Jaji Warioba afungukia sakata la Dkt. Bashiru na CCM

  Рет қаралды 63,003

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 281
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 жыл бұрын
Huyu mzee Mungu amuongezee miaka zaidi
@chescoxzavery7595
@chescoxzavery7595 2 жыл бұрын
Huyu Mzee amezeeka na Ubora wake lkn vijana bado tuna kuwa underdog
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 2 жыл бұрын
Excellent Mzee Warioba,nchi hii hususan chama chetu CCM kimeanza kupoteza kabisa mwelekeo kwa kujaza wapambe kila kona. Kujipendekeza,kumtukuza kama siyo kumwabudu RAIS hata kama hapendi,sasa ndiyo imekuwa jadi yetu . CCM inakufa kimya kimya, na viongozi wetu wamekuwa waoga kiasi cha kumfanya Rais kuwa kama Mungu na yeyote ,asiyependa kuwa chawa , anaonekana mhaini anayestahili kunyongwa. Ahsante kwa msimamo Mzee wetu,
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
Bashiru anasemwa kwa kuwa wao enzi zake na Jiwe walikuwa na kikundi cha 'wasiojulikana' ambacho kazi yake ilikuwa ukikosoa tu unapotezwa. Bashiru anavuna alichopanda, wao ndiyo waanzilishi wa mambo ya kisifia na kuabudu.
@christinainnocent3240
@christinainnocent3240 2 жыл бұрын
Sawa kabisa akina Bashiru wakiongozwa na Rais awamubu ya tano ndio chanzo cha kuharibu CCM kuua na kutisha maisha ya watu
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 2 жыл бұрын
@@christinainnocent3240 Hakuna mtu anayeweza kuiharibu CCM. Kama ingekuwa yupo, ingekua imeshaharibika zamani. CCM inaweza tu kujiharibu yenyewe.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 Nadhani wengi hawakumuelewa vizuri Dr. Bashiru, hajakataza kusifiwa Rais kwa anaeona kafanyiwa jambo jema na Rais hata yeye binafsi ananshukuru kwa kumteuwa kuwa Mbunge LAKINI hiyo sio sababu kwamba ambao changamoto zao hazijatatuliwa kama Wakulima wapaze sauti zao, ukizingatia kwamba aliozungumza nao ni Wakulima wenye changamoto. Sasa tulitegemea Dr. Bashiru awaambie nini. Mwenye hoja ajibu hoja.
@matukutajuma156
@matukutajuma156 2 жыл бұрын
MIMI NAAMINI NA NNAWEZA KU APA MH RAIS HAPENDI KUTUKUZWA NI MSTAARABU SANA! HAPENDI KUPITA KIASI KWA CHOCHOTE! LAKINI HAKUNA JINSI YA KUZUWIA MIHEMKO! HUYU RAIS YUPO VIZURI TU SANA MTAJAMKUMBUKA
@danielmwashiuya5863
@danielmwashiuya5863 2 жыл бұрын
Safi sana mzee warioba Kwa kuzungumza Kwa mizani sawa
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 2 жыл бұрын
Hekima kubwa sana mzee Warioba. Si halali watu kumshambulia mtu badala ya kushughulikia tatizo aliloliibua
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 жыл бұрын
Safi Sana warioba kwa hilo🙏🙏🙏
@sudymgeni701
@sudymgeni701 2 жыл бұрын
Sawa sawa Babu nimekuelewa sana sana.yani uko wako wazi
@makoja12
@makoja12 2 жыл бұрын
Kila penye wazee, kuna hekima kubwa sana. Kazi nzuri ya Mzee Jaji Warioba, hakika mzee huyu ameonyesha ukomavu wa Siasa katika taifa hili. Hongera kwa hili 'limedhika
@mathiasulaiti5665
@mathiasulaiti5665 2 жыл бұрын
wazee wengi wameamua kukaa kimyaa.
@ibel4lf
@ibel4lf 2 жыл бұрын
Jaji Warioba una nafasi yako mbinguni nimezidi kukupenda Baba now lets go for katiba mpyaa
@kapesaemmanuel2422
@kapesaemmanuel2422 2 жыл бұрын
Yanahusiana nini na mbinguni kwani ka mmfania Mungu nini hasa umuusihe Mungu na siasa
@ibel4lf
@ibel4lf 2 жыл бұрын
@@kapesaemmanuel2422 sasa hutaki?! Na hii comment nayo imekutoa povu ! acha makasiriko mimi kumtakia mbingu Jaji mstaafu ni kosa! Hata wewe @kapesa Emmanuel una nafasi yako mbinguni
@kapesaemmanuel2422
@kapesaemmanuel2422 2 жыл бұрын
Ndg hujanielewa mi nimekuuliza nilipo ambacho warioba ameongea kilicho mfurahisha Mungu mpaka Mungu ampe nafasi mbinguni Mungu na siasa inakuwaje . Yesu anasema ya Mungu ampe Mungu Ya kaisari mwachie kaisari
@ibel4lf
@ibel4lf 2 жыл бұрын
@@kapesaemmanuel2422 unanilazimisha nisikuelewe ili hali nimekuelewa ila nikaamua kukujibu nilichokujibu refer to the first answer hata wewe utakuwa na nafasi mbinguni cheers
@kapesaemmanuel2422
@kapesaemmanuel2422 2 жыл бұрын
Asante kama umenielewa Mungu alibariki mpendwa ninchoamini hata wewe unanafac yako mbinguni ila pale utakapo tanda mema yampe dezayo Mungu ktk jambo lenye kuleta wajibu.
@ruwaidamabrouk1797
@ruwaidamabrouk1797 2 жыл бұрын
Mzeee wangu umeniwakilisha vyema katika kuongea yani umeongea kama ulikwepo akilini mwangu daaa nakupenda sana mzee wangu
@ellymakongo656
@ellymakongo656 2 жыл бұрын
Yaani mzee amewaza kama mimi. Akili kubwa hii.
@hassanifumu4059
@hassanifumu4059 2 жыл бұрын
Wazee wanabusara zao bwana
@simonnyambuka8275
@simonnyambuka8275 2 жыл бұрын
Huyu Mzee ni zao la Nyerere ni hazina iliyobakia kwa Taifa kwa Sasa hawezi kuona mambo hayaendi sawa akanyamaza
@ruwaidamabrouk1797
@ruwaidamabrouk1797 2 жыл бұрын
@@simonnyambuka8275 kweli aseee
@ruwaidamabrouk1797
@ruwaidamabrouk1797 2 жыл бұрын
@@ellymakongo656 namkubali sio Mzee wa mapambio
@dicksonsheja251
@dicksonsheja251 2 жыл бұрын
Safi sana mzee ukweli humuweka mtu huru.
@msafirimatingo6065
@msafirimatingo6065 2 жыл бұрын
Asnt mzee watakuwa wamekuelewa vzr hao viongoz wanaobweka bila kuelewa hoja ya Bashiru, Bashiru yuko vizr sn.
@mosesmacha1080
@mosesmacha1080 2 жыл бұрын
Safi Sana Mzee kumbe waliondoa kifungu cha wananchi kumwajibisha Mbunge halafu wamejipa mamlaka ya kumfukuza Mbunge wao
@mathiaschoma4423
@mathiaschoma4423 2 жыл бұрын
Hakika mzee, hoja hupanguliwa kwa hoja
@josephtemu2633
@josephtemu2633 2 жыл бұрын
Kweli mzee warioba mungu akujalie hekima uendelee na hekima kama hizo
@husseinkassimu2714
@husseinkassimu2714 2 жыл бұрын
Hivi kati yakupaza sauti halafu hakuna maamuzi yoyote yanayochukuliwa nakuto paza sauti halafu maamuzi yanachuliwa ipi imekaa sawa?
@johnsonbernald11
@johnsonbernald11 2 жыл бұрын
Mzee wangu babu yangu nimekuelewa sana, sina neno zaidi yakusema mungu akulinde katika maisha yako yote
@josephrutta6834
@josephrutta6834 2 жыл бұрын
Asante sana Mzee wetu. Wanasiasa wachumia tumbo wanakimbilia vyeo na UCHAMA bila kujali hoja ya mwenzao. Kwenye hili titawajua WAHUNI wengi tu. Asante sana Dr. Bashiru kwa kuchokoza mada ili tujue wanaotuangusha kwa kumdanganya RAIS.Mwenye akili timamu na uzalendo anakuelewa sana wewe na Bashiru, wengine WARAMBA ASALI TU.
@kiatu
@kiatu 2 жыл бұрын
Ahsante sana mstaafu, unasimama kwenye ukweli na facts. Tatizo pia lipo upande wa viongozi wetu wakuu. Hivi hawaoni kwamba wanakebehiwa. Kwa sababu hao wanaosifia sana ndio wizara zao ama idara zao zinafanya madudu au hawana la kuonyesha.
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 2 жыл бұрын
Haya ndio mawazo mazuri ya uzalendo.
@gabrielmnozya8881
@gabrielmnozya8881 2 жыл бұрын
Hongera sana Mzee Warioba umeongea ukweli mtupu
@mathewkolobe7798
@mathewkolobe7798 2 жыл бұрын
Well done legend
@mkudesimba9518
@mkudesimba9518 2 жыл бұрын
Mzee mungu akuweke ! Hata narejeni julias kambarage alihusia bilo swala la wakulima juu ya viongozi watakaopewa nyadhifa za uongozi ! Kwa wakulima Bado Wana Hali ngumu Sana ! Hasa jembe hili la mkono ni changamoto ! Bashiru katerega wanyonge na wamemuelewa ! Tunakuomba mzee warioba tunika hekima zako na busara juu ya hili sakata !
@bakuzasimon6193
@bakuzasimon6193 2 жыл бұрын
Umetimiza wajibu wako mzee wetu hekima yako, na uzalendo unadhihirsha umuhimu wako. Mungu akutunze mzee wetu
@mathiasmageni8568
@mathiasmageni8568 2 жыл бұрын
Magufuli alisifiwa na wananchi wenyewe bila kulipwa posho na mishahara lakn huyu anasifiwa na kuimbiwa mapambio na watu wanaolipwa posho na mishahara.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 жыл бұрын
Kweli kabisa na hapo ndio kuna siri kubwa Magu alisifiwa na walemavu, masikini, wajane, waze, machinga, mama lishe ila kwa sasa mama anasifiwa kwanza na Wazungu, Makampuni, Matajiri yani kwa kifupi watu wa matawi
@augustuss4503
@augustuss4503 2 жыл бұрын
Ukiona Wazungu na Makampuni Makubwa wanasifia Rais yoyote yule ujue hapo hamna kitu. Kwa ufupi Nchi inakua imeuzwa.
@shukurukwake7447
@shukurukwake7447 2 жыл бұрын
Asantee Sana mzee warioba Tatizo baadhi wamekua machawa wa Rais hasa wanao kula kupitia mgongo wake mbona hakuna mwanachi yeyote wa kawaida anae sema Bashiru kakosea ni wao tu
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 2 жыл бұрын
Salutee kwako mzee na babu yetu
@mshumbusideogratias9567
@mshumbusideogratias9567 2 жыл бұрын
Safi sana mzee
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 жыл бұрын
Hongera sana mzee Walioba, uko sahihi sana. Uzee dawa, na mwenyezi MUNGU akubariki sana.
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 2 жыл бұрын
Wazee kama nyie munatakiwa kumushauri Raisi
@sakuranitillya6088
@sakuranitillya6088 2 жыл бұрын
Akili nyingi sana hongera mzee
@estherrasoa470
@estherrasoa470 2 жыл бұрын
We love you daddy uko vizuri wazee ni hazina nyie ndio mnafaa kuwashauri watawala ila kwa Sasa nchi imefika pabaya ukisema ukweli unaonekana mbaya sikio la kufa halisikii dawa hawashauriki Tena.
@kakamau0384
@kakamau0384 2 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu mzee pamoja na Bashiru coz kuna makundi tofauti tofauti na hata wakulima leo hii mkulima wa kitunguu hawezi kumsifia Rais kutokana na bei aliyo inunulia Mbolea na bei aliyo kuja kuuza Kitunguu chake hata wakulima wa Korosho pia hawawezi kutoa sifa n.k kwa hiyo walio na sauti wooote wakimfia Rais Hawa wa chini watasemewa na nani??? Hakuna binaadamu aliekamilika ni lazima ukubali kukosolewa ili uweze kuona mapungufu yako.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 2 жыл бұрын
Safi sana umeongea vizuri mzee wetu.
@josephatkiliko2546
@josephatkiliko2546 2 жыл бұрын
Sahihi kbs Mzee Warioba hii ndio hekima ya wazee. Bashiru ametoa mawazo siyo kumchukia.
@prosperykabitina2343
@prosperykabitina2343 2 жыл бұрын
nikweli..chini..ayupo.kabisa.watu.wanashinda.nja.
@jeremiamalima9112
@jeremiamalima9112 2 жыл бұрын
Asante babu warioba afazar mpatikane wakukemea
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 жыл бұрын
Asante baba walioba,wakutukuzwa ni mungu tu,atakama nimekosea karo ya mtoto nisifie tu
@michaelnehemia4932
@michaelnehemia4932 2 жыл бұрын
Hongera mzee umeupiga mwingi
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 2 жыл бұрын
🙏mzee Warioba kwa kuweka sawa mambo
@zabronisanga4919
@zabronisanga4919 2 жыл бұрын
Asante bashiru ujajali kuwa uliteuliwa na laisi kuwa mbunge umesema ukweli lakini nashangaa kuona wabunge tulio wachagua kwa kula majimboni Wana kukosoa wewe unae ongelea masilahi ya wa wakulima
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 жыл бұрын
Mimi nadhani bado maisha ya watu wa kipato cha chini ni magumu mno Bashiru kazungumza na wengine pia wazungumze kama kero zipo siyo kumponda tu hakuna mtu mkamilifu duniani watanzania tubadilike na tusiwe wakusifia pia kunapokuwa na mapungufu pia tuseme
@b.warron4631
@b.warron4631 2 жыл бұрын
unafkii maisha chini ya huyu mama yamerudi kama kipindi cha hawamu ya Nne. Mambo ya kujuana yamerudi.... bashiru yuko sahihi
@fundigari
@fundigari 2 жыл бұрын
Safi sana mzee warioba
@saidomar6344
@saidomar6344 2 жыл бұрын
Ameongea point nzuri Sana huyu Mzee, ama ni genius. I wish aandikwe kazi Yuko makini Sana.
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 2 жыл бұрын
Yani uwe na njaa ujisifie umekura no no no Rais amekua........zaid ya .....Tusifie mambo mema na tukosoe
@4hestatecompany20
@4hestatecompany20 2 жыл бұрын
Mzee wa katiba mpy saf sn
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 2 жыл бұрын
Mzee umetuelekeza vizuri
@kitoper.c.7287
@kitoper.c.7287 2 жыл бұрын
Mzee umeongea vyema sana
@georgembise7234
@georgembise7234 2 жыл бұрын
Hongera sana mzee wetu mungu akubariki sana,wezi wapigaji wanyonyaji walijua na kuamini hii serikal ni nafasi yao sasa yakufanya wanayoyataka na wasiguswe na waliamini kwamba ni serikal ambayo wez au wapigaji awawez kuguswa kwa jambo lolote,ndio mana MAMBUMBUMBU AU VILAZA ,WAJINGA WASOJIAMIN KUTOKANA NA ELIMU ZAO WALIROPOKA WANAYO YAJUA WATU HAWA KIBAJAJI NA MSUKUMA ,KILA RAIS AJAE WANAENDA ANAVOTAKA AWATAKI KUMKOSOA WAKIHOFIA KUTOLEWA KUTOKANA NA ELIMU ZAO AWANA AKILI KABISA ,KUMBE NIWAPUMBAVU KABISA SIKUJUA KAMA WANA AKILI KAMA IZI NIMEPIGWA BUTWAA!!!HONGERA MZEE WETU WARIOBA!!
@profesahoodudechwaaa7420
@profesahoodudechwaaa7420 2 жыл бұрын
L
@profesahoodudechwaaa7420
@profesahoodudechwaaa7420 2 жыл бұрын
Llll
@profesahoodudechwaaa7420
@profesahoodudechwaaa7420 2 жыл бұрын
L
@profesahoodudechwaaa7420
@profesahoodudechwaaa7420 2 жыл бұрын
L
@profesahoodudechwaaa7420
@profesahoodudechwaaa7420 2 жыл бұрын
Lll
@budaganzagabulu1756
@budaganzagabulu1756 2 жыл бұрын
Ubarikiwe zaid
@dicksonmagesa7602
@dicksonmagesa7602 2 жыл бұрын
Libashilu Ni zaidi ya lichama la ccm
@josephntungiye6232
@josephntungiye6232 2 жыл бұрын
😂😂😂👍umeona ee! Dhambi yakumuua magufuli haito waacha salama
@laurentmoronge5841
@laurentmoronge5841 2 жыл бұрын
Asante Mzee
@peninacharles9757
@peninacharles9757 2 жыл бұрын
Huyu mzee kumbe bado zimozimo✍️✍️✍️
@yothamgwanika9530
@yothamgwanika9530 2 жыл бұрын
Njaa mbaya wanadhani bashiru bilaa ubunge haishi. Kwani aliomba ubunge , acha aseme kwa sababu anasikika kwa wengi, wachumia tumbo waendelee kumpinga
@mactweve3353
@mactweve3353 2 жыл бұрын
Mzee hongera saaaaaaaana
@saidipara4134
@saidipara4134 2 жыл бұрын
Mbona Rais wa kitaa (Ney) hawa hawamgusi 🤔🤔 tatizo hao ccm waseme ukweli tu pale kuna timu mbili.timu magu na timu mama
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Safi sana nimekuelewa.
@zenj1986
@zenj1986 2 жыл бұрын
Safi kabisa
@kelvinjeremiah7863
@kelvinjeremiah7863 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@Jumamaduka240
@Jumamaduka240 2 жыл бұрын
Warioba wewe ndo umeupiga mwingi sana. Kibajaji, Msukuma Kigwangala waendelee na msimamo wao lkn cha kuambiwa tunachanganya na zetu
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 жыл бұрын
Asante sana mzee warioba
@piusphilip307
@piusphilip307 2 жыл бұрын
Kauli ya Bashiru ni nzuri. Lakini Kwa awamu hii ya mama Samaia haina mashiko. Ilitakiwa kutolewa kipindi kile cha JPM.
@genichenurdin409
@genichenurdin409 2 жыл бұрын
Mzee akili nyingi....nimekuelewa vizuri
@luityfridismtanda9675
@luityfridismtanda9675 2 жыл бұрын
Ni kweli
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 жыл бұрын
Kumbe "Old is Gold" wahenga walisema,hazina na busara za wazee ni za muhimu kwa Taifa 🇹🇿 , wawakilishi wa Bunge Leo imekuwa ni kusifia tuu,na si kutetea wananchi na huo ni unafiki,wasipowatetea wakulima
@Ba63828
@Ba63828 2 жыл бұрын
Machawa watampotosha Mama.
@furahamwajeka7463
@furahamwajeka7463 2 жыл бұрын
Ni kweli mzee warioba kusifu sio kweli
@moamedially1022
@moamedially1022 2 жыл бұрын
Safiii warioba
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 жыл бұрын
Awa viongozi wanao msaidia raisi niwakuangalia kwa umakini ,mnataka kumwanbia raisi yakwamba sisi wananchi atuna changa moto,acheni kumdanganya,uzuri anawajuwa mnavo jikomba uyu raisi Yuko vizuri sio waree mliozoea kuwadanganya
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 2 жыл бұрын
Mzee Kwa hili umekuwa na Hekima Kama Mzee Kwa kweli anashambuliwa kimakosa na wote wanatafuta madaraka tu Kibajaji,Musukuma eti Kigwangala
@josephntungiye6232
@josephntungiye6232 2 жыл бұрын
Walamba asali kaziyao nikusifia tuu sasa asali itakua chungu siomda mrefu
@kaburasilas8924
@kaburasilas8924 2 жыл бұрын
Ukweli huooo
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 2 жыл бұрын
Mzee Warioba unasema nchi imetulia? Hahahahahaaaaaaa
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 2 жыл бұрын
Nafikiri Bashiru anakerwa na watu tena viongozi wanaosifu Sifu Kama ushabiki , mimi nafikiri tusizidishe ushabiki ,Ila tuwe wakweli moyoni maana sifa ni za Mungu peke yake na rais ni mtumishi wa Mungu kuongoza watu wa Mungu kufikia hatma zao kimaendeleo na kulinda raslimali za nchi kwa ajili ya wananchi husika ,lakini pia kumshukuru rais kwa Kazi kubwa anayofanya ni kumtia moyo ili azidi kufanya zaidi kwa Taifa lake na watu wake ,Ila anaupiga mwingi ni lugha ya kihuni ,tuendelee kumuombea rais wetu kwa Kazi kubwa anayofanya ,haya ni mapambano sio Kazi rahisi kabisa ,urais ni kujitolea kwa ajili ya nchi ,kukingia kifua nchi yako ,kupambana kuipeleka mbele zaidi kuliko nchi yoyote ! Mungu akubariki sana Rais wetu ,endelea kuwa na moyo wa Mungu ndani yako ,kutakuwezesha kushinda mengi magumu na kutuvusha salama!
@ishanshulinus8088
@ishanshulinus8088 2 жыл бұрын
Mzee Tata warioba unatumia hekima na busara katika kushauri na kutatua matatizo ya hili taifa.nikweli nihaki ya kila mtanzania kukosoa na kusifia.tatizo la bashiru tunalopingana naye nipale alipotumia nguvu nyingi kupora mazao ya wakulima ikiwepo korosho kwenye awamu ya tano na kutuambia chama tawala lazima kitumie Dora kubaki madarakani na kupora haki ya demokorasia na kuiangamiza ktk utawala wa tano.pia bashiru na wenzake ndiyo walikuwa wanapenda kumsifia maguri na kudiriki kumuita mh mungu magufuri.kwahiyo tunachompinga bashiru ni unafiki wake wakutaka magufuri asifiwe kuwa mungu Ila mama Samia akiitwa ameupiga mwingi anachukia.
@mpurusaleh1994
@mpurusaleh1994 2 жыл бұрын
Maelekezo ya Mzee jaji warioba ni sahihi , wasitake kutumia mazungumzo ya muh ,Bashiru kutamka kutuharibia au kutchafulia chama Kila mtu anaweza kusema analo ona yeye ili mradi hamtukani mtu swala la kundi lisilo jua maana ya kuvumiliana kisiasa basi likae kimya WASITUCHAFULIE CHAMA ,SISI CCM tunakawaida yakuelekezana (IDUMU CCM
@migerajacob581
@migerajacob581 2 жыл бұрын
Mzee upo sahihi, endelea kusima mia ukweli,, katiba mpya nilazima tuwaondoe Hawa jamaa wasio kosolewa,,
@geraldsanzala8119
@geraldsanzala8119 2 жыл бұрын
Vema Mzee ila ubongo wako kuendelea kuustore ndani ya ccm ni kujikosea walahi. Ila najua njaa mbaya.
@Mediemedie7838
@Mediemedie7838 2 жыл бұрын
Hakika Tanzania ilikuwa ibebarkiwa na viongozi wamaana wnye hekma na sizani baada yahawa tutakuja kuwapata viongozi wengine wa ainahii...tumuombe mungu na tuiombee Tanzania yetu
@josephamos6636
@josephamos6636 2 жыл бұрын
Safi
@frankminja2343
@frankminja2343 2 жыл бұрын
Heshima yako Mh.Warioba
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Hekma za Mzee Warioba Bado ziko
@humphreyngawamba583
@humphreyngawamba583 2 жыл бұрын
Yaani kwa sasa kuna viongozi wanahisi kumkosoa raisi unaporomosha uchumi wa nchi duuh 😄
@penfordkipalo5966
@penfordkipalo5966 2 жыл бұрын
Mtu ulikuwa CS , Katibu wa CCM Leo unashindwa kuheshimu Dola!
@kitojowetengere9641
@kitojowetengere9641 2 жыл бұрын
Hizo ndo haja za msingi sana. Hakuna mahali Bashiru aliposema raisi hajafanya kazi yake...anachosema wakati wapambe wanaposema mama anaupiga mwingi wapo wakulima wanaoteseka. Na kweli wakulima wana teseka sana so waangaliwe...hiyo ndo hoja ya Bashiru ambayo inahitaji majibu. Siaamini kwamba mama yetu ni mtu wa misifa.
@TheMtandao
@TheMtandao 2 жыл бұрын
Poor video ending
@oskamsafiri2814
@oskamsafiri2814 2 жыл бұрын
Suala katiba mpya na time huru.mimi ninaipenda ccm Ila sehemu kubwa imeoza.ndio maana mnampinga bashiru
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 2 жыл бұрын
Kumjibu huyu mzee Warioba ( maana hujifanya ana hekima sana kuliko wengine, wakati siyo), kwa mnaoyajua "madudu" ya Bashiru, yawekeni hadharani. Watu hawamkosoi Bashiru kwa kauli zake, bali, wanamnyooshea vidole kwa tabia yake ya Unafiki, undumila kuwili, uongo, kigeugeu. Kinachomtesa na kumsumbua ni vyeo tu. Niliwahi tahadharisha 2020 kuwa huyu Mnafiki na yule "kabhujanja" Humphrey ni hovyo; Ni hatari sana kuwa na viongozi wa aina yao. Walikuwa wanakiua kwa kukipeleka pabaya Chama.
@andiqueantonio3377
@andiqueantonio3377 2 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana
@alliyrubea5731
@alliyrubea5731 2 жыл бұрын
Jamani kuweni wakweli!ni Rais gani aliyejifanya kama Mungu!rais aliyepita@hakuna aliyefurukuta lkn sasa mbona kila mtu ni msemajiiii!kunaniii!
@emmanuelmsangi1662
@emmanuelmsangi1662 2 жыл бұрын
Hawajui lolote watu wanaangalia leo tuu
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 жыл бұрын
Mzee kwenda zako umeshaisha na unaongea ujinga kumpinga Bashiru
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Mzee unafraid sana
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 2 жыл бұрын
Sawa mzee tumekuelewa kabsa
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 2 жыл бұрын
Mzee huyu ni msomi mzuri sana na anajielewa vilivyo
@estabauna3604
@estabauna3604 2 жыл бұрын
Watanzania wenzangu, kiujumla Hali yetu ni mbaya sanaaa. Hawa wenye vyeo waacheni tu waendelee na hizo ngonjera zao wanazoziimba. Kikubwa tumuombe Mungu tukutane 2025 ni mwendo wa kumuua nyani tu. Ndugai alisema ukweli ikaonekana ajiuzuru leo Bashiru anaongea ukweli inaonekana na yeye ajiuzuru. Hii nchi inaelekea wapi? Basi hao Viongozi wasiotaka kuusikia ukweli inaonekana wanamatatizo afya ya akili pengine hawajielewi.
@mohamedimcheni2068
@mohamedimcheni2068 2 жыл бұрын
Bashiri oyeeeeeeeeeeeeeeeeeew
@yonaseni3945
@yonaseni3945 2 жыл бұрын
Sahihi mkuuu
@njilelufasinza8703
@njilelufasinza8703 2 жыл бұрын
He!
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 2 жыл бұрын
Huyu Mzee anajielewa sana kwa kweli,ameongea kama mwana zuoni, na aliyebobeya kwa kweli
@venancemalima1181
@venancemalima1181 2 жыл бұрын
Kibajaji kwa nn ma ueye hasijiudhuru maana huyu jamaa anadhani kwamba ana mamlaka sana kumzidi Mh.Rais.Dr.Bashiru katoa mawazo yake.Sasa watu wanalopoka ovyo.
@wolinet1
@wolinet1 2 жыл бұрын
umefika wakati wa mabadiliko
@lilyjones3584
@lilyjones3584 2 жыл бұрын
Mzee wa busara ameweka mambo sawa. Wachumia matumbo mpoo??? Msifanye watanzania mataahira. Hicho chama chenu mnakiua wenyewe kwa ulafi. Mliponea chupuchupu 2015, mmeanza tena!!! Dawa yenu inachemka.
MAADHIMISHO YA MIAKA 48 YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
PMTV TANZANIA
Рет қаралды 5
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 68 М.
TAZAMA MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOZUNGUMZA NA KUMKOSHA MAMA YAKE
6:53
Jaji Warioba ataja mambo manne yazingatiwe Katiba Mpya
18:12
Mwananchi Digital
Рет қаралды 6 М.
#TBC: NYOTA WA WIKI NA JAJI JOSEPH WARIOBA NA MKEWE
28:54
TBConline
Рет қаралды 9 М.