JESHI LA TANZANIA LATOA TAMKO KUHUSU TETESI ZA KUMPINDUA RAIS SAMIA

  Рет қаралды 143,838

HABARI 24

HABARI 24

Жыл бұрын

Habari za leo Tanzania,
bbc swahili leo
urusi na ukraine leo
itv habari leo saa 2 usiku
dw swahili habari leo
Connect with Us| Tufolow
Twitter👉 / assenga_online
Instagrma👉 / assengaonline
Tiktok👉www.tiktok.com/@assengaonline...
Telegram 👉 / assengaonline
TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA DUNIANI KOTE
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com

Пікірлер: 291
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 Жыл бұрын
Apinduliwe leo leo mungu awasaidie wapinduzi wafanye kwa amani tu
@abubakaradnan4689
@abubakaradnan4689 Жыл бұрын
Mkita msitaki Samiha Suluh Hassan ni Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania mpaka 2030
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 Жыл бұрын
@@abubakaradnan4689 hilo liko wasi kama ww ni mungu lkn km ww ni number km zingine akunahaja yakujibishana na ww ata magu alikufa yy ni nani mpaka 2030 ata hii 5 si ajabu asimaliza kwn ni mungu ajuaekesho
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
@@abubakaradnan4689 wewe sio MUNGU upange
@bright115
@bright115 11 ай бұрын
Hakunaga mapinduzi ya Amani.
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 ай бұрын
Hakuna mapinduzi ya amani
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 Жыл бұрын
Kutoa bandari kwa waheni bila kikomo ni uharifu pia, kuwataka Watanzania waombe ruhusa kwa DP World juu ya mali zao ni uharifu na uhaini UHAINI NUMBER MOJA.
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 8 күн бұрын
Amen hao hawana lolote wakutisha ni machinga tu ndio mutapambana Bado wanazidi kuitana kutoka vijijini tuone ccm mtupata Barabara na masolo ya kutuenea
@thomaselias1424
@thomaselias1424 11 ай бұрын
Ukweli nikwamba raia hatupendezwi na uongoz wote kiujumla
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 Ай бұрын
Mm naunga mkono hii serikali tumeichoka
@HusenNdwata-yb6nw
@HusenNdwata-yb6nw Жыл бұрын
Polis wa Tanzania ni waoga mnoo
@emmanueltamnaay5781
@emmanueltamnaay5781 Жыл бұрын
Kazi ya jeshi letu nikutetea rais tu,wamesahau kutetea wananchi.
@zulungconde1647
@zulungconde1647 2 ай бұрын
Mpuuzi wewe.. Hoja yakipumbavu pungwani wewe.
@masterhptv4065
@masterhptv4065 Жыл бұрын
Mungu atawaadhibu wote mnaojua ukweli nanasimama na wapigaji wa nchi hii
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 ай бұрын
Ushadanganywa na chadema
@BenjaPas
@BenjaPas 10 ай бұрын
@@wazirimakua12 wew ndo umedanganywa na maccm
@bonabonala5559
@bonabonala5559 10 ай бұрын
mungu tusaidie mama wa kambo apinduriwe tuongozwe kijeshi tujuee moja tu kuriko ma ccm haya mungu bariki tupate katiba mpyaa kabra ya uchaguzi mpyaa aamina
@maheitumdintunya2928
@maheitumdintunya2928 2 ай бұрын
unacho kiongea unakijua kweli wewe🤔🤔
@ShadrackMuindi-l9f
@ShadrackMuindi-l9f 5 күн бұрын
Hapa dawa mkae jasiri na vjana ndio mko na nguvu watu waamke
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 10 ай бұрын
Nadhani mwandishi kuandika kichwa cha habari hii hivo kuna kitu anakitafuta ,mi binafsi sidhni kama kuna matamshi yoyote yaliyotlewa na Jeshi la Tanzania labda ni jeshi la polisi Tanzania.
@vicentgodda3357
@vicentgodda3357 Жыл бұрын
Amani haitapatikana nchiy haina amani Watu watulivu hata maji ya Kisima yakitupiwa ma we huchafuka
@ShadrackMuindi-l9f
@ShadrackMuindi-l9f 5 күн бұрын
We need stong meeting but only youth 18 to 40 age We can make change Because we have power 1st thing we're so many 2nd thing we're strong 💪 We can make decisions to force situations to change
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 Жыл бұрын
Kwakuwa umepewa manyota lazima useme ivo kutetea tumbo lako
@user-ev2sg1dy1f
@user-ev2sg1dy1f 10 ай бұрын
Sisi wananchi hatutaki fujo wala machafuko shida yetu tunapinga kuuzwa kwa bandari
@mlawayusuph8842
@mlawayusuph8842 Жыл бұрын
Mnaangaika na nafsi zenu tu tena mtakuja jutia baadaye
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso Жыл бұрын
Kwenye hili tuacheni kubeza. Rasirimali zetu ni uhai wetu. Tusipelekwe mkataba gani usiona ukomo. Tuamkeni
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 Жыл бұрын
Polisi nyie mnaish kwenye nyumba duni, maisha ya shida madawa hospital hamna, bado mnakubali ujinga huu. Mnaona sawa wajukuu wenu wakitumikishwa kama watumwa? Kwanini vijana wetu wasiwezeshwe? Watu weusi kweli matatizo mpaka awepo Mzungu auMzungu kukusanya pesa bandarini. Ili si suala la kutngeneza madawa au kwenda mwezini😭😭😭😭😭🥱
@joachim5650
@joachim5650 Жыл бұрын
Mie ntaandamana vizuri kabisa
@hamadnkeyemba6300
@hamadnkeyemba6300 Жыл бұрын
Utapigwa virungu. Tulia acha mama apige kazi.
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Huyu mwehu jamani. Risasi zimetikisa ubongo
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
Kwani huyo Polisi ndio atatisha watu? Huyo si Raia tu? Kashapigana vita wapi?? Apinduliwe tu hata saa hii tutasherehekea sana
@SoudShuraim
@SoudShuraim 3 ай бұрын
Hakuna wakupindua wacha awaendeshe mzobe mzobe..mbn cc znz mnatuletea marais kutoka bara
@molamahago
@molamahago Жыл бұрын
Hatuogopi kufa, wanao piduliwa sio watu 8:04 8:04
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 ай бұрын
Acha uongo ww huogopi kufa.. Umejifungia ndani.. Nenda ikulu pale kadai haki zako hahaha
@rithaurassa
@rithaurassa 13 сағат бұрын
Wewe kama umezoea rushwa wacha watu watetei nchi yao ukishazoea rushwa utaona hata kibaya kwako ni kizuri.
@hamisimhenwa7082
@hamisimhenwa7082 20 күн бұрын
Kama nchi inaumia basi tusikubali iumie na kama tutakubali basi watakaosikia hayo maumivu ni sisi wenyewe. tuwe makini kwa kila uamuzi
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
Huyu mam hatumtaki kabisaaa 2025 akalee wajukuu
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 ай бұрын
Wewe ndo humtaki.. Sio useme hatumtaki.. Fikra ndogo kabisa yan ubongo wako mchanga mno..
@allanmbilinyi4826
@allanmbilinyi4826 10 ай бұрын
MAMA UONGOZI UMEMSHINDA KABISAAAA ANAO WATEUA NIWEZI,WANAIBA WIZARA HII WANAHAMISHWA WIZARA NYINGINE,WAZIRI WA FEDHA KAKOPA PESA WALIPAJI WATANZANIA,MAFUTA YANAZIDI KUPANDA,NAKILA KITU KINA PANDA BEI,HATA WAKURUGENZI WANAIBA KILAMTU KWENYE WIZARA ANAIBA U ZURI WAKE WEZI HAWAFUNGWI HIYO NDIYO CCM CHUKUA CHAKO MAPEMA BILA KUFUNGWANA.
@JohnpurkeiLaizer-kq7he
@JohnpurkeiLaizer-kq7he 10 ай бұрын
tunaomba mungu,aguze jeshil letu tukufu wanqalie kwa jicho, tatu malalamiko,ya bandari letu,Kwa masilahi ya taifa letu.
@masterhptv4065
@masterhptv4065 Жыл бұрын
Viongozi hawa ndo wenye makosa, hakuna aliyetamka kupindua serikali zaidi ni maandamano ya amani kupinga mkataba, kwa nini wasijibu Hilo???
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
makama imesha futakesi sasa munatakanini amuamini makama sasa mandamano yanini ugaiditu mama tiandani mbwa ao
@jumaissa9535
@jumaissa9535 10 ай бұрын
Mungu tusaidie Mama wa kambo apinduliwe tuongozwe kijeshi
@SoudShuraim
@SoudShuraim 3 ай бұрын
Weye unajua utawala wakijeshi au upuuzi2
@AyubuMuna-dx2gm
@AyubuMuna-dx2gm 14 күн бұрын
Sasa anauzaje bandari alafu bado anajifanya anatusaidia kesho chukueni nchi
@user-gq6vz6we3m
@user-gq6vz6we3m Жыл бұрын
Mali za wananchi zinachezewa igp anawalinda hawa waliochukua Hela ya mwarabu hapatakalika wamrudishie tu mwarabu Hela yake serikali imedhamilia kuipoteza amani iliyopo
@jeremiatitus4414
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Mama umekaa kimya sana ktk hili mbona linataka kukuharibia sifa ya uongozi wako? Kwa nn uingie kwenye historia ya machafuko kwa Jambo lililo ndan ya uwezo wako? Msitishane kaeni chini nchi hii ni yetu wote askali na raia , nawaombea Mungu wape hekima ,,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 Жыл бұрын
Igp ulisha chelewa wananchi tulisha andamana tayari mbona??? Kwani hamsomagi coment za watu?? Kilichobaki ni kutuweka ndani, Hata police wameandamani mbona
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 Жыл бұрын
vimeamka hivi viteteautumbo
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Ujinga tuu waisilamu mnafikili kwakutumia. Mikundu
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 9 ай бұрын
Nyerere alisema serikali inayo puuza wananchi ck moja itawakuta Ccm waizi wanaona Nnchi kama ya Baba yao, Uwezi kuuza lasilimali za Nnchi viongozi wa Africa manyumbu
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 9 ай бұрын
Utaishi kwa laana nzito sana we,achana na utetezi wa mafisadi,tambua uliapa kuwafanyia nini watanzani na mali zao na raslimali za nchi kwa ujumla
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 11 ай бұрын
Wewe lizikanamushahalawako usizani tunaamani wakati tunaumia achamatisho wote nibinadamu kamawewe wegi walijiamini hatazaidi yawewe laki no leohii hawapo huwezi ukawatisha watu kutetea haki kisatu wewe unalipwabmusgahalamunene mukipuzia maoni yawananchi mutakujaukimbie Tanzania munaojiona nimugu
@alphoncemichael6545
@alphoncemichael6545 Жыл бұрын
Huyu nae amelalia upande mmoja.... Tanzania ina viongozi wa hovyo sana..😂😂😂😂😂
@FocusmachumuMwizarubi
@FocusmachumuMwizarubi 15 күн бұрын
Amuwezi kama mnaweza mtajaribu kuzuia raia kwani mmeshindwa kutusikiliza sasa mungu ataamua kama maisha haya ni yeye ameyataka kwetu au ni serikali
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 2 ай бұрын
Kwa swala la mikataba ni mbona sana hatukutaki samia umetufikisha pagumu
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 10 ай бұрын
Kwanza ungetetea haki za wastaafu mstafu a analipwa mafao mil.16 miaka 30, penshen ya mwezi laki 2 umekaa. Kimya! Huoni aibu wakati jwtz mkuu wao katetea wake
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 11 ай бұрын
Hata mtoto wa vijidudu anajua Hana Rais Ila MTU aliekalia kiti Cha Rais
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 2 ай бұрын
Mama Samia anajali wafanyakazi mishahara imepanda sana kipindi chake Mungu ambariki sana
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m Күн бұрын
Tanzania kwel inaamani ndo maana viongozi wanawabuluza wananchi baadhi ya Viongozi sio wazalendo kabisa wanaisi nchi wamekabidhiwa wao
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Watanzania Bwana kipindi Cha magufuli ohooooo anatupelekesha kaifanya nchi familia ohooo kajenga chato ,ohooo anaukabila mungu akaona isiwe tabu akamtoa apumzike she tunaemtaka Samia Tena ohooo tumpindue ohooo anauza nchi Bora tunyamazetu kuliko porojo
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 Жыл бұрын
Kuna watu kaka wana tamaa ya madaraka,nakumbuka wakati Magufuli ananunua ndege walisema manunuzi hayakuidhinishwa na bunge,leo hii wanamsifu.
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso 11 ай бұрын
Puuz ww
@secelelamatonya3179
@secelelamatonya3179 11 ай бұрын
Hii inaitwa ukiruka mkojo unakanyaga mavi, Mungu anatamani tuwe na macho ya kuona, naamini kwa sasa tumeshajua mema na mabaya, maana tulipewa mema kwa sababu hatujui mabaya basi mema tukayahesabu mabaya, na sasa tumeingia kwenye mabaya yenyewe kuna jambo la kujifunza kabla hatujaletewa mwingine. Hili ni funzo kubwa sana kwetu, tufungue akili zetu kwa wakati mwingine
@ramasulutan3068
@ramasulutan3068 Жыл бұрын
Shoga t uyoo
@osiahmwakasala1646
@osiahmwakasala1646 3 күн бұрын
Ninaunga mkono kulipigani taifa langu Tanzania halitakuwpango la wanyagani
@AmadiIssa-iw8sy
@AmadiIssa-iw8sy 13 сағат бұрын
kamamda tumekusikia tumeitii💏😍🎛🤝🤝🤝
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Hilo la bandar n Rohooo ya Tanganyika baada ya Egypt n Dare salaam,in Africa,lkn Wa Tanganyika tunakufa kw umaskin, petroleum sukar matbab juu maisha magumu tunadaiwa songesha huku nipigetafu,wao wana vx, za M 500,wa,wapunze vat, Tozo petroleum sukar matbab,zishuke au wizara zipunguzwe,n mzigo kw Raia, Raisi KIKWETE, alipunguza wizara ndiomaana tulitesa,
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 Жыл бұрын
Apinduliwe ndio ingekua ni serikali ya kusikiliza wananchi wake ingesitisha huo mkataba.
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Bandarini unaenda kufanya nini huna hata sondano
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 Жыл бұрын
@@isaliisu3408 we ndo moja ya mikundu hapa tz
@stevensosipita
@stevensosipita 11 ай бұрын
MBONA HIZO HOJA HAMJIBU NA BADALA YAKE MNATUDHARAU WATANZANIA ?
@rithaurassa
@rithaurassa 13 сағат бұрын
Wewe ndio hutakuta kwa sababu huna machungu na hii nchi wajuku zako huwswazii kwa sababu unakula bata saa hii. Yako ngumu unakoelekea wacha majuto yako unayosema.
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 Жыл бұрын
Bhana eeh msitutishe hata sisi tunaweza vaa hizo nguo sisi tunataka bandari yetu tu baas hizo habar akauze zao huko tunechoka bhana Kila k2 nyie mnatetea kwan nyie hamuoni au hamuishi nchi hii
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Askari mteteni sana huyo Samia anatuuza wote na nyie mnauzwa huku mnamtetea jipendekezeni sana na MUNGU atawalipa
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Hawa mapolisi ni mashoga siku hizi wapimwe akili na matako yao, vibaraka kazi uwongo tu. Mwaka huu mtayuuwa wengi nyie madhalimu ndio maana video zenu za kufirana zinaonekana mitandaoni
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 Жыл бұрын
Iko siku itafika maraisi vichaa wata toka wote African kimapinduzi waache siku itafika
@user-ch6qv3wf6t
@user-ch6qv3wf6t 11 ай бұрын
Tunajua maaskali wote ni ssm tyuu
@DaudiHamisi-un2uu
@DaudiHamisi-un2uu Жыл бұрын
Polisi ameongelea upande mmoja
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 Жыл бұрын
Police za michongo unakua Police watu wenu wakubwa ili ulinde ujinga yao
@denisjoel1592
@denisjoel1592 Жыл бұрын
Naunga mkono rais atoke hatufai kabisa
@allanmbilinyi4826
@allanmbilinyi4826 10 ай бұрын
Tunapinga kauli ya IGP WAMBURA Tanzania Sio AMANI NENDA Ngorongoro ukaone kinachofanyika hakuna AMANI.
@GeofreyMwandanji
@GeofreyMwandanji 2 ай бұрын
Mngu atusaidie huyumama nihatali kwataifa hili
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
Ni nyoka tena koboko
@mohamedmtulia3691
@mohamedmtulia3691 11 ай бұрын
Hawa wanao jifanya watetezi wahii nchi wanafki2 nao vibaraka vilevile wawazungu
@MpwataOmari
@MpwataOmari 2 ай бұрын
Nikweli hawawote ni mawakala wa papa😢.
@fatimahirakoze7311
@fatimahirakoze7311 22 күн бұрын
Mnasikia ham yakuuwisha watu kama congo mama Samia anawabeba vzr bila vurugu kiukweli mie ni mrudiye lkn nasikiya naumiya kweli tena machozi yananitoka kbs
@PetroMadada
@PetroMadada 17 күн бұрын
Ukweli huyo mama hazi ya kulea watu wazima imesha mshinda labda kulea watoto
@user-ts1pe5fw6y
@user-ts1pe5fw6y 11 ай бұрын
Ukweli uliopo tusidanganywe inchi jaman imewashinda
@abuuluqmaana8444
@abuuluqmaana8444 Жыл бұрын
Wawa danhanye hao wapuuzi wenzao lakin mtu mwenye akili hawawez kuwasikiliza wehu kama hawa wanawadanganya watu kua wanatetea maslahi ya watu kumbe wenyewe wanapigania ugali wao
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Жыл бұрын
Mimi nadhani hekima na busara ni muhimu zaidi hasa kwa wakati huu. Ni muhimu sana kila upande usikilizwe ili kumaliza mvutano huu unaoendelea.
@ndilibangokaruhawe9335
@ndilibangokaruhawe9335 Жыл бұрын
Hatuna mahakama
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
siasa mchezo mchafu iyo kesi ario pereka makamani nani nyinyi wenyewe sasa mnapiga kerere yanini mama fungia vyama sasa wanashiba mbwa awa
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu Жыл бұрын
Samia apunduliwe.,nipo tayali kujiunga na jeshi lakumpindua huyo muuza mali z wananchi 💪
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 ай бұрын
Nakufwatilia.. Tutakupata tu
@isayashayo4777
@isayashayo4777 10 ай бұрын
​@@wazirimakua12 😅
@hamisimhenwa7082
@hamisimhenwa7082 20 күн бұрын
Nchi yetu tuilinde wenyewe na pale unapokosea na kutoa maamuzi ambayo hayajaupendeza umma basi rudi nyuma kuusikiliza umma. tunao wataalamu wa kila aina hakuna haja ya kusumbuana kwenye kuijenga nchi yetu. na kama kuna shida itatuliwe mara moja. isije kutokea kukatokea kilichokibaya.
@johnchanzi610
@johnchanzi610 11 ай бұрын
😂ukome mwenyewe
@user-xx9jl9lv6r
@user-xx9jl9lv6r Жыл бұрын
Tuachieni bandari yetu
@raismalingumutz8473
@raismalingumutz8473 Жыл бұрын
Hakuna haki
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Bila katiba haki hakuna,lbda Allah atusaidie,w Tz,
@masterhptv4065
@masterhptv4065 Жыл бұрын
Natamani Raisi angewasikiliza watanzania na kusitisha mkataba huu
@abduljuma7807
@abduljuma7807 Жыл бұрын
Nyie polis waongo mbona mlipo danganyw kuhusu waislamu kuwa ni magaidi kwa uwongo mkaingia kwa nguvu Hawa wanasema kabisa tutapindua serekali na watu mnawajua mbona hamuwakati kunakiti kipo nyuma ya pazi kawakamateni
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 ай бұрын
Wewe unajua nn kuhusu mkataba au bendera fuata upepo
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 2 ай бұрын
Tumbo
@RamadhaniJafari-h1l
@RamadhaniJafari-h1l 12 күн бұрын
Nikweli ila nchiyetu bado matundu nimengi
@saimongilala8938
@saimongilala8938 Жыл бұрын
Mungu awatangulue waadamanaji
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 Жыл бұрын
Aksante we kama vituu vyako havitapelekwa utumwani uwe na amani, kula bata
@lothanathanael2286
@lothanathanael2286 24 күн бұрын
Tunakatwa sh 2000 Kila mwezi kil ukinunua umeme bila taarifani huo ni unyang'anyi serikali inatunyanyasa Sana watanzania tuamke.
@PetroMadada
@PetroMadada 17 күн бұрын
😂😂😂 tunalia tunalia kwasababu mzazi
@stephendilala-fn3ho
@stephendilala-fn3ho 9 ай бұрын
Kwan na we afand ulipew kitu kidg hatutanuamaza bandar iend wananch wawe watulifu Aman gan ipo tena mbeya mnahamish watu lazim ngorongor loliondo sa Kuna Aman gan yena nchi hii
@AminiKanda-vc1pn
@AminiKanda-vc1pn Ай бұрын
Tujue kumba tanzania sio nchi thamani ila kisiwa cha uvumilivu
@sanda960
@sanda960 Жыл бұрын
Kama hutaki kuheshimu utawala wa Sheria katika nchi hii utafute nchi ya kuishi
@user-eh2fi9ds5h
@user-eh2fi9ds5h Ай бұрын
Kwanin jaj huyo asiachishwe kaz kwan katiba inamluhusu kufanya maamuz ya utatuaj migogor atafute best solution so kwa mazoea afanye kaz
@ommyzubery8358
@ommyzubery8358 Жыл бұрын
Ndugu zangu mbona mmefikia mbali kiasi hicho Neno Mapinduzi mnafikiria ni jambo la kimzaha hebuni oneni I mfano mdogo wa hapo Kenya Hali ya kutokuwa na amani?
@lothanathanael2286
@lothanathanael2286 24 күн бұрын
Kuuzwa kwa bandri imeongeza ugumu wa maisha
@Hasnspop
@Hasnspop Жыл бұрын
Mama SAMIA MAMA SAMIA MAMA SAMIA NAKUITA MARA TATU MAMA Lete Dp wold
@YonaMathiaJohn
@YonaMathiaJohn 2 ай бұрын
Okay
@user-pv3rj5yk5n
@user-pv3rj5yk5n 2 ай бұрын
Jamani tusifanye mzaha hii fursa tuliyonayo tuilinde Watanzania wenzangu hayo munayoyafikiria hayawezi kutufikisha huko mnapotaka tufike tusikubaliane na hiyo hali Amani yetu ndio ngao hemu tuangalie baadhi ya nchi ambazo ni jirani tu je zinakalika je watu wana amani tusifike huko tutakuja kujutia sana hii amani ni kitu cha thamani mno wenzetu wanataman kuwa nayo.
@HuseniRashidi-ms7nz
@HuseniRashidi-ms7nz Ай бұрын
Tukubaliane2 na uhalisia wa maisha yalivyo kwa sasa kwasabab haya yameletwa na sisi wenyewe kukubali kuongozwa na alie takiwa aongozwe hakuna nyumba ambayo kiongoz wake ni mwanamke ambayo wataishi kwa sheria na ustarabu hata vitabu vya dini vimekataza kua mwanamke asipaze sauti MN bele ya wanaume
@allysimu6856
@allysimu6856 Жыл бұрын
Msisubutu kabisi nitalipiza kisasi kwayeyote atakaejalibu mapinduzi
@RehaniKharidi-st4oe
@RehaniKharidi-st4oe Жыл бұрын
Hi mipinzani inavuta bangi
@user-gt9zl8gs4x
@user-gt9zl8gs4x 10 ай бұрын
Rudin kijijin mlikuja mjini kufanya nini
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf Ай бұрын
Tunaomba iweivyo mikopo kilasiku wananchi bado tunahali mbaya
@isayamgazaTZ
@isayamgazaTZ Жыл бұрын
Kazi ya jeshi la police ni kulinda raia na mali zao, sasa mbona mali za raia zinachewa halafu wanaozichezea wanaungwa mkono na hao hao police?!! Hilo mmekiuka jeshi la police, na hakuna lenye mwanzo likakosa kua na mwisho, huyo mama angepinduliwa tu na hata kunyongwa angenyongwa tu, ni bola tuwe maskini lakini mali zetu tunaziona na tunajiamulia wenyewe kuliko kuamuliwa na mtu mmoja anayetoka visiwani huko, ahonga bandali na mnaenda kujenga visiwani huko,, hamna uwekezaji wa myaka 💯 hata kidogo, muwekezaji anaongezewa myaka mingine kutokana myaka ya mwanzo imeishaje baina ya muwekezaji na mwenye mali,, na wakiingia mkataba wa uwekezaji imezidi sana ni myaka 10, kwanza, ikiwa atahitaji nyongeza tena ni hapo baadae baada ya kumaliza myaka hio 10 ya mwanzo kama ameimaliza kwa ufanisi mzuri,,
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 ай бұрын
Mali zipi zimechezewa... Umeshachotwa kifikra na hao jamaa zenu wa chadema..
@user-gt9zl8gs4x
@user-gt9zl8gs4x 10 ай бұрын
Mvuta banging mkubwa wew rud kijijin kwen mjin shule
@BenjaPas
@BenjaPas 10 ай бұрын
@@wazirimakua12 wew ndo umechotwa mpumbavu hajui kama ni pumba.
@BenjaPas
@BenjaPas 10 ай бұрын
@@user-gt9zl8gs4x wew ndo mjinga
@ImaiJuna
@ImaiJuna 22 күн бұрын
Sasa picha ya putini inafanya nini hapo achen ujinga
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 3 ай бұрын
Ubongo wa huyu polisi ukapimwe uwezo wa kufikiri. Ni wapi tamko la maandamano limeeleza lengo ni kupindua serikali!! Kuandamana sio kosa la jinai. Bila shaka anaona AIBU kwa maandamano yanayofanyika nchi nzima kwa amani.
@AbubakariMakoke-kk5kq
@AbubakariMakoke-kk5kq 10 ай бұрын
Hawa wanadhalau mihimili yadora nawako lave hats mitandaon nchi isiwapuuze. Wananiambaya
@YahyaHashiru-ze9vi
@YahyaHashiru-ze9vi 8 ай бұрын
Ao waloo wa madalaka tanzania nchi ya amani lispect afande
@molamahago
@molamahago Жыл бұрын
Hatarii sana nanyie polisi mnatetea nini tuna buluzwa inamaana hamwoni 😂
@alisalimo2861
@alisalimo2861 Жыл бұрын
Wao hukimbilia ulaya hawa nahayo mandamano wao wakae mbele
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 ай бұрын
Hatuwapuuzi sisi tupo begakwabega mali za nchi zinaibiwa tu bure
@EnickoAlfredy-di7oe
@EnickoAlfredy-di7oe Жыл бұрын
Eeh kazi tunayo kunasiku kuna watu watalia
@bonabonala5559
@bonabonala5559 10 ай бұрын
ukome wewe chawa wa mwizizi wa bandari atukuerwi mjingawewe utatufunga kutuita wachochezi wewe tunapinga kuuzwa bandari na wa znzbar bora muungano uufe kwa bandari kunadiwa
@user-bo2ms3pu6u
@user-bo2ms3pu6u 26 күн бұрын
Mwizi weye washenzi
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 Жыл бұрын
Mkataba unakipengele cha marekebisho hivyo unaweza kurekebishwa,sasa hawa wanasiasa wetu hawataki marekebisho bali wanataka maandamano, Watanzania👁️?
@barakanyanchama4297
@barakanyanchama4297 24 күн бұрын
Hii nchi haifati haki
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 10 ай бұрын
Wow umeshindwa kutetea haki za mapolisi wako
@sindanojumanne-qr7hb
@sindanojumanne-qr7hb 10 ай бұрын
hatuna raisi tanzania tumekwisha
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
TAHADHARI, WADUDU hawa 6 Hutakiwi KUWAUA  ukiwaona nyumbani kwako
13:36
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22