LIFE WISDOM:MUEPUKE MTU WA NAMNA HII - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 18,351

Joel Nanauka

Joel Nanauka

23 күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 114
@user-oq4fv5ed7u
@user-oq4fv5ed7u 13 сағат бұрын
Kaka nimejikuta ninacheka sana maana hao watu wawili WA mwanzoni katika maisha yangu ninao na wamekuwa wakiniwazisha sana bro kuanzia leo naachili aisey daah . Asante sana brother
@MajaliwaMhungati
@MajaliwaMhungati Күн бұрын
Ni kweli tupu...watu hao kwa sasa wataisoma namba maana kwa sasa itabidi nibadiri mwelekeo Bora peke yangu.
@gosbertrutayega4546
@gosbertrutayega4546 11 күн бұрын
This is very true. Yaani kuna mtu haamini hata nikimwambia sina hela
@JohnPatrickKasokota-qw6ep
@JohnPatrickKasokota-qw6ep 20 күн бұрын
Asant sana broe kwa elimu nimegundua na ndo inavyo nitokea mm kwa watu wangu wakalibu sana mwalimu vitu gani nizingatie il na mimi nifanikiwe hizi changamoto ilizo sema zote ndo zinazo nitokea mimi
@blackeagle4441
@blackeagle4441 18 күн бұрын
Kaka #joelnanauka barikiwa mnoo najifunza mengi sn kupitia ww🙌
@hawahamza1085
@hawahamza1085 8 күн бұрын
Nimeipenda iyooo
@denismabuye2282
@denismabuye2282 20 күн бұрын
Kaka Joel hii mimi imenikuta sana, tayari nimejifunza namna ya kukabiliana nao., wengine ni ndugu kabisa. Asante sana kwa life wisdom... Mungu akubariki sana.🙏
@FarajaMkumbo-pc3ft
@FarajaMkumbo-pc3ft 20 күн бұрын
Asante kwa mafundisho yako tangia nianze kukufatilia nimebadilisha maisha yangu hakika mungu akubarik kaka joel
@monicakauky8914
@monicakauky8914 14 күн бұрын
Ndiyo Kuna mtu nikimpa mara nyingi harudishi na nikimwambia Sina anakasirika,Kwa sasa nimeamua nikimpa sitarajii kurudishiwa.
@KelvinMmari-fp7zx
@KelvinMmari-fp7zx 12 күн бұрын
Wako wengi mkuu
@alsam4881
@alsam4881 10 күн бұрын
Yaani hapo umenigusa mie kabisa ,yalinikuta hayo na siku hizi nimeachana nao kabisa kwasababu walinitumilia mimi kwa miaka mingi na sasa nimewaepuka, tena huwa wanakuwaga hawana shukrani wala fadhila kabisa, wao kutwa ni kutowa lawama tu na shida zisizoisha.
@khadijaamour7654
@khadijaamour7654 19 күн бұрын
Wazee wetu pia wako hivo hatuna jema zaidi ya kuapizwa km huna hela za kuwapa
@leticiampeka1488
@leticiampeka1488 16 күн бұрын
Asante sana kwa somo nzuri sana, hawa watu huwachukulia wenzao kama fursa vile, bila kujali kuwa kuna kujinyima mpaka yanaonekana anayoyaona kwako. Nimekutana na wengi ila huyu wa hivi karibuni amezidi ana sifa nyingi tajwa, kwangu naona ni bora kumkwepa au kumwambia siko vizuri tu.
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv 9 күн бұрын
Umenigusa kwa kiasi kikubwa sana, barikiwa sana mtumishi.
@PriscaMwamakula
@PriscaMwamakula 11 күн бұрын
Nimekutana nao sana kwa kweli wanaumiza sana halafu wanakatisha tamaa
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y 20 күн бұрын
From south Africa Durban ili tumuunge mkono kwa nguvu zote mwalimu wetu usi skip tangazo linalo pita liache liishe nadhani hii itampa faida sana na uta Kua umechangia kwa nguvu kubwa please 🙏 wanafunzi wenzangu❤❤
@paschalmasanilo2617
@paschalmasanilo2617 19 күн бұрын
Okay 🎉
@YusuphRashidiSimoni
@YusuphRashidiSimoni 17 күн бұрын
0
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr 15 күн бұрын
Alaaah kumbe sijawai jua ii mm ni mhanga mkubwa wa ili 😢😢😢
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr 15 күн бұрын
Nitafanya hivyo kwakweli maana ❤❤❤
@mahmoudmtanga8448
@mahmoudmtanga8448 6 күн бұрын
inasaidia nn
@user-hm5jl1kh2t
@user-hm5jl1kh2t 18 күн бұрын
Habari , mm naona ndio walio nizunguka katika maisha yangu 😢 dah Asante sanaa
@allyway999
@allyway999 18 күн бұрын
From here Capetown Hii changamoto imekuwa kubwa mno kiasi kuanzia kwa ndugu mpaka wazee wangu kiasi mpata sijui nn chakufanya yaan mtu anajimaliza kiasi kwa bila mm no way out tena after that Yoh so sad 😢 man
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 20 күн бұрын
Imenitokea sana marafiki hta kw ndugu....lakin kw hili somo nashukur nimejifunza kitu Joel asante sana
@mwanaomary3034
@mwanaomary3034 20 күн бұрын
Duuh wapo wengi,Asante
@rehemabakari3032
@rehemabakari3032 19 күн бұрын
Thank you so much ❤❤❤❤❤
@NickGamba-ft8tl
@NickGamba-ft8tl 19 күн бұрын
ASANTEE SANA MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL MASTER
@olivermkuni8232
@olivermkuni8232 19 күн бұрын
Ahsante sana kwa somo nzuri nimezungukwa na watu wengi wenye tabia hii
@TumainiChengula-dn5vx
@TumainiChengula-dn5vx 20 күн бұрын
Yaani kaka mm nishakutana nao sana wanachosha sana wanataka kusaidiwa wao tuu ila wew ukipata shida kama hawakuoni alafu wakizipata Sasa wanakula bata na watu wengine zikiisha ndio wanakuja tena kwakooo Aloooo kiufupi mm ngoja niwapoteze tuuu siwataki hata bureee popote walipo najua wanajijua wapite kuleeee
@MohamedSarahani-gk6jx
@MohamedSarahani-gk6jx 18 күн бұрын
Watuu kamaa haooo wapooo wengi hasaa katikaa familiaaa zetu
@ENOCKDANIEL-jo3ed
@ENOCKDANIEL-jo3ed 20 күн бұрын
Kaka hawa watu binafsi ninao marafiki zangu na ndugu pia , asante san umenifundisha somo kubwa mno 🙏🙏
@AllyJuma-fy2is
@AllyJuma-fy2is 13 күн бұрын
Asant kaka hawawatu wapo atamm niponae lkn nimejifunza kwa somohili
@nwntz
@nwntz 17 күн бұрын
Thanks man❤
@SephaniaLucas
@SephaniaLucas 20 күн бұрын
Kiukweli watu hao wanaumiza sana. Ubarikiwe mwalimu.
@judithlugongo8804
@judithlugongo8804 20 күн бұрын
Ni sahihi kabisa Barikiwa kwa mafundisho mazuri nimejifunza mengi na umenisadia sana
@tullymwakatuleme552
@tullymwakatuleme552 20 күн бұрын
Nimejifunza ...mpaka saiz nimekutana nao na wanasema mm mchoyo
@brunomwimanzi6074
@brunomwimanzi6074 20 күн бұрын
Daaah Asante sana kaka,wapo mtaani Kwangu hadi unajuta kuwafahamu yaani
@user-df3su9fp1o
@user-df3su9fp1o 19 күн бұрын
Hongera sana, maana hiyo ndiyo familia yangu yaani umepita mlemle
@edinachami4318
@edinachami4318 17 күн бұрын
Mpaka waseme😂😂😂 Asante broo Joel ulikonitoa nimbali mnoooo❤❤❤
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 20 күн бұрын
Mimi nilisha kubali lawama kuliko fedheha, Tena bila kupepesa macho
@ahz6907
@ahz6907 20 күн бұрын
Kama mimi 😂
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 20 күн бұрын
Safi sanaa
@westoninyema8343
@westoninyema8343 20 күн бұрын
Naanza kuwaepuka nana ninao wawili awajal ninao itaj msada wao
@cocotz1892
@cocotz1892 20 күн бұрын
Jifunze kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kamekumbuka kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
@cocotz1892
@cocotz1892 20 күн бұрын
Nimejifuz kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kajikumbusha kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 20 күн бұрын
Asante
@HamzaSelemani-rt8jt
@HamzaSelemani-rt8jt 20 күн бұрын
Ihii imenitokea Sana daah binahadamu
@lincolnkimambo3744
@lincolnkimambo3744 20 күн бұрын
Kiukweli ni Ndugu zangu.
@rhabrhab1797
@rhabrhab1797 20 күн бұрын
Ameen Asante sana kwa mafundisho mazuri
@amonkaiza9876
@amonkaiza9876 20 күн бұрын
hawa watu tupo nao Sana wengne tumesoma nao chuon pia wengne ni rafik zetu kabisaa kiukweli wanakera sans
@saay4273
@saay4273 20 күн бұрын
Wapo sanaa wametuzunguka katika Maisha yetu
@Jumamussa.-gm1eo
@Jumamussa.-gm1eo 4 күн бұрын
Kuna mmoja ni best wang friend sijui nimu avoid kwa njia ip
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 20 күн бұрын
Hawa nimekutana nao wengi sana
@rahimyahaya5776
@rahimyahaya5776 19 күн бұрын
Wapo sana kuna mmoja alinikopa laki 5 mwisho wa siku nilirudishiwa laki 1 mpaka leo ikabidi nisamehe maana ukimdai anaona kama unamsumbua
@vitarismujuni6889
@vitarismujuni6889 9 күн бұрын
Hawa ni ccm na raia wake
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 20 күн бұрын
Wapo wengi sana na wanatuzungukA kaka😢😢
@victoriakaroli6995
@victoriakaroli6995 15 күн бұрын
Dah iyo mimi nilikutana nayo kwa boss wangu baada ya kunipeleka ofisini kwake na nikaanza kufanya kazi ikawa kama nafanya kazi bure, hata usipolipwa mshahara ukiuliza tu anaamua akulipe au asikulipe au anakufanyia chochote anachoamua na ukiuliza utaumia.. kiukweli watu wa aina hii ni wengi sana ni bora hata kukosa kazi lakini ubaki na amani vinginevyo utaumizwa sana na watu wa aina hii.. unatengenezewa hata skendo ili tu wawaonyeshe watu kuwa wewe ni mkosaji
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 17 күн бұрын
Yani umesema ukweli kabisa bro, hayo mambo mi nayaona sana kwenye maisha yangu🤔🤔🤔
@sharfatyally7224
@sharfatyally7224 11 күн бұрын
Yupo hapa pemben yangu ,kila ulicho kisema anacho natayar nimesha mtoa ktk system yangu ,mshenz sana.
@lovenessjoseph5718
@lovenessjoseph5718 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@jessiepeter2819
@jessiepeter2819 7 күн бұрын
😂😂😂😂wanakera sanaaa😂😂
@LeahVlogstoday
@LeahVlogstoday 20 күн бұрын
Kabisa yani nikama unanizungumzia mimi changamoto hii nimeipitia
@SelfathumanMisere-te6kg
@SelfathumanMisere-te6kg 20 күн бұрын
Wapo wengi mm wananisumbua sana
@Winie-ht3zq
@Winie-ht3zq 19 күн бұрын
Imenikuta hii Ni kwel kabisa kaka
@brianisack7673
@brianisack7673 14 күн бұрын
Be blessed brother 🙏🏽🪜
@brianisack7673
@brianisack7673 14 күн бұрын
@vumiliamgingu1579
@vumiliamgingu1579 17 күн бұрын
💯
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 20 күн бұрын
Hii imenikuta kwenye familia yangu ,yani kuna ndugu yangu akikuomba pesa ukimwambia huna anakasirika,naukimkopesha kurudisha lawama
@dysonmligite3482
@dysonmligite3482 20 күн бұрын
Yan mm dadaangu amenikasilikia hd leo nikimpigia cm hapokei kisa ss hv akiniomb hela namwambia cn
@emanuelmlingwa9408
@emanuelmlingwa9408 20 күн бұрын
Ahsante mentor Joel nanauka you made me a winner,, watu wanamna hii niko nao kwenye cycle nitatumia mbinu hizi kujinasua
@kelvinemmanuel8616
@kelvinemmanuel8616 19 күн бұрын
BRO LEO UMENIGUSA MNOOO YAAN AINA HII YA RAFIKI NILIKUA NAE.
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 20 күн бұрын
Huyo ni mwanaume wangu tabia zote anazo na kujitilisha huruma yan wewe ndio kila siku umsaidie na umpe moyo yan anaona ni wajibu wako kbs na hata watu wakimuazima harudishi wakichukua hatua anaona kaonewa nimeamua kumuacha aende zake yani nikipata shida imekuwa ni ngumu kusaidika kwa sabab ya kuambatana na yeye wanadhani nina tabia kama zake yan simtaki kabisa kwenye maisha yangu ATOKE
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo 20 күн бұрын
Kimbia hapo Huna mtu ni mzigo huo🙌
@jamesshirima33
@jamesshirima33 20 күн бұрын
Asante sana 🎉 KAKA
@dativerdionese8099
@dativerdionese8099 20 күн бұрын
Asante sana,, ubarikiwe kwa kazi nzuri 🙏
@mariamndikumana-nn9ly
@mariamndikumana-nn9ly 20 күн бұрын
Yaani huyo ni mam yangu nimechoka
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 20 күн бұрын
Nimekutana nao saà
@user-kg9df9zp1h
@user-kg9df9zp1h 20 күн бұрын
Hawa ninao hata nina rafiki yangu hapa yeye akiwa na shida ndo ananitafuta ila akiwa hana shida hawezi kujitafutia.
@UtnessMlimakala
@UtnessMlimakala 20 күн бұрын
Ukweli mtupu
@FATHIAABDI-j7e
@FATHIAABDI-j7e 18 күн бұрын
Niafadhali wengne niwaume zao lakin cc wengne niwenza wetu natumeshazaa watoto inabidi nishida tu yaani cfa hizo zte mumewng anazo yey tutafanyeje unafkiri nandio nipo nae kwenye ndoa
@justinekereri7445
@justinekereri7445 15 күн бұрын
Uko sahihi mno mimi nina ndugu zangu wenye tabia ya kukufanya kwa makusudi kabisa kitega uchumi ya fedha zao ni vigumu kujua kama wanayo lakini za zinahitajika wakati wote.
@BonfriInsuranceAgency
@BonfriInsuranceAgency 20 күн бұрын
Kweli, nashukuru
@TabiaChibwana
@TabiaChibwana 20 күн бұрын
Usiombee uyo mtu awe mwenza wako😢
@tullymwakatuleme552
@tullymwakatuleme552 20 күн бұрын
Ubalikiwe na Bwana
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 20 күн бұрын
Asante Sana.
@iizalaw6674
@iizalaw6674 20 күн бұрын
Hakika yameshawahi kunikuta na najitahidi nirudie makosa na wana tabia ya kurudia kukopa hata kama hakulipa lililopita, ukiazima vyakwao wanadai balaa
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo 20 күн бұрын
Mimi ni ndugu zng kabisa wa damu ndio wenye kunididimiza na mpaka sasa kaka yng tena mdogo Ana mke na watoto wawili amenifanya km baba yake baada ya mm kuchoka na kumwambia simama km baba wa familia yako imekuwa Kosa kisa ni mm nipo nje ya nchi wanadhani muda wote ninanyo pesa
@RamadhanMtaki-sw1gx
@RamadhanMtaki-sw1gx 18 күн бұрын
ni rafiki yangu kabisa Yani yupo hivyo kaka.
@ayubuhamad9451
@ayubuhamad9451 20 күн бұрын
Brother umegusa uhalisia wa Maisha ninayoyapitia Watu wa aina hiyo ninao sana Wafamilia na baadhi ya Marafiki,ningepata hili Somo kabla ningekua mbali sana,nashukuru leo kulipata nitahakikisha napata Vitabu vyako kujifunza zaidi,ni Changamoto kubwa nilionayo.
@winifridamalila6061
@winifridamalila6061 20 күн бұрын
Yan kuna watyu wengine ukiwapa pesa sema tu nimetoa sadaka
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 20 күн бұрын
Wengi saaana
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi 19 күн бұрын
😭😭😭Kaka Joel huyu nini kabisa unaemuongelea nipo gulf huu mwezi wasita Sasa tangu nifike mishahara niliopokea ni mitano hadi Sasa, lakini sina hata akiba nilionayo, familia baada ya kuskia nipo uku wote wamejazana kwa mama hawafanyi kazi wote wananiangalia mimi, na hapo na mimi nina watoto wangu 3, najitahidi kubalanc pesa kila mwisho wa mwezi lakini hawakosi kunibebesha matatizo yao, asante sana leo nimeongeza kitu
@rosesimon4630
@rosesimon4630 17 күн бұрын
We dada wewe tuma hela inayotosha watoto wako tu aisee utarudi kwenu huna chochote pole sana anza kuwa na roho ngumu usipofanya hivyo Kaz yako utaiona chungu
@marykweka4247
@marykweka4247 20 күн бұрын
Asante
@user-je8qx8ze8o
@user-je8qx8ze8o 20 күн бұрын
MM nimekutana nawo kwa sasa wanasema ninaringa
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 20 күн бұрын
Tena hawa kwa kununa kama ile pesa yao Dah nimecheka sana kuskia hii mana wee acha tu Na anataka umpe hapo hapo anachokitaka kama utamwambia subiri anaweza kukupigia cm kila baada ya saa moja
@user-rd6us8eo3k
@user-rd6us8eo3k 20 күн бұрын
Hawa Hua ni chamgamoto kwa wale watu wanao fanya biashara kwa Mali Kauli
@GraceSteven-qq5hn
@GraceSteven-qq5hn 20 күн бұрын
Asant
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 20 күн бұрын
Hii kitu inasumbua Sana unaweza pata stress
@pamelaalphonce4742
@pamelaalphonce4742 20 күн бұрын
Kaka Joel what if huyu mtu ni mtoto au mume?utamkwepa Vp??
@shidashida6060
@shidashida6060 20 күн бұрын
Dadaangu 😅😅 hadi namwogopa akiomba kitu hata kama sina haamini ni kulalamikat,.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 20 күн бұрын
😅😂😂😂😂Ila 😂😂Joel 😂😂mpaka. Jasho limenitoka😊😂😂
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 20 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka @Joel ❤
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 20 күн бұрын
"amenisema mpaka jasho limenitoka"😂😂👋,,,"amenisema mpaka nimezimia"😂😂😂😂😂😂
@Sumay228
@Sumay228 20 күн бұрын
Kama kuna namna watu wa namna hii hawatakiwi kukujua sana ili kama inawezekana wasijue kipato chako otherwise kazi ipo mi ndio nilimalizana nao hivyo ctaki kujuana sana
@abelhilonga1095
@abelhilonga1095 19 күн бұрын
Me ndio nina hiyo tabia kwa baadhi ya marafiki zangu
@dorrie-b8q
@dorrie-b8q 12 күн бұрын
Kuwa ww ni yule rafiki entitled 😂 au? Mnyonyajii
@dominickntajinya1550
@dominickntajinya1550 20 күн бұрын
%Usiache Kutabasamu%
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 20 күн бұрын
Wapooooh 😂,nlikutana naye mmoja huyo,Ila Yule dada hafai 😂,,,anatumia hela ovyo huku anapost status,jioni ikifika tu atakupigia simu, mara nimeibiwa pochi 😂,,so sina nauli,yani umpe pesa 😂,,,mara nimetumia hadi nauli 😂 whoiiii 😂👋
@lovenessjoseph5718
@lovenessjoseph5718 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mariammanyama6390
@mariammanyama6390 20 күн бұрын
Umeongea ukweli mtupu lakini mambo mengine inabidi tusamehe kwa sasa ili tuendelee kupambana zaidi watu wa hivi au marafiki ya hivi ni wengi sana
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 24 М.
Jinsi ya kupanga malengo kitaalamu  Paul Magola
5:36
Paul Magola
Рет қаралды 9 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 63 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 41 МЛН
LIFE WISDOM:MASOMA 6 KUTOKA KWA BILIONEA JACK MA - JOEL NANAUKA
12:02
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 278 М.
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)
11:59
UTT AMIS PLC
Рет қаралды 2,7 М.
LIFE WISDOM : FANYA MABADILIKO HAYA UFANIKIWE - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 21 М.
LIFE WISDOM : AINA NNE ZA WATU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
12:15
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 63 МЛН