Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie
@user-bx3kl4hn6j16 күн бұрын
Fisadi au jambazi yote mazuri
@maduhuelias981317 күн бұрын
Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo
@wilfredmaimu195817 күн бұрын
Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉
@barakakitomary293617 күн бұрын
Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu
@barakakitomary293617 күн бұрын
Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako
@NeemaNgovi-bu1tc7 күн бұрын
Kweli Makonda anaupedo uliotukuka Mungu ampe maisha malefu
@allybora402113 күн бұрын
Mungu awabariki nyote
@JimmyCosmas-cl2kh17 күн бұрын
Mungu akutunze Makonda
@daudkindy806217 күн бұрын
Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah
@tanzaniakwanza169917 күн бұрын
Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz
@fatmamussa292717 күн бұрын
waziri mkuu mtarajiwa ....Amin
@barakajonas320917 күн бұрын
Nice 👍👍👍
@AsilaKagambo-uv2ff17 күн бұрын
Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda
@mwinyichinchibera487517 күн бұрын
Makonda oyee
@JeremiaMnanka17 күн бұрын
MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku
@ifmknowledgepower733317 күн бұрын
Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno
@agustinoezekiel17 күн бұрын
Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao
@daudimaniseli75917 күн бұрын
MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.
@mungholomakalanga895816 күн бұрын
Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤
@user-xk7vy4gb6g17 күн бұрын
Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya
@IssaAbushehe17 күн бұрын
Wapi huko?
@user-xk7vy4gb6g17 күн бұрын
@@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe
@lutegomakoyeluhahula36116 күн бұрын
Sio siri@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.
@yassinkimolo294314 күн бұрын
Huu upendo umaanza lini? Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!
@jumabonge857716 күн бұрын
wapeni hongera zao
@bibianakiwali196916 күн бұрын
Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.
@paschalpaul386217 күн бұрын
Makonda makonda
@scholarmawala140317 күн бұрын
Kichwa Cha habari🙆
@sebastiansalamba31315 күн бұрын
Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo
@dorinmichael218615 күн бұрын
Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu
@exaverysimon106417 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ChivwadiMahumba17 күн бұрын
Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI
@user-pe8wh5bw2h17 күн бұрын
Afy km ip Kaka samahn
@Nedjadist16 күн бұрын
Watanzania hawaombi mengi.
@exaverysimon106417 күн бұрын
KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA
@user-pd9xu8qg9x16 күн бұрын
Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.
@eusebionaungu158515 күн бұрын
Bangi nyingi😂😂😂
@RehemaNgongomto17 күн бұрын
Ukifa wewe nitalia mpaka nife
@hawaelymaricca760217 күн бұрын
Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.
@anodearsulusi753617 күн бұрын
Mmmmm labda
@kibasamohamedi802917 күн бұрын
Kabisa
@user-pe8wh5bw2h17 күн бұрын
Najegaram
@Obasaniyo17 күн бұрын
Garama ni bure
@user-bx3kl4hn6j17 күн бұрын
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@nicodemashaggite842917 күн бұрын
Ww si kichwa kama andazi tu😢
@user-bx3kl4hn6j16 күн бұрын
@@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@enockmaige893616 күн бұрын
Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊
@enockmaige893616 күн бұрын
😢😢😢
@user-bx3kl4hn6j17 күн бұрын
Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui
@elioimer842316 күн бұрын
Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi