Ya nimepitia maumivu kutoka kwa watu wangu wa karibu sana nimetumia njia ya kwanza imenisaidia sana sir much thanks❤❤❤
@AgnesNzali-z1oАй бұрын
Kaka Joel hili somo ulifunuliwa sio bure,,,,an zaidi ya daktari wa afya ya akili somo limekuja wakati sahihi kabisa,,Mungu wa mbinguni akupe haja ya moyo wako barikiwa sana
@frankbenandi87642 жыл бұрын
kaka Joel we nizaidi hata ya wazazi wangu kwakwery nakufatalia kwamda mlefu sasa nasehemu nilipo niko mbali sana hakika mungu azidi kukupa ufahamu wajuuu uzidi kutupa uhai
@salmashoo81002 жыл бұрын
Thank broo me huwa sitaki hata kuwaona watu walio nifanyia au kunisababishia uchungu,kwa sababu nikiwaona ndiyo maumivu yanaongezeka
@kassimabed Жыл бұрын
nimekuelewa kiongozi Joel nanauka 🙏
@Judith8927 ай бұрын
Yaani nashukuru nimepona uchungu nilitaka kuehuka now nimepona
@musamola41162 жыл бұрын
Daaah real life coach of all time, ahsante sana, nimeitumia hii principle siku mbili zilizopita. Inafanya kazi for real.
@ashaally58832 жыл бұрын
Nashukur mungu ninae mtu ambae huwa nashare nae uchungu wowote nnaoupata si mwingine Bali ni mama angu kipenz, kila cku namuombea maisha maref amekua zaid ya mama kwang, sioni mwingine wa kumzid, asante sana kaka Joel🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@SeliliaAlly7 ай бұрын
❤Asante mdogo wangu
@fedharmmark63982 жыл бұрын
Hizo ndo nilitumia na nikafanikiwa kutoka, AHSANTE SANA MWALIMU 🙏
@magrethjohn49292 жыл бұрын
Bado moja uncle joel hyo ya mwisho ya kuacha kumuongelea but all in all 🙏🙏🙏
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
uchungu unaumiza sana sana haswa pale unapo muona nayekuletea uchungu au wakati mwingine kwenye halaiki ya watu unakuta unasemwa sababu alisababisha fulani na wakati mwingine unalazimisha kuendelea kukaa naye karibu kwenye kazi kwa kweli inauma sanaaaa.akini inahuma zaidi pale anayekuletea uchungu unapoongea naye vitu vya msing anabadirisha positives kuwa negatives ili huendelee kuwa na uchungu.Somo zuru sana ili Thank you Bro Joel
@josej98882 жыл бұрын
Daaha!! Ahsante Sana mwalimu JO.
@Mwitakihani24 күн бұрын
Hakika brother joel nanauka umekuwa nguzo kwangu na umenitoa mbali sana
@eliasmusa34212 жыл бұрын
Kaka Mungu akuinue zaidi nimeka na uchungu kwa zaidi ya miaka10 kwa sababu ya tatizo nililopata utotoni nilikua mtu wa mawazo nikajikuta naongeza magonjwa mengine ya presha nilijawa hasira chuki kukata tama kujidhalau mimi mwenyewe yaani nilikua kama nimechanganyikiwa sijielewi kabisa nimeomba ushauri kanisani kwa watumishi wakaniambi ni roho za uko zinakusumbua fanya maombi ya kuvunja maagano ya uko mpaka nikachoka sikua na elimu ya saikolojia ya kujitambua na kuondoa uchungu na kujitawala tena lkn namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na wewe nakushukuru sana ndugu yangu japo ni kwa wiki2 za kutumia vitabu vyako nimeanza kujitambua na kujitawala Mungu azidi kukutumia
@abdhemed54702 жыл бұрын
Hakika wew ni mwalimu wa tiba Ya Ubongoo ✌️
@levinaboniephase11952 жыл бұрын
Njia ya kupona niliowahi kuifanya ni kutofatilia maisha yake na hilonlilinisaidia sana
@magrary24552 жыл бұрын
Kusema kweli mambo hayo mwanzo nilikuwa nayaapuuza hasa la kutangaza msamaha kwa maneno na kuacha kuwaongelea ahsantee saa hizi nimetambua umuhimu hali hii ikijitokeza tena nitajitahidi kuyazingatia.
@rebecamwambwalo85802 жыл бұрын
Nafikiri inabidi tuache kufuatilia maisha yao
@aash41452 жыл бұрын
Aksante kaka kwa elim unayotupatia❤️🌹
@ombenimaturo64522 жыл бұрын
Bro nauchungu asant bro natumia njia zako bro
@fezanyembo5632 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel yani, ninapo sikiya videos zako nakuwa najisikiya Furaha tena asante kwa Mashauri yako yananisaidiya sana.
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ahsante kwa mrejesho Feza
@geofreypansasa98052 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU aendelee kukuinua MR JOEL uzidi kutuvusha kutukumbusha hakika vizazi na vizazi vitakusikiliza, kukutazama na kujifunza mengi sana juu yako. MWENYEZI MUNGU AKUSIMAMIE SAUTI NA KAZI YA AKILI NA MIKONO YAKO MR JOEL
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen , ahsante kwa maombi haya
@neemarajabu94322 жыл бұрын
Nimeshapitia sana,huwa naacha kuftilia watu walioniumiza,nakata mawasiliano nao,nakaa kimya.nakuwa bize na kazi zangu
@joelnanauka2 жыл бұрын
Hongera sanaaa👏🏼👏🏼👏🏼
@aminambonea13722 жыл бұрын
Asante saaana umenifunza Jambo kubwa ktk asubuh ya Leo mungu azd kukufunulia
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ahsante Sana Amina, tuendelee kujifunza
@adijashaban47932 жыл бұрын
Asante sana kweli nimeshaipitia it's true. Inauma
@richardmugwe90092 жыл бұрын
Shukran sana brother Joel.. nashkuru sana kwa elimu nzuri sana umefubdisha leo...imenisaidia sana..
@NeemaKabila-gd3nu Жыл бұрын
Ubarikiwe sana nimebadilika Kwa baadh ya mafundish yako
@marthalazaro53402 жыл бұрын
Njia nzuri ni kuacha kumfuatilia, kutangaza msamaha wa wazi
@joelnanauka2 жыл бұрын
Kabisaa Martha
@Danielmoyo5562 жыл бұрын
I appreciate you brother Joel Oh may the Lord bless you
@richardmugwe90092 жыл бұрын
Furaha na hamasa ya maisha ilikua imeanza kupungua...I really appreciate your help 🙏...
@paschalmtwenge7602 жыл бұрын
Mungu Baba amesema tukisamehe na Yeye ndipo anatusamehe makosa yetu. Hivyo inatubidi kuachilia na kusamehe ili nasi tupate samehewa na Baba Yetu wa Mbinguni. Kumbuka hakuna binadamu aliyekamilika na ni watenda makosa, hivyo yatubidi kusamehe kwanza nasi tutasamehewa....
@MariamadamSalum11 ай бұрын
Ninasiku ya 4 sasa tokanianze kufuatilia mafundisho yako kiukwel najiona nabadilika sana asante kwamafundisho yako mazuri
@lameckkashonele3972 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki sana
@nasrakiango50972 жыл бұрын
Nimepia hali hiyo
@LilyTumba-ks1fe Жыл бұрын
Asanteni naamini nitapona uchungu sipati usingizi mchana na usiku ndani ya siku5 naamini nitapona uchungu
@hopingtrust12849 ай бұрын
My situation now😢
@rosemaryjoram2237Ай бұрын
Tutapona tyu
@najmasalim26062 жыл бұрын
ngoja ni like kwanza👌
@amoursalum82662 жыл бұрын
Dah..! Bro...ubarikiwe sana...
@firdosoman31332 жыл бұрын
Umeongea point kaka joel ubarikiwe
@AYUBMWANGOKA Жыл бұрын
Really appreciation
@zuudelight21552 жыл бұрын
I have already been in pain and nmeshawahi kutumia njia ya kwanza na ya pili ila kwasasa naenda kufanya njia ya tatu thank you sir
@lovenoor9882 жыл бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe
@dickisonrichard49092 жыл бұрын
Joel hiyo aramu ya kibodi, inanipunguzia umakini wa kusikia
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ongeza Umakini darasani 😀
@lucyjuma84782 жыл бұрын
Kakaangu Mimi Sjui Niseme Nini 😭😭😭Sna Cha Kukulipa Zaidi Ya Kukuombe Kwa Mwenyezi Mungu. Kunavitu Vingi Sanaaaa Umenifndisha Pia Nanitazidi kujifunza Vingi Nirishalia Mimi 🙌Nakuombea Kaka Mungu Azidi Kukupa Ufahamu Zaidi Nampango Wa kukutafta Kwa Sm
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen Lucy, ahsante kwa dua Njema na Baraka,nazipokea.
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Ahsante sana my brother Joel
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
Faudhia kila nnapoingia lazima nikute comment yako😅😅✊
@frankmsangi2 жыл бұрын
Asante sana bro najifunza mengi sana kupitia kwako sijaona mwengine wakunihamasisha zaidi yako 🔥🙏unaongeza thamani kubwa katika maisha ya watu 🙏
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen Frank Nashukuru na nafurahi kusikia hivyo
@nicholasngodoki1142 жыл бұрын
Mimi nahc kupitia niliojifunza Kwa Leo yatanisaidia na kufanya maisha yngu yasonge mbele na kikubwa zaidi ni pale nitakapoweza kusamehe ahsant sana bwana joel Kwa ushaur mzur
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ahsante sana Nicholas
@ngendakumanasalumdiki28472 жыл бұрын
Hiyo kweli kabasa. Nimekwisha shuhudia iyo hali kwa watu fulani.
@kharifasiraji34462 жыл бұрын
Asante bro joel
@victoriasway64302 жыл бұрын
Asante kwa somo ukweli linanihusu ngoja nianze kulifanyia kazi.
@hawamusumba4312 жыл бұрын
Thanks bro mimi husamehe bt kusahau ndyo shida
@VeronicaSabas Жыл бұрын
Barikiwa mno unaongea kwel kabisa
@HealingandDeliveranceofjesus2 жыл бұрын
Asante sana, nimepitiwa hali hiyo, sasa umenisaidia
@veroo8692 жыл бұрын
Asante sana, nmepata suluhisho
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
uchungu ni mbaya unakuwa uchungu kweli haswa pale unagunduwa ulichofanyiwa ni kukosesha haki zako fulanifulani hivi so ukiwaona wote wanaohusika yani chain nzima wanao fanya kukupoteza haki zako uchungu upanda sana sana,Lakini tunashukuru masomo yako yanatia moyo sana na masomo ya neno la mungu yanatia na kuongeza imani.Lakini naomba ushauri tu pale anayekusabishia uchungu anajaribu kwa hali na mali kukutoa kwenye mstari kwa maneno ya negative unafanyaje hapa ili huendelee kuwa katika mstari.
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Mwalimu huwaniuchughu saighine inabidi kumuoghelelea kilamahali iliuchughu utoke.yanihalihiyo huwa nighumu sana walai naunajikutagha ukuoghea kilamahali ,yaninikama umepunghkuwa naakili
@januarymwasengad2 жыл бұрын
Barikiwa sana Joel Kwa elimu
@yvonnerichard29362 жыл бұрын
Asante Coach, Mungu wa Mbinguni azidi kukutunza.
@olivanooraladin54362 жыл бұрын
MI nikiwa na uchungu na hukua hiyo atua ya kwanza
@salamaoman81332 жыл бұрын
Maneno mazuri sana nimeyapenda
@hamzaalliy82102 жыл бұрын
100% you talk points, and I myself I do appreciate for your advice long lives bro🙏
@rahmasika84802 жыл бұрын
Kaka natamani kilasiku mungu anipe moyomgumu nimechoka kulia lia namaumivu hayaishi naomba nisaidie niepukane naiyo hali
@eddazakariasulusi28847 ай бұрын
Me nimelia sana mmewngu kaniumiza sana jamani
@mboyamwamba25912 жыл бұрын
God bless you 🙏
@devotajaphet7312 Жыл бұрын
Sasa unayemwambia anaweza kukutangaza, pia aliekukosea mwenza wako unamuona Kila siku , wakati mwingine anarudia makosa, du Mungu tusaidie
@theopistertheodus1749Ай бұрын
Mi ndo sielewi...hii ndo inanikuta mimi.
@neemakweli4612 жыл бұрын
MUNGU akubariki ,asante.
@mariamgundula3790 Жыл бұрын
Asante ila mimi nahitaji kuongea na wewe kaka kwa msaada zaidi
@rebecamwambwalo85802 жыл бұрын
Maana kama ukisema umsimulie mtu uliyopita sio wote wakuaminika wakumuani ni yesu pekee
@dethaemily94632 жыл бұрын
Umisaidia sana yote yamenijenga
@youngpaincompany14402 жыл бұрын
Joel naomba jina la background music 🙏
@khadizatan68352 жыл бұрын
Shukran bro
@khdj-x3w3 ай бұрын
ivi mbona mie siwezi kumsamehe mtu yani nikisema nimesamehe nashidwa kila nikikumbuka nashidwa sijui nini nifanye😢😢😢
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Asante studio
@idayagicheha Жыл бұрын
minaona nijitaidi niongee na alieniumiza japo ni ngumu ilinipone
@estareliasmagesa87912 жыл бұрын
Nimelewa sana
@lilianreuben28142 жыл бұрын
Asante sana,nakupenda mpk basi
@clarasabutoke69072 жыл бұрын
Waiting
@E.N.A.2432 жыл бұрын
Nice one
@AminasaidAminasaid Жыл бұрын
Mimi ni mjamzoto na minesha zoeya kulia kutowa uchunguwa je nifanyeje hapo😢😢😢😢😢😢
@StumaiAbdallah-t2z26 күн бұрын
Uchungu ukiletwa na mume na wakwe dah😢
@amanimakury96862 жыл бұрын
Ndiooo
@kitendegabriel95592 жыл бұрын
🙏🙏🙏 shule tosha
@joelnanauka2 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Bless you
@AllyAbas-u1p6 ай бұрын
Dah
@idayagicheha Жыл бұрын
Nikweli minimebeba sanaa tu
@shedrackyona90492 жыл бұрын
Kwel brother umenifundisha na emenisaidia kisaikolojia maana nilikuwa na uchungu mkubwa sana lkn kwa mafundisho hayo nitabadilika
@MALEKANA2 жыл бұрын
Vyema sana
@enesnaftali78132 жыл бұрын
Nimesha wai pata maumivu ya uchungu mpaka nikapata stroku kupooza uso upande moja naomba nisaidiye niweze kutoka kwenye. Hali ya uchungu
@josephnyanga51722 жыл бұрын
Mimi nikiwa na uchungu Ama nimekwazika huwa nachukua pen na karatasi naandika yote then nachoma moto karatasi hiyo
@joelnanauka2 жыл бұрын
Hii mbinu pia wapo watu wanaoitumia na wanasema inawasaidia, hongera Kuona kuwa kwako inakusaidia pia.
@jessicastelatos47962 жыл бұрын
Hii imekuja muda muafaka.
@KifuebeShabani17 күн бұрын
Asant
@vickyedward92772 жыл бұрын
Hakika haya ni tiba ya afya akili na ubongo nikwel kumwelezea mtu uchungu wako binafsi nimekua na tabia mtu akiniudhi au nikimtoa moyon au akinisababishia uchungu nambock ndio tabia yangu
@alimambabazi36662 жыл бұрын
Asante kaka ❤️
@zahraalbaloochi2841Ай бұрын
Please nbr yko ya cmu nnashida sana na wewe saana Please
@charlesfaida15152 жыл бұрын
Asante sana Bro Joel. Hali hii himsababisha mtu kuadhilika kiakili pia na kutoweza kufanya chochote katika harakati zake za kumletea maendeleo ni hatari Sana hiyo hali. Bro ninatatizo nimeliwasilisha Kwa WhatsApp namba nisaidie Bro
@yusufmtula9472 жыл бұрын
Nilisalitiwa na mukewangu
@shamimusalim87192 жыл бұрын
Pole sn kaka samehee
@lesusi78722 жыл бұрын
Mi mtu kanidhulumu alafu nimtangazie msamaha wakati anauwezo wa kunilipa moyo huo sina
@athumaniamiri37642 жыл бұрын
Nisaidie mi nimepitia ila kinacho nitesa sana ninawivu sana wamapenz mpaka ninakua msumbufu na najikuta napata uchungu mwingi nikianza wivu nifanye nini ili nipone huu ugonjwa?
@Janetijaneeh7465 Жыл бұрын
Je? Kama niliyezoea kumwambia yupo mbali namimi niyafanyaje? Na hamna mwingine ninayemwamini zaidi yake?
@shaloboy38612 жыл бұрын
Mi usema nimesamee lakini bado aiondoki
@brendaally59262 жыл бұрын
Haujasamehe
@lwambushalwambusha44632 жыл бұрын
Nimepitia msisha ya uchungu kwa takribani miaka 4,nimefurahi sana kwa hatua hizi nne naamini zitanisadia kuponya uchungu huu.