No video

DOTTO MAGARI AMJIBU MWIJAKU "ILE NYUMBA AU KIBANDA NITOKEE, WATU WAMEJENGA BANGALO

  Рет қаралды 117,389

S500 TV

S500 TV

7 ай бұрын

Пікірлер: 222
@MultiMbongo
@MultiMbongo 6 ай бұрын
Kweli nyumba ya peter msechu ni nzuri sana,hii ya mwijaku kama ofisi ya chama Cha siasa
@princekarani7836
@princekarani7836 6 ай бұрын
Ukweli ndo uho ile nyumba ya msechu ni kali kinouma nouma,na inawezekana million 100 ikawa inafika coz decoration zake ni moto wakuotea mbali mzee
@abednegochija-uf3ey
@abednegochija-uf3ey 6 ай бұрын
We unayo? Mungu amsaidie kambarik sana achen chuki zenu kigoma champion boy mwijaku anapambana sana hongerah sana 💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏
@zaburi2386
@zaburi2386 6 ай бұрын
​@@princekarani7836kaka milion 100 sio nyumba ya vile Ile ya msechu ni zaid ya milion 800
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 6 ай бұрын
Ahahaha
@diasalicastro5353
@diasalicastro5353 6 ай бұрын
Milion 100 Hela ndogo sanaaaa
@hajimbaruku9537
@hajimbaruku9537 6 ай бұрын
Nyumba nzuri bana acheni wivu, simpendi Mwijaku lkn amepiga hatua sana
@allykayanda6930
@allykayanda6930 6 ай бұрын
Nyumba ya mwinjaku ni kali sana sana ,bonge moja la mjengo....huo ni wivu tuu
@user-il1kv9zv9j
@user-il1kv9zv9j 6 ай бұрын
Kweli doto magari nyumba ya chini ilio changamuka kweli kabisa.
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 6 ай бұрын
Mwijaku noma saana,,,,Ati alifikiria kumpa chumba DOTO kile chumba cha mlinzi wake Matias
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 6 ай бұрын
wivu2...we unayooo...🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤..mwijaku juuu...Dotto bwege2 mchovu...
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 6 ай бұрын
Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@user-gy7mk8ur1f
@user-gy7mk8ur1f 6 ай бұрын
Peter msechu nyumba kali sana
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 6 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 6 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@marcoeliezer2207
@marcoeliezer2207 6 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@christianbihemo8211
@christianbihemo8211 6 ай бұрын
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort
@CelinCelineort 6 ай бұрын
😅😅😅 htr
@Mumewangu
@Mumewangu 6 ай бұрын
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 6 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@shabanikitula645
@shabanikitula645 6 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@Barakatabudul
@Barakatabudul 6 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 6 ай бұрын
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 6 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@mbanga6759
@mbanga6759 6 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush4616
@bennamush4616 6 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@medidaudi8335
@medidaudi8335 6 ай бұрын
Chawa mpya
@AwaziRajab
@AwaziRajab 6 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 6 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 6 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@edgerza3754
@edgerza3754 6 ай бұрын
😅😅😅gea aache kaz
@user-tm8lq3rc1l
@user-tm8lq3rc1l 6 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@user-qh3hb1tp8r
@user-qh3hb1tp8r 6 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@hallin9561
@hallin9561 6 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf
@AdenAdiliano-rh8zf 6 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 6 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush4616
@bennamush4616 6 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 6 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk 6 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@user-qw6tt4zn3e
@user-qw6tt4zn3e 6 ай бұрын
Msechu katisha sanaaa
@Tiffany340
@Tiffany340 6 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@hansperson1012
@hansperson1012 6 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@minnahhers7437
@minnahhers7437 6 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@rerisamba
@rerisamba 6 ай бұрын
Wivu mbaya kweli
@alhadkatundu2142
@alhadkatundu2142 6 ай бұрын
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
@user-ti6wm7hy5b
@user-ti6wm7hy5b 6 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 6 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@ChiefKisensiOnline
@ChiefKisensiOnline 6 ай бұрын
Wote Wanachechemea tu😂😂😂
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 6 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 6 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@jamesbilafumba6902
@jamesbilafumba6902 6 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort
@CelinCelineort 6 ай бұрын
sanaaaaaa
@elianifammari3212
@elianifammari3212 6 ай бұрын
Yako iko wapi mmmmhh
@user-sd8jz7zj2l
@user-sd8jz7zj2l 6 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Vijana mna kazi
@user-mz2mr4ib2o
@user-mz2mr4ib2o 6 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@nafuwswedi2465
@nafuwswedi2465 6 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@mwanaidmaulid4763
@mwanaidmaulid4763 6 ай бұрын
Kiusingiziii😅
@user-ue6pq8zl3s
@user-ue6pq8zl3s 6 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 6 ай бұрын
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 6 ай бұрын
Niakukubali saaaana😮😮😮
@elianifammari3212
@elianifammari3212 6 ай бұрын
Toa kwanza hayo mapete
@user-rm3lp9hi1n
@user-rm3lp9hi1n 6 ай бұрын
Japo zinna ata banda ila ya kawaida sana
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 6 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad5559
@saidahmad5559 6 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@MbossoMbosso-rw4ox
@MbossoMbosso-rw4ox 6 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
We fala acha wivu😂😂
@beautyafrica254
@beautyafrica254 6 ай бұрын
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
@mickdad8309
@mickdad8309 6 ай бұрын
😂😂 kama sckakaah
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 6 ай бұрын
Balaaa😂😂😂😂😂
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 6 ай бұрын
Wew unayo acheni wivu tafteni ela
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 6 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
@dominicngeno4227
@dominicngeno4227 6 ай бұрын
Wacha wivu tia bidii,be focused and invest
@user-ph2tk3cy9s
@user-ph2tk3cy9s 6 ай бұрын
Sasa naye kabinga rangi gani hiyo
@injilihalisitv2023
@injilihalisitv2023 5 ай бұрын
Kwel kabis 😅😅😊😊
@muyangetv
@muyangetv 6 ай бұрын
Tuoneshe Yako sasa
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wanaumia sanaaa ukipaka mafala wasio jielewa mafyoooo
@user-ys8dv8lk7k
@user-ys8dv8lk7k 6 ай бұрын
Onyesha yakooooooo sasa
@sidikassim6759
@sidikassim6759 6 ай бұрын
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@AwaziRajab
@AwaziRajab 6 ай бұрын
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
@user-zs7nf7ph5n
@user-zs7nf7ph5n 6 ай бұрын
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
@HappyForestTrees-gc6hs
@HappyForestTrees-gc6hs 6 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 6 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@sidikassim6759
@sidikassim6759 6 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@oscarjohn477
@oscarjohn477 6 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@mrsinia3064
@mrsinia3064 6 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@moseskulola6913
@moseskulola6913 6 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 6 ай бұрын
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 6 ай бұрын
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
@kisjohn3435
@kisjohn3435 6 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
@mnaromajengo9155
@mnaromajengo9155 6 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@happynkya9770
@happynkya9770 6 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
@celestinomarianomatias9537
@celestinomarianomatias9537 6 ай бұрын
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
@deogratiusndunguru7636
@deogratiusndunguru7636 6 ай бұрын
Ni bora angejenga nyumba ya chini lakini kali,ila ukweli sio standard kiasi cha kuita media
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
Acha wivu we fala, Babako kajenga nn ??😂😂
@deogratiusndunguru7636
@deogratiusndunguru7636 6 ай бұрын
@@bennymochiwa4800 kumbuka hapa tunatoa maoni,kila mtu na maoni yake,kwa mimi niliyejenga hapo hakuna nyumba y 1.3billioni,so point ni kwamba ni nyumba ya kawaida sanaa tena sio standard kabisa
@ashaali7154
@ashaali7154 6 ай бұрын
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
@twahaanyoni9120
@twahaanyoni9120 6 ай бұрын
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 6 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@husseinhussein3638
@husseinhussein3638 6 ай бұрын
Doto acha zalau kaka😂
@morjanoman5181
@morjanoman5181 6 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@user-yo8mm9hj8c
@user-yo8mm9hj8c 6 ай бұрын
Kweli kabisa nyumba yapita msechu kali
@abednego3876
@abednego3876 6 ай бұрын
huyu jamaa mama kizimkazi ataempa ubalozi ni mpuuzi😅.
@user-rm3lp9hi1n
@user-rm3lp9hi1n 6 ай бұрын
Ni ya kwaida sana nyumba ya mwijaku
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 6 ай бұрын
We unayo au wivu tu
@user-rm3lp9hi1n
@user-rm3lp9hi1n 6 ай бұрын
Sina ata banda but sina wivu just nimeongea ukweli
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 6 ай бұрын
Huna nyumba
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 6 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku billion moja point 3 ,,,,,,Aya baba dotto Magali Ila nyie mnajuana Mie sitii neno hata kidogo
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 6 ай бұрын
Wasiojenga bado ndio watakubali huo uongo. Haifiki hata milioni 400 hapo. Ghorofa moja halafu si pana. Gharama zinatokana na wingi wa ghorofa ambapo nondo sementi na kokoto zitaenda nyingi sana.Labda milioni 300 au 400 .
@princekarani7836
@princekarani7836 6 ай бұрын
@@hashimchaoga9566 sio mia tatu wala 200,labda millioni 100 na kitu
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 6 ай бұрын
Povu ilo mzee
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 6 ай бұрын
Huyu mwandishi hamna
@awazioga1823
@awazioga1823 6 ай бұрын
Ya kawaidaaaaaaaaaaaa na ya kishamba
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Hivi uwa ni roho mbaya kujipa moyo au kujitoa akili?!Wewe mwenyewe huna ata nyumba Alafu unasema ya kawaida kweli
@sophsoph4740
@sophsoph4740 6 ай бұрын
​@@edwardtrigga5701😂😂😂ya. Hapo huskute Baamed wa baaa😂😂hanajipa moyo
@user-ss1em5ye3d
@user-ss1em5ye3d 6 ай бұрын
Acheni wivu si kajenga lakin
@daudysanga8492
@daudysanga8492 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂contener typing
@Ibrahim-me6cd
@Ibrahim-me6cd 6 ай бұрын
Dotto unamdomo san
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 86 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,3 МЛН
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 208 М.
Exclusive: Mwijaku Amjibu Baba levo/Kama Anaweza Aachie Video
14:30
Dizzim Online
Рет қаралды 24 М.