#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 83,624

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

#EXCLUSIVE: MAMBO ni MOTO! QUEEN MASANJA AFICHUA KUPATA MWANAUME ARUSHA, POSTI ILIYOZUA GUMZO INSTA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 194
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 Жыл бұрын
kwa wale mnaomtukana huyu dada mdangaji wote mnamuonea wivu dada mzuri kweli mungu kambariki kweli mtakoma wanyooshe hao wanaokutukana queen
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Tuseme. Tu ukweli huyu Dada amebarikiwa mzuri Sana
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Sana
@jonesshao8284
@jonesshao8284 Ай бұрын
Kabisa
@MwigaKatumpula-mi3zt
@MwigaKatumpula-mi3zt Жыл бұрын
Hiyo ndio maana halisi ya Neno au msemo wa tuna feli kwa sababu ya tulikutana na watu kwenye maisha yetu na watu sio sahihi kwa muda usio sahihi 👏👏👏👏😀😀🙌
@happymarwa4517
@happymarwa4517 Жыл бұрын
Asante kweli kabisaaaaaaa
@safiasaleh669
@safiasaleh669 Жыл бұрын
Swadaktaaaa
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Жыл бұрын
Swadakta 👌💯
@vincej9275
@vincej9275 Жыл бұрын
Nimefurahi sana kusikia unafanya endelea vizuri Queen. You are very smart and hard working, you will be blessed with a good man to love and respect you.
@LoveAron
@LoveAron Жыл бұрын
Mungu akufikishe kwenye ndoto zako Nakupenda sn Oueen huna baya hata mavazi yk yako vzr kabisaa 😍💕💞🔥🔥🔥
@gracegrace6510
@gracegrace6510 Жыл бұрын
Kulia Tena tupa kule wabaki wanateseka wao dada angu enjoy u are life umelia Sana Dada Sasa imetosha Mungu mwema
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 Жыл бұрын
Ana upeo mkubwa sana, nafasi yake ilifunikwa kwa marital status.
@priscajonas7805
@priscajonas7805 Жыл бұрын
Mimi napenda Sana Huyu Dada ❤
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Nazidi kuamini yule Mke aliyebaki na Mwaka ni kwa nguvu za Giza ipo siku Mume atazinduka atakua keshachelewa hivi Queen Mzuri hivi anabakiaje kwa Mfano ❤❤🙏🙏
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Жыл бұрын
Mke Bora sio sura"ila tabia njema
@lucianaisrael3841
@lucianaisrael3841 11 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki Queen umependeza mno na Mungu kakujaalia uzuri wa sura na umbo,wanaokuchukia achana nao ishi vile utakavyo mamy❤❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
We 💕 u SANA. Mungu akusimamieeee sanaaaaa Masanja
@hellenmachibya2681
@hellenmachibya2681 Жыл бұрын
Ni kweli madam Qwen,,usiweke mahusiano Yako hadharani,,sio sawa kabisa Mahusiano na kaz nivitu viwili tofauti Fanya kaz my,,mahusiano Yako yabaki Yako tuu!!
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Dada Queen hongera umependa sana Dr Mwaka alikua anakufuja tu 😁
@JoharKhamis-k5t
@JoharKhamis-k5t Жыл бұрын
Huyu dada anastahili kuw na mahusiano ayapendayo kwahyo walimwengu mlitaka kila siku alie kwa sababu ya mapenzi.achen ushamba life is too short also we live at once.❤
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 7 ай бұрын
Alokuipa jila la queen hajarogwa mashallah.
@matswelomphela972
@matswelomphela972 Жыл бұрын
Asante dada nimekupenda since then
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Жыл бұрын
Huyu dada nampenda had nampenda tena!
@ummykitira5371
@ummykitira5371 Жыл бұрын
Mfyuuu punguza zarau
@asmahassan5661
@asmahassan5661 Жыл бұрын
​@@ummykitira5371😮😢zarau gn wakat kasema anampenda ama hujasoma vzr umekurupuka
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Жыл бұрын
Nyie ndio wale wanafki
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 Жыл бұрын
Queen keep it I adore you from being humiliated by a man to where you are now, you really struggled and you never give up. You indirectly show your opponent that he is never going to out you down.❤❤❤❤
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Hongera sana Queen
@lovierlion-vs9rn
@lovierlion-vs9rn Жыл бұрын
Neno langu moja kwako Queen,,you have to be expensive,,,usitangaze kila kitu,unatangaza nguo za watu wengi mno ,sasa hivi magari nayo unaaanza kukubali kufanya na makampuni mengi,,,,yaani utawahi mno kuwa normal,,,ebu punguza baadhi ya matangazo ili ugombaniwe na ubaki kuwa wa ghali
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Kama zarii
@eddamsalilwa4876
@eddamsalilwa4876 Жыл бұрын
Hongera sana Quene unapambana sana
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
FANYA KAZIII MPENDWAAA. UKO SAWAAA❤
@hadijahadija4699
@hadijahadija4699 Жыл бұрын
Nimekupenda.sana.
@omanmct135
@omanmct135 Жыл бұрын
Kweli kabisa mungu ndokilakitu❤❤❤safi
@AzaShamba
@AzaShamba Жыл бұрын
QUEEN NAMUONA MBALI SANA. MWAKA UTAKUFA KWA KIHORO.. BADO WA KWANGU MIMI. YAN WANAUME MSITUCHUKULIE POA KENGE NYIE. MNAPATAJE UJASIRI WA KUFUJA WANAWAKE WAREMBO KA QUEEN NA MIE😂
@olicej7837
@olicej7837 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂afu unamuacha miaka 3 mwanamke mzuri kama huyo unategemea Nini 😂😂😂
@abdulbarymohamed643
@abdulbarymohamed643 2 ай бұрын
I love you qeeni
@JamilhaSelemani
@JamilhaSelemani 8 ай бұрын
Mashaalaah hubby yan me nampendaga sana uyu dada jamani
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Safiii sana nguo ZOTE ni nzuri mnoooo
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 Жыл бұрын
You are right your private life is yours not for PUBLICITY Good show dear❤❤❤
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 Жыл бұрын
Nakupenda sana Queen
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 Жыл бұрын
Hongera sana endelea kufanya Kaz na kupenda San njisi ulivyo
@haifamiraji6483
@haifamiraji6483 Жыл бұрын
Zali kama Zali my binamu upo vizuri kwenye kuhoji.
@aishajuma7813
@aishajuma7813 Жыл бұрын
Mungu atatenda
@slicehamfrey3504
@slicehamfrey3504 Жыл бұрын
Safi sana kipenzi Mungu akufikishe mbali
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 Жыл бұрын
Congratulations
@joank7929
@joank7929 Жыл бұрын
Queen kama Queeeeeen.
@rachelmikey5493
@rachelmikey5493 Жыл бұрын
Ana fanana na zari the bowse
@AgathaSanga-ec5hl
@AgathaSanga-ec5hl Жыл бұрын
Nakupenda tu❤
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 Жыл бұрын
MashaAllah, am happy for you darling 😘❤
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Mashallah kwenye zinaa ten
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 Жыл бұрын
Nyumba nzuri haikosi mpangaji Vipi Queen akose mpangaji
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Wanamkomesha Dr Mwaka hao 😅😅
@samiatsungura
@samiatsungura Жыл бұрын
Hongera sana dada
@ElizaLaurent-gc3hx
@ElizaLaurent-gc3hx Жыл бұрын
Jaman kaz nzur dada mungu akubariki
@زيتون-ض9خ
@زيتون-ض9خ Жыл бұрын
Mama samia suluh akupe kazi wewe mwanamke washoka
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Kaingia Tena kwenye Siasa loh 😢
@verombwambo3703
@verombwambo3703 Жыл бұрын
Kuna mijiwanaume ikikuoa inakufanya kuwa nuksi ona ulivyo sasa kwanza umekuwa mrembo pili umeshatoka kimaisha
@abdulbarymohamed643
@abdulbarymohamed643 2 ай бұрын
❤❤❤❤I like you
@SophiaKilimo-gx7xh
@SophiaKilimo-gx7xh Жыл бұрын
Pambana dadaangu mungu atakusaidia
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Жыл бұрын
Hongera sn Queen ❤
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Queen mzuri bwana acheni wivu
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
Madam miradi ya serikali ya kutangaza tena?! Utaanza kutukanwa bure maana miradi hiyo mingine iko midomo tangibly haipo?!
@nickjuma6020
@nickjuma6020 Жыл бұрын
Watangazaji uchwara ni aibu tupu! eti anamuuliza unalipwa kiasi gani! ni upumbavu wa kiwango cha Lami!! Maswali ya kipumbavu!!
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 Жыл бұрын
Apo sasa 😂
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 Жыл бұрын
Nafasi za Serikali hupatikana kupitia Ajira portal utumishi... kwa vigezo.. Kwa nafasi unayotala serikali bado hawajaitengeneza nafasi hiyo.... Gervas Msigwa anaweza pia kuifanya hiyo hata katibu uenezi
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Acha hizo wewe, hizo kazi Hadi kina shishi wa darasa la Saba wanapewaga... Ndo wanaitwaga mabalozi. Kuna siku nimemwona shishi mkavuu eti anahojiwa katika kwenye mkutano wa kuwafundisha wabunge miradi ya malaria Tanzania
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Kina msechu na moto ndo kazi hizo wanafanya. Msechu Hadi ule mradi wa puto wa hospital ya serikali
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Mrisho mpoto Hadi anatembea peku peku😅
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 11 ай бұрын
@@Josephineexsuper Hao ni wasanii wa kuimba...hutumia Sanaa zao Katika kufikisha ujumbe wa kazi walizopewa...
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Unachezewa tuuu hakuna cha miradi wala nn utaburuzwa mwanzo mwisho na uzee umekufika wakati wa kutulia na familia yako unafanya vitu vya kitoto
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Queen umekuja na upepo wa kisulisuli hata waliotangulia hawajaufikia
@Adje244
@Adje244 Жыл бұрын
❤ nakupenda tu
@jescawilson39
@jescawilson39 Жыл бұрын
Nampenda sana Queen❤
@زيتون-ض9خ
@زيتون-ض9خ Жыл бұрын
Unafaaa sana unamuono mzuri
@mbanga6759
@mbanga6759 Жыл бұрын
Kwani ndo alokua mke wa dokta mwaka
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@michaeljames403
@michaeljames403 Жыл бұрын
Kwani huyu ndo aliyenaniliwu na mchungaji!?
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Жыл бұрын
Saiv mwanamke akiwa mdangaji ndio mnamsifia ww nidanga Kama madanga wengine tu
@Trappqueen970
@Trappqueen970 Жыл бұрын
watu wengne nyie ni wachawi sana wa maisha ya watu km wew aleyidukury ntmn nije ulipo nkutemee mate ya uso
@NEEMANdembwe
@NEEMANdembwe Жыл бұрын
Roho mbaya haijengi
@justinendizeye714
@justinendizeye714 Жыл бұрын
Come on mtangazaji kamuambiya nani uyo mwanaume kuangaliya uumbo la mwanamke???
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 11 ай бұрын
Huyu mama Mungu ame mjaalia alaf tangu ame achana na mumewe ame toboa kimaisha 😂kweli dr mwaka alikua ni JINI MNYONYAJI
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Жыл бұрын
Umalaya tu hakuwa sahihi kwa Mwaka
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt Жыл бұрын
Kweli kabisa na hajistiri kabisa mtu mzima ovyoo
@veraisaria
@veraisaria Жыл бұрын
Huyu dada ana akili ana focus kubwa sana😅
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
Safi sana dada yule upara roho imuume😂😂😂😂🎉🎉🎉
@fabiansemba4918
@fabiansemba4918 Жыл бұрын
Acha basi😂😂😂
@joyce55727
@joyce55727 Жыл бұрын
😁😁😁
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Жыл бұрын
😂😂
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Жыл бұрын
Atakufunga wewe 😂😂😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
@@zainabwage4658 aniwezi hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂😂😂😂
@ivodaman6236
@ivodaman6236 Жыл бұрын
kuna leo na kesho,,,ngoma ikivuma sana jua inakalibia kupasuka, wanawake mungu awasaidie sana hakuna jipya chin ya jua
@joyccembalakele9286
@joyccembalakele9286 Жыл бұрын
Jaman 🙄🙄🙄🙄
@nancyg8664
@nancyg8664 Жыл бұрын
We nae
@zakiakusaja8603
@zakiakusaja8603 Жыл бұрын
Sasa unatakaje watu wasifanye kazi kwenda huko
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Nini mbaya 😮😮 mpaka ukasema hivyo???
@BINTIwaKITANGA
@BINTIwaKITANGA Жыл бұрын
​@@spreadlove5300😅😅😅ukute katumwa na DK mwaka huyoo
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
Wow
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 Жыл бұрын
Huyo ni binti au mama 😂😂😂 ww bn sema mama ...au uzur umekuchangany
@happywilkins4391
@happywilkins4391 Жыл бұрын
Nilidhn ni mim mwenyew nimeon
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 Жыл бұрын
Unajua kujipigia promo dada big up
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
Ezekiel 44:22
@Aisha-h1t4e
@Aisha-h1t4e Жыл бұрын
Namba plx namba zako nashida San na wew
@jescawilson39
@jescawilson39 Жыл бұрын
Et ukiwa kama binti 😮 watangazaji bana sasa huyo binti mpe heshima yake ni mama huyo
@rosehillary8742
@rosehillary8742 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mzuriiiii sana
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
We nimalaya tu
@yosephakomba1201
@yosephakomba1201 Жыл бұрын
Mh kazi mnay
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Iloooo roho inakuuma mjombaake doc mwaka
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 Жыл бұрын
Mie qiunee namwona ni wakawaida saana Yani ni mwanamke aliyejutoshelaza Ila sijaona kuwa ni mzuuuuri mno Ila ni wakawaida sifa zoote anazo za kuwa mwanamke Kama wengine tu na dizaini hii wapo wengi mno kwa rangi yake na black pia wapo Ila ni wakawaida ni mwanamke aliyeubwa kike.hivi huyo na sinya tuseme ukweli Nani kachangamka kwini kapooza mno
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Kwisha mama kwisha
@AwaziBange-yo1wq
@AwaziBange-yo1wq Жыл бұрын
Huyo ni mume wake wa 3 sasa apo me sijui nimuamini mwaka au bidada masanja
@AllyRamadhani-wl3um
@AllyRamadhani-wl3um 5 ай бұрын
Mh yani nimeamini mwanamke mzuri ni mama yako tuuuuu mimi namshauri dk mwaka achukue watoto wake alee mwenyewe huyo x wake atamuharibia watoto.tuangalieni wanawAke wa kuoa jamani
@mammyspecial2
@mammyspecial2 3 ай бұрын
Kawaiyo dr ndiyo mama wa watoto au😂😂
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Жыл бұрын
Wapi ww umeharibikia ukubwan Kama bamia hayo ndio yalikuwa maisha yako yakudanga shida mkipataga majanga kidogo tu mnaomba msaada
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 Жыл бұрын
kama unajua alipata majanga kwahiyo ulitaka aishi kwenye majanga hivyo hivyo
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
We mtangazaji usimwambie eti awashawishi watu acha mtu aheshimu ndoa zao unazani wote wakiachika watakuwa kama Queen?
@bennamush4616
@bennamush4616 Жыл бұрын
Nyie mnaosema huyu dada ni mdangaji mnataka asiwe na mahusiano amekuwa bundi Kwan haha zake mnataka azipeleke wapi
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Shangaa wewe walitaka afie kwa mganga mwaka 😮
@mashamsangi4679
@mashamsangi4679 Жыл бұрын
Unatoka kwenye mwanga unaenda gizani. Hivi ni akili yako? Tafakari maisha ya dunia ni mafupi sana
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Hakika kama maana halisi ya ndoa ni hiyo ambayo vitabu vya dini nimeeleza basi 🤔
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
hivi ilikuwaje mrembo kama huyu akaangukia kwa pwagu kama mwaka? inasikitisha.
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
😂😂😂bahati mbaya inatokea
@elizabethtindwa7739
@elizabethtindwa7739 Жыл бұрын
Hiyo speed unayoenda nayo itakusumbua maana ngoma ikivuma saaana hupasuka, so be care full...
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 Жыл бұрын
Atakuwa kashatengeneza hela
@glorykweka1631
@glorykweka1631 Жыл бұрын
@@marthagabriel3417 Amen
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 Жыл бұрын
​@@marthagabriel3417😂😂😂😂asante jbu zuri
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Sahizi atakuwa ashamake hela ya kununua ngoma ingine😂
@patrinussanga519
@patrinussanga519 Жыл бұрын
Wewe kwenye ndoa yako hukutulia kabisa huyu bwana ulishaanza naye muda mrefu acha kutudanganya
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Жыл бұрын
Jimbo limekwishachukuliwa
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 Жыл бұрын
ZARI MSHIKE MKONO MDOGO WAKO AENDEREE KUTUFURAISHA WATAZAMAJI
@mariajemutai2968
@mariajemutai2968 Жыл бұрын
Kwani ni dadake zari wa diamond?
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 Жыл бұрын
Dangaaaa umri umeenda ndio hichoo kilikutoa kwa mumeoo
@aishaa2930
@aishaa2930 Жыл бұрын
Una hakika
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
​@@aishaa2930achana nae uyo anaroho ya lichawiii 😂
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Жыл бұрын
Mbona unamhukumu yeye...ulitaka akae kwenye ndoa ambayo mume anaoa na anafanya uhuni kisa awafurahishe nyie .
@laurencemassawe9100
@laurencemassawe9100 Жыл бұрын
Uyu malaya tu amna jipya
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Why alishakuuzia?
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Roho ya kichawi io loh😂😂 uumie tu mwenzio anafanikiwa we lia lia tu hapa
@angelashitindi5427
@angelashitindi5427 Жыл бұрын
Uchawi huo
@mbwawafillingstation
@mbwawafillingstation Жыл бұрын
Pambana Qeen usisikilize wenye wivu Huwezi kupendwa na kila mtu
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
Mambo yamebadlika siku hizi. Tunaoa wanawake waliozaa eti ndio wanakili ya maisha. Noma sana.. akili tu ya kujilinda asizae hadu ndoa kwa mujibu wa mila na desturi hana za maisha anapata wapi
@nancyg8664
@nancyg8664 Жыл бұрын
Umeongea utopolo asee,kwan we hujui kuwa aliolewa huyu...
@mariamshabani769
@mariamshabani769 Жыл бұрын
Mpuuzi kweli wewe!..na kwanza hizo mbina wanapeana wanawake kwa wanawake!? Akili kama unayo unayo tu haijalishi umezaa ama lah! Na huyu kazaa akiwa kaolewa!! Makasiriko tu😏
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
@@mariamshabani769 unatukana haisaidii soma EZEKIEL 44:22 kama ni mkristo
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
@@nancyg8664 pole ila umeshawahi ona katika maandiko mtu kaoa mwanamke asiye na bikra
@marympochela7903
@marympochela7903 Жыл бұрын
Una donge, u ovyo wake ni nini?
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
Wewe ulichoka kuwa mke wamtu kwasababu umesha zoea umalya sasa ukaona kam unabanwa sana so we enderea tu nakudanga kwakua utadumu milele kumbuka utaded hautokaa milele kavumilie kwenye ndoa yako wewe umalaya hautokusaidia popote
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Kwa nini unaongea kwa uchungu hivo??? Unajua kilimkuta nini mpaka unasema ni malaya?
@yosephakomba1201
@yosephakomba1201 Жыл бұрын
Wemkundu kweliyani mama ako adangi?
@I_lift_you_higher
@I_lift_you_higher Жыл бұрын
Umetumwa na yule mwamba mganga eti 😅😅😅 pole sana
@provianapaul6634
@provianapaul6634 Жыл бұрын
Hii coment ni ya mwanaume malaya ,,, alafu mnyanyasi anaedhani kila mtu anaweza kuvumilia ujinga acheni bwana hamjui kitu na hajawah sema lolote kuhusu year wenu muacheni mnaumia
@PaulinaOtaigo
@PaulinaOtaigo Жыл бұрын
Duh una maneno makali, kila mtu ana maisha yake na akili yake pia
@mashamsangi4679
@mashamsangi4679 Жыл бұрын
Umelaaniwa wewe
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 11 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
MWANAUME LAZIMA UMVALIE KANGA SIO KULALA  NAE KAMA ULIVYO ZALIWA
35:08
LIST YA WANAWAKE WA DOCTOR MWAKA,,WOTE NI WAREMBO BALAA,
9:09
BONGO VIBES TZ
Рет қаралды 10 М.
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 5 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /50/ #love
23:19
BabaJoan
Рет қаралды 175 М.
UKIMCHUKUWA MUME WANGU UTACHAGUA MAMBO MAWILI ''LULU WHITE''
37:21
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН