No video

Mambo 3 Ya Kufanya Leo Ili Uondoe Stress Maishani Mwako

  Рет қаралды 637,847

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 1 500
@racheltarimo7258
@racheltarimo7258 6 жыл бұрын
nmependa ushauri wako Leo umenikuta katika wakati mgumu I have to change my mindset.... blessed a lot Bro
@evangalo3140
@evangalo3140 3 жыл бұрын
Asante sana kwa somo
@wizpacoo179
@wizpacoo179 2 жыл бұрын
Iam a best
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Ni kweli kabisa, lakini pia nikwamba pamoja na hayo yote pia Kuwa na imani, maisha pamoja na Mungu ya naongeza furaha, ujari, kujiamini
@peterkamani1581
@peterkamani1581 5 жыл бұрын
Ok
@zuhuramsitafa727
@zuhuramsitafa727 4 жыл бұрын
asante
@angujocamillus6836
@angujocamillus6836 3 жыл бұрын
True thing
@eliudtimothy2070
@eliudtimothy2070 3 жыл бұрын
Exactly
@khayraathassan9915
@khayraathassan9915 2 жыл бұрын
Najiamiinin. Ntakua imara
@LovelyOutdoors-wd5nh
@LovelyOutdoors-wd5nh 4 ай бұрын
Furaha yangu haitashikiliwa na mtu,,,am the best woman in this world, be blessed my brother Joel.
@fatoomi99alghafri97
@fatoomi99alghafri97 3 жыл бұрын
I’m strong girl and no one can destroy my happiness 😍💪🏿
@elizabethgabriel1888
@elizabethgabriel1888 3 жыл бұрын
Yes
@elisilaackone2754
@elisilaackone2754 Жыл бұрын
acha kujiamin Kama umekula mtori life uwezo sema hiyo maneno ukiwa hai
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 6 жыл бұрын
Tenda mema hali ya kua unategemea malipo kwa Allah, isikupite swala ya Alfajir na soma Qur-an namaana kua karibu na muumba. Halafu niambie km utakua na stress. Stress ni mzongo unaotokana na shaitwan. Haitegemei ww ni milionea au bilionea. Kwani hatuwaoni mabilionea na mamilionea wanaojiua kwa stress? Na ukiwa karibu utajiona unafuraha tu ww na mawazo mabaya hayaji hata km chakukila hukijui. Niamini mm
@saidyathuman4543
@saidyathuman4543 6 жыл бұрын
Love Mummy Dadaaa hii ni Kwel Stress zinatokana na Ibilisi na ibilisi kaumbwa kwa moto na moto huzimwa na maji hivyo Mtume muhammad (Sw) Ameseme tunapopataa msongo wa mawazo Tushike uzu na kuendelea na mambo menginee yaan Kuuzima moto
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 6 жыл бұрын
Love Mummy umeongea fact kabisa
@omarmohd4001
@omarmohd4001 6 жыл бұрын
nice. huo ndio ukweli na kufanya dhikri zinatuliza moyo
@oleminiss6335
@oleminiss6335 6 жыл бұрын
Wazo zuri love!!!!
@zaynababdullah6705
@zaynababdullah6705 6 жыл бұрын
Joel nanauka nashukurusana kwaushauriwako mungu aendelee kkpa uhai mrefu nilikuwa
@akbersalimjuma3761
@akbersalimjuma3761 4 жыл бұрын
nimekupenda bure kaka daa!!! nimeteseka Sana miaka mingi,ASANTE SANA M/MUNGU akujaalie IN SHA ALLAH
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Ameen ahsante sana
@mussasongoma9521
@mussasongoma9521 5 жыл бұрын
Dah kila mara nisikiapo somo lako baba huwa ni na kitu cha kuondoka nacho...nafurahia sana..kiukweli kwasababu kupitia kuishi katika maneno yako...nimeweza kubadili mind yangu (Mind programming) nimefanya asante Joel...tuko pamoja
@eliudtimothy2070
@eliudtimothy2070 3 жыл бұрын
Mimi ni fundi mwenye uwezo mkubwa! Niliyefanikiwa kiroho na kimwili. Nimeruhusu furaha yangu ishikiliwe na Mungu naye husema nami niwe hodari tu na ushujaa mwingi! Ahsante kaka! Umenisogeza mahali.
@francismangula2715
@francismangula2715 6 жыл бұрын
iam healthy iam great... barikiwa afya tele tuendlee kujifunza video imekuja wakat mzuri kama umeniona vile leo nlivokua na stress.
@lucasmaro4172
@lucasmaro4172 6 жыл бұрын
Asante sana. Mafunzo mazuri. Mimi ni mshindi- I am an overcomer.
@violethshenyagwa6972
@violethshenyagwa6972 3 жыл бұрын
Mm ni mshindi na hodari tena sitakufa bali nitaishi ni yasimulie matendo makuu ya Mungu ki roho na kimwili.nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye Nguvu.Hapatakua na uchawi juu yangu wala uganga kwa watoto wangu
@ibrahimabdallah7639
@ibrahimabdallah7639 3 ай бұрын
Here from kenya Kusema ukweli uyu msee he is the best motivation speaker in tanzania💡 very smart guy
@winniekelvin9143
@winniekelvin9143 5 жыл бұрын
Umeongea kitu kizuri sana, nimejifunza hapo 'self talk' thanx brother..
@KulwaShija-qf4tf
@KulwaShija-qf4tf 5 ай бұрын
Mm ni mfanya biashala mzuli
@luciewajesus731
@luciewajesus731 5 жыл бұрын
Naamini mimi ni mwanabiashara mkubwa sana, bila kusahau Asante sana kaka Joel Mungu akuzidishe maradufu, wewe ni kio cha wengi,❤❤❣
@mwajeimshanga
@mwajeimshanga Жыл бұрын
Mm ni mtu muhimu
@watumnjangu8312
@watumnjangu8312 2 жыл бұрын
Joel, to let you know, your words are ambient and full of sense. You know, whenever I listen to your clips, I get quickly from the deep of valley to the top of mountain. Also to assure you, you are inspiring millions of people. Where ever I share your video, I get thankful responses. May God always bless you.
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sana sana
@rodgersakaya7158
@rodgersakaya7158 11 ай бұрын
Mimi ninaweza,mimi ninapedwa na Mungu,Asante sana Kaka,utatufunza mengi,ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@obeiddaud4999
@obeiddaud4999 6 жыл бұрын
Thanks brother joel., the bless of God should upon you!!! I will start from today to have mind programming
@mwakasamuelnyiro6559
@mwakasamuelnyiro6559 6 жыл бұрын
Asante kaka kwa maneno yako ya Busara. Mimi #Najiamini katika Yesu ndio maana maisha ya stress niliyapiga teke kabisa wala sina stress yoyote. Asante kwa kunitia nguvu zaidi ya kutokaa ndani ya stress
@annejackondera3659
@annejackondera3659 2 жыл бұрын
Mimi ni mtu wamuhimu sana duniani, Pia Mimi ni mwana Basha mukumbwa nduniani, Siyuko hapa Niko, naenda Bali zaidi 🙏 Asante sana mtumishi wa Mungu, Nimeipenda ushauri wako, mbarikiwa sana🙏
@jumabohar9600
@jumabohar9600 3 жыл бұрын
Brother nanauka salute kwko , naendlea kujifunz sana kutoka kwko , kw kifup mimi najiambia "furaha yangu ipo kwangu mm mwenyew na balance ya furah yangu ni ku keep moving tu"
@jojolyamuya3938
@jojolyamuya3938 3 жыл бұрын
I can do it even if others think that i cant. Thank you for the best lesson
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 жыл бұрын
waoooooooo Joel I am the best and I CAN,...............................BE BLESSED NANAUKA
@julianamichael1848
@julianamichael1848 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri limenijenga na kubadilisha mtazamo wangu naanza kwa kusema mimi ni baraka nawewe ni baraka kwetu
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 4 жыл бұрын
Mimi Ni jasiri!!!!Mimi ninaweza!!!!!,,,,,,Asante kaka maneno yako yana faida sana hasa kwangu!!!!barikiwa MUNGU na aendelee kukuongezea maarifa zaidi na zaidi
@29WavesTV
@29WavesTV 5 жыл бұрын
Naamini kwa kiwango kikubwa kwamba ndani ya hivyo vitu vitano ulivyovigusia ...to be stressless ni silaha tosha no matter what circumstances we are undergoing ...JOEL YOU'RE THE BEST let's meet at the top!
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 5 жыл бұрын
Asante kaka umenifariji sana kupitia somo lako asante mungu mkubwa insha allah
@annadaffi2023
@annadaffi2023 2 жыл бұрын
Asante sn kaka umenitoa nguvu Lazima nitashinda ktk maisha yangu kupitia ushauri wako
@user-rk3rz2qk9r
@user-rk3rz2qk9r 7 ай бұрын
Sant, mm ni kiongozi bora kwa familia yangu na Jamii piaa...najiamini..I'm am the best
@graceemanuel6305
@graceemanuel6305 5 жыл бұрын
nashukuru sana nilikuwa namawazo Ila baada yakukusikiliza yameisha
@evangalo3140
@evangalo3140 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaa
@jemamichael4847
@jemamichael4847 5 жыл бұрын
Mm najiamini sana and am the best person in this world thnx brother for the good words to us
@josej9888
@josej9888 Жыл бұрын
Ahsante Sana mwalimu JO nitabadilika Sana kupitia mafundisho yako.
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 2 жыл бұрын
Joel Mafundusho yako yamewasaidia Sana Watanzania Wengi na Wengine wanaotumia Lugha ya Kiswahili Duniani! Mungu aendelee Kukupa Ufahamu wa Kutufundisha Zaidi, Zaidi ya yote Mungu Akubariki
@alibujaga9728
@alibujaga9728 10 ай бұрын
Kaka napenda kukusikilza sana na kufuata maelekezo kiukwel inanisaidia sana kwa sasa mm mfanyabiasha mdogo ila nina amini nitakuwa mfanyabiashara mkubwa naitaji sana masada wako ili niweze kuimalika zaid
@georgewilliam7319
@georgewilliam7319 6 жыл бұрын
Asante kaka. nimejifunza sana na sitaki tena kushikiwa furaha.
@francismussa3635
@francismussa3635 3 жыл бұрын
Yah! I caught you clearly. I have those problems. I need to start use your advice. Thanks
@gracenamuchimba4960
@gracenamuchimba4960 Жыл бұрын
Asante Drk Mimi najiamini sana na ninajikubali mwenyewe.Mungu akubariki
@sethjohnson7266
@sethjohnson7266 3 жыл бұрын
I am the CEO of my own life..... Nimeipenda sana hii statement. Asante sana brother
@azzeaazza6331
@azzeaazza6331 6 жыл бұрын
Napenad kujiambi am the best no one like me napia npenda kutatua changamboto mwenyewe cpendi kumshilikisha MTU yoyote ala mm nu msiri na mambo yangu he ni sawa
@erickbasombana5685
@erickbasombana5685 4 жыл бұрын
I really like this lesson from Congo based in Johannesburg thank you
@damaspecha9994
@damaspecha9994 3 жыл бұрын
Unacho kiongea kikosawa kabis Mimi najiamini miminkama mimi
@adelinakibejile4696
@adelinakibejile4696 2 жыл бұрын
Asante Kaka Joel umeniokoa maana nmekuwa na stress had nmeumwa vidonda vya tumbo bt acha nifanyie action haya maneno
@ellyminja8681
@ellyminja8681 2 жыл бұрын
umenibariki sana, na shukru kwa somo lako, barikiwa mtumishi wa MUNGU.
@vanebichanga9466
@vanebichanga9466 3 жыл бұрын
Santee my brother. Mimi ni mtu wa maana mbele za machoni pa mungu 🙏🙏I can do all things in christ 🙏💪be blessed so much.
@aishaomar4318
@aishaomar4318 6 жыл бұрын
Nimejifunza kitu. Asante ubarikiwe
@ibrahjr5210
@ibrahjr5210 Жыл бұрын
Ahsante Kaka Joel,,umenipa funzo kubwa inshallah Allah anisaidie niweze kuishi maisha yangu bila msongo wa mawazo tena
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 2 жыл бұрын
Mm ni daktari mkubwa wa upasuaji moyo wa baadae.asante sana kaka mungu akubariki
@seraphinamzurikwao3714
@seraphinamzurikwao3714 4 жыл бұрын
Am a hard worker,Am strong and I can do ,I can stand with my own feet 🌹🌹
@fatumanassir3085
@fatumanassir3085 Жыл бұрын
Thanks bro umenisaidia
@tumajuma6917
@tumajuma6917 6 жыл бұрын
Nasema Asante kaka.umenipunguzia msongo wa mawazo.
@asiahmariam3942
@asiahmariam3942 6 жыл бұрын
Nami pia kama ww dia
@neemarashid7504
@neemarashid7504 5 жыл бұрын
Nimeipenda mana imenivusha atua kubwa sana
@kissomundende3696
@kissomundende3696 5 жыл бұрын
Tuma Juma mambo naomba unicheki whtsp 0719619494
@azizahashimubakari7012
@azizahashimubakari7012 5 жыл бұрын
yaani mm sijui unisaidiaje maana nikisema nisiwaze napata kubwa kuliko
@ezymoonworld6369
@ezymoonworld6369 4 жыл бұрын
@@kissomundende3696 ya nin tena bro.
@worldelectro2787
@worldelectro2787 2 жыл бұрын
mungu akubariki sana baba kwa mfundisho yako , nafata mafundisho yako nikiwa katika mji wa kampala uganda, najengwa sana ,nilikuwa na woga wa maoni ya watu inanifanya nisiendelee lakini leo minaisha vizuri siogopi maoni yao tena naendelea sasa na nimekwisha kuanza business yangu, asante baba
@khayraathassan9915
@khayraathassan9915 2 жыл бұрын
Shukran Sana Dr kwa elimu yako mAma yng anattzo hlo
@athumanisaid2044
@athumanisaid2044 6 жыл бұрын
Kaka mungu akubaliki na akulinde kwa uelevu na uodal ulokua nao kufikisha ujumbe kwa watu inatufumbua vitu vingi na kutuelimisha sana. big up sana Joel Nanauka 👍
@blacksunshine__tv__onellin7205
@blacksunshine__tv__onellin7205 6 жыл бұрын
Athumani Said
@ellenmsita1265
@ellenmsita1265 3 жыл бұрын
ni kweli kaka umrkomboa wengi
@basamtv6881
@basamtv6881 6 жыл бұрын
kaka m napend kazi zako na vitabu vyako napend sana kuvisoma sijawai kumaliza kukisoma kitabu chote ila vitabu vyako sichoki kuvisoma Asante kwa kutubadilisha
@joelnanauka3611
@joelnanauka3611 6 жыл бұрын
Nashukuru kwa mrejesho,naamini vitakupa matokeo makubwa sana
@tonymwalanya4068
@tonymwalanya4068 6 жыл бұрын
Nikwelikabisa
@magrethrichard5653
@magrethrichard5653 6 жыл бұрын
nmejifunza kitu,coz kunaixhu imetokea nmejilaum Sanaa,nmekuwa n zaid y stress~ila kuxhika cmu tu nkakutana n iki kituuu*thanks alot
@abinesskosana9583
@abinesskosana9583 6 жыл бұрын
+magreth richard ni kweli kabisa hata mimi imekuwahivyo
@ruthmoses6565
@ruthmoses6565 Жыл бұрын
Wow,ur a good teacher and psychologist for sure umenipa chachu nzuri nilkuwa nimtu ambaye niponipo but kutokana na mafunzo yako ninaiona future aisee Mungu akubariki sana ww na familia yako kakaangu,,,bando langu litakuwa linaishia kwako aisee🙏🙏🙏
@ruthmoses6565
@ruthmoses6565 Жыл бұрын
Najihis mwepes na ninapata new hope 🙏🙏
@victoriabulambo2029
@victoriabulambo2029 2 жыл бұрын
Daaaaa pastor jo yani umenisema mimi kabisa, point zote zinanihusu, Asante sana ntajitahidi
@debbykibona3813
@debbykibona3813 6 жыл бұрын
i am confident, i am intelligent, i can do everything God created me to, i am hardworking, i am talented, i am capable, i am rich, i am fearful and wonderful made.. i am the best
@mohameeddoaan2296
@mohameeddoaan2296 4 жыл бұрын
Alhamdhulilah
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 жыл бұрын
Wow
@nehemiamwasile8696
@nehemiamwasile8696 Жыл бұрын
God .bless you Joel good job
@d03308637
@d03308637 6 жыл бұрын
You have been so helpful to us Mr Joe. God bless you
@shamesalimusita8152
@shamesalimusita8152 2 жыл бұрын
Asante Sana Haki nimeumizwa na make wangu Ila kwa ushauri wako KUANZIA sai nasema IAM THE BEST
@asiathuman3380
@asiathuman3380 2 жыл бұрын
Tnx Joe Mungu aendelee kukuweka ila mm ni muhanga sn wa stress na kufukiria negative all the time. Nahitaji msaada Zaidi asant
@sheilachemutai5971
@sheilachemutai5971 3 жыл бұрын
Iam blessing with this lesson
@sixteenonline9811
@sixteenonline9811 4 жыл бұрын
Thanks so much .I am the best and I can get anything that I want.
@jozahjoel3919
@jozahjoel3919 2 жыл бұрын
Mungu akubariki joel, unachotupa kinatujenga sana
@allyekome3564
@allyekome3564 3 ай бұрын
Nashukuru kwa elimu nzuri uliyonipa
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 6 жыл бұрын
Shukran kwa kunijuza
@verodestiny4927
@verodestiny4927 5 жыл бұрын
I am the CEO of my own life....I love that
@thecovenant.tv.4597
@thecovenant.tv.4597 5 жыл бұрын
Mimi ni bora sana...
@josephemanuel7573
@josephemanuel7573 5 жыл бұрын
Najiamian nitaweza mm nimtafutaj
@floramponda6860
@floramponda6860 5 жыл бұрын
I am the CEO of my own life daah rah san
@frolenceerasto7389
@frolenceerasto7389 3 жыл бұрын
For Sure
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
I’m the C.E.O of my own life Mungu anitie nguvu nishinde hili jaribu Aamin 🙏🏻
@hawahosseni7695
@hawahosseni7695 2 жыл бұрын
Asante san kka Kuna wakt nipitia nikakumbuka maneno yako mitian yte nimeyashinda Asante mungu akuweke we kka
@costapius1564
@costapius1564 2 жыл бұрын
Nilishindwa Mambo mengi kwaajili ya kutojiamini Ila baada tu ya kuyasikia mambo haya matatu wooow..rights now am the best ,,na naenza sasa kuyaishi maneno Aya
@hidayakasambwa658
@hidayakasambwa658 5 жыл бұрын
Najikubali, na sintoruhusu Furaha yangu itawaliwe name mtu mwingine. Biashara ndiyo mpango mzima.
@opeoluwamelodi9952
@opeoluwamelodi9952 5 жыл бұрын
Above all,.ni Mungu kwanza mengine ndio yanafuata. Barikiwa kaka JN.
@rachealmwale3897
@rachealmwale3897 3 жыл бұрын
Asante sana nimejifunza kitu. Barikiwa brother.
@fuadkarama5798
@fuadkarama5798 2 жыл бұрын
Wow asante sanaa. Na mimi najiamini ni mlezi bora kwa watoto wanguu.na hata nikipitia magunu gani nitagagana kwa uwezo wa mungu
@asyamaulidi7857
@asyamaulidi7857 6 жыл бұрын
Mimi Ni mfanyabiashara Kwa uwezo wa Allah nitafikia malengo hayo In Shaa Allah
@nunuuali5316
@nunuuali5316 5 жыл бұрын
Mungu yupo nami I can do it!
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 2 жыл бұрын
Asante sana mimi najiamini ilanilimpenda mumewagu nikampa moyo yagu wote akani katiziya khafla kwakosa niliomba msamaha sana lakini hakuupokea nikajua alikuwa hanipendi sasa nataka wazo kutoka kwakomeseji zagu asoma lakini hanijibu jee nifanyrje
@dorahmatitu2554
@dorahmatitu2554 2 жыл бұрын
Shukran my kaka. Hii ni point sana. Mungu akubariki sana wallah.
@rosemarym.surati5122
@rosemarym.surati5122 5 жыл бұрын
Asante kaka kuanzia leo sitaki mawazo nimekuwa mtu wa mawazo Kila siku na kukonda kisa mawazo
@nicecraritypaul231
@nicecraritypaul231 5 жыл бұрын
brother am blessed with you're motivation thanks for the message...
@ramseyhusseinkhamis8258
@ramseyhusseinkhamis8258 5 жыл бұрын
Asante sana kaka Kwa ushauri wako uliokua mzuri sana unatusaidia wenigi sana Mungu atkulipa
@stellapeter6387
@stellapeter6387 4 жыл бұрын
Katika ndoa yangu sijawahi kua na furaha. Tatizo ni Imani. Iman zetu ni tofauti sijui nifanye Nini
@aigidiusandrea1915
@aigidiusandrea1915 6 жыл бұрын
I'm the best. I'm blessed. I will go so far.
@aberinegodimoso7760
@aberinegodimoso7760 4 жыл бұрын
Asante kwa ushauli mzulikaka
@jimsonmgaya7399
@jimsonmgaya7399 5 жыл бұрын
bro ulizaliwa kwaajili ya watu blessed sana sana
@moseskayugumya2550
@moseskayugumya2550 4 жыл бұрын
Ninaweza
@elialaliyo8235
@elialaliyo8235 Жыл бұрын
Kaka joel asantee sana kwa somo maana nda mwingine najipa moyo kwa haya masomo
@eddahwaweru9031
@eddahwaweru9031 Жыл бұрын
I believe in myself, I believe in my abilities, I am hardworking, fear has nothing on me. I am a child of God and all that is possible is possible for me.
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen
@IbrahiimuMashili
@IbrahiimuMashili 10 ай бұрын
Kweli kabisa
@aloyceselina7848
@aloyceselina7848 6 жыл бұрын
Nkushukuru sana maana me nskonda kwa sababu ya mawazo
@aaronmsungu5066
@aaronmsungu5066 5 жыл бұрын
Asante sana
@ahmadkasunzu5291
@ahmadkasunzu5291 4 жыл бұрын
"See you at the top" You are always the best brother
@mungumy2813
@mungumy2813 2 жыл бұрын
Vzur sana
@ney7c479
@ney7c479 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri Mm kwa upande wangu naumia sana pale napogundua nimemkosea mpenzi wangu yan nateseka sanaa na ndo kitu ambacho kinanifanya nakosa furaha muda mwingine
@boke9196
@boke9196 2 жыл бұрын
Thank you my brother kila ninapopitia changamto huwa nayakumbuka mafundisho yako napata ujasir wa kuyashinda 😭😭🙏🏻🙏🏻
@enerstmusa5398
@enerstmusa5398 5 жыл бұрын
I'm the best Graphics designer from Zambia but now in tz my wishes I wish to know more kiswahili
@samwelaloyce3866
@samwelaloyce3866 2 жыл бұрын
Hey brother
@marygodwin8791
@marygodwin8791 2 жыл бұрын
Mimi ni thinker mkubwa ninauwezo wa kufamya mambo makubwa naweza ishi bila kumtegemea mtu nina uwezo wa kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa mungu aniongoze na mkabidhi yeye kila jambo langu
@joynesscharles7583
@joynesscharles7583 5 жыл бұрын
There is no way u can live without stress........ila there is the way to overcome stress
@boreshamwiliwako2602
@boreshamwiliwako2602 2 жыл бұрын
Am a millionaire mimi ni mshindi jasiri ninaweza najua kutatua changamoto nazo kutana nazo mimi ni mshindi mimi ni strong mimi ni mshindi mimi ni mshindi
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana nataka kubadirika kwazia Sasa naomba unisaidie màana nateseka sana mawazo nashindwa kujiamini
@eunicekitenge8878
@eunicekitenge8878 6 жыл бұрын
Furaha yangu ni wajibu wangu. Nimejifunza
@joelnanauka3611
@joelnanauka3611 6 жыл бұрын
Kabisa Eunice,You are the CEO of your own Life.
@okeamhanga4372
@okeamhanga4372 6 жыл бұрын
You're a blessing brother!!
@nawaladnan3675
@nawaladnan3675 2 жыл бұрын
Utatatua vipi tatizo la kupenda na kujali sana?
@estheredwardelisha8906
@estheredwardelisha8906 2 жыл бұрын
Asante kaka joel
@babybhalo8723
@babybhalo8723 2 жыл бұрын
Furaha yangu ni mm mwenyewe,mm ni mfanya biashara mkubwa... Mungu akubariki 💪💪💪💪
@fatumanassir3085
@fatumanassir3085 2 жыл бұрын
Ooo,mungu akubariki kaka...umenisaidia pakubwa na maneno yote matatu...nitaweza ln Shaa allah
@edsonkikwanyama2609
@edsonkikwanyama2609 5 жыл бұрын
Yes ,lM appreciated this speaker is talking the truth, in fact about fear.there for l have learned s lot through is talent knowledge
@rosemarychristopher6691
@rosemarychristopher6691 2 жыл бұрын
Mimi najiamini
@asiahmariam3942
@asiahmariam3942 6 жыл бұрын
Sina chakukulipa ila tu nakuombea kwa Mungu akupe umri mrefu na mafaanikio tele
@abasiabdillah1754
@abasiabdillah1754 5 жыл бұрын
Asiah Mariam mambo
@MariamChidaga-cf4rg
@MariamChidaga-cf4rg Жыл бұрын
Kweli uliletwa Dunia Kwa kusudu zuri sana Ahsante Kwa somo lako zuri,,
@arafamuhamed6566
@arafamuhamed6566 2 жыл бұрын
Asante kaka japo kunamagumu napitiaa sasiv nataman Ata kujiuw using sipati nifanyej kakanguu nisaidie
@lazarosteven4741
@lazarosteven4741 6 жыл бұрын
muda mwingine tunapitia changamoto ili tuone fursa behind-the-scenes
@joshuagitilo3931
@joshuagitilo3931 5 жыл бұрын
Very true. Thank you very much for encouragement
@solomonmassangya8187
@solomonmassangya8187 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Kaka nmekuwa namawazo mpaka nimefikia moyo wangu unauma
@lucymgata9721
@lucymgata9721 4 жыл бұрын
Yàani kaka Joel umenibadilisha kwa kipindi kifupi mno,ahsante sana na Mungu akubariki
Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?
11:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 49 МЛН
ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA
7:04
Joel Nanauka
Рет қаралды 92 М.
Siri ya kuwa mtu wa tofauti
5:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 189 М.
AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA
17:14
Joel Nanauka
Рет қаралды 99 М.
Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda.
8:54
Joel Nanauka
Рет қаралды 160 М.
Vitu Vinavyopoteza Kujiamini - Joel Nanauka
8:31
Joel Nanauka
Рет қаралды 127 М.
MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE
11:26
G Online
Рет қаралды 60 М.
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 130 М.