KUPONA UCHUNGU - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 25,475

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 120
@VenanceRoy61
@VenanceRoy61 Жыл бұрын
Ya nimepitia maumivu kutoka kwa watu wangu wa karibu sana nimetumia njia ya kwanza imenisaidia sana sir much thanks❤❤❤
@AgnesNzali-z1o
@AgnesNzali-z1o Ай бұрын
Kaka Joel hili somo ulifunuliwa sio bure,,,,an zaidi ya daktari wa afya ya akili somo limekuja wakati sahihi kabisa,,Mungu wa mbinguni akupe haja ya moyo wako barikiwa sana
@frankbenandi8764
@frankbenandi8764 2 жыл бұрын
kaka Joel we nizaidi hata ya wazazi wangu kwakwery nakufatalia kwamda mlefu sasa nasehemu nilipo niko mbali sana hakika mungu azidi kukupa ufahamu wajuuu uzidi kutupa uhai
@salmashoo8100
@salmashoo8100 2 жыл бұрын
Thank broo me huwa sitaki hata kuwaona watu walio nifanyia au kunisababishia uchungu,kwa sababu nikiwaona ndiyo maumivu yanaongezeka
@kassimabed
@kassimabed Жыл бұрын
nimekuelewa kiongozi Joel nanauka 🙏
@Judith892
@Judith892 7 ай бұрын
Yaani nashukuru nimepona uchungu nilitaka kuehuka now nimepona
@musamola4116
@musamola4116 2 жыл бұрын
Daaah real life coach of all time, ahsante sana, nimeitumia hii principle siku mbili zilizopita. Inafanya kazi for real.
@ashaally5883
@ashaally5883 2 жыл бұрын
Nashukur mungu ninae mtu ambae huwa nashare nae uchungu wowote nnaoupata si mwingine Bali ni mama angu kipenz, kila cku namuombea maisha maref amekua zaid ya mama kwang, sioni mwingine wa kumzid, asante sana kaka Joel🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@SeliliaAlly
@SeliliaAlly 7 ай бұрын
❤Asante mdogo wangu
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 2 жыл бұрын
Hizo ndo nilitumia na nikafanikiwa kutoka, AHSANTE SANA MWALIMU 🙏
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 2 жыл бұрын
Bado moja uncle joel hyo ya mwisho ya kuacha kumuongelea but all in all 🙏🙏🙏
@4gtradingimpex201
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
uchungu unaumiza sana sana haswa pale unapo muona nayekuletea uchungu au wakati mwingine kwenye halaiki ya watu unakuta unasemwa sababu alisababisha fulani na wakati mwingine unalazimisha kuendelea kukaa naye karibu kwenye kazi kwa kweli inauma sanaaaa.akini inahuma zaidi pale anayekuletea uchungu unapoongea naye vitu vya msing anabadirisha positives kuwa negatives ili huendelee kuwa na uchungu.Somo zuru sana ili Thank you Bro Joel
@josej9888
@josej9888 2 жыл бұрын
Daaha!! Ahsante Sana mwalimu JO.
@Mwitakihani
@Mwitakihani 24 күн бұрын
Hakika brother joel nanauka umekuwa nguzo kwangu na umenitoa mbali sana
@eliasmusa3421
@eliasmusa3421 2 жыл бұрын
Kaka Mungu akuinue zaidi nimeka na uchungu kwa zaidi ya miaka10 kwa sababu ya tatizo nililopata utotoni nilikua mtu wa mawazo nikajikuta naongeza magonjwa mengine ya presha nilijawa hasira chuki kukata tama kujidhalau mimi mwenyewe yaani nilikua kama nimechanganyikiwa sijielewi kabisa nimeomba ushauri kanisani kwa watumishi wakaniambi ni roho za uko zinakusumbua fanya maombi ya kuvunja maagano ya uko mpaka nikachoka sikua na elimu ya saikolojia ya kujitambua na kuondoa uchungu na kujitawala tena lkn namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na wewe nakushukuru sana ndugu yangu japo ni kwa wiki2 za kutumia vitabu vyako nimeanza kujitambua na kujitawala Mungu azidi kukutumia
@abdhemed5470
@abdhemed5470 2 жыл бұрын
Hakika wew ni mwalimu wa tiba Ya Ubongoo ✌️
@levinaboniephase1195
@levinaboniephase1195 2 жыл бұрын
Njia ya kupona niliowahi kuifanya ni kutofatilia maisha yake na hilonlilinisaidia sana
@magrary2455
@magrary2455 2 жыл бұрын
Kusema kweli mambo hayo mwanzo nilikuwa nayaapuuza hasa la kutangaza msamaha kwa maneno na kuacha kuwaongelea ahsantee saa hizi nimetambua umuhimu hali hii ikijitokeza tena nitajitahidi kuyazingatia.
@rebecamwambwalo8580
@rebecamwambwalo8580 2 жыл бұрын
Nafikiri inabidi tuache kufuatilia maisha yao
@aash4145
@aash4145 2 жыл бұрын
Aksante kaka kwa elim unayotupatia❤️🌹
@ombenimaturo6452
@ombenimaturo6452 2 жыл бұрын
Bro nauchungu asant bro natumia njia zako bro
@fezanyembo563
@fezanyembo563 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel yani, ninapo sikiya videos zako nakuwa najisikiya Furaha tena asante kwa Mashauri yako yananisaidiya sana.
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ahsante kwa mrejesho Feza
@geofreypansasa9805
@geofreypansasa9805 2 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU aendelee kukuinua MR JOEL uzidi kutuvusha kutukumbusha hakika vizazi na vizazi vitakusikiliza, kukutazama na kujifunza mengi sana juu yako. MWENYEZI MUNGU AKUSIMAMIE SAUTI NA KAZI YA AKILI NA MIKONO YAKO MR JOEL
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ameen , ahsante kwa maombi haya
@neemarajabu9432
@neemarajabu9432 2 жыл бұрын
Nimeshapitia sana,huwa naacha kuftilia watu walioniumiza,nakata mawasiliano nao,nakaa kimya.nakuwa bize na kazi zangu
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Hongera sanaaa👏🏼👏🏼👏🏼
@aminambonea1372
@aminambonea1372 2 жыл бұрын
Asante saaana umenifunza Jambo kubwa ktk asubuh ya Leo mungu azd kukufunulia
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ahsante Sana Amina, tuendelee kujifunza
@adijashaban4793
@adijashaban4793 2 жыл бұрын
Asante sana kweli nimeshaipitia it's true. Inauma
@richardmugwe9009
@richardmugwe9009 2 жыл бұрын
Shukran sana brother Joel.. nashkuru sana kwa elimu nzuri sana umefubdisha leo...imenisaidia sana..
@NeemaKabila-gd3nu
@NeemaKabila-gd3nu Жыл бұрын
Ubarikiwe sana nimebadilika Kwa baadh ya mafundish yako
@marthalazaro5340
@marthalazaro5340 2 жыл бұрын
Njia nzuri ni kuacha kumfuatilia, kutangaza msamaha wa wazi
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Kabisaa Martha
@Danielmoyo556
@Danielmoyo556 2 жыл бұрын
I appreciate you brother Joel Oh may the Lord bless you
@richardmugwe9009
@richardmugwe9009 2 жыл бұрын
Furaha na hamasa ya maisha ilikua imeanza kupungua...I really appreciate your help 🙏...
@paschalmtwenge760
@paschalmtwenge760 2 жыл бұрын
Mungu Baba amesema tukisamehe na Yeye ndipo anatusamehe makosa yetu. Hivyo inatubidi kuachilia na kusamehe ili nasi tupate samehewa na Baba Yetu wa Mbinguni. Kumbuka hakuna binadamu aliyekamilika na ni watenda makosa, hivyo yatubidi kusamehe kwanza nasi tutasamehewa....
@MariamadamSalum
@MariamadamSalum 11 ай бұрын
Ninasiku ya 4 sasa tokanianze kufuatilia mafundisho yako kiukwel najiona nabadilika sana asante kwamafundisho yako mazuri
@lameckkashonele397
@lameckkashonele397 2 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki sana
@nasrakiango5097
@nasrakiango5097 2 жыл бұрын
Nimepia hali hiyo
@LilyTumba-ks1fe
@LilyTumba-ks1fe Жыл бұрын
Asanteni naamini nitapona uchungu sipati usingizi mchana na usiku ndani ya siku5 naamini nitapona uchungu
@hopingtrust1284
@hopingtrust1284 9 ай бұрын
My situation now😢
@rosemaryjoram2237
@rosemaryjoram2237 Ай бұрын
Tutapona tyu
@najmasalim2606
@najmasalim2606 2 жыл бұрын
ngoja ni like kwanza👌
@amoursalum8266
@amoursalum8266 2 жыл бұрын
Dah..! Bro...ubarikiwe sana...
@firdosoman3133
@firdosoman3133 2 жыл бұрын
Umeongea point kaka joel ubarikiwe
@AYUBMWANGOKA
@AYUBMWANGOKA Жыл бұрын
Really appreciation
@zuudelight2155
@zuudelight2155 2 жыл бұрын
I have already been in pain and nmeshawahi kutumia njia ya kwanza na ya pili ila kwasasa naenda kufanya njia ya tatu thank you sir
@lovenoor988
@lovenoor988 2 жыл бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe
@dickisonrichard4909
@dickisonrichard4909 2 жыл бұрын
Joel hiyo aramu ya kibodi, inanipunguzia umakini wa kusikia
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ongeza Umakini darasani 😀
@lucyjuma8478
@lucyjuma8478 2 жыл бұрын
Kakaangu Mimi Sjui Niseme Nini 😭😭😭Sna Cha Kukulipa Zaidi Ya Kukuombe Kwa Mwenyezi Mungu. Kunavitu Vingi Sanaaaa Umenifndisha Pia Nanitazidi kujifunza Vingi Nirishalia Mimi 🙌Nakuombea Kaka Mungu Azidi Kukupa Ufahamu Zaidi Nampango Wa kukutafta Kwa Sm
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ameen Lucy, ahsante kwa dua Njema na Baraka,nazipokea.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Ahsante sana my brother Joel
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 жыл бұрын
Faudhia kila nnapoingia lazima nikute comment yako😅😅✊
@frankmsangi
@frankmsangi 2 жыл бұрын
Asante sana bro najifunza mengi sana kupitia kwako sijaona mwengine wakunihamasisha zaidi yako 🔥🙏unaongeza thamani kubwa katika maisha ya watu 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ameen Frank Nashukuru na nafurahi kusikia hivyo
@nicholasngodoki114
@nicholasngodoki114 2 жыл бұрын
Mimi nahc kupitia niliojifunza Kwa Leo yatanisaidia na kufanya maisha yngu yasonge mbele na kikubwa zaidi ni pale nitakapoweza kusamehe ahsant sana bwana joel Kwa ushaur mzur
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ahsante sana Nicholas
@ngendakumanasalumdiki2847
@ngendakumanasalumdiki2847 2 жыл бұрын
Hiyo kweli kabasa. Nimekwisha shuhudia iyo hali kwa watu fulani.
@kharifasiraji3446
@kharifasiraji3446 2 жыл бұрын
Asante bro joel
@victoriasway6430
@victoriasway6430 2 жыл бұрын
Asante kwa somo ukweli linanihusu ngoja nianze kulifanyia kazi.
@hawamusumba431
@hawamusumba431 2 жыл бұрын
Thanks bro mimi husamehe bt kusahau ndyo shida
@VeronicaSabas
@VeronicaSabas Жыл бұрын
Barikiwa mno unaongea kwel kabisa
@HealingandDeliveranceofjesus
@HealingandDeliveranceofjesus 2 жыл бұрын
Asante sana, nimepitiwa hali hiyo, sasa umenisaidia
@veroo869
@veroo869 2 жыл бұрын
Asante sana, nmepata suluhisho
@4gtradingimpex201
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
uchungu ni mbaya unakuwa uchungu kweli haswa pale unagunduwa ulichofanyiwa ni kukosesha haki zako fulanifulani hivi so ukiwaona wote wanaohusika yani chain nzima wanao fanya kukupoteza haki zako uchungu upanda sana sana,Lakini tunashukuru masomo yako yanatia moyo sana na masomo ya neno la mungu yanatia na kuongeza imani.Lakini naomba ushauri tu pale anayekusabishia uchungu anajaribu kwa hali na mali kukutoa kwenye mstari kwa maneno ya negative unafanyaje hapa ili huendelee kuwa katika mstari.
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Mwalimu huwaniuchughu saighine inabidi kumuoghelelea kilamahali iliuchughu utoke.yanihalihiyo huwa nighumu sana walai naunajikutagha ukuoghea kilamahali ,yaninikama umepunghkuwa naakili
@januarymwasengad
@januarymwasengad 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Joel Kwa elimu
@yvonnerichard2936
@yvonnerichard2936 2 жыл бұрын
Asante Coach, Mungu wa Mbinguni azidi kukutunza.
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 2 жыл бұрын
MI nikiwa na uchungu na hukua hiyo atua ya kwanza
@salamaoman8133
@salamaoman8133 2 жыл бұрын
Maneno mazuri sana nimeyapenda
@hamzaalliy8210
@hamzaalliy8210 2 жыл бұрын
100% you talk points, and I myself I do appreciate for your advice long lives bro🙏
@rahmasika8480
@rahmasika8480 2 жыл бұрын
Kaka natamani kilasiku mungu anipe moyomgumu nimechoka kulia lia namaumivu hayaishi naomba nisaidie niepukane naiyo hali
@eddazakariasulusi2884
@eddazakariasulusi2884 7 ай бұрын
Me nimelia sana mmewngu kaniumiza sana jamani
@mboyamwamba2591
@mboyamwamba2591 2 жыл бұрын
God bless you 🙏
@devotajaphet7312
@devotajaphet7312 Жыл бұрын
Sasa unayemwambia anaweza kukutangaza, pia aliekukosea mwenza wako unamuona Kila siku , wakati mwingine anarudia makosa, du Mungu tusaidie
@theopistertheodus1749
@theopistertheodus1749 Ай бұрын
Mi ndo sielewi...hii ndo inanikuta mimi.
@neemakweli461
@neemakweli461 2 жыл бұрын
MUNGU akubariki ,asante.
@mariamgundula3790
@mariamgundula3790 Жыл бұрын
Asante ila mimi nahitaji kuongea na wewe kaka kwa msaada zaidi
@rebecamwambwalo8580
@rebecamwambwalo8580 2 жыл бұрын
Maana kama ukisema umsimulie mtu uliyopita sio wote wakuaminika wakumuani ni yesu pekee
@dethaemily9463
@dethaemily9463 2 жыл бұрын
Umisaidia sana yote yamenijenga
@youngpaincompany1440
@youngpaincompany1440 2 жыл бұрын
Joel naomba jina la background music 🙏
@khadizatan6835
@khadizatan6835 2 жыл бұрын
Shukran bro
@khdj-x3w
@khdj-x3w 3 ай бұрын
ivi mbona mie siwezi kumsamehe mtu yani nikisema nimesamehe nashidwa kila nikikumbuka nashidwa sijui nini nifanye😢😢😢
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Asante studio
@idayagicheha
@idayagicheha Жыл бұрын
minaona nijitaidi niongee na alieniumiza japo ni ngumu ilinipone
@estareliasmagesa8791
@estareliasmagesa8791 2 жыл бұрын
Nimelewa sana
@lilianreuben2814
@lilianreuben2814 2 жыл бұрын
Asante sana,nakupenda mpk basi
@clarasabutoke6907
@clarasabutoke6907 2 жыл бұрын
Waiting
@E.N.A.243
@E.N.A.243 2 жыл бұрын
Nice one
@AminasaidAminasaid
@AminasaidAminasaid Жыл бұрын
Mimi ni mjamzoto na minesha zoeya kulia kutowa uchunguwa je nifanyeje hapo😢😢😢😢😢😢
@StumaiAbdallah-t2z
@StumaiAbdallah-t2z 26 күн бұрын
Uchungu ukiletwa na mume na wakwe dah😢
@amanimakury9686
@amanimakury9686 2 жыл бұрын
Ndiooo
@kitendegabriel9559
@kitendegabriel9559 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏 shule tosha
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 2 жыл бұрын
Bless you
@AllyAbas-u1p
@AllyAbas-u1p 6 ай бұрын
Dah
@idayagicheha
@idayagicheha Жыл бұрын
Nikweli minimebeba sanaa tu
@shedrackyona9049
@shedrackyona9049 2 жыл бұрын
Kwel brother umenifundisha na emenisaidia kisaikolojia maana nilikuwa na uchungu mkubwa sana lkn kwa mafundisho hayo nitabadilika
@MALEKANA
@MALEKANA 2 жыл бұрын
Vyema sana
@enesnaftali7813
@enesnaftali7813 2 жыл бұрын
Nimesha wai pata maumivu ya uchungu mpaka nikapata stroku kupooza uso upande moja naomba nisaidiye niweze kutoka kwenye. Hali ya uchungu
@josephnyanga5172
@josephnyanga5172 2 жыл бұрын
Mimi nikiwa na uchungu Ama nimekwazika huwa nachukua pen na karatasi naandika yote then nachoma moto karatasi hiyo
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Hii mbinu pia wapo watu wanaoitumia na wanasema inawasaidia, hongera Kuona kuwa kwako inakusaidia pia.
@jessicastelatos4796
@jessicastelatos4796 2 жыл бұрын
Hii imekuja muda muafaka.
@KifuebeShabani
@KifuebeShabani 17 күн бұрын
Asant
@vickyedward9277
@vickyedward9277 2 жыл бұрын
Hakika haya ni tiba ya afya akili na ubongo nikwel kumwelezea mtu uchungu wako binafsi nimekua na tabia mtu akiniudhi au nikimtoa moyon au akinisababishia uchungu nambock ndio tabia yangu
@alimambabazi3666
@alimambabazi3666 2 жыл бұрын
Asante kaka ❤️
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 Ай бұрын
Please nbr yko ya cmu nnashida sana na wewe saana Please
@charlesfaida1515
@charlesfaida1515 2 жыл бұрын
Asante sana Bro Joel. Hali hii himsababisha mtu kuadhilika kiakili pia na kutoweza kufanya chochote katika harakati zake za kumletea maendeleo ni hatari Sana hiyo hali. Bro ninatatizo nimeliwasilisha Kwa WhatsApp namba nisaidie Bro
@yusufmtula947
@yusufmtula947 2 жыл бұрын
Nilisalitiwa na mukewangu
@shamimusalim8719
@shamimusalim8719 2 жыл бұрын
Pole sn kaka samehee
@lesusi7872
@lesusi7872 2 жыл бұрын
Mi mtu kanidhulumu alafu nimtangazie msamaha wakati anauwezo wa kunilipa moyo huo sina
@athumaniamiri3764
@athumaniamiri3764 2 жыл бұрын
Nisaidie mi nimepitia ila kinacho nitesa sana ninawivu sana wamapenz mpaka ninakua msumbufu na najikuta napata uchungu mwingi nikianza wivu nifanye nini ili nipone huu ugonjwa?
@Janetijaneeh7465
@Janetijaneeh7465 Жыл бұрын
Je? Kama niliyezoea kumwambia yupo mbali namimi niyafanyaje? Na hamna mwingine ninayemwamini zaidi yake?
@shaloboy3861
@shaloboy3861 2 жыл бұрын
Mi usema nimesamee lakini bado aiondoki
@brendaally5926
@brendaally5926 2 жыл бұрын
Haujasamehe
@lwambushalwambusha4463
@lwambushalwambusha4463 2 жыл бұрын
Nimepitia msisha ya uchungu kwa takribani miaka 4,nimefurahi sana kwa hatua hizi nne naamini zitanisadia kuponya uchungu huu.
@mwanamkasihabibu9915
@mwanamkasihabibu9915 2 жыл бұрын
Kaka Joel nna shida na ww private
@jeremiahchappa9915
@jeremiahchappa9915 2 жыл бұрын
Kaka naweza pata namba yako kuna jambo nahitaji unisadie kimenishinda maishani tafadhali
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 197 М.
LIFE WISDOM : MWACHE AENDE - JOEL NANAUKA
12:25
Joel Nanauka
Рет қаралды 15 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
UNAPOSAIDIA WATU - JOEL NANAUKA
7:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 54 М.
NJIA 6 ZA KURUDISHA HESHIMA KWA WANAOKUDHARAU.
14:38
Lazaro Samwel
Рет қаралды 22 М.
TABIA NNE (4) ZITAKAZOBORESHA MAISHA YAKO
20:09
Success Path Network
Рет қаралды 33 М.
Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.
9:44
MAMBO YA KUEPUKA ASUBUHI - JOEL NANAUKA
6:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 123 М.
HATARI ZA KUISHI KWA KUSHINDANA - JOEL NANAUKA
8:16
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kujipa furaha mwenyewe
8:08
Chris Mauki
Рет қаралды 39 М.
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 62 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН