Tusiishie kusikiliza,tuufikishe ujumbe huu katka familia zetu,hasa kwa watoto wakike.
@josphatmanyange31283 жыл бұрын
Nyimbo tamu tamu sana Wanakwaya wenzangu but Tanzania mko juu sana, Mwenyezi Mungu na awabariki sana pia padre wenu. Kenya twawatapua sana
@dastanshega43434 жыл бұрын
Ubarikiwe mtunzi Ubarikiwe pianist Mbarikiwe waimbaji Nimeipenda sana hii Imenifanya nione fahari juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume.
@kwayayamwenyeheriemmanueld22553 жыл бұрын
Mwenyeher Emmanuel dalzon
@henryoreo22833 жыл бұрын
na abarikiwe sana daktari kwenye kinanda!
@jacklinemethord65423 жыл бұрын
Asante
@JemimaAyuma29 күн бұрын
Maombi ya bamoja usaidia wemwenyewe unaeza kosa kujua shida yako kupitia kwamwingine unabona imani ya bamoja usaidia amen jion njema
@mutiejulius28113 жыл бұрын
Wimbo wenye wosia kamili ,,,napendezwa na huo wimbo sana ,,hapa Kenya mwapendwa sana ,,,proud to be a Catholic
@yasintamakongoro94583 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoriki
@shaibuemmanuel1913 жыл бұрын
Fahari ya Mtukula ...Wimbo Umetulia na Umefikisha Ujumbe Uliokusudiwa...Ahsanteni Sana
@nestersanga74663 жыл бұрын
Ujumbe mzuri kuna jirani kanikwaza nimrjikuta nafarijika mno. Kujua kusehe
@illomowerner76904 ай бұрын
Jamaaaaaani dada Nestaaa, dunia inapita...msamehe bure ila mshauri pia
@marthakissima33353 жыл бұрын
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo ,nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwainua jamani🙏🙏🙏😘😘😘
@venasiavicent5236 Жыл бұрын
Nyimbo zuri sana
@mosesedward316 Жыл бұрын
@@venasiavicent5236 àà
@modestanyamhanga9185 Жыл бұрын
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
@sikatendedidas7255 Жыл бұрын
Namimi pia 🙏🏾
@MagrethAndrew-rc9bk Жыл бұрын
@@venasiavicent5236m
@kakulwa3 жыл бұрын
Nawapongeza mmefanya utumishi. Endeleeni na mausia kwa jamii. Mungu awabariki🙏
@christampanju68053 жыл бұрын
Dunia inapita achana na mambo yake...mbarikiwe sana waimbaji kwa kuinjilisha❤❤
@happyfumbi1831Ай бұрын
❤❤❤
@evastellakawira9812 жыл бұрын
I love this one million times I can listen to it a whole day 😉 Tanzania mmbarikiwa lot of love from Kenyans
@bibianamaisiba2477 Жыл бұрын
Soo touching indeed..be blessed Tanzania...nice message indeed..sooo wooow(◍•ᴗ•◍)❤
@albinMasawe-ix1cb6 ай бұрын
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri sana hakika nimeinjoy
@janetkhainga63053 жыл бұрын
Hongera Sana mandugu jirani wa Tanzania kwa choir nzuri keep up mbarikiwe sana
@patrickmgeni73122 жыл бұрын
Asant mungu you up Fuji l9guys 44ttttfgtpoo6yghuulllllkoly guy Byrd
@maryngina22952 жыл бұрын
Can't get enough of this song, very educative song. May God bless with greater minds for more ones. Mary ngina from machakos Kenya
@GosbertRomwardАй бұрын
Ni wmbo mzuri sana inatufundisha tuwe watu wa kusamehe,hongera mtunzi
@philomenakiilwa30334 жыл бұрын
Usikubali kukosana na mtu!!!!🙌🙌🙌🙌🙌 Mungu awatie nguvu muendelee kuinjilisha
@faustinejulius91973 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana nimepata faraja moyoni mwangu nimejifunza vingi kupitia wimbo huuuu
@samwelsoka7179 Жыл бұрын
And the world we shall pass try to live everyone with peace❤❤❤ (waebrania 12:14)
@benjamindenice533 жыл бұрын
Mwakola mno, nmewaona watu wa nyumban wote nawafahamu, ila hii nyimbo ni nzuri sana, jitahidi kuitangaza itawatoa kwa kufahamika zaida
@dativakimaro76404 жыл бұрын
Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu, Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
@annnyawira466 Жыл бұрын
I heard a colleague listening to this song I went searched for it. I thank God for this voices. Mother Mary pray us
@user-sx4yy6tm3g3 ай бұрын
Nimefurai kwakusikiliza wimbo uhu ninzuri sana n'a niosia mzuri kwawatoto wetu naMungu awabariki sana walioimba wimbo uhu.
@regisininahazwe3103 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kua fundisho hio ! From Burundi 🇧🇮🇧🇮
@dikeregis3 жыл бұрын
I found my namesake. Thank you Lord 🙏
@lutasweetbart39873 жыл бұрын
gongera cna burundi
@msokasgallery83234 жыл бұрын
Good song, good message. I hope akina Nyamwi wamesikia. Nanyi Holly Trinity mmh...Yaani hata hamkosei!! Nitawatafuta brothers.
@msokasgallery83234 жыл бұрын
@@HOLYTRINITYSTUDIOS Amina. Nanyi mzidi kubarikiwa sana
@nesphorysungu49343 жыл бұрын
Wondeful
@josehenry73333 жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri na mavazi mazuri mungu awabariki.
@johnlimbu-bl4pi Жыл бұрын
Hongereni sana wana kwaya kwa wimbo mliyo imba mungu awabariki maana imenigusa sana 😃😆
@julianamendi48993 жыл бұрын
Wow. Mbarikiwe xna very nice song 🔥🔥♥️♥️
@abudiasleonard29922 жыл бұрын
Pongezi zangu pikea
@judithawuor3909 Жыл бұрын
Judith from Kenya nimafurahi sana kwa wimbo huh thank you God bless you abandentley,
@vjsteve25463 жыл бұрын
Wow! Wosia mzuri kweli...Mungu Mwenyezi akawanehemeshe zaidi waimbaji wa MT. DAUDI
@joeeinsteinogik13363 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe Kwaya yetu ya MT. Daudi Parokia ya MT. Yuda Thadei-Mutukula 🔥🔥🔥
@reginaregina2702 Жыл бұрын
Wimbo mziri sana mara nyingi nausikiliza
@herimariabeda4009 Жыл бұрын
Najivunia ukatoliki
@ElizabethShabani-bo5rn7 ай бұрын
😵😵😵😵😵😵😵😵🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😒😒😒😒😒😒😒🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢
@ElizabethMusyoka-go7eh3 жыл бұрын
Hongera kwa wimbo mtamu na wenye mawaidha mazuri mno kwa watoto wangu..nimeucheza mchana wote Hadi nikatamani kufika nyumbani Kenya na Tanzania
@lazarodaudi1689 Жыл бұрын
Hongereni sana Vijana wa Mutukula, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏💕💕💕🔥🔥🔥
@sylviashiundu3822 ай бұрын
2024 Nmerudi kusikiza wosia❤❤❤
@user-be2fv3pg9m Жыл бұрын
Wimbo huu una maudhui mazito sana,hongera sana mtunzi na wanakwayawote
@glorypeter65264 жыл бұрын
Mt Daud mmefikisha ujumbe kwa wimbo mzuri maana dunia sio mbaya wanadam ndo wabaya ukikubal kukosana shetan anakutumia ,Holy Trinity hongera kwa kazi nzur video iko clear hongera kwenu kwa wanakwaya kwa uinjilishaj 🙏
@happymakweta2000 Жыл бұрын
Nimekua machozi ya furaha kwa ajili ya huu wimbo
@happymakweta2000 Жыл бұрын
@@HOLYTRINITYSTUDIOS nimelia machozi ya furaha kwa huu wimbo mbarikiwe sana
@donchibya20124 жыл бұрын
Wameimba vizuri, pia kuna Ubunifu safi kabisa 👏👏👏
@mjasiriamalikwanza39733 жыл бұрын
Kazi nzur
@rozadinamwaluko84983 жыл бұрын
Kabisaaa nmebarikiwa vyakutosha
@tonnytonito15363 жыл бұрын
I cant get enough of this song!!! Haki listening 👂 all the way from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@shafysjhd74303 жыл бұрын
Nice Song be blessed
@deogratiusngereza40023 жыл бұрын
fantastic Catholic song nimebarikiwa sana
@elizabethkapinga22736 күн бұрын
I proud to be catholic, Mubarikiwe kuelimisha jamii. Mungu wa Mbinguni Awabariki Sana!
@gloriousnp3 жыл бұрын
Wow, just WOW This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
@patrickmkambilwa99324 жыл бұрын
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@Aaryahpro20224 жыл бұрын
Kaka mutongore Ni Moto mwingine huu baada ya birthday yako kupita mwaka mwingine wa mafanikio hongera sana
@kaigamutongore87914 жыл бұрын
Asante sana Elton.. Ubarikiwe saana
@wachirasammy6944 жыл бұрын
@@kaigamutongore8791 kaka hongereni sana. Naomba nota za huu wimbo
@Aaryahpro20224 жыл бұрын
@@kaigamutongore8791 tuko pamoja kaka
@joshuasarutwe24124 жыл бұрын
HONGERENI SANA FROM MWL. JOSHUA S SARUTWE(MTAMBO MAN)
@joshuasarutwe24124 жыл бұрын
OGANIST NI NANIIII HAPOOO( DVD TUNAOMBA NA OGANIST AONEKANEEE HAPOOO)
@simbajeff96323 жыл бұрын
Wosia-Ni wimbo mtamu sana,ni raha yangu nikiwa studioni niicheze wimbo huu wasikilizaji na mwashabiki wangu wafurahishwe na pia waelimishwe #TeamHolyTrinity #TeamKenyaTz
@damianimasakila88723 жыл бұрын
Mwenye copy anitumie wadau nimeguswa sana
@thebluesaddictconner29083 жыл бұрын
@@damianimasakila8872 Naomba Nota
@robertmose24282 жыл бұрын
Wosia ulio na mafunzo kweli. Mbarikiwe wana kwaya wa Mtakatifu Kizito Makubuli.
@renatusmatungwa68004 жыл бұрын
Hongereni wimbo mzuri sana
@justinapius8286 Жыл бұрын
Naupenda Sanaa huu wimboo Amina mung niongozee katik maisha angg
@patrickmkambilwa99324 жыл бұрын
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa jalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@perpetuahmungai59884 жыл бұрын
Wimbo mtamu Sana, wenye mawaidha mazuri. Hongereni wanakwaya wa Mt. Daudi. Holy trinity you've done it again, good job and Mungu awazidishie baraka zake. Nawapenda tu Sana.
@marthamwinuka94 Жыл бұрын
Nimepeunda sana huu wimbo
@user-wm6hx1ew5v11 ай бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri mungu awabariki sana nimeupenda wimbo jamani
@johnmathias8172 Жыл бұрын
Hakika kupitia huu wimbo nipo shule ninakiri kuupokea wosia huu nitauishi nakuufanya kuwa taa na Nuru katika maisha yangu yote
@user-gw8fe2no7e15 сағат бұрын
Nikiusikiliza wimbo huu, huwa nawish ningekua huko wanapouimba wimbo huu haki!
@DeborahJohn-pg6vc6 ай бұрын
Waooooo ameeen mimi nimejifunza vyema 🙌 kweny huu mwimbo be blessed
@mpipiasenga2848 Жыл бұрын
Eeeehhh,Nimesikia wimbo wenye Maneno Makubwa kweli kweli, Mungu Azidi kuwasaidia kweli,Mubarikiwe Sana,
@norahndanzi414611 ай бұрын
Wimbo mzuri sana umenigusa hadi nimewaita wanangu wausikilize kwa kutulia
@carolinekerubo98363 жыл бұрын
I really love this nice song. And iam broud to be Catholic.. It's amazing and fatastic. God bless u.. Bikira Maria atuongoze mwa manae.. Watching from Saudia
@johnlimbu-bl4pi Жыл бұрын
Mungu awazidi kuwabariki na kuwalinnda nawatakie utumie mwema
@shallonmusa877311 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤good song.i proud to be a catholic
@arnoldrutaihwa35963 жыл бұрын
Wimbo safi kabisa... Sauti safi kabisa..
@shafysjhd74304 жыл бұрын
Mbarikiwe nyimbo nzuri watching from saudia.i real miss my church
@stellaphilipo51122 жыл бұрын
Kweli wimbo huu naupenda sana,, hongereni sana mliimba vizuriii na UJUMBE ni mzuri mnoo watoto wetu wakifuata watafika WATAKAPO kimaendeleo kwa kumshirikisha Mungu.
@rithaedmonds3129 Жыл бұрын
Najivunia kua mkatoliki jamani had raha sana nyimbo nzuri sana
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya wa Mt Daud patokia ya Mt Yuda Thadei Mtukula Mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.
@fredrichard51923 жыл бұрын
Amina Amina, amani ya Mungu iwe juu yenu Roho Mtakatifu awaongoze tena zaidi ya hii na mbarikiwe nyote
@gorethrweyemamu3724 Жыл бұрын
Jamani huu wimbo nausikiliza mpaka basi. Naupenda sana sana siuchoki kuusikiliza. Ni mzuri mno. Catholic raha sana
@theaccuracy01454 жыл бұрын
Mungu wa kwel anayeishi juu mbinguni awe nanyi mzidi kutuinjilisha🙏 niko na furaha sana 😊
@picsandvidstv13483 жыл бұрын
Wimbo mtamu kweli. Nimebarikiwa sana nikiwa hapa Kenya
@josphatbundi7654 Жыл бұрын
Wimbo mtamu kwa maudhui na sauti zilizolainishwa.Vyombo vilivyo lainishwa na visivyo na kelele💙💙💙👍👍
@princessprisca82703 жыл бұрын
Achana na urafiki. Urafiki mubaya . usije ukapotea dunia yenye giza 🥰🥰 asante sana 2mebalikiwa sana 🙏🙏🙏🙏 from tz 🇹🇿
@LaudisLivetiАй бұрын
Hongeren sana wanakway natutayafanyia kaz mafundisho mliyotupa kweny hu wimbo ❤❤
@ananiaaugustino76433 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,Hii fundisho kubwa,Nimewapenda sana,Mama Bikira awaombee kwa Mwanae hekima na busara za nyimbo hizi zitufundishe
@chrisantkalundabikayamba1548 Жыл бұрын
Ee Bwana Yesu bariki maisha yangu na yawanangu
@user-xk1bn8xf2v Жыл бұрын
❤❤❤ I'm proud to be a catholic,i can't get tired of listening to this song the whole day,hongereni sana,Mungu awabariki nyote
Wooow!! Hongereni Holy Trinity kwa kazi nzuriiii👍👍
@beritahgakii63262 жыл бұрын
Love the song nice message .hata nikue nimekasirika.nisikilize the song I feel relieved .hongera wanadaudi.
@proscoviapastory38312 жыл бұрын
Hongera sana mmetisha. Huu wimbo nakupenda sana.
@carolanita50154 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana asanteni
@emmanuelbanni9392 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hongereni kwa wote na Mungu awabariki
@MatendoMenganyi-xq8lx2 ай бұрын
God is in you all, be blessed forever guys.
@collinssiyame223 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki sana Alex kapirimposh 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💓💓🌼
@YOSEFU86493 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana na saut tamu na ujumbe maridhawa mbarikiwe wanakwaya wa Mt Daud
@selemaniamasha64422 жыл бұрын
One of the biggest and sweetest sound to listen, I'm so grateful to roman Catholic
@florencekanini82212 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana huo,,,Mungu awabariki zaidi na Zaidi Amina
@hansbertmkonji86774 жыл бұрын
Holy trinity you are always the best. Yaan wimbo umenikosha Sana
@johnnew-world29704 жыл бұрын
More blessings from this Namibian guy...keep doing what is to do with Jehovah🙏🙏
@user-nh7nf9px5e7 ай бұрын
Encouraging song mtumishi Anastasia..kongole naye Mungu akujalie miaka nyingi ya utumishi 🙏🙏
@odenlubida17222 жыл бұрын
Kiukweli nabarikiwa mno ninapousiliza wimbo huu mbarikiwe sana nyote.
@happynessgekondo8565 Жыл бұрын
Nasema Asante mungu wangu kwa ulinzi wako mkuu kupita wimbo huu najivunia sanaa
@gavanatheboss90933 жыл бұрын
Aminah kwa ujumbe mzur hasa sisi tunaoishi mbali na wazaz🙌🙌🙏🙏
@collinssiyame223 Жыл бұрын
Ongeleni sana mungu azidi kuwabariki na awapemaisha mema namarefu amen 🇿🇲🇿🇲😆💓
@alphoncehwai49143 жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo huu mzur unafundisha na kuelimisha
@RevocatusJames12123 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana na huu wimbo.Kama vile mt augustino alivyosema kuimba nikusali Mara mbili,hakika nimesali na nmeupata usia huu mtamu.....hongereni mno kwa uimbaji
@NeemaBwire4 ай бұрын
Nafarijikaa sanaa kuskiaaa wimboooo huuuu❤❤❤
@user-hn2gw7td4g10 ай бұрын
Asantenie ka wimbo mzzuuri hakika nimeupenda
@adeliustiba67882 жыл бұрын
hizi ndo nyimbo zenye mafundisho. asante sana mtunzi
@julianamkola46573 жыл бұрын
Mungu awabariki sana mwendelee kusimama Imala Kwa kuinjilisha neno la mungu wimbo huu unanibariki sana
@lundasimon29463 жыл бұрын
Love love this song 😭❤️❤️🇰🇪
@vitaliswafula99732 жыл бұрын
I just like the message in the song,"Usikubali kukosana na MTU Kwa sababu yoyote Ile"
@nsekuyebenoit5642 жыл бұрын
Nawakubali sana hasa mulivyo tumia nguo zinazo onesha culture ya wanyanya Rwanda
@briankilei73702 жыл бұрын
Love it 😍♥️ Wimbo huu umajaa ujumbe May God bless this choir for me 🙏❣️
@mathanakuhaja6787 Жыл бұрын
Asante sanà Kwa huu ujumbe..Mungu aendelee kubariki hii Kwaya.Mt.Daudi utuombee