Mwl kila somo unalotoaga naona km unanigusa😊ubarikiwe sana kwa utumishi mwema
@josephinajosephu6859 Жыл бұрын
Mungu na akutunze Dr.hakika umekuwa msaada Sana kwang najikuta kubadilika kila ck
@janethmtuka71572 жыл бұрын
Mwenyez mungu akutunze uwe na afya njema iliueenderee kutufundisha mambo mazuri🙏
@veronicamigera52272 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa uwepo wako, lakini nahitaji kuongea na wewe ana kwa ana🙏
@teddy-iq6lh Жыл бұрын
Asante sana doctor kwa somo zuri Mungu akutunze
@aishazahoro54372 жыл бұрын
Kwa kweli mungu atakulipa kwa haya mazuri nnayopatà kutoka kwako. Umekuwa mwalim wangu wa kudum jamn. Hii ni shule na dunia nyengine kabisaaa...
@HasaniSalumu-rc6zg4 ай бұрын
Dr hofu naitoaje maana nateseka mimi naweza nikawa nampenzi wangu naingiwa na hof,nashindwa kufanya tendo 🙏
@داماالعنزي2 жыл бұрын
Asante sana dr.chris umetoa fundisho zuri sana nmesaidika asante tena barikiwa
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Mauki moyo ! Wangu unauma ! Kila nikimfikilia mmewangu ! Nimemsamehe Ila kunamda nakumbuka ! Amenisaliti ! Sikua na tegemea hyo nilimuamin Sanaa ! Kumbe wanaume ndivyo walivyo ! Nawaza kuondoka ! Niishi pekeangu nawaza Sanaa !
@MwasiKiselya Жыл бұрын
Asante kwasomo zuri namungu akulinde Mimi mmewangu kanikosea ila kuomba msamaha hajawahi kabisa nitafanyaje iliatambue kosa lake
@عبدالعزيزعبداللهالفغم2 жыл бұрын
Nmelipenda sana somo limenisaidia sanaaaaaaa ntalifanyia kazi
@MariamBakariy10 ай бұрын
mariam dr chris asante sana kak angu maana umenitoa kwenye kiza nampenda sana mume wangu lakini tangu alipo. nisaliti sina hata hisia nae lakini nimeelewa somo lako kak ubarikiwe kwa yote
@dannyabs89832 жыл бұрын
Asante sana dr.chris....leo umegonga ndipo kabisa....i really appreciate job .God bless you with much more...tuendelee kujifunza kutoka kwako
@salmasulleysh71012 жыл бұрын
Asante Dr nimekuelewa
@emmanuelvungwa37872 жыл бұрын
Asantee Sana docter kubali
@ismailmutisya10795 ай бұрын
Following from kenya,i like this man
@irennyamanda74652 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho, Mungu azidi kukutunza sana 🙏
@doricejohn46482 жыл бұрын
May God blessing you Doctor
@felistermahugi29022 жыл бұрын
Ulinisikitisha Sana, 4 months ago nilikupigia nilikuwa na shida, hukurespond. Jitahidi kujali simu.
@hellen13232 жыл бұрын
Yan hata ukiuliza anapatikana wapi kiofice hajibu
@queenmakere28492 жыл бұрын
Asanteee kwa somo zuri sana hakika tunajifunza mengi
@asmaafamau92932 жыл бұрын
Shukran Sana Dr mngu akubariki
@madlynerose64932 жыл бұрын
Asante doctor umeponya maisha yangu may God bless you forever
@HappinessKiondo-ii7sw Жыл бұрын
Doctor najivunia Sana masomo Yako najengeka tena kwenye ndoa nilikuwa nimeanguka nataman kusahau yaliyopita niwe na Iman tena na ndoa yangu
@hassanjuma71042 жыл бұрын
Doctor kris's.kuna bint nilie mpnda sana.lkini yye akaniambia ni mpe mda ata nijbu basi nilikua nikiongea nae kma kawaida.ila jbu lilokuja kwangu lilinivunja nguvu.aliponiambia kua Mimi kunae kijna nilimpnda sna mpka sioni jinsi yakumxalti.kwa ukweli niliumia doctar na uyu bint nampnda je nifanyeje
@annamwakilembe56832 жыл бұрын
Asante Sana Dr,
@williamdanny43259 ай бұрын
Mm ni mmoja wapo napata shida sana kurudisha Imani
@danielminangu94402 жыл бұрын
Mwalimu Asante Kwa SoMo zuri ila naomba unisaidie nimefunga ndoa nimefatilia SoMo lako la mahusiano feki ni alisi kabisa na maisha yangu ya ndoa
@anithamsoke23292 жыл бұрын
Dr Chriss msamaha unahitaji neema ya Mungu ili kumweka mtu huru. Tofauti na hapo ni ngumu mtu unakuta kakuhumiza mara kibao kosa hilo hilo. Mungu atuhurumie wengine hawabaridiki
@mahmoodalghefeili53702 жыл бұрын
Yaan we acha tu
@bill_ambrose4806 Жыл бұрын
Hii imeniponya san dr....shukran sana
@dativakiiza95592 жыл бұрын
Asante sana Mimi nimekutana na ili SoMo maana nimeumizwa sana na mme wangu na nahisi maumivu makali moyoni mwangu. Ila kupitia haya mambo matano niliyoyasikia ngoja nistragle kuzifanyia kazi
@neemawilfred Жыл бұрын
uko vizuri sana kaka mafunzo yako ni mazuri
@hadijaMussa-sc1tk Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@stelinahlina4780 Жыл бұрын
somo nzuriii sana ubarikiwe
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Asante sana dr
@happynescostat74202 жыл бұрын
Mmmh umenitoa mbali Sana, nilikuwa na visasi na uchungu Sana, ninaanza kuchukulia hatua haya uliyofundsha,
@leahjohnsimba40882 жыл бұрын
Baba gharama za kukuona ni shilling ngapi
@happymgasa3876 Жыл бұрын
Dr nakuelewa sana nimejifunza na hata mm nitabadilika na kumpa mda mpenz wangu
@shangweamonkango19772 жыл бұрын
Ngumu sana mungu atusaidie
@fatumaabduly5086 Жыл бұрын
Dahh thanks dokta
@hdhjdh775 Жыл бұрын
Asante sana 🙏❤
@winfridamwigilwa21072 жыл бұрын
Best Doctor!! Thank you
@patriciacosmas59442 жыл бұрын
Unamsamehe anarudia Tena unampa mda lakini bado tatizo Ni lile lile.hapa nimeerewa hakuna kitu.
@NellyYuda-ev5ts Жыл бұрын
Kama mm unamsameh anarudia Tena Sasa hapo inakuwaje
@Mahene-w1l3 ай бұрын
Shida Sio kumsamehe tu Bali tatzo lolote au Tabia Yoyote Inaweza kurekebishwa Cha kwanza kaeni Chini Muulize kama Anatambua Tabia Hasi aliyo nayo Cha pili Je yupo tayari Kiasi Gani Kushughulikia Hiyo Tabia.. Changamoto tu Huwa inakuja pale Ambapo Mtu anaona Yale anayofany ni sawa ilihali tuna Kasoro ambzo tumerithi kutokana na mapito yetu pia kutok kweny familia...jambo la Muhimu Kwa nyinyi wawili ni Kutambua Kuwa Mmekutana mkiwa na Tabia Tofauti hivyo Kil Mmoja akubali Kuwa hayupo kamilifu so inapotokea Mmoja wenu Ameonesh Tabia isiyomfaa mwingne awe na Moyo wa Kukubali na Kuwa tayar Kufanyia Kazi Ili kujenga Tabia ya pamoja@NellyYuda-ev5ts
@beathagurthi4432 Жыл бұрын
Appreciate you
@josephatybennedictor53962 жыл бұрын
Thanks Dr
@janenkhwazi24572 жыл бұрын
Nimeipenda somo hili maana usiku I fought with my man.....yani angekuwa mke mngine should have given up him coz it's too much disrespect me but I forgiven him more times....Besides I don't trust him anymore.
@leahjohnsimba40882 жыл бұрын
Pole Jane yanatukuta wengi men are not faithful my dear
Mimi kwakweli nimechoka na mapenzi😢 unanisaidiaje😢
@happynescostat74209 ай бұрын
Nimeipenda Sana hiyo😂 jipende mwenyewe!😅
@happynescostat74209 ай бұрын
Karibu tuwe marafiki nipo kagera,
@paulinambeleselo60992 жыл бұрын
Hapo kwenye kumpa muda wa kubadilika inaweza ikafika hata Zaid ya miaka mitano kweli
@mwetafils88752 жыл бұрын
Sasa Dr, Na endapo mtu liye niumiza hataki hata kunisikiliza namuomba msamaha hataki kabisa kunisikiliza nafanyaje ?
@محمدعلي-ش3ج8خ Жыл бұрын
Mm nimeshindwa kusamehee😢 mum wangu tunaye watt 4 nipo kuja saudia..nimekuwa namutumiya pesa iri tunikwamuwe ira arico nifaniyi n Mungu tu nimerudi sikutaka hata pesa moja hata hakufanya cocote zaidi yaurevi ss nimeshindwa kusamehee
@priscamhina66242 жыл бұрын
Why sikusubir nisikilize hili somo nimeruhusu hasira initawale
@zerishtz11102 жыл бұрын
Sasa Kama ameomba msamaha alafu bado anarudia kosa lile lile la usaliti nifanyeje dr
@efrasianjiro62612 жыл бұрын
Weka namba za sim basi
@happyyusuph64772 жыл бұрын
Daa MUNGU atupe neema ya kusamehe
@judith-ni1yd Жыл бұрын
Mm nataka unisaidie Nina mpenzi ninaempenda sana lkn sahii simuelewi kabisa ukimutumanishia massage hajibu ukimpingia hasiki simu.ukimuuliza analeta Sababu zisizo eleweka na bado nampenda Yani moyo Wang inakataa kupenda mtu mwingine
@damarinjeri44072 жыл бұрын
Thanx for your advice Mr Chris ,,I have been in this problem for a long time till now ,,,I have not being able to forgive my husband 😪my heart bleeds each time I remember what he did even if he's asking for forgiveness after he realised his mistakes ,,,God help me 🙏🙏🙏
@anithamsoke23292 жыл бұрын
Same to me dear
@leahjohnsimba40882 жыл бұрын
Pole Damari but women have real love most of men cheat their lover please do not allow your heart to be broken please
@bhokesaid32642 жыл бұрын
Ndio ninachokipitia muda huu😢
@fathiaabdallah4106 Жыл бұрын
😭😭
@MaryAddam-my8nh Жыл бұрын
Asante doctor.
@anithajoseph2757 Жыл бұрын
Mm naomba ushauri wako, mwenzangu hashauriki na anakuwa na misimamo yake hata kama anakuwa anakosea. Nifanyeje.
@liliannyangau9642 жыл бұрын
Ninakushukuru sana,ningependa unisaidie jambo fulani ulilala rafiki ambaye anataka kujua historia yako yakitambo anauliza kama nimewai kuwa na mpenzi na nini ilifanya tukakosana anatakakujua kila kitu kuniusu ninaomba unisaidie kujua ni kwa nn anaulizia
@kambindahilda6282 жыл бұрын
Hivi unaweza kumsamehe aliyekuumiza kweli?
@AminaGarnoon-lk4wz Жыл бұрын
Please nataka kukuona mm nimuhanga
@stellahmelkiony88902 жыл бұрын
Hapa nimeshindwa Dr. Inabidi nikuone private labda ntaweza funguka ukanipa tumaini tena
@leahjohnsimba40882 жыл бұрын
Pole Stella hunishindi Mimi dear
@stellahmelkiony88902 жыл бұрын
@@leahjohnsimba4088 Asante mpenzi Mungu atusimamie ni ngumu mno mno kuelewa hii kitu ikishakupata duh
@leahjohnsimba40882 жыл бұрын
Mimi nilisalitiwa Mara nyingi na mume akazaa nje watoto wawili nikutie moyo Mahuki anasema ukweli Dada same he maisha yaendelee nimepoteza uzuri woote kwa hiyo anachosema Kris zingatia utafanikiwa
@stellahmelkiony88902 жыл бұрын
@@leahjohnsimba4088 Duh pole sana mpenzi ngoja nijaribu njia za mauki ila kwa kweli ni ngumu mno kusamehe
@stellahmelkiony88902 жыл бұрын
@@leahjohnsimba4088 na watoto unawalea au umewaacha kwa mama zao ni kwa mwanamke mmoja au wawili tofauti
@reyshabani60062 жыл бұрын
Nimejifunza kitu
@nuruchande8848 Жыл бұрын
Yan doctor, some times mtu unashindwa kurudisha Imani kwa mtu wako kwa sababu anarudia the same mistake!!...sasa hapo tuseme n wao wanashindwa kushughulikia mazingira ya wao kucheat au kukosea makosa yaleyale Co Siri inaumiza mno Dr. Mtu unampenda unamuheshimu na unajitahid kwa Hali na Mali kutimiza majukumu yako kwake lkn yy anakazi ya kukuumiza tu😭😭 Na hiii ndo inapelekea kumkumbusha makosa yake ya mwanzoni! Hata mm hii tabia ya kukumbushia kosa nnayo coz mtu anakuomba msamaha na unamove on hee!!😳after few days anarudia kitu kilekile au kinachofanana na kile😭so pain
@lucymponji9946 Жыл бұрын
Na km ww ndio mkosaji unafanyaje ili akupe tena nafasi na kukuamini tena?
@zeanasabri7994 Жыл бұрын
Kaka nitakupataje maaan maneno yako yamenigusa
@semenichaula371 Жыл бұрын
Dokta unakuna umemsamehe mumewako lakini bado analudia tena kufanya ivyo je nitafanyaje
@rehemachagiye73972 жыл бұрын
Nahitaji msaada wako doctor ,nakupataje wapi?
@frolarafaeli79562 жыл бұрын
Minaomba unisaidie namba WhatsApp yako
@neemamushi39802 жыл бұрын
Sasa mie ata kuambiwa tu samahani ajawai , unafanya nini hapo
@PeterJoseph-e6r9 ай бұрын
Kiukwer Kaka una npa ubora zaidi katka masomo yako
@themembinga3996 Жыл бұрын
Mada imenigusa itabid nianze kurudisha moyo
@mariumpeter61472 жыл бұрын
Mh! Sijakuelewa hata kidogo!
@TivahAlya Жыл бұрын
😅😅😅😅
@budodiatoni44962 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔nakubari hakika ubarikiwe
@jamesobedy39402 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@jfr24442 жыл бұрын
name upenda mada hii
@joventmichael91612 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa somo nzur sana Mungu akubariki limenisaidia sana
@alyakassim8201 Жыл бұрын
Inauma maneno mazuri Dr 😭😭
@alyakassim8201 Жыл бұрын
Yananipa utulivu maneno yako Allah akubariik subra tu ndio ngumi kama usemavyo
@ummkolthumkoalthum32712 жыл бұрын
😀😀😀Una gusa mle mle Unafunza kwa kuleta faraja kwa kweli, kwa kweli tukiombwa msamaha tunataka iwe hivyo hivyo mabadiliko ya haraka