Kaka Joel kupitia wewe nimekuwa mtu wa tofauti Sana Asante na Mungu azidi kukutunza
@vyakula_na_tiba49975 жыл бұрын
Gonga like hapa kama umemuelewa joel
@douglasradley66985 жыл бұрын
ni kweli kaka joel kutoku jiamini kumenichelewesha kufikia kwenye ndoto yangu rakini kupitia somo hili linanifungua macho kumbe naweza...I CAN DO IT...AND I CAN REACH TO THE MY GOALS
@kanezajoella6663 Жыл бұрын
Asante Sana nijiona mwenye furaha toka nianze kufwata unacho tufunza maishani
@fatmaa85575 жыл бұрын
Kabisa kaka Joel,maisha yang hakuna anaeamin, ila mimi nasema nitajatoka ktk maisha haya kwakua naamin ktk uwezo wang,,,, tuko pamoja
@christophernilongo61543 жыл бұрын
Shukran Sanaa kwa dozi unazotoa ni Babukubwaaa thank you brother
@josephmwamba22495 жыл бұрын
Duuuuuuu!!!!!sijapoteza mda wangu kbs
@omaryshafii505 жыл бұрын
Naam umenifundisha vitu vya msingi na sijawahi kujutia kuweka bundle ktk simu yangu kwaajili ya kukusikiliza kaka Joel, najiamini na ninaamini "sitabaki kama nilivyo" ahsante
@ukhtymwana49982 жыл бұрын
Ahsante kwa mafunzo mazuri Mungu akubarik sana
@angelamikuza2063 Жыл бұрын
Asante kaka Joel. Nasumbiliwa sana na hofu
@felisteravija19014 жыл бұрын
Amen kakaa,naaid najiamn kuanzia leo
@issakhamisabeid14605 жыл бұрын
kila ulichoongea hapo ni perfect brother kwa asilimia mia
@maryammaram26125 жыл бұрын
👏👏👏 kaka joel topic ya leo imenigusa sana naamin siku moja nitakuwa pale ninapopafikiria magumu mengi nayapitia lkn sijakata tamaa naamin ninawezaa👏👏👏
@naamohamed99643 жыл бұрын
👏👏👏
@mamafadila78065 жыл бұрын
Mungu azidi kukuzidishia hekma pamoja na fikra bro
@saraphinandale73734 жыл бұрын
Bro nashukulu sana munguakubariki kunakitu kikubwa umekifanya kwenye maisha yangu
@mustafahanen28853 жыл бұрын
Kiukweli najifunza vingi kutoka kwko nimekuwa mtu ninaekufuatilia kila leo kwenye mitandao naamini naamini kwa uweze wa mungu bs nitaweza kutimiza ndoto zangu
@thomasdamas43475 жыл бұрын
Asante Kaka unazidi kunipanuaakili
@abdornephotidas38485 жыл бұрын
Kaka somo zuri sana hili ahsante kwa kunisaidia.
@Mariam-ez4qw5 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwa hakika unazidi kunikomaza kiakili na naamini nitafika mbali.
@jamilaali57415 жыл бұрын
mimi ni mama,na tangu niingie channel hii,walahi nimeona tofauti kubwa sana,yaani nilikuwa nimekata tamaa ya maisha kwamba siwezi kitu,lkn sasa mwanangu nashukuru sana,Mungu akupe afya
@biubwaahmadi405 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel. Mim nna malengo yangu. Yapo baadhi nimeanza kufanya lakin kwa kukatishwa tamaa na watu wananifanya nisiamini kuwa nitaweza kufanya na yakawa kama vile nilivyopanga yawe. Kwa sasa naona hilo ndo tatzo langu.
@pendomushi23545 жыл бұрын
Kaka yani nakuombea uishi maisha marefu. Huo ulio nao ni zaidi ya wito.unafundisha uhalisia kbs. Nakupenda sana mwl wangu.
@mkamamfungo32004 жыл бұрын
Bro nashukuru kwa mafundisho yako mazuri
@edrickniwamanya4395 жыл бұрын
Ndugu yangu mpka nahisi ww ni mganga maana kila ninavyo fata mafunzo yako naona matokeo Ahsante sana brother #joelnanauka ila mm nina tabia ya kutokuwa serious na jambo ambalo nataka kulifanya nitafamyaje kuacha hii hali??? Naomba msaada kaka 🙏🙏🙏🙏
saizi naamini nacho kifanya na nitafika mbali kwa uwezo wa mungu
@Almisbahy95515 жыл бұрын
Shukran Kaka Umenifundish Kitu Mi Ttzo Lngu Nina Plan Nying Sana Za Biashara Lkn Kabla Cjaanz Naanza Kupata Wasi Wasi Kwamba Ntafanikiw Kwel Si Nitapata Hasara Mwishoe Nashwimd Kuanza Ttzo Hili La Ukisef Wa Iman Lmekuw Kubw Kwngu Naitaj Sana Mawazo Na Ushaur Wko
@mwajinasambaja74615 жыл бұрын
Napenda sana kujiamini,lakini huwa nakuwa na hofu kubwa,nakuwa nahisi nikifanya kitu Fulani,ntachekwa
@stellakins37703 жыл бұрын
Amina kaka ...Mimi ninauwezo
@mikamikanombo30444 жыл бұрын
asante sana kaka
@aminaibrahim36565 жыл бұрын
Thanks bro for educate us,I just want to be motivation speaker but I don't know how to start
@angelamikuza2063 Жыл бұрын
Some hili linamenipa nguvu sana
@jejeafrican19045 жыл бұрын
Asante na Mungu azidi kukubariki. Naamini imani ndiyo dawa ya kila kitu!
@joemouly78775 жыл бұрын
Asante saana kaka Vidéos zako zinaninga
@joemouly78775 жыл бұрын
Zinanîjenga.....nimeandika vibay
@salehussi36505 жыл бұрын
Ahsante sana broo kwakuzd kutuelimisha nakututia nguvu zaid zakusonga mbele god bless you
@enockaward73464 жыл бұрын
Safi Sana bro.
@salmaoman63475 жыл бұрын
Joel joel joel kka Daaah una nigusa sana maisha yang i really love u broo
@niveamwaibwiti3573 Жыл бұрын
Kwenye Eneo la Biashara yangu
@yolamufrank39235 жыл бұрын
bro Joel Yesu akuhifadhi daima
@franksam58485 жыл бұрын
Kaka Joel nimekuwa mtu wa tofauti sana tangu nimekusikiliza. Nimefungua Non government organization naomba unisaidie njia ya kuendesha organization.
@shekhasharifu49685 жыл бұрын
yea ni kwelii kbx broo %
@jackychebet81002 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel kwa ushari wako,be blessed
@ramadhanikhaji8005 жыл бұрын
Bro! Wewe ni life coach wangu kwa kila iitwapo Leo👊👊
@gladnessephraim47465 жыл бұрын
Ahsante kaka ninandoto nyingi na ninataka kuanzisha na kufanya mambo makubwa naomba kuwasiliana nawe
@annarichardrichard9602 жыл бұрын
Mungu akutunze bro
@herybwanga5075 жыл бұрын
Asantee Sana
@mwanakhatibu37225 жыл бұрын
asante kaka mwenyezi mungu amfanyie wepesi kwakila jambo uzidi kutuelimisha😘
@angelamikuza2063 Жыл бұрын
Hofu ya kufeli au kuachwa au kuumizqa mpaka inanifanya nashindwa kuendelea
@benjaminigwaku15735 жыл бұрын
tungepata mawasiliano mfn watsp kunavitu twahitaji kusaidiwa ila hatuwez zungumzia kwenye comment tupatie namb watsp kaka utusaidie Kwa kina
@maryammaram26125 жыл бұрын
Kweli umeongea 👍👍
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Nikweli kwenye comment hatuwezi kuuliza kila kitu
@neemahonorath3855 жыл бұрын
Benjamini Gwaku kweli benjamin umeongea
@smartphonez5 жыл бұрын
0718903195
@smartphonez5 жыл бұрын
simple eka namba yako kama hivo afu muombe mwalimu akutafute private... hii huenda ikawa rahisi kidogo😁😁
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Naamin sana ninacho kifanya
@fidelmapigano60155 жыл бұрын
Asante bro najiamini Kwanziya leo
@maleekfalcon36065 жыл бұрын
asante kaka unazid kunisaidia ku boost congruence yan.....
@mezani7825 жыл бұрын
True..kujiamini ni kitu muhimu sana katika maisha...great content
@sylviacornely4688 Жыл бұрын
umenipa ujasiri kaka
@gwantwamwaipaja11775 жыл бұрын
Me natamn kufnya biashara...lkn tatzo n cjiamin. Kufanya peke angu...mpk nfanye collabo na wtu..nifanyeje I want to stand on myself
@omarimshamu2572 Жыл бұрын
Respect brother
@muhidinmangu34562 жыл бұрын
Good brooo
@philpinanjiwa37545 жыл бұрын
Asant my brother mimi nimfa biashara mdogo wa mitandio ila wana nambia napoteza pesa
@user-dd2qe6dp9k Жыл бұрын
Dah kweli kabisa
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Sasi sana
@daudmwapas33345 жыл бұрын
Hakikia bro Joel hatua ya tatu kiukwel nimeptia sana
@emmanuelsaligwekibanda99525 жыл бұрын
Kaka UBARIKIWE SANA KUPITIA HUDUMA HII TUNABARIKIWA SANA
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Asante Sana Ni Zaidi ya darasa
@kingoman78955 жыл бұрын
Nakupenda kaka
@naomymohhe29263 жыл бұрын
Kupitia mada ya leo nimejifunza kitu ila kunasehemu nakwama
@khadijajuma71425 жыл бұрын
Tuko pamoja kaka,tunazidi kuimarika kwa elimu yako.
@kharifasiraji34462 жыл бұрын
Safi
@sabatomjungu97275 жыл бұрын
Mbna iki chakula umetupatia jioni Kaka , ??
@goldmaster66395 жыл бұрын
sawa kaka
@vanillacarpet16954 жыл бұрын
Hiyo ya point ya pili imenigusha unga na group itakuwa nzri
@mustafahanen28853 жыл бұрын
Asnt kaka
@wenceslausalex98715 жыл бұрын
KAKA JOEL NAKUELEWA SANA KATIKA SHULE YAKO YA MAISHA , NAHITAJI MAWASILIANO YAKO ILI NIKUTAFUTE
@azzeaazza63315 жыл бұрын
Naamini
@charsjohn98545 жыл бұрын
kweli kabisa kk
@trizershayo9585 жыл бұрын
daaah nimekuelewa kaka asante
@killazbaksh19994 жыл бұрын
Nice
@salmadalaquimane53035 жыл бұрын
Daaah nakuelewaga sana kka love u
@mutchietv34565 жыл бұрын
Mr joel maoni profucer wako anatunyima sound nzuri kwenye somo intro ina punch ila kwenye mafunzo sauti tunaisikia kama iko chumba cha pili
@ramadhanabilah84504 жыл бұрын
Mm naitwa ramadhan abirah niko masasi mkoa Wa mtwara Je nakipataje kitabu cha timiza malengo na sh ngapi?
@gembegeelias12545 жыл бұрын
Nahtaj kujifunz zaid kk namb plz kwa maelekezo kuhux kuvumilia ktk kufany business
@hashimuliloto80172 жыл бұрын
Totally true, big up Joe
@frankcharles60315 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yako kaka
@uhurumathias12595 жыл бұрын
shabiki wako , nakukubali sana nahitaji kitabu chako nitakipataje? nipo dar buguluni.
@zabibounzeyimana7035 жыл бұрын
nisaidiye namba ya whathat itakuwa vizuri zaidi
@sylviacornely4688 Жыл бұрын
samahan kaka iyo Hali ya kujiamini inanisaidia Kwa namna gani katika kuchangia mafanikio yangu?
@francescofelician49825 жыл бұрын
Akika video zako Zinanipa ujasili mkubwa @joel Nanauka
@rahmakishumba54635 жыл бұрын
naamaini katika self confidence. ndio kikwazo
@salehsaleh5484 жыл бұрын
Kabisa bro 👍
@goodmorningonline20255 жыл бұрын
Najiamin katika uwezo nilionao Wa kutangaza au kipaji changu cha kutangaza but cjapita chuo ila ninauwezo mkubwa sana.
@mezani7825 жыл бұрын
youtube ni sehemu nzuri ya kuanzia kuonyesha kipaji chako mkuu..