Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@user-gy7mk8ur1f6 ай бұрын
Peter msechu nyumba kali sana
@hemedjackson22616 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
@suleimansaid26336 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@marcoeliezer22076 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@christianbihemo82116 ай бұрын
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort6 ай бұрын
😅😅😅 htr
@Mumewangu6 ай бұрын
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
@abubakarsuleman19836 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@shabanikitula6456 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@Barakatabudul6 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@mwakiosalim29146 ай бұрын
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
@constanciapeter24976 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@mbanga67596 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush46166 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@medidaudi83356 ай бұрын
Chawa mpya
@AwaziRajab6 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@mwakiosalim29146 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@erickchitumbi13086 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@edgerza37546 ай бұрын
😅😅😅gea aache kaz
@user-tm8lq3rc1l6 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@user-qh3hb1tp8r6 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@hallin95616 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa48006 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf6 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard40316 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush46166 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@user-ch2it3qt5z6 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk6 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@user-qw6tt4zn3e6 ай бұрын
Msechu katisha sanaaa
@Tiffany3406 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@hansperson10126 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@minnahhers74376 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@bakariomari87586 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@rerisamba6 ай бұрын
Wivu mbaya kweli
@alhadkatundu21426 ай бұрын
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
@user-ti6wm7hy5b6 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@user-zb2mj5nd5g6 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@ChiefKisensiOnline6 ай бұрын
Wote Wanachechemea tu😂😂😂
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@GodfreyJames-zt6ig6 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@jamesbilafumba69026 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort6 ай бұрын
sanaaaaaa
@elianifammari32126 ай бұрын
Yako iko wapi mmmmhh
@user-sd8jz7zj2l6 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Vijana mna kazi
@user-mz2mr4ib2o6 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@nafuwswedi24656 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@mwanaidmaulid47636 ай бұрын
Kiusingiziii😅
@user-ue6pq8zl3s6 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@user-qu1dz2ed1b6 ай бұрын
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
@user-qu1dz2ed1b6 ай бұрын
Niakukubali saaaana😮😮😮
@elianifammari32126 ай бұрын
Toa kwanza hayo mapete
@user-rm3lp9hi1n6 ай бұрын
Japo zinna ata banda ila ya kawaida sana
@user-wq2fh5rx4s6 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad55596 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@MbossoMbosso-rw4ox6 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@bennymochiwa48006 ай бұрын
We fala acha wivu😂😂
@beautyafrica2546 ай бұрын
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
@mickdad83096 ай бұрын
😂😂 kama sckakaah
@emmanuelnkwabi86106 ай бұрын
Balaaa😂😂😂😂😂
@habisnasalum-nz4zo6 ай бұрын
Wew unayo acheni wivu tafteni ela
@ismailimpaukha27736 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally10526 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@AwaziRajab6 ай бұрын
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
@user-zs7nf7ph5n6 ай бұрын
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
@HappyForestTrees-gc6hs6 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
@ismailimpaukha27736 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@sidikassim67596 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@oscarjohn4776 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@mrsinia30646 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@moseskulola69136 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@majaliwamsigwa62066 ай бұрын
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
@OchoaHomeDecor_6 ай бұрын
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
@kisjohn34356 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
@mnaromajengo91556 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@happynkya97706 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
@celestinomarianomatias95376 ай бұрын
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
@deogratiusndunguru76366 ай бұрын
Ni bora angejenga nyumba ya chini lakini kali,ila ukweli sio standard kiasi cha kuita media
@bennymochiwa48006 ай бұрын
Acha wivu we fala, Babako kajenga nn ??😂😂
@deogratiusndunguru76366 ай бұрын
@@bennymochiwa4800 kumbuka hapa tunatoa maoni,kila mtu na maoni yake,kwa mimi niliyejenga hapo hakuna nyumba y 1.3billioni,so point ni kwamba ni nyumba ya kawaida sanaa tena sio standard kabisa
@ashaali71546 ай бұрын
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
@twahaanyoni91206 ай бұрын
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
@zachaamaster53786 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@husseinhussein36386 ай бұрын
Doto acha zalau kaka😂
@morjanoman51816 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@user-yo8mm9hj8c6 ай бұрын
Kweli kabisa nyumba yapita msechu kali
@abednego38766 ай бұрын
huyu jamaa mama kizimkazi ataempa ubalozi ni mpuuzi😅.
@user-rm3lp9hi1n6 ай бұрын
Ni ya kwaida sana nyumba ya mwijaku
@agnesjohn93826 ай бұрын
We unayo au wivu tu
@user-rm3lp9hi1n6 ай бұрын
Sina ata banda but sina wivu just nimeongea ukweli
@gabrielzakaria28106 ай бұрын
Huna nyumba
@paskaziasholla74716 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku billion moja point 3 ,,,,,,Aya baba dotto Magali Ila nyie mnajuana Mie sitii neno hata kidogo
@hashimchaoga95666 ай бұрын
Wasiojenga bado ndio watakubali huo uongo. Haifiki hata milioni 400 hapo. Ghorofa moja halafu si pana. Gharama zinatokana na wingi wa ghorofa ambapo nondo sementi na kokoto zitaenda nyingi sana.Labda milioni 300 au 400 .
@princekarani78366 ай бұрын
@@hashimchaoga9566 sio mia tatu wala 200,labda millioni 100 na kitu
@Emedroadtocanada6 ай бұрын
Povu ilo mzee
@pavillioncry52416 ай бұрын
Huyu mwandishi hamna
@awazioga18236 ай бұрын
Ya kawaidaaaaaaaaaaaa na ya kishamba
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Hivi uwa ni roho mbaya kujipa moyo au kujitoa akili?!Wewe mwenyewe huna ata nyumba Alafu unasema ya kawaida kweli
@sophsoph47406 ай бұрын
@@edwardtrigga5701😂😂😂ya. Hapo huskute Baamed wa baaa😂😂hanajipa moyo