Now nimerud shule kitu cha kwanza naanza na mwalimu Joel Arthur nanauka Asante sana kiongozi now nazidi kuwa bora sana
@fasahaproductstv6383 жыл бұрын
Ungenigaia laki 1 asubuh hii ingeish mda mfup ila topic hii itabaki kuwa hazina kweny life yng na wengn (Thanks slots Nanauka)
@eliasmugume2543 жыл бұрын
Kwaupande Wangu ni zote kiukweli Na hii si kila mtu anaijuwa Kabisa Mungu Akubariki Sana
@breezyommy83363 жыл бұрын
Kipindi hichi najifunza mambo mengi kupitia wewe Allah akubarik ✌❤
@yohanasimtenda7483 жыл бұрын
Hizi naweza kuziita busara au nikiendelea mbele zaidi hekima za kutumia simu. Asante sana brother 🙏🙏
@josej9888 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa! Ahsante
@breezonlinetv3 жыл бұрын
Asante Sana joel..... personal charting nimekutana nazo sanaaa........"Ooh nooo siuzi gari yangu chini ya milioni kimi"
@mussadismass93063 жыл бұрын
Kwahili nilikuw hivo kabisa kuanzia leo nabadilika Asante San kwasomo zur joer mungu akupe umur mlefu zaid uzid kutuelemisha balikiw san
@sampro-v1l3 жыл бұрын
Upo vizuri sana kimawazo,, ivi huwa unayatoa wapi mkuu nanauka
@bushambalvenasbushambal-ot3eh Жыл бұрын
asante kwasomo nzuri mungu akubari umekuwa ukiendeleya kunifunguwa asante
@marcelinaghuliku64083 жыл бұрын
Huwa sipendi kupigiwa mara kwa mara na huwa nachukia sana Bora msg
@dominicemanuel7483 жыл бұрын
Hahaha hahaha hahaha dah!!!!kaka hii imenichekesha Kweli.................... kuhusu waziri..dah!!
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Ahxante kwa kutupa Elimu Mkuu , yan katika hzo zote nimekutana nazo na zinakera kweli , cm ianahitajika uxtarabu " Ubarikiwe Mkuu kwa kutuxtarabixha "
@danielmerere99 Жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mada hii nzuri , nishawahi kutana na mtu kwenye gari anaongea kwa simu na sauti kubwa sana mpaka kerooooooooo
@robartzuri3261 Жыл бұрын
Asanteh San joeli mm huwa najifunza Mambo mengi San kutoka kwako huwa nafunga na kuomba ili niwenze kukutana na wew live nitaijoy San ubalikiwe San
@mariethamtawa3143 жыл бұрын
yaani umenisaidia sana jamani. Mungu akubariki. mimi binafi udhaifu wangu ni hiyo ya nane, nikiwa na dharura napiga mpaka apokee but nitajirekebisha. but again in general nimejifunza sana na Mungu anisaidie kubadilika.
@isacklusulo29753 жыл бұрын
Ee bwana eee!!!! Luna watu wanajua kupayuka Atari....
@gabenusmhomanga19233 жыл бұрын
Nimeamka na asubuhi njema sana kwa somo zuri. Ubarikiwe sana.
@danchibomnyama54612 жыл бұрын
Aiseeh kaka Joel hiyo ya mwisho ndoimenikuta yakupiga sm mara nyingi sana but nimejifunza kitu mungu akubariki sana
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Nimependa sana somo hili ila mwisho nimechekaa had rahaa
@adnanomary19553 жыл бұрын
Ni zaid ya elimu..
@joramjaphet30603 жыл бұрын
Aiseee hayo n Makosa ninayofanya, ntarekebisha
@jacobnduya7983 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri. Mungu akubariki sana. Mimi nimefanya mengi ktk hayo lkn zaidi sana call multiple time.
@juliethfrank66263 жыл бұрын
Kaka Joel umeongea sawa kabisa,na kuna wengine pia wanakera wakiongea hawamalizi mpaka unachoka yaani unakuta mtu unaona kabisa mwisho na yeye anaendelea tu mkifika mwisho anaanzisha lingine mnarudi nyuma pia ni kero
@mariethamtawa3143 жыл бұрын
asante sana mwalimu, nashukuru kwa somo hili
@yuleboymashati52193 жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako
@vailethpeter49583 жыл бұрын
BARIKIWA kikwweli najifunza sana
@samwelalex84173 жыл бұрын
Ahsante, nmejifunza mengi
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Asante kaka ya usumbufu!
@kassimulugajo65123 жыл бұрын
siku yangu imekua nzuri sana leo kwa kuyafahamu haya
@jamesswai65833 жыл бұрын
Uko vizur...Watu wanakera Sana kwenye matumiz ya simu.
@heavenlyonlinetv81873 жыл бұрын
Nimejifunza namna nzuri ya kutumia cm. Ahsante Brother Joeli God Bless You
@denizakituli47143 жыл бұрын
zote nimekutana nazo
@danielkijobrighton83463 жыл бұрын
Yakupayuka Sanaaa na kupiga continuously
@sheilamwegio39633 жыл бұрын
daaa big up San kak umenifanya nibadilike kimaisha nikiwa mdogo San mungu akuongoze
@petroomwisongoo55763 жыл бұрын
Daaaah see you at the top nimeipenda Sana hii kaka angu me nilishakutana na hii watu kuacha simu zao zikiwa na mlio Mkubwa Sana kwenye sehemu za watu wanaongea kuhusu Mambo ya msingi lakin hiyo simu ikianza kuita yaaani inavuruga KILA kitu kwanza ata yule alokua anaongoza maada pale kwenye meeting inabidi akae kimya kwa mda maana sio mlio Ni sabwoofer sasa ,,,
@salehali4saleh193 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel,somo zuri sana hili
@dr.peterofficial63902 жыл бұрын
This so powerful brother Joel and nice to have you Tabora for a nice training you did to our office staff team
@mariamayoob87343 жыл бұрын
😆😁😆😂😂😂😂😂😂 msumbufu ata meseji azi pokelewi
@josephinemuyona76703 жыл бұрын
Kelele yá simu inapo sana watu. Tujifunze kuokelea mbali ña wengine
@kelvinphillip10483 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SAAANA KAKA NOW NAJIONA MPYA TOKA NIANZE KUKUFUATILIA
@anastasiamainaministries27003 жыл бұрын
Asante Sana joel Mimi nachukia kuongea na mtu naye anachat ni Kero nimepatana nao Sana...kisha Kuna siku niliingia kwa gari simu yangu ilikua ina ita na volume ya juu Sana,mpiga daladala akaniambia zima simu ama ushuke😜🤣🤣🤣tangu siku hiyo simu yangu iko vibration 😜
@ngendakumanasalumdiki28473 жыл бұрын
Hahahah.......JOEL, nisemetu nakupongeza na Mungu akupe afia njama uzidi ku elimisha jamii.
@ronaldomselleronaldomselle62383 жыл бұрын
Mm kama zote ila kwasoma ili nimejifunza kitu asante san kka joel nanauka mungu akubariki
@ngimbakuyi3250 Жыл бұрын
Asante Sana kaka joel, nimepata madini mazuri sana hapa, binafsi nimewahi kupigiwa na mtu sim zaidi ya mara 30 ilinikera Sana halafu nilikuwa kwenye kikao nilichokifanya japo sim ilikuwa silent nilimblacklist
@yunusomary89813 жыл бұрын
Thanks Sana Brother for this Sharing, nimejifunza kitu cha msingi sana this morning.
@Ahmad-uo5kc Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa kufundisha somo hili
@danielmlwafu43802 жыл бұрын
Asante! Kaka nimetambua makosa! Yangu
@hassanmustapher6242 жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwa ushauri huu mzuri
@hadijaelias1353 жыл бұрын
Asante kwa elimu hiyo
@danielmwanjefwele25703 жыл бұрын
Nashukuru Sana mwalimu, umenifanya nianze safari ya kutoka kwenye Ulimwengu wangu niliouchukia kwa muda mrefu. Mungu akubariki
@emmanuelmakindi44093 жыл бұрын
Wamasai bhn wanasumbua sana kwenye Gari wakiongea na simu hadi kero, hii elimu ingependeza iwafikie
@salehali4saleh193 жыл бұрын
Na wasukuma usiwasahau
@ramadhaniuseni91823 жыл бұрын
Daaaah kama zote yan nimekutana nazo big sana
@selemanpaul27102 жыл бұрын
Hakika wew ni the best
@zainabozainaty61883 жыл бұрын
Asante sana🙏🙏🙏
@allykindawite19243 жыл бұрын
Hiyo ya kupauka,kuna watu kwenye Daladala anaongea Mambo binafsi bila Aibu mpaka matusi na Mambo ya kimapenzi.
@makungaonlinemedia18813 жыл бұрын
Ahsante kaka Joel, kwa kwel Jambo hili lipo kwa watu wengi mnoo, Topic nzur sana. Nimejifunza.
@kinyagaibrahim87773 жыл бұрын
Iyo ya kukuta missedcalls nying asee sipendi kweli bro joel
@pendomussasechambo32632 жыл бұрын
Asante barikiwa nimepata kitu
@lumo69333 жыл бұрын
Duuh nimaisha tunayoishi nayo KiLa siku kaka...baadhi ya watu wanaongea mambo mengi wakiwa katika like ya watu Tena kwa saut kubwa
@arboghastkayanda5613 жыл бұрын
Obviously it's good lesson..!!! Blessed Joel nanauka
@mayrfrimi4759 Жыл бұрын
Joel we noma, yani hata mimi nina Nr nimeisevu msumbufu, , yaani utakuta ana Call 5 ndani ya sekunde 30. Ni kweli usemavyo.
@khamisyasin32763 жыл бұрын
Ongera kwa somo zuri mi nimekutata na nyingi kama mtu kupayuka kwenye gari au pablic,kuongelea mambo ya ndani ambayo yanamuhusu yeye na yakujisifu,mtu unazungumza nae alaf anakuwa bize na mesej hili ndio hunikera sana.
@vumiliawambula17163 жыл бұрын
kabisa yote nikweli kabisa barikiwa
@rehemagunda39683 жыл бұрын
Usubufu upon kwel
@lesusi78723 жыл бұрын
Wengine tunatoa kabisa sauti hta tukipigiwa tunaogopa kupokea mana ukitoa na kupokea watu wanaweza kuwaza unawaonyesha aina ya cm uliyenae
@josephmichael95552 жыл бұрын
Wanaopayuka kuna jirani zangu wapo wawili mbaka nimewapa jina magari ya matangazo yani kama ni mpelelezi ni rahisi sana kuwajua hawa.
@reubenrichard6764 Жыл бұрын
Karibu Zote nimekutana nazo ila kali kabisa Ile kupokea sim Akafu kuongea kwa Sauti kubwa nimeiona sana😂
@breezyommy83363 жыл бұрын
Nimevutiwa sana na kipindi chako Thanks bro
@bonneytv94413 жыл бұрын
be blessed bro..naendelea kujifunza
@user-pw6ts5cv1l4 ай бұрын
Nimecheka sana ni kweli anakua msumbufu dkt😂😂😂
@zachariakeboya48493 жыл бұрын
Verynice lesson broo,, keep it up and God bless you
@doreenkissia10873 жыл бұрын
Nimekutana nazo zote
@abdallahally90252 жыл бұрын
Hahahaaaa daa nimeipenda sana shukran
@evalineedwardsuzanne98622 жыл бұрын
Asante sana nanauka
@TimmeMcharazo-ep9if Жыл бұрын
Kuna Hawa,wengine akipokea tu ni lugha ya kwao mwanzo mwisho..mpo mmekaa Mtu anaongea saa nzima ni kilugha tu hamna kiswahili hapo
@hijakuyu8738 Жыл бұрын
Wewe nikiboko
@charleslutambi5786 Жыл бұрын
ASANTE KWA MAFUNDISHO YAKII JOEL. NI KWELI KABISA KUNA JAMA ALIWEKA MLIIO WA GUNYAU AKIWA MKUTANONI SIMU IKAITA, KILICHOTOKEA NI BALAA
@risetalentacademy85032 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mr Joel
@aash4145 Жыл бұрын
Joel kaka yetu una busara sana,,, mungu akulinde kwakwel
@brightgabrieli82353 жыл бұрын
Akika nimejifunza mengi sana kaka mungu akubaliki na akuongezee juudi na baraka.
@malackbayaga3 жыл бұрын
Nimekutana na simu ya mlio mkubwa na watu, wa kupayuka, mtu anayepokea simu bila hata ruhusu wakati unaongeza naye😄😄
@yohanapyuza59652 жыл бұрын
Nimeipenda hii kaka
@fikikenya14013 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwani wamjua Manager wangu? Mana unaongea nikama wamsema yeye
@akshots_tz3 жыл бұрын
Asante
@codaharxh._3 жыл бұрын
Content Nzuriii kila Sikuuu
@Laila-zl8lj2 жыл бұрын
Shukuran sana namie cjui kuongea taratbu nasim naongea sauti kubwa 😂kuanzia Leo nimejifunza🙏
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Yes true..yani mambo ya cmu ni maudhi tuu!! I blocked many..of them
@liberatussylvanus54773 жыл бұрын
Watch niwasumbufu hasa wanatuma sms akikutumia ukamjibu anataka use season maana kuna baadhi wanajiunga sms zamwezi mzima nikero sana Mimi ukinitumia nikajibu mara moja inatosha
@mundesmokesen93143 жыл бұрын
Yaani nimekutana na yote kaka
@juliusntandu43023 жыл бұрын
Kila kitu kaka
@eleneosindano56333 жыл бұрын
Mm nimekutana na wakupayuka kakaa
@omarysabih16593 жыл бұрын
Nice one Mr Joel
@t-moredigital39683 жыл бұрын
Kazi nzuri
@issacmwambire6752 жыл бұрын
Super sana 🙏
@swabriissa20343 жыл бұрын
Ow msumbufu anapiga yena nimeipenda hii kaka shukran sana
@macmax3152 Жыл бұрын
Asante kaka joel
@abdulrazackkipingu54373 жыл бұрын
Exactly kazi nzuri
@gospelgarden18463 жыл бұрын
Personal topics hasa kwenye daladala, inakereketa Mimi nimewai kumpigia mtu mara nyingi hadi tukagombana😁