Hakuna hata Moja nimewai zingatia japo nashukuru ukurasa wako umenielimisha Tena sana
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Hakuna...hta..moja..nilio kua nikifatilia.. lakini..kwa..Sasa..toka.. nianze kukufatilia br... nashukur sana... naona madiliko.. asante sana coach Joel 🙏🙏
@_.sheisherself._2 жыл бұрын
Namahukuru mungu uu mwaja kanuni namba 2 nimeiwwza ila ii tatu 😒🤗
@pendocharles63703 жыл бұрын
Yaani umenisaidia sana , nimepata kitu kinachoenda kubadili maisha yangu
@cellislove6093 жыл бұрын
cjutii kuku follow tangu nianze kukusikiliza nimebadilika sana kwaving sana mungu akubariki kwakunifikisha nilipo
@charlesshikoye55453 жыл бұрын
Asante Sana kaka barikiwa🙏🙏
@jamalkhedira23982 жыл бұрын
Asante sana...umenifunza kitu leo
@yonambughi29403 жыл бұрын
Kanuni ya tatu imekuwa ngumu sana mm kuitekeleza
@joelinko66322 жыл бұрын
Wajina unaakili sana
@obadiachristopher37233 жыл бұрын
Mm ninashidwa hiyo tatu napata shida sanaa ila asante
@ahmaditwaha13002 жыл бұрын
Matumiz kuongezeka zaidi kuliko kipato
@kastobenjamin78893 жыл бұрын
nashndwa kutunza akiba khabsa kwasababu naroho ya huruma kwa watu wang wa karibu
@noelpeter21303 жыл бұрын
Hiyo ya tatu ndio inanishinda sana
@deogratuskapunga64502 жыл бұрын
Nimeanza kuku fatilia kaka najifunza vituy ving
@immajuzo24403 жыл бұрын
Shujaaa unatupa madini kila siku ubalikiwe sana
@hassanmeshack49403 жыл бұрын
Daaaaah, shukurn snaaa. Kanunu 2 and 3. Nimezielewa snaa n huwa naziishi ktk maisha ilaa ss sema napokuwa naon matumiz y kila siku yamezid nakuw mpole.
@patrickButamanАй бұрын
Sanks bro kazi yako njema sana
@tijaramakame64892 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka kwa huduma yako,mimi nilishajaribu 2 na 3 nimeshindwa plz nisaidie
@saluma75163 жыл бұрын
Kanuni no tatu mm inanisumbuwa itabidi unisaidie
@mariamfrank97952 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@victorchiwai8831 Жыл бұрын
Santa Kwa ushauri wako (Nairobi)
@muhsinsalum49743 жыл бұрын
Kanuni ya kwanza na ya tatu
@jameskimaro29153 жыл бұрын
Kanuni ya pili mkuu nimeipenda Sana.
@medsonstarlon08053 жыл бұрын
Shukrani kwa elim hi Kaka
@godfreyhaule83312 жыл бұрын
Kanuni ya 3 kwangu ni mtihani
@peterjanuary79722 жыл бұрын
Naaam 👏👏👏👏
@online16533 жыл бұрын
Kuongeza matumiizi kutokana na kipato. Hapo nimepaelewa sana sanaaaa
@nelsonishengoma95482 жыл бұрын
Kanuni ya 2 nilikuwa sizingatii kabisa
@bernadette62663 жыл бұрын
Asante Sana Mungu akubariki
@peterprimy2011 Жыл бұрын
Kanuni ya tatu
@felixjoachim94823 жыл бұрын
Kaka joel yani toka jana mpaka leo nakaa naludia ludia hii clip na kila ninapoludia nasikiliza kanuni ya kwanza tu ya passion, aisee kwenye passion nateseka sana na sio kwanda sijui passion yang nn apn najua fika kitu ninachokipenda ila kinanipa wakati mgum kukiishi kutokana na changamoto silizomo kwenye iyo passion yangu, naomba unisaidie kaka joel nifanyeje?
@jangamefilms3 жыл бұрын
Pole sana. Amini juu ya uwezo wako.
@deviijackii12933 жыл бұрын
Mm nkifatiliaga speach zako najiona mbali san
@benjaminkaizer23653 жыл бұрын
Kanuni ya pili ndo imekuwa changamoto kaka yaan napata mshahara but mpaka tarehe najikuta sina kitu
@priscardanier826411 ай бұрын
Kwanzia leo ntajitahidi kutumia kanunu ya 2
@manenolugendo63963 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@MoshiroCatherine3 жыл бұрын
Kanuni namba tatu iko njemaa mno nitabadilika
@venajah30332 жыл бұрын
Asant kaka nimekuelew
@melodyanne32493 жыл бұрын
I'm here taking notes
@SalumMdumla4 ай бұрын
Kanunu ya tatu hiyo ni changamoti
@masasijunior17013 жыл бұрын
Hili swala la passion naona sio kweli maana wakati mwingine unatakiwa ufanye usichokipenda ili ufikie malengo yako
@joshuapeter3123 жыл бұрын
Pamoja sana mkuu ila sasa darasa linaingia vizur muda ndio umetubania mwalimu
@bensonjohn54002 жыл бұрын
Je Unacho Kitabu Cha Maelekezo Ya Kifedha
@richardbahati40953 жыл бұрын
Kanuni zote hizo Mimi kwangu zinanisumbuwa sana kaka
@jovinmutakumwa96113 жыл бұрын
Ya kwanza kiukweli Nipo Hapo Brother Mungu mwema sana anazidi kutuongoza
@nestarmtewele47303 жыл бұрын
Ahsante kwa SoMo zuri. Me huwa siwezi kuweka akiba ya asilimia kumi
@godlovemakule81513 жыл бұрын
Nashukuru kwa ushauri kaka, mimi kanuni namba tatu imenigusa naona nilikuwa kipato changu kinakuwa sawa na matumizi naomba msaada kwa hili
@kelvinpeter56613 жыл бұрын
see you at the top
@dannymajaliwa56633 жыл бұрын
Dah hiyo kanuni ya 2 na ya 3 ni tatizo Sana aisee
@Senetalkim3 жыл бұрын
Broo nakupataje
@AliMohamed-wp1op3 жыл бұрын
Bright Ideas👍
@samsonhaule36473 жыл бұрын
Mie huwa nafeli Sana, kwenye matumizi, Natumia kiasi kikubwa cha pesa.
@petersamson48343 жыл бұрын
Passion
@fredymuhuro45403 жыл бұрын
Kanuni ya pili na kanuni ya tatu zimekua tatizo sana kwangu kaka..
@abuuabuu96153 жыл бұрын
Joeli mbn ujaweka program yakusave video wengne hua tunataka hata tukiwa hatuna M B tunaangalia !BOSS
@user-fc7wz9ww2g10 ай бұрын
Kamini ya kwanza mm no shida
@mussadionizi94183 жыл бұрын
Ahsante sana kaka your simply right
@peterprimy2011 Жыл бұрын
Kanini ya tatu
@gmaemba223 жыл бұрын
Joel umenifungua macho nataka kuongea na wewe tuwasiliane please. Thank you my brother
@chachamwema69153 жыл бұрын
Kwanuni inayonishinda mimi ni kuweka akiba
@dominionbiginga41703 жыл бұрын
Be blessed, kanuni ya kuongeza matumizi
@barakantindiofficial94713 жыл бұрын
Asante kaka mim huwa nashindwa Ku blans matumiz mpaka najikuta natumia kidg kidgo mpaka inaisha
@raymondemily7243 жыл бұрын
Thanks kaka Joel.. Am speechless # See you at the top
@felixjoachim94823 жыл бұрын
Nimekuelewa vzr sana kaka joel
@farajiajali30303 жыл бұрын
See you at the top🤙
@floraemeeelias78402 жыл бұрын
Ka. ya 3
@bifosiiddi57703 жыл бұрын
Asante sana brother
@awardhakimu47773 жыл бұрын
Kubana matumizi kazi inahitaji uwe mzoefu sana
@plustzafromusic49083 жыл бұрын
Kaka Joel Natafuta kazi nimesoma business administration pia ninajua sound engineering kurecord sauti na kufanya sound track za movie...mixing and mastering na kufanya matangazo kwa njia ya sauti
@charzysimion90553 жыл бұрын
Kanuni ya 3 lakin Leo nimejifunza kitu bro thanks🙏
@daudilitei92743 жыл бұрын
Je naweza kupata kitabu Cha money formula softcopy na je Kama ni tapata kitakua shilingi ngapi
@josephinenoah85593 жыл бұрын
Thank bro
@techniciantheprogrammer5513 Жыл бұрын
Thanks
@jaynekinanja68 Жыл бұрын
Nasave kila ninapopokea mshahara 30%
@ngutitimolell30773 жыл бұрын
Changamoto yangu ipo kwenye kutenga ⅒ ya kipato changu
@bigsamtv9373 жыл бұрын
Wow
@patrickjm99093 жыл бұрын
Saving
@salumselemani10593 жыл бұрын
Shukran kaka
@vailetheanyambilile97493 жыл бұрын
Asante sana
@iddikhamis33093 жыл бұрын
Hongera sana brooo kwa elimu yako
@eliaskamanda69343 жыл бұрын
thank you so mch
@geofreylaurian25733 жыл бұрын
Ya pili nimeielewaa sana
@samsonhaule36473 жыл бұрын
Kweli kabisa Brother.
@asternjulius8903 жыл бұрын
Najiona mshindi hapo zote nazifuata
@letionnews3103 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kaka
@georgeatanas74663 жыл бұрын
Perkins son law kuiishi dah, kutunza fedha nikaz ngumu ndio maana daily najifunza kwako
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Elimu haina mipaka
@calvinknight89763 жыл бұрын
Brother me kuweka akiba na matumizi makubwa imekua kipengele kwangu nisaidie bro
@abilityemmanuel30003 жыл бұрын
Pamoja joel
@inyasiinvestment183 жыл бұрын
Somo zuri lakini hako ka mziki kanao sikika kanapoteza utulivu wa kusikiliza maneno mazuri tunaomba utoe ,sauti yako inatosha mwamba