No video

EX WAKO-Ukiota Na Mpenzi Wa Zamani, Je Ina Maana Gani [] +254706945821

  Рет қаралды 24,947

REV PETER NJIHIA

REV PETER NJIHIA

Күн бұрын

Join this channel to get access to perks:
/ @revpeternjihia
Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821

Пікірлер: 83
@bettymariga
@bettymariga 2 күн бұрын
Amen pastor hii mafudisho inanisaidia juu hta mimi niko saudi lakni hua natamani kuenda home hta usiku naota niko home ..barikiwa sana babaa
@ZahiraMzee
@ZahiraMzee 8 күн бұрын
Wah haki ndio maana,mtu tunaachana but kila siku namuota jamani mungu nisaidie
@HaweSidi
@HaweSidi 4 күн бұрын
.bwana yesu asifiwe mchungaji mm nimeota nmejikunyia
@user-db9qi3io8z
@user-db9qi3io8z 5 ай бұрын
Mimi huwa naota naingiliwa kinyume n maumbile na mtu nisiye mjua lkn jan nimemuota xx wangu ananiingilia alf nikamuuliza mbon siumii😮
@damjuaji450
@damjuaji450 10 күн бұрын
Kemea jini mahaba ilo lmekuja na sura ya mpenzi wangu
@damjuaji450
@damjuaji450 10 күн бұрын
Mpenzi wako nimekosea
@user-mp7ns8iq1b
@user-mp7ns8iq1b 6 ай бұрын
Go straight to the point unazunguka mnoooo jamani 😢😢
@revpeternjihia
@revpeternjihia 6 ай бұрын
Mbona una haraka wewe, MWALIMU mzuri ni yule anelezea Taratibu . Ukumbuke uwezo wako wakuelewa ni tofauti na mwingine. Just humble yourself
@revpeternjihia
@revpeternjihia 6 ай бұрын
Wengine hawana tatizo soma comments zao.
@ZASTAMWE
@ZASTAMWE 6 ай бұрын
Hivyo tufanyaje pastor😢 tunawezaje kuvunja hayo maagano mana sina malengo nae tena nina mtu mwingine😢
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Ongera kwakweli,yote nilifafanuliwa na wewe yamekuwa,niko mahakamani na tunaetaka kupeana taraka na alikuwa mme wangu,nimepata namuona akiwa na mwanamke alitutenganisha wakifurahia na kunicheka sana na mwanamke alikuwa anamnyonyesha mtoto,aliponiona akampa kwenye Tịtị na kumpa mme ambebe,mwanamme alipokea mtoto na akakaa kimya,
@sarahkaniki1732
@sarahkaniki1732 4 ай бұрын
Polee
@merryguza3307
@merryguza3307 Жыл бұрын
Amina mumishi wa mungu , ,, Mimi nimepata mpenzi wangu ambae tumeachaana takriban miezi 6 nilimwota anakuja kwetu akiwa na mpezi wake mwengine Ila et baada ya kuwaona nikaanza kupigana na uyo mdada , tulipigana Sana katk njoz Ila baadae nikawa nime mzidi nguvu yule mdada na mpenz wangu hakutugombelezea alituacha Nika mpiga baadae uyo Alie kua mpenz wangu akarudi uko waliko toka akiwa peke ake alivo fika mbele kidogo nikamchapa na kiwe aka nigeukia akicheka. Dhen Nika mwongelesha kisha nikamrushia kiwe la pili , na apo tulipo kua tunapigania ktk njoz niliona kulikua Kuna mbaba kakaa Ila alikaa kimy hakutugombelezea Wala hakujitikisa Nini maana yake mtume
@TeresiaMuthoni-jt3mb
@TeresiaMuthoni-jt3mb Жыл бұрын
Niliota mpenzi wangu wakitambo tukiwa single room. Nikajiescuse nikakojoe. Kuakisha stima nikapata zimepotea. Nikatoka nje kwenda kwa choo. Kidogo kidogo nikaona ame.nifuata akiwa na ubaya katika iyo process nikaanguka chini. Alikuwa anataka kuniua. Nilijipata nikipiga mayowe.
@mamaafrika1481
@mamaafrika1481 Жыл бұрын
Kweli kabisa kuusu kuchekewa kuolewa ata Mimi naota sana anataka anioe tena nimemwambia usinione Sina akiri akaniambia umebadilika tena
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Asante sana mimi nilikuwa namuotaga sana ndio ata mimi nilijuwa kuwa maaana yake bado unampenda na ndo mana unakuona
@fedrickmwakibibi9176
@fedrickmwakibibi9176 9 ай бұрын
.m
@Veronicahquithern
@Veronicahquithern 10 күн бұрын
🎉🎉
@agnesmolly1247
@agnesmolly1247 Жыл бұрын
Asante kwa mafunzo mazuri pastor
@user-di1ix3ol7w
@user-di1ix3ol7w 19 күн бұрын
Apo kwa hisia siko na hata siwazi hilo,
@user-fq1kr6fr6k
@user-fq1kr6fr6k 6 ай бұрын
Shalom baba niliachana na mchumba wangu mwezi uliopita jana ananiuliza umekasirika nini wakati alinidharau leo nimeota kanifuata kwa ndoto tumevuka daraja ananifuata hii ni nini baba winnie
@user-zz5ng1yb8d
@user-zz5ng1yb8d 8 ай бұрын
Mimi nimezaa na mtu tukakorofishana akanitelekezea mtoto akaoa na anawatoto wa 3nami nikaolewa na ninawatoto hatuna stor miaka 8 na ninamchukia kwa ila nashangaa juzi nimeota ananifata nyumbani mpaka ndani ananiambia namuumiza ananipenda sielewi manaake nini.
@GraceAlex-it2gp
@GraceAlex-it2gp 4 ай бұрын
Niliota na mpenzi wangu was zaman kanifata nyumbani Kwa mume wangu na akanambia kwann simtafuti na akanipa namba yake lakin mume wangu alistuka akatoka nje bila nguo baad ya kuon tukio hilo
@user-sb9nv7sd4o
@user-sb9nv7sd4o 7 ай бұрын
Nini maana ya kumuota ex wako ambae tuliachana lkn atujawahi kuonana ni kuchati tu na kutumiana picha lkn bado namuota au namuwaza je inakuaje yy pia uwa ywanitaja bado au nivip
@AliceClarisse-gs9ki
@AliceClarisse-gs9ki Жыл бұрын
Mutumishi niliota na pewe pesa na gipofu nikaota tena nimeka sehemu sina mutu wakunitowa iyo fasi nakaona Ex wangu akanitoa iyo sehem
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Dada alivyosimulia ata mimi niliota ana mwanamke mwingine namjuwa tukawa tunagombana na uyo mwanamke
@Ruthmpoa-sv9ul
@Ruthmpoa-sv9ul 10 ай бұрын
Mimi naomba unisaidie, naota nikimwona na kimbia kila mara hadi najikuta nimechoka sana.
@Judahnguru
@Judahnguru Ай бұрын
Nimeota mchumba wangu amekuja kwetu ushagoo na gari lakini amekuwa mlemavu na sister ya mguu wake uko na shida
@user-pi8pp6my5e
@user-pi8pp6my5e 5 ай бұрын
Kuota mpenzi wako wa zamani mara zote muko safari ya baharini au nchi kavu
@jiokio2511
@jiokio2511 Жыл бұрын
Ukiota mpenzi wako wa zamani anakuomba hela na muliachana miaka4
@jenniferkinyanjui2303
@jenniferkinyanjui2303 Жыл бұрын
Shalom Mtumishi
@ZASTAMWE
@ZASTAMWE 6 ай бұрын
pia nilipomuota ex wangu yupo kwenye baiskel anaondoka ananiaga kwa tabasamu bila chuki ana ananipa hi vizur tu nami nikaipokea kwa tabasamu kish akapanda baiskel yake akaondoka😢
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Kumuota mpenzi wako zaidi ya Mara kumi inakuaje hii
@EsterLiwa
@EsterLiwa Ай бұрын
Mm nimeot ex wng tumeludian
@mercylinemwabora-pm5yy
@mercylinemwabora-pm5yy 9 ай бұрын
Amen and Amen
@sashatom9463
@sashatom9463 11 ай бұрын
Mimi sina feelings na yy hata kidogo ila namuota ..labda yy ndio ananiwaza lakini mimi sina hisia na yy wala mawazo juu yake
@user-wz1lc8lo2w
@user-wz1lc8lo2w 6 ай бұрын
Nimeota mpenz Wang ananikataa na anasema hata kwanini alikutana nami hii inamaana gani mtumish
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Mimi sijatenda naye tendo la ndowa alinikis tu lakin nilikuwa namuota sana na iliniuma sana kuwa naye mbali
@user-ju1gr5rk5e
@user-ju1gr5rk5e Ай бұрын
Mm nmeota naolewa na ex wangu😢
@jenniferkinyanjui2303
@jenniferkinyanjui2303 Жыл бұрын
Niliota Na ongea na mama Kwa verandah. Punde nikasahu niko mama Nikajisaidia haja ndogo hapo tu kando yake. Nilishtuka nikakaa nkama nimeshikwa Na kichaa. Mama alitengeneza kofia nilikuwa nime baa kichwani. Maana yake ni nini?
@DonathaMlwilo-vo8us
@DonathaMlwilo-vo8us 9 ай бұрын
Naota nimezaa mtoto na mtu tuliyeachana ni mara kwa mara sana
@ZawadianaMwangosi-is2jm
@ZawadianaMwangosi-is2jm 8 ай бұрын
Una ndoa na majini ndo ilokuachanisha nae vunja hiyo ndoa ya kijini
@lilianmwendejoe735
@lilianmwendejoe735 6 ай бұрын
What about you have adream with him and the following day with him
@CeciliaPeter-pf9qd
@CeciliaPeter-pf9qd 8 ай бұрын
Mm nimeota x wangu wazaman kipindi nasoma tunapanga kuhusu kuonana na kuzaa watoto mapacha nn maana yake
@hyinekebasokerubo8902
@hyinekebasokerubo8902 Жыл бұрын
It's true ni hile bond u created together
@AlineNzosabimana
@AlineNzosabimana 5 ай бұрын
Ukweli kabisa
@raymondmagere4696
@raymondmagere4696 3 ай бұрын
Nimeota mm nipo namtu yupo mbele yangu alafu tunapita kwenye makaburi mengi makaburi mengine yapo wazi yamefukuliwa na sisi tukawa tuna pita tuu
@maglindaanyango
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen
@buhitexmohamed4785
@buhitexmohamed4785 Жыл бұрын
Mtoto ndie anota anaomba msamaha
@user-jh2fz6kw5p
@user-jh2fz6kw5p Жыл бұрын
Mimi niniota majeshi wakinikimbiza sasa kwasababu gani?
@patriciakurz4135
@patriciakurz4135 5 ай бұрын
Ndoto x wangu ansema wali ni Loga
@user-ew3fq7re2t
@user-ew3fq7re2t 9 ай бұрын
Tafsir ya ndoto unaulizwa umbea na boss wako wa Zamani. Nini maana yake?
@MorineAseyo
@MorineAseyo 11 ай бұрын
Niliota ety tumerudiana na baba mtoto atinimelala kweke na n mwaka moja tu akaoa😊
@shebahmorara3453
@shebahmorara3453 Жыл бұрын
Nimeota eti Mimi na mupenzi wangu tumekaa pamoja lakini simwamini wakiwa na familia Yao wakanipeamabakisho ya dawa fulani
@raymondmagere4696
@raymondmagere4696 3 ай бұрын
Ukiota unafanya mitihani alafu uwezi umesaidiwa sasa ndoukapata
@JoannaWilliam-gw8fy
@JoannaWilliam-gw8fy Жыл бұрын
Na inakuwaje mala nyingi unaota mnafanya biashara pamoja na inatokea uharibifu kwenye hiyo biashara
@lucywambui7725
@lucywambui7725 Жыл бұрын
Mm nliachana nayeye 17 year but hua naota nayeye karibu Kila siku
@marcelinasulootartoo-rf2ql
@marcelinasulootartoo-rf2ql Жыл бұрын
Na watoto wengine wawili na anasisitiza umeachika umlee mwanao
@user-xt3ib6lu7f
@user-xt3ib6lu7f Жыл бұрын
Naota nililala na mwanamke mwenzangu
@jenniferkinyanjui2303
@jenniferkinyanjui2303 Жыл бұрын
Niliota tena nataftia ex-wangu kazi. Nilipata contacts za Ile kampuni nikataka kumpa zile contacts nikaamka
@irennkwita8409
@irennkwita8409 3 ай бұрын
Tunatumia bando baba
@revpeternjihia
@revpeternjihia 3 ай бұрын
Ungetaka nikusaidia aje?
@KissiwaAlly-ug6gd
@KissiwaAlly-ug6gd Жыл бұрын
Hio hapo mtumishi hujaona
@hyinekebasokerubo8902
@hyinekebasokerubo8902 Жыл бұрын
Sauti baya
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Samahani kwa sauti mbaya , hii moja ya videos nilifanya nikianza sikuwa na mitambo kama sasa.
@merryguza3307
@merryguza3307 Жыл бұрын
Sawa
@marcelinasulootartoo-rf2ql
@marcelinasulootartoo-rf2ql Жыл бұрын
Kama ninamwota mume wangu mara kwa mara na tayari tunamtoto na huku tumeachana takriban one year
@eunicegerminus193
@eunicegerminus193 Жыл бұрын
Acha kumuwaza
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Hivi na yeye anakuwa anakuwaza hivyo hivyo
@euniceorao2732
@euniceorao2732 Жыл бұрын
Na ukiota mnazozana na x wako
@user-lf4mq6xs1q
@user-lf4mq6xs1q 10 ай бұрын
Mim nina moenz nimefung na kuomb lakn sjapat majb kam ananipend au laa na yey ananijali sana je mtumsh atakuw sahih kwang kwl
@user-lf4mq6xs1q
@user-lf4mq6xs1q 10 ай бұрын
Na Kuna sik nimekuot kanitoa out ina Manish nin
@lilianmwendejoe735
@lilianmwendejoe735 6 ай бұрын
Kuita na x na Tena kesho take unamuona
@naominyongesa5580
@naominyongesa5580 Жыл бұрын
Niliota ninadungwa kisu na mchumba wangu
@FloraMosess-cl2eh
@FloraMosess-cl2eh 2 ай бұрын
Je kama unaota na mume wako
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Kwel ndege mafanikio najuwa hilo ata mimi niliotaga
@user-rz6ij5rq1p
@user-rz6ij5rq1p 5 ай бұрын
18:01 18:03
@lilianmwendejoe735
@lilianmwendejoe735 6 ай бұрын
Kumuota x na kesho take unamuona
@lilianmwendejoe735
@lilianmwendejoe735 6 ай бұрын
Kumuota x na kesho unamuona
@KissiwaAlly-ug6gd
@KissiwaAlly-ug6gd Жыл бұрын
Nimeota ndoto nipo na mke wa mtu lakin yeye walishaachana na mume wake na mm nina mke wangu alafu gafla mume wake akatokea na huyo mke wake akaamka na kwenda kumkumbatia huku akisiwa analia maana yake nn?
@KissiwaAlly-ug6gd
@KissiwaAlly-ug6gd Жыл бұрын
Hio hapo
ISHARA 6 UNA CHUNGUZWA KWENYE KIOO CHA KICHAWI.
15:37
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 1,8 М.
KUOTA NA MPENZI MLIACHANA INA MANISHA NINI?
42:36
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 28 М.
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 11 МЛН
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 59 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 87 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,6 МЛН
Kuota Na Maji Machafu Ina Manisha Nini?
1:56:46
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 10 М.
MAOMBI YA KUOMBA KAMA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA - Innocent Morris
42:03
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 34 М.
Kuota Na Mume Au Mke Mlisha Acha Kitambo Ina Manisha Nini?
2:15:23
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 2,7 М.
UKIOTA NDOTO ZA VIATU ZENYE MAFANIKIO,CHEO,ULINZI,NDOA Nk, Pastor_Ester Samwel
10:11
Kuota Uko Kwa Matope Ina Manisha Nini?
1:32:56
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 7 М.
Kuota Na Nyanya Ina Manisha Nini? +254706945821
1:40:02
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 9 М.
ISHARA 8 RAFIKI YAKO NI MCHAWI
16:45
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 1,8 М.
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 11 МЛН