Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa

  Рет қаралды 460,191

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 503
@annagloriaroman30
@annagloriaroman30 8 ай бұрын
Wooow!!.....ukuu wa Mungu ukazidi kukuinua zaid zaid na kunena kupitia jina lako na Mafunzo haya kaka JOEL🙏.....n wiki kadhaa nimeanza kukufuatilia japo nimekusikia mda mrefu ila leo 18/05/2024(Noted here) naamini imekua n mda,tarehe,saa na majira maalumu ya mwanzo wangu mpya📌 wa kuona my WEALTH LIFE UNTIL FOREVER ✍️📌🙏....Nimejifunza na kufunguka kwa Mengi mnooo hadi nimezidi kuona fahari na kheri zote🙏... nakushukuru sanaaa na haya maarifa yakazidi kuwa LEGACY FOR GENERATIONS TO COME🙏🥂👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯❤️❤️❤️❤️✍️ Baada ya kuyafanyia kazi haya nitakuja na Utukufu na ushuuda wa ukuu wa Mungu zaid🙏🙏✍️🤝🥂
@mussamgande2530
@mussamgande2530 3 жыл бұрын
Na nakuahidi lazima niwe namafanikio kupitia mafunzo yako na ipo siku nitakutafuta ndugu ubarikiwe sana 🙏
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 3 жыл бұрын
Jamani wenzangu tunaoangalia hizi video za huyu Joel, nikisema kuwa huyu ni mtu tuliozawadiwa na Mungu, kwakuwa Mungu alivyotuumba alijua udhaifu wetu na ndio katupa huyo ili atuondolee udhaifu tulio nao. Hivyo Tumuombee azidi kutusaidia kwa mafunzo anayotupa.
@enjoyenjo8521
@enjoyenjo8521 5 ай бұрын
Sanaaaa
@JuliusMakange
@JuliusMakange Ай бұрын
Kabisaaa,,, ni mtu muhimu sana tumuombee azida kutupa vitu vizur
@kingwilliam1807
@kingwilliam1807 3 жыл бұрын
Tangu ni kujue kupitia KZbin siku ikipita bila kukusikiliza siku hio ita kua mbaya kwangu,siko tayari kabisa siku ipite bila kusikiliza mafunzo yako hata 1 hour! Barikiwa sana
@yudandugulile4684
@yudandugulile4684 3 жыл бұрын
Ni kweli anabadilisha fahamu za watu wanaojitambua.
@comktc-zv2vx
@comktc-zv2vx Жыл бұрын
plz tell me
@amobilesoftware
@amobilesoftware Жыл бұрын
Kweli kabisa jaman mwenye no ya bro Joel
@benmbaka9495
@benmbaka9495 Жыл бұрын
@@comktc-zv2vx 0 0j
@FatmahHamisi
@FatmahHamisi Жыл бұрын
Hakika tunazidi kukuwa kimaalifu ubarikiwe sana🙏
@officiallycyra6944
@officiallycyra6944 4 жыл бұрын
Habari kaka sijui unanikumbuka nilikua nakufatilia toka 2018 niiazisha duka langu la chakula ulinielimisha sana na video zako mpaka sasa Alhamdulilah nipo sawa nimekaa roho inanisuta bila kukushukulu nimefanikiwa ka kiasi fulani japo malengo yangu hayajatimia hila kwa nilipo fika namshukulu Mungu nilianza na mtaji wa laki 5 hiyo ilikua na kodi ya duka pia nilipitia kipindi kigumu hila mtaji umekua naweza kulipia bila uwoga 🙏🙏🙏
@ElvisIrakoze-pj8ym
@ElvisIrakoze-pj8ym Жыл бұрын
Watching from Burundi napenda sana mafunzo Yako! Mungu akubariki!
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 жыл бұрын
Niliite hili ni darasa la UKOMBOZI KWANGU umenitoa gizani, nimejielewa niko wapi na nifanye nini zaidi umenipa dira how to live better...nipo kwenye utekelezaji sasa ....shukrani sana🙏🔥🔥
@nickjenericks5414
@nickjenericks5414 4 жыл бұрын
Joel!mtoto wa mama!!Mungu akubariki kwa huduma yako.
@Cutephina
@Cutephina 10 ай бұрын
Asante sana MUNGU AKUBARIKI sana
@twaybachellah914
@twaybachellah914 4 жыл бұрын
Asante sana kuanzia sasa naanza kuishi katika kanuni ya kitajiri.. Kipato=>Mungu=>asset =>Matumizi.. kwa uwezo wa Mungu naamini nitaweza🙏 maana kweli nilikuwa kwenye maisha ya kupata, kutumia afu kama ikibaki ndo nifanyie malengo na haibaki kamwe🙌 nimefatilia mwanzo mwisho... Saa moja na dk 5
@mrbaraka4326
@mrbaraka4326 3 жыл бұрын
God bless you my brother,unazidi kunibadilisha katika maisha Kila ninapokusikiliza.
@zamaradimpogole6239
@zamaradimpogole6239 Жыл бұрын
Kipato, Mungu,Uwekezaji, Matumizi.......This is so powerful. You've moved me somewhere Joel.
@faraoyona3316
@faraoyona3316 Жыл бұрын
Good subject
@dianaernest9181
@dianaernest9181 9 ай бұрын
Nice lesson
@cleophacendiege8888
@cleophacendiege8888 3 жыл бұрын
Ndugu nanauka mimi umenifurahisha Sana kwasababu watanzania 90% Wana matatizo haya, wewe ni dawa ya huakika kwa watanzania kwani wengi tumekwama hapa na migogoro mingi inatokana na hapa kwenye jamii...nafikiri need vizuri masomo haya yaingizwe kwenye mfumo rasmi wa kishule kuanzia darasa la 4 na kuendelea tutakuwa tumesaidia hii nchi, ueleo mdogo ni zaidi ya Corona au hiv ktk nchi hii..mungu akubariki zaidi..Asante sana
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Asset ni viingizo au vyanzo vya pesa kama gari ya abiria, nyumba ya kukodisha na kadhalika, na liability ni aidha madeni au vitu vinavyotumia pesa kama vile simu ya mkononi kama huitumii kibiashara ni liability, ukiwa na deni ni liability. Asante kwa masomo ni elimu nzuri
@xinyingmiao4996
@xinyingmiao4996 4 жыл бұрын
asante sana bruh nipo chuo huu ni mwaka wa 3 nasomea international trade and economic but cjawah kufundishwa elimu simple na yenye mwanga wa maisha kama hii
@maarifamwashitete9552
@maarifamwashitete9552 3 жыл бұрын
Nakupata vizuli Sana Joel je nifanyeje uje utupe elimu hi songwe
@ElvisIrakoze-pj8ym
@ElvisIrakoze-pj8ym Жыл бұрын
Watching from Burundi napenda sana mafunzo Yako! Mungu akubariki! 31:12 31:13
@joselynenizi9475
@joselynenizi9475 2 ай бұрын
Dukomeze kumukurikirana natwe twiteze imbere ,kuko twese IMANA yaturemanye ubwenge nk,ubwabandi
@michaelgodrich9752
@michaelgodrich9752 3 ай бұрын
Im a wealth man ⏳, ur always my life coach and mentor (2024)
@hamisikisinzah8113
@hamisikisinzah8113 4 жыл бұрын
Nimukukubali ujumbe unafika wazi wazi kwa lugha nyepesi. Safi Sanaaa.
@SeciliaAlchard
@SeciliaAlchard 9 ай бұрын
Ahsante sana ndugu kwa semina nzuri, hakika umebadili mtazamo wangu, Mungu akubariki
@gracesizya8127
@gracesizya8127 2 жыл бұрын
Ubarikiwe naomba msaada zaidi niko katavi mpanda
@ramlamussa9144
@ramlamussa9144 5 ай бұрын
I wish hizi nondo ningezipata mapema. Ila naamini hakunaga kuchelewa, nitaanzia hapa na nitafika ninakokwenda. Haya tunapata ni zaidi ya madini. Mungu akutunze , akutunze na akutunze tena Noel❤
@hosianamosha389
@hosianamosha389 2 жыл бұрын
Hizi madini adim sana nizakurudia kusikiliza hadi hizi kanuni nikae kichwani hili ni moja ya somo lililobora sana sana ,be blessed Joel kwa haya maarifa unayotupatia
@HadijaRamadhani-ng7rd
@HadijaRamadhani-ng7rd Жыл бұрын
Thenks so much broo now naelewa Zaid kuhusu bishara
@JoyceTsaxara-y4i
@JoyceTsaxara-y4i 4 ай бұрын
Yote uliyofundisha ni fact. Barikiwa sn mtumishi wa Mungu.
@yuzoujini27
@yuzoujini27 4 жыл бұрын
Asante j ningeomba mawasiliano yako nikuulize baadhi ya vitu make vipindi vingine vimeishapita hivyo nahitaji muongozo wako
@JoramEkaale
@JoramEkaale 9 ай бұрын
Thanks Bw .Joel nanauka keep moving you're more than Great the sky is your Limit am getting u very well from Turkana... please keep moving...the 🌟 is your Limit.... congratulations you're and exemplary speaker....
@EsitaDombo
@EsitaDombo 3 ай бұрын
Aminaa mtumishi nitayaishi haya mafunzo yako .miaka mitano mbele sitakuwa hap nilipo now
@hamissramadhan3484
@hamissramadhan3484 3 жыл бұрын
dah!! 🤔🤔broo nimekuelewa sana sana asante kwa elim nzuri 🙏🙏
@Cutephina
@Cutephina 10 ай бұрын
MUNGU AKUWEKE KAKAANGU🙏
@Mosesyona-t9j
@Mosesyona-t9j Жыл бұрын
Nakuombeaga sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu na mazuri maana unafanyika Baraka kwangu na najengeka kil ninapo kusikia mwalim JOEL
@RamadhanMtaki-sw1gx
@RamadhanMtaki-sw1gx Жыл бұрын
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 asante Sana mkubwa Kwa somo lako na mungu hakutie nguvu huzidi kutufundisha
@yusuphkaungo2255
@yusuphkaungo2255 4 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana mwalimu. Powerful message 🔥🔥.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Karibu sana
@marymgore6714
@marymgore6714 4 жыл бұрын
Aisee,Utukufu kwa Mungu juu yeye aliekupa Akili,Hekima,Maarifa na Busara nawe hukuona so kitu kuvikumbatia Ila kuvitoa kwa faida ya wengine
@patkenAgri
@patkenAgri 4 жыл бұрын
Kaka joel Ahsante kunipa njia sahihi ya maisha yangu hakika tangu nime anza kuku fatilia hadi sasa nime badili maisha yangu kiasi kikubwa sana Mungu akupe Maalifa zaidi naomba gusa vipengere vyote kaka livyo baki.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ameen, nafurahi sana kusikia hivyo
@yunusmbaroukmbarouk5150
@yunusmbaroukmbarouk5150 2 жыл бұрын
Jambo la kushkuru ni kwmba nimeyasoma haya kwenye vitabu vingi vya Mwalimu wa Fedha, Mr Robert Thero KIYOSAKI bado nipo na miaka 21 tu sasa iv na kuyaelewa mengi, pia kwenye Video hii nimejikumbusha yale nilioyasoma kwenye vitabu vyake💯I hope one day kwa uwezo wa Mungu tutafanikiwa🤲🏻Ushauri wangu usione uvivu kusoma kitabu. Noa ubongo wako kwa kuupa madini mengi kutokana na vipaombele vyako
@yuscopambakali610
@yuscopambakali610 2 жыл бұрын
Your course is so mavelous bro God blessing you
@mcongomakete3064
@mcongomakete3064 4 жыл бұрын
Joel Nanauka Hongera sana nduguyangu. Ninapenda sana mafunzo yako. Tukikuelawa lazima tupate mafanikio. Sasa inapo tokea mme yupo vizuri kwenye aseti lakinimke duu matunizi yani. Akiuza elfu 10. Anatumia nakukopa zaidi nakuahidi kua nitalipa lesho akitegemea akiuza siku inayo fuata alipe deni. Natamani mafunzo yangekua yanatolewa mahali peupe kila mmoja asikie akiwepo mwenza. Kila nikimwambia ananita mie mkoloni.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Hongera kwa kujifunza, endelea kumsaidia na yeye ajifunze pia.
@Aviero_07
@Aviero_07 4 жыл бұрын
Yaan Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko... 🔥 🔥 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻 from zanzibar... Karibu NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.... 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻🤝🏻
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Nashukuru sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 naamini nitakuja Zanzibar na tutaonana.
@ramadhanrashidali7056
@ramadhanrashidali7056 4 жыл бұрын
@@joelnanauka inshaallah tunakusubir ..God bless you
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 4 жыл бұрын
Hapana jamani bwana huyu asifungwe na chochote ili aweze kuwahudumia watu wote bila mipaka.Kaka Mungu akubariki,asiuache mguu wako usogezwe yeye akulindaye.
@AnnaThom-cj4yt
@AnnaThom-cj4yt 9 ай бұрын
Asantee sana nanauka Mimi sijawai weza kitu hiki na kinaniumiza sana naitajiii kujifuza zaidi,,
@JemimahChiro
@JemimahChiro 10 ай бұрын
Woooou ni mefunguka macho isee God bless u my brother
@fahari1genius902
@fahari1genius902 4 жыл бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki na kukuongeza katika kile unachotufundisha kuna maarifa umeniongezea nilikuwa sina katika kutimiza malengo yangu na tofauti kati ya Rich& wealthy, Mungu akubariki and See you at the Top of Successful….
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Safi sanaaa,tuendelee kujifunza
@daniellepari4525
@daniellepari4525 2 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu joel Nanauka kwa elimu nzuri mungu akubariki
@giselamndeme7776
@giselamndeme7776 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa SANA kuanzia leo naanza kubadilika
@WANDWI-fn3uq
@WANDWI-fn3uq 8 ай бұрын
habari mimi ni Julius Wandwi, namiliki duka la matumizi madogomadogo ya nyumbani, najitahidi kukufuatilia kaka hizi kanunu nataman kuzifuata, nashindwa sehem moja tu kujua kwa siku naingiza shingap kamafaida out of capital ili niweze kuzifuata kanuni hizi kwa uzuri maana pia inanishinda kupanga budget
@reineskomugisha8653
@reineskomugisha8653 2 жыл бұрын
asante sana kwa mafundisho yako mazuri
@alisrupia9532
@alisrupia9532 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa somo Zuri sana
@nemmymtango3682
@nemmymtango3682 4 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa somo nzuri Mungu azidi kukulinda uendelee na jukumu hili....
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ameen
@chieffofofoodinternational4102
@chieffofofoodinternational4102 Жыл бұрын
thank you nimejifunza kitu kwako mungu akubariki
@stamiliomari4085
@stamiliomari4085 4 жыл бұрын
Ndugu nanauka mungu akuweke umenibadirisha Sana kwa elimu zako Asante Sana Tena Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ameen nashukuru sana
@henryjulius1608
@henryjulius1608 4 жыл бұрын
Kaka Asante sana kwa hili somo natamani liwafikie watu wengi zaidi,Maana ni somo ambalo linagusa maisha ya wengi hasa Vijana,Mungu akubariki sana kaka.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ameen, tuendelee kushare
@ukhtyaminah1183
@ukhtyaminah1183 2 жыл бұрын
Daaah nina kama 3 days nakufatilia walah ningekufaham mapema wewe na ningekufatilia mapema nahisi ningekuwa mbali ila nafkr wakati sahihi ni sasa wakati wa mafanikio ni sasa asante bro kwa taaluma uliyonayo na unayoitumia kuwapa watu faida mm nilikuwa naomba unielekeze kuhusu matumizi sahihi ya CM maana inanipotezea muda sana
@petermsangi2701
@petermsangi2701 Жыл бұрын
Be blessed for what your doing ..
@SophiaMalley-kw7pi
@SophiaMalley-kw7pi Жыл бұрын
Ww ni mwalimu mzuri sana umenifundisha mambo makubwa ktk maisha yangu
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Watching for 3rd time and still learning @kenya
@mwanaidimsemo6321
@mwanaidimsemo6321 3 жыл бұрын
Hakika kupitia wewe fikra zangu zimebadilika sana, hata sijutii MB zangu kabisaaaa. Naomba tu kufaham kuhusu semina zako kwa dsm, nahitaji kushiriki moja kwa moja ukumbini🙏 nakuelewa Sana mkuu, nahitaji kujifunza zaid pia
@mteuleteuamt5831
@mteuleteuamt5831 3 жыл бұрын
Aisee Mungu akutunza unatuvusha wengi kwa Elimu hii.
@loycep7785
@loycep7785 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho haya ni ya muhimu sana kwetu hasa ktk kizazi chetu Mungu atupe ufahamu na hekima zaidi
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 жыл бұрын
Asante sana mungu awazidishie kher nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako
@mercyhenry1054
@mercyhenry1054 3 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako ,,,mungu akubariki
@mariamwikedzi1638
@mariamwikedzi1638 11 ай бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri ya fedha.
@TheLuasas
@TheLuasas 4 жыл бұрын
Nimeguswa sana kabisa!! Nimekupata katika kiwango flani kabisa! Thank you very much!
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Thanks,karibu Sana Edgar
@TheLuasas
@TheLuasas 4 жыл бұрын
You’re the kind of man I have been looking for!! You’ve rescued me and my family!! From what I heard and learned, one year from now, I will come to testify!! Thanks my hero!!
@juliusjosephy2364
@juliusjosephy2364 3 жыл бұрын
Asante sana kk kwa somo lako zuri mungu akubariki
@jomathmatu5122
@jomathmatu5122 3 жыл бұрын
Umenisaidia sana .....kuanzia leo 6 sep 2021 nabadilika... baada ya mwaka ninaamin kama niliyoyakusudia yatatimia nitakuwa hatua nzr.
@AbediKalunda-nf9vc
@AbediKalunda-nf9vc 3 ай бұрын
Mpendwa Joel.Mungu akubariki .
@nicksonkimboi7152
@nicksonkimboi7152 3 жыл бұрын
Mwendelezo broo sioni
@zizuhmanizo2570
@zizuhmanizo2570 4 жыл бұрын
Mungu akulipe kheri sikupata kujifunza vitu vakimsingi kamahivi tangia nimeanza kujifunza mungu akupe umrimrefu uzidi kutufunza
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 3 жыл бұрын
asanti Joel umenipadishi kiwango kigine kwa mafuzo mazuri na mimi nitayatedeya kazi kuakikisha niweju
@PaschalKizale
@PaschalKizale Жыл бұрын
Namshukulu rafkiangu saimoni majula kuninionesha kwamba Yuko mwalm mzuri sana wa uchumi ambaye ni joeli nanauka ,nimeanza kuona mabadiliko nilikua siweki akiba Sasa naweka from money formula Mungu akupe afya na uzma tele joeli nafamilia Yako
@frankmangera9599
@frankmangera9599 2 жыл бұрын
Nothing to say more than Be Blessed Brother Nanauka. It's true I was on my way to resign job coz of not having vision and Debt in Some Microfinance business
@daisymtitu6375
@daisymtitu6375 3 жыл бұрын
So blessed 🙌 😇
@alicekasambala1050
@alicekasambala1050 4 жыл бұрын
Thanks brother Mafundicho mazuri sana Nimejifunza kitu apa 🙏
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana sana kwa mafundisho mazuri
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 3 жыл бұрын
Joel nakupenda sana, namshukuru Mungu kwa kukuleta duniani na hata ukawa na kipaji ulicho nacho, mazungumzo yako ni mafunzo na faraja kwa kila anaekusikiliza. Ubarikiwe sana.
@noelmwakiposa7220
@noelmwakiposa7220 4 жыл бұрын
Asante sana Mungu ukubariki
@forrochars3660
@forrochars3660 4 жыл бұрын
kk joel nimekuelewa sana nashukuru kwa somo zuri
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ahsante Sana tuendelee kujifunza
@happymbogo1885
@happymbogo1885 4 жыл бұрын
Mungu akubalik,i kaka Joel kwa elimu kubwa saana uliyotupatia.
@salehemhedu4578
@salehemhedu4578 4 жыл бұрын
Ahsante sana mwl nimeipata sna naitaji kujifunza zaidi kutoka kwako ahsante
@SalmaSalma-sd5we
@SalmaSalma-sd5we 4 жыл бұрын
Shukran sana nakufuatilia sana nami nitakuletea matokeo yangu
@shubirarutaihwa4829
@shubirarutaihwa4829 4 жыл бұрын
Asante kaka nimepata elimu kubwa kwenye mada hii ,nitatumia ili nisonge mbele ,asante
@FatumaThobias
@FatumaThobias Жыл бұрын
Ubarikiwe , kiukwel umenitoa gizani,
@vumiliajulias6625
@vumiliajulias6625 Жыл бұрын
Nakushukuru kwaushauri.ambaonimekuwa.naupata kwako.ubarikiwe ..
@rehemadavid2680
@rehemadavid2680 2 жыл бұрын
Asante sana kaka yangu mm ni mwanafunzi ninashukuru kwa somo lako nilikuwa sina nodamu ya fedha ila kupitia somo lako umenifundisha kitu kikubwa sana nashukuru
@omarmohamednur645
@omarmohamednur645 2 жыл бұрын
Shukran ndugu mungu akuongezee killa laa kheeri🙏
@floraclemence2081
@floraclemence2081 4 жыл бұрын
Asante kwa kunifungua akili tena Mwaka Jana nilijaribu kufuata kanuni uliyotufundisha ya kutoka kwenye madeni na nimefanikiwa kutoka asante Sasa naanza kufanyia kazi somo la leo linanigusa sana.mungu akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Wow hongera sana sana Flora. Naomba tuwasiliane zaidi, natamani kusikia zaidi. 0756-094875
@amosbwire4201
@amosbwire4201 4 жыл бұрын
You are simply, the best!!!
@angelsamuel3897
@angelsamuel3897 3 жыл бұрын
MvMVX
@ukhtymwana4998
@ukhtymwana4998 2 жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho yako
@HassanAhmadi-p6l
@HassanAhmadi-p6l 5 ай бұрын
Ahsante mwalimu kwa elimu mzuri hata kama nilikua kundi no 1 sasa nitabalika ingawa sikua mbalisana nakundi no 3
@mohamedkudura8114
@mohamedkudura8114 2 жыл бұрын
Allah akulipe kheri,nafurahia elimu yako na umeamsha ndoto zangu nyingi
@mariammashimba4311
@mariammashimba4311 3 жыл бұрын
Asante Sana kwa ushaur wako unatujenga
@magnusndunuka1038
@magnusndunuka1038 4 жыл бұрын
asante kwa elimu yako naamn namm ntafanikiwa
@hamisikisinzah8113
@hamisikisinzah8113 4 жыл бұрын
Very very,very Good lecture or lesson.
@olivermfinanga1268
@olivermfinanga1268 3 жыл бұрын
Ishi maisha marefu Mungu ajitwalie utukufu kupitia hay mafunzo maisha ya wengi yatabadilika🙏🙏
@patrickadmila9667
@patrickadmila9667 4 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel. Umenifungua akili. Mungu akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ameeen
@martinmollel1423
@martinmollel1423 2 жыл бұрын
God bless you, nimepata darasa kubwa sana
@eliasmakeja4827
@eliasmakeja4827 3 жыл бұрын
Hahaha!!! tutawapakata vizuri tu masikini mbinguni!!!! ......brother JOEL Mungu akubariki kwa maarifa haya na akuongezee zaidi maarifa zaidi
@mariamhinda6710
@mariamhinda6710 4 жыл бұрын
Asante kwa somo zur naahid kufanyia kazi na nitatoa ushuhuda
@mwanaidimsemo6321
@mwanaidimsemo6321 3 жыл бұрын
Mie ninao ushuhuda mwingi tu kupitia yeye, mungu ambarik sana kiongoz huyu jamani🙏
@shukranjulius5910
@shukranjulius5910 3 жыл бұрын
Amina nabarikiwa mno
@yudandugulile4684
@yudandugulile4684 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri,maana ninakuelewa vizuri.
@revocatusbyamungu149
@revocatusbyamungu149 4 жыл бұрын
Great advise
@LaoMahinda-gb3uo
@LaoMahinda-gb3uo Жыл бұрын
Ndugu yangu ubarikiwe sana najifunza mengi sana kutoka kwako.
@FatumaLichali-pv2uz
@FatumaLichali-pv2uz Жыл бұрын
Du ubalikiwe kaka naamini hata ukiwa na kiasi kidogo chapesa unaweza kujenga .kitu kikubwa ni kujua malengo yako nn ,na mm kuanzia leo nafuatilia mafunzo yako naamini nitayafikia malengo yangu ya huu mwaka.asante
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 6 ай бұрын
Ubarikiwe ❤❤❤❤
FANYA HAYA KUTIMIZA MALENGO YAKO 2025 || JOEL NANAUKA
23:04
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 80 М.
Жездуха 42-серия
29:26
Million Show
Рет қаралды 2,6 МЛН
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
Thank you mommy 😊💝 #shorts
0:24
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 33 МЛН
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 197 М.
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 66 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 176 М.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 141 М.
Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka
17:05
KUJENGA MTAJI WATU/SOCIAL WEALTH  - JOEL NANAUKA
1:14:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 25 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 28 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 29 М.
Жездуха 42-серия
29:26
Million Show
Рет қаралды 2,6 МЛН