Kazi za mahakama Tanzania hii ni kunyanyasa wanyonge na kuwadhurumu haki zao
@FatumaMomboАй бұрын
Jamani jamani makonda kweli kunasababu yawewe kuwa Arusha
@hassanmwallimu5767Ай бұрын
Hapo vipi watu wa haki za binadamu na UWT
@halimamasai2234Ай бұрын
Hebu tusubiri watasema nini maana wao wapo wapo tu. Halafu wanamlaumu Makonda
@boyfromtansania7788Ай бұрын
Hapo wanafyataga mikia
@OCTAVIANSINZOАй бұрын
🤣🤣
@anamsaid861016 күн бұрын
Hapo hawaoni
@Goldenbutterfly-hk1hpАй бұрын
Yule mama wankumtuhumu makonda kumamayo hebu alete mkundu wake hapa asikilize haya maumivu alaf anaongea ukuma mayo tu uko....Makonda baba piga kazi
@AminaRamadhani-gx8yrАй бұрын
Kama alikua ajabakwa docter alitoa dozi ya dawa y akutibu nini, hii nchi uonevu kwa wanyonge umezidi
@user-ml3zf7mw1yАй бұрын
Kuna mbunge mwanamke aliomba ipitishwe sheria Lola mwanaume atakae baimika na kosa la ubakaji AHASIWE
@robertzamani5612Ай бұрын
Hivi hawa mahakimu hata huruma hawana jamani kweli mtt amebakwa hakimu unampa ushindi mbakaji huyu hakimu wa hii kesi ajitafakari
@user-ry8xf1no2sАй бұрын
IPO siku mueshimiwa Samia suluhuhasani laisi wangu mpendwa Atakuchagua kuwa wazili mkuuu Dua ninalo liomba kila siku Uje utusaide watanzania Unauwezo mkubwa sana Alha amekupa kuwa kiongozi
@benjaminmollel339319 күн бұрын
Your comment very touching my heart 🤔
@Mgema001Ай бұрын
Ukichukua mabaya ya MAKONDA wanayosema halafu ukalinganisha na mazuri yake utakuja kugundua mazuri ni kitita kuliko mabaya, huyu ni mwanga unaomurika kwenye Giza Nene...big up MAKONDA
@dicksonjonas1799Ай бұрын
Umesema point ndugu
@FatmaLyegoАй бұрын
Amina kubwa sana
@user-qc9ph9he7u6 күн бұрын
Umeongea point ubarikiwe
@user-ry8xf1no2sАй бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akuongoze awatoweza kukufanya chocolate ulinzi mkubwa Alha ata kulinda inshallah
@naligiatomaso5006Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭 Subha Allah subhaallah subhaallah 😭😭😭
@valenakomba7686Ай бұрын
Kwa kweli, Hao ndo wanasheria wa Tanzania. Wanauza mpaka haki za watoto.
@DominicaShioАй бұрын
Rais Samia suluhu hassani hoyeeeeeeee we ni suluhu kweli tusaidie hivyohivyo kwa hili jembe asante
@dicksonjonas1799Ай бұрын
Mungu azidi kukulinda mh Mkuu wa mkoa,,piga kaz na MUNGU yu pamoja na wew,,wananch wengi wanaonewa kwa kukosa pa kusemea,,wew ndomtetezi wa wanyonge mkuu.
@JoalAlma-ci1hiАй бұрын
Mueshimiwa toka sikuyakwanza nimekuwa nikukupenda saan unakutan na vitu vigumu saan but this one is toomuch.tafazali mueshimiwa kama nikweli uyu muusika naisi anstaili kuuwawa kabisa nina mtoto binti kama uyu tafazali simama juuyahili
@KhmsNsrАй бұрын
DAH! KUNA WAKATI MAKONDA ANASHINDWA HATA AAMUE KESI VIPI MANA ANAKUTANA NA MAKUBWA KWELI. DAH! MUNGU AKUPE NGUVU KWELI MAKONDA.
@dicksonjonas1799Ай бұрын
Dah kabisaa yaan ndugu yangu
@user-ew7xd1xu3s4 күн бұрын
Yani namuona magufuli ndani yamakonda kwer
@aderanderwa7623Ай бұрын
MUNGU tunaomba REHEMA ZAKO
@tanzalandtv3311Ай бұрын
YUDABULIYUTI ... UWT mko wapo na wale wa haki za binadamu
@NasraAlMarjabiАй бұрын
Uchungu Saana Tanzania Mtu Akiiba kitu kidogo Anachomwa moto mbakaji Anaachwa Uchungu Saana
@user-mr3qg9iq5kАй бұрын
😢😢 inauma sana jiran yangu hapa kaiba jana kitu kidogo kachomwa moto kafa lakin Mapepo yapo yanaish
@chantalharakandi2576Ай бұрын
Inasikitisha sanaaa Allah atamlipia uyo mtoto na bibi yake
@Zainab_salatАй бұрын
Wanaume acheni kuaribu watoto jamani
@ndeenengomselle1267Ай бұрын
Gombea UBUNGE Arusha uchukue asubuhi mapema ukawe wazuri mkuu....Mungu akutangulie sana kaka....hampo wengi duniani hivyo usiogope vita
@FredrickEdsonАй бұрын
Usimponze ndio kilicho mkuta dar alikuwa mkuu wa mkoa tulimpenda akataka ubunge wanakigamboni tukafurahi tutampata akafanyiwa figisu
@user-ml3zf7mw1yАй бұрын
Mko wapi HAKI ZA BINADAMU NA UWT JE HAMJASIKIA HILI AU TENGERU HAWAPO UWT?
@topfreelancer5151Ай бұрын
Tuwaongezee sauti hawasikii labda
@ndeenengomselle1267Ай бұрын
Mungu awalaani wote wanaopindisha haki za wanyonge
@CatherineMbattaАй бұрын
Amen walaaaaniwe wote wanaopindisha kesi kwa makusudi
@NeemaMmary-kl7noАй бұрын
Jaman atokee na kwetu moshi makonda
@respiciusndyanabo366Ай бұрын
Nakukubali sana Msh Makonda
@user-cp2do9pd5kАй бұрын
Kweli tuanze upya
@smartonlinetv5144Ай бұрын
Why wamuanzishie dawa za kuzuia maambukizi huku akubakwa? Hapo daktari pia anahusika akatoe maelezo vzr bila shaka naye alipewa hongo
@JaneCharles-ru1tz8 күн бұрын
Makonda una baya mungu akulinde uishimiaka mingi kama nambaza vocha
@FatmaLyegoАй бұрын
Mungu akutunze makonda wasije wakakuua kama Magu
@LoshilaaMollel-qh5pbАй бұрын
Jamani binadam tumekuwa wanyama Sana lakini haya yote yanachangiwa na police.kwanini wamuchie mtuumiwa? Makonda msaidie huyo mama
@AdelaFungo18 күн бұрын
Makonda mungu akupe maisha malefu kwa jinsi unavo saidia wanachi
@nkidakisenga900420 күн бұрын
Namuomba Mungu siku moja uchukue fom ya urais
@rachelkihaka920425 күн бұрын
Makonda Mungu akusimamie sana toka alivyotuacha mh. Magufuli nilitamani Mungu angekuinua wewe uwe raisi ila haikuwezekana ila itawezekana tu
@user-tm4bl5tg3t2 күн бұрын
Dah😭😭😭😭mungu atusaidie sisi wenye watoto wa kike😭😭😭🙌🏽💔
@yasminoluoch169Ай бұрын
Nyie kubakwa kunauma wallah 😢😢 mm mpaka leo sijapona akili my uncle na alijaribu tu kunibaka sasa what about her hii ni tatizo kubwa kwa mtoto watu wana roho za unyama hawana huruma hawa wakubaka niwakuuliwa tu....
@jaymwinyi6957Ай бұрын
So painful waallahi 😭😭😭daah Allah atustiri na vizazi vyetu jmni
@user-mn2et2pf6zАй бұрын
Hapana jamani.hakimu alie jukumu kesi hiyo anapaswa achunguzwe.kwa sababu ushahidi wa dakitari ndo ushahidi tosha.
@dennishyera5448Ай бұрын
ye hautaki ushahidi huo anataka Wa mtuhumiwa. Itapendeza Huyo hakimu afuatiliwe kisha atimuliwe kazi
@richkaja3317Ай бұрын
Makonda omba mungu upate uraisi unafaaa sanaa hauna huruma
@timothbenard8213Ай бұрын
Duuh sasa hivi nchi yetu mungu aingilie kat coz saizi watoto wetu wanatendewa vtu vya hovyo na wabaya hawafanywi chochote wananguvu kuliko serilali
@NasraAlMarjabiАй бұрын
Haki Iko Wapi 😭😭😭😭
@neemamwocha2113Ай бұрын
Wanaume mtatuua, jamani ,,ona huyu mama anavyopumua kwa presha,,
@bcozhenry2698Ай бұрын
Una uhakika aliyehukumu kesi ni mwanaume? Una uhakika mahakimu wa kike hawagandamizi haki za wanyonge?
@HadijaGorge8 күн бұрын
Mungu wangu duu inauma
@pyelesyamwakatika540Ай бұрын
Nakupenda Makonda Mungu akutunze baba
@MonguMagege15 күн бұрын
Weka ndan miaka miamoja jera uyo
@dennishyera5448Ай бұрын
Huo ndio uhalisia, Tunashukuru viongozi mnapo y'a skia haya. Uonevu kwa wanyonge ni mkubwa Sana. Waovu hulindwa. Ukimshitaki mwenye pesa and uwezo WA kukugeuzia Kes we mwenyewe. Mungu tusaidie akina Makonda waongezeke.
@EsterLameck-fc1reАй бұрын
Makonda baba mungu akutunze huna baya❤
@abdallahassan6378Ай бұрын
Mb zangu hua zinamalizwa na Makonda , namkubali sn
@user-el6ev9dt5kАй бұрын
Muheshimiwa makonda fanya uchunguzi haki ya mtoto ipatikane, lkn pia mtoto kubakwa nyumba na mbele halafu aweze kukimbia mpaka kwa bibi kutoa taarifa ni ngumu, labda kama sio mara ya kwanza
@lightnessgilliard370327 күн бұрын
Ninashauri mkuu wa mkoa kuwa na Afsa ustawi ambae atakua na help desks kila anapokwenda na hii daima sio sawa
@MariamMmary-yn9nu15 күн бұрын
Hivi hawa watu hawana utu wamekosa hata madada poa huko mtaani wapo wengi hvyo c wawanunue huko waache watoto wadogo hvyo jaman Allah awalaani sana hawa watu mlaaniwee kabisa msiwai furahia haya maisha kabisa mfeee
@nkidakisenga900420 күн бұрын
Njoo na simiyu utuogoze makonda
@selemaniabdallah262128 күн бұрын
Haya wale mbuzi wa haki za binadamu wako wapi Sasa mbona na hili hawasemi makonda piga KAZI baba
@mwanduelizabeth2282Ай бұрын
😭😭😭Mungu Linda watoto wetu maana umesema watoto wote watafundishwa na wewe.
@user-ew3zj8ig4nАй бұрын
Mtihan wallah 😢😢😢huyo kaka hatalaniwa huyo jamaaa
@jacobmakono4399Ай бұрын
Makonda hapo umenichefua!Yesu Kristo akisema kitu ndo itakuwa hivyo hivyo .mambo yote yatapita lkn neno litasimama!Uf 21:8..waongo .. sehemu yao ni ktk ziwa la moto!!Heri wafu wafao ktk Bwana tangu Sasa wapate kupumnzika..leo hii utakuwa pamoja nami peponi!!..
@user-gx4vx5ru2uАй бұрын
Wanaume wanaume mnachotafuta ni nin kwa vichanga? Mtakufa wote nyie kwa laana
@user-xn8jh1yw1hАй бұрын
Watu wafanye kazi wapate pesa halali wasidanganywe kuwabaka Watoto. Huyo mbakaji apewe kibano cha kutosha.
@lightnessgilliard370327 күн бұрын
Ninafikiri Kuna namna tunapaswa kusikiliza matatizo ya jamii na wala sio kwa kuwadhalilisha zaidi. Ni mawazo yangu tuu lakini waziri muhusika unaweza tupa muongozo hapa
@HemediNgasakwaАй бұрын
Mtu atakayesema makonda mbaya tutagombana breather makonda mm ajuwa hujawahi niona ila nirafkiako nasema mbele za mungu tupoge job
@rosehillary874229 күн бұрын
Muueni huyo mbakaji Muueni tu
@hellenjonson521015 күн бұрын
Usiache kugombea urais
@Shafikimanga7Ай бұрын
Mungu tuhurumie
@user-do6ep2md2dАй бұрын
Kweli hii ndunia inamungu
@mrmirrowmrmirrowАй бұрын
Makonda asanter baba
@LovelyBrain-wz7siАй бұрын
Chatanda uko wapi? Jitokeze Sasa wamama wanadhalilishwa au wewe unatetea Wala rushwa
@user-zt4rd5pr1eАй бұрын
Anasagwa yule mama, tena hana akili kabsa Kaz kumpinga mkonda tyu eb tuone nahili kama atasem jambo
@user-kq9lb7bd8lАй бұрын
jamani arusha kunamatukiwo sana
@michaellomanus5121Ай бұрын
Chatanda yuko wapi????
@user-ur8cq1ye3bАй бұрын
Nyie mnaokaa maakamani mnaakili kweli au
@rukiyyarukiyya6317Ай бұрын
Dubiani hakuna haki
@johnjoel5012Ай бұрын
Shasema mahakama za Tanzania ni rushwa ni uhozo no haki.
@MtegekiKaijageАй бұрын
Mahakimu wengi nchi hiii ni wa ovyo sijawahi kuonaa
@SILASSAYON-rb4ppАй бұрын
Haki za binadam na mnadakiwa kudili na hao sio kudili na makonda
@user-jb1fi5iq8g28 күн бұрын
😢😢😢
@sarahgaula2220Ай бұрын
Hizi ndio mahakama zetu bwana . Mtu anaishi na mume miaka 12 mahakama inasema imejiridhisha hawajawahi kuchuma Mali yeyote😂
@RamadhanOmar-do5of11 күн бұрын
Anashangaz
@user-ty2kc5jy7sАй бұрын
Aisee mm ntamuua mtu mchana kweupeeeeee walah
@WansolaLuther-tq8qmАй бұрын
Hata mimi
@muzneali4747Ай бұрын
UMOJA WA WANAWAKE KIMYA
@user-zt4rd5pr1eАй бұрын
Waendelee kusema tena makonda anazalilisha wanawake
@user-pe8wh5bw2hАй бұрын
Jmn jmn
@danyhance5679Ай бұрын
Hapa issue ni kukata rufaa na kesi isimamiwe na serikali ya mkoa, ila kuanza upya sidhani kama itakua sahihi kisheria, itaonekana kuna taratibu zimekiukwa na watapata Technical Knockout.
@Mgema001Ай бұрын
Samahani mzee hivi kumbe kukata rufaa sio kuanza kesi upya
@jacobmakono4399Ай бұрын
Yes!as long as room ya rufaa ipo basi hiyo ndo nafasi!
@anamsaid861016 күн бұрын
Rais alisema anakupeleka Arusha kwa kazi maalum. Kama kazi yenyewe ndio hii basi dumu katika kazi Allah mtukufu akupe nguvu na busara