Asante kaka unaifungua akili yangu kila wakati Mungu Akupe uzma na afya njema. Sku moja nitakupa shuhuda
@pialafrance79226 ай бұрын
Kaka joel Mungu akubariki mno jmn umenifungua sana katk hili somo la utumwa ...Mungu akulinde siku zote😢
@fotunatamghoi43466 ай бұрын
Asante kaka .Joel nashukuru sana ninapoedelea kukusikiliza ,,mana unanionglelea mimi
@Jackiline-s4s6 ай бұрын
Unanipa nguvu sana kaka nilitaka kufanya maamuzi siku nyigi ila nilikuwa nashindwa ila asaiv nimepiga hatua moja kijitoa kwenye utumwa na unazidi kuniongoza ipo siku nitakuja kutoa ushuhuda mungu akubariki sana
@OmallyMbwana3 ай бұрын
Hakika najifunza kila uchwao kaka joel nanauka mungu alikuleta kwenye taifa hili kwa kusud maalum tunajivunia wewe.
@shukranjulius95266 ай бұрын
Kiukweli namtukuza Mungu kwaajili yako kaka @Joel
@GloriaMushi-b9r6 ай бұрын
Maarifa mazuri sana🙏💯
@upendokiza60616 ай бұрын
Mungu akubariki Sana kaka Joel kwa atua hiyo ya Kuto kulala kwa ajili ya sisi Jamii.
@Abdulrahmanhassan186 ай бұрын
Ahsante sana kwa maarifa makubwa
@winfridamwigilwa21076 ай бұрын
Mungu akubariki kaka angu
@rosadamassawe80196 ай бұрын
Mungu akubariki kaka Joel, kuna mahali navuka.
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante sana coach Joel nimejifunza kitu
@upendokiza60616 ай бұрын
Asante Sana kaka joel, hapa USA kwenye Jimbo la OHIO, ninakupata vizuru nikweli kaka kutoka kwenye UTUMWA inaomba atuwa kubwa Sana kweli.
@heavenlight50846 ай бұрын
Asante kaka Joel, Ni maombi yangu kwa MUNGU nitoke kwenye utumwa huu jamani.
@janetmbwana5536 ай бұрын
Shukran sana 🙏🙏
@onesmoalphonce36766 ай бұрын
Mungu akusaidie uwe wa kwanza kufanyia application ya elimu hio
@yusufuheri65246 ай бұрын
Asante studio
@avitus-thobias6 ай бұрын
Ahsante sana, Mungu akubariki sana, kwa kweli nimesaidika sana
@carolinekalume9346 ай бұрын
Thank you Joel! God bless you.
@SamwelInnocent6 ай бұрын
Blessed
@dorahmatitu25546 ай бұрын
Shukran sana Kaka!!! Mungu akubariki sana .
@petermponzi4116 ай бұрын
Asante sana kwa ujumbe Ndugu Joel.
@stephanosospeter17096 ай бұрын
Ameeen
@songweairport76026 ай бұрын
SIR JOEL
@madamrachel7936 ай бұрын
Asante sana kaka Joel
@IRINE-k8q6 ай бұрын
Asate sana
@ImmaMassawee6 ай бұрын
Asante kaka, barikiwaa
@ElizabethAron-n3s6 ай бұрын
Asante ubarikiwe sana kaka
@RichardMgaya-g8m6 ай бұрын
Nashukuru Sana kaka joel
@veronicamwautenga73946 ай бұрын
Thanks somo xur
@zedhabari81406 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@FaustineEdward-y2p6 ай бұрын
Shukran kaka
@andrew05026 ай бұрын
Huyu mwamba yuko njema sana,but naomba nijibiwe hivi hawa motivational speakers huwa wamesomea vitu wanavyoongea ama huwa kuna fulani wanaoijua wao ya kutafuta contents + talents zao. Maana sifikirii km kuna kozi za kusomea chuoni hivi vitu wanavyoongeaga na si rahic kupata content za namna hii kwa namna nyingine tofauti na kusikiliza wanachoongea ama kusoma vitabu vyao
@danielmayunga11626 ай бұрын
😅😅😅😅Ni Mungu tu. Ila ni wasomaji sana wa vitabu na hivi ndo vipaji vyao.
@beatricemwita43804 ай бұрын
Wanasoma vitabu sana maarifa mengi yapo kwenye vitabu lkn pia Joel alisomea kabisa life coach hivyo wamewekeza sana kwenye usomaji wa vitabu na wewe ukiwa msomaji utaongeza maarifa ya vitu vingi
@jacksontumaini91086 ай бұрын
See you at the top JAN
@alexlucas15716 ай бұрын
See you at the top2024🇹🇿
@MSHINDICLEMENCE6 ай бұрын
Trueth na mm kumbe ni m2mwa ila natak kuchange maixha yangu
@jamesshirima336 ай бұрын
Barikiwa sana bro
@YalucLileZairois16436 ай бұрын
Sasa nilitaka uliza ili unisaindiye kwa mawazo, kama mutu anataka kuku kandamiza kupiya wivu wake nju yako, sasa hio nayo nikuingizwa kwenye utumwa?