From mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ni shabiki yako muda mzee baba 🙏🙏🙏
@noahmgaya66879 ай бұрын
asante kaka kwaelim uliyo tupa hatakam hatunandoto ya kuja kuko japo tumepata aidia wenda watoto wetu watakujaga huko mwak 2070 tukiwa hai🙏
@sautikaliitz9349 ай бұрын
Mamae😅😅😅
@youngkassim25349 ай бұрын
You are my number one, kwakutupa mwanga brother
@NdayisabaKarim9 ай бұрын
Kweli Kaaabisaaa Mheshimiwa Ernest Makulilo kwa kweli unatwambia ukweli woooote Ubarikiwe saaana ndugu yetu
@AlexisCongera-so4mi9 ай бұрын
Ahsante kwa maerezo yako kaka naamini hata sisi tunakuja
@DizzoclassicSoundstz9 ай бұрын
Nasikia uko kantaki ni uswahili kaka je tunaweza kupata clip za kentaki pale heti watu wanaombana paka chumvi kule😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😭🔥 christmas 🎄🎄 njema
@DizzoclassicSoundstz9 ай бұрын
Nimekusoma kaka mkubwa pamoja sana nazani wengi tunatamani kufika hapo missouri 😂😂😂😂
@daviddonatus81215 ай бұрын
Hongera
@philipraphael36769 ай бұрын
Maisha ya hivyo safi sana ninayapenda kama sin cha kunitoa nyumbani ninaweza shinda siku nzima.
@lexmondniyukuri86179 ай бұрын
Nimependa san hiyo place ❤❤🎉
@josephpeter85119 ай бұрын
Nice nice you speak wise
@GidionKasenene-kc3yx9 ай бұрын
Naomba no Yako kaka
@enemtatuka58639 ай бұрын
Nakukubari Sana kaka ene
@christophenkurunziza72089 ай бұрын
Nakuelewa sana
@lizbethmathis84489 ай бұрын
Congole!
@aoloathumani109 ай бұрын
Nakuelewa kaka🙏
@King_Of_Everything9 ай бұрын
👊👍✌️。
@devidjav35839 ай бұрын
Ebm i like your videos,can you construct a house to rent to others on your backyard if u wanted or you are restricted by law?
@-vj7os9 ай бұрын
He can but he must finish to pay all money to the bank because now house is for bank and him.
@farijalanyoni56859 ай бұрын
The law doesnt allow that
@mussachichajr9 ай бұрын
Hili Jimbo linanifaa kwa kweli cz spendi fujo
@alwyjahdhamy80948 ай бұрын
Kaka naomba utueleze huko Missouri in town a delivery man analipwa ngapi per hour ndio hisabu iingiane. In new york a delivery man yule wa kupeleka mizigo hapa na pale analipwa $20 - $22 per hour. Ndio mtu afanyaye kazi hio hawezi toboa maisha ya Manhattan town kukodi nyumba. Huko Missouri ni ngapi?
@Askari228 ай бұрын
Njoo Cleveland Ohio
@alwyjahdhamy80948 ай бұрын
@@Askari22 Ni ngapi per hour huko?
@Askari228 ай бұрын
@@alwyjahdhamy8094mfano kazi gani ?
@saviorJesusChrist9 ай бұрын
Tufanyiye. Vidio za bey(?price) za magari ya bei chini
@saleheinnocent76368 ай бұрын
😂😢❤😅🎉❤
@ahmedmohd28369 ай бұрын
Ebm watu ulowafanyia maombi y. Summer camp umewatupa ahadi zote hujatekeleza k2 vpi mzee usifeli
@edwinalexander11709 ай бұрын
Mim nataka siku nikifika huko nikae kijijini kwenye miti mingi kabisaa. Kwenye utulivu.
@ammaherman33919 ай бұрын
EBM Vipi kuhusu Atlanta
@NgelejaCharles-ng7bh9 ай бұрын
Safi sana kaka Maana wengine Bado mpaka tuone magorofa marefuuuu na magari yakipiga honi nyingi ndo tujue hapo ni Marekani 😂
@hurumajosephat63339 ай бұрын
Nyumba hazina fensi
@netflixfreepremiumaccount5349 ай бұрын
huko missouri kuna migodi gani
@atomphoton50009 ай бұрын
Sasa mbona huko unakokaa ni panaonekana kama kijijini kwetu Ukerewe wewe ni kweli uko Marekani au unafanya biashara ya mtandao?
@devidjav35839 ай бұрын
Wewe kaka wacha mchezo ebm ni jina kubwa sana,watch his videos then tell us what you think.respect people
@edwinalexander11709 ай бұрын
Bro huyu jamaa anasaidia watu wengi sana. Huwezi uliza maswali ya kijinga hivyo. Marekani haifanani na huko ukerewe kwenu. Hapo tu gharama ya hiyo nyumba yake ukizidisha kwa fedha za kitanzania ni kama million 500. Kuipata Hiyo itabidi utafanye kazi miaka mingapi uweze kuinunua??
@Bless5109 ай бұрын
Acha dharau wewe..rudi kasome kwenu uko ukereweni chok** wewe… EBM jina kubwa