Brother Joel nakuombea kila siku kwa Allah akujaalie umri mrefu tena weny manufaa... 🔥 🔥 🔥 🤝🏻 🤝🏻 watanzanian katika mfumo wa vyama ving wagombanie watu kama hawa 5 tu... Basi tunapata Tanzania 🇹🇿 yenye maendeleo... 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻 your great...
@maggiepeter89364 жыл бұрын
Pay yourself first...Hii kanuni uliyonifundshaga naiishi mpk leo....Asante Mwalimu Joel
@magrethjohn49292 жыл бұрын
Kila siku nlkuwa natumia kanuni ya 1 lakin baada ya kuanza kufata mafundisho yako kwel yamenisaidia 🙏🙏🙏 uncle joel Mungu akupe wepesi Kwenye kila jambo
Hapo teacher nimekuelewa nimeshabadilika kwa kiasi kikubwa saana, nakushukuru Sana kwa kitabu chako cha elimu ya fedha na Muongozo wa mafanikio ∆God bless you brother 🙏
@christinen82914 жыл бұрын
Asante sana. Tangu nianze kufuatiliya mafundisho yako hakika mimi ni billionaire kwa businesses. Siku moja nitapiga shukrani kaka yangu.
@Haleem_074 жыл бұрын
Yaan nakuelewa mpak basi nipo kidato cha nne acha nifanye uwekezaji ili niixhi maisha ninayo yataka.... 🔥 🔥 🔥 🔥
@samwelisamsoni6402 Жыл бұрын
Asante saa kaka nimejifunza mengi kupitia mafundisho yako
@francischangalima50174 жыл бұрын
see you at the TOP , Nakufuatilia sana sanaa na niona many changes now in my life because of you.
@mariamkabale34244 жыл бұрын
Mada nzuri
@macksonkashingo57212 жыл бұрын
Ubarikiwe brooo joel
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Shukran Dr joel
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka joel
@kalyweedy5106 Жыл бұрын
Ahsante sana nimejifunza kitu
@issacksheduli6934 жыл бұрын
You made alot to me. .nakumbuka 22/07/2017 at shamool hotel sinza. ...ndipo ulianzisha safari yangu ya mafanikio baada ya kutoka morogoro nakuja daresalam kwa ajili ya seminar. ..
@samwelnungu74824 жыл бұрын
Hongera sana
@Mkaambali4 жыл бұрын
Asante
@mariamkabale34244 жыл бұрын
Madalali nzuri
@paschalkazimoto8420 Жыл бұрын
Sijawahi jutia mb zangu kwa kuangalia videos zako.
@malegesibwire49784 жыл бұрын
Somo fupi ila limejaa elimu ya uakika sana asante
@husseinkidedia4074 Жыл бұрын
Genious🧠
@sb-ey2sk4 жыл бұрын
Your right my brother
@kwawajanjaclassicwear4 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri bro
@tonymartin79844 жыл бұрын
Thanks bro
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
Ahsante kwa somo.
@muntarmubaraka714 жыл бұрын
See you at the top nimekuelewa sana kaka joel
@djcoco_designer57394 жыл бұрын
Safi Sana Joel Nanauka
@abelhilonga1095 Жыл бұрын
Dahhhh nilikuwa natumia kanuni no 1 sasa basi nitatumia kanuni no2
@norbethngailo66044 жыл бұрын
Good bless u
@nambananetv24904 жыл бұрын
Akiba ni Uhai Aisee!
@Haleem_074 жыл бұрын
Tunasubir materials.... 🔥 🔥 🔥
@seurykaaya10894 жыл бұрын
Good job
@kakekofarniture.53754 жыл бұрын
Asante Kwa mafunzo matam na mazuri
@SAIDXDXDBFSUMA6 ай бұрын
Assalamualaikum nilitumia kanuni ya juu kipato matumizi akiba sio hii kipato akiba na matumizi
@busagalafrank689 Жыл бұрын
Shukurani sana kaka kwa kanuni hizi?
@fedharmmark63984 жыл бұрын
Ahxante Mkuu xkhz natumia kanuni ya akiba kwanza ndo matumiz
@dr.amos..ngailomd2 жыл бұрын
Nazidi kujifunza
@hon.kabalo19604 жыл бұрын
This is so powerful..
@hammyyombe52292 жыл бұрын
🙏2
@TheLuasas Жыл бұрын
Maaaaaaaaaannnnn!!!!!!!😢
@almasimfaume7044 жыл бұрын
Short script heavy message.🙏🙏
@sumunimuhere97054 жыл бұрын
Ok
@fidiuskalekezi20494 жыл бұрын
Duh huwa kila nkiangalia video zako lazima nitoke nakitu hakika umenibadilisha kaka
@chambamalima97984 жыл бұрын
Nipo dodoma, nawezaje kupata kitabu chako?
@eddahhawa74714 жыл бұрын
See you
@nurdinchilambo14864 жыл бұрын
#motivator
@ruttajames12634 жыл бұрын
Mm siku zote natumia hyo ya kwnza kk hila nitajitaidi ni2mie no2
@sultanmwinngo92684 жыл бұрын
Achia vdio iyo Kaka. Tunaisubli
@Jifunze_TV4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@omarikisungu76304 жыл бұрын
💪
@testarguy86094 жыл бұрын
Nimekuelewa sana na hapo kwenye matumizi ndipo 98% tunapo fail
@jmedia96313 жыл бұрын
Mafanikio ni akili ya kutafuta na c yakudarasani #iyo nimeipata