Alikua ananuna , mood swings akipetiwa shida akiwa na shida nakuwepo ila mimi hayupo hata kuuliza imekuaje na akija anagomba kuwa simtafuti kumbe hakuwahi kujibu hata na anasema hajaziona! Nilimpenda yeye tu sio pesa ila hata nusu saa yake sikuwahi kuipata! Na uongo juu! Nilitembea mbele ..
@roi25543 жыл бұрын
Wanaume tayari tushajifunza tunaahidi tutabadika maana imetugusa sana Ila sasa mkuu Ikiwezekana fanya tafiti pia kwa wanaume ili 'na wao wajue vitu gani hatuvipendi kutoka kwao
@eyumededu29483 жыл бұрын
Tulishapewa
@ladslauspius48453 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@omarhango45643 жыл бұрын
Mmmh pigilia na upande wa pili ili tuende sawaaa
@halimaomary68843 жыл бұрын
Harufu jaman harufu za mwili mtu anavaa boxa wiki nzima inatoa harufu mtu ndan hana ata sabuni ya kuogea alafu unaamua kutumia lugha ya upole unamuelewesha utakuta anakujibu wew tena umeanza 🤣🤣badilikeni kaka zetuuuuuuu
@mwajumamwishehe27433 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@luhanyamipawantobi68883 жыл бұрын
Sisi sio Kaka zenu,,,NI wame zenu bhana
@سعيدالنعيمي-س4س Жыл бұрын
Daaa mimi apo kwenye halufu hua pana nikela sana
@user-bt9yg4on6m4 ай бұрын
😂😂😂😂
@DeoApronali7 күн бұрын
Mtoto anaamka😂😂😂
@azizakwileka16863 жыл бұрын
Hivyo vitu ni kweli kabisa... Hasa hapo kwenye harufu na uongo jamani, kupelekeshwaa aaaagh.. Uuwiii😀😀
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣Shahawa kqmq beberu yani😅😅😜
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Bila shaka kaka Joel...na tunapoongea jambo tunakatishwa na kuambiwa ndivyo mlivyo wanawake hamna utakachozungumza cha maana.
@stevensamwel48543 жыл бұрын
Nikweli ndugu Joel nakubali ili na bahada ya kusikiliza ninakiri tuko hivyo, utafiti wangu nimegundua atukujiandaa kwenye swala la mausiano ya ndoa tumekurupuka waume na wake. Laiti wangetujua wanaume tulivyo wasingeangaika sana, kwa sababu tuko hivyo watumie nafasi hii kukubali mathaifu yetu. Pia wajue kuwa maisha yanabadilisha muelekeo.
@kwizeraismael87843 жыл бұрын
Asante Sana joel.. kusema ukweli nimejifunza kitu ambacho naona kinaelekea kuvunja mahusiano yangu na yule nnaempenda... Kweli kuanzia Leo ntajitahid nijirekebish maana tatizo ni apo kwenye order... Nilikua natumia Sana ila mungu anisaidie... Kuhusu kumsifia namsifia ila kwa Sasa yupo mbali kimasomo ila hakuna asojua sifa zake katika marafiki zangu.... Na nilisha tenga mda kwajili take...
@silviamacha69623 жыл бұрын
Kupewa muda na mwanaume pia ni kitu muhimu sana mwanamke anapenda sana kusikilizwa ata kama kitu ni kidogo. Somo zurii sana kaka 😊
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Nina kasolo moja tu kwa mtu wangu nampa mda mchache sana ila nikiwa frii nashinda nae tukifurahiana mda wote sema kwa wikii labda mara 1
@lilianmsuya69363 жыл бұрын
Joel, ahsante sana kwa mafundisho mazuri. Jambo la kuongezea linalokera wanawake ni mume kufanya mambo ya kifamilia bila kukushirikisha na bila kuzingatia kipaumbele. Mf.ananunua magari 2 au 3 wakati hana nyumba. Na ukijaribu kuhoji ni ugomvi
@godfreyhaule4043 жыл бұрын
lily hautaki gari?
@sugarkheri46802 жыл бұрын
Joel hii Kwa mtazamo wangu inawezekana inachangiwa sana na malezi yetu baadhi ya wazazi
@giftkelvin73 жыл бұрын
Asante Joel kwa somo zuri!, Wanawake pia wanachukia mwanaume ambaye "hawasikilizi" na pia ambaye hashukuru "appreciate" wanachukia. Kwa niliowahi kuinteract nao walionyesha hivyo
@fatinaabdul23923 жыл бұрын
U po wapi nikupe zawad yaan mm yaliwah kunikuta nikaacha MTU yaan unamfanyia mambo mazur unampa mizawad lkn hashukuru jmn na anakuonyesha ni lzma umfanyie HV. Alaf hasikiliz ht umshur mazur mangap hasikiliz ht ukimwambia nenda msikitin au kanisani wallah akusikilz Jmn ht km unanitosheleza vzr kitandani nakuacha mm najua utanisumbua tu baadae. Yaan ht ukimwambia tukapime HIV hatak sasa unajiuliza huyu anamaana gani? Kiukweli umeongea point kubwa saaana
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Yes tabia hiyo naichukia ha hata useme vipi bure!! siwezi kuishi na mtu ivo stress!!
@safiyasafiya50143 жыл бұрын
Kabisa mtu asie shkuru ni mtu mbaya sana shkuru japo kwakidogo
@mohamedikambi86903 жыл бұрын
Kiukweli kuwa na shukrani ni jambo kiungwana sana binafsi ningepata mwanamke wa namna hiyo na anaeweza kunishauri ningeshaoa🤣
@robinahumphrey97253 жыл бұрын
Inaumiza sana..mwanaume akusikilizi anawasikiliza ndugu zake...tuuu...ukimueleza unashida ya kiasi cha pesa anakwambia sina,akipigiwa simu na ndugu yake anamuomba laki na nusu anampka wakati wewe ulikuwa umeomba ...elfu 50...awajari lsia zetu aiseeeew...kaka ubarikiwe sana...nimeweka somo lako nae alikuwepo ,Tabia ya kwanza akasema kama ananuka au anatoa arufu si amfanyie usafi mwenyewe mkewe...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,
@manenolugendo63963 жыл бұрын
Kwenye harufu hapo ni sawa kuhusu ku care hiyo nikazi ya wote wanawake humchukulia mwanaume kama msukule wakufanya kila kitu yeye akiwa free kabisa. Ukiona Mume kamnyamazia mke jua kashachoka kaelekeza hasikii. Mwisho ukitaka kumridhisha mke hapo utaumia sana labda ugeuke kuwa shetani wanamuelewa sana shetani kuleko. Napia wakumbushe wasiombe ombe pesa sana. Mwisho ya yote ujumbe mzuri san bro See.you
@upendoagustino21743 жыл бұрын
Hahaha wasiombeombe hela wapate wapi Kama hujamfungulia biashara
@angelkanoga21753 жыл бұрын
Kwakweli somo zuri sana Mungu awasaidie kaka zetu. 😃😃😃Upewe Ulinzi mkali sana.
@salimalaquimane26403 жыл бұрын
Yaan daaaah hadi nme ongeza saut asikie😀😀😀😀
@jacksonamos20083 жыл бұрын
Si uwe unamwambia mwenyewe au unamwogopa
@safiyasafiya50143 жыл бұрын
Somo zuri wenye tabia mungu awasaidie wajirekebishe ni mtihani mgum sana miguu kwapa mdomo je nguo za ndani wajijue mwanamke bora usimpe lakini uwe msafi muelewa mwenye imani mwenye huruma atakuvumilia umaskini si kilema
@ibrahimkimaro8529Ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel kwa somo zuri, kuyajua mambo haya kabla ya kuhusiana ni vizuri sana inaepusha vingi huko mbeleni Umenibariki sana mtumishi wa Mungu.
@ibrahimkassim45052 жыл бұрын
Thanks for your hospitality may God bless you
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
nmeona jna nikastuka😅
@barakachawe62412 жыл бұрын
Hilo la #6 #watusamehe tu kuna mda tunachoka hata kuiona simu huwa hatutamani #Wajue sio mda wote tunakuwa na wengine na pia huwa hatuwawazi wengine ila uchovu, tukiwaomba tulale wajifunze kutuelewa.. 😃 😃
@laylatmlacha47293 жыл бұрын
Kweli wanakuwaga wakali sana palenunapohitaji muda wake ni wachache san wenye kucare hili
@mwakaproductionbombardier42033 жыл бұрын
Unao wangapi? Itakua amegundua unao wengi.
@gracematunda25643 жыл бұрын
Everything u said bro. Is all true. Kuna kazi sana ya kuweza kubebana pia katika madhaifu yetu. Ila wanaume hizo tabia hapo juu zote wanazo na sizipendi kabisa
@aglibertusrobett4213 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri natamn mno ukizungumzia kwann mwanaume amwache au asiridhike na mkewe japokua ni mwaminifu na mwanzo pia mwanaume alikua vema lakn sasa unakua hata raha ya kwenda nyumbn huna
@judithnjunwa66683 жыл бұрын
yaani kaka Joel MUNGU anisaidie tu....naumia ila no way...hapo kwenye kupetiwapetiwa kwenye ndoa yangu ni mtihani.....basi ngoja nipotezee tu......ila napenda sana kudeka na kuulizwauliza vineno vya kimahaba,,,,,ila daah. judy
@haidhabushiri95582 жыл бұрын
Njoo kwangu
@josephgregory98433 жыл бұрын
Thanks to almighty God kua sina hizo weekness na ndo jambo linalonifanya niwe na furaha na kila kukicha nimwambie mungu asante
@ndurumalunguja85963 жыл бұрын
Nasubiri mda ukifika niachike sina raha na ndoa yangu .bora nikaishi na muuza genge ila niwe na furaha tu na kupendwa bc.maisha yenyewe haya mafupi furaha nitaipata lini.naishi kama mfanya kazi daah.
@esthercharles5945 Жыл бұрын
Upo sahihi kabisa yani harufu unaweza fanya unikose kabisa, nilitongozwa nakaka mmoja nilimpenda Ila harufu imenikimbiza
@jominanyakafumbe1358 Жыл бұрын
Mungu akikuze kipawa chako ili uzidi kuyafichua yaliyoko gizani...umenena yaliyoyakweli haswaaa!!!
@paulinaululu33483 жыл бұрын
God bless you you are my legend it true🇲🇿🇲🇿
@AfiSoul1033 жыл бұрын
Ahahahahaaaqqaaaahhaaaaaa daaaah jamani Kweli Wenye harufu ya mdomo huwa wanapenda sana wakiongea wakusogoleee usoni aiiii mamaa ahhaaaaha daaah...
@fatinaabdul23923 жыл бұрын
Hahahahaha
@juliethswai42633 жыл бұрын
Kaka Joel umenigusa sana...haya yote ni ukweli na ndio vitu vinavyotutesa sana wanawake....kama hapo uliposema mtu anataka tu mwili wako ila hajali unajiskiaje hajui una stress gan wala hajui unapitia mangapi.
@ladislausngoyinde43843 жыл бұрын
Julieth uko single au? tuyajenge bas
@samsonsariko95373 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka, kazi yako ni nzuri sana, Natumai tumejifunza mengi na pia tumejua makosa yetu kama wanaume, Mimi binafsi nitarekebika kiukweli, Mungu akusidishie hekima
@julietjesse34953 жыл бұрын
Yaani we kaka acha kabisa, kila ulichokisema ni kweli kabisa, mbaya zaidi hata ukijaribu kumshauri labda atabadilika, Wala hakuitikii na hayafanyii kazi.!
@faridamrema76273 жыл бұрын
Nivizuri sana. Kuna wanaume hawana mda na kusikiliza hizi nakal ujumbe utawafikiaje watu kweli wanateseka hasa kwenye swala la muda
@jeniferkalemela993 жыл бұрын
Namba 5💔😭😭
@nuhuibra52193 жыл бұрын
Pole
@shamumaabdala63412 жыл бұрын
Hii ya sita inanihusu
@LucyMwikola-vc1lc Жыл бұрын
Kitu kingine kuna wanaume wanapenda sana kulaumu na pia wajiona wao sio wasio wakosaji 😢
@ednasawala88163 жыл бұрын
Harufu harufu, jamani daah! Kikwapa na mdomo mmmh... Hapana
@annakisiga8893 жыл бұрын
Mwingine kinachotukela mwanaume kunywa pombe harafu hataki kuulizwa ukimuuliza anaanza kufoka mwanaume kunywa pombe kurudi ucku wa manane au hata kulala hukohuko anarudi asbh ukimuuliza anakufokea hicho kitu pia kinatukera Sana
@atuganile083 жыл бұрын
Yeah Quality time kwa kweli ni Muhimu Sana Watu mmekaa wiki nzima busy na Maisha hata kupata muda kidogo wa kuongea peke yenu hamna inakera kwa kweli. Mwananke akihitaji hiyo anaonekana anataka kufuja resources au ana mambo ya kitoto
@user-lx2wg4je3t7 ай бұрын
Ni kweli wanaume wengi huwa wanadili na mwili tu wa mwanamke kwa kweli inaumiza sana
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
nilikuwa sijui kumbe ndo mana napendwa kuna wanawake ao kama hawajaniona hawana aman hupenda harufu yangu husema nanukia vizur.
@jenynaafya3 жыл бұрын
😂😂ongeza vionjo
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
@@jenynaafya 😅😅😅😅...what's fucker baby!!.
@AngelMassawe-nz9sk3 ай бұрын
Hongereni wamama mmeyawakilisha vzr makero muhimu mwalimu ameyafafanua safi kabisa
@delsonsaidi1923 Жыл бұрын
Tabia nyengine awapendi wanaume ,wasio kuna na vitu vipya like surprise za upendo
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Mungu wangu ❤️
@janenkhwazi24573 жыл бұрын
Nikweli kaka Joel...we learn more from you...you deserve great valued.
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Yani wengine shahawa kama beberuuu ukigongana nao hurudi tena😂😂😂
@petermtuka37302 жыл бұрын
But hapo kweny jambo la 2hapo kunamna ukuwap nafasi wanajikuta sana Hawa viumbee
@berthakipangula2273 Жыл бұрын
Asante joel
@user-jy5kj8dd9y9 ай бұрын
Siurongo n kweli kabisa
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Everything true!!! kwa 70% ya wanaume wako hivo...
@issackelias3677 Жыл бұрын
Hahahaha aisee Joel Leo umeongea Mambo ya Uvunguni Sana Ila yote Ni kweli Mungu atusaidie turekebishe! Mi nimepata langu hapa la Kunisaidia Asante sana.
@mrengineer89013 жыл бұрын
Wanawake ni watu wa ajabu sana broo kuna dem mwengine anaweza akakwambia anakupendea halufu ya jasho lako
@jameskasembe25932 жыл бұрын
Wow no mada mzuri nimependa ila mimi kama wa famila nimejitahdi sana kifanya vyote vizuri nanina ishi mbali na familia ila dah nikiboko ata nifanye nn bado ana visa kama bibi jela
@salmasaid71123 жыл бұрын
Ningependa kukuomba somo la tuishi vipi na watu wenye gubu mbinu zipi uishi nazo
@patriciacarlo72363 жыл бұрын
😂😂😂
@jumatawfiq64432 жыл бұрын
Duh kwakweli upo sahihi Sana nanimekuelewa kaka Asante kwa Domo nzuri
@mapenzitz3 жыл бұрын
Me ni mwanaume ambae sina izo kero, mtu poa san kujisif kubay tatiz langu mgum kutoa hela, aisee nikiombwa hela hua naugua homa kali kabisa na hii inanifany niachan na ninaowapend.
@faizpawila91683 жыл бұрын
asee tupo pamoja
@alfredjohn56933 жыл бұрын
Nahis hili nalo ninalo mm
@merinakarama Жыл бұрын
Kwa halihiyo ni vigumu kuwa na familia.
@dapriccy35743 жыл бұрын
Hujakosea kbs brooo kumbe wengi yanawakuta haya jaman,,ni kweliii kbs
@magdalenajimmy31572 жыл бұрын
Asante kwa somo ni kweli wanaume wako busy na kutafuta pesa kuliko hata familia maana yake hata akirudi home atakuwa amechoka na kazi.
@akshots_tz3 жыл бұрын
nimecheka sana point ya kwanza ya harufu, kiukweli vyote ulivoongea vipo sahihi kabisa.
@veronicafungo33753 жыл бұрын
Asante kaka joel
@njolatvonline10393 жыл бұрын
Japo inachoma upande wetu ila ni wakati wa kujifunza na kuyafanyia kazi aya pamoja sana bro kwa somo zuri
@jacksonmathayo65103 жыл бұрын
Me ni Mwanaume,aisee huwa sipendezwi na Mtu yeyote anae nuka Mdomo chaaaaaa🤧😬
@HusseinSuleiman-g3b5 күн бұрын
Mm mkorofi sana na napendwa sana na wanawake
@albertinemacimu12473 жыл бұрын
Ohooo 🙌🙌🙌👏👏👏 Kaka yangu eee bado sijaja inbox toka 2019 ila sasa nimerudi na mengi maana kweli wewe ni genius maana for 100% kila ulichoniambia kimetokea kwa asilimia 85 but for now natarajia kuanza upya na nitang’aa zaidi good job nitakushukuru tu ila bado 🤝🤝🤝🤝👏👏👏
@sihabaomary15193 жыл бұрын
Apo umenifurahisha kwakweli
@elizabethcharles6527 Жыл бұрын
Wanaume ndio mlivyo jaman 😭😭😭😭
@evalinemnisi1733 жыл бұрын
Mpendwa ni yote yangu,yaani ni kama ulikuwa unanisema mimi!
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Pole sana lafiki yangu jarbu kumueleza usiogope kwamba atakuonaj
@rosejoseph55023 жыл бұрын
Kuna harufu ya pombe pia inakera sana
@godfreyhaule4043 жыл бұрын
kama pombe inakera sigara utaiweza?
@motiontz37222 ай бұрын
Nimalize tu kusema Mwanamke hata ufanye nini bado hawez kuridhika so kitu cha msing tu Wanaume tufocus kutafuta pesa mengne hayo hayana maana👊👊👊
@Chawamsafi12 ай бұрын
sasa ww sikiliza hayo unayoelezwa alafu utafakari unakwama wapi kwa mkeo hapa tunaongelea zaidi wake sio mademu
@motiontz37222 ай бұрын
@@Chawamsafi1 😂😂😂😂😂😂 Nadhan bado Hujawajua vzur hawa viumbe.....any way kwang haya sio muhim saana bcoz nishayafany saana lkn mwisho wasiku nilikuja kuelewa kwamba ni upumbav tu.... Pesa ni muhim tutafute pesa tupate majib ya maswal yetu yote,,,, #Bible imeweka waz kuwa pesa nijawabu ya mamb yot
@Chawamsafi12 ай бұрын
@@motiontz3722 usisahau kitandani anataka nanliii
@silviamacha69623 жыл бұрын
Hivo vitu vina uhalisia kabisa kaka hasa namba tano mwanaume anakuwa anataka tu mwili wa mwanamke na kutoa vitisho vya kuachana kisa hutaki kumpa mwili wako.
@saidbanga3 жыл бұрын
Tumekuelewa..! Ni bora Utuambie Ukweli..!
@fezakabala65893 жыл бұрын
Hivyi vitu ni kweli kabisa kakangu na mimi ni mama
@naftalkileo5224Ай бұрын
Vyote sawa ila kwenye uongo haukwepeki. Mwanamke ukiwa muwazi sana kwake unampoteza
@YosiaYohana2 ай бұрын
Ubalikiwe san kk unajuakufundish
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
My brother wangu Ubarikiwe sana
@enockaward73463 жыл бұрын
Safi bro Somo zuri Sana kwa sisi wanaume
@abelntobi3823 жыл бұрын
Brooo kwa shule hiii nayapata bila ada NI masters tosha..
@bahatimwasule53073 жыл бұрын
Asante kwa Soma zuri ni kweli Kuna wanaume hawajali kabisa yaan pesa ndo kipaumbele kuliko utu
@mariammasamba8104 Жыл бұрын
Kweli KBC yaaan
@joycemisesemo14273 жыл бұрын
Ni kweli ulichosema, zaidi Sana wanaume hawana muda wa kuzungumza na wake zao, wako busy busy always, na hata akipumzika unakuta maongezi hakuna kajaa usingizi siyo mchana au usiku, hawarudi nyumbani hata na zawadi ndogo ya upendo holaaaa!!! Jamani wanachosha, unajitahidi Make kubadili mapishi wapi! Unamnunulia zawadi kidogo yeye Wala hutaona hata chupi. Loooo kwa Nini tusichoke na sisi.
@haidhabushiri95582 жыл бұрын
Hahahahahaha
@winnienyimbi50312 жыл бұрын
Nilichelewa wap somo zuri san, wapunguze amli yaan utazan mke nae Kam mtot vile duu cio vizur
@dethaemily94632 жыл бұрын
Kiingine tunakeleka ukiingia kwenye familia ambayo dada ndiye anasauti unakuta mumeo anamuogopa dada yake , dada yake kajigeuza km mama mkwe inakera sana, sana
@omukashopping91522 жыл бұрын
Asante ubarikiwe mm kiukweli sinaga mda atakidogo nimejifunza kitu sasa nafungua ukulasa mpya
@mwl.frankmadembo74723 жыл бұрын
Haya bwana
@Iragibarune1.3 жыл бұрын
Kaka hilo la5 😭😭😭😭 nitatizo sana Nala7 mmmm tafazali wanaumee mh
@aishahassani39213 жыл бұрын
Nashkuru sana kwa SoMo la Leo umenikumbusha mbali Sana nilivunja ndoa yngu kwa mume wngu alikuwa hajali isia zangu yy alikuwa akiitaji mwili tuu kama ananibaka
@joycefuraha49733 жыл бұрын
Somo zuri sana barikiwa kaka Joel👏👏👏
@nicksonedson17703 жыл бұрын
Iyo research hope umeifanyia mashuleni especially ayo mambo ya harufu lazma
@hamislipangine51093 жыл бұрын
Nimejkut nachek peke yangu.
@katembenduto95606 ай бұрын
Nakubali kaka kwa kutukumbusha udhaifu wetu,itabidi turekebishe.
@mrjulius58402 жыл бұрын
Ndoa mana wanaume bora tumebaki wachache sana hata Tanzania, mfano mkoa mzima wa mbeya, wanaume bora hatufiki 10, yan nipo mimi na wengine wachache 😁😁😁
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Wewe ndio machafu balaaaa
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
😂😂🤣🤣
@witnesswilliam38022 жыл бұрын
Umesahau harufu ya pombe au sigara jaman zinakera Sana hizi harufu
@paskalmaganga9225 Жыл бұрын
Sio kila kusifia basi kweli kapendeza umevaa nusu uchi naanzaje kusifia
@robinahumphrey97253 жыл бұрын
Kweli ,anakuwa bize na simu mpka kitandani mpka Unaisi uko peke yako...wanaboaaaaa.
@user-nm1je5pt4u2 жыл бұрын
Nikweri kabisa wanaume wengi gucukuria wake zaoo kama watumwa
@janethrugakingila91393 жыл бұрын
Upewe ulinzi my coach🤭🤭
@awadhally10523 жыл бұрын
😄😂
@salehsaleh5483 жыл бұрын
Ww janeth😊😊
@hilarygodfrey58623 жыл бұрын
Tunashukuru sana mwalimu lkn kunavitu vingine wana wake ndio sababu ya mwanaume kuwa hivyo lkn tukija kwenye swala la usafi inafaa mwana ume uwemsafi kabisa lkn hapo sasa kwenye mda kunashida mwanzo wa mapenzi huwa mwana mke anakuwa Romantic sana lkn akisha kuzoea anapunguza inamfanya mwana ume kukosa ham ya kuwa karibu nae kabisa lbd ukiwa naham na tendotu
@Mlevimedia3 жыл бұрын
Leo dah noma san yan hahahhahahah umechangamka
@paulinamtabazi17596 ай бұрын
Uongo huwa unakataa steam kabisa
@perucebuhomaosward8512 Жыл бұрын
No 4, 5, 1, 6, hivyo vitu kwakweli ni janga kwa wanawake tulio wengi. Ni kero kubwa
@evanalex87993 жыл бұрын
Sema wametukandia sana brother joel but true
@frankaloyce64388 ай бұрын
Kaka minaona tungesimama katika uanaume wetu tuu, maana wanawake wanahitaji vitu vyote vya ulimwengu na wanachukizwa na vitu vyote vya ulimwengu hawajulikani wapo SIDE GANI🤔🤔, Tufanye tunayoyaweza tuu.
@zabibusephania24153 жыл бұрын
Yaani ukweli kabisa hilo somo ni zuri sana wanaume wengine wanachosha
@mariamkologombe65562 жыл бұрын
Vipo Sana hivyo vitu Kwa wanaume wengi
@philipomashaka11 ай бұрын
Respect bro
@sugarkheri46802 жыл бұрын
Japo hatukuwepo waliyosema wenzetu ni kweli kabisa mpaka inachosha
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Hizi vituzimechanghia sana kuharibika kwandoa zetu sikuhizi.lakini kwanza kabisa tatizo linatoktawapi? Nisisi wanadoa amaniulezi wawazazi wetu? Naomba kamanawenza patajibu