Рет қаралды 20,463
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima ameangua 'kilio' wakati akimjimbu Mbunge wa Arumeru Magharibi, Noah Saputu aliyetaka Waziri aonyeshe masikitiko na uzito kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanaume na wanawake.
Haya yamejiri leo Ijumaa, Mei 17, 2024 wakati Bunge likiwa limeketi kama kamati kupitisha vifungu vya bajeti ya Wizara hiyo. Aidha wabunge wamepitisha bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025.