RC CHALAMILA AFUNGUKA KUHUSU KAULI YA "KAMA HUTAKI KUNUNUA GLOVES KAJIFUNGUE NYUMBANI''

  Рет қаралды 14,063

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 223
@joshuakasemelo1675
@joshuakasemelo1675 7 күн бұрын
Chalamila apimwe,madawa ya kulevya na akili kiujumla,hauyuko vizuri
@THADEIMHABUKA
@THADEIMHABUKA 10 күн бұрын
Hata kama hilo neno sio la leo je hilo neno ilikuwa ni haki kumwambia mwananchi kama yule mama anae enda kujifungua na akamwambia maneno yale.
@jumanneenos2481
@jumanneenos2481 4 күн бұрын
Acha mambo usiyoyajua afya ni yako kata bima, elewa anachokitaka
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 3 күн бұрын
​@@jumanneenos2481 Kwa hyo ni sahihi ambaye Hana bima....arudishwe akatafite vifaa? Uhai wake uneangalia hapo?
@jumanneenos2481
@jumanneenos2481 3 күн бұрын
@jeremiaaugustino7187 kwani akikuta vimeisha kabisa hapo wadokta wanatoa wapi??? Au haujui kama vinaishaga
@jumanneenos2481
@jumanneenos2481 3 күн бұрын
Ulaya kama hauna bima ya Afya huendi na hao ni nchi tajiri na wanakila kitu ambacho wangeweza kuhudumiana bure, tuache siasa, Kauli mbiu acha kulewa kata bima ya Afya
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 2 күн бұрын
@ kama vinaisha.....inamaana serikali yako haipo serious....inamaana huduma hyo hapo haitakiwi kuwepo
@ShabanimusaMangi
@ShabanimusaMangi 4 күн бұрын
Mungu akusaidie kwa majibu Yako kaka
@mosesibmshangamshanga7885
@mosesibmshangamshanga7885 10 күн бұрын
Mwanza ulitumbuliwa kwa kauli hizihizi Uliwaambia wananchi nini kuhusu mabango
@EliasYeremia
@EliasYeremia 8 күн бұрын
Haufai kuwa kiongozi wa uma. Unafaa kuongoza familia Yako tu. Tutamkumbuka hayati Mzee wa majipu. Wewe ni jipu
@charlesmtangi9046
@charlesmtangi9046 9 күн бұрын
Kutaka sifaa Kwa viongozi mpka unaalibu mkuu ivi kweli kulikuwa na ulazima gani kutoa kauli kama zile na sio mala yakwanza mwenyez mungu atakujibu Kwa ayo mnayoendelea kukufanyia Kwa watu maskini 😭😭😭😭
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 9 күн бұрын
Hili jamaa ni takataka kabisa period
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 8 күн бұрын
Hii mavi kabisa bora takataka inawez kua recycled
@naturelle1097
@naturelle1097 5 күн бұрын
Na nyie mngekua kwenye hio nafasi mngesema zaidi yake
@gmaemba22
@gmaemba22 9 күн бұрын
Huyo RC anakichaa fulani sjitafakari. Ndio maana alitimuliwa wakati wa Magu.anakunywa sijui kitu gani😂😂😂
@salamasaleh7077
@salamasaleh7077 9 күн бұрын
Hajui maneno ya kujibu kwa wananchi wake sio haki kwa majibu aliemjibu huyo mama
@sethmwakangata1871
@sethmwakangata1871 7 күн бұрын
ILA kauli YAKO sio nzuri ukweli ulikosea sana,naomba KWA busara omba msamaha tu.
@chrissamani7921
@chrissamani7921 9 күн бұрын
Hufai kabisa kuwa mtetezi wa watu walioshindwa, hafai hata buleeee!
@melch3097
@melch3097 7 күн бұрын
Rais mwenyewe anapenda watu wanamna hii
@michaeljacob6711
@michaeljacob6711 6 күн бұрын
Hata hivo haka kajamaa kanakuwaga na Kauli mbovu..inamaana yeye hapo alipo anajua kesho ataenda hospital mgonjwa huwaga anaweza kujua kua leo nistumie hela kesho nitaugua ,,anaingiza siasa tuu kwenye afya za watu
@Tupena-ov7xq
@Tupena-ov7xq 8 күн бұрын
Mtangazaji chawa
@KcmMohamedy
@KcmMohamedy 10 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 ww kiongozi mzuri sana watu wanashindwa kukuelewa
@EmmanuelAngetile
@EmmanuelAngetile 7 күн бұрын
Wewe ndiye ulimwelewa kwamba mume wake akamfanyie operation, au unaropoka kama yeye.
@BrianJosephMsofe
@BrianJosephMsofe 6 күн бұрын
Kama ni kiongozi nzuri subiria akitumbuliwa aje umwajiri wewe
@EllyMndeme-o3s
@EllyMndeme-o3s 7 күн бұрын
Safi kabisa upo sahihi hapo mimi nimekuelewa sana sana mkuu akiba muhimu
@mosesibmshangamshanga7885
@mosesibmshangamshanga7885 10 күн бұрын
Umetuudhi sana ..omba lazi
@Africa_Yetu
@Africa_Yetu 8 күн бұрын
Mke wake ni classmate wangu... Hata hivyo, sim support kwa ujinga huu alioongea.
@CeciliaRichard-j3d
@CeciliaRichard-j3d 2 күн бұрын
Kumbe na vichaa wanavaa suti ila umetuumiza wanawake ote wew mwenyewe pengine hujui hata cm kamili za kujifungua 😭😭😭 usituchafulie CV
@mashakathobias1958
@mashakathobias1958 3 күн бұрын
Jitu zima hovyo.Hilo halikuwa jibu la kumjibu huyo mama mjamzito acha kiburi haya maisha ni kupanda na kushuka.
@danielmanko9164
@danielmanko9164 8 күн бұрын
"Siasa?? Huo ufafanuzi hauendani kabisa na tukio husika. Aibu tupu Aibu kabisa!!
@SubiragaKabango
@SubiragaKabango 7 күн бұрын
Daima mti wenye matunda hutupiwa mawe! Tatizo hao wanaomtukana kiongozi Chalamila wana hira na matunda yake!
@naturelle1097
@naturelle1097 5 күн бұрын
Kabisaaa
@JosfatiMwamengo
@JosfatiMwamengo 7 күн бұрын
Kujifunguwa tanzania siyo bure tunatoa hela kubwa tunaona afali kwenda binafsi
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 10 күн бұрын
MAMA ANAKUMULIKA TU UTAKAA BENCHI MUDA SI MREFU
@jdanny497
@jdanny497 10 күн бұрын
Kabisa aisee huwezi jibu hivyo kama mkuu wa mkoa
@kelvinmgaya-gp8jk
@kelvinmgaya-gp8jk 9 күн бұрын
we ndo hujitambui hujui kuwajibu watu
@marianmartin7483
@marianmartin7483 6 күн бұрын
Kaka hii umeharibu, kaka Chalamila wewe ni kiongozi. Inatakiwa kuwa mwangalifu sana kabla ya kuzungumzia jambo lolote. Kuwa makini sana.
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 10 күн бұрын
Huyoo sio mala kwanza huyoo ni muhuni afai kupewa uwongozi wowote mbeya alilikoroga mwanza nako aliharibu hivi amewaroga ametutukania mama zetu nawewe Samia kutukana pia simwanamke pia
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 9 күн бұрын
Huyu ni tatizo kabisaa na ndio maana hatusogei tangu uhuru ni barabara na maji mpaka 25000
@NasibuKitwana
@NasibuKitwana 9 күн бұрын
HUYU JAMAA ANAONEKANA KUWA NI KIONGOZI WA KIMABAVU,NAKUMBUKA NENO ALILOWAHI KUSEMA ETI WATU WANYWE BIA ETI MADHEHEBU YANAYOKATAZA POMBE HAYAFAI!! HAFAI KABISA
@geraldemanuel3613
@geraldemanuel3613 8 күн бұрын
Mnachagi magoli ya mama unafaida gani samia mfukuze kazi na ashitakiwe na kama atambeba samia muziabu kwenye kura mwezi kumi
@AbubakarMwansansu
@AbubakarMwansansu 8 күн бұрын
Amna mfano wowote pumba tupu
@hamisimkoma7380
@hamisimkoma7380 10 күн бұрын
Rais Samia tumbua hili jipu usipolitumbua awamu hii taipigia kura chadema kuliko chama chenye watumishi watovu wa adabu na wanaoteteana
@georgekyando885
@georgekyando885 8 күн бұрын
Msitoe matusi elezeni ni wapi alikosea ili ajirekebishe
@DavidSemu-gu6wp
@DavidSemu-gu6wp 3 күн бұрын
Screening ya kupata viongozi ni mbaya na baadhi ya viogozi alio watumbua Magufuli aliona ubovu wao bahati mbaya wamerudishwa kwa kuhisia kuwa walionewa na bado wanaonyesha matatizo yale yale mpaka walio wateua wanaona aibu, haishangazi kila siku kuna uteuzi mpya tatizo cheke cheke la screening ni bovu.
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 8 күн бұрын
Atakuja kupotea kwenye ulingo wa media hata wengi waliokuwa na kiburi hata ukiwafanyia watu vipi kwa cheo chako iko siku utajua dunia ni kubwa
@rithaurassa
@rithaurassa 4 күн бұрын
Hujaogopa hata Mh. Mama Samia ni mama mwenzetu. Umetudharau sisi wa mama wa mtaan. Ungemheshim mama yetu mh. Samia ni mama.Hayo maneno kiongoz kama wew isingestahili useme.Mbona Raisi wetu anasaidia mengi mengi hajawahi kumkashif mwanaume wala mwamake?
@AgiripinaNisiphory
@AgiripinaNisiphory 9 күн бұрын
Ashibae hamjui mwenye njaa
@vestinamakoye2928
@vestinamakoye2928 7 күн бұрын
Mkuu anaongea kweli watanzania hawataki ukweli'na wanataka kudanganywa
@hamisimkoma7380
@hamisimkoma7380 10 күн бұрын
Huyu kiongozi ni mjinga mno kwanza ana mihemko na hana adabu
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 10 күн бұрын
Huyu sio mstarabu anakauli mbovu sana asijitete mbuzi sana Chalamila sasa raisi chukuwa atuwa kwa huyoo mteule wako
@naturelle1097
@naturelle1097 5 күн бұрын
Hawawezi kukuelewa maana hawajazoea kuambiwa ukweli. Tena hivi vya bure vingeondolewa kama alivyofanya Trump
@MosesSiwiti
@MosesSiwiti 6 күн бұрын
Mama samia fanya kazi kama magufuli huyo jama apanaa mimi sjapenda omba msamaha kaka asiyekubali kushuka siyo mshindani uwe naadabu dogo agalia comed wanazotuma usoma
@SigradMligo
@SigradMligo 5 күн бұрын
Ngoja tukusaidie ktk uelewa wa kodi na wanufaika wake na walipaji kodi
@silverytesha6788
@silverytesha6788 10 күн бұрын
Waandishi wa kileo bhan😅😅
@loningoletayo8453
@loningoletayo8453 10 күн бұрын
Kauli uliyowatamkia watanzania ni kauli ngumu sana laiti ingekuwa wewe ni mwananchi ya kawaida ungeweza kuijua ugumu wa hiyo kauli,mama akajifungulie Nyumbani kwa bwana wake hiyo siyo kauli ya kiongozi mkuu ,kauli yako ni faraja
@DenisDenas
@DenisDenas 4 күн бұрын
huyu kiongoz hatufai kabisa labda hzo kauli akaztoe kwenye family yake
@valentinoswenya748
@valentinoswenya748 6 күн бұрын
Hapa anakitu 😂😂😂
@JumaKatara-r2b
@JumaKatara-r2b 10 күн бұрын
Mifano ya kipumbavu wape mifano hiyo kwa mke wako unazani watu wote wana mfumo huo
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 3 күн бұрын
Watoe tangazo nchi nzima kua watu waende na Kila kitu.....na list ya vifaa itangazwe na RAIS
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 10 күн бұрын
Aache uwongo ,kaona watu wamemjia juu anatuletea siasa. Ile kauli ni halali na itabaki hivyo. Swala la afya ni gharama kwani nani hajui.
@AfricaQueen
@AfricaQueen 5 күн бұрын
Huyu hafaiii hata Mara moja lazima ajiuzuluuuu 🫵🏽✍🏾Mshamba wa madaraka huyu mtu ,😏
@mosesibmshangamshanga7885
@mosesibmshangamshanga7885 10 күн бұрын
Wewe ndo umeleta haya maneno kwenye vyombo vya habali. Yule mama alishasamehe
@MussaMbebe
@MussaMbebe 6 күн бұрын
Huyu jamaa alikuwa mwalim wa vichaa su
@Tupena-ov7xq
@Tupena-ov7xq 8 күн бұрын
Hizo pesa za serikali unazo zisema utafikiri ni za familia yako. Pesa ni za walipa kodi na pia sio za samia
@danielmanko9164
@danielmanko9164 8 күн бұрын
"Mume achukue kisu/mkasi akufanyie operesheni" ni katika kufikisha ujumbeeeeee. Jamani hao ndio aina ya viongozi wetuuu/wateuliwaaaa
@westmanmoses541
@westmanmoses541 5 күн бұрын
Matumizi ya lugha kwa kiongozi yafaa kuwa tiba kwa mgonjwa. Lugha lugha lugha basi.
@RamadhanyHamisi
@RamadhanyHamisi 7 күн бұрын
Mimi bado sijamuelewa mkuu wangu wa mkoa waliomuelewa emu tuelezane 🤔
@abdulisike
@abdulisike 8 күн бұрын
Ww hufai unakauli chafu kaka
@bahatimaluba825
@bahatimaluba825 8 күн бұрын
Acha maneno mengi jibu ulicho ulizwa wapmbe msamaha wanachi acha kujifanya kichwa ngumu haijalishi alikuwaje
@castoryaskofumkombwe4767
@castoryaskofumkombwe4767 5 күн бұрын
Serikali haina vifaa wakati huo inatupa pesa nyingi kwa kununua magoli ya mpira, serikali hii ina viongozi wanaoangalia maisha ya watu? Chalamila, ni sera ya Taifa wajawazito kujifungua bure je CCM inasemaje hii , suala la maelezo yake kujitetea serikali kama imkamua kuwa makini na makini na sera zake hakuna ubabaishaji utajitokeza, hatakumsikikiza unasikia kutapika
@danieldede7176
@danieldede7176 10 күн бұрын
Walikuelewa kivipi umezoea kufokea watu Kila mara wewe jiangalie Mzee watu wanauelewa kuliko unavyodhani
@nicholasmkama2877
@nicholasmkama2877 8 күн бұрын
Ingekuwa ukuu wa mkoa unapatikana kwa kupigiwa kura, huyu asingepata kura, labda za familia yake.. Tena na wao wangempigia kwa kuogopa wasijekisa huduma ya chakula,mavazi nk matibabu, we huduma
@PeterManyatha
@PeterManyatha 9 күн бұрын
Chalamila acha kulewa madaraka Kwa kauli zako za kipumbavu usicheze Na maisha ya watu wewe Je angekuwa ni mama yako amejibiwa hivyo wakati unalipozaliwa wewe? Au kajibiwe mkeo hivyo? Toa matope kichwani broo.
@paulcositantine613
@paulcositantine613 9 күн бұрын
We kweli umeshiba unawapa kibuli wajinga Wenzio
@Byme6434
@Byme6434 5 күн бұрын
Achana na Mkutano Jibu vile sie Tunataka Ni Haki kuropoka vile ulivyoropoka?Kenge Mmoja Weeee😡
@TumainiMallya-x5x
@TumainiMallya-x5x 8 күн бұрын
Huyu chalamila nahisi Kuna mahali hayako Sawa kwasababu umemwambia akachukue bajaji wakati huo bajaji umekataza kupisha mkutano alafu majibu uliyo mpaa hayakuendena na wewe mama yako angejibuwa kipindi wewe unazaliwa ukisikia iyo kauli kiongozi alitamka ivo unajisikiaje
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 8 күн бұрын
Hii nchi inaenda kinyumenyume. Watumishi wa umma wanatakiwa wawesubmissive kwa raia, lkn kwa nchi yetu viongozi wanakauli za hovyo sana. Anyway wote tu mavumbi na mavumbini tutarudi.
@malackedson7706
@malackedson7706 7 күн бұрын
Tatataka hili katiba inatuumiza watanzania wateule wa raisi
@DenisDenas
@DenisDenas 4 күн бұрын
yan hatakujitetetea hawez kabisa
@chriskibira7923
@chriskibira7923 8 күн бұрын
mtu mjinga kama huyu hafai kuwa kiongozi..achukue mfano kwa mwenzake paul makonda mkombozi wa wanyonge,huyu anafitina sijui hata chuo gani alisoma...ni mjinga sana hajitambui...kauli ndogo ya ushauri kwa mama inamshinda kujibu kiustaarabu..hafai kuwepo dar ahamishwe au atumbuliwe
@SubiragaKabango
@SubiragaKabango 7 күн бұрын
Tambueni kuwa huduma za Afya hususani Ma Hospitalini hakuna huduma za Bure! Hizo ni Siasa tu na uchanguzi umekaribia mtaambiwa mengi!
@chrissamani7921
@chrissamani7921 9 күн бұрын
Huyu ni mkuu wa mkoa wa kikoloni, yaani anajisahau kabisa kwamba yeye ni wakupita, ni kichaaaa kamili huyuuu!
@JosephMbele-x2r
@JosephMbele-x2r 8 күн бұрын
Serikari ni sisi na wewe acha izo aya maisha apo mkuu wa mkoa to ivi duuu
@emmanuelamos4581
@emmanuelamos4581 4 күн бұрын
Hujatumia hekima katika majibu yako.
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 9 күн бұрын
MH POLE SANA , KWANZA UNAPOKUA KIONGOZI LAZIMA UJUE WATU UNAO WAONGOZA UELEWA WAO NI TOFAUTI TOFAUTI PIA HAO WAFANYAKAZI NAO WANA UELEWA TOFAUTI TOFAUTI..KWAHIYO UNATAKIWA KUWA MAAKINI SANA NA KAULI ZAKO ...KUNA KAULI ULIITOA KUHUSU BAR LEO HIITUNASUMBULIWA SANA MTAANI HUKU UKIWAAMBIA WANASEMA MKUU AMETURUHUSU...WAKATI MTU ANAFANYA BIASHARA KWENYE ENEO LA MAKAZI..SISI TUKAKAE WAPI ??UKIJA KWENYE HII MIFANO ULIOITOA NI KWELI WAPO WALEVI NA WANAFANYA VIGODORO LAKINI SIO MIFANO SAHIHI CHAMSINGI KAMA KIONGOZI UNAPASWA KUCHUNGA KAULI ZAKO ...TUNAJUA KABISA WAPO BAADHI YA WATUMISHI SIO WAAMINIFU WANAWEZA TUMIA KAULI YAKO VIBAYA...HAPA LA MSINGI CHUNGA SANA KAULI ZAKO MAANA SIO WOTE WANAO KUSIKILIZA WANAUELEWA SAWA. PIA HATA WABAYA WAKO WA KISIASA NJE NA NDANI YA CHAMA WANAWEZA ZITUMIA VIBAYA YKAJIKUTA UPO PEMBENI KAMA ILIII YA MWANZA.
@shaffhnkamia9096
@shaffhnkamia9096 10 күн бұрын
Ongelea mada yako mkuuu acha kusunguka mara matokeo mara kwenu kwanini umejibu mama wawatu kirahisi?????
@EmmanuelAngetile
@EmmanuelAngetile 7 күн бұрын
Hiyo message imefika ya kila ya mume kuwa na mikasi na visu kuwafanyia operation
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 4 күн бұрын
Miaka yote kwenye uongozi wako huna kauli nzuri kwa wananchi
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 8 күн бұрын
Mimi uyu mkuu wa mkoa simwerewagi sijui sisi anatuchukuriaje sisi ni mabos zake amejisahau
@Nasoro-do7qq
@Nasoro-do7qq 8 күн бұрын
NYINYI MBONA FAMIRIA ZENU amzipereki katika IZO hospitari WW pare mawasiriano PIA uritukana ukatuambia tukome Kama turivyokoma Maziwa ya mama zetu RAKINI saw YOTE MAISHA tu
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 8 күн бұрын
Ukweli usiopingika kuwa umekosa hekima! Kiongozi hukutakiwa kuijibu vile
@GeraldMbega-k5p
@GeraldMbega-k5p 6 күн бұрын
Wamelewa maharaja hawa.
@mamaabduly
@mamaabduly 9 күн бұрын
UNAVYOHESABU NI KAMA WANANCHI HAWALIPI KODI.. HAYO UNAYOYAHESABU YANALIPWA NA KODI ZA WANANCHIIIIII .
@chrissamani7921
@chrissamani7921 9 күн бұрын
Huko kwenye ulevi ulikuwa naye? Mkuu wa mkoa wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii,
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 8 күн бұрын
Mfano huu wa mtu kutumia hela yake kwa shughuli zake zozote halafu inakuwa sababu ya kukwepa haki iliyowekwa na serikali kwa huduma fulani, ni kukosa hekima na kutetea serikali kukwepa wajibu wake. Basi Chalamila aweke tume ya kumpitia/kumkagua kila mmoja anayekwenda kwenye huduma ya serikali iliyotangzwa bure: polisi, shule, hospitali nk. kama jana alikula au alikumywa nini kwanza kabla ya kupewa huduma hiyo!
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 8 күн бұрын
Nakuchukia sana chalamila.....sio wewe wa zamani
@CafeJohn-n9o
@CafeJohn-n9o 8 күн бұрын
Kubari tu kauri uriyo tumia siyo nzuri kabisa wewe navidole pia uwa haviringani alafu wananichi wengi wanjuwa huma ya hospital huwa nibure kwahiyo wakiuriza kinatkiwa tu kuwaelewisha kiusitaabu siyo hiyo kauri uriyo itumia
@HenryKimaro
@HenryKimaro 8 күн бұрын
Watanzania wenye Akili tumekuelewa ww ni mtu katili mlevi wa Madaraka unafikiri Mungu ana dhihakiwa hakika utalipa km sio leo ht kesho ni siku pia utalipa tutamlilia Mungu ashughukike na watu waovu wa jinsi ya namna yako Mwanadamu ni mifupa mikavu endelea kumsifu na kumtukusa Mwanadamu Mungu anaweza kuangamiza mwili na roho pia hakuna vitu vya Bure ww ndio ukiegharamia hayo yanayyofanyika ? Misaada inayotilewa na wahisani sio kwaajili yenu Viongozi in short ww ni katili utavuna utakachopanda
@MACHAGGECHACHA
@MACHAGGECHACHA 7 күн бұрын
Hawakukuelewa ki vipi? Nanga wewe Chalamila. Akili ya uongozi huna. Umeshiba hela za wtanzania mpaka hujui sehemu yako ya kutolea mavi iko wapi mwilini mwako.
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 10 күн бұрын
Kwa,hiyo watu wote ni walevi ?
@najimsharif9694
@najimsharif9694 6 күн бұрын
Ulikosea ukweli ukubali sio kauli nzuri punguza kiburi hata kama kaunty yako inaongea vizuri hata huyo ungempa hiyo elfu 50 ungefanya laamana sio kumwambia achukuwe bajaji wende chumbani chukua mkasi na kisu mwambie mumeo sio kauli nzuri punguza kiburi.Madaraka yasikulevye tumbulule yuko wapi,machi yuko wapi,singa singa,john komba,magufuli,amina chifupa,mkapa,n.k jee wameenda na madaraka yao wadhifa zao,acauti zao acha dharau hivi kweli akushinde makonda kweli alikaa na wana dar es salam vizuri tu kila jumamosi jiji lifanyie usafi na kila mwisho wa jumamosi ya mwisho wa mwezi wenye maduka yote wasifungue maduka mpaka mufanye usafi wasooga mjini wasije,waendesha bodaboda bila ya kofia na vichati vyao hile vinavyomuonesha huyu bodaboda wa kituo gani mtu akiwa hana hatakiwi kuingia mjini mambo yalikuwa safi maisha yakaendelea watoto walotelekezwa na wazazi wao akawapabanisha alitoa semina pale mnazi mmoja wasenge hawatakiwi dar es Salam na kweli walipotea omba omba pia walipungua mjini kwa sababu waliambiwa wafanye biashara ndogo ndogo jifunze kupitia kwa wenzako sio kauli chafu ukahisi mama ndio atakuona bora na kama mama anapendelea na kauli hizo basi utaondoka na sifa mbaya mwingi alisema maisha ni storia huandikwa kwenye mioyo ya watu basi usiwe na historia mbaya mwani ulisema watanzania naombe munisamehe hasa wa dar es Salam kwa kauli niloitoka kukosea ni kawaida kwa binadamu ulimi ni kiungo kibaya sana ulimi unaweza kupenda na watu kupitia kauli zako na ulimi unaweza ukachukizwa na watu kupitia kauli zako.
@johnjescajohnjesca
@johnjescajohnjesca 6 күн бұрын
Hizo hagharama ni kodi za wanzania
@annamathias1382
@annamathias1382 7 күн бұрын
Kwahyo na mamako angeambiwa hvo ungekua umekaa hapo na tumbo lako hilo? Huna busara kabsa unahisi uzazi ni kitu cha mchezo. Watu wengine wangebaki tu mtaani na sio kua viongozi 😒😒
@StanleyMacha
@StanleyMacha 9 күн бұрын
Kuhusu elimu wakubwa wote wanasomesha shule za English medium . Watoto wa masikini shule za kiswahili Kwa Nini tusianzishe English medium shule za serikali . Hilo nalo tulitazame pasitokee matabaka ya elimu kwa wananchi wetu
@kaguripenina63
@kaguripenina63 8 күн бұрын
Hili jamaa linaboa hata kulisikiliza
@ngotosilasi2099
@ngotosilasi2099 7 күн бұрын
Mwandishi naww mmekutana wehu ote hapo sijui unajifunza nn kwa kichaa
@Alexandermwaru
@Alexandermwaru 5 күн бұрын
Unajua chalamila umesahau shida kumbuka ulikotoka
@johnjescajohnjesca
@johnjescajohnjesca 6 күн бұрын
We jibu swali
@ngotosilasi2099
@ngotosilasi2099 7 күн бұрын
Acha ujinga ww usizani unaongea na watoto angelikua nimke wako amefanyiwa hivyo ungefulahi kwani ww hufanyi shelehe au haunywi pombe acha ujinga unafaa kuchukuliwa hatua je huyo mama angepoteza maisha ungetoa wapi haya maneno
@MohamediKisengo
@MohamediKisengo 8 күн бұрын
Hivi hao wanafunzi wake alikuwa anawafundisha nini.
@StanleyMacha
@StanleyMacha 9 күн бұрын
Kwa Nini viongozi nao hawachangii hizo huduma Kwa kuwa mnapata mishahara mikubwa .Kwa Nini wanaochangia ni wale wa kipato kidogo tu Jawabu ni bima Kwa wote na sio kulaumiana
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 8 күн бұрын
Kwan hawo viongoz wanatusaidia nn Kama mnatukana wake zetu ww mama yako alipasuliwa na kisu
Prof. George Wajackoyah, The Shifting Alliances | News Hour (Part 1)
26:16
УЛИЧНЫЕ МУЗЫКАНТЫ В СОЧИ 🤘🏻
0:33
РОК ЗАВОД
Рет қаралды 7 МЛН
JKLIVE | Abducted: Inside the agony (Part 1)
31:44
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 8 М.
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 98 М.
TUSITISHANE. TUVUMILIANE
14:12
SK Media Online TV
Рет қаралды 16 М.