihepa sana Kisha muhim.. na zingefanya Quran muhim sana but vile ilihepa ni pigo kubwa sana kwake
@dannysengata2298
@dannysengata2298 Жыл бұрын
What I know and sure will happen days to come..this man will become a strong and good Christian..... Because he knows well what the truth is...
@mhandoomary8539
@mhandoomary8539 Жыл бұрын
He became a Christian before he became a Muslim
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 Жыл бұрын
It will never happen, maybe if Allah want home to be
@isiakaJungu
@isiakaJungu Жыл бұрын
Wambie kweli hao
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
@@isiakaJungu wawaambie kina nani mnahangaika na dini za watu mashindwa kanya tabia zenu za wizi misikitini njoon makanisan muone hata mtu aweke kitu chake atakikuta ila msikitini balaa
@amourworldbeats
@amourworldbeats Жыл бұрын
He was Christian Then After Knowing The Truth He Converted to Islam
@sharomdguda
@sharomdguda 9 ай бұрын
Hivi wakristo wanaweza kukaa hata dakika Moja kukisoma kitabu Cha qurani ! Haslan habadan , kitu haramu ni haramu tu, waislamu miaka yote hooo Biblia siyo kitabu Cha mungu lkn kitabu hiki kinawafanya waislamu hawalali usiku na mchana wakiangaika na Biblia tangu enzi na enzi . Mbona wakristo na wayahudi mbona hawana time na qurani! , Uislam umekuja duniani na kukuta ukristo na uyahudi upo miaka kabla ya Muhammad?! Sikiliza maswali yake yalivyo ya kislam kislam ovyo ovyo eti Biblia kapewa bwege gani? Kweli umewapata waislamu
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 10 ай бұрын
Hivi kwa nini mnapenda sana kusema sema ukristo? Miaka kadhaa hapa nyuma mlikua mkiponda sana Biblia, leo hii mnaitumia Biblia kufundishia na kuuponda teana ukristo.... ajabu sana, Biblia ni jina la mjumuiko wa hivyo vitabu vyote ulivyo sema, sasa kuweka hoja ya ubishi ubishi inasaidia nini sasa
@mchopaluka4319
@mchopaluka4319 3 жыл бұрын
Je Muhammad ni nabii kwa aya ipi???? Dini ni njia je nje ya Yesu Kristo kuna njia nyingine?????? Je Muhammad mpaka anakufa kuna kitabu alikiacha kinaitwa kurani????
@Truth771
@Truth771 3 жыл бұрын
Mitume wote walikuwa ni njia kwa Wakati wao, huu ni Wakati wa Mtume Mohammad Yesu alikwisha maliza kazi aliopewa kwa watu alikotumwa sio kwa watu wote. Mbona husomi hiyo bibilia yenu Yesu alivyosema yeye kamaliza kazi aliopewa?. Hebu soma bibilia yako Yesu alivyosema (Yohana17: 4) " Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye ". Tena Yesu katumwa kwa Wana wa Israeli tu sio kwa watu wote. (Mathayo 15:24) " 24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Sasa wewe nikuulize. 1. Wakati wa Musa Nani aliekuwa Njia?. 2, Na watu kabla ya Musa Nani Aliekuwa njia?.
@masoudshaban6609
@masoudshaban6609 3 жыл бұрын
Asante Akhy kwa kumuelewesha...jibu ilo swali
@elyonredtech
@elyonredtech 6 ай бұрын
Uyu jamaa ni cartel anasema biblia si kitabu cha mungu alafu anatusomea kutuonyesha vile torati injiri na zaburi kwa biblia na anaiita maandiko matakatifu. Kuran pia iekwe kwa biblia
@shukurubalahi8630
@shukurubalahi8630 Жыл бұрын
Neno linasema mwapotea kwa sababu hamyajui maandiko
@user-xi4le1hp4y
@user-xi4le1hp4y Жыл бұрын
Wee joezono8 ndie unaeropoka, hizo zinzotolewa na dr sule ni hoja madhubuti, za kielimu, sasa na ww unatakiwa uzijibu kielimu, jibu hoja acha kuropoka, au kulalamika,
@jacobjulius6244
@jacobjulius6244 Жыл бұрын
Nyie ndo mlipewa yenu close your mouse
@martoo539
@martoo539 Жыл бұрын
Hebu angalieni hapa wenzagu😂 Quaran Inasema endeni mkapiganie dini yenuu 😂 Bible Inasema endeni mkawahubirie na muwabatizee kwa jina Kristu yesu🙏 Which side makes sense 🙏🙏 I believe in bibke
@b_afrika
@b_afrika 3 жыл бұрын
Mara aseme zaburi kapewa Muhammad, tena anasema Zaburi kapewa Daudi. I think anajichanganya.
@datchdatch3836
@datchdatch3836 3 жыл бұрын
ipe uhuru akili yako utaelewa. ukichangaya hisia ulizonazo kuwa huyu anapotosha hutoelewa .bali fuatilia vzr utaelewa somo acha mafundisho ya kanisa kwanza maana kuan mambo huko kanisani hamfundishwi .
@alihemed4484
@alihemed4484 3 жыл бұрын
Muhammad s.a w kapewa quran tu. Kitabu cha nne. Zabur, daud, torat, mussa, injil issa/jesus, na quran muhammad s.w
@eastafrica6858
@eastafrica6858 3 жыл бұрын
Tabu hamfatili muhamad saw , kapewa guruan hizo zote ni vitabu vya mmungu ila kila akiwaleta mana bee wanakuaja na vitabu ila mmungu ni mmoja vinakataza ubaya
@indiwimana368
@indiwimana368 Жыл бұрын
Ajui anacho kiongea.....Mungu hakuurumie......
@Mumewangu
@Mumewangu Жыл бұрын
Bibilia kitabu hichi kinatoka wap
@user-xr3iv3ts3p
@user-xr3iv3ts3p 9 ай бұрын
Wewe hata ndacha hakufai una hoja za kitoto mahadhiri muisilamu pekee nadhani shafi mazinge kazeeeka anautindio wa bongo
@januarymagai
@januarymagai Жыл бұрын
Ameweka namba mbona hapokei,muislamu anayejiamini naweka namba nimpe vitu mnavyofichwa waislamu
@MaulidsaidRijeby
@MaulidsaidRijeby Жыл бұрын
Wakristo huwa wakiona njia sahihi kwao ni rahisi zaidi kutambua na kufata, fata njia ilonyooka sasa
@mullamtupa9116
@mullamtupa9116 Жыл бұрын
MashaAllah
@user-ye6qq9nv8b
@user-ye6qq9nv8b 7 ай бұрын
Waisrael hawakupita bahari ya madetaeranian Bali bahari ya sham
@annetmathias4157
@annetmathias4157 Жыл бұрын
shekhe umekulupukia mambo usiyo yajua biblia ni kitu chatofauti sana tofautisha na vitabu vingine kwanza ili uielewe lazima uiamini , pili haisomwi kama gazeti unavozania wewe hivo tatu hujui tafsili yaneno biblia nne usifanye mambo kwakutaka kushindana na mtu au imani ya mtu kama unajiamini na dini yako na upo sahihi na imani basi baki nayo usikulupukie yajilani yako yaache naomba nikujibu kiufupi tu Biblia ni kitabu cha vitabu yaani namaanisha kimepewa jina biblia kwasababu kimebeba vitabu vyenzake ndani ambavyo vimewekwa humo ili kupunguza nakufanya wepesi waupatikanaji kwasababu vitabu ni vingi nikushauli tu kama unataka kusemea jambo kama hilo siku nyingine fanya uchunguzi wamambo kabla hujauambia uma mfano mimi siwezi kutukana au kusema habari za kuruhani wakati hata kilichoandikwa sikijui na sijakijua hata kama nikijifanya nakijua nitakua muongo kama wewe unashadadia tu akati hata kialabu chenyewe hujakimaliza umeanza kudandia biblia. pia Dini siyo yako wala yangu jitaidi kutafta kwanza utakatifu wako wewe na MUNGU wako nauhakika hata sasa unataka ujihesabie haki kuwa wewe na dini yako mpo sahihi kumbe hata sasa tukifa hujui kinachofata nyuma ila sikupingi mana nchi yetu ipo huru na unaruhusiwa kufanya lolote nakuzungumza tu naomba achana na biblia sabu ni neno la MUNGU na lina NGUVU hata sasa linafukuza mapepo linaponya linafufua wafu hata linaweza kumfufua Mtume Mhamadi huyo unae mshadadia wewe ambaye yeye alisema mfwateni mtoto wa mariam ndiye mkombozi wako
@dani72130
@dani72130 Жыл бұрын
dr sule inajichanganya, soma malaki 4:4
@NanaGyfty-gt1ie
@NanaGyfty-gt1ie 9 ай бұрын
Ni vema kusikiliza na kuelewa sio mtu anabishana na kuona kuwa shehe ayuko sawa hata nyie wakristu mkisikiliza vizuli mtaelewa
@Richardkayanda-xv3lf
@Richardkayanda-xv3lf 8 ай бұрын
😂😂😂 wijangatu ndo utawapata unanukuu maandiko ya uongo same time mfano mathayo 24:44, hapo umeweka Maneno yako na hiyo yeremia umeipotosha kweli yaani hujazingatia muktaza wa Hilo andiko nawe wajiita Dr na watu wako wanakusifu kweli na kukutukuza Kuna kiyama utakuja jibu we subiri😂😂
@allykamunya
@allykamunya 3 жыл бұрын
Hi video ni kwaajil ya kufundish na kukup hint ufany uchunguz sio unakua mpumbav, Freemason hawatak dini ya uislam na ukristo jichunguz kwann dini ckuiz inakua Kama biashara Sasa ndo nawaambia watu hii video ya kukufundisha .
@datchdatch3836
@datchdatch3836 3 жыл бұрын
usitukane kama unaona kakosea mkosoe kwa kutaja vifungu . jazba ktk mambo ya dini haipendezi.
@mostoryhub
@mostoryhub 3 жыл бұрын
Huyu si tapeli tumeambiwa Kyle😂😂😂
@myself4128
@myself4128 Жыл бұрын
Mganga wa kienyeji mchawi Utaijuaje biblia???? Zaburi tu ni kubwa kuliko Quran, Waambieni watu Ukweli Kina nani walioandika Quran????manaake Muhammad kafa haijaandikwa!!na hizo hadithi zenu za uongo na Kweli alozitunga ni nani??
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 9 ай бұрын
Ulisha jiuliza kwa nin hakuna mpinga uislamu
@mohamedmohamed1395
@mohamedmohamed1395 Жыл бұрын
😂😂 Asante daktari Swali ni BIBILIA NI KITABU CHA NANI NA KAPEWA MTUME/NABII GANI???????? kuruka ruka ndio kuiva Kwa maharageee😅😅😅😅
@januarymagai
@januarymagai Жыл бұрын
Kwani wewe unasema injili,torati,zaburi viko wapi si ndani ya biblia Yani unasema wewe si mtanzania wakati nida na utambulisho wako unakuonyesha dhahiri,unayo macho alafu unasema siyo ya kwako
@naomimachumu5480
@naomimachumu5480 Жыл бұрын
Rudi usome kwa makini bibilia Ni muunganiko wa vitabu vyote vya manabiii au watu mungu aliowaandaa ili watuletee sisi . Then tofautisha majors na nyakati usiunganishe nyakati kwa akili yako au ulichokalilidhwa mungu hajawah kushusha kitabi Bal alishusha mbao zilizobeba amri na pia alikuwa anaongea na manabii Kisha manabii wanaandika, jiulize Mohammad alikuwepo lini na yesu alikuwepo Lin ujue kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili. Hivyo vtab unavyotaja ndivyo muunganiko wa biblia Kama unajua injili ya yesu inauongofu na Nuru amka sasa ukatubu maana unachokiongea hukojui vzuri
@finiasezra7072
@finiasezra7072 2 жыл бұрын
Mbona unatuchanganya inashauri gani kua ayo unayoyasoma ni ya Alla?
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Nakuliza swali wakati quran inataja kwamba watu wa bibilia Yani mayahudi na wakristo ulikuwa waelewaje quran yako
@jamalmnema8334
@jamalmnema8334 Жыл бұрын
Imesema watu wa vitabu haujasema bibilia
@mamasmartcollection7063
@mamasmartcollection7063 3 жыл бұрын
Hizi ni nyakati za mwisho kila mtu ashike yake,ushauri wangu mtafute Mungu wa kweli
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 жыл бұрын
Mungu wa kweli tunayemuabudu ss waislamu..! Wengine huabudu watu waliokuwa wakila na kwenda choo ..!
@mukrimmohd8954
@mukrimmohd8954 2 жыл бұрын
Hakuna kushika lake dini ipo na imetimia na tunatakiwa tuiftate
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Жыл бұрын
Waislam wanamjua mungu wa kweli ila Wakristo hamumjui mnabakia kumuabudu mwanaadam mwenzenu tu
@raphaelcharles4949
@raphaelcharles4949 3 жыл бұрын
Kipofu akimwongoza Kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni. Nawaza siku ya kiama utakapofunuliwa na kuona unavyobwabwaja utumbo sijui utakana au utafanyaje maskini.
@francishura7627
@francishura7627 3 жыл бұрын
Masheikh na wachungaji,, tangazeni neno la mungu sio kusema na kuongea vibaya na dini nyingine.. Maana siku zote anaejikweza ushushwa mbele za mungu... Usijidanganye sheikh kama chako bora kuliko cha mwingine...nyie ni mpo kufunza watu dini au neno la mungu?
@seebs1156
@seebs1156 3 жыл бұрын
Upo sahihi hawafunzi neno la Mungu bali wanafunza dini wanapenda kujikweza kujiona wapo corect
@josephatmwakalasi7436
@josephatmwakalasi7436 3 жыл бұрын
Kama injili iliyopo kwenye biblia sio sahihi tuonyesheni waislam kwenye koloan injili ya yesu iliyo sahihi
@kakakuonamprubenikakakuona1387
@kakakuonamprubenikakakuona1387 Жыл бұрын
Ulikuwepo? Au mnashadadia mission za Hawa washenzi wakoloni wa kiaarabu na kizungu?
@crownprinceea2456
@crownprinceea2456 Жыл бұрын
Watu wangu wanangamia kwakukosa maarifa wewe huna maarifa
@saleherajabu6890
@saleherajabu6890 Жыл бұрын
Maarifa mmeshazoa kuongepewa mandiko yenyewe sio ya mungu,niyakina matayo ,yohana,yakobo,wakolinto joshua,walawi warum n.k..mana yesu ndo kapewa injiri ,lakini sasa ayo majina yakima yohana yameingiaje
@crownprinceea2456
@crownprinceea2456 Жыл бұрын
@@saleherajabu6890 unaonekana huna elimu kwaio acha kupaza sauti sasa kitabu chenu kuna mpaka kitabu cha maji kila kitabu kinajina la mtu au hujawahi kisoma kitabu chako au hujui kama wale ni watch 1 Al Faatiha 2 Al Baqara 3Al Imran 4 An Nissai 72 Al jinn Au huju kama haya ni majina ya watu hizo sura zote nimajina kama huju sura ya kwanza mpaka ya 114 ambayo inaitwa ANNA acha kuongea usiyo yajua
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
Kaeni na mtume wenu alokuwa hajui kusoma na na siku akirudi nabii isa hajui atafanywa nini
@user-xr3iv3ts3p
@user-xr3iv3ts3p 9 ай бұрын
Sule weee mnafiki ebu tubu 😂😂😂😂 kila wakati ukifunza wewe unatumia hio bibilia Leo unaikana sio kitabu cha mungu inallilahi....Kwanza wewe ni bashite mwingine unajiita dct ebu toa vyeti tuone hio PhD ulipata wapi amah nijina la mchongo Tu yaaani wewe ni ovyooooo nimekudharau sana
@shukurubalahi8630
@shukurubalahi8630 Жыл бұрын
Sasa kiongozi ni wap katika Quran kuna torati,zabur na injli
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 3 ай бұрын
Dokta Sure wewe unatakaje maanayake ni nini sasa?
@franciscaaugustino4305
@franciscaaugustino4305 3 жыл бұрын
Ukisikiliza hapa nahisi unamkosea hata Mungu. Maana si kila asemaye Bwana, Bwana atauona ufalme wa Allh
@mutumutu4981
@mutumutu4981 3 жыл бұрын
Biblia siyo kitabu kitakatifu Bali ndani ya biblia kuna baadhi ya maneno ya mungu,pia koroani si kitabu kitakatifu wala akikushushwa wala akuna aya ata moja iliyo shushwa kutoka kwa mungu, napia hakuna nabii yoyote alie wahi ata siku moja kuanzixha Dini chini ya jua katika Dunia hii.Bali zimeanzishwa na Binadamu kwa kuongozwa na iblis na wafuasi wake wakaanzisha madhehebu tofautitofauti na dini tofautitofauti kwa lengo la kuwakamata kiakili, kimaarifa na kiroho, ili mwendelehe kuvutana kwakudai Dini yetu ni bora kuliko nyinyi, na hawa nao waxema hivi, Vila kujuwa kuwa nyote mwamwamdu IBLIS pasipo maarifa mkizani mwamtukuza muumba,mda utafika na Dini zote zitatoweka na hivyo vitabu korohani na biblia azitatumika tena zitakoma kabixa.
@cataniasloane3345
@cataniasloane3345 3 жыл бұрын
Hivi wew unajua unachokiandika kweli?? Au umetoka usingizini,,,kanawe uso kwanza
@crescentvscross1132
@crescentvscross1132 3 жыл бұрын
Kanawe uso
@nelchenda1237
@nelchenda1237 Жыл бұрын
Mimi ninashinda yakuamini kila nikisikiliza watu, nimeamua kuamini akili yangu tu sasa
@nasrimbaraka341
@nasrimbaraka341 Жыл бұрын
Amini quran maana maisha yako yote yapo
@nasrimbaraka341
@nasrimbaraka341 Жыл бұрын
Na kingine quran inaeleza mpk mambo yanayokuja tokea mamb yaliyopit bado huamn tu
@alisalum8908
@alisalum8908 Жыл бұрын
Ukiona hivo jitahidi uijue haki iko wapi
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
Sasa unahangaika nn kwakuhani musa kwa mwamposa wamejaa kibao wewe piga pwapwa zk
@haidarsalum9228
@haidarsalum9228 Жыл бұрын
Haupo sahih, hautakuwa salama siku ya mwsho tafta ukwl, uufuate huo ndio ushauri wng kwko..
@noeljuvenalmunishi75
@noeljuvenalmunishi75 Жыл бұрын
Umesema bibilia in a vitabu 66 agano jipya ina vitabu 23 na agano jipya 29 Kitu ambacho hesabu ya maneno yako havina ukweli, je hivyo vingine?
@makalani4759
@makalani4759 Жыл бұрын
Shida biblia inasomwa kama adithi ila biblia unaitaji roho mtakatifu akuongoze
@ZAMB334
@ZAMB334 Жыл бұрын
Mbona unasema zaburi kapewa nabii mohamed tena unasena zaburi kapewa daudi inamaana walipewa wote wawili zaburi
@mirajijuma-ti2yg
@mirajijuma-ti2yg Жыл бұрын
Umekomalia tu ubishi tuambie biblia imeteremshwa kwa nabi gani wakati vitabu vyote vina manabii
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 97 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 427 М.
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 41 МЛН
IJUE FITNA YA WARUMI WALIVYOBADILI DINI YA YESU NA MAJIRA YA MWEZI MWANDAMO
23:57
UTAPENDA MAWAIDHA YA DK SULE AKIWA MSIKITINI
49:17
Mbengo Tv
Рет қаралды 34 М.
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 97 МЛН