Vitu Vinavyowakera Wanawake - Joel Nanauka

  Рет қаралды 183,353

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 478
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 3 жыл бұрын
Alikua ananuna , mood swings akipetiwa shida akiwa na shida nakuwepo ila mimi hayupo hata kuuliza imekuaje na akija anagomba kuwa simtafuti kumbe hakuwahi kujibu hata na anasema hajaziona! Nilimpenda yeye tu sio pesa ila hata nusu saa yake sikuwahi kuipata! Na uongo juu! Nilitembea mbele ..
@roi2554
@roi2554 3 жыл бұрын
Wanaume tayari tushajifunza tunaahidi tutabadika maana imetugusa sana Ila sasa mkuu Ikiwezekana fanya tafiti pia kwa wanaume ili 'na wao wajue vitu gani hatuvipendi kutoka kwao
@eyumededu2948
@eyumededu2948 3 жыл бұрын
Tulishapewa
@ladslauspius4845
@ladslauspius4845 3 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@omarhango4564
@omarhango4564 3 жыл бұрын
Mmmh pigilia na upande wa pili ili tuende sawaaa
@halimaomary6884
@halimaomary6884 3 жыл бұрын
Harufu jaman harufu za mwili mtu anavaa boxa wiki nzima inatoa harufu mtu ndan hana ata sabuni ya kuogea alafu unaamua kutumia lugha ya upole unamuelewesha utakuta anakujibu wew tena umeanza 🤣🤣badilikeni kaka zetuuuuuuu
@mwajumamwishehe2743
@mwajumamwishehe2743 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 3 жыл бұрын
Sisi sio Kaka zenu,,,NI wame zenu bhana
@سعيدالنعيمي-س4س
@سعيدالنعيمي-س4س Жыл бұрын
Daaa mimi apo kwenye halufu hua pana nikela sana
@user-bt9yg4on6m
@user-bt9yg4on6m 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@DeoApronali
@DeoApronali 7 күн бұрын
Mtoto anaamka😂😂😂
@azizakwileka1686
@azizakwileka1686 3 жыл бұрын
Hivyo vitu ni kweli kabisa... Hasa hapo kwenye harufu na uongo jamani, kupelekeshwaa aaaagh.. Uuwiii😀😀
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣Shahawa kqmq beberu yani😅😅😜
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 жыл бұрын
Bila shaka kaka Joel...na tunapoongea jambo tunakatishwa na kuambiwa ndivyo mlivyo wanawake hamna utakachozungumza cha maana.
@stevensamwel4854
@stevensamwel4854 3 жыл бұрын
Nikweli ndugu Joel nakubali ili na bahada ya kusikiliza ninakiri tuko hivyo, utafiti wangu nimegundua atukujiandaa kwenye swala la mausiano ya ndoa tumekurupuka waume na wake. Laiti wangetujua wanaume tulivyo wasingeangaika sana, kwa sababu tuko hivyo watumie nafasi hii kukubali mathaifu yetu. Pia wajue kuwa maisha yanabadilisha muelekeo.
@kwizeraismael8784
@kwizeraismael8784 3 жыл бұрын
Asante Sana joel.. kusema ukweli nimejifunza kitu ambacho naona kinaelekea kuvunja mahusiano yangu na yule nnaempenda... Kweli kuanzia Leo ntajitahid nijirekebish maana tatizo ni apo kwenye order... Nilikua natumia Sana ila mungu anisaidie... Kuhusu kumsifia namsifia ila kwa Sasa yupo mbali kimasomo ila hakuna asojua sifa zake katika marafiki zangu.... Na nilisha tenga mda kwajili take...
@silviamacha6962
@silviamacha6962 3 жыл бұрын
Kupewa muda na mwanaume pia ni kitu muhimu sana mwanamke anapenda sana kusikilizwa ata kama kitu ni kidogo. Somo zurii sana kaka 😊
@mussalulenga9939
@mussalulenga9939 2 жыл бұрын
Nina kasolo moja tu kwa mtu wangu nampa mda mchache sana ila nikiwa frii nashinda nae tukifurahiana mda wote sema kwa wikii labda mara 1
@lilianmsuya6936
@lilianmsuya6936 3 жыл бұрын
Joel, ahsante sana kwa mafundisho mazuri. Jambo la kuongezea linalokera wanawake ni mume kufanya mambo ya kifamilia bila kukushirikisha na bila kuzingatia kipaumbele. Mf.ananunua magari 2 au 3 wakati hana nyumba. Na ukijaribu kuhoji ni ugomvi
@godfreyhaule404
@godfreyhaule404 3 жыл бұрын
lily hautaki gari?
@sugarkheri4680
@sugarkheri4680 2 жыл бұрын
Joel hii Kwa mtazamo wangu inawezekana inachangiwa sana na malezi yetu baadhi ya wazazi
@giftkelvin7
@giftkelvin7 3 жыл бұрын
Asante Joel kwa somo zuri!, Wanawake pia wanachukia mwanaume ambaye "hawasikilizi" na pia ambaye hashukuru "appreciate" wanachukia. Kwa niliowahi kuinteract nao walionyesha hivyo
@fatinaabdul2392
@fatinaabdul2392 3 жыл бұрын
U po wapi nikupe zawad yaan mm yaliwah kunikuta nikaacha MTU yaan unamfanyia mambo mazur unampa mizawad lkn hashukuru jmn na anakuonyesha ni lzma umfanyie HV. Alaf hasikiliz ht umshur mazur mangap hasikiliz ht ukimwambia nenda msikitin au kanisani wallah akusikilz Jmn ht km unanitosheleza vzr kitandani nakuacha mm najua utanisumbua tu baadae. Yaan ht ukimwambia tukapime HIV hatak sasa unajiuliza huyu anamaana gani? Kiukweli umeongea point kubwa saaana
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 жыл бұрын
Yes tabia hiyo naichukia ha hata useme vipi bure!! siwezi kuishi na mtu ivo stress!!
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 3 жыл бұрын
Kabisa mtu asie shkuru ni mtu mbaya sana shkuru japo kwakidogo
@mohamedikambi8690
@mohamedikambi8690 3 жыл бұрын
Kiukweli kuwa na shukrani ni jambo kiungwana sana binafsi ningepata mwanamke wa namna hiyo na anaeweza kunishauri ningeshaoa🤣
@robinahumphrey9725
@robinahumphrey9725 3 жыл бұрын
Inaumiza sana..mwanaume akusikilizi anawasikiliza ndugu zake...tuuu...ukimueleza unashida ya kiasi cha pesa anakwambia sina,akipigiwa simu na ndugu yake anamuomba laki na nusu anampka wakati wewe ulikuwa umeomba ...elfu 50...awajari lsia zetu aiseeeew...kaka ubarikiwe sana...nimeweka somo lako nae alikuwepo ,Tabia ya kwanza akasema kama ananuka au anatoa arufu si amfanyie usafi mwenyewe mkewe...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 3 жыл бұрын
Kwenye harufu hapo ni sawa kuhusu ku care hiyo nikazi ya wote wanawake humchukulia mwanaume kama msukule wakufanya kila kitu yeye akiwa free kabisa. Ukiona Mume kamnyamazia mke jua kashachoka kaelekeza hasikii. Mwisho ukitaka kumridhisha mke hapo utaumia sana labda ugeuke kuwa shetani wanamuelewa sana shetani kuleko. Napia wakumbushe wasiombe ombe pesa sana. Mwisho ya yote ujumbe mzuri san bro See.you
@upendoagustino2174
@upendoagustino2174 3 жыл бұрын
Hahaha wasiombeombe hela wapate wapi Kama hujamfungulia biashara
@angelkanoga2175
@angelkanoga2175 3 жыл бұрын
Kwakweli somo zuri sana Mungu awasaidie kaka zetu. 😃😃😃Upewe Ulinzi mkali sana.
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 жыл бұрын
Yaan daaaah hadi nme ongeza saut asikie😀😀😀😀
@jacksonamos2008
@jacksonamos2008 3 жыл бұрын
Si uwe unamwambia mwenyewe au unamwogopa
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 3 жыл бұрын
Somo zuri wenye tabia mungu awasaidie wajirekebishe ni mtihani mgum sana miguu kwapa mdomo je nguo za ndani wajijue mwanamke bora usimpe lakini uwe msafi muelewa mwenye imani mwenye huruma atakuvumilia umaskini si kilema
@ibrahimkimaro8529
@ibrahimkimaro8529 Ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel kwa somo zuri, kuyajua mambo haya kabla ya kuhusiana ni vizuri sana inaepusha vingi huko mbeleni Umenibariki sana mtumishi wa Mungu.
@ibrahimkassim4505
@ibrahimkassim4505 2 жыл бұрын
Thanks for your hospitality may God bless you
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
nmeona jna nikastuka😅
@barakachawe6241
@barakachawe6241 2 жыл бұрын
Hilo la #6 #watusamehe tu kuna mda tunachoka hata kuiona simu huwa hatutamani #Wajue sio mda wote tunakuwa na wengine na pia huwa hatuwawazi wengine ila uchovu, tukiwaomba tulale wajifunze kutuelewa.. 😃 😃
@laylatmlacha4729
@laylatmlacha4729 3 жыл бұрын
Kweli wanakuwaga wakali sana palenunapohitaji muda wake ni wachache san wenye kucare hili
@mwakaproductionbombardier4203
@mwakaproductionbombardier4203 3 жыл бұрын
Unao wangapi? Itakua amegundua unao wengi.
@gracematunda2564
@gracematunda2564 3 жыл бұрын
Everything u said bro. Is all true. Kuna kazi sana ya kuweza kubebana pia katika madhaifu yetu. Ila wanaume hizo tabia hapo juu zote wanazo na sizipendi kabisa
@aglibertusrobett421
@aglibertusrobett421 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri natamn mno ukizungumzia kwann mwanaume amwache au asiridhike na mkewe japokua ni mwaminifu na mwanzo pia mwanaume alikua vema lakn sasa unakua hata raha ya kwenda nyumbn huna
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 3 жыл бұрын
yaani kaka Joel MUNGU anisaidie tu....naumia ila no way...hapo kwenye kupetiwapetiwa kwenye ndoa yangu ni mtihani.....basi ngoja nipotezee tu......ila napenda sana kudeka na kuulizwauliza vineno vya kimahaba,,,,,ila daah. judy
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 жыл бұрын
Njoo kwangu
@josephgregory9843
@josephgregory9843 3 жыл бұрын
Thanks to almighty God kua sina hizo weekness na ndo jambo linalonifanya niwe na furaha na kila kukicha nimwambie mungu asante
@ndurumalunguja8596
@ndurumalunguja8596 3 жыл бұрын
Nasubiri mda ukifika niachike sina raha na ndoa yangu .bora nikaishi na muuza genge ila niwe na furaha tu na kupendwa bc.maisha yenyewe haya mafupi furaha nitaipata lini.naishi kama mfanya kazi daah.
@esthercharles5945
@esthercharles5945 Жыл бұрын
Upo sahihi kabisa yani harufu unaweza fanya unikose kabisa, nilitongozwa nakaka mmoja nilimpenda Ila harufu imenikimbiza
@jominanyakafumbe1358
@jominanyakafumbe1358 Жыл бұрын
Mungu akikuze kipawa chako ili uzidi kuyafichua yaliyoko gizani...umenena yaliyoyakweli haswaaa!!!
@paulinaululu3348
@paulinaululu3348 3 жыл бұрын
God bless you you are my legend it true🇲🇿🇲🇿
@AfiSoul103
@AfiSoul103 3 жыл бұрын
Ahahahahaaaqqaaaahhaaaaaa daaaah jamani Kweli Wenye harufu ya mdomo huwa wanapenda sana wakiongea wakusogoleee usoni aiiii mamaa ahhaaaaha daaah...
@fatinaabdul2392
@fatinaabdul2392 3 жыл бұрын
Hahahahaha
@juliethswai4263
@juliethswai4263 3 жыл бұрын
Kaka Joel umenigusa sana...haya yote ni ukweli na ndio vitu vinavyotutesa sana wanawake....kama hapo uliposema mtu anataka tu mwili wako ila hajali unajiskiaje hajui una stress gan wala hajui unapitia mangapi.
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 жыл бұрын
Julieth uko single au? tuyajenge bas
@samsonsariko9537
@samsonsariko9537 3 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka, kazi yako ni nzuri sana, Natumai tumejifunza mengi na pia tumejua makosa yetu kama wanaume, Mimi binafsi nitarekebika kiukweli, Mungu akusidishie hekima
@julietjesse3495
@julietjesse3495 3 жыл бұрын
Yaani we kaka acha kabisa, kila ulichokisema ni kweli kabisa, mbaya zaidi hata ukijaribu kumshauri labda atabadilika, Wala hakuitikii na hayafanyii kazi.!
@faridamrema7627
@faridamrema7627 3 жыл бұрын
Nivizuri sana. Kuna wanaume hawana mda na kusikiliza hizi nakal ujumbe utawafikiaje watu kweli wanateseka hasa kwenye swala la muda
@jeniferkalemela99
@jeniferkalemela99 3 жыл бұрын
Namba 5💔😭😭
@nuhuibra5219
@nuhuibra5219 3 жыл бұрын
Pole
@shamumaabdala6341
@shamumaabdala6341 2 жыл бұрын
Hii ya sita inanihusu
@LucyMwikola-vc1lc
@LucyMwikola-vc1lc Жыл бұрын
Kitu kingine kuna wanaume wanapenda sana kulaumu na pia wajiona wao sio wasio wakosaji 😢
@ednasawala8816
@ednasawala8816 3 жыл бұрын
Harufu harufu, jamani daah! Kikwapa na mdomo mmmh... Hapana
@annakisiga889
@annakisiga889 3 жыл бұрын
Mwingine kinachotukela mwanaume kunywa pombe harafu hataki kuulizwa ukimuuliza anaanza kufoka mwanaume kunywa pombe kurudi ucku wa manane au hata kulala hukohuko anarudi asbh ukimuuliza anakufokea hicho kitu pia kinatukera Sana
@atuganile08
@atuganile08 3 жыл бұрын
Yeah Quality time kwa kweli ni Muhimu Sana Watu mmekaa wiki nzima busy na Maisha hata kupata muda kidogo wa kuongea peke yenu hamna inakera kwa kweli. Mwananke akihitaji hiyo anaonekana anataka kufuja resources au ana mambo ya kitoto
@user-lx2wg4je3t
@user-lx2wg4je3t 7 ай бұрын
Ni kweli wanaume wengi huwa wanadili na mwili tu wa mwanamke kwa kweli inaumiza sana
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 жыл бұрын
nilikuwa sijui kumbe ndo mana napendwa kuna wanawake ao kama hawajaniona hawana aman hupenda harufu yangu husema nanukia vizur.
@jenynaafya
@jenynaafya 3 жыл бұрын
😂😂ongeza vionjo
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 жыл бұрын
@@jenynaafya 😅😅😅😅...what's fucker baby!!.
@AngelMassawe-nz9sk
@AngelMassawe-nz9sk 3 ай бұрын
Hongereni wamama mmeyawakilisha vzr makero muhimu mwalimu ameyafafanua safi kabisa
@delsonsaidi1923
@delsonsaidi1923 Жыл бұрын
Tabia nyengine awapendi wanaume ,wasio kuna na vitu vipya like surprise za upendo
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 жыл бұрын
Mungu wangu ❤️
@janenkhwazi2457
@janenkhwazi2457 3 жыл бұрын
Nikweli kaka Joel...we learn more from you...you deserve great valued.
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
Yani wengine shahawa kama beberuuu ukigongana nao hurudi tena😂😂😂
@petermtuka3730
@petermtuka3730 2 жыл бұрын
But hapo kweny jambo la 2hapo kunamna ukuwap nafasi wanajikuta sana Hawa viumbee
@berthakipangula2273
@berthakipangula2273 Жыл бұрын
Asante joel
@user-jy5kj8dd9y
@user-jy5kj8dd9y 9 ай бұрын
Siurongo n kweli kabisa
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 жыл бұрын
Everything true!!! kwa 70% ya wanaume wako hivo...
@issackelias3677
@issackelias3677 Жыл бұрын
Hahahaha aisee Joel Leo umeongea Mambo ya Uvunguni Sana Ila yote Ni kweli Mungu atusaidie turekebishe! Mi nimepata langu hapa la Kunisaidia Asante sana.
@mrengineer8901
@mrengineer8901 3 жыл бұрын
Wanawake ni watu wa ajabu sana broo kuna dem mwengine anaweza akakwambia anakupendea halufu ya jasho lako
@jameskasembe2593
@jameskasembe2593 2 жыл бұрын
Wow no mada mzuri nimependa ila mimi kama wa famila nimejitahdi sana kifanya vyote vizuri nanina ishi mbali na familia ila dah nikiboko ata nifanye nn bado ana visa kama bibi jela
@salmasaid7112
@salmasaid7112 3 жыл бұрын
Ningependa kukuomba somo la tuishi vipi na watu wenye gubu mbinu zipi uishi nazo
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 3 жыл бұрын
😂😂😂
@jumatawfiq6443
@jumatawfiq6443 2 жыл бұрын
Duh kwakweli upo sahihi Sana nanimekuelewa kaka Asante kwa Domo nzuri
@mapenzitz
@mapenzitz 3 жыл бұрын
Me ni mwanaume ambae sina izo kero, mtu poa san kujisif kubay tatiz langu mgum kutoa hela, aisee nikiombwa hela hua naugua homa kali kabisa na hii inanifany niachan na ninaowapend.
@faizpawila9168
@faizpawila9168 3 жыл бұрын
asee tupo pamoja
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 3 жыл бұрын
Nahis hili nalo ninalo mm
@merinakarama
@merinakarama Жыл бұрын
Kwa halihiyo ni vigumu kuwa na familia.
@dapriccy3574
@dapriccy3574 3 жыл бұрын
Hujakosea kbs brooo kumbe wengi yanawakuta haya jaman,,ni kweliii kbs
@magdalenajimmy3157
@magdalenajimmy3157 2 жыл бұрын
Asante kwa somo ni kweli wanaume wako busy na kutafuta pesa kuliko hata familia maana yake hata akirudi home atakuwa amechoka na kazi.
@akshots_tz
@akshots_tz 3 жыл бұрын
nimecheka sana point ya kwanza ya harufu, kiukweli vyote ulivoongea vipo sahihi kabisa.
@veronicafungo3375
@veronicafungo3375 3 жыл бұрын
Asante kaka joel
@njolatvonline1039
@njolatvonline1039 3 жыл бұрын
Japo inachoma upande wetu ila ni wakati wa kujifunza na kuyafanyia kazi aya pamoja sana bro kwa somo zuri
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 3 жыл бұрын
Me ni Mwanaume,aisee huwa sipendezwi na Mtu yeyote anae nuka Mdomo chaaaaaa🤧😬
@HusseinSuleiman-g3b
@HusseinSuleiman-g3b 5 күн бұрын
Mm mkorofi sana na napendwa sana na wanawake
@albertinemacimu1247
@albertinemacimu1247 3 жыл бұрын
Ohooo 🙌🙌🙌👏👏👏 Kaka yangu eee bado sijaja inbox toka 2019 ila sasa nimerudi na mengi maana kweli wewe ni genius maana for 100% kila ulichoniambia kimetokea kwa asilimia 85 but for now natarajia kuanza upya na nitang’aa zaidi good job nitakushukuru tu ila bado 🤝🤝🤝🤝👏👏👏
@sihabaomary1519
@sihabaomary1519 3 жыл бұрын
Apo umenifurahisha kwakweli
@elizabethcharles6527
@elizabethcharles6527 Жыл бұрын
Wanaume ndio mlivyo jaman 😭😭😭😭
@evalinemnisi173
@evalinemnisi173 3 жыл бұрын
Mpendwa ni yote yangu,yaani ni kama ulikuwa unanisema mimi!
@mussalulenga9939
@mussalulenga9939 2 жыл бұрын
Pole sana lafiki yangu jarbu kumueleza usiogope kwamba atakuonaj
@rosejoseph5502
@rosejoseph5502 3 жыл бұрын
Kuna harufu ya pombe pia inakera sana
@godfreyhaule404
@godfreyhaule404 3 жыл бұрын
kama pombe inakera sigara utaiweza?
@motiontz3722
@motiontz3722 2 ай бұрын
Nimalize tu kusema Mwanamke hata ufanye nini bado hawez kuridhika so kitu cha msing tu Wanaume tufocus kutafuta pesa mengne hayo hayana maana👊👊👊
@Chawamsafi1
@Chawamsafi1 2 ай бұрын
sasa ww sikiliza hayo unayoelezwa alafu utafakari unakwama wapi kwa mkeo hapa tunaongelea zaidi wake sio mademu
@motiontz3722
@motiontz3722 2 ай бұрын
@@Chawamsafi1 😂😂😂😂😂😂 Nadhan bado Hujawajua vzur hawa viumbe.....any way kwang haya sio muhim saana bcoz nishayafany saana lkn mwisho wasiku nilikuja kuelewa kwamba ni upumbav tu.... Pesa ni muhim tutafute pesa tupate majib ya maswal yetu yote,,,, #Bible imeweka waz kuwa pesa nijawabu ya mamb yot
@Chawamsafi1
@Chawamsafi1 2 ай бұрын
@@motiontz3722 usisahau kitandani anataka nanliii
@silviamacha6962
@silviamacha6962 3 жыл бұрын
Hivo vitu vina uhalisia kabisa kaka hasa namba tano mwanaume anakuwa anataka tu mwili wa mwanamke na kutoa vitisho vya kuachana kisa hutaki kumpa mwili wako.
@saidbanga
@saidbanga 3 жыл бұрын
Tumekuelewa..! Ni bora Utuambie Ukweli..!
@fezakabala6589
@fezakabala6589 3 жыл бұрын
Hivyi vitu ni kweli kabisa kakangu na mimi ni mama
@naftalkileo5224
@naftalkileo5224 Ай бұрын
Vyote sawa ila kwenye uongo haukwepeki. Mwanamke ukiwa muwazi sana kwake unampoteza
@YosiaYohana
@YosiaYohana 2 ай бұрын
Ubalikiwe san kk unajuakufundish
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
My brother wangu Ubarikiwe sana
@enockaward7346
@enockaward7346 3 жыл бұрын
Safi bro Somo zuri Sana kwa sisi wanaume
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
Brooo kwa shule hiii nayapata bila ada NI masters tosha..
@bahatimwasule5307
@bahatimwasule5307 3 жыл бұрын
Asante kwa Soma zuri ni kweli Kuna wanaume hawajali kabisa yaan pesa ndo kipaumbele kuliko utu
@mariammasamba8104
@mariammasamba8104 Жыл бұрын
Kweli KBC yaaan
@joycemisesemo1427
@joycemisesemo1427 3 жыл бұрын
Ni kweli ulichosema, zaidi Sana wanaume hawana muda wa kuzungumza na wake zao, wako busy busy always, na hata akipumzika unakuta maongezi hakuna kajaa usingizi siyo mchana au usiku, hawarudi nyumbani hata na zawadi ndogo ya upendo holaaaa!!! Jamani wanachosha, unajitahidi Make kubadili mapishi wapi! Unamnunulia zawadi kidogo yeye Wala hutaona hata chupi. Loooo kwa Nini tusichoke na sisi.
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 жыл бұрын
Hahahahahaha
@winnienyimbi5031
@winnienyimbi5031 2 жыл бұрын
Nilichelewa wap somo zuri san, wapunguze amli yaan utazan mke nae Kam mtot vile duu cio vizur
@dethaemily9463
@dethaemily9463 2 жыл бұрын
Kiingine tunakeleka ukiingia kwenye familia ambayo dada ndiye anasauti unakuta mumeo anamuogopa dada yake , dada yake kajigeuza km mama mkwe inakera sana, sana
@omukashopping9152
@omukashopping9152 2 жыл бұрын
Asante ubarikiwe mm kiukweli sinaga mda atakidogo nimejifunza kitu sasa nafungua ukulasa mpya
@mwl.frankmadembo7472
@mwl.frankmadembo7472 3 жыл бұрын
Haya bwana
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 3 жыл бұрын
Kaka hilo la5 😭😭😭😭 nitatizo sana Nala7 mmmm tafazali wanaumee mh
@aishahassani3921
@aishahassani3921 3 жыл бұрын
Nashkuru sana kwa SoMo la Leo umenikumbusha mbali Sana nilivunja ndoa yngu kwa mume wngu alikuwa hajali isia zangu yy alikuwa akiitaji mwili tuu kama ananibaka
@joycefuraha4973
@joycefuraha4973 3 жыл бұрын
Somo zuri sana barikiwa kaka Joel👏👏👏
@nicksonedson1770
@nicksonedson1770 3 жыл бұрын
Iyo research hope umeifanyia mashuleni especially ayo mambo ya harufu lazma
@hamislipangine5109
@hamislipangine5109 3 жыл бұрын
Nimejkut nachek peke yangu.
@katembenduto9560
@katembenduto9560 6 ай бұрын
Nakubali kaka kwa kutukumbusha udhaifu wetu,itabidi turekebishe.
@mrjulius5840
@mrjulius5840 2 жыл бұрын
Ndoa mana wanaume bora tumebaki wachache sana hata Tanzania, mfano mkoa mzima wa mbeya, wanaume bora hatufiki 10, yan nipo mimi na wengine wachache 😁😁😁
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
Wewe ndio machafu balaaaa
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
😂😂🤣🤣
@witnesswilliam3802
@witnesswilliam3802 2 жыл бұрын
Umesahau harufu ya pombe au sigara jaman zinakera Sana hizi harufu
@paskalmaganga9225
@paskalmaganga9225 Жыл бұрын
Sio kila kusifia basi kweli kapendeza umevaa nusu uchi naanzaje kusifia
@robinahumphrey9725
@robinahumphrey9725 3 жыл бұрын
Kweli ,anakuwa bize na simu mpka kitandani mpka Unaisi uko peke yako...wanaboaaaaa.
@user-nm1je5pt4u
@user-nm1je5pt4u 2 жыл бұрын
Nikweri kabisa wanaume wengi gucukuria wake zaoo kama watumwa
@janethrugakingila9139
@janethrugakingila9139 3 жыл бұрын
Upewe ulinzi my coach🤭🤭
@awadhally1052
@awadhally1052 3 жыл бұрын
😄😂
@salehsaleh548
@salehsaleh548 3 жыл бұрын
Ww janeth😊😊
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 3 жыл бұрын
Tunashukuru sana mwalimu lkn kunavitu vingine wana wake ndio sababu ya mwanaume kuwa hivyo lkn tukija kwenye swala la usafi inafaa mwana ume uwemsafi kabisa lkn hapo sasa kwenye mda kunashida mwanzo wa mapenzi huwa mwana mke anakuwa Romantic sana lkn akisha kuzoea anapunguza inamfanya mwana ume kukosa ham ya kuwa karibu nae kabisa lbd ukiwa naham na tendotu
@Mlevimedia
@Mlevimedia 3 жыл бұрын
Leo dah noma san yan hahahhahahah umechangamka
@paulinamtabazi1759
@paulinamtabazi1759 6 ай бұрын
Uongo huwa unakataa steam kabisa
@perucebuhomaosward8512
@perucebuhomaosward8512 Жыл бұрын
No 4, 5, 1, 6, hivyo vitu kwakweli ni janga kwa wanawake tulio wengi. Ni kero kubwa
@evanalex8799
@evanalex8799 3 жыл бұрын
Sema wametukandia sana brother joel but true
@frankaloyce6438
@frankaloyce6438 8 ай бұрын
Kaka minaona tungesimama katika uanaume wetu tuu, maana wanawake wanahitaji vitu vyote vya ulimwengu na wanachukizwa na vitu vyote vya ulimwengu hawajulikani wapo SIDE GANI🤔🤔, Tufanye tunayoyaweza tuu.
@zabibusephania2415
@zabibusephania2415 3 жыл бұрын
Yaani ukweli kabisa hilo somo ni zuri sana wanaume wengine wanachosha
@mariamkologombe6556
@mariamkologombe6556 2 жыл бұрын
Vipo Sana hivyo vitu Kwa wanaume wengi
@philipomashaka
@philipomashaka 11 ай бұрын
Respect bro
@sugarkheri4680
@sugarkheri4680 2 жыл бұрын
Japo hatukuwepo waliyosema wenzetu ni kweli kabisa mpaka inachosha
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Hizi vituzimechanghia sana kuharibika kwandoa zetu sikuhizi.lakini kwanza kabisa tatizo linatoktawapi? Nisisi wanadoa amaniulezi wawazazi wetu? Naomba kamanawenza patajibu
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 жыл бұрын
Nne na tano, Kweli mtupu
@sadih5333
@sadih5333 3 жыл бұрын
!aaaah, mijitu inanuka kweli kweli makwapa midomo acha tu.
@elliemroso3802
@elliemroso3802 3 жыл бұрын
Jaman I feel blessed kusikia hili somo my lovely bro.. I'm in love with my fiancee.. he do not have such characters.. I love him 😍😍
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 Жыл бұрын
I hope he still the same 😆😆
@graciousmongi7680
@graciousmongi7680 Жыл бұрын
@@godfreydavid6996 hahahaa😂 me too
@adelinacosmas6232
@adelinacosmas6232 3 жыл бұрын
Namba 5 opoooo pananikeraaaaaaaa cheeeeeefuuu kama mwanamke na pesa sipendiiii adi nachukia ivi nilikuwa wapi kuwa sister
Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka
10:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 70 М.
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 131 М.
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,8 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 12 МЛН
EPUKA MTAZAMO HUU - JOEL NANAUKA
17:21
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
Maswali 7 wasiyopenda kuulizwa Wanaume - Joel Nanauka
9:21
Joel Nanauka
Рет қаралды 27 М.
DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA
8:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 134 М.
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 18 М.
Jifunze kuongea kiingereza hata kama umeishia shule ya msingi.
18:15
Jifunze Kiingereza Haraka
Рет қаралды 29 М.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 102 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 63 М.