HUU NDIO UKWELI KUHUSU,KIFO CHA MTANZANIA ABDULLAH ALIYE ULIWA SOUTH AFRICA/WAMEMUONEA /WAMEMDHULUMU

  Рет қаралды 50,027

Peacemakers Tv

Peacemakers Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 99
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Katika Nchi hatari kuishi ni Africa Kusini. Bora kipato kidogo lakini uishi Nchi salama. Allah mghufirie madhambi yake umjaalie malazi mema. Ameen.
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 2 жыл бұрын
Kuishi ughaibuni ni mtihani sana watu wanawivu wa mafanikio wakiona watanzania wanaendelea
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 жыл бұрын
Hiyo nchi inasifa mbaya sana wabaya sana wanaunyanyasaji na ubaguzi wanataka wake wao km wao tu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Inalilkahi wainailahi rajuun... Subuhanallah. Allah atamlipa hakiyake Ahelah lnshaallah
@bonifacekirundu9041
@bonifacekirundu9041 2 жыл бұрын
Watanzania tukae kwetu
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
😭😭😭😭Allah amlaze pema peponi aameen yarabbi 😭 poleni sana jamani huko sauths africa huu ndoukweli wa ndugu yetu Abdi 😭😭😭
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 2 жыл бұрын
Hakuna alie kamilika!Allah awape ulinzi ndugu zetu,hawa wenzetu wakatili sana!kuuwa kwao ni kawaida tu!Mnyazi mungu amrahamu amlaze pema peponi Amiin
@soundmale
@soundmale Жыл бұрын
Vp Kenya patulivu .au vilevile2.
@saidilindukwa
@saidilindukwa 2 жыл бұрын
Imefika wakati. Mambo ya kutaka tuonekane wakarimu sanaaa watanzania sasa tuseme basi,nasi tuwe wakali saa hii,South hapa ww mgeni hata km una haki as longer alo kudhulumu ni mzawa ujue polisi watamfever mzawa utakosa haki yako,na jina la kishenzi la makwerekwere utaitwa huo ndio ukweli.njia ni moja tu serikali yetu iwakumbatie wazawa zaidi kuliko wageni sababu sifa tushaipata na saa mataifa ya wenzetu hawajali wamekaa na watu wao chini Lao moja kuwa against wageni.imagine mtu unakitambulisho lkn bado unakamatwa na pesa utatoa htaki weka ndani ukafie humo,huu ni ukweli nausema sifichi kitu,utapata salama na unafuu km askari alokukamata aliwahi ishi TZ hapo kidooogo utapata afadhali.naiomba serikali yangu ya TZ ILIANGALIE HILI kwa kina y wa TZ tunanyanyaswa namna hii,Bwana balozi kazi kwako
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Back to the history raia wa Africa Kusini waliteswa sana na watawala wa kigeni leo ni Taifa huru ilikuwa washukuru sana na waishi salama na raia wa Nchi jirani.
@oman7710
@oman7710 2 жыл бұрын
Innalillaah wainna ilayh rajiuun,Allah amsamehe madhambi yake na amuepushe na adhabu ya kabri Allahumma amiiin Yarabb
@ummushuraym4319
@ummushuraym4319 2 жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema insha allah
@ahmedabass5793
@ahmedabass5793 2 жыл бұрын
Hakufai huko turudini nyumbani hata kama maisha ni magumu ni bora kuliko kwenda sehemu ambako amani na usalama hamna na mwisho ndio kama hayo yanatokezea
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
Ukweli kabisa nyumbani ni nyumbani pabana na hali yako uta toboa
@janetchinga695
@janetchinga695 2 жыл бұрын
Poleni sana, labuda walikua naisi anauza dawa zakulevia,jamani vijana unawezaje kuludi 1ock club inchi yawatu mmm
@marthaamenlucas8600
@marthaamenlucas8600 2 жыл бұрын
Hayo mamifuko atamume wangu alifikwa jaman mungu wangu
@saidilindukwa
@saidilindukwa 2 жыл бұрын
Hapa south uwe na kitambulisho usiwe na kitambulisho ni shida tu kwa sasa hivi,wanavamia mijengo au Madukani,au mitaani,mnakamatwa mnapelekwa John vooster police station mwenye kitambulisho ndani huna ndani wataanza kutangaza R2500 wasio na passport ili utolewe,mwenye passport R500 utoke na watu wanatoa kwa shida sasa imagine km hali ndio hivi Kuna haja gani kwa serikali yetu tukufu ya tanzania kukumbatia Wageni
@mwajabukaseke8710
@mwajabukaseke8710 2 жыл бұрын
Tushamzika tunashukuru mungu
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
M/MUNGU Ilazeroho yamarehem mahalipema peponi pole kwafamilia MUNGU YUPO Ubaya walioufanya wataulipa kwanjia wasiyoijua
@mwalimulali626
@mwalimulali626 2 жыл бұрын
Huo ndio ukweli kuusu kifo cha ndugu yetu
@WatagwainMan
@WatagwainMan 2 жыл бұрын
Daaah Sijui Kwanini Ubalozi wetu Hauchukuagi Maamuzi Kuhusu Police Wanavyotufanyia Kwenye Hii Nchi, Wanatuonea Kwa Kila Jinsi, Huo Ndio Ukweli Usiopingika, Wanatuua Kwa Kila Njia, Wanatuchoma Sindano, Wanatumia Silaha, Wanatumia Sprey, Wanatusingizia Kesi Za Kila Aina, Na Serikali Yetu Inakaa Kimya Tu, Hata Hili Lenye Uthibitisho Mkubwa Pia Wataliacha Tu, Kiukweli Inauma Sana, Tanzania Kuna Wageni Kibao Na Hatujawahi Kuwaita Forena Wala Kuwanyanyapaa, Au Serikali Yetu Inapenda Jinsi Tunavyofanyiwa Huku, Tunaiomba Serikali Mchukue Maamuzi..
@henrymassawe699
@henrymassawe699 2 жыл бұрын
Hapa hapa home pollisi wanatuua kila siku na serekali haiseme kitu ndiyo iwe huko SA?? In short they don't give a f'k
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 2 жыл бұрын
Huyu Mama hawezi kitu labda angekuwa Mwamba Magufuli
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 2 жыл бұрын
@@ezekielkandonga9238 Kwani wakati wa Magufuli hawakuuliwa Wa Tanzania South Africa
@mnubimnubi4081
@mnubimnubi4081 2 жыл бұрын
MUONGO mkubwa wewe wp hapa Tanzania watuwanauwawa kila siku!!?
@kudramzee5769
@kudramzee5769 2 жыл бұрын
Sio south africa tu hata kongo kinshasa watanzania tunanyanyasika
@jzakayo3864
@jzakayo3864 2 жыл бұрын
Dah
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 11 ай бұрын
Nimeumia Hadi mtu analia mama nakufaaa hawamuachi puuuh nimelia😢😢
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah wamemuua kinyama ila Allah yupo dhurmahi watailipa lnshaallah inauma saana jamani
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Mtihani
@innocentchikoya5060
@innocentchikoya5060 2 жыл бұрын
waziriwa mambo ya Ndani naomba afanyie hii kazi ya Mapolisi wa South Africa kwann wachukue sheria Mkononi
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 2 жыл бұрын
Sauth afrca wanazinguwa t mbn wao wakiwa uku kwet amna matatzo alaf Mambo hayo yanajirdiardia Sana Mambo ya ajabu ajab t
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 2 жыл бұрын
Innallillah wainnaillah rajoon
@Boyhoodking
@Boyhoodking 2 жыл бұрын
In my life sitokubali nije poteza mtoto wangu kwa kuuawa bila kisasi, ntaua Hadi kuku wao. I will go f*cking crazy in the game. Dunia itasimulia ntakachokifanya. Allah atulindie vizazi vyetu na amsamehe Kaka yetu
@husseinmahmoud7000
@husseinmahmoud7000 2 жыл бұрын
Allahumah amiin
@husseinmahmoud7000
@husseinmahmoud7000 2 жыл бұрын
Allahumah amiin
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
✌️🙏
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
Hakuna tofauti na police wa bongo. Poleni sana but as foreigners sioni Kama mtatendewa haki.
@Magreth-f2j
@Magreth-f2j 7 ай бұрын
Jamani watoto wetu tafuteni lizki huku kwetu acheni tamaa ya nchi za watu
@saidilindukwa
@saidilindukwa 2 жыл бұрын
Hili tukio la wiki ilopita si la kwanza mengine hatusemi,na tunashangaa mtu washamuua vipi tena aje apigwe sindano ya nini Ile sindano,serikali yetu ya tanzania hiyo ndio hali tunafanyiwa mengi huku.mpaka mmeona haya kutokea serikali msitulaumu tunakubali kufa kwa ajili ya ndugu yetu,na tushaamua wakilirudia tena hawa polisi wa huku tutachokifanya hawatokaa wasahau.tumewalea sana wasouth lkn leo wanatunyanyasa kana kwamba sie ni wadudu tumechoka sasa kikichobaki ni action pia sie wabongo hatuogopi kufa tunayaweza vilevile wanatuchukulia poa hawa watu sasa tunaiomba serikali yetu wakae chini na wenzao wayajadili haya.km mtu ana makosa mkamateni mpeleke kituoni sheria ifate mkondo wake lkn si kutufanya km sie ni ma mbwa.
@salimliemba3458
@salimliemba3458 2 жыл бұрын
Inna lillah wainna illah Rajiun kazikwa Leo tanga
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Inalilahi wainailahi rajuun
@smartboytz4724
@smartboytz4724 Жыл бұрын
Shida ya huko johansburg ni tofauti Cape town Cape town kuko poa akuna matukio
@yasinichankanda2090
@yasinichankanda2090 2 жыл бұрын
Nchi yetu hii tunachezewa vya kutosha viongoz tulio kuwa nao wanachumia matumbo yao tuu hawana uchungu na wananchi, innalillah wainallah rajiuun
@marthaamenlucas8600
@marthaamenlucas8600 2 жыл бұрын
Yn mume wangu alifariki hivyohivyo naumia sana anamwaka Sasa kaniachia mtoto mdogo naalizikwa hukohuko .dahhh naumia sana
@ramadhanikibenga4284
@ramadhanikibenga4284 2 жыл бұрын
Pole sana
@jayp5871
@jayp5871 2 жыл бұрын
Pole sana dsda, Afrc kusin wabaguz sana
@issamkombo7300
@issamkombo7300 2 жыл бұрын
pole dadangu watu weusi hatupendani
@jumamhina6443
@jumamhina6443 2 жыл бұрын
Pole sn
@muye426jb6
@muye426jb6 2 жыл бұрын
Pole sana
@saidilindukwa
@saidilindukwa 2 жыл бұрын
Ki ukweli polisi wa Africa kusini wanaonea watu sana lkn kikubwa ubaguzi cha ajabu Askari weusi wanabagua raia weusi,polisi wa hapa bora wakukute na uthibitisho lkn km huna kitu chochote kile ni shida unapigwa na unavalishwa plastic usoni utapumua vipi imagine! Sasa vitendo km hivyo ni vingi vinafanyika
@teddymashells2601
@teddymashells2601 2 жыл бұрын
hawa wa South Africa wamezoweya sana kuuwa watu bila ta Sababu n'a hasa watanzania wanauliwa sana,n'a yote ni chuki tu.
@ashamerey1806
@ashamerey1806 2 жыл бұрын
R. I. P .😭😭😭😭
@zenachuo2963
@zenachuo2963 2 жыл бұрын
R .i.p
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 2 жыл бұрын
Hao ndo makaburu
@sharoniamiri3114
@sharoniamiri3114 2 жыл бұрын
𝐒𝐨𝐮𝐭𝐡 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐳𝐢𝐧𝐠𝐮𝐚
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 2 жыл бұрын
Wasouth ni viumbe wasenge sana wamesahau walitupigia magoti wakati wanatawaliwa mmbwa hao
@mwajumakweli
@mwajumakweli 2 жыл бұрын
😭😭😭😭
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 жыл бұрын
Innalillah wainnah Lillah rajuun 💔
@innocentchikoya5060
@innocentchikoya5060 2 жыл бұрын
Polisi wa south Africa wahukumiwe kifungo cha maisha
@seifchui4246
@seifchui4246 2 жыл бұрын
R. I. P Abdullah
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 2 жыл бұрын
Pamoja na yote chanzo cha maskari hao nini maaana mtu hawezi tu kuja na kukupiga ovyo lazima kuna chanzo wala sidhani kama madawa ni sababu maalum lazima kutakua na sababu maalum ambayo imemsababishia mwenzetu kufa
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Mtihani kwanini duniya tunaipeleka kasini unamuuwa mwezako bila hatiya lakini aliye muuwa na yeye iko siku atakufa tuuuu
@lillaahilhamdutv5383
@lillaahilhamdutv5383 2 жыл бұрын
Kumbe alikuwa anatoka club, hapo sasa kazi ipo kwake mbele ya muumba wake
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 2 жыл бұрын
Na ukumbuke club sio kanisani yawezekana mzozo ulianzia uko na club hawauzi uji wala maziwa katika swala ya kupiga moja mbili yawezekana kuna matamshi walitamkiana uko
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 2 жыл бұрын
Baba dhuluma kadhulumiwa kwan wangapi walikuwa ktk dhambi na leo wame tubu
@angelamshama1288
@angelamshama1288 2 жыл бұрын
Marehemu hasemewi vibaya, tuombe mwisho mwema lilaahil hamdu
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 жыл бұрын
@@mohamedsuleiman2785 katika ulevi ni mthihani Sana
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 2 жыл бұрын
We nae kwendra
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 жыл бұрын
Ubalozi unasemaje huko
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Walizima umeme kusudi walipanga tukio
@athumanisinga7128
@athumanisinga7128 2 жыл бұрын
Kukataa umeme ni kawaida saasa ivi South Africa ila wamefanya kitu cha kinyama sanaa wana rohoo mbaya sana police
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
@@athumanisinga7128 kweli mungu yupo
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
wakakuta pepa ambazo ni noti ndio vp?
@luluwhite3818
@luluwhite3818 2 жыл бұрын
WANAUWAWA NDUGU ZETU LAKINI HAWAKOMI TU
@adamabui6121
@adamabui6121 2 жыл бұрын
Hakuna haki utakayo fanyika hapo. Kama polis wameua wamemthulumu kijana. Tafuteni polis kadhaa muwaue basi
@sundaykomba1327
@sundaykomba1327 2 жыл бұрын
Sidhani kama hao watu walikuwa polis watakuwa ni watu ambao walivaa nguo za kipolisi
@jayp5871
@jayp5871 2 жыл бұрын
ata mimi nahis ivo
@ambwenedaniel358
@ambwenedaniel358 2 жыл бұрын
Ni police broo hawa police wa huku south Africa ni wezi sana
@ismailiramazhani3570
@ismailiramazhani3570 2 жыл бұрын
Wa south sio watu ni ma bowa Sana sio police hao ni wezi wa south ote ni wezi wauwaji tu inabidi tuwe tunawauwa katika nchi zetu na sisi kama wapo uko Tanzania uweni na nyinyi
@muhammadynabeel3472
@muhammadynabeel3472 2 жыл бұрын
Rip mdogo wang.
@saidilindukwa
@saidilindukwa 2 жыл бұрын
Kuna mwaka nilikuja Tz basi kariakoo wanigeria na wamalawi wamejaa teleeee kifupi nili mind y serikali yetu inajaza Wageni Tele ktk nchi yetu,tujiulize hivi wao tukienda ktk nchi zao watakubali? Jibu hapana mama Samia raisi wetu kipenz ktk hili usikae kimya raia wako tulo nje twanyanyasika msione twakaa kimya tunaumia kuona watanzania tunawakarimu sana wageni at the same time sie tunauliwa na kuumizwa ktk nchi za watu,fukuza wageni wote Tz hapo
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 2 жыл бұрын
Inna Lillah Wainaillah Lajuun poleni Wafiwa Imefikia Kipindi wageni iwe mwisho kuingia nchini kwetu Mama Mpedwa Rais wetu litazame hili ni tatizo masna hat vizazi vyetu vitakosa Bisness z kufanya au Ajira
@fidelyaredi4137
@fidelyaredi4137 2 жыл бұрын
Ni aibu sana, kufanya fujo kwa jirani, kwa ajili ya rais wa dawa za kulefya
@rechohkidoah34
@rechohkidoah34 2 жыл бұрын
😔😔😔😔😔APUMZKE KWA AMANI🙏🙏🙏🙏
@lucydominick3864
@lucydominick3864 2 жыл бұрын
So bad aisee..
@jumahilali2309
@jumahilali2309 2 жыл бұрын
R.i.p
@khadijandege2036
@khadijandege2036 2 жыл бұрын
R.I.P
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН