Nomaa sana hii emb tulioipenda hii story tujuane apa kwa like 👍
@lazamwa13 жыл бұрын
mshamba tu huyu, hata kiingereza cha kuunga unga, habadiriki na kujiongeza. sasa anataka sisi tufanyeje kama alitoswa??
@johnmwakibete49253 жыл бұрын
We
@angeljimmy75813 жыл бұрын
Duh
@salmakambi53383 жыл бұрын
Balaa kubwa
@hamidaala28322 жыл бұрын
@@lazamwa1 😃😂unavituko
@melkiorymariki56443 жыл бұрын
Manunguniko sio mazuri hongera sana. Kwa kushuka, na ukajuwa jaribu, lako ukamtanguliza MUNGU. Hongera MUNGU akusaidie kwa kila jambo
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@zanlec73577 ай бұрын
Allahu akbaru. Huyu jmaaa ni fundi san katik kucmulia kwanz ana speed nlkin n fasaha mno. Kisa ch kuelezwa miez mi 3 mfululizi yy amkielez n kwadakik kadhaaa Masha Allah. N pole san brother. Muabudu Allah popote ulipo
@BonitatemBonitate5 ай бұрын
Yaan hapo kwenye kuadisia ametisha sana yupo spidi na akosei,hachoshi kumsikiliza
@melangongo28293 жыл бұрын
Mungu wangu kweli Mungu amekupenda usimusaau miracle wow.Amen
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@neema_mollel3 жыл бұрын
Hii ndo maana halisi ya maisha ni kujitoa muhanga Big up man you inspired me 🤝
@khamisjuma85013 жыл бұрын
Mimi niko marekani kwa Meli nduguzagu .wa Tanzania life good 👍
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@bamsimba78353 жыл бұрын
Nimejifunza kumtanguluza mungu,kujaribu ndiyo kujua mengi kama Kaka yangu na uvumilivu kwa kila jambo na ubunifu ktk kila likukutapo jambo. Mfano alipokwa baharini na mapipa yake mm3 alibuni kjifunga pua na mdomo na kichwa kukabiliana na baridi. Hongera sana kaka
@bamsimba78353 жыл бұрын
Asante sana kwa kupenda koment yangu
@stellarodgers57422 жыл бұрын
Ni kweli aise mungu ni kila kitu
@sharmelasaif473 жыл бұрын
Mungu ni mwema kaulinda uhai wako ili wasiojua kama Mungu yupo wajue ila wanaume kutoboa maisha mwapamban kwakuuza roho ila mkifanikiwa mwasahauu jinsi mulivyopatatab
@bilalbaker92383 жыл бұрын
Self determination, confidence and believe in power of Allah, today I have learned
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@oigogilberts23062 жыл бұрын
This story have seriously moved me, I have shed tears and also prayers for Victor and his family. The lovely two daughters. I have also prayers for the captain of the sheep that saved him, may God remember the good they did to save such a life. God may remember their families and cause good things to come their way, if any is in danger may they be freed from the same because their ancestors saved life that is touching a lot of lives today. There’s a lot to learn from this story. Thank Mchaga OG God bless you and the rest of wasafi media
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@agneskadzo61053 жыл бұрын
Waa wastahili Kumtumikia Mungu .aliyekuokoa.. Yaani watu wabaya wapo na Wema wako... shetan yuko na Mungu yupo.. shetan aliingia meli ya kwanza shetan aliitumia ila Meli ya pili Mungu Baba akawaingia na wakakuokoa... Mungu mbele, Uvumilivu na bidii plus nia...pole sana Brother
@RamlahNassoro4 ай бұрын
Allaah akupe umri mrefu wenye kheri ndani yake
@ramlaleila3745 ай бұрын
Subhana Allah kweli kl mtu hufa na siku zake Allah akuzidishie umri na maisha marefu
@kisurangusa5543 жыл бұрын
Siku tatu baharini, sifa zote zirudi kwa Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu?
@emilywanjala91613 жыл бұрын
Amen
@mohamedkitalima75463 жыл бұрын
Na ndio maana yeye akutamka mungu mwana wala mungu mama yeye kataja Mungu tu angetegemea hao mungu watu akuna dua ingekubaliwa
@mariammbughi27023 жыл бұрын
Ameen
@shamsamohammed22613 жыл бұрын
Daah ! Huyo mwenzenu wa Tanga anaitwa nani ninamjomba wang niliskia pia alitoswa lakini hatuna uhakika huu na yakaribia miaka kumi nakitu hatuna hata salamu zake
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Pole sana na hongera kwakua na imani yakumtegemea Mungu, pia kujishusha kwako kwakujishirikusha kuwasaidia kazi, wewe ni jembe
@dorahy15795 күн бұрын
Pole, Mwenyezi Mungu alikuokoa
@fancytulula95372 жыл бұрын
He believed in God, his faith saved him🙏
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab6-l
@kagiranezabosco11103 жыл бұрын
Mkasa wakokari baba shukuru mungu, nakuombea maisha marefe,
@ibrahimhemedi90793 жыл бұрын
Tukutuku mazee redio ya mbao Mbili sabasaba big up one love BC 90s TZ panga panga vichaa Atari lakini salama about life.
@gracekagoma32313 жыл бұрын
Pole Sana Kaka yangu.Mungu Ana kupenda sana.Umshukuru siku zote
@enockabumba75132 жыл бұрын
Amina
@abdullahabdull31723 жыл бұрын
I was beach too at Durban in 93 I never meet him.but the guy lost one of him is called Yahaya aka Tony,.stowaway is dangerous life ever.
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@shamimhayat76373 жыл бұрын
Story nzuri pole sana, Mwenyezi Mungu amekunusuru, unaweza kuandika kitabu. Never give up
@johnmrema87313 жыл бұрын
Hongera sana mjomba. Umeipata historia ya maiaha yako. Sasa mche na kumtukuza sana Mungu aliyekunusuru.Achana kabisa na mambo ya dunia.
@suleimansadalla56063 жыл бұрын
Wataliano ni watu wenye imani sanaa juu ya ukrito wao nawasifu sana viva italia
@mgishananai50972 жыл бұрын
Pole sana broo
@maureenmgeni5 ай бұрын
Usiache kumtumikia Mungu kwa maisha yako yaliyobakia
@sadasalum87783 жыл бұрын
Dduh mshkr mungu sana maana mm nayaogopa sana maji yani apo mm ningeshafariki kabla ata ya kutupwa kwny hayo maji
@Chemba672 жыл бұрын
Wasafi Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
@vincentmiruka6642 жыл бұрын
I advise this Bro to make a movie out of his real story and make millions
@ashaibrahim83542 жыл бұрын
i think that is the best way compared to make music
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@evelnjuma18344 ай бұрын
Bahalia mume wa angali nakusalimia sna sasa Huwa unaniadithia ninajua n uongo kumbe ni kweli pole sna nimewamss sna ❤🇹🇿
@rosepeter89963 жыл бұрын
Mungu ni mwema.wacha niseme east or west,home is always the best.tuache kukimbilia nchi za mbali mbila kibali,au njoa nzuri.yatakayo kupata mbele huwezi yajua.tujivunie nchi zetu.pia katika nchi zetu tukitia bidii tunaweza kuwa matajiri with full freedom.
Pole Kaka usimwache Mungu anakupenda Sana binadamu tunapitia mengi
@kelvinmasika64823 жыл бұрын
Nimempenda sana huyu jamaa, safi sana, nimezitafuta meli zote ni kweli kabisa kama anavyosema, hii sio story ya uongo
@nooor11203 жыл бұрын
Sijafaham kaka umesema ni kweli hlf umesema story ya uongo kivipi?
@benjaminmollel30053 жыл бұрын
@@nooor1120 amesema hii sio story ya uongo.
@bigdreams8192 жыл бұрын
Tazama Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@petermalley6078Ай бұрын
Mwamba yupo Masaki na Yuko fresh anaendeleza harakati
@damewambuiofficial32763 жыл бұрын
What an experience of life.....sound like a movie😳
@sadockadams95973 жыл бұрын
X CX
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@mickbarymarytz98732 жыл бұрын
Pole sana bro,kwa kupitia magumu Mungu ni mwemaa🙏🙏
@maumaulid14523 жыл бұрын
Hawa ndiyo wanajeshi bila ya kozi
@evodiacosma47083 жыл бұрын
Pole Sanaa brother japo ulipitia pagumu ila mungu hukumsahau bigup kwa ujasili iliokuwa nao baharin
@latifamudy31533 жыл бұрын
Kama umeliza sana nimekupenda mkweli sana mpka umekunywa mkojo mguu tusaidie wanao pale tunapoonyesh nguv mbel yako
@saudambinga38323 жыл бұрын
Stori ya kitambo Sana, namsifu kwa kumtanguliza mungu ktk kila jambo
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@suleimansultan33332 жыл бұрын
Kaka pole Sana kwa mkasa uliokufika yote ndio safari ktk maisha pia ni funzo kwa kizazi chetu
@elizabethmgassa72433 ай бұрын
Mi namshukuru na kumtukuza Mungu kwa yote yaliyompata nasema Mungu ni mkuu.
@micamathew25953 жыл бұрын
Aisee pole sana jmn maana hii mpaka imenitoa chozi. Imani ni kitu muhimu sana hapa duniani.
@rahmaawadh16952 жыл бұрын
Namkumbuka Shomari kwa mara ya kwanza ilirushwa habari yake ITV ...Nakumbuka baada ya kupata huu mtihani alirudi na kusaidiwa na Marehemu mzee Mengi alikuaga biashara yake posta mpya,Sikumbuki alikua akiuza nn lkn tupo wanafunzi tukipita tunaenda kumsalimia ni mcheshi sana alikuaga🤣🤣🤣
@bish_daddiyao3 жыл бұрын
Damn Nice story to inspire ❤️May Almighty Help All the Hustlers
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@salumsamesame17413 жыл бұрын
MWANANGU ULIKUWA NA IMANI SANA NA MUNGU NA MUNGU NDIYO ANATAKA HIVYO , UTAMKE KWA IMANI MBELE ZAKE
@brilluckychannel8313 жыл бұрын
wahuni huwa wanaimani ya kweli mambo yakiwaendea tofauti😅😅😅
@suleimansadalla56063 жыл бұрын
Hongera sana bro mshkuru mungu sanaa waombee dua haowaliokuokoa god bless you
@Dr.zaidi43 жыл бұрын
The interviewer did not interrupt,he simply let the story flow
@msellah17173 жыл бұрын
Hes good
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@khadijalewish45143 жыл бұрын
Mungu ni mungu tu, , heri umtegemee kwa yote
@shamimhayat76373 жыл бұрын
Umepona kwa kumuamini Mungu
@cristinasofla50902 жыл бұрын
Kweli ukiamin Mungu akuachi ata kidogo nimelia kwa furaha alivyomuamin Mungu na Mungu akumuacha
@scottuk46833 жыл бұрын
Kwa hakika ametakasika Allah m'bora wa mipango yote.
@bigdreams8192 жыл бұрын
Tazama Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@labancherop23432 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu.mungu alikuokoa.ulipitia hali ngumu ngumu ngumu.mimi ni mkenya ilhali mimi nafaya kazi nchini Qatar.pokea salamu zangu brother.Stowaway ni hatari sana
@shekhomarbinally53573 жыл бұрын
Mungu Akuwepesie Brother
@Ssamaha3 жыл бұрын
Acheni Mungu aitwe Mungu
@joycemuhoja47293 жыл бұрын
Mwaka 1997 nikiwa form 1 Makongo Secondary Mwandishi wa ITV alitoa Machozi akimsikiliza niliumia Sana Machozi yalinitoka naomba ITV waludie kipindi
@user-zg5lg3yq9c5 ай бұрын
Upate kulia tena😂😂
@abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын
Hii story nakumbuka miaka ile ya 1997 au 98 ITV inaonyeshwa live pale mnazi mmoja linafungwa likitambaa yaani zile TV za sinema ndipo nilipoiyona hii story ya huyu jamaa nilikuwa mdogo kama miaka 7 hivi
@bigdreams8192 жыл бұрын
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@sharifahayata2343 жыл бұрын
Umenikumbusha marehemu mtoto wangu Joe Kibira, alizamia na kiasi ya kukamatwa ilikuwa ngumu sana, mungu akubariki
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@christianmwasakogo55793 жыл бұрын
Itabidi ukaokoke sasa na uwe mcha Mungu kwani Mungu anakupenda alikuokoa usiwe mjeuri Mungu alikutendea mema kukuokoa baharini
@shekinahmurhububa79802 жыл бұрын
Amen ila ame chaguwa kuwa hip pop
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Kwni Mungu tayali alikwisha kumuokoa sasa aokoke vipi tena na wakati bado anaishi na yupo ndani ya mazingira ya kila aina ya dhambi
@kacherosimba57623 жыл бұрын
Sasa huyu ndie baharia hawo wengine niwa uwongo 🤣🤣🤣🤣🤣
@fathmaibrahim18432 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@khamisrubea50833 жыл бұрын
Anaongea vizuri na haraka safi sana
@PETERNDWANGA2 ай бұрын
Mungu mwema kilaa wakati rast duuuu nyingi kaka mkubwa pole kwa mkasa uliokupata
@shukridjibril68483 жыл бұрын
Story safi Sana MTU wangu. I'm waiting from Paris 🇫🇷🇧🇮🇹🇿
@azizahmwimbe85483 жыл бұрын
Waiting or watching?
@skymuka34814 ай бұрын
Kaka pole sana ,tengeneza senema ya historia ya kweli reality utapata pesa
@joshuatz46162 жыл бұрын
Wagiriki Wana roho mbaya sana hao wapuuzi
@miriammsuya44543 жыл бұрын
dah Mungu alikutaka uendelee kuishi
@manyuhandumbaro96183 жыл бұрын
Pole thana real sailor #IN GOD WE TRUST FATHER
@manyotaskipper57653 жыл бұрын
He is not a sailor He was a stowaway (Stillwater) on board stowaway it’s a ENEMY due to pirates problems that why as per Shipping Merchants Kabla meli haijaondokq lqzma USEARCH KUWATAFUTA STOLOWAY
@felisterandrew87413 жыл бұрын
Duh,jaman polee saana,,Mungu Awarehemu wenzako walotangulia mbele za Haki.
@omarganja13963 жыл бұрын
Pole sana Baba
@sophiabryson27353 жыл бұрын
Mungu mwingi warehema 💖
@the_real_henry_filbert84453 жыл бұрын
God is good
@bigdreams8192 жыл бұрын
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@bensonntipilit60133 жыл бұрын
Pole San ndug kwel mungu nimkubwa aimidiwe milele
@fauziakarama85813 жыл бұрын
Haisahauliki kutoka kwenye mdomo wa chewa Allah akulinde
@magatiogoti48752 жыл бұрын
What an experience!!!! Noma sana
@youngpreachermusic62292 жыл бұрын
story amazing sana...mungu yupo bana...watching from KENYA🙏
@bigdreams8192 жыл бұрын
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@bilalbaker92383 жыл бұрын
Pole Sana. Naamini kama msingekubali kujitosa basi hata hii story tusingesikia. mgiriki ange shoot
@dannyblossproduction523 жыл бұрын
Damn,,uyu jamaa Mungu ndo kamuokowa
@tuyisengeariane8382 жыл бұрын
God is able 🙌🙌🙌🙌🙌
@ramlaleila3745 ай бұрын
Kweli kaka jasiri na Imani yako imekusaidia umetembea na mungu
@t.v.a.i.s.s68423 жыл бұрын
Pole saaana kaka , maisha ni vita .
@vinnexachacham29422 жыл бұрын
Inauma sana. Ndo maana namchukia mtu mweupe hadi kufa. Awe Muzungu, mwarabu au mchina sio rafiki tena na mwafrica. Kwanza maadui wakubwa wa Africa. Wewe unadhani angekuwa mtu mweupe mwenzao wangemtoza!
@saleheuliza51193 жыл бұрын
Msc God bless
@juniorborbo2 жыл бұрын
WooooW What a story very interested and informative .
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@vero573 жыл бұрын
Nimesikiliza kheee kweli umepitia mengi, wewe unaweza kuandika kitabu
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@chesterbrand67233 жыл бұрын
Chaly Hawa wa bongo wanabonga speedy sana next time raiya Kama usiwape naFasi ya kwenda speedy kihivyo
@daslamonline46653 жыл бұрын
Tunampata sana pole ndugu Akiongea pole pole atamaliza mb’huyu
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Jifunze kiswahili huweze kusikiliza vizur
@Swahili143 жыл бұрын
TANZANIANS speak faster you can't grasp damn word KENYAN 🤣
@suzanfelix80653 жыл бұрын
@@daslamonline4665 🤣🤣🤣🤣
@kelvinmasika64823 жыл бұрын
Discovery wamtafute huyu jamaa kapitia mengi sana. Kwanza kwa aliyopitia yamekuwa positive in terms na muonekano wake, anaonekana bado kijana sana angali ni dhahiri ni mtu mzima, hii ni dalili ya afya njema, pili anatukumbusha vijana wa sasa kuwa maisha sio rahisi, ukisikia mtu yuko nje na nini sio rahisi, tupambane tujenge nchi yetu, tatu kanifundisha sana ustahimilivu, kwa aliyopitia ingekuwa ni mimi sidhani kama ningekuwa hapa, the fact ya kuweka wazo kuwa kuna watu wanasurvive na boti za mbao bagamoyo na yeye akafanya hivyo pacific ambapo kuna baridi kali bila shati, hakika angekuwa mzungua au mtu mwenye exposure story yake ingekuwa dunia nzima. Nne pia kanifundisha katika wabaya pia kuna wazuri hilo tusiwe tunalisahau na kuona eti kila mzungu au mtu wa aina flani ni mbaya kwasababu, kwanza alitoswa na wagiriki ambao ni wazungu lakini waitaliano ambao pia niwazungu wakamuokoa na wakatoa taarifa wagiriki wale wakamatwe, ili haki ipatikane... Mwisho kabisa munisamehe, ametukumbusha kuwa sisi wenyewe hatupendani bali tunapenda maslahi yetu tokea enzi hizo, hivi inakuwaje afisa usalama unaletewa ndugu yako ambaye ni kama amefufuka kwa hali aliyopitia ila wewe badala ya kumkaribisha nyumbani unatengeneza mazingira ya kupata hela na kuwapa hali ngumu waliomuokoa. I WONDER BAADA YA HAPA KAMA WALIMUOKOA MTU MWINGINE. Maana ukiangalia ile meli ilitengenezwa 1992 so wakati jamaa anaokolewa ilikuwa in mwaka mmoja so inawezekana ndo ilikuwa mara yao ya kwanza kuokoa, je swali ni kwamba kama figisu walizokutana nazo baada ya kuokoa vile je waliokoa watu wengine tena wakikutana nao au waliwachukulia ni mzigo???? All in all nimeguswa sana na hili and I hope WASAFI mtaanzisha hizi series na kama ikiweziekana kuwe na window ya kuwasaidia wababa zetu hawa waliyoyapitia haya katika kutupambania. Asante, Kelvin
@kelvinmasika64823 жыл бұрын
Nilimaanisha afisa uhamihaji kama alivyosema na sio usalama... CORECTION
@POPkateshian3 жыл бұрын
Naunga mkono hojazako
@hazaaahmadhazaa27703 жыл бұрын
bahari waliyotoswa itakuwa atlantic sio pacific!
@lizp68263 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana @kelvin masika umeandika kwa hisia..safi sana inasikitisha afisa uhamiaji alichofanya baada ya jamaa kupitia ktk balaa kubwa sana kwa mwanadamu yeyote yule
@sululuzungu95872 жыл бұрын
True story kabisa tunachukulia poa xn vijana wa kisasaiv hatupo Sirias ila ukichek km hawa mabro kk wametesek xn alf ss asaiv tunatak mtelemko ndomana tunaingia kweny stareh za kishoga mm asaiv nipo south frica mwak wa sita nnamatambala yngu ila nikiadisia wa2 nilowakuta au nikichek km iv uyo bro mm najiona mchumba kwake mana kanizid aya mambo aloyapitia yy lkn tisa kumi tuwe na subr na tumuombe mungu kwa kila jmbo nasio2 utake vitu kwa pupa mwishowe uwe shoga 🙏🙏
@jamalhussein12782 жыл бұрын
stori nzuri sana yenye kusisimua sana. Maisha ya kutafuta fedha yana mitihani mingi sana.
@raphaelomwoyo36903 жыл бұрын
Pole. Ndugu zetu kwa hiyo aliofanyika Arusha....
@wanaupendotv71833 жыл бұрын
Nimesikiliza kwa makini mungu ni mwema
@bigdreams8192 жыл бұрын
Filmu ya stora away hii hapa tazama kzbin.info/www/bejne/n3-uq4V-bM6Ab68
@HASSANJUMA-ju8fp3 ай бұрын
Daaah pole sana kakaaa
@zuwenasimfukwe81992 жыл бұрын
It remind me the song called NGAPULILA
@shabanipili49193 жыл бұрын
Duuuuuh jamani Dunia hii kuna watu wanapitia magumuu
@zabronmadano90533 жыл бұрын
Very impressive story
@celineaziri97732 жыл бұрын
Ndugu yangu Ulimuona Mungu kwaukweli,usiwahi kusahau matendo yake juu ya uhai wako kamwe🤔🙏
@shauriedward52563 жыл бұрын
Du jamaa namjua vizuri ni mtu wa kupambana Sana Ila tulipotezana tangu miaka ya 1997
@amnebakari53953 жыл бұрын
AISEE KAKA POLE SANA, NA ULITAKIWA UWE MUADHINI WA MSIKITI SHUKRANI KWA ALLAH .
@josephmwabange96335 ай бұрын
Da noma sana aise , huyu anatakiwa kuwa mwanajeshi na aende marine
@FatmaAbdulhalim3 ай бұрын
Pole sana hurumayang kukaabaharini daah
@nginirasaire58763 жыл бұрын
Umemuonea mwanao kumpa jina la meli katili iliyokutosa 😂😂