HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital

  Рет қаралды 11,653

Habari Digital

Habari Digital

19 күн бұрын

Пікірлер: 51
@ChrisMwambeje
@ChrisMwambeje 17 күн бұрын
Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 16 күн бұрын
Fisadi au jambazi yote mazuri
@maduhuelias9813
@maduhuelias9813 17 күн бұрын
Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 17 күн бұрын
Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉
@barakakitomary2936
@barakakitomary2936 17 күн бұрын
Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu
@barakakitomary2936
@barakakitomary2936 17 күн бұрын
Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako
@NeemaNgovi-bu1tc
@NeemaNgovi-bu1tc 7 күн бұрын
Kweli Makonda anaupedo uliotukuka Mungu ampe maisha malefu
@allybora4021
@allybora4021 13 күн бұрын
Mungu awabariki nyote
@JimmyCosmas-cl2kh
@JimmyCosmas-cl2kh 17 күн бұрын
Mungu akutunze Makonda
@daudkindy8062
@daudkindy8062 17 күн бұрын
Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah
@tanzaniakwanza1699
@tanzaniakwanza1699 17 күн бұрын
Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz
@fatmamussa2927
@fatmamussa2927 17 күн бұрын
waziri mkuu mtarajiwa ....Amin
@barakajonas3209
@barakajonas3209 17 күн бұрын
Nice 👍👍👍
@AsilaKagambo-uv2ff
@AsilaKagambo-uv2ff 17 күн бұрын
Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda
@mwinyichinchibera4875
@mwinyichinchibera4875 17 күн бұрын
Makonda oyee
@JeremiaMnanka
@JeremiaMnanka 17 күн бұрын
MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 17 күн бұрын
Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno
@agustinoezekiel
@agustinoezekiel 17 күн бұрын
Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 17 күн бұрын
MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 16 күн бұрын
Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 17 күн бұрын
Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya
@IssaAbushehe
@IssaAbushehe 17 күн бұрын
Wapi huko?
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 17 күн бұрын
@@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe
@lutegomakoyeluhahula361
@lutegomakoyeluhahula361 16 күн бұрын
​Sio siri​@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 14 күн бұрын
Huu upendo umaanza lini? Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!
@jumabonge8577
@jumabonge8577 16 күн бұрын
wapeni hongera zao
@bibianakiwali1969
@bibianakiwali1969 16 күн бұрын
Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 17 күн бұрын
Makonda makonda
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 17 күн бұрын
Kichwa Cha habari🙆
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 15 күн бұрын
Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo
@dorinmichael2186
@dorinmichael2186 15 күн бұрын
Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 17 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ChivwadiMahumba
@ChivwadiMahumba 17 күн бұрын
Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI
@user-pe8wh5bw2h
@user-pe8wh5bw2h 17 күн бұрын
Afy km ip Kaka samahn
@Nedjadist
@Nedjadist 16 күн бұрын
Watanzania hawaombi mengi.
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 17 күн бұрын
KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA
@user-pd9xu8qg9x
@user-pd9xu8qg9x 16 күн бұрын
Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.
@eusebionaungu1585
@eusebionaungu1585 15 күн бұрын
Bangi nyingi😂😂😂
@RehemaNgongomto
@RehemaNgongomto 17 күн бұрын
Ukifa wewe nitalia mpaka nife
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 17 күн бұрын
Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 17 күн бұрын
Mmmmm labda
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 17 күн бұрын
Kabisa
@user-pe8wh5bw2h
@user-pe8wh5bw2h 17 күн бұрын
Najegaram
@Obasaniyo
@Obasaniyo 17 күн бұрын
Garama ni bure
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 17 күн бұрын
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 17 күн бұрын
Ww si kichwa kama andazi tu😢
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 16 күн бұрын
@@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@enockmaige8936
@enockmaige8936 16 күн бұрын
Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊
@enockmaige8936
@enockmaige8936 16 күн бұрын
😢😢😢
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 17 күн бұрын
Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui
@elioimer8423
@elioimer8423 16 күн бұрын
Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi
PROF JANABI AMSANUA MAKONDA KUHUSU HUDUMA YA KUSHUSHA KORODANI,.
9:25
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40
🤣МАЛО КУПИТЬ ЛОШАДЬ
0:18
Бутылочка
Рет қаралды 6 МЛН
СРОЧНО ДОМОЙ! Эта НЕ КОНФЕТА!
0:21
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 2,1 МЛН
Когда покупки идут не по плану🤯
0:32