🎉 Asantee sanaaaa kaka Cris,nimejifunza mengi kwako,naamini yatanisaidia.
@balihappy56286 ай бұрын
God bless you Dr
@leahmungure653811 ай бұрын
May God Almighty bless you abundantly sir.Najifunza mengi mno
@auntiemylee315711 ай бұрын
1.kutoaminiana 2.magomvi 3.kutoelewana kwa mambo madogo 4.unapokuwa n furaha bila mwenzako
@AishaOman-qz7tn11 ай бұрын
Mungu akubariki sana Dc
@mbogonijoel552911 ай бұрын
Dr Chris MUNGU akubariki maana Kila siku najifunza jambo jipya
@PhinaJose11 ай бұрын
Asante nimekuelewa vzr sana,km ulijua kuleta hii topic.
@RajabuHassan-v2y8 ай бұрын
Ahsante sana
@salomewandya72579 ай бұрын
Nimejifunza kitu ubarikiwe sana
@EstherWawanji11 ай бұрын
Thanks so much sir
@mbokamwakaje11 ай бұрын
Thanks so much
@magdalenadaud265611 ай бұрын
Allah akutunze🙏
@JescerProsper-hg1bf11 ай бұрын
Duu mm mtu wangu hana ivi vyote ila yaan aonyeshi kama ananipenda nifanyaje ili nione upendo wake maana vitu vingi nikifatilia kwako vya mtu ambae akupend yeye hana nifanyeje jaman
@monicacyprian913711 ай бұрын
Badilisha hiyo negativity mind kuwa positive anza kuona mazuri na sio mabaya
@nasrakassim262311 ай бұрын
Dr christ Allah akubariki
@dickson668411 ай бұрын
Siyo christ ni Chris
@chunanachu252911 ай бұрын
@@dickson6684lakini umeelewa au
@nasrakassim262311 ай бұрын
@@dickson6684 sawa mwaya shukran
@wardadallu182011 ай бұрын
Mm nishaingia kwenye ndoa na hayo yote mwanaume anayo kwa asilimia 1800/=japo umesema aliekwenyendoa haimuhusu lkn mm namuacha aende japo hua ananambia kuachana mm na ww mbaka kifo kitutenganishe tofauti na hivo nitakuja ua mtu yani pamoja na haya kaka mm ninatafuta njia ya kumuacha
@restfulgence73811 ай бұрын
Wewe ni mimi kabisaa😢😢
@LightnessSikoyo-gn5nh11 ай бұрын
Samahani mm kuna kitu nashindwa kuelewa tupo kwenye uchumba lakini nashindwa kuelewa mchumba wangu mimi ananipenda sana lakini tatizo liko kwangu ata nikiwa naye sina hisia naye kabisa sas nashindwa kuelewa nifanyaje sasa
@angelapella3011 ай бұрын
Hujampenda huyo , Yan sio wako huyo
@MagdalenaSebastian-y2f10 ай бұрын
Unasema kwelii ni wakat wa kumuacha aende.
@HadijaKidunda10 ай бұрын
Ntakipataje hicho kitabu Doctor mimi nipo DODOMA
@ChristinaPaulo-z5iАй бұрын
Aloooo yaan ninakunguruu wangu ana hizo zotee yaan ata aniumize vip haimsumbuiii yooooo let me tell u maina kuanzia leo naanza ku move on shenziiii
@MarthaGeay-qm4ob11 ай бұрын
😢😢😢Jamni daaaah!Ukweli mtupu
@KuluthumMwemtelo-i6g6 ай бұрын
Tulio nje ya dar es salaam tunapataje kitab
@FELISTEROuma-n4h11 ай бұрын
Hello doc...nilikua nauliza if i can have private conversation with you,kindly
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
wivu mwingi na kuwa na wasi wasi anapotoka mbali basi ni mapenzi upendo kuwa mwingi ujitahidi kuwa waaminifu na ukaribu hata mukiwa mbali kumtoa hofu mwenza wako ukiona unaaminiwa huulizwi ujuwe hamna kitu yupo tu
@kellyclassic751511 ай бұрын
dokta Leo umenigusa mimi kabisa mi na mwenza wangu hatujafunga ndoa lakin tunaish pamoja na tuna mtoto mdogo na mahali katoa lakin vyote ulivyoongelea vipo kwenye maisha yetu na huwa anapenda kweli hata nisafir na akikasirika huwa anasema yan ukiwa haupo mi nakua na Aman sas nifanye nn hapo?
@christinaanatory196211 ай бұрын
Vumilia dada
@ashnaom227011 ай бұрын
Samahan nais ujataja Ving ila ACHA aende tu kwakwel
@RoseMrio11 ай бұрын
mung wng dokta mm akujb kt utazan bubu ukikoxea kdg knyongo na atalipiza hatuelewan tena kama mwanzo kwa xx nna Aman at kwa yal anafanya nahc nami nimo aende t