Рет қаралды 178,635
Wabunge wa upinzani kwenye bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania wametoka nje ya ukumbi wa bunge hilo leo February 7 2017 kwa kudai kwamba Naibu Spika Dr. Tulia Ackson amekataa kujadiliwa kwa ishu ya Mbunge Tundu Lissu kukamatwa na Polisi nje ya ukumbi wa bunge jana February 6 2017.