Uyu Mmama hawezi kutuongoza Bali kutuongoza ktk vilio vya watu kuhuawa na kubakwa,kubambiliziwa kesi n.k katika nchii
@winniefridamutakyawa594316 сағат бұрын
Oppressed people cannot remain oppressed forever.( Martin Luther King Jr.
@salumunsabimana650215 сағат бұрын
Damu inanukiya Tz .wallaah msibishe funguweno akili msiendekeze zina na stareh .hali inaenda vibaya kunawatu ambao wanastahiki kuishi nawengine hawastahiki .zamanihiyo ilikuwahakuna Tz sasa kila mtu hanahaki .damu itamwgika .
@hoseamwambambale350316 сағат бұрын
Afu kama wana taka vyama visiwepo bas vifutwe tu ila wasiue watu
@gowekogoweko580311 сағат бұрын
WELL SAID
@salumunsabimana650215 сағат бұрын
Damu yamtu asiye na hatiya haiendi bure malipo yatafika Mungu halali.
@HdhdhdhdhJdhdhd-o6c7 сағат бұрын
mungu ampe moyo wa subla
@abdalahgunda131916 сағат бұрын
That was the freeman mbowe address tsd organization consern tanzania democracy challenge facing ccm rooling and chadema political party history from 1995 up to now crush between ccm and chadema wich attend by representative from different national and. Local tanzania janelist and team organization from within tanzania
@chikizamifupa578616 сағат бұрын
Unaonaje na wewe ujiuzuru wadhifa wako?.
@philemonsnyanda945016 сағат бұрын
Mtasubili sana hiyo mipango yenu ovu juu ya chadema
@StevenGendo-vx9jo15 сағат бұрын
Mwambie baba ako hayo maneno ajiuzuru kwa mama ako
@chikizamifupa578615 сағат бұрын
Jinga sana wewe
@wahurumasibale61558 сағат бұрын
Kuna mapungufu gani ya yeye kuendelea? Wanachama na katiba yao wanaona anafaa basi tuache aendelee kuongoza. Muda ukifika ataingia mwingine.
@adamlubawa128113 сағат бұрын
MBOWE KUWA MUWAZI TU ANAEKUWA TOFAUTI NA WEWE LAZIMA UMUUE NA IWAPO NI UONGO JIONDOE KWENYE UENYEKITI UONE KAMA WATU WATAKUFA ILA KWA SASA MBOWE HUNA DEMOCRACY NDANI YA CHAMA CHAKO HIVYO ONYESHA DEMOCRACY NDANI YA CHAMA CHAKO KWA KUUWACHIA UENYEKITI
@HASSANWAZIRIGAO16 сағат бұрын
WEWE UNADAI KATIBA ILIOBORA KWENYE CHADEMA KATIBA YENU NIBORA?WEWE KATIBA YENU KUNA KUBADIRISHA GIA ANGANI IMO HIYO KWENYE KATBA ?
@StevenGendo-vx9jo15 сағат бұрын
Kamuulize mama ako huo ujinga
@salumunsabimana650215 сағат бұрын
Msiseme Tz inchi ya amani ilikuwa zamani sisasa .hali inatisha .kwa wageni na wenyeji.hiyo siyo amani .
@thomaspascal964112 сағат бұрын
Maandamano bado yapo au mpaka muue mwingine tena mpate kiki?
@ABDULRAHMANIDAS16 сағат бұрын
Mmepewa uhuru mkaanza kuutumia vibaya, mkaanza kumtukana rais na kumkashifu hadharani, sasa mnaanza kulalamika nini
@taaonlinetv182015 сағат бұрын
hakuna muslim mwenye akili sawa sawa lazima sehemu moja tu ayumbe😢
@StevenGendo-vx9jo15 сағат бұрын
Uhuru wa nyoko
@NuruLutembeja-h1r13 сағат бұрын
Mama kama ametukanwa kafungue kesi dhidi ya walio mtukana.Tofautisha hoja na vioja.
@adamlubawa128113 сағат бұрын
ELEZEA DEMOCRACY NDANI YA CHAMA CHAKO NA NJE YA CHAMA UNASEMA CCM HAINA DEMOCRACY WAKATI NDANI YA CHAMA CHAKO HAKUNA DEMOCRACY TOKA UWE MWENYEKITI HADI LEO HIII WEWE BADO NI MWENYEKITI HIVI HAKUNA MTU MWENGINE AMBAE ANAEWEZA KUWA MWENYEKITI WA CHADEMA
@Bonifaskagoma11 сағат бұрын
Chawa
@Bonifaskagoma11 сағат бұрын
Chawa
@wahurumasibale61558 сағат бұрын
Kuna mapungufu gani ya yeye kuendelea iwapo Wanachama na katiba yao wanaona anafaa? Basi tuache aendelee kuongoza. Muda ukifika ataingia mwingine. Hata ccm pia huwa wanadai kuwa ni utamaduni wao kumpatia rais wao aliyetoka kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wao. Utamaduni huo pia kwa namna fulani unaweza kuwa mzuri au mbaya kulingana na namna mtu anaweza kuuchambua.
@HASSANWAZIRIGAO16 сағат бұрын
ACHA KUDANGAYA WATU TUKIO LA ALLI KIBAO WEWE NDIO UMEPANGA NAHAO WEZENU UMEWAFICHA ILI MPATE KIKI
@jamessiame516915 сағат бұрын
Atekwe baba yako utasemaje
@bhaijanali509215 сағат бұрын
Mboye apange utekaji Serikali imuangalie utakua msukule wew sio bule
@PauloMussa-l5i15 сағат бұрын
We huna akili kweli
@NuruLutembeja-h1r13 сағат бұрын
Inapendeza sana,isaidie polisi ili Mbowe akamatwe na haki ya Kibao ipatikane.Usiishie kukomenti humu pekee,nautapewa tuzo ya kuwa mzalendo wakweli.
@adamlubawa128113 сағат бұрын
Upo SAHIHI KABISA MBOWE ANAWADANGANYA WANACHADEMA AAACHIE UENYEKITI HAPO NDIYO ITAKUWA DEMOCRACY