USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 2)~Shehe Omary Mnyeshani

  Рет қаралды 34,562

PROMOVER TV

PROMOVER TV

4 жыл бұрын

Karibu katika sehemu ya pili ya ushuhuda wa aliyekuwa shehe,Omary Mnyeshani.Ushuhuda bado unaendelea fatilia mwendelezo.

Пікірлер: 67
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Jamani tuwaombee watoto wetu maana ulimwengu wa Roho una mambo ya kutisha asante kwa ushuhuda wako barikiwa
@theresiansumba4754
@theresiansumba4754 7 күн бұрын
00
@RajabKAMIS
@RajabKAMIS 4 жыл бұрын
Usiwe na waswasi kwa sababu ya wasiokuelewa katika pande zote. Mungu wa kweli ni tofauti sana na tunavojuwa. Hata Saul hakuwahigi kujuwa kama Mungu wa Kweli atamtumiya. Kwa hiyo usijali watu wanavofikiri kuhusu wewe, kama ni watu wa Mungu wa Kweli watakuelewa mwishoni. Napongeza sana ujasiri wako Omari. Hayo yote ni mipango ya Mungu wa Kweli. Upitiye uzimuni kabla ya kuokoka ili uweze kutowa mafunzo rasmi kwa wana wa Mungu wa Kweli. Ni kweli kuwa katika mazehebu mengi bado kuna wajinga wengi tu wenye elimu ndogo katika kutambuwa mambo ya Mungu wa Kweli. Mungu wa Kweli ni tofauti. Halleluya!!
@GraceCosmas-wq6eg
@GraceCosmas-wq6eg 3 ай бұрын
Hakika yupo mungu wa kwel
@phineruge3480
@phineruge3480 4 жыл бұрын
Ahsante sn kwa ushuhuda, Kweli Uchawi upo!!
@user-pr6nl7bo4w
@user-pr6nl7bo4w 3 ай бұрын
Mungunimwema,upohai,kaka,niliupata,ushuhudahuu,kwenye,radio,wapo,ukiwanakundi,lawokovu,lamchungaji,simbaulanga,kule,dareslaam,mabibo,nimefurahi,sanakukuona,Yesu,atakulinda,wapeushuhudawote,iliwachague,njia,iliyosahihi,nikumkiri,Yesu,kuwandionjiayakweli,nauzima
@elizabethamon7454
@elizabethamon7454 2 жыл бұрын
Acheni asimulie alichokutana nacho kwenye maisha yake azungumzii dini apa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Watu wanaumia saana hawataki kuwa exposed
@emylyanzile8262
@emylyanzile8262 4 жыл бұрын
Watu acheni uchawi na uganga
@barakampunga8121
@barakampunga8121 2 ай бұрын
Nyinyi waislamu Dina yenu ni majin tu Mungu mnamshirikisha ty
@user-ii4jc3wo4i
@user-ii4jc3wo4i 4 жыл бұрын
Barikiwa napata ufahamu jinsi ulimwengu wa giza unavyo fanya kazi tupe part 3
@nthal-x7y
@nthal-x7y 6 ай бұрын
Yesu Kristo anatisha,bj
@nyingos
@nyingos 2 жыл бұрын
Watu wanatisha sana hakika.
@emylyanzile8262
@emylyanzile8262 4 жыл бұрын
Kumbe usafiri wa ungo muzuri,lakini kumbuka huwezi kuingia mbinguni siku ya Mwisho,by fly
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Alishaacha
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 2 жыл бұрын
Yesu nimuweza
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 2 жыл бұрын
Amen
@ajh9106
@ajh9106 Жыл бұрын
Asante kwa ushuuda
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Safi hapa uliunganisha vizuri
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 жыл бұрын
God bless you 🙏
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 жыл бұрын
Ameen
@NaomiMakori
@NaomiMakori 9 ай бұрын
😅Asante mungu kwa wakenya maana sisi atujuani na mambo ya kichawi sana
@franciswafula4521
@franciswafula4521 7 ай бұрын
kenya tumemaliza nguvu za uchawi huku..yesu anatawala
@navokisembo
@navokisembo 4 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi Jactan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 жыл бұрын
Ameen
@matataiboston7667
@matataiboston7667 4 жыл бұрын
Kafundishe hadharani usiwafanye wajinga wanao kusikiliza
@emylyanzile8262
@emylyanzile8262 4 жыл бұрын
@@PromovertvTz uko WAP best?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 жыл бұрын
@@emylyanzile8262 Nipo Mwanza rafiki
@emylyanzile8262
@emylyanzile8262 4 жыл бұрын
Basi Sawa
@ramadhangona9085
@ramadhangona9085 4 жыл бұрын
Nikama huu shuhuda niliusikia pale kwa Gwajima lakini hakufikia kueleza ni vipi aliachana na uchawi
@royjuma2851
@royjuma2851 4 жыл бұрын
kweli zimefanana sana.
@cyrusmusembi3283
@cyrusmusembi3283 Жыл бұрын
Aposawa ukweli
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 4 жыл бұрын
daaaaaaaaaaah
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 6 ай бұрын
Mpaka mtumie uongo kutangaza ukristo mm nilitegemea mtatoa maandiko kumbe alikua mchawi😂😂😂😂😂
@NduguEzekiel
@NduguEzekiel Жыл бұрын
Huu ndio uislamu sasa yaan ushetani wazi wazi tuwaombee ndugu zetu jamani...
@mwendwa444
@mwendwa444 4 жыл бұрын
Wapi part 3
@glorymiko4864
@glorymiko4864 4 жыл бұрын
Kila movie inamwisho wake.
@zanaalrijbi3783
@zanaalrijbi3783 4 жыл бұрын
@@glorymiko4864 😭😭KUMBUKENI SIKU YA QIYAMA KUNA HESABU .......NA WEWE USIJIITE KUWA ULIKUWA MUISLAM MAANA UISLAM UNAPINGA UCHAWI MAANA ULIKUWA UNAMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU NA MAMBO MENGINE 😭HASBIYALLAHU WANEEMA L WAKIL ..... NINAKUOMBEA MWENYEZI MUNGU AKURUDISHE KATIKA NJIA YA HAQI KABLA HAKIJAKUFIKIA UMAUT ........
@lusekelomwinsasu318
@lusekelomwinsasu318 4 жыл бұрын
@@zanaalrijbi3783 uyo alikuwa sio mwislamu ila wewe ndo mwislamu saana hautaki uganga uslamu uongo wa nini wakina shehe sharif majini siyo waislamu na siyo waganga je ambao wanatangaza mitaani kuwa wanapandikiza majini wema na pete za majini siyo waislamu ila wewe ndo mwislamu hakuna kifungu ambacho kinakataza uganga ktk uislamu na je albadili ni kitabu cha wakristo ee
@user-lb1nb2ls9g
@user-lb1nb2ls9g 18 күн бұрын
Dini ya shetani na majini yake.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Huu ushuhuda kama wa mtu aliyewahi kwenda visiwa vya comorro niliwahiwa kusikia sehemu sikumbuki ni wapi??
@iam_bunei
@iam_bunei Жыл бұрын
story za jaba
@maulidalyaaamiin46
@maulidalyaaamiin46 2 жыл бұрын
Maisha ukristo hautobaki kuwa dini ya kweli.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Pole Ukristo ni ufuasi siyo dini,Usichanganye Yesu na Dini
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Ukiwa Mkristo umemfuata Kristo aliyehai haujawa na dini na hautokiwa na dini kamwe,Usidhanganye Dini na roho zete,Tunamchanganya Yesu na Roho zeetu tui
@maulidalyaaamiin46
@maulidalyaaamiin46 2 жыл бұрын
Quran imesema kwamba yeyote ambaye atakufa hali ya kuwa ni mkristo ataingia motoni milele jee ni wapi bibilia imetaja kua mkristo ataenda peponi
@maulidalyaaamiin46
@maulidalyaaamiin46 2 жыл бұрын
Yani wakristo hawatofautian na wahind wanaoabudia masanamu Munasema kwamba ety yesu ni Mungu kama Mungu niwakuonekana angejionesha tokea mwanzo wa dunia ili aweze kuwakomboa waja wake wa mwanzo
@piustbosco.mwereria5193
@piustbosco.mwereria5193 4 жыл бұрын
Shehe
@mussaabobakar7537
@mussaabobakar7537 4 жыл бұрын
Ehe endelen kutuga pat 3
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Was tahila anatunga???ndo yanayoendelea huko kwenu na mbaya zaid mmejiingza kwa wakristo Hawa wanaojiita mitume mnawapa hzo nguvu zenu lkn ashukuliwe mungu na mwanae wapekee mambi hadhalani
@maulidalyaaamiin46
@maulidalyaaamiin46 2 жыл бұрын
Na nyinyi maisha yenu mshazoea kudanganywa mnaenda kanisani uchi kukata viuno ety ndo ibada zenu hizo ety ndo dini ya Mungu hiyo mbona ktk picha zenu zinazomuonesha Mariam mama yake yesu hamumvalishi kimini kama mnavovaa nyinyi.
@emylyanzile8262
@emylyanzile8262 4 жыл бұрын
Napenda sana usafiri wa aina hiyo ya fimbo
@joycekaphevemba7215
@joycekaphevemba7215 2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@hamisimuhammad6225
@hamisimuhammad6225 2 жыл бұрын
Nanyny wakristo mnahongopewa hapo mh
@hamisimuhammad6225
@hamisimuhammad6225 2 жыл бұрын
Mpuuzi tu huyu
@ashuraniyonzima5214
@ashuraniyonzima5214 4 жыл бұрын
Balikuwa sana lakini jama umeamuwa kumufwata Yesu kwanini unabaki kujitambulisha jina la shekh ?namavazi hayo kwanini?
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Hayo majna ni lugha tu, km lugha zngne, na haya ni mavaz tu km mavaz mengne mfano kwetu bukoba kanzu ni vaz la heshma sana
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 жыл бұрын
Mavazi na majina ni tamaduni na asili tu, havihusiani na dini japo wengi huamini hivyo
@fatumamohamed8203
@fatumamohamed8203 3 жыл бұрын
Biashara zako na Hiyo mitungo yako Itasimama na ww mbele ya Allah, c makosa yako ni Huo uchawi ulio kujaa bado Akilini na Hao wachawi ndio wanao jifanya Mashekhe na kujifanya Ma Ustadh ili kuharibia jina na Uislamu, HASBUNLLAH WA NEEMAL WAKIIL, Naamini tu Allah na mtume wake na siamini chochote unachosema, Allah tu ndie atakae kuhukumu, na kukuongoza wewe.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Mbona povu🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉 we taila nn, ongea mpk kichina au kipalestina usiongee kialabu tu, mambo yenu yako wazi Sasa hv toka huko kwa uislam acha ubshi yesu ni mwokozi na bwana wa mabwana mtume wenu yuko chini ya YESUKRISTO kataa ukubali, anasubr sku ya mwisho kufufuliwa na kupelekwa motoni nawale wataokua bado wamekomalia kwake njo kwa yesu mnaumbuka vibaya
@paulagola919
@paulagola919 3 жыл бұрын
Allah si ndiye anayemwongoza anayependa kumwongoza na kutomwongoza anayependa kutomwongoza...si shetani huyo kwa maana utakuwa unajiona umeshika dini kumbe ikifika tu karibu uingie peponi anakuja malaika mwenye hatima yako anakuambia ww ulikuwa umeandikiwa motoni 🤣🤣
@da-beebeztzhb9351
@da-beebeztzhb9351 2 жыл бұрын
We ujasoma dini fatuma Mohamed tulia hyo dini ndo ilivyo ww
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Si bora yeye aje asimame mbele za haki??
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@Chiemcee Izzy tena nzuri saana ilimuondoa gizani sasa yuko nuruni,Tengeneza yako uende Promover tukusikilize
USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part-3)~Shehe Omary Mnyeshani
30:50
PROMOVER TV
Рет қаралды 21 М.
JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI
40:59
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 85 МЛН
Ushuhuda wa aliyekua muislamu.
28:57
END TIME LOUDCRY TV
Рет қаралды 243 М.
PART 6 STUDIO ZA KUZIMU USHUHUDA WA KENZO ATSUSHI
18:47
SHUHUDA ZA KWELI
Рет қаралды 5 М.
Dr Paul Hussein Mubarak 2
1:05:15
Membo Zamoka
Рет қаралды 62 М.
Part 1_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA
46:48
USHUHUDA WA ALIYEKUWA SHEHE - OMARY MNYESHANI 4/4 - bonyeza SUBSCRIBE
31:47
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 122 М.