Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭
@asyaasya37663 жыл бұрын
Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo
@mwanakhamiskhamis31153 жыл бұрын
Yaani tuko hatarini
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@bernarderadi44103 жыл бұрын
Jackline Yesu kristo akutie nguvu
@vickie.gpeter1639 Жыл бұрын
Pole dear
@mariammaligwa88873 жыл бұрын
Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka
@rayyansaleh34302 жыл бұрын
daah
@hellenmwakyembe8095 Жыл бұрын
Napataje namba ili niwe najifunz zaid
@saudamfaume8070 Жыл бұрын
Asant kakaa kW ushaur wak nitaendelea kukufatilia man niliumizw San na presha ju
@umojadaycare8441 Жыл бұрын
Pole
@omarykitua3843 Жыл бұрын
😢😢😢😢uchungu unanitesa
@rehemashayo161311 ай бұрын
Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu
@YunusMgungaАй бұрын
Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.
@leonardsilago42213 жыл бұрын
Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.
kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen Ameen Mungu Ni mwema sana
@aminaabdull74793 жыл бұрын
@@joelnanauka Kaka naomba namba yako tafadhali
@hamidaa38863 жыл бұрын
Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@AlesiMzumbwe21 күн бұрын
Mafundisho mazuri sana
@joyceamos79562 жыл бұрын
Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha
@isikesamike3 жыл бұрын
Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.
@mwanakhamiskhamis31153 жыл бұрын
Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu
@joycehaule4520 Жыл бұрын
Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe
@mwl.michaelsainethmlowe26413 жыл бұрын
Uchungu unaharibu sana familia nyingi na unafanya watu kuishi kama watu wanaoishi pembezoni mwa mto Amazon Mwishwe ukiwa na uchungu unajisikia kufakufa tu kwa sababu unajikuta huna thamani Thanks bro
@saumumagembe29562 жыл бұрын
Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏
@rachelmwasomola945 Жыл бұрын
Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.
@juaupekeewako Жыл бұрын
Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel
@andreamichael2897 Жыл бұрын
✊
@wardaabdallah2383 Жыл бұрын
Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel
@mwanaidimsemo63213 жыл бұрын
😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏
@yohanasimtenda7483 жыл бұрын
Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother
nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena
@user-fe5yg4hv4d8 ай бұрын
Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy
@sarahmwangamila44413 жыл бұрын
Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!
@hirdajacson882711 ай бұрын
Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie
@user-ji9xm1ln5g Жыл бұрын
Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo
@edsonaminga85722 жыл бұрын
Healing is my passion.
@rahmashemukombo709710 ай бұрын
Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri
@user-pu8zk6du1o11 ай бұрын
Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka
@rahimaaaaa86993 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sana
@JumanneShingsha-ks4vb Жыл бұрын
Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo
@emamkuyu40613 жыл бұрын
Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.
@user-hf9fh6nk6h2 ай бұрын
kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ngubwene3 жыл бұрын
Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe
@Dimitry-cb5tb Жыл бұрын
Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji
@martinmaami58533 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri,,Naomba kujua ni namna gan naweza kumsamehe mtu ambae anakukosea au kukuumiza mara kwa mara na hakuna uwezekano wa kumuweka mbali na yeye?
@auntiemylee31573 жыл бұрын
Forgive but never forget the lesson u learned
@MarryMichael-lb8hq Жыл бұрын
Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏
@salamaoman8133 Жыл бұрын
Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako
@paschaltimotheo54413 жыл бұрын
Nimeikubal sana na imenigusa hii bro Joel, Asante kwa somo zuri Mungu akubariki
@JedidaNdutuu-ys3lx5 ай бұрын
Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote
@stellakins37703 жыл бұрын
Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie
@gtubgxuxj69063 жыл бұрын
Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo
@mwajumahaji82833 жыл бұрын
Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@user-rp1jr3jt5q11 ай бұрын
Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu. Asante sana ubarikiwe!
@ruthmsaki7107 Жыл бұрын
Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee
@imaniathanass1156 Жыл бұрын
God are blesse you guy
@user-sd7nf1eu5w Жыл бұрын
Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg
@VailethAmbokile-xb4ut Жыл бұрын
Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana
@NeemarichardMarko11 ай бұрын
Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena
@Happinesabella365411 ай бұрын
MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi
@nyamkamawanjara293 жыл бұрын
🙏asante kwa ujumbe mzuri let me nisikilize
@hamdharashid21273 жыл бұрын
Mungu akujalie.
@salamaoman8133 Жыл бұрын
Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa
@NasmaHamisi-fs8bq Жыл бұрын
Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak
@kimwanakitaka3607 Жыл бұрын
Asante kaka joel
@gabbyedward40792 жыл бұрын
Barikiwa Na Mungu. Somo lako limenifungua ufahamu kwa kiasi kikubwa namna ya kupambana na Hali ya Uchungu wa Moyo
@brendagray32812 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa
@ibrahimAhmed-zq5hj3 жыл бұрын
From Kenya God bless you brother 🙏 🙏❣️
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)
@neemashirima61212 жыл бұрын
Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.
@dattysamia3184 Жыл бұрын
Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel
@africangoldenmusic80612 жыл бұрын
thank you brother.I have really learnt the biggest lesson from you
@FauuFabian-kk2cx Жыл бұрын
Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️
@user-mx2tx5eg9x Жыл бұрын
Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako
@rahellongo99462 жыл бұрын
Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha
@esterdaniel28603 жыл бұрын
Asante Sana Kwa soma zuri binadamu tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@salamaoman81332 жыл бұрын
Asante sana kaka maneno yako nimazuri sana zaidi ya sana yananipa furaha sana
@namnyakimollel68663 жыл бұрын
Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile
@leilajoshua8251 Жыл бұрын
Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭
@geraldinejoyce3861 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa
@nungularais72533 жыл бұрын
Safi Sana kiongoz haya ndio maisha yanatutesa watu wengi
@luciadaud9298 Жыл бұрын
Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako
@richardgregory4252 жыл бұрын
Uko sawa brother inauma hadi unaona huna haja yakuishi
@danmarieedson97902 жыл бұрын
Asante sana Joel daaa umenifungua sana akili yangu. uchungu, stress, vimekuwa shida sana katika maisha yangu na kuniletea vidonda vya tumbo vya kila siku visipo pona na kufikia hatua mbaya Sana shukran naendelea kufuatilia sana vipindi vyako🙏🙏🙏
@pugnaagrifood72822 жыл бұрын
Yaaan
@rashiasleiman486411 ай бұрын
Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo
@rachelmwasomola945 Жыл бұрын
Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏
@salamaoman8133 Жыл бұрын
Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi
@miriamnawe17202 жыл бұрын
Asante Sana mch mungu azidi kukutumia zaidi Kila topik yako unayofundisha inagusa
@user-rb8yh2xp8w8 ай бұрын
Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri
@itikagodfrey35813 жыл бұрын
Asante sana brother,somo limekuja kwa wakati!!!
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@mwaminindayishimiye44343 жыл бұрын
Ahsante brother kutupa somo nzuri saaana 😢😢😢😢😢😢
@maryjoseph4392 жыл бұрын
brother joel umenisaidia kwakiasi lkn natamani unisaidie zaidi mungu akubariki sana akuinue kwaviwango vingine
@amarislam15893 жыл бұрын
Somo zuri assnte
@badriabegu24693 жыл бұрын
Natamani npate no yko Dr wallah😭😭
@angelinatryphone61523 жыл бұрын
Asante Sana brother kwaushauri wako.kuna mtu ameniumiza Sana kila nikimuona moyo wangu hupata hasira huibua hisia za uchungu sana.naomba Mungu aniponye anipe neema yakuachilia
@joshuamollel69933 жыл бұрын
Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏
@assilaibra45633 жыл бұрын
Shukran Sana, Inanisumbua Sana hali Hii. Yan Nikisikia Jina lake tu Napata Hasira, Uchungu Mpaka Nalia. Ni Jana tu Usiku Nilikua ktk hali Hiyo .
@shamimually14842 жыл бұрын
Asante kwa elimu brother Joel God bless you..🙏🙏
@doricekadushi3924 Жыл бұрын
Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena
@amemeabdulrazak13973 жыл бұрын
Asante kwa kila faida unazo tupa
@logasiabaltazary9424 Жыл бұрын
Kaka jeol I wish one day nikuone live tuongeee maana naona ,naelekea ukingoni mwangu , walau nikikaaa nikaongea yaliyo moyoni mwangu nitahisi faraja.
@kwangukazungu82993 жыл бұрын
Ka Joel be blessed more and more, ujumbe mzuri sana naona kama huwa unanifikishia mimi tu. Nazidi kujifunza vitu vingi sana kutoka kwako. Mungu akubariki sana
@fionathadei393 жыл бұрын
Nimekukubali yote yapo katika maisha yangu.ata sasa nimeumizwa nakumbuka uchungu wa nyuma.
@user-ko1dh8zf7p11 ай бұрын
Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢
@rozinachao52563 жыл бұрын
Asante nimewasamehe mungu nitie nguvu
@salomekombo2153 жыл бұрын
Asnte sanaa broo joel kwa somo zur mung azid kukuweka🙏
@jenifamtima93253 жыл бұрын
Yaani! Niko nayo hivi sasa hali ya uchungu , na nishasamehe lakini linakuja kombora jipya zaidi ya mwanzo ni shidaaaa! 😢
@nasramohamedi40952 жыл бұрын
Ndo nilikuwa nataka kuuliza hivyo hivyo unasamehe Kisha yanajirudia haya tunafanyaje???
@doricekadushi3924 Жыл бұрын
Mimi pia napitia hio hali
@user-bl9tb5km5n Жыл бұрын
Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea