Powerful stuff, a very useful lesson my good brother Joel
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sana kaka mkubwa
@olivier6600 Жыл бұрын
Nafulahiya visomo
@cosmassostenes4877 Жыл бұрын
Naitwa cosmas niko arusha nilifatili mafuzo yako 2019 mpaka leo nilikuwa Kwa mwenz naweka akiba 200000 na mpaka 100000 ila Kupitia mafunzo yako niliaza kuweka 600000 na leo hiii sitaki kuajiliwa niko kwenye prosess na kujiajili mwenyewe na ninasoma kitabu cha Timiza malengo Chenye Mbinu 60
@kelvinnjoroge49339 ай бұрын
Nikihitaji kitabu hicho nawezafanya vipi ili nipate mwongozo pia!?
@christermlewa847128 күн бұрын
Mimi pia nahitaji hicho kitabu
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Nashukuru Sana mungu akuweke nipo hapo ktk kuweka pesa Kwa baadae nashukuru Kwa hatua niliyopo mungu ni mwema
@ghfhfdtyfgggd6271 Жыл бұрын
Asante kaka Joel nilikua na madeni mpaka napata depression. Tanguy nianze kukufatilia nikajua jinsi ya kuepuka madeni.kwa sasa niko free nashukulu sana.
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante joel nakufatilia kw..umakinanu... n... Alex..kutoka.... Kenya... mungu azidi kukubariki..xana.....
@sandetete8781 Жыл бұрын
Toka nianze kukusikiliza nimekuwa na Nidhamu ya kifedha sana na nipo napiga hatua najiona maisha marefu kaka💗
@joelnanauka Жыл бұрын
Hongera sana sana endelea hivyohivyo
@frankmuhango4238 Жыл бұрын
Yan mm Kila nikipata Hela hata sijui inaenda wap pengine ningepat muda unipe ushauli Zaid ningefulahi mno
@dramatz3106 Жыл бұрын
Uishi miak mingi Mungu akujalie afya utatupa ulichopewa na Mungu asante
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen
@hassanjr5318 Жыл бұрын
Makosa ya kuepuka ktk kutafuta uhuru wa kifedha 1. Kutokua na bajeti ya matumizi yako ya kila mwezi 2. Kuishi maisha ya mikopo au madeni 3. Kutokua na mkakati wa kubadilisha active kuwa passive income ...kutokua na mkakati wa kutengeneza pesa ukiwa umelala 4. Kutokua na mpango wa kuingia kwenye uhuru wa kifedha (financial freedom) ...Kutoa kua na clear plan of financial freedom
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Wooow Asante sana MUNGU ATUTUNZIE wewe Life coach wetu🙏🙏🙏🙏
@vicentndiholeye1067 Жыл бұрын
changamoto yangu MM. KAKA. nikuto kuwa nizamu. yakile ninacho kipatA
@user-rw5ex9dd4o3 ай бұрын
Wewe ni chaguo langu pekee la mwlmu wa elimu ambayo ckufundishwa God bless u much
@EmmanuelMggs-ik9mk5 ай бұрын
akili yangu ililala kwasasa najitambua kwa masomo yako Joel nanauka asante mungu akubariki
@mohamedngota8535 Жыл бұрын
We don't have financial money and you teaching us 🙏✔️
@AdeltrudaHilonga-cz7wz8 ай бұрын
Be blessed kaka JOEL NANAUKA nakukubali sanaaa umekuwa chanzo Cha mabadiliko kwangu🙏🙏
@jamomuthakacommedy5721 Жыл бұрын
This guy is a genius
@mohamedhamad2374 Жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu nzur sana Bos Mkubwa.
@user-ue3rc9nd4n5 ай бұрын
Allah akuongonze
@emmanuelmakomango6577 Жыл бұрын
Barikiwa sana. Hakika Mungu ametupa zawadi kubwa sana wanzaninia.
@kasabamedia5332 Жыл бұрын
Good message, brother be blessed
@danchibomnyama5461 Жыл бұрын
Asante san kaka Joel kwa somo lako je nawezaje kuekeza kweny makampuni yakiserekali au makampuni ya kibinafsi
@fadhilikiyungi1741 Жыл бұрын
Thank you joel nanao niko nyuma yako
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Hakika umekua mbaraka kwa wengi Mungu azidi kukubariki zaidi kaka @Joel
@suzanakaijanangoma703 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka. Napambana Sana bado kupata mpango madhibuti wa kuelekea kwenye Uhuru wa kifedha
@lugendondayanse4910 Жыл бұрын
God bless you Br Joel
@mikehjackson8146 Жыл бұрын
Kaka joel mm nmejiajili mwenyew ila napata kipato ambacho kina mudu mahitaj yangu binafsi na watu wangu wa karibu na akiba inabak ambayo naweza kufanya uwekezaji mwingne ila cjui nianzie wap kila wazo nalowaza naliona halifai naomba kujua ni kitabu chako gan nikisome ili niweze kuvuka kwenye ukuta huu.Ahsante.
@worldboyzteamcyg4000 Жыл бұрын
Naomba unifundish jisi yakuanza biashiala ukiwa na mtaji mdogo
@davidmarik4633 Жыл бұрын
Genius 💥
@feisalhamza1589 Жыл бұрын
Thanks brother Joel.
@salehabdallah2737 Жыл бұрын
Bro j we ni nowma sanaaa right personal kwa hii motivation upo njema mung akupe umei mrefu tuzidi kufaidika na uwepo wako maisha marefuuuu tunakuombea
@neemashirima6121 Жыл бұрын
Asante kwa SoMo limenitoa mahali Fulani kaka.
@jacksondarema5654 Жыл бұрын
Habari kaka samahan xana kwanza mungu akubar xana na akupe maisha maref nawesa sema umechangia xana me kua hapo nilipo kwa mawazo yako pia naomba kuwasiliana nawe kama hutojali make Nina mamb mengi xana naitaj ushaur wako kaka
@ntidenderezajamal2073 Жыл бұрын
Asnt sn mwamba wang muhenga wang mungu akubariki sn na sn
@user-fz7lh8im8q9 ай бұрын
Najikuta kweny mabadiliko makubwa zaid pale ninapo sikiliza masomo yako na zaidi kweny kusomaaa najifunz mengi saaan kaka joel
@richardmoris8571 Жыл бұрын
Ahsante kwakuiona ufaulu was kifedha.
@mussakhamis2377 Жыл бұрын
Thank broo uko uzur
@costarsokoni Жыл бұрын
Asante sana naku soma vizuli kaka
@mafanikiogidioni5148 Жыл бұрын
Mungu akubaliki
@masheyn Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mkuu dah
@sibitasoinda7908 Жыл бұрын
1.bajet ya mwez ~ ainisha kwa vipengele 2.Epuka kuishi maisha ya madeni 3.kuwa na mkakati maalum wa kifedha 4. Mpango thabiti wa kupata uhuru wa kifedha ( kipato kinachotokana na uwekezaji kikidhi mahitaji Yako yote Barikiwa bro
@leticiampeka1488 Жыл бұрын
Perfect timing...thanks brother, stay blessed
@johnmulelamuthoka2310 Жыл бұрын
Ni kweli ndeni si poa ju ata uwezi kaa na amani
@godloveall.2564 Жыл бұрын
Shukrani Sana rafiki yangu MUNGU akubariki Sana
@mathewmekemanuel1113 Жыл бұрын
Somo zuri mwalimu
@yoshuasaiba4652 Жыл бұрын
Asante 🙏 coach
@hellyfridy8 ай бұрын
Be blessed🙏🙏
@wilbertmlyuka5723 Жыл бұрын
Hakika nilishakuelewa sana Joel
@msabwarashidi2628 Жыл бұрын
Aksante sana kaka kwa kunipa elimu bora sana
@user-bj8dm7ri5d5 ай бұрын
Asantee uko vizuri nimeioenda mafundisho Yako ubarikiwe
@lovenesslukas5360 Жыл бұрын
Ahsantee sana, ubarikiwe
@priscashairock26795 ай бұрын
Good message stay blessed our mentor
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
asante studios
@evamwashiuya3314 Жыл бұрын
Asante.kwa.somo.zuli.nimejifunza.sana.kaka
@mozasaid3869 Жыл бұрын
Ahsante sana, umenijenga,
@marympemba2137 Жыл бұрын
Kweli kabisa, kunapesa ya leo, na kesho Hilo ni jambo muhimu sana
@fyogelajohn2250 Жыл бұрын
Joel big up sana brother ♥️🤝
@mwanaidijiran3296 Жыл бұрын
Iko poa sana kamanda!
@jlxninejninekapinga4614 Жыл бұрын
Thank you mwalimu mukuu
@veronicamwautenga73946 ай бұрын
Barikiwa SoMo zur sana
@user-cb4dg1uc8x9 ай бұрын
Kaka masomo yako yamenisaidia na kunifumbua akili kaka 😊😊 aksante,,,,san
@lovenoor988 Жыл бұрын
Ahsante kaka 👏
@NestroySeme23 күн бұрын
Ntajalibu hyo kaka naan n nzul
@shackshd1512 Жыл бұрын
My mentor
@johnnyjoshua5049 Жыл бұрын
Asante Brother
@mathiasjumanne90534 ай бұрын
Asante sana nimejifunza kaka Joel
@frankdommy415 Жыл бұрын
uishi maisha marefu bro joel
@princekapocho21328 ай бұрын
Asante sana
@user-rw8cg1ij2q2 ай бұрын
Nakubariiii mkuu endelea kutukomboaaa
@user-of5sk5yy6q7 ай бұрын
Asante mtaalam
@hekimaBukuku-mu3js11 ай бұрын
Asante kaka nimejifunz kitu kwako
@kuruthumukondo71498 ай бұрын
Shukrani kaka
@hamissally9498 Жыл бұрын
Kaka mungu akupe umri mrefu uweze wapa elimu wengi.najiona kwenye pessa mingi sana.nilianguka namka nasonga mbele
@joelnanauka Жыл бұрын
Songa mbele 👏🏼👏🏼
@ShadyaJuma-vo8fk10 ай бұрын
NtaZa Leo kaka
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Joel nakukubali sana
@omarjuma1794 Жыл бұрын
#JoelNanauka Jenius by Discovery
@beatrixmalakasuka1214 Жыл бұрын
Fact kaka
@wilbertmlyuka5723 Жыл бұрын
Hakika upo vizuri
@GraceKivolweАй бұрын
Ubarikiwe sana mafunzo mazuri
@SophiaNoah-vl2tj2 ай бұрын
Nahitaji kukua kweny biashara yangu
@winfridachiunga964528 күн бұрын
Mm nakuomba unisaidie swala tu la kuweka akiba ya pesa
@beckanismone6324 Жыл бұрын
good teacher
@malindisamwel7630 Жыл бұрын
Ameeee
@BM_Smart2-6 Жыл бұрын
Basic facts with big results!!. Thanks a lot Bro..
@joelnanauka Жыл бұрын
Karibu sana
@user-or8ir2fz5z2 ай бұрын
Upo vizuri mungu akubariki
@ramadhanikibana6456Ай бұрын
Bro ubarikiwe sana.....
@vuaikitwana27529 ай бұрын
Good job brother
@EnockSaruni2 ай бұрын
Hivi my kaka kama umekosa mtaji kabisa ni hatua gani cha kufanya
@sikituukololo1161 Жыл бұрын
toka nianze kukusikiliza nilichukua hatua kwa kufanya matumizi kwa kupanga. Na akiba yangu inaongezeka, ila kwavile nimeacha kutoa hovyo pesa naambiwa siku hizi bahili.
@paschalmakono6854 Жыл бұрын
Ushauri mzuri sana, nahisi ndicho chanzo cha kutofanikiwa kwa wengi.
@joelnanauka Жыл бұрын
Sawa sawa
@noelpeter2130 Жыл бұрын
🙏💫
@user-nr5bo8yd8f13 күн бұрын
Sawa
@modestshikilana4610 Жыл бұрын
Asante sana kwa kutupatia shule nzuri
@joelnanauka Жыл бұрын
Karibu sana, tuendelee Kushare na wengine
@KenzoTembo2 ай бұрын
Ubarikiwe san
@abibusaidy5899 Жыл бұрын
Dah kwanza nashukuru kwa kaka changamoto yangu ata nikiwa na pesa natafuta niwekeze kwenye kazi gan
@williamrinus7793 Жыл бұрын
Barikiwa
@petermgoben8283 Жыл бұрын
Nathubutu kusema Dk Joel Mimi Nina shida amabapo nashindwa nifanye nn maana nilikua na Duka kubwa na nimekufuatilia Kwa muda na nimejijenga sana kupitia wewe lakini nimevunjiwa kama mara 3 Sasa nashindwa kuweka malengo ya kudumu ☝️☝️
@lukwelehassan77145 ай бұрын
Hujawahi kutuangusha toka uanze
@abdulrahmaniselemani8569 Жыл бұрын
Kupata uhuru wa kifedha.
@saumusanjiama699111 ай бұрын
Kweli
@ngendakumanasalumdiki2847 Жыл бұрын
Video muhimu saana. Asante
@joelnanauka Жыл бұрын
Share na wengine
@albinashindayi9212 Жыл бұрын
Asante
@saidalhabsi9257 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka tangia nianze kufatilia video zako nimepata uimara sana Asante