Jmn mena anamiguu mizur jmn kam unakubal pita n like
@changanikisesa70214 жыл бұрын
Philomena she has class.Very class the way she talk,she seats,etc.She handles her self very well.Yupo tofauti na mume jaribu kumbadilishaaa.Atabdilika
@dinamanka33074 жыл бұрын
Haswa
@rahillhamidu25444 жыл бұрын
Sahihi kabisa lakini mtu kama anakupenda ni rahisi kubadilika bila kubadilishwa
@bahatichikoko63624 жыл бұрын
Mwanake yuko vizuri sana kiuelewa.
@mcngakungajunior57934 жыл бұрын
Pilipili amekaa kikomed
@emanuelndumukwa30734 жыл бұрын
Mungu huunganisha watu wawili wasio kamili ili wajikamilishe
@princesedgr90684 жыл бұрын
Daaaaah....interview yakiwangoo.....mr en mrx pilipili mungu azid kuwaongoza nakuwpa maisha maref zaidiii ...💕💕💕💕nawapenda saan jamniiiii
@ReynaMrema-qy3fw6 ай бұрын
When you have a good heart people will take a good advantage of you. Broo hongera Sana tafuta hela kaka suala la mke umelimaliza🥺🥺😭😭🥰🥰❤️❤️🙌🏻🙌🏻
@theblackpearl70354 жыл бұрын
I come, I like, I comment. ❤ Mena anahekima sana. Hopefully Pilipili will rise to the ocassion
@rehemaedson57324 жыл бұрын
Kutoka ndani ya moyo wangu naipenda sana interview zako dada @zamaradi imenigusa sana maongezi ya filena really amesimama kama mama na anajibu kwa uaminifu mkubwa na mapenzi yake yaantoka ndani hongeren sana katika hii life upo nayo @mcpilipili na dada zama weka tisue hapo watu wote wanakuja wanagusa mioyo ya watu wanalia sana ila wanajifuta wapi machozi yao haapna poresha kwa hili kwa kweli am so proud of you zamarad
@hadijakabona9554 жыл бұрын
Anae ikubar hii cp kama mie tujuane ap nawapenda sn Allah awape maisha ya bark Tele 😍😍😍😍
Zamaradi, we need more tissues & water for the guests; please and thank you. This was very emotional and powerful interview. God bless this couple for sure!
@SblMz-kw5gk4 жыл бұрын
sijui kama anasoma comments ila ni kweli tissues na maji muhimu sana kwenye hizi interview
@nemochristopher23174 жыл бұрын
Tunatonga na bajeti
@elizabethchuwa25834 жыл бұрын
@@SblMz-kw5gk Mjm Mfx
@allymtamilwa68994 жыл бұрын
Kunakuwaga na break katika kipindi kwa ajili ya matangazo labda ndio wanapewa
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Hili swala tumesha muomba sana naona hasomagi comment zetu
@namnyackyshamburi66154 жыл бұрын
Daaaaaah nimejikuta nalia ee Mungu bariki hii familia shika kikamilifu
@noorkhamisi24904 жыл бұрын
Aamin
@merinaibrahimnampendayukov70074 жыл бұрын
Shamburi sio peke yako tumelia wate, Mungu awabariki
@doreenrubebe85713 жыл бұрын
hadi mm nmelia jmn
@ashazaharan17504 жыл бұрын
Pole saana pilipi. Allah ampemaisha marefu mama yako.na mwenyenzi mungu awape furaha daima
@sarahryoba10113 жыл бұрын
Mke umepata mzur sana safi sana nawatakia maisha marefu
@hadijashabani8904 жыл бұрын
Mungu kakupa mke pilipili jamani mungu awafikishe mbali sana mzikane
@sabrinapaschal61254 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki Muishi maisha marefu yenye furaha siku zote za maisha yenu
@ummywashir3644 жыл бұрын
Your just like me,wema wangu ,Upendo wangu unaniponzaga sana...but never stop!!blessings always comes to us in ways we don’t understand,bcoz of ou hearts!!.
@mariamkissiwa11234 жыл бұрын
Acha tu ndg, ila inauma
@peacechristopher6494 жыл бұрын
Zamaradi napenda sauti yako
@lydiamutunga76354 жыл бұрын
Very true people tend to take advantage of our kindness..
@prettyakoth43064 жыл бұрын
I love this lady she is very beautiful nd very loving, she loves her husband very much, may GOD bless your marriage
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Nimejifunza nimeburudika nimefurahishwa nanyinyi mahojiano mazuri majibu mazuri wanandoa mungu awatangulie huko muendako Nimewapenda 💜💜💜💜💜💜hongereni Sana zamani na wanandoa😘😘😘
@jacquelinosmond2214 жыл бұрын
Nikisikiaga sauti ya pilipili huwa nacheka,mc wa Taifa with qute mena be blessed
@evajohn70014 жыл бұрын
Leo ndy nimegundua kwa nn siku ile ulilia ulipokua unamvisha Pete kwa ,huyu Dada anamungu na ni mke.
@pendopendo74274 жыл бұрын
Dada amenenep hongera Mume anajua kulea
@magrethmeja32094 жыл бұрын
Da zama wewe ni bonge la host yaan interview zako hazichoshi mtu unatamani uendeleee kuangalia na kusikiliza Big up sana
@msafirifabian21434 жыл бұрын
Huwa anakera akianza kuleta wasenge kwenye vipindi vyake
@rosenamilia41404 жыл бұрын
Ama kweli MC PILIPILI unajua kumtunza mkeo Phelomena uliepewa na Mungu. Anaonyesha furaha ndani hadi nje kuwa na wewe. Keep it up and Phelomena hold him tightly.
@binthassancollection.63084 жыл бұрын
Masha Allah Kama umemuona huyu dada amenenepa like hapa zisipungue 5.
@anzyngumbi43314 жыл бұрын
Kanenepa kweli
@zuweinaalhabsya87734 жыл бұрын
Amekuwa ni kama vile mwenye umri mkubwa Sana
@بلاديبلادي-ه5ث4 жыл бұрын
@@zuweinaalhabsya8773 niumbo lake ndio lilivo
@yusramazengo65104 жыл бұрын
Yaaani kanenepa kweliii duuuh hongeraa sanaaa Kaka pili pili
@zainabboss56194 жыл бұрын
Nihemedi huyo
@nasratkibwana98274 жыл бұрын
😭😭pole Sana pilipili, ila huyo ulienae Ni mwanamke sahihi kwako nimempenda sana
@happyramson29694 жыл бұрын
Nakupenda sana Mena uko vizuri sana hongera mama i wish siku moja nikuone live nitafurahi sana huna dharau huna misifa na ww ni mzuri sana😘😘😘
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Tenaaa sana sura umbo tall. Mi napenda mashavu yke nataman wazae.watazaa mtoto mzuri
@happynessmarki27804 жыл бұрын
Hapo kwenye kiss! Dah! Nawapenda sanaaa @mcpilipili na @qutemenapilipili😍😍😍😍😍
@rashidchimwenda4 жыл бұрын
Zamaradi napenda namna unavyofanya interview zako zinaibua mengi ya kujifunza kwetu sisi watazamaji. MC Pilipili jiachie uwapo kwenye interview. umejaaliwa mke mzuri sana mwenye ufahamu mzuri na upendo. Mungu awajaalie mzidi kupendana na kudumu ktk ndoa yenu
@rahillhamidu25444 жыл бұрын
Ameen
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Mungu Wabariki Hawa wanandoa Nakupenda sana Philomena mpende mumeo daima
@baubahashim62803 жыл бұрын
Pole sana bro hakika Mungu alikupa mke huyo kutokana na Moyo wako akawe ndio furaha yako ktk maisha Mungu azidi kuwatunza sana 💕💕💕
@catherinejames95104 жыл бұрын
Hta mtu unae angalia must utakuwa emotional mena you make some women's strong just unavyoishi na mc kama.mim yan am feel proudly no matter how people say kuusu mtu unae date nae wew ndo unaujua undan as mtu wako keep it up nimewapenda snaa sna sna kama.unamkubali mc pilipili na mkewe comment hapa the strong couple in Tanzania
@luluzegema57824 жыл бұрын
Yes
@G.S9853 жыл бұрын
Nimelia mimi asante Zam kwa inteview ya kutufunza Lovely and blessed couple nimewapenda sana
@ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын
UR SO BEAUTIFUL AND YOUR HUSBAND NI HANDSOME YANI MUME PENDEZANA WISH YOU ALL THE BEST AND LOONG LIFE 🇰🇪🇨🇿
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Uko vizuri,Philomena,I like you! Barikiwa!
@dorismamf74044 жыл бұрын
Nitakua mchoyo kamasinto semachochote Mungu awapefuraha daima muishia maisha yenye kumpendeza Mungu nawanadamu japo kwasisi binadam kuturidhisha siwote
@shaniahrachma77674 жыл бұрын
So emotional I love this couple God bless them abundantly
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Hongereni sana Mr.&.Mrs Pilipili, Mungu azidishe Upendo Zaidi, Zamaradi Meza,Tissue na Maji.
@safikapufi4224 жыл бұрын
nimecheka kusoma meza tissue na maji
@maggie77014 жыл бұрын
Hao ni wadhamin ataekaje maji, tissue atangaze biashara ya mtu😂😂😂😂😂
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
@@safikapufi422 Sasa Wacheka nini,Ona Machozi Unapangusa na Mkono,Kamasi,Koo imekauka.
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
@@maggie7701 Asante Wewe Umejibu Vizuri Barikiwa.
@rahillhamidu25444 жыл бұрын
@@maggie7701 aweke tissue kwaajili ya watu wake au yeye mwenyewe
@dr.sarahbusongo4 жыл бұрын
Nawapendaaa tu Philo na Pili pili.... Mungu awalindee mzeekee pamoja
@Sarah1.4 жыл бұрын
Twwnde mbele turudiii, ,, mke wa pilipil n mzurrrr jaman%%%
@ulricamakalla55654 жыл бұрын
Amen
@eddyjuniortz22344 жыл бұрын
Sure
@smartstationery52234 жыл бұрын
Tukienda mbele tukirudi nyuma tutachelewe maana huo ni mchezo wa kifufugombe
@tbptegeta21974 жыл бұрын
Umeonaaa
@egdearaaron10864 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ezekielmasanja20174 жыл бұрын
Mim nawashangaa sana watu wanao mshangaa pilipili kulia aisee pilpili anampenda mke wake na philomena ni bonge la manzi aisee nimwanamke ambae yupo tayari daaah
@lilianmavika3054 жыл бұрын
Umeona eeh hawajapenda hao mi sion tatizo kulia
@farajabashir82994 жыл бұрын
Nomaaa
@adelinesturmfels79694 жыл бұрын
I love this interview nmependa sana Philomena anavyojieleza na kuonesha mapenzi ya dhati kwa mumewe....Greetings from 🇩🇪
@chiriechirie93314 жыл бұрын
Ich bin auch in 🇩🇪
@adelinesturmfels79694 жыл бұрын
@@chiriechirie9331 schön dich zu kennen
@roseswai57784 жыл бұрын
Nimejikuta nimeipenda hii couple, dah pilipili amepata mke Sana'a she is very smart
@chainbre2754 жыл бұрын
Kweli philomena unafura hadi umenenepa. MashaAllah
@dorynkristiansen47194 жыл бұрын
NIMEGUNDUA KWANN MC 🌶NI MWEPESI WA KULIA....Sababu ANA ROHO NZURI-Kama Tulivyomsikia Mkewe Akisema!
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Nikweli kbs
@alexmurithi13274 жыл бұрын
Wow you're wife is a degree holder, no wonder she carries herself with decorum and dignity.. very decent and focused lady. Congratulations guys and keep supporting each other
@theblackpearl70354 жыл бұрын
Exactly
@aminaomar40734 жыл бұрын
Beautiful wife couple ya taifa💕❤️😍
@janethjustin52564 жыл бұрын
Hongera pilipili you have a wise wife 😍😍😍congrats Mina
@joycesichone41214 жыл бұрын
( MKe mwema MTU hupewa na BWANA) ,hongera pilipili mungu amekupatia MKE mwenye hekima.
@najma32684 жыл бұрын
She is very smart phelomena❤️and mc pilipili hongera kwa kupatamke
@mourinenekesah40024 жыл бұрын
Umenene pa phimenah Mc pilpil ajua malezi shika sana ulicho nacho
@vivianvenant77294 жыл бұрын
😍😍😍
@carenkachecheba55384 жыл бұрын
Mungu awatunze Sana Mc pilipili.. Atunze penzi lenu... Maombi yawe silaha kwenu mtadumu Sana... Mpk machozi yamenitoka but6 Mungu awe nanyi... Amen
@loolaa17834 жыл бұрын
Poleee saana broo nakushaur usijekumtendea baya mena mke umepewa na mungu yaan ukipta mke mwenye kubeba hisia zko kama zake wachache sana bro nawapenda saaana nampogeza cute mena wngu jaman sichoki kumwangalia mungu awatangulie ktk safar yenu ya ndoa.
@Hassanmofty4 жыл бұрын
Jamani leo zam yangu namm naombeni like.
@marygregory75664 жыл бұрын
kwan like zinanenepesha ee
@faridadikula42284 жыл бұрын
@@marygregory7566 😂jaman
@eshalibaba11954 жыл бұрын
Kakojoe ukalale
@wisperfect19604 жыл бұрын
Ukipewa like na ww unatoa nini 😂
@Hassanmofty4 жыл бұрын
@@wisperfect1960 nakutoa ww kama sadaka
@mmary704 жыл бұрын
Zamaradi sio kila siku kuniliza, pilipili I feel you bro. May God awape we na mkeo furaha na future ndefu pamoja
@kadungulu14 жыл бұрын
very emotional but above all mungu, ni wa huruma and he has paid your goodness with a good wife.zamaradi asante kwa ujuzi wa maswali yaani mama na kuheshimu ya kazi yenye ladha mungu akubariki .
@rukiashoko75284 жыл бұрын
Woooh nampenda uyuu dada asante da zama kwa kumfanyia interview mu mtafute lulu akiwa na majizo sasa itanoga😍😍😍
@mungijoseph63724 жыл бұрын
mungu awe mtetezi wnu! mc hakika mungu kakupa kile unachostail mpende mkeo muheshimu!
@jescangwaya98854 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pilipili na mkeo. Leo nimewaelewa sana! Mmenipa somo.
@deboradaniel79294 жыл бұрын
JESCA NGWAYA true
@سعادالشمري-ز9ز4 жыл бұрын
MashaAllah pili pili umebarikiwa baba mkeo mwema huyo umeletewa na mungu🙏🙏
@ariannaempress65804 жыл бұрын
سعاد الشمري
@cuteaishajoseph69064 жыл бұрын
Ukweli wa mungu uyu dada nimzuri jaman mc pilipili kaokota dodo kwenye mtii wa mpingo
@janethkilonzi42604 жыл бұрын
Kabisa kabisa mzur mpaka roho yake jaman uongo mbaya
@sophiaabeid24714 жыл бұрын
This is very touching, mena is a great woman.
@ummuadam24234 жыл бұрын
Zamaradi kma kweli unasoma comments zetu mbona hutekelezi na unajua maswali yko kwa wengine yako sooo... Emotion, bas jpo maji mtu ashukishe kile kitu kooni aendelee na maongezi
@magrethjohn85764 жыл бұрын
ummu adam,haoni au dharau!unapoongea na mtu kwa muda mrefu maji na tissue ni muhimu sana.
@mwajumachao91514 жыл бұрын
Nice interview BT (Eco ) sauti ya hall iko juu kushinda sauti zenu
@Sarah1.4 жыл бұрын
Toooo emotional.......... Ooooohhh God bless youuu mc pilipili na mkeo....mena ni mwanamkeeee na nusu.... God bless you
@deboramatpapaztv4 жыл бұрын
The way mlivyoongea hapa ni tofauti kabisa na mwanzo before marriage....leo mko serious
@rukiashoko75284 жыл бұрын
Daaah mpaka nimelia sanaa mungu awabariki sana umepata mke anaye kupenda kwa dhati yani zama kila kipindii watu wana lia
@tamaraeliz71144 жыл бұрын
I don't know what to say. I wish u guys Love And Long life. May God Protect You guys
@yassinsaid11194 жыл бұрын
Dah hongeren sana sana wanandoa pia Hongera kwa Bro mc pilipili mana umejua kuchagua mkeo ni mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@wittykitila36564 жыл бұрын
Mke wa mc mpilipili she is beautiful girl
@brianmrema40414 жыл бұрын
Mc pilipili umenifunza na kunikumbusha mengi imani yako ilikua kma yangu kuamini kila mtu na kuona kila mtu ni kma mimi na la pili mfano wa yakobo kuishi maisha yako na kutambua marafiki wakati wa dhiki na pia maombi juu ya mke/mume. Mbarikiwe kwa kweli
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Kuitwa mume wangu or mke wangu raha sanaa❤️❤️💓💓M/Mungu awalinde muwez kudum kweny ndoa Inshaallah 🙏🙏
@zenamshana68524 жыл бұрын
Mc pili pili mungu awe na nyinyi nimewapenda bure mungu awape miaka mingi muishi Kama Bibi kidude
@maryammaryam57894 жыл бұрын
Mtoto mashallah pilipili umewafunga midomo manyakunyaku na wanaojishauwa shavu dodo hongela kaka kwa matunzo yko
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Ooooooò😰😰😰😰😭😭maskin adi choz nami limenitoka pole sn mc mung awadumishe ktk ndowa yenu mpaka mwisho ktk maisha yenu🤲👏🤝🤝❤❤
@asha-bo9sn4 жыл бұрын
Zamaradi today you look good!! Nimekusifu Kabla sijaangalia interview!!
@Ontuzu4 жыл бұрын
Kuolewa kuzuli Mena umependeza sana umenenepa vizuli sana mdogo wangu,love youuuu
@lucinajerome95184 жыл бұрын
Nice interview keep it up Dada zama
@gloriarobert65824 жыл бұрын
Mungu bariki ndoa hii, iwe na furaha na amani siku zote. Upendo utawale zaidi kwenye maisha yenu yote. 💑
@edhe97724 жыл бұрын
Yahani I love this family. Kaka yangu huu ni wakati wa mungu kukupa uliyo yaomba. God bless you always and you have a very beautiful wife. Hongera Zamaradi
@rozalaizer59854 жыл бұрын
Hongereni sana na hii ndoa yenu mpaka Mungu atakapowatenganisha....maisha yenu yana mafunzo mazuri sana, ahsante nimegain something
@rabiaathuman58654 жыл бұрын
Pole sana na hongera kuwa na mke mzur 😢😢
@doriceukwama94514 жыл бұрын
Mmeniliza jaman. Love u all Mungu awatangulie ktk yote.😘😘
@agwalubifaridah70794 жыл бұрын
Wale wote wanaotazama hii interview na ku-comment have a lovely day na mwenyenzi mungu awabarik.
@christianmunsagu17757 ай бұрын
amen
@lizatz98424 жыл бұрын
This was very emotional and Zama thanks for letting them share their emotions to teach us bless you All
@wacundirangu16614 жыл бұрын
Great couple. The sound though Zama....
@missthussein26484 жыл бұрын
Nimelizwa kwa hii interview jmnii duuu Mungu asimame nanyi katika ndoa yenu nimewapenda bure❤❤❤😘dada zama hongera sana💪👏
@asiajuma83304 жыл бұрын
Dada mzuri huyu mashaallah
@eddyjuniortz22344 жыл бұрын
Naomba nicomment mara ya pili,,,mc pilipili umepata mke bora sana ambaye anathamini hisia zako,,,for sure nimempenda bure na Mungu awatunze sana sana
@getrudeswai4124 жыл бұрын
Drop more like to this lovely couple
@kelvinchando10644 жыл бұрын
Hongereni sana. Mnapendana. Mungu awazidishie heri, Nmewapenda sana. Msiache maombi
@asiahmariam39424 жыл бұрын
Nimewapenda sana wanandoa hawa mungu awatunze awabariki sikuzote
@marymponya89204 жыл бұрын
Mena this made me like you... The interview was so ril u didnt act any part of it... Mungu azidi kukubariki and Mc Pilipili umepata kitu chema mzidi kumuinuwa Mungu in it all... Thanks Sis Zamaradi for your show ninajifunza mengi
@barbiechemmy21374 жыл бұрын
Ila mc pilipil anaonekana nimkarim sana kwa mkewe yan had mkew kanawiri aisee ....anampenda sana yan Mungu awatunze hawa watu ...Eeh Mungu nijaalie mume ataenipenda hiv
@hellenmassawe13604 жыл бұрын
Waoooo nilikipenda. Kiapo kweli walikuwa sawa
@omaryommy4044 жыл бұрын
Utapata tu ukichunga tabia yako vzr wanaume c wajinga
Mc....pilipili usilie banaa...Mungu amekupa mke mwema,Mungu aendelee kuwalindaa,Cute Mena...mpende sana mume wako!Nimeumia sana kujua mapito yako!
@rehemadaudi7424 жыл бұрын
hivi wakiwa hapo hawaruhusiwi kuwa na kitambaa cha kufutia jasho au machozi? i love this couple god bless u forever
@fatmaabdul14074 жыл бұрын
Dah! Mnanigusa! Upendo na huruma zilizopitiliza kwa waja ni mtihani sana....hongera una bonge la wife,Mungu awatunze ktk ndoa yenu.
@anastaziamuro8224 жыл бұрын
Congratulations Zama. Maji kwa wageni, Tissue🔥
@raymondkipipi5163 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@agnesslyatuu9934 жыл бұрын
Daa mmenilizaa.Pilipili na mkeo nimewapendaaa sana.Mungu awatunze jamani na awazidishie Upendo ktk maishayenu yote in Jesus name!
@marypaul89084 жыл бұрын
Ukiona upo kwenye mahusiano upo huru jua tu upo single hii kweli kabisa
@smartstationery52234 жыл бұрын
Zama wangu nakupendaje sasa? Mimi sio mtangazaji ila natamani siku moja nikufanyie mahojioano
@rahillhamidu25444 жыл бұрын
@@smartstationery5223 imo kali kuliko zote
@noxlosingida23694 жыл бұрын
@@rahillhamidu2544 🤣🤣🤣🤣mwenzetu kaamua kusema ya moyoni
@williamkavuta51934 жыл бұрын
Kwel lakini aisee...nimeipenda.Tupunguze kusemana bas
@khadijajuma71424 жыл бұрын
Kweli kila mtu na uelewa wake.Nachojua kwenye mahusiano kila mtu anatakiwa awe huru kwa mwenzake mtaishi kwa raha kama marafiki.Sio kubanwa kama uko kwenye jela la mahusiano hamna nafasi . Kwenye mahusiano kikubwa kila mtu kujiamini na kujiheshimu
@fridadavid34164 жыл бұрын
Kwel maisha ni safar ndefu sana,pole sana kaka,Mungu azid kukubariki na kukuinua zaid kila iitwapo leo katika maisha yako.
@farajafaraja43124 жыл бұрын
What have learned in this interview, is if you have a DREAM fight for it and never give up on it.
@tayamikamasanje34474 жыл бұрын
Nikweli
@terezimarura98143 жыл бұрын
Kwa matendo yako Mazuri..Mungu ndio amekulipa kwa kupata mke Mwema..barikiweni
@happygw69304 жыл бұрын
Kwa kweli niwashukuru sana Mr and Mrs pilipili nawashukuru sana nimewasikia na kusema kuna kitu mmenipa nijifunze kwenu asante
@salhakhalfan86964 жыл бұрын
Jmn mmeniliza,,, mungu awasimamie ktk mapenz yenu yazid na mzidi kuelewana kwa kila hali mashaallah
@miriammuthoka87214 жыл бұрын
Mungu aweze kuwaongezea mapenzi zaidi.. Hakika kupendwa na kupendana kuna raha yake..
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Pole sana pilipili kwa hatua ngumu ya maisha uliyoipitia umenifanya nimelia na Mimi. Ila Mrs pilipili una hekima sana maneno yako yana busara hakika umeongea pointi sana, nimekuelewa sana endelea kumtunza mumeo na Mungu aendelee kuitunza ndoa yenu.