Nlikuwa sijui kumbe huyu kamanda kaishastaafu mzee kapinga mzee hongera sana kwa kutumikia jeshi vyema umefundisha vijana wengi sana kazi jeshini
@joss.nkilio.3537 Жыл бұрын
Hongera Sana Mzee wetu kwa kazi ilotukuka katka Nchii yetu.
@hansmsangi9828 Жыл бұрын
Safi sana hongera mzee
@catherinekapinga4850 Жыл бұрын
❤️❤️🙌
@ndeshukurwakaaya43853 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu katika nyanja zote ulizotumika kizalendo katika nchi na majirani waliozunguka nchi . Taifa teule . Asante umenibariki sana. MUNGU AKULINDE KATIKA USTAAFU WAKO . UTUMIKE ZAIDI U --CHOMBO CHEMA. ANEN 🙏
@giriadbirusha70063 жыл бұрын
Kajogoo wikaaaaa...wikaaaa wikaaaa ... kajogoo wikaaa wikaa na mayoweee...... hahahah salute kwako afande Meja jenerali mstaafu Alfred Kapinga.
@victorjames3730 Жыл бұрын
Maslahi na kazi vinaenda sambamba
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Hongera Sana kamanda pumzika
@mhifadhi797 Жыл бұрын
Sikujua kama amestaafu Mzee wangu Kapinga
@selemanmoh24232 жыл бұрын
Mtu Safi huyu
@simonjustin59213 жыл бұрын
Boss njoo ututembelee kwa mara nyingne tyena Upanga dar es salaam,tumemisi uwepo wako🙏🙏
@emmanuelmambarera1413 жыл бұрын
Hongera Sana Mpiganaji kwa ujenzi wa Taifa
@francisnyaji50003 жыл бұрын
Major General ni rank kubwa sana jeshini...
@stephensandiko6049 Жыл бұрын
Pongezi kwako miaka 44 jeshini ni mungu tu nilikuta kongo mzeee
@ShedadyMohamedy-oc9sz Жыл бұрын
Mzee ongera nyumbani wapi mzee
@jacobmaganga3354 Жыл бұрын
mwamba huyu hapa
@valenakomba44533 жыл бұрын
Wangoni hao, wanakuchekea mchana tu. Ngoja watakapoanza Kuku Rusharusha usiku . Hawana maana hao hata kidogo .
@leylaiddy58153 жыл бұрын
Joseph kapinga Joseph kapinga nakuita mara2. Uko wapi
@daimanyakunga62932 жыл бұрын
Chuma hiki
@abopicsissa27743 жыл бұрын
Baba umetelekeza watoto wako wa boxing Arusha hahaha